Hii mada imenigu sana un kutaa mtu kavaa kanguo kafup mgongo asilimia kubwa upo waz anakwambia katoka kanisan me kweli hichi kitu napiga ad mwisho tena najua hakuna din inayoruuhusu mtu kuwa na nguo fupi popote ata filam hzo za Yesu hatujawa kuona mtu kavaa kanguo kafup ebu alienielewa ... a like apa
Hapo kwenye mawigi ni kweli kabisa. Angalia maisha ya kina Wema Sepetu,Gigi Money,Nandy,na wengineo wengi hasa wasanii wa Tasnia ya Bongo movie na Music industry,kuolewa ni kikwazo. Wanaishi maisha ya kikahaba bila aibu na wanaona ndo ujanja kumbe ni mapepo yanawasumbua.
Ni kweli kabisa mimi Ni shuhuda wa mawigi nk.Mungu aliponibadilisha na tabia chafu zote zikafa.Nlichoma mawigi nk ya ghali Sana ila sasa niko huru na nina furaga sana.
Si mara ya kwanza kusikia hii habari ya wig. Mimi napenda nywele zangu sana. Yesu alizoniumba nazo. Yaani nachukia mawig kabisa na sikujua sababu gani. Kumbe Yesu alikua ananiepusha na mapepo ya wig dah!!!
Allah amesema itakuja haqi nabatwil itajitenga. Leo mmesikia kwamba kujisitiri mwili wako mzima Ila uso na vitanga vya mikono. wanawake wote wanao tembea vichwa wazi sikati fupi au nguo fupi hao wote ni washirika wa masheitwani nawengi wanaigia katika sehemu za ibada kama kanisani wengi ni wigi staki fupi guo wazi bala juu ya balaa
Uislamu chini Ya profesar Muhammad (S.A.W) ilishayaonaga haya anayozunguza jamaa miaka Mingi sana iliyopita... Haki na Batili itajitenga na Mengi Yataonekana miaka hii...asee kwa mungu kesho Tutaona mengi sana
Njo mambo haya sio wale wengine wanaikalia kutudanganya eti wailenda mbinguni kumbe wanaenda kuzimu . Big up brother . Love from Australia 🇦🇺🇦🇺🇦🇺🇨🇩🇦🇺🇦🇺🇦🇺🇦🇺🇦🇺🇦🇺🇦🇺🇦🇺🇦🇺
Ni kweli kabisa Kuna haja ya kufanya Jambo kuhusu huyu Rwanda Magere ili kumwezesha aweze kujikimu katika maisha.Nimpe hongera kwani leo amependeza vya kutosha.
Kwel kuelezeka mtu ni kama umeshiliki asibanganywe na machozi ya watu kuelekeza Kwake kunamrudisha kulekule alipotoka yeye kama Mkrist aliyebadilika inabidi alijue hilo
Simpendi ata kidogo mwanamke wakujivika wigi aisee na chukia sana kwann unapenda huwe kama mtu mzungu wakati mzungu mwenyewe ana penda nywele asili za mwafrika ni upumbavu mtupu
Mr everything please please mwambie huyu jamaa asiwaelekeze yoyote kwa shetani Mungu atamuhukumu asiseme ati yeye hatalaumiwa awambie bila uwoga NO mfano ni kama vile mtu ameogoka anamtuma mtu kwa mganga kwaniaba yake hatakama yeye haendi kwa mganga kwa macho ya Mungu ana dhambi Mungu anamhesabia dhambi.kama kweli anamtegemea Mungu sasa basi awache kuelekeza watu kwa shetani.wacha walie hatakama watalia damu
Davistar Muulize Vipi bado Anawasiliana na shangazi yake yule Wa mwanza alio ambiwa na malkiya amtoe kafara!? Na je yule Dada Wa Arusha alimtafuta tena?
