HARMONZE ADONDOKA STEJINI - RAIS SAMIA ACHEKA - MWINYI NAYE HOI - TAZAMA ALICHOKIFANYA....

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 20

  • @user-yx3ic8zy9e
    @user-yx3ic8zy9e 18 วันที่ผ่านมา +2

    Naona sherehe za kizimkazi zinafanyika Zanzibar ila wasaa wa Tanganyika watupu hakuna mzaznibari hata mmoja hata waimba Taarabu zaidi ya mzanibari wa Daimond ambae hatukai nae Zanzibar waleteni wasanii wa Zanzibar pia hata waimbaji taarab ili tuone muungano sawa mnajipendelea wasanii wenu wa kizazi chenu kipya tu

  • @mohamedkisenga6654
    @mohamedkisenga6654 18 วันที่ผ่านมา +2

    Ovyooo sana Kodi zetu hizo dar

  • @jituakilimali15
    @jituakilimali15 18 วันที่ผ่านมา +3

    Tunaambiwa tunatangaza nchi au tunatangaza sehemu alipozaliwa samia huu ni ufujaji mkubwa wa pesa za nchi ambazo tunaenda kila siku kuziomba kwa wazungu Leo maadili Ya kizanzibar yameendelea kuharibu siku baada Ya siku ulevi na music ndio imekuwa hali yetu Zanzibar Leo imekuwa chaka la kufanyia ngono kila mzinifu pakujifichia ni Zanzibar

  • @EdnaJohn-c5x
    @EdnaJohn-c5x 18 วันที่ผ่านมา +6

    Nyimbo.ali imba zuchu bwana ya magu❤❤

  • @user-xp4re6tv8l
    @user-xp4re6tv8l 18 วันที่ผ่านมา +1

    Nchi ngum sana hii An watu wanatesk wengne wana shereh Duuh Mungu anatuon Tz

  • @ebrahimosman5477
    @ebrahimosman5477 18 วันที่ผ่านมา +1

    👍

  • @TidoThefuture-fh4gj
    @TidoThefuture-fh4gj 18 วันที่ผ่านมา +1

    Yani anaangalia show anaacha kuskiliz wananchi wanashida gani Duuuh nchi ngum sana hii Yani uyo konde anavomsifia hapo anaona raha pumbavu sana

  • @user-rw2mm1jk6o
    @user-rw2mm1jk6o 18 วันที่ผ่านมา +2

    Kipipa kimedondoka😂😂

  • @patelokoh5828
    @patelokoh5828 18 วันที่ผ่านมา +1

    Pole bro hio hutokea but next time just b careful

  • @user-ji1mq4sk1n
    @user-ji1mq4sk1n 18 วันที่ผ่านมา +2

    Jipigieni mihela vijana

  • @HasanOmar-c3p
    @HasanOmar-c3p 17 วันที่ผ่านมา

    Nakubl

  • @user-nf1tg3kt3y
    @user-nf1tg3kt3y 18 วันที่ผ่านมา +2

    Harmonize kaishiwa kabisa

  • @Nuru8700
    @Nuru8700 18 วันที่ผ่านมา +2

    Huyu hana style nyengine ya kucheza

  • @DavidSemu-gu6wp
    @DavidSemu-gu6wp 18 วันที่ผ่านมา +1

    Ana angushwa na nini? Madeni ya CRDB wewe ununulie kila mwanamke gari unajifamya sultani wa brunei,. Mshamba sana dogo.

  • @wilsonwafulachebokati4933
    @wilsonwafulachebokati4933 18 วันที่ผ่านมา +2

    Wenu na mama yako

  • @mgawemwasiti6551
    @mgawemwasiti6551 18 วันที่ผ่านมา

    I. Know this movie it's called the boy

  • @wilsonwafulachebokati4933
    @wilsonwafulachebokati4933 18 วันที่ผ่านมา

    Mh mngejuwa mtaani hatumkubali

  • @ronaldgaudensi
    @ronaldgaudensi 18 วันที่ผ่านมา +3

    Wewe rajabu hapo uko kimaslahi wewe ulikuwa wa magufuli wewe

    • @mbaroukally8655
      @mbaroukally8655 18 วันที่ผ่านมา

      Sasa ulikuwa unataka amfate huko makaburini au