ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
Masha Allah dada anahadithia vizuri sana.
Ulinichekesha sana ulipo kuwa Arusha. Eti...hujazoea baridi, vijana laini laini kutoka Dar!😅😅😅
@@sweetie6934 😂😂😂.....na mie ndiyo maana nimecheka kweli kweli. Davista na mautani tani yake. 😅😅😅
Tuned in from kanairo 🇰🇪
Your welcome 🇹🇿
Daaaaah mbozii huko nimesoma shulee huko Mbozi mission high school, unanikumbusha mbalii
Hiyo story inaendana naya kwangu mpaka nikaitwa mchawi kwenye familiar
Mkabidhi Yesu maisha ufunguliwe na uwe huru
Bro hiyo sehem naifaham Sana mm Niko mkwajun songwe hapa
Davista Big Up story nzuri Sana imepata anayejua Kuadithia.
Mwenyezi Mungu tafadhali SAIDIA WATU WAKO ili WAKUJUE WEWE VYEMA. Utawaepusha na mengi!
Davista io sauti ya nyimbo iko juu sana teremsha kiasi
This world truly we are passing by have God all the way , spiritually evil is always around us as well 🙏🏾🙏🏾
Kavaa shuka kutoka mbingun istoria nzur sana
Subhanaallah mungu wangu tusitili yaarabi namambo ya duniani 🙏🙏🙏🙏Ameen
N,6 Bora together na Mr dm Mr everything 💪🇹🇿
Sawa sawa
Huyu dada anaongea poa na haraka vile inaijua, wengine ni wa slow unaboeka
hiyo advert iko sawa sana hehe
Team kujiamini mupo 🥰
Somoe upo fasts
@@hamadimwinyi2146 Sindio
Tupoo
@@somoeawadh7774 my naona kila sehem upo km mm naona like zko
@@fatmamcha1574 Nipo darling
Yani anachanganya waganga na Mungu umoumo duh kweli Mungu muumba vyote.
Story nzuri sana ✨
Upo mbeya sehem gani kalibu kwangu kaka
Mambo ni mengi.nimecelewa lkn nipo. Tuendelee mr DM.
'Kesho hakuna aijuae'
We mwandish punguza maongez
Kigoda🙆♂️kiswahili ngumu kwel
Huyu wa leo hadi raha,muwaziiiiii
Kaka davistar mwambie atuhisie hiyo michanjo ya corona inann mana tunalazimishwa kuchoma chanjo hata hatuilewi
Duuu kwetu uko jamani
Pamoja sana bro
😂😂😂😂nilivyomuoga Moto ungeunguza akili zote am sure
Safi broo
Wa mwisho jamani 😭😭 but tuko pamoja
Davistar hana mbavu kusikia mtu anatokoota
Davistar. Vaa mask hali tete brother
Nitaisikiza kesho sahii usiku natishika na hicho kichwa cha simulizi
Tunasonga mbele mungu awe nasiiiii
Sauti yamziki inakera
Dada anavyosema eehe namkumbuka Zabron
Alhamdulillah w mwishoo😥😥😥😥🇪🇭🇪🇭🇪🇭🇪🇭
Pole sana wangu
@@philipoluzege3200 Asante wngu😘😘😘😘😘😘😘
Nimependa story dada anajua kuelezea
Natami nisikilinze story za davstar ila simu inaniuminza sana kichwa naxhindwa nikisikia tu kitu kwa sikio mixhipa ya kichwai nasimama
Mungu wa mbinguni akuponye kwa jina la Yesu sema amina uwe huru toka sasa
@@foncetecelectricalandelect34 sina imani nayo hata nikiitikia kazi bure
Nyie naogopa Ila naskilz ivyo ivyo loh 🙆naomb mtu aje tulale wote
😂😂😂😂😂😂
@@ayshamahariq6665 huendi lala nae mmh mi pia namtafuta mke wangu nikalale nae tusikilize looh uko wapi dear wife
@@jongoathumani3690 Hakuna kulalaa
TWENDE KAZI
Dm usichok tupo kukusapoti kazi yko inaonekan itaonekan utfk mbali kk
Davista matar karibu Mbozi yetu yenye matukio yakutisha
Duh! Ukistaaajabu ya Musa utaona ya firauni 🤔
Hiyo mtu kuchemshwa ni kweli nimeshashuhudia
Hii story inaonesha ni bam bam
santa
😘😘😘
Aisee bonge la story
Umechelewa kutuleyea mikasa
🤨🤨🤨
Yaani ww hd umepikwa..mwenzio naona zaman hivo..ni mtihani kwa kweli
Bora umeachana na kale ka bint kanaonekana Kama stor nzur lkn hakaez kuongea
Yule anaogopa na anatuharibia bundles bure
Binti amenyooka
Atari 😳😳
Kiti moto
Duuu🤔🤔🤔
Masha Allah dada anahadithia vizuri sana.
