Othman Maalimu hakika uko bora sana MUNGU akupe maisha marefu utupe darasa na Sisi tuwe miongoni mwa watakaokuwa peponi.... tuyaelew mafunzo yako Amiiin
Nakupenda sana sheh othman maalim..mm sijasoma sana vitabu ila darsa zako nazihifadh zote kisha nazifikisha kwa watu...nakushkuru sana maalim othman najihis kama ni mwanafunzi nilosoma kwako kwa mda mrefu..allah akusimamie
Nashukuru mungu muweza,ninaumia sana moyoooooooo,nataman kusema kitu kikamuuumiza alienitenda,mwisho najishusha nakunywea kwaajil ya hofu ya mungu,nakumuonyesha tabasam kutoka moyon alieniudhi, mana hata Mimi cimkamilifu
Alhamdulillah kwa mawaida mazuri alhamdulillah Allah akujaze her na akuegeze umr mrefu utuelimishe zaid napenda San mawaida yako mungu awajaliye her wano cikiliza mambo ya her awaogezi umri mrefu na awape sbr kwenye ndowa zao
Mimi naitwa Nourah,mtanzania wakuishi Rwanda,rafiki yagu niliempenda kuzidi wote aliniroga akanifanya nijiskie kuchukia wislam na waislam,nimefika atua yakuona uchawi ndani ya kila mama wa kislam.lakini nashkuru Allah,katika siku za mwisho za mwezi mtukufu wa ramathan mwaka huuu,Allah kanipa bahati ya kuona lailatul qadir,sasa naamini matatizo yangu yote,Allah kayatatua.Allahu akbaru,Allahu akbaru....
Maasha Allah shukraan jazzakah Allahu kheir sheikh Othman kwa madarsa nimechelewa lakini nimewahi pia,Mwenyezi Mgu awalipe kwa kila kheir na hizi darsa munazo tukumbusha mambo ya Dini na Dunia🤲🏽🤲🏽🤲🏽
Maasha Allah one of the knowledgeable imaam of our time and may Allah bless him l love him for Allah's sake. May Allah grant him jannatul Firdausi Aala.
Alhamdulillah,tushukuruni kupata masheikh kama Sh.Athman Maalim,Huyu sheikh ameshiba ilmu akakinai na ALLAH amzidishie,na hajafanya khiyana iwaitoa bila kifundo na ALLAH ampe pepo na radhi amridhie.....AMIIN
Inna Lilah wa Inna ilayhi Raji'un 😭😭😭😭😭😭😭😭😭kweli Ninakosa Raha kwa kuwa siko Burundi 🇧🇮 Aysee ninge fanya iwezekanavyo nikapata huo utukufu wakukuona Lakin Alhamdulillahi RabilaAlamina najapo cku jalwa kuwepo bahati yao wote wamekuona na Mmie pia nafurahi kwa hii neema ya Allah kwa kukuona nakuku sikia hapa nlipo Alhamdulillahi na Allah atujalye tufanyie kazi hayo umetufuhamisha shukran Jazeelan jazak Allah khayri Mola akupe umli mrefu wenye khayri na barka karibu tena na tena natena 🇧🇮 ❤️NAKUPENDA SANA KWA AJILI YA ALLAH GHAZ'WAJALLAH 💖💖💖💖💖💞
@@حليمهال-غ1ظ nikweli Kbisa lakini sikati Tama kwasa babu naamini sku ya mwisho yipo bilasha kila mtu atakuwa pamja na ampendae basi nafasi hio ntayipata by Llahi taufiqi ln shaa Allah Shukran Jazeeran jazak Allah khayri ya Hareem💕
Adui hana alama mm ndugu zangu wamenitengenezea hadi kesi polisi za kunimaliza niishiwe watoto wangu na mm tupate shida ndugu zangu waisalamu wenzangu tena wadogo zangu 2 tena wa kike baba 1 mama 1. Naomba duwa zenu ndugu zangu waislamu wenzangu
Masha'allaah,jazakallahu khayr ya sheikh kwa hili darsa.Na pia nimetabasamu vile nimekuona umefuga ndevu maanake wife yangu huniuliza 'mbona huyu sheikh huwa hafugi ndevu'!ha!haa!
