Masha allah sijaolewa lkn nimepata somo kubwa mno kutoka kwako sheikh Insha allah naomba mungu nipate mume mwema na mwenye hofu ya Allah nitamhendo kadri ya uwezo wng na nitafata sheria zote na yote atayonikataza yeye kam mume wang insha allah
Kweli wanawake tunaitaji upendo na maneno mazuli rakin mtu maneno machafu maneno ya kukuliza kila kukicha adi moyo unachoka na mtu adi unamkufulu mungu kwann niliolewa na mwanaume uyu Yarab nisamehe😩😩😩😩🤲🤲🤲
Masha -Allah sheikh ni maneno sahihi kabisa uloyaongea, laitami km wanaume watayaskiliza haya bs NDOA nyingi zitanusurika kuvunjika kwa mapungufu madogo madogo
Aslm alkm ww...... Shukran sanaaa Sheikh Othman..umeongea masha Allah.ela niongezee kijana moja alioa mwanamwali waliishi mwezi mmoja, akaacha na akaoa mzee Mika 40 na wakazaa na wako pamoja hadi leo. Watu wanamtusi anawaambia mbona sikukaa na bikira????? Najua mwenyewe. Pole Sheikh wetu kipenzi. Kuna bahati mbaya mara nyingine hua umepata the wrong choice. Jazakallahu kheir Sheikh Othman. Allah akulinde akukinge na akuhifadhi. Shukran sanaaa kwa darsa. Allah akulipe Jannah firdaus.
Shekheir ndoa zimekuwa na migongano kwa hii dalili 1 wapo wa kwamba kiama kipo karibu ,maaana hii Mtume Muhammad s.a.w amesema mwisho wa dunia watu wataipenda dunia kuliko Akheira wataacha Qur-an na kutawaliwa maasi kwaio shekheir Ndoa kwa sasa lazima zitakuwa hazipo maana tayar tume Acha dini yetu hakuna chengine chochote Na utabiri umesha toka ila tumche Allah ili tupate radhi zake
Maa shaa Allah lkn sheikh nna wasi na hilo tumbo lako pamoja na mwili wako. Kila siku nataka kusema lkn leo Allah amenipa kauli. Unajua tumbo lako ninakua kubwa kuliko mwili wako. Pia wana afya wanasema uhakikishe mzunguko wa tumbo usiwe mkubwa kuliko mzunguko wa tumbo kwa sabbu unaeza kupata matatizo ya moyo/pressure. Allah akuepushe na maradhi, amiin.
Mashallah swadakta kila la kheri kwenye ndoa yenu wapendwa na Mola aidumishe ndoa yenu daima inshaallah 👏 wajazzakum llahu kheri 👏
Oh yes.. kweli ulichozungumza. Very wise man. Umenisaidiaa saana na maneno yako
Masha allah sijaolewa lkn nimepata somo kubwa mno kutoka kwako sheikh
Insha allah naomba mungu nipate mume mwema na mwenye hofu ya Allah nitamhendo kadri ya uwezo wng na nitafata sheria zote na yote atayonikataza yeye kam mume wang insha allah
Allah akuwezeshe
Mashaallah Allah akulipe kheri kakaangu unatupaelemu kubwa kiasi kwamba unapata faraja u
masha allah mwenyezi mungu akuzdishie natokea kenya napenda mawaidha yako
Sheikh swadakta nakupenda Kwa ajili ya Allah na Kila kitu ulichokisema ni kweli yananifika mm na kuniacha hacha hataki na mchipuko Kila siku
Pole Sana Allah akufanyie wepesi
Mashallahu mungu akubark shehe Othman nakupenda kwaajili ya Allah
Mashalllah mashaallah shk umesema ukweli kabisaaa
Maneno Mazur shukran shekhe,, sijapat huyo mume sahihi
Masha Allah sheikhe umeongea ukweli yn mm mwepes kusamhe rakin sisaau mabaya alionifanyia mmewangu
Ni kweli mimi nasamehe sana lkn kusahau ndio ngumu Allah atupe ya furaha tusiyasahau
