Bro Davistar kwa kweli umefanya imani yangu kwa Allah iongezeke kiasi kikubwa sana, ndo hivi machafu wanavopotia washirikina.... subhaallah. Hakuna usiku itapita bila mimi kuswali tahajud hata kama rakaa 2 hadi niondoke duniani, bi idhnillah.
Binafsi nashauri, hawa wahanga wanafichwa sura, ila mtngazaj anawauliza jina lako nani, wanataja na eneo wanapoishi , hapo tayar umewaweka wazi. Kama unaficha easijulikane do not ask them to introduce themselves
Never compare yourself with others...it might lead you into such temptations..."all are vanities"it will never ends well..#trust in the Lord your God..
Ooh mungu atusaidie turidhike na kile kidogo tuko nacho na tusijilinganishe na watu ama marafiki wale matajiri ambao hatujuwi waliupata vipi pole mdogo wangu muombe mungu tu anaenda kuwatetea.
Kazi nzuri Davista lkn ningeshauri msimuliaji aachwe asimulie mtiririko mzima wa story bila kukatishwa labda kama kuna ulazima wa kuuliza ili kuelewa vizuri. Mawazo yangu tu bro
The richness has alot of secret aisee don't think the rich people got money for easy like that weng wao but not all have got their richness through superstition ways.ndo mana it is difficult for them to contribute charity
Acheni kutaka mali kwa njia ya short cut. Mganga hawezi kukupa utajiri pasi na kukutia madhila ndo kma ivo umuingilie babayako mara uuwe mzee au mtoto au ulale na mamayako vijana acheni tamaa.
Davistar mm tena ki2 kimoja unaporusha ki2 itakua ni vizuri ikiwa unasema eastafrica maana c watanzania tu ... kisha ushaanza na A.K.A ... kheri lkn... afadhali c domo denda Yule jamaa nimemchoka luv all da way from Qatar...✌
Yes ofcoz. . Hata mie huwa natamani kumpigia simu nimwambie...kuwa anatazamwa kutokea sehem mbalimbali hadi Ujerumani , sio Tanzania pekee...,! Ila unfortunately I don't have his number.
M!!!!!!!! Uzitafute kwa Mateso kama hayo izo Mali unafikir utakuja kuzitumia kwa rahakweli??????? Kwanza nikuzidishia mitihani tu Eee mungu baba embu tunusuru sie waja wako.....
Nakukubali Sana mwamba Devsatar mata nimejifunza mengi Sana kupitia vipindi vyako .na nimejifunza kua matajiri wengi Kuna kitu nyuma ya pazia .duuu naridhika na kidogo nikipatacho Cha mwingine sikitolei macho
Mashariti ya pesa chafu kiboko😭😅😅😅 Hivi unawezaje kudindisha kwa mwanaume mwenzako tena baba yako ..so sad😭😭😭pole lakini chakujua tu hakuna pesa rahisi
Wangapi tunawaona na utajiri wameipata kwa njia kama hii?Mwenyezi mungu tu ndiye anayetupa mali bila masharti ya kiunyama kama haya.Tumuamini mwenyezi mungu.
Mikasa hii ya kutisha Ina mafunzo, tatizo liko kwa muandaaji una haraka sana na kushindwa kufuata maadili ya ya uandishi kwa kutomaliza simulizi kitu kinachofanya wasomaji tukuone kanjanja
Huo utajiri ubaki hapo hapo loo njoo huku 🇧🇭🇧🇭🇧🇭🇧🇭🇧🇭kunautajiri halali kabisaa yani nguvu yako jasho lako lkn sio hiyo ya masauti yaajabu ✋✋✋✋✋mm bampar to Bampar na mwarabu mpaka niwetajiri🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
From Kenya...I love this knowledge. Be blessed!
Bro Davistar kwa kweli umefanya imani yangu kwa Allah iongezeke kiasi kikubwa sana, ndo hivi machafu wanavopotia washirikina.... subhaallah.
Hakuna usiku itapita bila mimi kuswali tahajud hata kama rakaa 2 hadi niondoke duniani, bi idhnillah.
Allah akulipe kheli naakuifadhi.kikubwa kuisoma dini yako kisawasawa kwa ufaham wawema waliotangulia.
Binafsi nashauri, hawa wahanga wanafichwa sura, ila mtngazaj anawauliza jina lako nani, wanataja na eneo wanapoishi , hapo tayar umewaweka wazi. Kama unaficha easijulikane do not ask them to introduce themselves
Apo sasa
🤣🤣🤣
Ni kama kijuficha kwenye shamba la karanga, kaficha sura kataja jina na sehemu anakoishi hahahaaa.
Kabsaaa
Wilfred Malima kbsl
Dar bro polee sanaa ilaa jitihada zinatakiwa Sana kwenye kutafuta maana sote tunasota ilaa tunasema kesho tutafanikiwa
Leo kidogo nimewahi nipo kumi bora 😂😂😂
Never compare yourself with others...it might lead you into such temptations..."all are vanities"it will never ends well..#trust in the Lord your God..