Ulinichekesha sana ulipo kuwa Arusha. Eti...hujazoea baridi, vijana laini laini kutoka Dar!😅😅😅
@@sweetie6934 😂😂😂.....na mie ndiyo maana nimecheka kweli kweli. Davista na mautani tani yake. 😅😅😅
Tuned in from kanairo 🇰🇪
Your welcome 🇹🇿
Daaaaah mbozii huko nimesoma shulee huko Mbozi mission high school, unanikumbusha mbalii
Hiyo story inaendana naya kwangu mpaka nikaitwa mchawi kwenye familiar
Mkabidhi Yesu maisha ufunguliwe na uwe huru
Bro hiyo sehem naifaham Sana mm Niko mkwajun songwe hapa
Davista Big Up story nzuri Sana imepata anayejua Kuadithia.
Mwenyezi Mungu tafadhali SAIDIA WATU WAKO ili WAKUJUE WEWE VYEMA. Utawaepusha na mengi!
Davista io sauti ya nyimbo iko juu sana teremsha kiasi
This world truly we are passing by have God all the way , spiritually evil is always around us as well 🙏🏾🙏🏾
Kavaa shuka kutoka mbingun istoria nzur sana
Subhanaallah mungu wangu tusitili yaarabi namambo ya duniani 🙏🙏🙏🙏Ameen
N,6 Bora together na Mr dm Mr everything 💪🇹🇿
Sawa sawa
Huyu dada anaongea poa na haraka vile inaijua, wengine ni wa slow unaboeka
hiyo advert iko sawa sana hehe
Team kujiamini mupo 🥰
Somoe upo fasts
@@hamadimwinyi2146 Sindio
Tupoo
@@somoeawadh7774 my naona kila sehem upo km mm naona like zko
@@fatmamcha1574 Nipo darling
Yani anachanganya waganga na Mungu umoumo duh kweli Mungu muumba vyote.
Story nzuri sana ✨
Upo mbeya sehem gani kalibu kwangu kaka
Mambo ni mengi.nimecelewa lkn nipo. Tuendelee mr DM.
'Kesho hakuna aijuae'
We mwandish punguza maongez
Kigoda🙆♂️kiswahili ngumu kwel
Huyu wa leo hadi raha,muwaziiiiii
Kaka davistar mwambie atuhisie hiyo michanjo ya corona inann mana tunalazimishwa kuchoma chanjo hata hatuilewi
Duuu kwetu uko jamani
Pamoja sana bro
😂😂😂😂nilivyomuoga Moto ungeunguza akili zote am sure
Safi broo
Wa mwisho jamani 😭😭 but tuko pamoja
Davistar hana mbavu kusikia mtu anatokoota
Davistar. Vaa mask hali tete brother
Nitaisikiza kesho sahii usiku natishika na hicho kichwa cha simulizi
Tunasonga mbele mungu awe nasiiiii
Sauti yamziki inakera
Dada anavyosema eehe namkumbuka Zabron
Alhamdulillah w mwishoo😥😥😥😥🇪🇭🇪🇭🇪🇭🇪🇭
Pole sana wangu
@@philipoluzege3200 Asante wngu😘😘😘😘😘😘😘
Nimependa story dada anajua kuelezea
Natami nisikilinze story za davstar ila simu inaniuminza sana kichwa naxhindwa nikisikia tu kitu kwa sikio mixhipa ya kichwai nasimama
Mungu wa mbinguni akuponye kwa jina la Yesu sema amina uwe huru toka sasa
@@foncetecelectricalandelect34 sina imani nayo hata nikiitikia kazi bure
Nyie naogopa Ila naskilz ivyo ivyo loh 🙆naomb mtu aje tulale wote
😂😂😂😂😂😂
@@ayshamahariq6665 huendi lala nae mmh mi pia namtafuta mke wangu nikalale nae tusikilize looh uko wapi dear wife
@@jongoathumani3690 Hakuna kulalaa
TWENDE KAZI
Dm usichok tupo kukusapoti kazi yko inaonekan itaonekan utfk mbali kk
Davista matar karibu Mbozi yetu yenye matukio yakutisha
Duh! Ukistaaajabu ya Musa utaona ya firauni 🤔
Hiyo mtu kuchemshwa ni kweli nimeshashuhudia
Hii story inaonesha ni bam bam
santa
😘😘😘
Aisee bonge la story
Umechelewa kutuleyea mikasa
🤨🤨🤨
Yaani ww hd umepikwa..mwenzio naona zaman hivo..ni mtihani kwa kweli
Bora umeachana na kale ka bint kanaonekana Kama stor nzur lkn hakaez kuongea
Yule anaogopa na anatuharibia bundles bure
Binti amenyooka
Atari 😳😳
Kiti moto
Duuu🤔🤔🤔
Sawa sawa
Sawa sawa