Namuomba Allah akujalie sheikh othman maalim. Ukuepushe na mitihani ya dunia na akheira. Allah akujalie akuingize kwenye pepo yenye daraja la juu. Kiukweli najifunza mambo mengi kutoka kwako. Hakika Allah ame kupa elimu na hekma. In shaa Allah Allah akuongoze hapa duniani na akheira ktk njia ilio nyooka.
NAMI mukristo lakini napenda ma waiza ya kislamu Kuna ukweli mwingi sana na mengine yananipa kujitambu vizuri . Allah subhana wataal awazidishiye nduguzangu .Tena zawadi zake alizo zipa mtume Muhammad swalaalalah Ali wa salaam ziendeleye ku miminika juu ya vichwa vya wa islamu wote duniani .
Masha Allah, Mungu akuzidishie Rehma zake na akurefushie umri wako.mawaidha yako yanapendeza mno in sha Allah Mungu atujalie tuwe wenye kunufaika kwayo
One of the best sheikh's of this ummah may Allah protect him and grant him husnul al-khaatimah
Ameen
Mimi mkristo lakini siku zote napenda kuskiza mahuburi ya waislamu.Mungu ajupe umri mrefu Inshallah .
Allah akuwongoz na uzidi kuyafat upate ukweli insha
Azou Azalazi,inshallah
MASHALLAH siku moja ALLAH atakufanyia wepesi kujua Haki na kuiyacha badili
@@wairimuflorence5861 dada yangu silimu
Mungu akuoongoze
Othman mimi mkristo napenda Sana, mawaidha yako
Othman Maalimu hakika uko bora sana MUNGU akupe maisha marefu utupe darasa na Sisi tuwe miongoni mwa watakaokuwa peponi.... tuyaelew mafunzo yako Amiiin
Inshallah mung akujlie maisha marefu shehe wetu kipenz na mung atujalie tuwe miongoni mwa watu wema
Inshallah allah akupe umri mrefu uzidi kutujuza othman Maalim 🙏🙏
Nakupenda sana sheh othman maalim..mm sijasoma sana vitabu ila darsa zako nazihifadh zote kisha nazifikisha kwa watu...nakushkuru sana maalim othman najihis kama ni mwanafunzi nilosoma kwako kwa mda mrefu..allah akusimamie
th-cam.com/video/BCF1SbvZQgQ/w-d-xo.html
Karibu kwetu karibu Nrb shekh wetu
E
Ewe mpee Cheney's heri nae mwalimu watu mpe kauli thabit
AMIINA
MaashaAlla🙏🙏Allah akurinde lnshaAllah🤲🤲🤲🤲🇴🇲
wallah shekhe othman napenda hasaaaa mawaidha yako yananifikia mpaka kwenye nafsi yangu unagusa hasaaa panahusikaaa ila naomba uzungumzie hasaaa uke wenzaaa kwan bado wanaume na wanawake hawana elmu ktk idara hiyoooo
Nashukuru mungu muweza,ninaumia sana moyoooooooo,nataman kusema kitu kikamuuumiza alienitenda,mwisho najishusha nakunywea kwaajil ya hofu ya mungu,nakumuonyesha tabasam kutoka moyon alieniudhi, mana hata Mimi cimkamilifu
Allah akulipe mazuri sheikh Othman Maalim na akupe imani uzidi kutuelimisha mpaka mwisho wa maisha yako na pepo iwe malipo yako(Aamin)
Ameen
Allah Akbar, Sheikh Uthman Maalim Allah Amuzidishie Kheri Nyingi Hakika Napenda Mawaidha Yako, Naomba Allah Atujalie Mwiaho Mwema
Amin
Amin
Asante kwa mawaidha shekhe
Ya Allah tujaalie tuwe na tabia nzuri, huruma na uvumilivu kama alivyo kua Mtume wetu Muhammad swalallahu alayhi wasalam🙏🙏🙏🙏🙏🙏🇰🇪
Aamin