SUBHANALLAH hizo swifa zashetani alio kutisha zinashabaha na masih wauongo atakuja na vyooote ivyooo alivyo kuonesha kwa ajili yakuapotosha waislam
Sema davist sikuhiz hacheleweshi part two
Mbona siioni
Ndio yuko mbele kama mfuko washat😂
@@rubyshamlaha2181 tayar
Amiin🤲
Ooh mungu atusaidie turidhike na kile kidogo tuko nacho na tusijilinganishe na watu ama marafiki wale matajiri ambao hatujuwi waliupata vipi pole mdogo wangu muombe mungu tu anaenda kuwatetea.
Kazi nzuri Davista lkn ningeshauri msimuliaji aachwe asimulie mtiririko mzima wa story bila kukatishwa labda kama kuna ulazima wa kuuliza ili kuelewa vizuri. Mawazo yangu tu bro
The richness has alot of secret aisee don't think the rich people got money for easy like that weng wao but not all have got their richness through superstition ways.ndo mana it is difficult for them to contribute charity
you are so right i thot africans were stingy kumbe its like this wonders!
Its true
Ur right dear
Asante kwa simulizi.
Mimi ni mkenya na penda sana show yako
Pamoja
Domo denda ametusua nimemuona sehem😂😂
Amekuwa star
Umemuona wapi😀😀😀😀
@@mariamdimosso621 😂😂😂😂😂😂
Af ukute aliambiwa na mganga arushe kisa tumsikilize atoboe maisha 😁😁😁😁ashindwe mwana kilinge yule.
@@khadijajuma7142 mh
Duuuuh, Mungu nisaidie nipate hela kwa kukutegemea wewe
Dunia na maajabu yake
Maisha haya kweli hakuna Mali unayo ipata kirahisi.kuua, kurawiti, Apo c unavunja amr za mungu.
JAMANI UTAJIRI UTATUONESHA MAMBO,KHEIRI NIFE MASIKINI 254
Kweli kabisa me wallah tajiri simtaman kabisa mana sijui huo utajili wake kaupatia wapi
Kabisa
Naridhika na maisha yangu matajiri wengi mali zao ni zanjia ya haraamu ndio waona hata kusaidia ndugu na kutoa sadaqa ni vigumu
Abdul Malik sasa
Acheni kutaka mali kwa njia ya short cut. Mganga hawezi kukupa utajiri pasi na kukutia madhila ndo kma ivo umuingilie babayako mara uuwe mzee au mtoto au ulale na mamayako vijana acheni tamaa.
😊😊😊✋️🤝👏shukran mkuuu kwa uelewahuyoooo makini.
Duuh pesa halali hata kama ni ndogo ni nzuri sana nimejifunza kitu asante @davistar
Sio ww tu me domo wala cmckilizi ye analeta story za kawaida sn katika c tunataka kitu binafc unajifunza kitu ni hayo kijana hongera kwa kaz nzur
Davistar mm tena ki2 kimoja unaporusha ki2 itakua ni vizuri ikiwa unasema eastafrica maana c watanzania tu ... kisha ushaanza na A.K.A ... kheri lkn... afadhali c domo denda Yule jamaa nimemchoka luv all da way from Qatar...✌
Hatamimi sitaki hata kumuona
Yes ofcoz. .
Hata mie huwa natamani kumpigia simu nimwambie...kuwa anatazamwa kutokea sehem mbalimbali hadi Ujerumani , sio Tanzania pekee...,! Ila unfortunately I don't have his number.
Davistar lete hiyo part 2 faster tujue mbivu na mbichi mapema.
Domo denda alishachemka yule hawezi kuwa tariri tena 🤣
Davista uko vizuri na story zako
Tuwe karibu Allah Jamani Naamin ukiwa Mwenye Khofu Ya Mungu haya Mambo Ya Ushirikina Utakuwa nayo Mbali sana
Waganga wote Mungu anawaona na na msipo tubu jehanamu itakuwa makao yenu 😢
M!!!!!!!! Uzitafute kwa Mateso kama hayo izo Mali unafikir utakuja kuzitumia kwa rahakweli??????? Kwanza nikuzidishia mitihani tu Eee mungu baba embu tunusuru sie waja wako.....
Daaa.. money doesn't came easy, whenever money has hidden people are dieying because of it who is you money till every body needs you
Duh noma sana
Big up bro
Waaaaah Noma
Part 2 please
Duh
Nakukubali Sana mwamba Devsatar mata nimejifunza mengi Sana kupitia vipindi vyako .na nimejifunza kua matajiri wengi Kuna kitu nyuma ya pazia .duuu naridhika na kidogo nikipatacho Cha mwingine sikitolei macho
Duh jamani hii noma acha kumlawiti baba. Maana kulawiti tu ni bonge la noma sasa tena unamlawiti mwanaume mwenzio km ww tena babayako mzazi dah.
