Regy muombe Mungu akuondolea pepo ya wivu iyo nipepo inataka kuvurunga urafiki wenu .pia ukubali utapatawako kwa wakati wako. Unapenda kama mujinga nawewe
@LUCAS_LUMBASI_SIMULIZI nimekua nikiskiza mingi but Hua siwezi kucoment cz mchana mimi hutumia simu nkiwa nimeficha bluetooth but am ur big fan in almost one month..keep up the good work..ur making life enjoyable fr pple like me who love reading but we don't get the opportunity..💞💞
Regy ww mzr una umbo zur lkn kila mtu na chaguo lke usifos kupndwa na asye kupnda utapata wakwko atakae kupnda kwa dhat usiwe na wivu na mwnzko kila mtu na njia yke na hatma yke mama yko anausia mzr lkn ujinga umekukaa kichwan huelewi kabsa
@@LUCAS_LUMBASI_SIMULIZI yaan ukiwa na mama kma uyo na ukimsikiliza hupat shida kweny maisha yko yup kma mama yng anakupasulia ukwel hakufich kitu jns maisha yaliv na unavotkiw kuish
@@Babyfaty-m3y anamama mzuri sana mtoto wenyewe ameigiwa na pepo...mm natamani mama kama huyo mbona nigejivunia lakini mama wegine unamwambia hivi hakuelekezi vizuri jamani 😢
Mama Regy chukua maua yko💐💐💐💐💐pili ppote ulipo kunywa soda bill juu yangu ❤️❤️❤️ nasaha nzuri kwa mwanawe ila kuna wakina mamake majirani zetu balaana hatari moto wakuotea mbali.
Ila kaka Lucas kwakweli inauma sna kumpenda asokupenda,,nayafl maumivu ya regy sema ushauri wangu kwake ajikubali na a move on,,mna bla ivo ataumia sna na atajiaribia maisha yke...ishanitokea kuic kua bila mwafula maisha yangu hayaezi songa.. ila nilijiokoa na nkapata wa maisha yangu alhamdulillah 😂😂😂
Lukas pole na kazi. Samahani hakuna Tuzo za wasimuliaji? Kijana hongera sana maana unastahili tuzo hakuna simulizi inayoboa kwa usimuliaji wako. Mungu akuweke maana hapa ni stress free. Maua yako tele kwenye kapu.
Waoo,♥️♥️♥️🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹👋👋💃Regina huo ni mlipuko tu huwa unamtokea kila msichana tena mara nyingi tu,wala siyo jambo geni hilo,unapaswa kuvumilia,kila mtu anafungu lake,hakuna mwenye ubora kuliko mwingine,hakuna haja yakuona wivu juu ya mwingine,hasira ni hasara kubwa
@@Babyfaty-m3yKnachomuuma almwambia ndg yake na ndg yake hajaonesha kumsaidia il ijulkane hapendw wenda ingekuwa afadhal na pur nahc anataka 2 atmze malengo yake na anashndwa kumkataa mwamba kwa ushawsh wake wa kumjar na maneno ya mama mkubwa wake ngoja 2one ila naogopa mwsho wa hii simulz 🤦♀️
@@FatumaJumanne-p4d Pury hana kosa mna yy cku ya kwnza tu kapndwa kutokan na kauli zke nzr kwa tarik na regy na yy alimwmbia tu kma kuna mkaka mzr huk ila me sjaona kosa la pury
Pur n mnafk na ukzw wake maana angekuwa mwema na kutokuwa na tamaa angemwambia tark ndg yake anampenda ila ngoja 2one huko chuo atakapopelekwa hatomgeuka tark ila naogopa regy kuwa na ukatl.
Sasa huyu Ginah amekua kichekesho, Tariq atafananaje na boy wako 😂😂 Ginah umezidi mm nishaona watu aina yako, lakini hua tunawasuta nakuwatenga,huyu Priscilla ndio anamchelewesha hapo wangemtafutia kazi sehemu nyingine,hapo mjengoni ashakua python mwenye sumu 😂😂
Mwenye wivu kama Regy ni uchawi kwani unatakiwa kutokuiendekeza nafasi itakupoteza tunasikuzote shukuru kupata atakae kuenda akupende kwa dhati maana mapenzi ya kweli ni sawa na simulizi za kale tuishi tu
Jmn wakumi na nane naomben ata like tano jmn😢
Plz Regy ucje ukawa killer bora uvumilie upate mwanaume sahh 😢😢😢
Regy tulia uone baraka za mungu kupitia pilsca utapata vingi na mme mwema atakae kupenda
Anaelewa basi😂😂
@@LUCAS_LUMBASI_SIMULIZIYaan hata mimi naogopa japo cjamalza kucklza acwe kama Alice alyeishia kunyongwa 😢
Regy muombe Mungu akuondolea pepo ya wivu iyo nipepo inataka kuvurunga urafiki wenu .pia ukubali utapatawako kwa wakati wako. Unapenda kama mujinga nawewe
@@GULAINEHelena Regy urafiki wake niwakinafiki angekuwa rafiki mwema angefulahia mafanikio ya prisca ila yeye anataka kila kitu kizuli kiwe chake.
