SOYENZI | SIMULIZI TAMU YENYE MAPENZI, MAISHA, CHUKI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ย. 2024
- Soyenzi taratibu alilaza kichwa chake kwenye kifua cha mama yake ili kuangalia kama ni mzima au laa.
Macho yalimtoka binti baada ya kukaa hapo juu ya kifua kwa dakika nzima bila ya kusikia chochote, kwa maana hiyo mama soyenzi hakuwa hai tena. - บันเทิง
Jmn nime miss simulizi mpaka basi tu😘😘😘😘Lucas lumbasi on top💯
Yunaendereyq kumusikiriza mupendwa Ĺukas🎉🎉🎉🎉🎉🎉lakini mupenzi tumarizie Edin basi unasamehe nisiwe nimeingiriya kaziyako naomba kama shabik wako🇧🇮💪🏽💪🏽💪🏽tupeyapiri dutowe uvivu shukran🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Habari zenu wapenzi wapendwa wa Lucas Lumbas ni matumaini yangu mmeamka Salama kabisa... Asante sana Lucas Lumbas Kwa simulizi nzuri ubarikiwe. Kama nawe ndiyo Kwanza unaangalia huku ukisoma comment tujuane Kwa like ili tuende sawa ✅✔️🇹🇿🇶🇦
Kabsaaa 2ko pa 1 mbona LUCAS LUMBAS anajua kutufuraisha jamani ebu apewe 🥀🥀🥀
Sana tu abarikiwa hususani tuliyoko galf 😂😂tuna enjoy🇹🇿🇶🇦@@rizmwMwriz-mf2cu
Mi kusoma comment ndio kazi yangu 🤣🤣
Niko ndaniiiii😂❤❤❤❤
Nipo ndani ya soyenzi shukran kaka Lucas Lumbasi ❤❤❤
Watu wange mwacha soyenzi amuuwe huyo mjaa raana analia km mwema mnafik, ila wachawii hiyo siku ote wataishia🔥🔥
Wow nice anco lucas ❤❤❤
❤❤❤ asante kaka lucas maua kwa familia 🌹🌹🪑🎧🙌
Nko ndani ya soyenzi🎉🎉🎉❤❤❤
Story nzur hadi laha❤❤❤❤
Soyenzi nzuri sana ,
Mliowahi 🎉🎉🎉 Wacha me nikaye
Sijachelewa sana 🎉🎉😂❤❤❤❤
Kesho narud Qatar inshallah naomba dua zenu Jordan sijapata rafik
Sis mashabiki ni marafiki wako, ninakuomba safe journey
Journey mercies dear...mbona marafiki tumejaa hapa
Haya kaka tuko pamoja🎉🎉🎉🎉🎉
am missing Edna already 🤗🤗
Simulizi Nzr Sana
Kweli kabisa kaka lucas unafanya sio vizuri kabisa
Yaonyesha nikali hii😂❤
Asante Lucas Bora utupoze machungu ya msiba wa brandina sijui tutaenda kuzika katika kisiwa Cha wafu, mashabiki tupeane taarifa jamani
😂😂😂 tunasafirisha
😭😭watu tunauchungu na kufiwa na mama mkwe Yan Toka Jana ninahuzuni😅😅
@@user-jk8qn4zi5t pole sana jiandae tukazike
Aki tena@@user-jk8qn4zi5t
Wow nice story🎉🎉🎉🎉❤❤
Ayiiii tumeamia kwa waflme sasa ila dk jaman lukas🎉🎉
Mamb ni moto hatupoi 😂😂
Lucas misijapenda kbs usiku muzima sikulala kisa ulipo ishishia mama roma kufumuliwa kifuwa khaa yani unazani ni movie nimeona kila nikifumba macho tuu naona ilo tukio kiukweli hujatenda haki nibora ingeshiya kwenzi mkupumzisha brandine nasio tukio la kuwawa afu ukasema tukatanane sehem ifatayo mmmh misapenda
Ww n kama mm hata nikiifikiria nakosa hata nguvu wallah😂
Nmechelewa ila sio sanaaaa
I like it 😊
Waooo 🎉🎉🎉
Woww🎉🎉🎉
Dah bi chungu mjaa raana, miaka yote hyo bado unawivu namapenzi ya kaka😮
ukichagua maisha ya ushetani toka mwanzo utaishi hayo,na hivyo kalaaniwa na babake ndiyo hivyo😅😅
Enheee leo umetuletea nini huko kwa himaya ya Mfalme
❤❤❤❤🎉🎉🎉 me cjapata like
Lakini kaka Lukasi si ulituhaidi adi Edna ikwixhe ndio ulete simulizi ingine
❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Na hii naona wamejimbondoa embu nizikise
😢😢 jmn Soyenzi ... Inakaa kusikitisha na tamu kumpoteza mama ni uchungu xn😢 ila tutege sikio tujue yaliyo jiri humu ndani
Sas we chungu hunaa akili mamb ufnye ww laana zikufikie ww halaf uchukie wenzko mjinga sna ww
🤣🤣shikaraa😅😅
❤❤❤
Soyenzi unavita kubwa mbele yko man shangaz anakuwinda na kweny mapnz unavita na bizai pmoja na Atu kaz ipo kwel huna baya mtunz
Lkn kaka lucas unatuonea edina unatucheleweshea lkn simuliz nyngne unaleta mapma cyo fear😢😢😢
