MWANAMKE ALIYEPIGANA na JAMBAZI mwenye BASTOLA na KUFANIKIWA KUMUUA, ASIMULIA - '' NILIMPIGA JIWE''
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 26 มี.ค. 2022
- MWANAMKE ALIYEPIGANA na JAMBAZI mwenye BASTOLA na KUFANIKIWA KUMUUA, ASIMULIA - '' NILIMPIGA JIWE''
Mke wa Mfanyabishara Castola Mnoge, Juliana Damiani, mkazi wa Kasulu mkoani Kigoma, amesimulia jinsi alivyopata ujasiri wa kumpiga na gongo jambazi na baadaye kushika jiwe kupambana na majambazi wengine ambao walivamia nyumbani kwao usiku kwa lengo la kuwaibia fedha.
Tukio hilo la kutisha limetokea hivi karibuni saa chache mara baada ya mumewe kuwasili nyumbani akitokea kwenye biashara yake ya Mpesa akiwa na mauzo ya siku ndipo alipofanikiwa kumpiga na gongo kisha kupata msaada wa majirani wenye hasira kali ambao walimshambulia zaidi hadi kumuua huku majambazi wenzake wakifanikiwa kutoroka.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Mapenzi ya kweli yamejidhihirisha kigoma! Tanga mnalipi la kusema hapa 🙌 sikiliza dakika ya 6:08 Hadi 6:16 halafu njoo unipe like hapa 😜
Tanga umalaya
Tanga hakuna jipya siku izi ata mapishi kwisha
Aaaaah hivi tukio hili lingetokea Tanga mke angekimbia?
@@mashramadhani1989 hizo ..nge hatuwezi kuzijadili maana bado hazijatokea.... Watu wa kigoma Kwa sasa ndo wameshika usukani kwenye mapenzi ya kweli
@@netlity5532 aaaaaaah hatari sana kigoma
Yn hiyo kaul imeniingia San yn kwamba sikuogopa bastola sabab nilijuwa kuwa mme wng asha kufa ckuwa na sabab ya kuishi dàaaaah 💪😭😢🤔
Nmetamani kulia
Hata Mimi nimelia ujasiri huo
Hapo Kuna upendo Jmn
Atar dada uko pouwa sana
🎉🎉🎉🎉@@gloriaaugustino8031
Ni Mungu mwenyewe..hongera Sana mwanangu
nimekupenda Sana dada... dumu kumtanguliza Mungu kwa kila jambo.
Hii inaitwa self defense.kufa kupona Ni muhimu kujitetea.
Nani amemkubali huyu binti Kama Mimi.Mungu awape ujasiri Wanawake wajue kujitetea Mungu.akiwa upande wao watashinda tuu.👆
True
Zao hazijafika ndg yangu,na watakuwa walijiganga,chezea kigoma wewe!
Wanawake wa kiha ni mashuja sana wakipenda wanapenda kweli
Mm hapa huyu mama Mungu amlinde
Ttzo kujieleza sasa...
Hongera kwa ujasiri wako dada mrembo, Kaka umepata mke mwema
Wewe mwanaume una Deni la kumlinda na kumpa heshima mkeo. Anakupenda ameyatoa Maisha kwa ajili Yako, halafu kesho umzingue tutakunyooosha, Hongera mwanamke wa shoka.
Wanawake wanapiga sana ukikaa na mke wako vizuri atakutetea kila kona
Eeh Mungu mlinde huyu dada... kwann mmemuonesha sura huyu dada jaman. Si salama kwake
kama ilikuwa si salama si salama tuu MUNGU ndie anamlinda, unazani wanaomfanyia mtu ubaya hawamjuii, mpaka wanaenda kwao wanamjua
Una sifa zote dada mrembo mcha mungu una mahaba ya dhati pia jasiri wadada wa mwendo kasi mjifunze hapa
❤️
Why am l crying alone??? Congratulations mama kwa kupigania mumeo maisha ya wawili ni safari
@@fwarrymwebi6615 surely there is something to learn here
Mwendo kasi
Mimi so unable zote hata Mimi mwezako. Sina
Hongera sana kwa huyu mama. Mapendo iko kati yenu. Mungu abariki nyumba yenu. Poleni kwa mashambulizi.
Hongera dada kwa kupata ujasiri ambao umesaidia kumwokoa mume wako,Mungu akusimamie.
Kwa kweli Mungu kakutetea mwanamke jasiri.
