All dangote pumzika kwa amani baba 🤲🤲🤲 hakika wewe nikamanda wamakamanda bele yako nyuma yetu watu waarusha pumbavu zanu mtoto mdogo kawafanya mchafue chupi zenu
Dangote hakuwa MTU mzuri lkn kifo chake askari anajivuruga....HIV Arusha gari wanazotumia polisi ni pickup zama hizi ? Kwamba kajirusha akafikia kichwa duh......
Watu wa Arusha ukiwaskia wanaongea viswahili vyao vile vya bangi unaweza ukadhani ni watu flani wana miguvu... sasa mji mzima walikuwa wanalala saa 11 jioni wanamuogopa Ally Dangote miaka 19. Jana kafa eti wanaume wanasherehekea mbele ya dada zao. Sasa akina dangote wakiwa 100 km huku Dar si mtakimbilia Monduli mkaishi jeshini? Sema askari aliyemtwanga risasi nina elfu 10 yake hapa.
Mm mwenyewe siwakubali wa arusha na mm nimezaliwa uko nimesomea uko ila chuga awana roho mtoto mdg anawa tetemesha watu wazima kweli nyie washamba ajui kimempata nn je kama ao watakuwa wameisha
Hivi ,Watanzania wenzangu hali hii na muonekano huu unatupa picha gani sisi raia maana serikali ipo na viongozi na majeshi yenye nguvu.Hatuoni kuna kasoro ktk utendaji ?Mtoto mdogo 19 yes anawaua watu Jeshi la polisi mmeendelea kulala ni AIBU KWA MKOA.
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
good info
Jmn baada ya kufa watu wanahizunika lkn imekua tofauti watu wamefurahi nawengine wanatamani kufanya sherehe allah tujalie mwisho mwema
Mungu wangu yaaaan uwiii ukifa watu wanasema ALHMDULILLAH DAAAA MAISHA HAYA UNABEBA MIMBA MIEZ 9 UNALEA MTOTO ANAKUWA JAMBAX NA ROHO YA KIKATILI
Poleni sana ukiuwa kwa upanga utakufa kwa upanga
Munguwangu sijui mama yao anajisikiaje jamani 😭💔😭😭 yaani tunazaa kwauchungu watoto wetu wanatuumiza😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
We acha tu. Mateso yote ya ujUzito kutapika mda wote. Huli unacho kipenda.
Familia yk imemtenga
@@nasrafadhili7408 mungu wangu yaani tuzaa kwa uchungu watoto Wana tulipa maumivu jamani 😭😭💔
POLE MWANAMKE MWENZETU MOYO UNAUMA MNO TUMBO LINAKATA JAMANI POLENI KINAMAMA MATUMBO YETU YANABEBA 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭🍔🍔🍔🍔🍔
@@HadijaZabroni-pu1lt tuombee watoto
Polisi kazi imewashinda😢. Hadi wananchi kuchukuwa mambo mkononi dohhhhh.
Unajua jinsi gani kauwa watu ndug jinsi gani kawakosesha watu aman
Mwenyez mungu tunaomb tunaomba tufanyie wepes watt zetu🙏🙏
Nakubalii machalii zangu chuga_kishumundu
Mungu niepeshiie mbali na kizaz changu🤲🏾🙌🏾
Jaman poleni sana aiseeh?
dahaaaa ni atar sanaa
Mmmh lkn Arusha ni tishio kwa matukio ya kutisha daah😭😭
Duuuuuuuuh ama kweli huyo Dangote alikuwa tishio sanaaa.
Arusha akina dangote awawez Isha si mda atakuja dangote mpya ,vijana wengi wanaongozwa Kwa hisia za bhang
Kuna huyo msemaji amekosea kutaja jina la huyo Polisi jamii. Inatakiwa ulinde jina la mtu kwenye mapambano na waalifu.
