Asee 🙌 hii ishu ilikuwa inaenda kunikuta ila wamenifilisi kwanza na wakadai wanataka kunipa pesa zao yaan majini ila nimewakataa na baada ya kuwakataa wakasema wataniua endapo nikirudi Tz na family yangu 😢yaan ndugu zangu mniombee nimeokok na yamejuwa naomba Mungu anisaidie nivuke hili pia mwenye anajuwa mtumishi wa kweli wa Mungu naomba anisaidie namba nipate msaada Zaid wa maombi
@@Catherine-mh8sw ndiyo maan huyo mganga alikuwa shekhe na nahis nimeimgizwa kwenye hili Kwa kusudi maalumu nikiwaza mapito yangu ya nyuma naona kabisa nilikuwa nafatiliwa juu ya rizki yangu,Majin yenyewe yanasema sisi tunaswali na Mungu tunamjuwa yaan tafran nikaona hapa kuokoka ndiyo njia sahihi saiv hawanitafuti na nimesumbuliwa miaka 4 na miezi 5 sijawai kuona pesa hata mia mbovu zote wanachukua na nikama ufahamu sikuwa nao maan hata family nilisahau kabisa nao hawanitafuti ndugu yangu ACHA tu ila Mungu aliyehai yupo nitavuka namtumainia yeye pekee
Shetani ni muongo na tena anajiita kwa majina mengi, mizimu, majini, n.k. you name them all are his name. He is one created being naming himself with many names. Hakika kitu moja tunapaswa kujua ni kwamba Shetani hana furaha na hivyo basi nawezi kukupa furaha. Mali anazokuahidi hayo ni yale mazingaombwe yake ambayo atayafanya mpaka siku Yesu atakaporudi. Ni yale yale mazingaombwe aliyoyafanya kwa Saul kum impersonate Samwel. Hata kama ungemtukia kwa uaminifu mwisho wa siku atakuua na akishindwa kukuua basi atakutumikisha na kuhakikisha anaidhalalisha ile sura ya mfano wa Mungu iliyomo ndani mwako mpaka hapo Mungu atakaporuhusu unalale kusubiria siku ile ya hukumu aidha kuishi au kufa milele…
davistar mbona huulizi maswali mfano ungeweza muuliza je kadri kila wakati ndugu zake wanakufa je majirani au watu walikuwa hawastuki majirani walikuwa hawajiulizi kwanini watu wanakufa kila mwaka au hata watu kuhisi je hawakuwahi kusikia watu wakijiuliza hasa majirani,,, uliza ili swali
Kijana wa hovyo kabisa huyu....mwenye tamaa mbaya, baba mwenyewe alijitoa kafara mwenyewe, lenyewe linaua ndugu zake kirahisi kwa tamaa zake mwenyewe....fyuùuu!
Asee 🙌 hii ishu ilikuwa inaenda kunikuta ila wamenifilisi kwanza na wakadai wanataka kunipa pesa zao yaan majini ila nimewakataa na baada ya kuwakataa wakasema wataniua endapo nikirudi Tz na family yangu 😢yaan ndugu zangu mniombee nimeokok na yamejuwa naomba Mungu anisaidie nivuke hili pia mwenye anajuwa mtumishi wa kweli wa Mungu naomba anisaidie namba nipate msaada Zaid wa maombi
@@Catherine-mh8sw ndiyo maan huyo mganga alikuwa shekhe na nahis nimeimgizwa kwenye hili Kwa kusudi maalumu nikiwaza mapito yangu ya nyuma naona kabisa nilikuwa nafatiliwa juu ya rizki yangu,Majin yenyewe yanasema sisi tunaswali na Mungu tunamjuwa yaan tafran nikaona hapa kuokoka ndiyo njia sahihi saiv hawanitafuti na nimesumbuliwa miaka 4 na miezi 5 sijawai kuona pesa hata mia mbovu zote wanachukua na nikama ufahamu sikuwa nao maan hata family nilisahau kabisa nao hawanitafuti ndugu yangu ACHA tu ila Mungu aliyehai yupo nitavuka namtumainia yeye pekee
Kama wewe ni mu christo amini Yesu na usali sana ukijitakasa na damu ya Yesu watakuogopa nawasikuogopeshe wao hawana nguvu nikukutisha tu!!
@@nyambochristelle7640 ameni
Nipe namba yako nikuunganishe na mchungaji,
Yesu hawez kukutupa
Story kma izi ndo nzuri Mr devistar
Karibu sana kijana wetu tujifunze kutoka kwako
Vijana tupunguze tamaa mali zisokua na fulaha zanini wadogo zangu Amumuogopi mungu 🙆♂️😭🇹🇿🇬🇷⛴⚓
davistar bado hujasemaa yaan mpaka usemee!