Insha Allah,naswaha zenu tutazingatia na pia namuomba ALLAH atuepushe na shetani m baya mwenye kushushutisha mabaya kwa bina'adam 🙏🙏
Amn inshaallah kwa sote
Sheikh Othuman allah akupe umri mlefu na mwisho mwema inshaallah True love from Oman🌷🌷🌷
Hhhhhokkjhuujko
Ki&t
Alhamdulillah kwa mawaida mazuri alhamdulillah Allah akujaze her na akuegeze umr mrefu utuelimishe zaid napenda San mawaida yako mungu awajaliye her wano cikiliza mambo ya her awaogezi umri mrefu na awape sbr kwenye ndowa zao
Najivunia kwa darasa lako alaah akupe kher katika dunia
Alhamdulillah
Shk Othman maalim mwenyezmungu azidi kukuweka akujaalie na afya akuepushie na husda YaRabb
Allah akuongezee umr mrefu bado tunakuitaji sana
Mimi naitwa Nourah,mtanzania wakuishi Rwanda,rafiki yagu niliempenda kuzidi wote aliniroga akanifanya nijiskie kuchukia wislam na waislam,nimefika atua yakuona uchawi ndani ya kila mama wa kislam.lakini nashkuru Allah,katika siku za mwisho za mwezi mtukufu wa ramathan mwaka huuu,Allah kanipa bahati ya kuona lailatul qadir,sasa naamini matatizo yangu yote,Allah kayatatua.Allahu akbaru,Allahu akbaru....
حفظك الله الأخ الفاضل الشيخ عثمان معلم، زدك الله علما ونور.
Asante sana sheikh wangu Othman Maalim kwa kunipa habari nzuri za kuishi na rafiki
Alhamdulillah Allah akujazz akupe na umri wakutuelimisha
Amen
Kiss,charabi
@@hamismustapha1730 Allah human amiin
Amin yarbi
Assramuaraiku
Masha-Allah Masha-Allah Masha-Allah,Allah akujaalie mwisho mwema,Allahummah Ameen
Thumma amin
Mashallah
Allahumm amin
Allah akupe umri mrefu Shekh Othma Maalim
Wallah nikisikia mawaidha huyu sheikh moyo wangu inatulia
Wallah hata mm napenda saaana daawa yake.Allah ampe kher yaraaaab
th-cam.com/video/f1ECnaRImIs/w-d-xo.html
Akili yngu huwa najiona km nimemuona Muhammad (S.A.W). Allah atuhifadhie huyu sheikh
mashallah mawaidha mazuri nimejifunza mengi shekh allah ukupe afya njema
Mashaa'allah, shukran jazzilla kwa mawaidha mazur, wallah nikisikiliza mawaidha yako shekhe huwa nafarijika sanaa.!
Maasha Allah shukraan jazzakah Allahu kheir sheikh Othman kwa madarsa nimechelewa lakini nimewahi pia,Mwenyezi Mgu awalipe kwa kila kheir na hizi darsa munazo tukumbusha mambo ya Dini na Dunia🤲🏽🤲🏽🤲🏽
MaashAllah, Alhamdulilah, Allah akupe kila la Heri,na Sisi atuongeze katika njia ilonyoka shukran
Manshallah sheikh wetu.
Amin yarbi amina
Mashallah Allah akupe siha njema akukinge na hasda
Mashalaah
Mwenyezmungu ukupe umri uendelee kutupa darsa
@@bakutayeb8277 Amina yarbi
Amiin yaa rabbal a'alamiin
Mashaaa Allah nimecheka Apo kwa ndoto ya wake😁😁😁😘😘😘😘😘 hakupendaga kwa ajili ya Allah sheikh wetu Athuman maalim
Jazakallahu khairan shukrani kwa Mawaidha
Mashallah katika mashekhe ambao nnaependa kumsikiliza basi mmojawapo ni huyu Mwenyenzi Mungu ampe umri wenye afya na uzima Ameen 🙏
Shukran jazzilla sheikh Uthman MaalimAllah akuifadhi 🤲
picha yako bint haikai sawa na dini yako..