Hongera sana dada kwa kulipigania penzi lako Mungu akulinde
Bastola ilikua na risasi moja tu walipompiga mumewe ikaishia hapo.mungu ni mwema alikujaza ujasiri, hongera.
Hapana itakuwa ili jam..
Congrats my SIZ your are one in a million am proud of you with thank God for granting you life as a family be strong every thing happens for good for those who love the lord more grace in Jesus name
Maashaallah super women kama hawa ndio wanastair tuzo ,lkn pia nunuen silaha na nyinyi
Huyu Mwanamke ni zaidi ya Mke
Kwa kweli hata ndugu anaweza kuacha ..anakupenda wa dhati na Kumpenda Mungu
Huyo ni Simba jike hatari kuliko hata dume
Si mnasema hakuna mapenzi siku hizi
Huyu sio kama wale wavaa vikuku miguuni
Masha Allah bro umepata mke mwema Mungu ambariki na aendelee kumpa mapenzi na ujasili
Haya ndio mapenzi ya dhati sasa,,,, huyu ndie mwanamke wa shoka hakukata tamaa wala uoga wa kukimbia tukio ,, Allah amponye huyo mume wake arejee km awali na awadumishe kwenye upendo wao hadi wazikane
Dada wacha mungu akulinde sana hapo ulitumia zaburi 23:1...mungu hawalinde siku zote
A definition of true love. MOLA awalinde na kuwaongoza katika maisha yenu ya ndoa, 💪🏿😍🙏🏿
Hakika wewe ni mwanamke Jasiri Mungu akulinde na kukupigania na Mumeo akupende Daima
Mwenamke sehemu yyte anatakiwa awe jasri hata ktk bibilia wanawake tumefananishwa na jeshi ko ss ni majeshi wa kimwili na kiroho hongera sana dada yangu kwa mapambano mema
Kwa mapenz haya bado unamkuta mwanaume anatoka nje ya ndoa dah 😭😭huyu mdada ni wa kuzeeka nae kwakweli ameonesha upendo wa Hali ya juu
Wanaume hawaridhikagi mbn ata wafanyiwe nn wanatoka nje tu
Saf Sana dada Ila wandishi mmekosea xn kumuonyesha sura hyu dd n hatar kwenye maisha yke kwa ss
Apo umesma kwl maan Hawa waandishi wambea sana Hawa unafkri hii clips wakiiyona majambaz na wanajua Kam mwenzao kauliwa tena alobabisha hyu dada na weshamuon heee siku znahesbika kw hy dada
Hii clip sio ile ya zamani kweli
Kweli kabisa wangeficha sura hatar kwake ila hongera kwa ujasir pia unamapedhi ya dhati kwa mumewako mungu awalinde katika ndoa yenu
Kwani unafikiri ndugu na marafiki wa aliyeuawa hawamjui huyu Dada?
Kabisa
Dada MUNGU. Akutie nguvu nimeipenda sanaaaaaa
Safi sana Mungu azidi kuwalinda wote na familia yenu.
Mungu akulinde Hongera sana Nimekupenda bure
Huyu mwanamke ndiyo wanaitwaga wife materials, ana package zote za kuwa mke wa kuolewa, ni mwili mmoja kweli kwa mumewe.
Umempata mkwe mwenye mapenzi ya kweli Allah awajalie ktk maisha ya ndoa yenu
Dàaaaah huyu Dada mzuri na anamapenzi halisi yaso changanyika na unafiki wowote yn me naomba Rais ampe nafasi jeshini huyu nimwanajeshi komandoo kabisa yn 💪💪
Hahaaaaa
Masha Allah Dada kwakujikita kutetea maixha ya mumeo.ww mwanaume umexhindaj sana mkeo ukija kumsaliti Mungu atakuadhibu
Palee pale......
God is Goood!!!
Mama,hongera,sana,ww,ni,nguvu,ya,taifa
Mwanamke Bomba 😂❤❤❤
Hongera malkia wa nguvu,ni kwa neema ya Mungu ninyikuwa hai mpate kuyasimlia matendo makuu ya Mungu.
Neema ya Mungu iko pamoja na wewe Dada Mungu akupe ujasiri zaid huu in mfano wa kuigwa
Mungu Akusimamie kwa kila Jambo Jema na Akupe Afya njema.