Wa kumi na mojaaaa😂😂😂for the first time naomben like zangu jamaniii🎉😂
Nmewahi jamani sasa tuone regy na rafiki yake polly ety au nmekosea jaman ila mapenzi shikamoo🎉🎉
Nimechelewa 🎉🎉🎉 simulizi zuri
Hujachelewa nafasi V.I.P bado zipo😊
Asante sana kaka lukac kwa simulizi nzuri
❤❤waooou asant regy mapepe. lucas tuko pamoja, nimewah kwa kiasi like zenu wadau 🪑🎧🙏🏃
Tamaaa na chuki ni kitu kibaya sana
Hii imeenda kwa marafiki wanafiki
@@YasintaHongelakabxaa😢
Hakuwahi kumpenda rafiki yake😢😢😢@@YasintaHongela
Leo nimewai naomba like zangu 😊😊😊🎉🎉🎉❤❤❤
Nimeipenda sana
Mama Regy Yuko vizuri,nimeipenda
@@YasintaHongela regy atapata itaje la moyo wake
Asante kaka lucas kwa simulizi nzuri pia yenye mafunzo
Pole kwa mapito unayopitia Regina,omba Mungu akuongoze ili upite salama vinginevyo utapotea
Ata mimi nimejikuta nachekat🤣kupenda mtu ambae hanaata chembe ya mapenz kwako mh kibarua kwel
🤣🤣🤣🤣watu kamahao ndyo utasikia wanajua eti mapenzi mi nazarau mbaya hata nipende vipi sijitii wazimu haibu siwezi kabisa
@@SalmanMughal-lq5lt upo sawa kabisa wanawake sio et hatuwatamani wanaume tunawatani San ila sio adikujito ufaham huko ad kelo
Moyo waniuma kam ni mie yan naogopa at mwisho itakuwaje dah 😢😢😢 na urafiki kam ushaanza kufa kat yao 😢
I love how ur narrating your stories Lukas.. am from kenya but in iraq 🇮🇶 saizi
Sante sana mamaaa🎉🎉🎉
@LUCAS_LUMBASI_SIMULIZI nimekua nikiskiza mingi but Hua siwezi kucoment cz mchana mimi hutumia simu nkiwa nimeficha bluetooth but am ur big fan in almost one month..keep up the good work..ur making life enjoyable fr pple like me who love reading but we don't get the opportunity..💞💞
Ai wish all mothers would be like Regys mume❤❤❤❤❤❤
Tuko pamoja kaka kazi mzuli ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Team Ginna huwa hatuludi nyuma hat kidg 🎉🎉🎉🎉
😅😅😅 sawa ngoja tuone
@@ReginaJumanne shauli yenu mutakuja kufa bule kisa wivu 🤣🤣🤣🤣🤣
Duuuuh so sad to regy dunia yako iko wap.hongera kaka lumbas kaz nzur🎉🎉🎉
Leo nimewahi ❤❤❤
Regy ww mzr una umbo zur lkn kila mtu na chaguo lke usifos kupndwa na asye kupnda utapata wakwko atakae kupnda kwa dhat usiwe na wivu na mwnzko kila mtu na njia yke na hatma yke mama yko anausia mzr lkn ujinga umekukaa kichwan huelewi kabsa
Si anavunga hasikii anayoambiwa na mamaake mzazi😅😅 ngoja kitu kizito kimpige kichwani
@@LUCAS_LUMBASI_SIMULIZI yaan ukiwa na mama kma uyo na ukimsikiliza hupat shida kweny maisha yko yup kma mama yng anakupasulia ukwel hakufich kitu jns maisha yaliv na unavotkiw kuish
@@Babyfaty-m3y anamama mzuri sana mtoto wenyewe ameigiwa na pepo...mm natamani mama kama huyo mbona nigejivunia lakini mama wegine unamwambia hivi hakuelekezi vizuri jamani 😢
@@SusanNeema-re3hr ukiwa na mama km uyo lazma ujivunie yaan mama anaekufnya rafik mpende sana mna hakuna rafik mzr kma yy
🎉🎉🎉wa pili like zangu wapendwa❤
Mama Regy chukua maua yko💐💐💐💐💐pili ppote ulipo kunywa soda bill juu yangu ❤️❤️❤️ nasaha nzuri kwa mwanawe ila kuna wakina mamake majirani zetu balaana hatari moto wakuotea mbali.
