#Live
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 1 มิ.ย. 2024
- JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hiichat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV
Ubarikiwe sana Mch wa Mungu aliye Hai❤
We miss sauti yako tuu thank you so much YESU Akuweke sana
Amen Amen sana Mchungaji Mungu atubarikiye wote kwapamoja
Bwana wetu yesu Kristo akulinde mtumishi
Mungu wako na Hawe Mungu wangu kutoka saii in the Jesus name
Mtumishi Amiel Mungu akubariki sana. Umeelemisha wengi kama Mimi. Barikiwa sana . Mama Mebo
Umepotea sana nashukuru Mungu
Amen, Yesu ni mwema
Karibu sana mchungaji Katekela sijui ulikuwa umeenda wapi,hatujakuwa tukiona posts zako.
Sijui kwanini geita hawakuketi naomba ikitokea neema hubiri mikutano mikubwa Mungu wangu najua unanisikia naomba mpe kibari Cha mikutano mikubwa ya nje
Mungu akubaliki akukumbuke akupebalaka nyingi akupe sikunyingi zakuhishi
Mungu akutunze Mtumishi wa Mungu!!
Wapigweeeeeee!!!! Wanatutesa sana.
Hakika Mungu akisema amesema akikuchagua nilazima kusudilakelitimie
Nafrahi sana kumuona Muchungaji Katekela nilikuwa nimemumiss sana yeye na mahubili yake
Amen
Mwendelezo wawushudaa hawujaisha kabisa atupe mwendelezo
AMEN
Amen niombee neema ya mafanikio
Tafuta kwanza ufalme wa Mungu,haya mengine utaongezewa.
Glory to God
Mafundisho maziri
Mtumishi, Kuna nywele za woolen knitting thread for plaiting head, ni za aina Gani ? Ya kuzim au kibandani au ni za kawaida ? Ni Gani ?
Mungu akutunze Mtumishi wa Mungu 🙏
Amen
Amen