Kwel ata mm nlkuwa ntka kusema ivyo lkn umntangulia😢 afnyi poa
😊😊😊
ᴷʷᵉˡⁱ ᵃᵏⁱ 😮😮
Kweli kabisa
My dear friend inadepend, BT shukuru mungu simulizi iko kila siku kuliko kukosa ijapowa ni muda 2 lakini kila kitu kitakuwa sawa
Part two tunaipata Lin mbona kimya jaman
🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
Wa Tisa (9) leo
Daah masikini huyu bikichungu. sio mtumzuli jmn😢😢❤🇴🇲🇴🇲
Jamani leo ni meamuwa kuwapa like kila mmoja na kumsikilza Soyenzi anayapi mapya ili akimaliza kunisimulia ili nijue lakusema
😂😂😂😂🎉
Eee hii nayo may be ni kali kama pili pili, wacha tukaenjoy mosi moshi na maji baridi
Nani hajapat like 👍 yangu...aseme
Mimi😢
Tuletee Naya kaka Lucas
Ipi hiyo
Naya imesha isha au haukumalizia😂😂😂😂😂
@@Evelynmoreen3655 bado ilishia njian
Mashaal asant 20❤❤🎉🎉🎉🎉😢😂
❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Jamani Mimi mdau mpya
Karbu milango ipo wazi❤❤❤
Karibu
Karibuni, tumekukaribisha na mikono miwii, feel at home
Umefika dear karibu sana katika familia yenye amani.ila kuna Roma Ramoni chunga usiingie kwenye list yake juu ananyandua kama hana akili timamu
@Mwanat😂😂umuJumaa-rj4fg
Tunataka EDNA unatuchelewesha
Ushapata tshirt ya msibani😂
@MwanatumuJumaa-rj4fg 😂😂😂😂😂😂😂😂
@@MwanatumuJumaa-rj4fg😢😢mm Bado sijapata
Lucas part 2 hii tamu sana jamani usichelewe
Kwani sin haikuji
Sin nenda Anko jay simulizi huku ni lucas lumbas simulizi...jamani tuwache kuchanganya ma file
@@MwanatumuJumaa-rj4fg p 😂😂😂💕😂💕🙏
Anko j n mgonjwa tumuombee Allah ampe nafuu haraka.. inshaAllah
@@user-pr1uy3sh3o inshallah
😂😂 anaumwa ila upande wapili anatoa simulizi, Tena mbilmbil ko tukitulizen tutaletewa sin Kawa neema ya mungu
Ngoma tam ila
Ila wachawi wanafaa kujuwa kuwa imani haijawahi kushindwa na kama mtu anaitengemea miungu na imani yake imejengeka huko miungu itamwezesha kushinda changamoto zake na kama imani nikumtegemea MUNGU wa miungu yote na mtawala wa miungu yote yaani MUNGU MWENYEZI nae atamshindania anae mtegemea na kuwanyamazisha sauti zao wanao shindana na wanao mtegemea MUNGU. ila pia hapa naona Soyenzi ndoa yake ni kwa muba kwani alipo iomba miungu ilimpa mtihani nakumjibu kuwa nilazima aolewe na muba ila shangazi mtu kayatimba vikweli na kuyapuyanga sasa na ajipange ajue kuwa Familia ya kakaake sio yakawaida haichezewi hovyo.
🙏🙏🙏♥️♥️♥️♥️♥️ from Italy 🇮🇹 🇹🇿 ciao ciao
Jamani miezi minne haija Isha Edna aolewe na roma
SOYENZI atakuja kuolewa na huyo mtoto wa mufalme alie changua dada yake Lorenzo, na Soyenzi atalindwa na yule bibi alio mupeleka pangoni😂😂😂😂.
Na iwe hivyo jamani katendewa mbaya na shangazi yake mchawi huyo
Wekaka unajuakulia mpakabas. Hadi unaniliza nikimkumbuka mamangukipenzi tafadhali Lia kidogotu
Asia anajua sana lakin nasubiri siku atayovunja record yake mwenywe ya ant Zena
Jamn ❤❤❤❤❤🎉
Kama imetokea kipenda gonga laike
😂😂😂😂😂😂wanaotumia net yawarabu kama mm mikono mjuu yani net inakata kama umeme watoken aisee Jana nimeshinda mjonjwaa mpaka Leo ndonaonekana Edina naifuataa huko huko kiporo nilazima.... huyu baba aliachia mmoja laana ndomana hakuna chakuolewaa wala kutongonzwaa laana imebaki kwao dada na kaka wapenzishana 😂😂😂😂😂😂hii noma..huyu wakulinda malikia imekula kwake kwann hakufikira mara mbili yy amepeana kitumbua na kijana anamuazaa bint mwingine hii noma.kuna mtu kujinyonga hapo
Daa,huyo Gumbo jamani anadharau gani,kumwita mkewe kiburidisho miaka yote 25 ya ndoa 😢😢
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Muba ana tabia za uzinzi huyu mwana wa mfalme chaa 😢
🪑🎧
😅😅🤔
❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
❤❤❤❤
❤❤❤❤