Hongera dada mungu awabariki na mumeo uzidi kupata ujasiri
Hongera sana dada kwa ujasiri uliopigania mali yenu hlf kesho na kesho mume umuone mkeo hafai mungu awape upendo zaidi ktk maisha yenu
Kosa kubwa sana kumuonesha sura huyu dada tena mnooo
Waandishi wa kileo
waandishi hawajitambui
Palepale imekuwa nyingi but hongera Sana mwanamkee jasir na unapendoo Sana Kwa mumeo
Kumbuka hiyo ni camera mara ya kwanza
Kiswahili Cha kigoma mwisho wa reli
@@henricamikambi6147 🤣🤣🙌🏽
Kabisa Ana MAPENZI ya Kweli
Aaah aaah jaman PALE PALE
True love keep it up
Adriana line ikifika ukomo fulani kuna nguvu hata mtoto mdogo anaamua kufa au kupona.
Hali hii ikitokea binadamu anakuwa kama mnyama aliyejehiwa , tena uoga wala hofu hupotea, na ujasiri usionekana katika maisha ya kawaida hujitokeza.
Point of no return.
Kabisa
Mzuri harafu shujaa thx mamito
Dah! Mwanamke jasili sana mungu awatie nguvu mdum ktk ndoa yenu na mshinde zaidi na zaid. Kigoma oyeeeeee❤❤❤❤
Jamani tunaunga mkono kumshukuru Mungu pekee aliyewatetea.Ushauri Mtunzane kltk maisha yenu huku mkikoseana msamaheane kwa kukumbuka tukio hilo(Kitunze Kikutunze)
Mashaalah unaakili sana mwanamke zaidi ya mke
Hongera mama, nyie ndio wanawake wa kuoa sio wale wafuga kucha na wavaa mawigi, maslay queen wa mjini haya mambo hamuwezi
Bora hata unadhani Angemuua si angebaki Mjane..Pole mama ila Hongera Kwa Ujasiri kuna msemo unasema"Kosea vyote ila sio kuoa au kuolewa"💪🏻
Maneno machache yenye nguvu aliyoyasimulia huyu dada ni kwamba, "kama mume wangu amekufa, mimi na thamani gani "😳 ak dada una moyo mkuu kisha usio kifani.
Dada bastola haikuwa na risasi.Mungu akuepushe na majambazi
Safi sana nimependa ujasiri wako
Ongera sana dada unamoyo wa kipekee sana 🎉🎉🎉mungu awalinde muendelee kuwa pamoja
Congrats my sister, you made it...
Ila waandishi nyie mnafanya kosa kumtowa Sura yake Sababu hao majambasi ni wanaadam na mkumbuke mwenzao amefariki huyo aliefariki japo jambazi mkumbuke ana ndugu ana wazazi ana hao watu wake walioshirikiana nae hiyo kazi wanaweza kumvizia huyo Binti na kulipa kisasi angalieni msije mkawaponza hao watu
Kweli,hii ni hatariii kwa usalama wake
Tena saana
FUTA
Point Sana wanaweza lipoza
Kweli kabisa
Nikaandaa jiwe langu vizuri😂😂 big up Sana dada
🤣🤣
There is power in the name of the lord
True love, hongera Sana mwanamke wa nguvu🙏🙏🙏🙏
Nimekupenda dada unaalili sana
Mungu amlinde huyu Dada manake hao waliokimbia bdo watakua na hasira mwenzao hayupo Tena
Good job safi mm mungu awalinde na jengine kuwa tayari Kwa kibaya chochote dhidi ya mwenzako mbambania Hadi tone la mwisho
Ongera dada Kwa ujasiri mnzr msiachane kmweeee
Hongera dada kwa ujari Mungu Ni mwema
Wooow mungu akupe maisha marefu na familia yko
juhudi zako ulizionyesha ulijitolea Kwa moyo mmoja na kupambana Kwa ajili ya maisha ya mumeo dada mungu aendelee kupambania umeonyesha moyo na mapenzi ya kweli
I just appreciate, pale pale, of course pale pale nimemuelewa sana
We kaka kama utamsaliti uyu dada mungu atakupa ukumu nzito maana wanaume kama mapaka amliziki
Majirani wa kigoma mnachelewa Sana kufika kwenye matukio
Dah!😂😂😂
Mwambie Mungu asante maana bila ivyo ingekuwa story tofauti
Inamaana hujaskia kamtaja Mungu
@@sakayonsakihunga3496 duh
Hongera sana dada. Na Mungu aendelee kuwatunza na kuwalinda.