Kama MKE WANGU TU... Ila mapenzi ninayompa kila siku mazito mno,nahakikisha natafuta muda kila wakati tuwe connected..Hadi husahau yoote niliyomfanyia
Mungu akuzidishie umri sheik uzidi kutupa elmu
Kweli wanawake tunaitaji upendo na maneno mazuli rakin mtu maneno machafu maneno ya kukuliza kila kukicha adi moyo unachoka na mtu adi unamkufulu mungu kwann niliolewa na mwanaume uyu Yarab nisamehe😩😩😩😩🤲🤲🤲
Mimi mkristo ila somo nimekuelewa sanaaaaa ,, nataman shehe asimalize ubarikiwe sana
Allah akbar allah amhifadhi hakika ya uwepo wa wake unamanufaa kwetu na jamii nzima allah akuhfadhi
Waalaykm msalaam warhmatullah wabarakatuh
Maa shaa Allah Maa shaa Allah, jazzakallah khayran sheikh othuman Michael, Allah akuzidishie umri wako
Amiin
Masha Allah sheikh Othman nakupenda sana Allah Akujalie kher Leo na kesho akhera 🤲
Amiina twkuombea sote mwenyezimung akubariki maisha yako yote
Mi pia namuombea Allah ampe mwisho mwema
Na amjalie Pepo la firdaous
Masha -Allah sheikh ni maneno sahihi kabisa uloyaongea, laitami km wanaume watayaskiliza haya bs NDOA nyingi zitanusurika kuvunjika kwa mapungufu madogo madogo
Ameen
💕💓Allah akulipe Jannah shekh we2 inshallah 💔💖🤲🤲
Aamiyn yaa rabby
Amina Yarab alamin
Nimekuerewa shedhe
Maa shaa Allaah Tabarakallaah Mwenyezi Mungu akadumishe ndoa zao yaa Rabbyii na sisi atupe wenza wema Aamiiyn
Ameen Thuma Ameen kwako ustadhat
Maa shaa Allah jazakhallah kheri shekhe umenifurahisha sana wallah
Mimi mkristo lakini nimependa mafundiso yako ubarikiwe sheh
MashaAllah I loved ur words thanks.
MashaAllah tulijua kutulia ukumbi mzma tukikusikiliza...
Waaambie kweli hawa wanaume baba, sheikh wetu Allah akuhifadhi
U real saved my marriage JAZAKALLAH KHAIR
Mashallah Sheik wetu Jazakallah kheri inshallah umri mrefu
Jumakani
Juma kani
Aslm alkm ww...... Shukran sanaaa Sheikh Othman..umeongea masha Allah.ela niongezee kijana moja alioa mwanamwali waliishi mwezi mmoja, akaacha na akaoa mzee Mika 40 na wakazaa na wako pamoja hadi leo. Watu wanamtusi anawaambia mbona sikukaa na bikira????? Najua mwenyewe. Pole Sheikh wetu kipenzi. Kuna bahati mbaya mara nyingine hua umepata the wrong choice. Jazakallahu kheir Sheikh Othman. Allah akulinde akukinge na akuhifadhi. Shukran sanaaa kwa darsa. Allah akulipe Jannah firdaus.
Mashaaallah
mashaallah
siku hizi wajane wanaolewa kuliko wasichana
Mashekh mufike na vijijini Hali mbaya vijana wapewe dawa huko kwetu kisakasa shehiya ya kombeni tuungeni mkon😭😭😭
Masha Allah! This is Awesome
Me mkristo ila nimependa Sana ulichoongea mungu akubaliki
Wa kristo munani furahisha siyo kama wahapa kwetu rwanda hata ukiongea ukweli utatukanwa tu kwenye comment wagum sana washamba pia
Mashaallah jazzakallahu kheri ya sheikh
Mwenyezi mungu akuondoshee husda.,
Maa shaa allah maneno yna mazingatio
Mashallah Nimeenda Sana natamani kuwa Kama wewe Shekh Othuman
Jazaaka lahu haira sheikh
Nimejifunza mengi shehe shukran asante sana
Mashaallah Allah akuweke uzidi kutufunza
MashaAllah shekh umesema Sana nimekupata vzuri mnooooo,,
Allah AKULIPE sheikh
Masha'Allah sheikh wetu
Mashaallah tabaarakallah, nimepata somo kubwa sana
Sheikh mm ni mkristo ila mafundisho yako yananibariki sn.