Shetani ni m baya sana hata ujitowe mwenyewe bado ataifwata family yako dahi😢
Mungu atusaidie sana, pesa za shetani ni hatari sana jamani
Ila usukumani hpn aisee,,,, 😢😢😢 ndio maana wasukuma ukiwatazama kila sehemu wana chale chale tu,,,,,
Umeonaeeeeh kazi sana
😂😂😂😂😂
@@lujuomjanja2866 yaan we acha tu
Lakini wengi ni watumishi wa Mungu
@@rerisamba kumbe wasukuma wengi ni wa kristo?
Yani heri babako alijikufia mwenyewe kuliko wewe
Mizimu ni ushetani na Haina maana yoyote
Mwanza bhn Kuna pesa nyingi sana za hovyo sana aisee😭
Hivi ukisiliza hizi story sana haupat matatizo kweli? Mpk naanza kuogopa
😂😂😂😂 na mimi nawaza ivo😳
😂😂😂 tunajielimisha, sisi kikubwa kujifunza..na kumuomba sana M/Mungu yasitukute..
Shetani ni muongo na tena anajiita kwa majina mengi, mizimu, majini, n.k. you name them all are his name. He is one created being naming himself with many names.
Hakika kitu moja tunapaswa kujua ni kwamba Shetani hana furaha na hivyo basi nawezi kukupa furaha.
Mali anazokuahidi hayo ni yale mazingaombwe yake ambayo atayafanya mpaka siku Yesu atakaporudi. Ni yale yale mazingaombwe aliyoyafanya kwa Saul kum impersonate Samwel.
Hata kama ungemtukia kwa uaminifu mwisho wa siku atakuua na akishindwa kukuua basi atakutumikisha na kuhakikisha anaidhalalisha ile sura ya mfano wa Mungu iliyomo ndani mwako mpaka hapo Mungu atakaporuhusu unalale kusubiria siku ile ya hukumu aidha kuishi au kufa milele…
Yni ww niwakuuwawa tu inamana ndugu wengne hawakustuka tu
Unaweza kuwatoa ndugu zako lakini Wewe hutaki kufa??? Binadamu anageuka myama du!
Mwanza mwanza😭😭😭😭
Ndiyo ile nyimbo ya Mzee wa Busara
Number 1❤❤❤
Wewe ni mtu wataama na hao washetani walikugundua tangu siku nyingi na ndio wakufuata directly , tamaa mbaya sana
Yani ww unawaambie achukue yyte mbwa kweli ww shetani mkubwa acha tamaa looh🙄
Nduguzako walikuwa awajui kama wanaishi nashetani da! Uruma kweli pasipokujua wanaishi nanyoka
Jamani hata kama utajiri haki hata huna Sasa utajiri wa nini watu wako wote humetowa Sasa huta mbaki na Nani Dunia hi hata mungu hukumbuki
Devister kuna mashine inanguruma, ikiwezekana poteza hiyo sauti
Mshenzi sana huyu jamaa
Mzee alimtumia huyu kijana bila yeye kujua.kufuraisha mizimu yake
Watu wengine kama hao wanaojipenda na tamaa za kishetani washindwe kabisa kwa Jina la Yesu Christo na wasipotubu ushetani huo uwarudie milele
Wanadam mmefungwa ufaham kijna unashindwa kutafut unatka mseleleko yesu akusaidie japokuwa unaler
J.boys 1999
Niko na Wachina hapa wanakupa tano
🎉🎉
davistar mbona huulizi maswali mfano ungeweza muuliza je kadri kila wakati ndugu zake wanakufa je majirani au watu walikuwa hawastuki majirani walikuwa hawajiulizi kwanini watu wanakufa kila mwaka au hata watu kuhisi je hawakuwahi kusikia watu wakijiuliza hasa majirani,,, uliza ili swali
Anaulizaga mwishoni
Anaulizaga mwishoni
Anaulizaga mwishoni
Tamaa ni mbaya 😢
pesa za shetani na mapepo ni mbaya yaani kutoa ndugu kafara si kesi shindwe!
1991.
Mwanza again🎉🎉🎉🎉🎉❤
😂😂 yaani kawaida tu! Hatar sana
Wa nne 🎉
Wa4 leo
huwez nimalizia bando na watu wako hao wa story za mchongo.
Mimi #0
Kijana wa hovyo kabisa huyu....mwenye tamaa mbaya, baba mwenyewe alijitoa kafara mwenyewe, lenyewe linaua ndugu zake kirahisi kwa tamaa zake mwenyewe....fyuùuu!
Mjinga Sana mungu atakulaan
Apo ungekuwa ungemsamba kofi😂😂😂
🎉🎉