Boss kaka dangote
Mtu amekua kama mdudu ukifa wt wanafurahi Mh mungu tupe mwisho mwema
Unajua kaua wangapi wew
@@frankmtuwa4632Soma tena uelewe anachosema kaka...mko sawa ...mmekubaliana
Wew ameuw wat weng alf nikijan mdg mwkn alikuw anamaliz shule kidat cha nne ila anamatukio makubw n yanatisha
Mwisho mwema upi sio kila kitu Mungu atoe mwisho mwema wewe Unaona alioyafanya ni sawa matendo yako ndo yatafanya watu wakunenee mazuri
Tatizo unakrupuka kuongea lakini haujaelewa huyo ndugu alimaanisha Nini kusema mwisho mwema.
Mmm jamaa atakuwa alikuwa shetani kweli uyo
Dangote amekufa ndio amekua staa dah...maisha mabaya vijana tufanyeni kaz tamaa mbaya
Kifo chamwenye zambia mungu hafurahii kabisa mungukahuzunika hapa
Waaaaaaaas🎉❤❤❤❤❤
Iko powa sanaaa
everina fabiani michaely
Huo mkoa majank wanaishi maisha yausela wakizamani sana bado washambawashamba fulank hivi wanaiga American movies zakitambo na rafudhi yao yakishamba
Mimi ni Ali Dagote.Sijafa
All dangote pumzika kwa amani baba 🤲🤲🤲 hakika wewe nikamanda wamakamanda bele yako nyuma yetu watu waarusha pumbavu zanu mtoto mdogo kawafanya mchafue chupi zenu
Mmmh povu kama lote
Hauna akili mweu wewe
Hujui unachoongea so kaa kimya
Mamae zako shoga tu ww
Nimependa comment yako umeongea poit sana
Km kweli! Hongerenu sana kuondoa hilo nduli,mngeliuwa kwa kulichoma moto.
Daah!!!
Really atolewe njoo
Da binaadam unakufa watu wnakufurahia kwa Maas yk
Kwa hali ya Arusha naona kama vijana wa hapo mjini wengi hawapo sawa. Serikali ifanye kitu hasa mihadarati
Nikweri bangi na pombe zinawachanganya
Daaaah kweli bongo nyoso
Malezii. Yenu wazazi. Endeleen kuangalizia malezii mnajikuta Arusha n marekan. Bangi n ruksa
Du.kumbuka.wakuukumu.ni.mungu.sio.mwanadam
Da innalilah wainna lilah lajuun
Duuuh,,polen sanaaa😂
Kweli mungu anafanya majabu ya kusa🙏🙏Qr recovery
Mungu ailaze loho ya huyo jamaa
Polen san aisee
Ati mtuletee tumwone mazishi ni yetu maisha yalikuwa yake 😂😂😅
😂😂😂😂😂 nacheka kama maziri
Hao watu wa chuga ni makatili acha jamii za kifugaji ndio asili ya mkoa huo wakatili wa waziwazi
Chuga nakubali Sana omoja ninguvu
Dangote on trend 📉
Kisima 2022
Kwa hiyo Jela ni kurekebisha tabia. au kuharibu tabia umejifunza Nini
BANGI!?... nyimbo na filamu nyingi zinasifia uhuni na matendo ya kikatili bilakujua athali katika jamii ni kubwa....
Inasikitisha sana
Hiyo ndo Chugastuuuun
😂😂😂aende tu mwanakwenda ila w2 wa Arusha ni wakatili mmmh!
Ok😮
OhmyGoDsorry
Uyu
Alidange wee ni shuaaa
Navuta picha kwenye hayo mazishi venye wananchi wataharibu mazishi yake kaka jambazi
Ana kwel wazaz thombee watoto jaman 8:26
Lend
Dangote hakuwa MTU mzuri lkn kifo chake askari anajivuruga....HIV Arusha gari wanazotumia polisi ni pickup zama hizi ? Kwamba kajirusha akafikia kichwa duh......
Yan bado siamin, kajamaa kadog ila kaliisimamisha arusha nzimaa
Yaan huko sijui anaenda kuchomeka na moto gani woiii kufaga tu
Ndy ukiua Kwa upanga utakufa Kwa upanga...