Pole sana dada endelea kumtumainia Mungu na kumshukuru Kwa Kila jambo Ameni
Hivyo mnavyoonyesha sehemu yake si mtaletea Hatari kwa waliobakia hao majambazi
Faida ya kuweka mawe nje ya nyumba yako,
Jamani tuwekeni mawe ,yatakuja kutusaidia
😄😄
😂😂😂
Hahaaaa
Nayo ni hatar sana kama angerushiwa mawe
mwisho yatakuua ww mwenyewe huyo kabahatisha tu wee jusheuwe uweke hayo mawe
Ayondo nahaba ndi ndi ndi 😂😂😂😂😂 hongerasana dada 🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Hongera sanasana dada kwa upambania haki yako, wewe ndo mwanamke oomani
God bless you dear ❤️
a very strong woman❤❤
Tunashukuru kwa ukomavu huo umemuokoa sana mwanaume mwenzetuu safii sana shemejiiii yetu❤
Brother hongera umepata mke jasiri
Avalishwe gwanda tunahitaji wamama Kama Hawa. Apelekwe kozi aingie police...kifupi ni jasili
Mungu ni mwema 🙏🙏🙏
M no
Hongera sn dd kwakupambana Allah akuzidishie subra yadhat moyon mwako
Hongera Sana Sister M/Mungu akubariki katika Maisha yako unastahili sifa na Kuwa Mfano Bora kati ya wenye Mifano Bora Tanzania Hongera Sana .
Wanawake wa hivi kwenye hii dunia kabaki huyo mdada 2 ukimpata mwingine niite mbwa Niko pale
Amina, ubarikiwe kwa kutoa msaada mkubwa kwa mmeo.
Mshukuru mungu sana AMEN BARIKIWA
Yaani palepale mimi nimekuelewa💪
Ubarikiwe mama mwema
Huyu Dada
1.uzuri👍
2.moyo👍
3.imani👍
4. Upendo👍
5.nywele👍
6.moyo👍
Mungu ampe nini tena huyo mwanaume
,mungu
Aendelee.kumpa.ujasili
Mashaallah dada mung akubarik kua na ujasir huo huo
Big up malkia wa Nguvu 👍
Wanaopata wake kama huyu mdada, kwa kweli wamebarikiwa.
Nimefurahia maneno yake ya kijasiri "Nilijua wameshamuua mme wangu, na kama wameshamuua, mimi nina thamani gani tena! wacha tufe wote!" Kisha akaingia kwenye uwanja wa mapambano
Wewe kuweza kama unamapenzi na mwenza wako nae atakua na mapenzi na wewe so tupendane mm hata mwenza wangu akikamatwa na trafki mavi ya nanibana nakuanza kulia kiufupi tupendanee
Yaani we acha tuu.
Akaingia uwanja WA mapambano😃😃😃😃😃
Kwa kweli huyu anastaili pongezi wengi tunaishiwa nguvu na kunitetea wenyewe.
Hataki hata kwenda kwenye biashara mpaka mume wake apone
😭😭😭😭😭😭
Mungu husimama ktk kila jambo, hongera dadaang kwa ujasir kweli ninyi ni mwili mmoja, baba mheshim mkeo
Hongera mama Kwa ujasiri huo,endelea kumtegemea Mungu.
Allah kareem Azidi kuwalinda Inshaallah
Ficheni sura yake ndugu mana jambazi alie uliwa yuko na ndugu Na familia yake na wenzake wa kazi ya ujambazi pia wapo ssa mujue munamponza bure Uyo mama
Washafeli wanajisahau sijui au wageni wa kazi hawafikirii kifuatacho
Kabisa
Kweli anaweza kuhatarisha maisha yake
Kweli hata Mimi nimekiwaza hicho
Wandishi wa bongo hao kaxi kimbwa umbea tu ndo wanayo ijuwa
Pole mdd
Hongera. Mdd
Mahaba kama yote😁😁
Wewe dada Mungu akubariki sana
Unaakili sana dada
wanawake uchawi ni kumpa love' tu ya uhakika., ndio utayapata haya, sio fiksi kibaooo, kuchepuka, uwongo, n.k. mbofu mbofu.
Pale pale tukaaa...pale pale akaa..pale pale.....
Ila nmekupenda pale pale super woman 😘😘😘