MashAallah Allahu akuzidishie umri uzidi kutuelimisha 🙌🙌🤗🤗
MashAllah sheik OTHMAN MAALIM Allah akupe umri
L
Ma sha Allah...hakika nimepata ilm kubwa!
Mashalwaaa
Asalmaleykum
Maasha Allah one of the knowledgeable imaam of our time and may Allah bless him l love him for Allah's sake. May Allah grant him jannatul Firdausi Aala.
Marko Okwothos Amiin yarrab
Maashaallah
Mashaallah jazaka llah khayra
th-cam.com/video/BCF1SbvZQgQ/w-d-xo.html
Amin yarbi amin
Maa Shaa Allah, nakupenda sheik wangu kwa ajili ya ALLAH, Mwenyezi MUNGU akupe afya na umri na akulinde
Amiin
ALLAH AKUZAWADI,,,
Amiin
Amn
Amiin
Naomba MOLA akujalie umri allahum ameen,asante sheikh Omar
mashalah shekh othuman malim nakukubali sana upo vizur
Nimejifuza kitu kwa shekhe odhuman maalim mungu amuhifadhi insha allah
Amiin amiin
Allaah amuhifadhi Sheikh wetu.
Allah akulipe kila la kher Shekh othuman maalim🙏
Kher inshallah
Amn
Alhamudhilah,..Allah akupe afya njema maalim shukuran sana
basi dp yako isupport dini yako bint..
Allah Skype umri mlefu madazako haziishi masikion mpaka moyon alhamdulilah
Mashallah Allah atakulipa kwa ujumbe mzuri
Alhamdulillah,tushukuruni kupata masheikh kama Sh.Athman Maalim,Huyu sheikh ameshiba ilmu akakinai na ALLAH amzidishie,na hajafanya khiyana iwaitoa bila kifundo na ALLAH ampe pepo na radhi amridhie.....AMIIN
Manshaalh athuman maalim mwenyezi maidha yako yna ujumbe mzito
Mashallah watching from USA I love you for the sake of Allah Sheikh Othman Maalim..
ماشاءالله
Hi
allah akuhfidhi na mengi tulozungukwa nayo katka hi dunia
Mme Wangu yuwampenda huyu Maalimu sana Masha'Allah na maneno yake ni kuntu Masha'Allah
Inna Lilah wa Inna ilayhi Raji'un 😭😭😭😭😭😭😭😭😭kweli Ninakosa Raha kwa kuwa siko Burundi 🇧🇮 Aysee ninge fanya iwezekanavyo nikapata huo utukufu wakukuona Lakin Alhamdulillahi RabilaAlamina najapo cku jalwa kuwepo bahati yao wote wamekuona na Mmie pia nafurahi kwa hii neema ya Allah kwa kukuona nakuku sikia hapa nlipo Alhamdulillahi na Allah atujalye tufanyie kazi hayo umetufuhamisha shukran Jazeelan jazak Allah khayri Mola akupe umli mrefu wenye khayri na barka karibu tena na tena natena 🇧🇮 ❤️NAKUPENDA SANA KWA AJILI YA ALLAH GHAZ'WAJALLAH 💖💖💖💖💖💞
Aisha Abdullah hi
Huenda hata ungekuwepo burundi bado ikakuwia vigumu kumuona maana huo msongamano wa watu
@@حليمهال-غ1ظ nikweli Kbisa lakini sikati Tama kwasa babu naamini sku ya mwisho yipo bilasha kila mtu atakuwa pamja na ampendae basi nafasi hio ntayipata by Llahi taufiqi ln shaa Allah Shukran Jazeeran jazak Allah khayri ya Hareem💕
maashallah shekh othamani maalimu
Mashallla
Mashallah, shukran sheikh kwa mawaidha. Mwenyezi mungu akulinde inshallah. Pili nafurahi uko na jina kama la babangu. Mwenyezi mungu amrehemu 🙏🙏🙏
Innalillah wainnalillah rajuin