Yani pokea 🎉🎉🎉❤❤❤ unastaili
Maua yangu au ya Regy😊😊
Mama Regy alishatoa jibu mapema Dunia ya mtu haiwezi badilishwa na mtu kaka Lumbas unatisha
Ila kaka Lucas kwakweli inauma sna kumpenda asokupenda,,nayafl maumivu ya regy sema ushauri wangu kwake ajikubali na a move on,,mna bla ivo ataumia sna na atajiaribia maisha yke...ishanitokea kuic kua bila mwafula maisha yangu hayaezi songa.. ila nilijiokoa na nkapata wa maisha yangu alhamdulillah 😂😂😂
Haya tunaendelea na Regy tusikie kafanya nn tena
❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
❤❤👏
❤❤❤🎉
@@zenaathumani8144❤
Lukas pole na kazi. Samahani hakuna Tuzo za wasimuliaji? Kijana hongera sana maana unastahili tuzo hakuna simulizi inayoboa kwa usimuliaji wako. Mungu akuweke maana hapa ni stress free. Maua yako tele kwenye kapu.
Amen! Wakati wa Mungu ukifika kila kitu kinakuwa safi,
😂😂 hat mm nilijiuliza hakuna tuzo za wasimuliaji tumpe kura kaka yetu
Regy una matatizo😢😢😢 ilo ni pepooo kemeyaaaaa
Enhee Ginna twende kazi 🎉
Regy elimi Haina mwisho Wala umri ni Bora aendelee tu naelimu Mungu atambariki
Regy pole mm cwez heka heka hiz mamaa una moyo🥺🥺
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ila huyu Regina atakuja kufa na pressure kwakupiga chabo🤣🤣🤣🤣🤣
Atakufa kifo kibaya 😂😂
Regy yani nimmbeya sana daa kilakitupakaajuwe?
Regy yani nimmbeya sana daa kilakitupakaajuwe?
Hataki kupitwa nakitu kama Athena 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 atakuja kupoteza kazi kwajili ya wivu wake mbaya .
@@LUCAS_LUMBASI_SIMULIZI itabidi umupe ushauli maana atakuja kufa buleau umupatie namba za Roma 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Regy kula chuma icho 😂😂😂 sa we wapendaje mtu mwnywe hata hajui ka yuakupnda
Maua Yako kaka Lukas 🎉🎉🎉🎉❤❤❤
Edna Kampenda Roma
🎉
Asante kaka Lucas 🎉🎉
Woi kidogo nichelewe😅😅😅😅🏃♀️🏃♀️🏃♀️
🎉🎉
Waoo,♥️♥️♥️🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹👋👋💃Regina huo ni mlipuko tu huwa unamtokea kila msichana tena mara nyingi tu,wala siyo jambo geni hilo,unapaswa kuvumilia,kila mtu anafungu lake,hakuna mwenye ubora kuliko mwingine,hakuna haja yakuona wivu juu ya mwingine,hasira ni hasara kubwa
Regy achilia moyo wako utafanikiwa subir mda wako
Kupenda kunamtesa
Ginna hampendi kabisa rafiki yako
Anasema mapenzi ndo yamemfanya hvyo 😊
Lakini huyu ragy ni mjiga juu talik hajawai mtamkia anampenda
Regy yy anatk kil ktu kiwe mwnz kwke uwo ndo ujinga wke
Yaani hata mahakami anafungwa.... maana jamaa hajawah kabsa mtongoza😂😂😂
@@LUCAS_LUMBASI_SIMULIZI 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣litankuta jmbo kwa wivu wke
@@Babyfaty-m3yKnachomuuma almwambia ndg yake na ndg yake hajaonesha kumsaidia il ijulkane hapendw wenda ingekuwa afadhal na pur nahc anataka 2 atmze malengo yake na anashndwa kumkataa mwamba kwa ushawsh wake wa kumjar na maneno ya mama mkubwa wake ngoja 2one ila naogopa mwsho wa hii simulz 🤦♀️
@@FatumaJumanne-p4d Pury hana kosa mna yy cku ya kwnza tu kapndwa kutokan na kauli zke nzr kwa tarik na regy na yy alimwmbia tu kma kuna mkaka mzr huk ila me sjaona kosa la pury
Leo nimewai Leo please naombeni like
Kwene mapenzi akuna urafiki aca apime bahatiyake wenda mushikaji akamuelea ila mapenzi ayafosiwi
Kama Kweli mwanaume ashakwambia nampenda ndugu yako ao rafiki yako usifosi mapenzi ni hisia Regy asifosi mana atateseka Sana
@@aminanimbona1861Naogopa mwsho wa haya yote ila pur nae kashndwa hata kuhc maumvu ya rafk yake
Pur n mnafk na ukzw wake maana angekuwa mwema na kutokuwa na tamaa angemwambia tark ndg yake anampenda ila ngoja 2one huko chuo atakapopelekwa hatomgeuka tark ila naogopa regy kuwa na ukatl.