Tamaa mbaya
Huamini mambo hayo yapo,ooo kwa Yesu ni raha
Ehhh nyoka anaongea,,uwiiiii🙆🙆🙆🙆🙆
Nilikuwa wa kwanz leoo hhhh
Allah atunusuru... Na tamaa muendelezo plz nasubiri kutoka Bahrain ✌️
+254 Uuu Utajiriii huuu Utajiriii balaatupu bora Uzaliwe na utajiri wakoambao Mungu amekutunukuu😥
Broo upo vzr xna bidii ndo mpango mzima
Acha tamaa omba mungu atakuezeshaaa
Mungu atunusuru...Part 2 pls
Wah!🙆♂️ Wacha nife maskini
Jmn heli masikini huru kuliko huo utajiri wa utumwa....ngoja nikaze mikono nisuguwe masinki ya warabu
Tafuta mike ingine msishare mike hivo
waganga wanalana na mungu anawasubir
Ni hatari ndugu mbona ume vumilia sana kupambana na masetani huko umesinda kupambana na mtihani ya myezimungu❓❓❓
Pt2 pliz, 😍
Vijana acheni tamaa je wewe ukifanyiwa hivyo unavyomfanyia baba yako uko tayari ?
Eee mungu kweli tamaa au shida inatupeleka mbali😭😭
🔥🔥🔥🔥
Mtangazaj ana wenge
Mashariti ya pesa chafu kiboko😭😅😅😅 Hivi unawezaje kudindisha kwa mwanaume mwenzako tena baba yako ..so sad😭😭😭pole lakini chakujua tu hakuna pesa rahisi
👍
Mm utajiri utakaa penmbeni,,,naridhika jamani nashkuru na alichonipa mungu,
Wangapi tunawaona na utajiri wameipata kwa njia kama hii?Mwenyezi mungu tu ndiye anayetupa mali bila masharti ya kiunyama kama haya.Tumuamini mwenyezi mungu.
Best kazi ziko poa kabisa sema tunataka uzimalizie kazi za nyuma umeziweka vipolo
Naridhika na nilichonacho,huo utajiri wa kwenda kulala msituni na kukabwa ,akaa sitaki
Mikasa hii ya kutisha Ina mafunzo, tatizo liko kwa muandaaji una haraka sana na kushindwa kufuata maadili ya ya uandishi kwa kutomaliza simulizi kitu kinachofanya wasomaji tukuone kanjanja
Mitihani yote hiyo hukukata tamaa 🤔 kweli shetani kesha kutaka 🤣🤣🤣
Naomba iki kipindi kishi ishi pleasa broh we watching u
Muendelezo part 2
Utajiri wote uko kwa Mungu..amenitendea mengi
Yaani after kufanyishwa uchafu woote mpaka wa kufira baba still unarudi bila utajiri
Give him a chance to explain himself, you ask too many questions interrupting the flow of the story
Pamoja brother
Mpaka hapo watu wanaomjua tayari wamemgundua
Subhanallah
UTAJILI WA MGANGA UKIFIKIRIA YY MGANGA MBONA HAJAWA TAJILI YAAN FIKIRIA TU HAPO NDIO UTAJUA WAGANGA NI SHETWANI KABISA
Huo utajiri ubaki hapo hapo loo njoo huku 🇧🇭🇧🇭🇧🇭🇧🇭🇧🇭kunautajiri halali kabisaa yani nguvu yako jasho lako lkn sio hiyo ya masauti yaajabu ✋✋✋✋✋mm bampar to
Bampar na mwarabu mpaka niwetajiri🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Part two please davista unakwama wapi baba??
Part 2 davista mata
Duh mkovizuri kwaku wahi
Jamaa tayari shida zishamuingia
😱
Hatari sana!!
Mnapatikana wapi ?
Am in 💪 Davy I thought unaleta part two ya Domo...🤔
Duh mbona hata ishamalizika ya part 4 hasa
😂😂😂😂ulikua jasili kweli duuu ukavumilia yote iyo
Uvivu wa kujituma na kuchaguwa kaz
Bro davista huyu jamaa umpe na kinywaji ..nahisi kinywa kimemkauka. ..
Duuh kum lawiti dingi duuh hii ngumu kumeza 🤔
vp part 2 buanaa curious kenyan
Davi unanifundisha nakuniogopesha maaaaa uuuuwiii😢😢
Sijachelewa wa213🙈
Stori zinakua nzuri lakini mbona hazina muendelezo? Mnazingua sasa.
1&2 mbona ipo
STORY IPO VIZULI NDUGU ZANGU . Kwaiyo tunaomba muendelezo wahii storia jameni
Mnamficha sura then unamuuliza jina what for
😭😭😭singe vumilia iyo mtihani 🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️
😥duh
Huu mkasa unaonakana ni balaa
Vijana tunakwama wap
😣😣
Leta vitu kaka kama hivi kaka
Taam sn
Mbona kama unasoma
daaavistar tafta mike ingine sai kuna magonjwa 🙄🙄🙄🙄🙄🙄 kushare sio vizur
Kweli kabisa sema East African, manake tunaowasikiliza tumetapakaa kote sawa
The cost of wealth is too high, kweli watu wana ujasiri
Ukitaka utajiri paka urambe taa
Tuzidi kuatafutaa pesa vijan wezangu kwa njia safe