Minapenda kucoment kisha nasikiliza nikifika nusu nacoment tena nikimaliza namalizia Aaah lucas roma ramon umeniweza ila tu ungetupa kionjo cha Wifi Edna😂😂
@@MwanakomboMangwe Wallah nimeka tokeya saa 8 nachuguliya tu edina japo najuwa ni saa 9 ila masaa ya oman ya nitowa akili narud kuswali nakuta siyo ah nime nyogonyeya kidog ila hero kupta kuliko kukosa kabisa
Mm naona huyu zaza haya matatizo yote alijitakia,alienda kwa nyumba ilio na mwanamke tayari kisa mimba,alivyo ambiwa kwa mara ya kwanza apewe pesa afungue biashara huyo mwanae asingekufa,hakuna kitu kibaya kama kupigana kisa mwanaume,hayo yote alijitakia kupenda usipo pendwa
Kwani siku imeisha?😂😂😂 tulieni bhana, saa mbili mzigo upo, kwahiyo mliataka mkae hivyohivyo mpaka saa mbili??😅😅😅 nawapenda ila hamjui tu🎉🎉🎉
Watu Wana mashaka 😂😂 ,
Si unajua ndo kwanza Edna inanoga zaidi
Tunakuamini pia tunakupenda Asante kwa kujali🙏
Nmependa hiyo responce yako ..tunakup❤nda pia
@@LUCAS_LUMBASI_SIMULIZI asante kwa kutupenda twakupenda pia zaidi ya sanaaa😍😉🥰🥰😘😘😘😘😘
Hapana umefanya vizuri sana achatumsikize zaza aliejipeleka kwa mwanaume mwenyeweeee oyaaaaa patamu hapo
Asant mungu kwa kutukutanisha Tena apa kak lucas kaz nzur sana 🙏🙏🙏
Wawooo asant sana kaka yetu kipenzi mungu akuraisishiye😊❤❤
Mashaal asant 12❤❤
Naona tumegeuziwa ratiba siyo fresh😊😢😢
Edina jemeni amedatisha wasikilizaji 😂😂😂❤❤❤❤
Kaka Leo Ratiba umebadilisha
🤣🤣🤣 🙏🙏🙏❤❤❤❤❤ from Italy 🇮🇹 🇹🇿 ciao ciao
Haya kaka hongela kwa kutufaliji🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Ushaanza kutuchanganya sawa tuuuu😢😢😢
Haya leo nmewahi kidg
Zaza masikini pole ndivyo walivyo wanaume
Waaa nimechelewa jmn ❤❤❤
Kunanitena jmn Kwa zaza embu tumsikilize anko Lucasi kwaza unaonekana itakuwa tamu sana🇴🇲🇴🇲🇴🇲❤️
Jumatatu leo ratiba inasema Edna mwendelezo pleasee iwe ile ile saa moja jioni kama jana , twasubira🎉🎉
Wanane leo 😂😂😂
Nime wah ad Mimi mnipe like na jee ratiba ya Edna ni Monday mbona zaza Leo? Lucas nijubu tu
mmmmmmh nilikuwa nasubilia edina dah 😢😢😢
Jamani kwan ratiba ipoje leo pia si miss edna au vp wadau😮😮
We acha tu nimetumia sana 😢😢😢 sijala
Mama mkwe mnzuri ❤
❤❤❤❤❤
❤❤❤❤❤❤mob love kaka lucas maua yako hayaapa🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Ila Jana Lucas kipande cha Jana upewe mauwa🎉 yako❤
Leo jumatatu umevunja ratiba mbona 😢😢
🎉🎉🎉🎉
❤❤🌹
❤❤(No2)Nime wahi sana zaza kafanya nn?; ongera zan kaka angu kipenzi muda nimali enhe kimbunga hiday chafanyaje tupe maneno ms 👂👂🪑🎧 tumetulia like bas wenza wangu🌷🏃
Lukac chunga ratina😂😂
Nzuri sanaaaa
Lakin mbona ratiba inasema jumatatu EDNA 😭😭😭
Pole sana zaza
🎉🎉🎉
❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mbn Kam Leo ilikuwa zamu ya Edna jamn au me mawenge yangu😂😂😂
😂😂😂zaza anaropoka sana
Ahahahahaha jamn nzuri sana hiii
Tamu vibaya mno
Mbna Lucas jamn leo n jumatatu
LUMBASI MBONA HUYU ZAZA ANANIVUNJA MBAVU
Leo wakwanza jaman naomba like zenu bc🥰🥰🥰
😢😢jmn kaka Lucas Leo umevunja Hadi yetu ilikua utuletee Edna mbona kitu kipya Leo???????!!!