@@gosbertmuta5421 sikusikiliza story yake na sijui kwanini anaitwa mzee wa bakora, sihitaji kuulizwa ningeandika tu,Kuishi kwingi kuona mengi, Mimi nina miaka 60, nimeishi maisha na nimetembea dunia, wewe jifunze kwenye maisha yako, na useme nini ulicho vutiwa, usiniulize masuali, kama hayo, utafaidika nini Kwa kinacho nipendeza, au kunivutia? Huyo mchungaji anamuongelea Yesu kama ndio Mungu, Jee Maria atakua Mama Mungu?
Naomb kuuliza umesema tutumie mafuta ya nazi pure je kwa mafuta ya mise yanayotokan na (mchikichi) je unaweza kutumia pia? Maan unaweza kupikia hata kupaka sio mawese ni mise tunda za michikichi
Kwakweli mimi na tamaa ya ngoono kama leo nimesex na wanaume watatu tofauti yeeee kweli hili wigi lipo kichwani ndio linanipeleka ivi ngoja nichome
Yeeeeeeeeeee jamani uku kumenoga mzee wa bakora za kimkakati amerudi tena tufanye kitu kwa ajili yake jamani mbona stori yake inatubarki sana
Hakuna stori nilioopenda kama hi na nilimpenda sana huyu alisimuliz vizuri sana.
Kwa kweli
I know this was a real life story...but this was the best told story...voice,diction...good one...bakora za kikakati....hahahaha
Ndo maana sipendi miwigi + mikuchaa + mikope =Yaani chochote ambacho sio nilichoumbiwa sivipendiii 🙌🙌🙌
I live tha way you are . Big up sana
💖
Vzur
Kuwa natural raha sana kwakweli
Kweli lakini!!!
Watu nadhani tulienjoy sana story tukamsahau muhusika. Nikiwemo pia jamani vista weka number yake tena. Wenye nia njema njooni tumsaidie.
Hata uislamu haumruhushu muislamu kunyoa nywele.
Akina dullivan wavaa mawigi 😀😀😀😀
We mwenyewe huvai
@@gosbertmuta5421 sijawahi kuvaa na hata bei yake siijui Alhamdulillah Allah kaniruzuku nywele amazing masha Allah
@@pili3750 pili🤣🤣🤣🤣 wow mwanamke wa tofaut we au mzanzbar
Hii mada imenigu sana un kutaa mtu kavaa kanguo kafup mgongo asilimia kubwa upo waz anakwambia katoka kanisan me kweli hichi kitu napiga ad mwisho tena najua hakuna din inayoruuhusu mtu kuwa na nguo fupi popote ata filam hzo za Yesu hatujawa kuona mtu kavaa kanguo kafup ebu alienielewa ... a like apa
Na wamekuwa wakifunika vchwa vyao kwa kutumia nguo
Next time host zablon please.big up young man.
Hapo kwenye mawigi ni kweli kabisa. Angalia maisha ya kina Wema Sepetu,Gigi Money,Nandy,na wengineo wengi hasa wasanii wa Tasnia ya Bongo movie na Music industry,kuolewa ni kikwazo. Wanaishi maisha ya kikahaba bila aibu na wanaona ndo ujanja kumbe ni mapepo yanawasumbua.
Christina shusho anayavaaga sana
Ni atari
Kwakweli asante san kaka maana ma wigi njo inakua nywele zasasa niatari kwakweli Mungu atusaidie
Akuna stry niliependa kama hii jamaa anajua kusimulia..jamà la mabakora😅😅😅💪
Ni kweli kabisa mimi
Ni shuhuda wa mawigi nk.Mungu aliponibadilisha na tabia chafu zote zikafa.Nlichoma mawigi nk ya ghali
Sana ila sasa niko huru na nina furaga sana.
KABISA KABLA YA KUMUOMBA MUNGU CHOCHOTE KWANZA YATUPASA TUMJUE KWANZA MUNGU WETU
Suz way mama alinikataza kuvaa mawingi + makucha+makope ya bandia. Hakika new life in Christ nimatam
Duh afazal umemleta tn🥰 ndomaana nakupendaga Mr DM❣️
Si mara ya kwanza kusikia hii habari ya wig. Mimi napenda nywele zangu sana. Yesu alizoniumba nazo. Yaani nachukia mawig kabisa na sikujua sababu gani. Kumbe Yesu alikua ananiepusha na mapepo ya wig dah!!!