Pole sana ndugu yangu matika Imaaani
Allah ya raham
jazakallahu khair ya sheikh may Allah guide us all to the right path Amiin
Amiin
Shukran Sheikh Othman, Mawaidha Yako yananijenga moyo
Ameen
Amiin amiin amiin
Asante sana kwa ukumbusho mungu akujazie kila la kheri wewe na familia yako amiin
Daah shukran shekh Othman maalim nakupenda kwa ajili ya Allah
Shehe Othman maalim wewe unae rafiki kipenzi kama wakiyi na shafiy walivokuwa wanapendana sana
Wallah mid nasikia raha kuwa mwiislaam.alhamdulillah
Uislam raha sana
Napenda mwanaume anaeva akanzu anioe
wallah wisilamu nilaha nanichuo zaidi ya chuo
Allah uzidishie napenda sana kukusikiliza mawaiza yako Allah akuzidishie na Akupe afya na uhai mrefu na mwisho mwema kwa sote.
Mashaallah shekhe Othaman maalimu Allah akupe afya njem
SHEIKH OSMAN MAALIM Allah akupe afya njema na mwisho mwema Insha Allah
Allah akupe hitaji LA moyo wako sheh wetu
Ameen
May Allah gave u long years to live so that u will continue educating
Allah akuhifadhi akukinge na husda na fitina za waja nakupenda kwa ajili ya Allah
Allah akupeumri mrefu
Maalim othman mawaidha yako yanatufundisha vitu vingi napenda kukusikiliza sana inshallah mwenyezi mungu akuzidishie usichoke kutupa darasa
Mashallah sheikh kwa mawaidha mazuri mungu akupe umry mwema
Mashallah .mawaidha mazur tumefaidika.mungu.akupe.umri
Mrefu uzidi kutuilimisha
Amina yarbi
Wise words and educative may God bless you my brother
Nakupenda sana sheh watu kwajili ya Allah
Shukrani...jazzilla ..Allah akupe Kila lenye kher hapa dunian na akhera ..nafurahia uwepo wako
Mhhhhh
maa shaa Allah... asante sheikh Wang kwa somo zuri nimependa mno..
9o PPP
Kweli shee maneno yako
Adui hana alama mm ndugu zangu wamenitengenezea hadi kesi polisi za kunimaliza niishiwe watoto wangu na mm tupate shida ndugu zangu waisalamu wenzangu tena wadogo zangu 2 tena wa kike baba 1 mama 1. Naomba duwa zenu ndugu zangu waislamu wenzangu
Allah akutienguvu kipindi hiki kigumu na akupe na ujasiri
Pole Allah akupe subra na uwezo waku walea wanao
Masha Allah sheikh Allah akupe umri mref Insha Allah nakupenda kwajili ya Allah
Maashaallah
Maashaallah
Maashaallah
Jazaqumlwau ery
Inshaallah 🤲 🤲
Mashallah Othman maalim allah akupe umri mrefu inshaallah aamiin allahumma aamiin
MashaAllah ..Sheikh Othman Maalim Mungu akupe umri mrefu uzidi kutukumbusha InshaAllah...
Sheikh. Othman unatufunza masha Allah ..... Allah akulipe ujira mwema... ammiin
Mashallah somo nzur sana sheikh wetu mungu akupe afya njema
Amina Yahya mashallah sanaaa
Mambo vp
Hl yk
mashallah
Mashaallah allah akuongoze kila lakhery
Masha'allaah,jazakallahu khayr ya sheikh kwa hili darsa.Na pia nimetabasamu vile nimekuona umefuga ndevu maanake wife yangu huniuliza 'mbona huyu sheikh huwa hafugi ndevu'!ha!haa!
