Naona sherehe za kizimkazi zinafanyika Zanzibar ila wasaa wa Tanganyika watupu hakuna mzaznibari hata mmoja hata waimba Taarabu zaidi ya mzanibari wa Daimond ambae hatukai nae Zanzibar waleteni wasanii wa Zanzibar pia hata waimbaji taarab ili tuone muungano sawa mnajipendelea wasanii wenu wa kizazi chenu kipya tu
Tunaambiwa tunatangaza nchi au tunatangaza sehemu alipozaliwa samia huu ni ufujaji mkubwa wa pesa za nchi ambazo tunaenda kila siku kuziomba kwa wazungu Leo maadili Ya kizanzibar yameendelea kuharibu siku baada Ya siku ulevi na music ndio imekuwa hali yetu Zanzibar Leo imekuwa chaka la kufanyia ngono kila mzinifu pakujifichia ni Zanzibar
Naona sherehe za kizimkazi zinafanyika Zanzibar ila wasaa wa Tanganyika watupu hakuna mzaznibari hata mmoja hata waimba Taarabu zaidi ya mzanibari wa Daimond ambae hatukai nae Zanzibar waleteni wasanii wa Zanzibar pia hata waimbaji taarab ili tuone muungano sawa mnajipendelea wasanii wenu wa kizazi chenu kipya tu
Ovyooo sana Kodi zetu hizo dar
Tunaambiwa tunatangaza nchi au tunatangaza sehemu alipozaliwa samia huu ni ufujaji mkubwa wa pesa za nchi ambazo tunaenda kila siku kuziomba kwa wazungu Leo maadili Ya kizanzibar yameendelea kuharibu siku baada Ya siku ulevi na music ndio imekuwa hali yetu Zanzibar Leo imekuwa chaka la kufanyia ngono kila mzinifu pakujifichia ni Zanzibar
Nyimbo.ali imba zuchu bwana ya magu❤❤
Nchi ngum sana hii An watu wanatesk wengne wana shereh Duuh Mungu anatuon Tz
👍
Yani anaangalia show anaacha kuskiliz wananchi wanashida gani Duuuh nchi ngum sana hii Yani uyo konde anavomsifia hapo anaona raha pumbavu sana
Kipipa kimedondoka😂😂
Pole bro hio hutokea but next time just b careful
Jipigieni mihela vijana
Nakubl
Harmonize kaishiwa kabisa
Huyu hana style nyengine ya kucheza
Hajui kucheza
Ana angushwa na nini? Madeni ya CRDB wewe ununulie kila mwanamke gari unajifamya sultani wa brunei,. Mshamba sana dogo.
Wenu na mama yako
I. Know this movie it's called the boy
Mh mngejuwa mtaani hatumkubali
Wewe rajabu hapo uko kimaslahi wewe ulikuwa wa magufuli wewe
Sasa ulikuwa unataka amfate huko makaburini au