Hongera
Kumbe!!! Ni kweli hupendi kwasababu hauna hela au ukipata hela utakuwa unatisha na utanunua Yale ya laki sita kama wakina wema
Karibu mzee was mademu wa kimataifa
Allah amesema itakuja haqi nabatwil itajitenga. Leo mmesikia kwamba kujisitiri mwili wako mzima Ila uso na vitanga vya mikono. wanawake wote wanao tembea vichwa wazi sikati fupi au nguo fupi hao wote ni washirika wa masheitwani nawengi wanaigia katika sehemu za ibada kama kanisani wengi ni wigi staki fupi guo wazi bala juu ya balaa
jifunze kwanza kuandika sheikh ndo uje na huo ushauri wako
@@estermosha1985 wengi wa watu wamenielewa Ila wewe hukunielewa. inshaAllah siku nyegine utanirlewa
Usmshike kipofu mkono mwache mwache kabsa maana
Nakuvaa manguo meusi na mekundu ni ma uchawi pia
Mashaallah ujumbe umewafkia kwakwel shukran Sana mung akulipe kwa elimu hii
🤸🤸🤸🤸🏋️🏋️🏋️🏋️ fimbo za Kimkakati..
Naomba atuambie namna ya kupata hiyo ya mkakati. Nimekubali Sana story YAKO. 👏👏👏👏
mwambie fanya kazi wacha za rahisi
Tsio watu wote tutafute pesa..
Hiyo yote kuhusu wiggy ni ukweli kabisa, mapastor wengi wameiongelea.
Dulvani ndiye mwanaume anayevaa mawigi na jot
Yes ni kweli bhana
😆😆😆😆 kweli
Uislamu chini Ya profesar Muhammad (S.A.W) ilishayaonaga haya anayozunguza jamaa miaka Mingi sana iliyopita...
Haki na Batili itajitenga na Mengi Yataonekana miaka hii...asee kwa mungu kesho Tutaona mengi sana
Mzee wa bakora welcome back
History zuri sana hongera Sana Brother Lwanda magere.
Hilo la mawigi nalikubali kwa %100) Wigi zinavuruga sana wanawake!
Hey davista thank you to bring that guy back we love him
kama umemuna tena mzee wa bakora za mkakati liki 👎zake hapa
😀😀mzee wa bakora za MIKAKATI😀😀😀
Woyoooooooooooo my love lwanda magere kaja tena 😍😍😍😍😍
Woyooo tusharudi kwa mzeee chibalondaaa,,,💃💃💃 bado gamboshi sasa
Amependeza Leo mzee wa bakora 😀😀😀
Naa nilimiss.... 🍆
@@Teacher_01 😀😀😀
@@somoeawadh7774 😂😂😂
@@Teacher_01 😂😂😂😂
Nimegunduwa davister anatumia ugoro nimeucheki mdomo wake siuelewi kabs😂😂😂😂😂
Jamani wew kaka
@@martinandugai2340 😂😂😂
@@martinandugai2340 mh
Mhhhhh hahaaaaaa not true
Yesu nakupenda mimi...
Kaka davistaaa we ni mtu makini san, had rwand magere big up sana we luv you
Kweli maneno yako mawigi ni mashetani pia mwanamke akijisitri anapendeza zaidi asante Davistar Mwenyezi Mungu akulinde
Hata walie namna gani usiwaelekeze maana utakuwa unafanya kazi ya shetani kupeleka watu jehanam,fanya kazi ya Mungu kuwatoa watu huko.
Big up uchawi. Nimemkubali sana Mungu bonge
Wooooooooy nimechelewa wapi jama kuja Kumvew mzee wa bakora za kimkakati 😂😂😂😂😂😂
Njo mambo haya sio wale wengine wanaikalia kutudanganya eti wailenda mbinguni kumbe wanaenda kuzimu . Big up brother . Love from Australia 🇦🇺🇦🇺🇦🇺🇨🇩🇦🇺🇦🇺🇦🇺🇦🇺🇦🇺🇦🇺🇦🇺🇦🇺🇦🇺
Ni kweli kabisa Kuna haja ya kufanya Jambo kuhusu huyu Rwanda Magere ili kumwezesha aweze kujikimu katika maisha.Nimpe hongera kwani leo amependeza vya kutosha.