Broo lucas unachekesha unavyolia😂😂😂
Wa mwisho
Wanawake karibu 10 kwa Roma lakini Edna Kapunda Roma ❤
Unamwabia juu ajui kaa unampenda
Jamani Leo nimechelewa ila silali Hadi kieleweke shukran kaka Lucas ❤❤❤
Mwendelezo dear❤❤❤
Mama ni mama hakuna kama yeye asente Sana Lucas lumbasi
❤❤❤
Regy mjinga mmoja ww pasipo na rizk hplki na huuthamin moyo wako huna knyaa tafuta pengine tarki siwako hovyoo
Ooh Gyna jmn😮 yani matukio unafanya ww lkn aibu naona Mimi huku
Yaaani wivu wa regy mpk unaniboa
Waiting part 3 kesho
Gina wew chizi
Kabisa mama mwezangu mwabie ukweli kabisa
Lucas part 3 ya Regy ni lini pls
Da I feel ur pain Gna Sema sometime letting the one u love be happy even if it's costing you pain💔😊
Watu mnao mlaum regy hamjawah kumpenda mtu mapenz ni kitu kingine
Thanks 😊😊😊😊😊❤❤❤❤kaka lucas lumbas 🎉🎉
Bint kakaza fuvu yani haelewi hata nasaha ya mama yake Regy mwisho wako uwe mzur tu maana ibilisi kakukaa kichwan
Regy akiona hii comment yako atakujibu "Hafsa hujapenda bado"😅😅😅
@@LUCAS_LUMBASI_SIMULIZI nimependa lakini huyu kazid ila marafiki kama hawa wapo wengingi sana
Regy wivu wakininga
Anasema kapenda😅
Nasubir mwisho kwahamu😅
Jamani hii kali❤❤❤
Fx
Mama Regy afungue kanisa MUNGU
ambariki sana
😂😂😂
Ngoja nisikilize kwanz ntalud comment
❤❤ wajina ila mapepe kwel
Wa plliiiiiiiiii, plz like
Bahati yamwezako usilalie mlango rej shetani asijefanya kaxi kwako udhuru mwezako nimekuona unagubu sana
Mmmh mapenzi haya yatafanya watu wauwane jamani ooooh shikamoo mapenzi
Sasa huyu Ginah amekua kichekesho, Tariq atafananaje na boy wako 😂😂 Ginah umezidi mm nishaona watu aina yako, lakini hua tunawasuta nakuwatenga,huyu Priscilla ndio anamchelewesha hapo wangemtafutia kazi sehemu nyingine,hapo mjengoni ashakua python mwenye sumu 😂😂
Tuko pamoja
mm wangapi sas😂😢
Kusema ukweli dogo Tariq hana mda na ww😂😂😂amempenda huyo swahiba yako,kwa hio play your part,bila hivyo itaku coast,coz unapenda usipopendwa 😂😂😂
Bahati yamwezako usilalie mlango rej shetani asijefanya kaxi kwako udhuru mwezako nimekuona unagubu sana uachee ujinga hutakiwi bs tulia
❤❤❤🎉🎉🎉😢😂2
Regy 😂😂😂
🥰🥰🥰🥰🥰
Rerg ungeondoka hp ili ukae mbali na tarik uweze kumsahau
Dah regy matatizo
Ginna huo sio upendo huo ni ubinafsi, na uuaji. Upendo haulazimishwi aslani
Mm upande siwexi lzm mapenxi kama mtu hskutaki naanataka rafiki yako ww mwachee sasa unapambambania mtu hakutaki kwann ulazimishee
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤
😢😢😢🤔
Huyudada namshangaa anamkasirikia mwezake kwann siumwambie kua unampenda huyo kijana.nausijee hapo huyo dada angekusikiza lkn nikaxi yaburee mana mama yako kakukambia ukweli usitamani chamtuuuu shexi wewe
Edna na roma
Gina,mapenzi,hayalazimishwi
🤣😭😂😭😎🤣🥺😭🌹👍
Mwenye wivu kama Regy ni uchawi kwani unatakiwa kutokuiendekeza nafasi itakupoteza tunasikuzote shukuru kupata atakae kuenda akupende kwa dhati maana mapenzi ya kweli ni sawa na simulizi za kale tuishi tu
❤❤❤❤🎉🎉
❤❤
❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Bahati yamwezako usilalie mlango rej shetani asijefanya kaxi kwako udhuru mwezako nimekuona unagubu sana uachee ujinga hutakiwi bs tulia
❤❤❤❤
❤❤❤❤
❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