Walikumssalam shuku ran jazaka ALLAH khery Mola akulipe mema dunian na akhera
Masha Allah tabarakaAllah
Mashallah shukran jazakallahu kheir
Mm sijaingiya kwenye ndowa nilikuwa sijuwi lazima nipate mtu anifunze bass
MUNGU akubariki sana shekh Othman nimefurahi sana
Maa shaa Allah tabaraka Allah rahmani ya sheikh Othman
Maashallah shekhe Allah akuweke inshallah
napenda macho yako
Mashallh love this walai 💖💖
Mashallah nasaha nzuri sana allah akulipe shekhe
Jazaakallahu khayraa
Asante shekhe Allah kuongezee elemu
Mm siwezi kusahau mtu akinifanyia ubaya au wema siwezi kusahau
Hahahahaaaa hahahahaaaa hapo kwenye porojo umbea alaa
Kwli shehe mm lanzima kulinza kama kuna mwingine
Shekheir ndoa zimekuwa na migongano kwa hii dalili 1 wapo wa kwamba kiama kipo karibu ,maaana hii Mtume Muhammad s.a.w amesema mwisho wa dunia watu wataipenda dunia kuliko Akheira wataacha Qur-an na kutawaliwa maasi kwaio shekheir Ndoa kwa sasa lazima zitakuwa hazipo maana tayar tume Acha dini yetu hakuna chengine chochote Na utabiri umesha toka ila tumche Allah ili tupate radhi zake
Allah akuongezee zaidi insha Allah
Maa shaa Allah lkn sheikh nna wasi na hilo tumbo lako pamoja na mwili wako. Kila siku nataka kusema lkn leo Allah amenipa kauli. Unajua tumbo lako ninakua kubwa kuliko mwili wako. Pia wana afya wanasema uhakikishe mzunguko wa tumbo usiwe mkubwa kuliko mzunguko wa tumbo kwa sabbu unaeza kupata matatizo ya moyo/pressure. Allah akuepushe na maradhi, amiin.
Daah aya bna
Comment Vinavyohusiana Vyengn havikuhusu Achana navyo
Mashallah Allah akuzidixhie
Mashaalah I loved or words
Takbiriiii Allah akuifadhi
Shekhe ukovizur sana
Mashaallah
Shukran saana Allah akulipekher
❤❤❤❤ jazakllahu
mashaallah 😍😍nmependa somo
Mashaallah allah akuzidishie elm
MASHAALLAH, MASHAALLAH, MASHAALLAH
SHEKWAVI
Agano kati ya mume na mke...wakiongozwa na mwenyenzi Mungu
Takbir allahu Akbar 👌
Maa sha Allah
Mashaalah shekhe
Okey well come
Maashaallah baarakallah 🤲
Mashallah mashallah
Mashaa Allah tabarakallah
Mashacllah 🙏🌹
Mansha Allah
Masha Allah sheikh Allah 🙏🙏🙏
Wallahi shekh Nakupenda kwa Ajiili ya Allah ukweli mtupu
S wote hao wasotka kushirikishwa wengine wakiona mke yuko n wanaume ndio hujitia hpo eti kwkua anawengi wanao mtka atakua mtamu
Umewongeya kweli
maashaallah maashaallah 🥰♥
Manshallah
Maharus wa kiislamu jitahidini kujistiri
Amen ubalikwe sana
Salaam🙏more ❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mashalla
Mashaalls takabarakaaallah
Ma ash Allah
MashaaAllah
http
Maashallah maashallah
Shekhe nitafutie mume mwenye hizo sifa
Wosia na nasaha zako nizagheri wanandoa wakizifata watadumu ktik ndoa.
Mashaallah tabaraka allah
Sheikh usisumbuke na hao watu hawajuwi wakitakacho.
Mashaallah ukweli
Mashallah
Mashaallah shukraaaaan