ALLAH azidi kukujalia afya njema tuzidi kuelimika na elmu uliyojaaliwa
MashaAllah tabarakallah Sheikh kaka etu darsa zako wazitoa kwa umakinifu sana Allah akujaze khairat leo na kesho akhera
Thanks
Mungu akubaliki sana
Mashallah
Sichoki mawaidha yako shekhe wetu
Mungu akupe uwi mrefu shekhe Wang
mwenyezi mungu akubarik shekhe wetu hakika unatufundisha
Allah ampe umli mrefu inshaa allah
@@khamismasimba4391 ln shaa Allah
Uthman Maalim mimi namuita fundi..Allah ampe umri mrefu
Maripoyakokwamugu. Alla. Akuripe. Hreri
Mashaalllah mungu akupe amani n barka baba angu
Maa shaa Allah
Shukran sana Shaykh wetu
Baaraka Allahu fiyka
Masha Allah, Masha Allah shekh othman mungu azidi kukuifadhi
napenda mawahiza yako mungu umri murefu mngu akufanyie wepesi katika mawahiza yako
allah tujariye mwisho mwema
Namuomba Allah akujalie sheikh othman maalim. Ukuepushe na mitihani ya dunia na akheira. Allah akujalie akuingize kwenye pepo yenye daraja la juu.
Kiukweli najifunza mambo mengi kutoka kwako. Hakika Allah ame kupa elimu na hekma. In shaa Allah Allah akuongoze hapa duniani na akheira ktk njia ilio nyooka.
Naamini ipo sku ntabahatika kukuona kwa yakini ln shaa Allah 🙏
Aisha Abdullah alhamdoulilah
Kweli maalim othman tuelimishe elim ya dini vile vile mawaidha yako maridhawa
Maalim kweli mawaidha yako ni ya mafundisho kwa watu tofauti
Mwenyenzimungu akupe maisha marefu maalim wetu ,ili tuendelee kufaidi mawaidha yako
MaashaaAllah mawaidha mazuri mungu Akupe afya na umri mrefu sheikh
Mashallah,mafundisho mazuri,endeleza mafundisho nasi tupate yalomazuri ya kutuongoza 🔥🔥🎉🎉❤❤
May Allah gives peace and longlife in ur life Ammen
Ila sio siri mimi pia napenda Sana mawaidha ya baba othuman mungu atujaze khery inshallah
MashaAllah JazzakAllah khayr
Sheikh Othuman kila nikisikiliza mawaadhi yake,roho yangu na tabia yangu inabidilika,Mwenyezi Mungu akupe umri mrefu Sheikh Othuman.
Mashallah mwenyeezi mungu akupe ukitakacho kiwe na heri nawe
Masha Allah mollah akuweke miaka mingi shekhe wetu
mashaallah inabidi tujifunze kuishi vyema
NAMI mukristo lakini napenda ma waiza ya kislamu Kuna ukweli mwingi sana na mengine yananipa kujitambu vizuri . Allah subhana wataal awazidishiye nduguzangu .Tena zawadi zake alizo zipa mtume Muhammad swalaalalah Ali wa salaam ziendeleye ku miminika juu ya vichwa vya wa islamu wote duniani .
Mashaa Allah nakupenda Sana shekh wangu
Allah akuzidishie ilmu na katika ilmu yako akujalie rizki katika mafungu makubwa..Allah akuhifadhi ili nasi tuendelee kupata darsa yako
Allhamd llah nashukuru sana kamawaidha yako mazuri
Masha Allah, Mungu akuzidishie Rehma zake na akurefushie umri wako.mawaidha yako yanapendeza mno in sha Allah Mungu atujalie tuwe wenye kunufaika kwayo
th-cam.com/video/BCF1SbvZQgQ/w-d-xo.html
Amin yarbi