Sku ile shati mpk tulilichoka
Kabsa
Huyu jamaa anakili sana, dunia imemfunza
😅
Mzee wa bakora yupo fteesh amependeza.
Usielekeze mtu kwenda gizani plz....
Kwel kuelezeka mtu ni kama umeshiliki asibanganywe na machozi ya watu kuelekeza Kwake kunamrudisha kulekule alipotoka yeye kama Mkrist aliyebadilika inabidi alijue hilo
@@tonnyg5304 you are right,,,ni kama kupatia mtoto kisu ajiue eti kwa sababu amekililia!
Wanalazmisha Sasa afanyeje hata ningekua mm ningeelekeza
@@gosbertmuta5421 hakuna,
mtu mzima halazimishwi,
Tena ukiwa na msimamo kamili,you will focus on your decision no matter what!
ZABRON TUNAMTAKA TENA DAVISTAR
Natamani sana kujua anaendeleaje 😭😭
Hapo kwenye Ngono ni 10000%% Mawigi ndio yalivyo always
mr bakora za mikakati wellcome back.bt uwache kusifia mambo za gizani msifu Yesu
Napenda kazi zako
Duh pamoja na somo kubwa lakin kumbe kuna watu wanataka kwenda kutafuta utajiri kwa mzee Nchibalonda 🤣
mtihani mkubwa mno .
Bakora za kimkakati 💪
Mzee wa Bakora 👍 karibu tena 👍
Asante Kwa kumrudisha......mafunzo nayapata 🇰🇪🇰🇪
Jamaaa yuko vzr sana
Okoka Magere Mungu ana mpango kukutoa kule
Simpendi ata kidogo mwanamke wakujivika wigi aisee na chukia sana kwann unapenda huwe kama mtu mzungu wakati mzungu mwenyewe ana penda nywele asili za mwafrika ni upumbavu mtupu
Upo km mm mke wangu nilimpgaga malifuku zamaaaaani
Haise inatisha kumbe kuna watu wanamsumbua mzee wa bakora xa kimkakati awaelekeze maali alipopata utajiri wa nguvu za giza,
content i enjoy thanks for this im waiting to hear how he found God
Karibu sana mzee wa bakora za kimkakati
We Rose weweee! unafurahia bakora? Shauri ako🙈🙈🙉🙉
🤣🤣🤣
Tuko pamoja mzee wa Bakora za kimkakati
Karibu Sana magere
CHAWA EVOQUE WA davistar Nimeazima simu leo sina bando lakini account sio yangu
Umependeza Sana..na kunawiri..Mungu akupiganie zaidi
Hivi kiswahili hamkijui au vip kujishaua na kiingereza Cha kuunga unga.
The story we like
Next
Kumekucha tenaaaaah mko wapi wangu
Gooood
Asante Luanda Magere umetoa maelezo mazuri sana
Mawigi ya wadada zetu yanakuwaga na spirit of lust (pepo wa ngono)na pride (majivuno)yote hayo matokeo yake ni MOTONI
Nakukubali sana mtu makini kabisa mr fact
Hapo kwenye mafuta mwamba utagusa pabaya maana hapa dar ni baraa
Mr everything please please mwambie huyu jamaa asiwaelekeze yoyote kwa shetani Mungu atamuhukumu asiseme ati yeye hatalaumiwa awambie bila uwoga NO mfano ni kama vile mtu ameogoka anamtuma mtu kwa mganga kwaniaba yake hatakama yeye haendi kwa mganga kwa macho ya Mungu ana dhambi Mungu anamhesabia dhambi.kama kweli anamtegemea Mungu sasa basi awache kuelekeza watu kwa shetani.wacha walie hatakama watalia damu
Hapa nimeingia haraka haraka sana ningonje bakora mkakati
Afadhali tupo na mzee wa bakora
Story nzuri sana ✨
my wangu upo vizuri...kila story haikupiti
@@estermosha1985 ok my dear thanks 💯
Rwnda magele tuli kumis mzee wabakala😁😁🙏
Mwanamke wa leo uchome wigi lake 🤣🤣🤣kwa kwel hamuez kuelewana kwa kwel
Ngumu sana kuelewa
huyu kaka hatar kwa kueleza wallah.mungu akuongoze kwa kila jambo mana unatufundisha mengi sana bila kujali dini.