Aaaah kaka Lucas leo Monday mbona unavunja ratiba😢😢
Nakwambia ana2vurugia ratiba kwel mpaka a2msomi kabisa
Leo si ilikua Edna lucas😢
Wakwanza
Mbona ratiba imebadilishwa
👏👏
Jaman me wa mwisho ila niko kwa simuliz
Kka lucas unatucanganya kabisa leo ni Edina .umetukata nguvu basi aca tuvute subra ila siku ya leo tutaimaliza vibaya.
Pole msasi.mwezangu watoto wasikuisi awasikii mama sao
❤❤❤❤❤❤❤ asant kaka lucas 🎉🎉🎉🎉
Vip huku Leo mambo yamebdilka siyo Edna ni zaza
Mbona ratiba umeiraribu
Kaka Luka Edna wap jmn Kwan ratiba inasemaje duh! Unatutesa lakn
Kwani Lucas umecharge ratifa utuletei edina leo bwana na ww sometime unatwagusa sana
Hello ❤❤
Sileo ni siku ya edna jamani
ᶠʳᵉˢʰ ᵗᵘ😂😂😂 ⁱˡᵃ ᵗᵘᵖᵒ ᵗᵘ ˢⁱˢⁱ😅😅😅
Erick naye anaomba maji 😂😂😂
Woooooooow thankx lumbasi
Minapenda kucoment kisha nasikiliza nikifika nusu nacoment tena nikimaliza namalizia Aaah lucas roma ramon umeniweza ila tu ungetupa kionjo cha Wifi Edna😂😂
Nime kasrika bada ya kuona siyo edina lisha sahau kama kuna ratiba 😢
Leo siku y Edna but katupiga n chini
@@MwanakomboMangwe Wallah nimeka tokeya saa 8 nachuguliya tu edina japo najuwa ni saa 9 ila masaa ya oman ya nitowa akili narud kuswali nakuta siyo ah nime nyogonyeya kidog ila hero kupta kuliko kukosa kabisa
😊
Daa tamu mno
Yaani ufisadi kila mahali hata kwenye simulizi yaani Africa we acha tu.
😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂
Haki ukipenda mtu sana anakuona2 mjinga sana ilamungu uko
Wanaitwa wanaume
Aliewaambia ndoa ni mimba na watoto ni nani🤣🤣🤣🤣
Kama mboga sinahitaji viungo sinoge na watoto wanakuwa viungo kwenye familia
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
❤❤❤❤❤❤❤🎉
Jamani kaka Lukasi Edina jaman🥲🥲
❤❤❤❤❤😂😂😂🎉🎉🎉🎉
Npo top 3 leo njooni jamani kuna zaza huku
🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Zaza kimemrambaaaa
😂😂❤
Huyu doctor ningemstaki doctor Gani mbeya
Mwabie ukweli kabisa
Jamani roho mbaya ya shatani ndiyo Hapendi watu kuwa na Amani asente Sana Lucas lumbasi
Mm naona ni Bluetooth
Hili beat lucas ni baya inakuwa kama taarifa ya habar
😭😭🤔
Mm naona huyu zaza haya matatizo yote alijitakia,alienda kwa nyumba ilio na mwanamke tayari kisa mimba,alivyo ambiwa kwa mara ya kwanza apewe pesa afungue biashara huyo mwanae asingekufa,hakuna kitu kibaya kama kupigana kisa mwanaume,hayo yote alijitakia kupenda usipo pendwa
Nikweli yan
Nikweli yan 😢
🤎
❤❤❤
🎉🎉🎉🎉
❤❤❤❤❤❤❤❤
❤❤❤❤
❤❤❤❤❤❤
❤❤❤❤
❤❤❤
❤❤❤
❤❤❤