Mmh! Ni hatar
kutoka kenya hiyo lafudhi ya arusha mbona kama wakongo😅😅😅
Hizi ni bangi na makundi ambayo athari kwa kijana kisekolojia
Afe na afe tena
Eti ni ukoo wa mama dangote,,,ndg yake na diamond 😂😂😂
😂😂😂😂😂
jamani dunia kwasasa tunaelekea wapi
Nomaaaa apumzike kwa aman
Amani Gani huyo aende kuzimu ty
Watu wa Arusha ukiwaskia wanaongea viswahili vyao vile vya bangi unaweza ukadhani ni watu flani wana miguvu... sasa mji mzima walikuwa wanalala saa 11 jioni wanamuogopa Ally Dangote miaka 19. Jana kafa eti wanaume wanasherehekea mbele ya dada zao. Sasa akina dangote wakiwa 100 km huku Dar si mtakimbilia Monduli mkaishi jeshini? Sema askari aliyemtwanga risasi nina elfu 10 yake hapa.
Aisee tumewadharau sana😂😂😂
Arusha na uhuni wote huo ila katoto ka miaka 19 kamewapelekea moto mkoa mzima hadi mmekosa amani 😂😂😂
Vp huko wapendwa?
Kuna vifo vingine ni furaha kwa watu aisee
Ukwl nimefurah😂😂😂
Mmmh
Jmn arusha inatishia aman
Bonge kamchoresha askari jamii
Mwezangu mitihaniiiiiiiiii😂😂😂 tu😅😅😅😅😅😅yarabbi
Arush mnaitaji maomb maan mhmh
Dah siyo poaa🥺
Duu Ama kweli huyo dangote Alikuwa hatari sana jamani
😂😂😂😂Sasa mtoto mdogo uyo ndo anawasumbua izo bangi mnavutaga za niniii
Me pia nimeshangaa sana 😂😂😂
Dangoteeeeee!!
😂😂😂😂😂 Watu walimchoka sana nenda mwana kwenda
Poleni jmn mungu yupo pamoja na nyie
Mm mwenyewe siwakubali wa arusha na mm nimezaliwa uko nimesomea uko ila chuga awana roho mtoto mdg anawa tetemesha watu wazima kweli nyie washamba ajui kimempata nn je kama ao watakuwa wameisha
Ohh ni makubwa
Msicho kijua mtu Akisha kufa anatakiwa kusitiliwa na sio kumuonesha kama picha
Hatary
Jamaa komando uyo
Bangi mbaya jameni😢
Ali dangote yupo uku melelani ajauwawa bado
😂😂😂😂😂😂
Asee alikosesha sana aman kwakwel tunawatoto wanaenda shule kuna wazazi wetu wanakwenda kazi lakin walikosa aman
Kwa maana mnadhibitisha huyu Ally alikuwa mtu hatari sana kutokea hapa duniani miaka yote vyombo vya dora vilishindwa kumkamata huyo dogo
Pole sana
Mtakuja b
Angetolewa inje niketoka Na kiungo
Dangote
Arusha njmewashusha vyeo aisee 😅😅😅😅😅😅
Supu ya Ally Dangote wangepelekewa Utopolo pale Jangwani wanywe mimi nitanunua chapati
Kama senge 😢
Waapelekewe 5G👋 pale Msimbazi ili wajifariji
Tununulie chapati5......
Kweli watu wanamevurugwa na yy angeondoka na kiungo cha dangote supu hiyo wapeni wanamizengo wagawane viungo😂😂😂
Hivi ,Watanzania wenzangu hali hii na muonekano huu unatupa picha gani sisi raia maana serikali ipo na viongozi na majeshi yenye nguvu.Hatuoni kuna kasoro ktk utendaji ?Mtoto mdogo 19 yes anawaua watu Jeshi la polisi mmeendelea kulala ni AIBU KWA MKOA.
Thadewo s Lukumay voda
Slp tadewosl
Subhanallah
Tecno spark 2