Huyo ndiye mwenye stori bora toka amalize sijawahi kusikia stori nzuri tena saluti kwako 👍👍
Mfano mm zilirushwa nyiiingi baada ya hii Lkn niliishia kuangalia ya mdada mkenya yule lkn sjaimaliza maana spat mssmko km hii ase
Watu akili zao zina mafuta ya taaa kweli shida zote za mzee wa bakora na nyinyi mnazitaka du noma
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂yaan watu ni waajabu sana kwa kweli yaan unalilia kuzimu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@@pili3750 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Huyu jamaa ni muongo sana anataka kupiga tu hela kilungu hayupo Hugo mzee
Davista punguza sauti ya hiyo beat
Oyaaaaaaaa ageuke bas ila mm nishmjuwaaaa
Ukmjua we inatosha
Huyu n mzee wa bakoraa zakimikakati😅😅
Mzee wetu welcome back
Mzee wabakoraaa Karib san
Uyu bro kwenye mawiki apo yuko sawa kabisa
Mawiki au mawigi
Bakora za Kimkakati..hahahaaaa
Kwa kweli ametusaidia sana kujuha mengi ya nguvu ya giza asante sana
Huyu ni ule wa Fimbo za kimkakati 🙏🙆
Hahaha
Watatu Leo 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
kesho utakuwa wa kwanza
Kwani hayo mafuta ndio haiwezekani kuwekwa vitu vya kishirikina
Namm nawauliza je mnaendaga kanisani kumjua mungu au mpate matakwa yenu
More fire mzee wafimbo zakimkakati
Davistar Muulize Vipi bado Anawasiliana na shangazi yake yule Wa mwanza alio ambiwa na malkiya amtoe kafara!? Na je yule Dada Wa Arusha alimtafuta tena?
Safi sana hayo miwigi ni kweli yapo na mapepo, alafu pia mafuta ya Al Zeit Zaitun(Olive Oil) mazuri sana
Mi naomba unisaidie tu ile dawa ya babu Nchibalonda ya bakora za kimkakati.Hawa wadada wa siku hizi hawatosheki aisee😄😄😝. Kidding!
wacha kuamini uchawi mno
Yaani Hatari.
@@valentinandukuvalentinandu4779 Huelewi maana ya Kidding??
@@valentinandukuvalentinandu4779 Ile dawa sio ya uchaw kuongeza nguvu tuu lkn pia sio vzr
Nichek kaka me ninayo hahaha 😆
Nimependa vile anavyo kisema kiswahili fasaha, ni mfano kwa watanzania wale wanaotaka kubadili lugha yetu nzuri.
kabisaaaa
Said sema kingne ulichovutia nacho kwa mzee wa bakola
@@gosbertmuta5421 sikusikiliza story yake na sijui kwanini anaitwa mzee wa bakora, sihitaji kuulizwa ningeandika tu,Kuishi kwingi kuona mengi, Mimi nina miaka 60, nimeishi maisha na nimetembea dunia, wewe jifunze kwenye maisha yako, na useme nini ulicho vutiwa, usiniulize masuali, kama hayo, utafaidika nini Kwa kinacho nipendeza, au kunivutia? Huyo mchungaji anamuongelea Yesu kama ndio Mungu, Jee Maria atakua Mama Mungu?
Naomb kuuliza umesema tutumie mafuta ya nazi pure je kwa mafuta ya mise yanayotokan na (mchikichi) je unaweza kutumia pia? Maan unaweza kupikia hata kupaka sio mawese ni mise tunda za michikichi
Yanaitwa mawese sio mise