Asante Sana kaka davistar kwakutukumbuka tulikua tumekumiss Sana sisi shabiki zako umetuletea story mpya🎉chukua maua yako mungu akubariki uendele kutupa story nzuri za kutufundisha🌹❤️
Mzee wa kazi anaonekana kuna mambo anapitia ambayo magumu sana kwasababu na hisi tangu anze ichi kipindi kunavitu vingi vibaya anavijuwa na pia na watu wanao fanya ivyo vitu vibaya pia anawajuwa kwahiyo watu wana muinda sana tumombeeni wadau
Asante Sana kaka davistar kwakutukumbuka tulikua tumekumiss Sana sisi shabiki zako umetuletea story mpya🎉chukua maua yako mungu akubariki uendele kutupa story nzuri za kutufundisha🌹❤️
Amen ahsante tupo pamoja
Welcome back umenona saana mtu makini
@@DavistarMataMediaDMasate sana tumekumic kaka mpka tumekonda ukipotea uwe unatuambia tusiwe na wasi wasi
@@DavistarMataMediaDM28:04
Davister hii Chanel izidi kupokewa na wengi ikona mafudisho mazuri
Mzee wa kazi anaonekana kuna mambo anapitia ambayo magumu sana kwasababu na hisi tangu anze ichi kipindi kunavitu vingi vibaya anavijuwa na pia na watu wanao fanya ivyo vitu vibaya pia anawajuwa kwahiyo watu wana muinda sana tumombeeni wadau
Upo sahihi ndugu
Davista kanyong'onyea sana. I fell something bad had been going through him. Mungu akutie nguvu tuko pamoja.
Hayupo sawa kbs kwa muonekano tuu
Jamani tumchangieni davista tujiongeze kaaah mpak aseme wakat katutoa mbal na katoa sana matongo tongo juu ya hii dunia
Awake namba tumsapoti davista ata elfu 5 to kwa kazi nzuri anayo fanya
Tunaanzia wap Sasa?
Mnaonaje tukatengeneza group whatsup na tutume humu link anataka atajiunga na mwenyew davista awepo then tuanze michango hapo
Davista anapitiaga comment kwahyo aweke namba yke tumchangie
Ni kweli kabisa
Oya davistar piga kibao Huyo jamaaa,Mtu anahojiwa anacheua Cheua na kutafuna tafuna kama mbuzi haipendezi
Karibu sana Mtu makini ulitugaya ila ulipo tuacha hatujasogea tumekusubri kwa uaminifu mkubwa❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Story nzuri ila msimuliaji ana semulia kama ana soma gazeti
Kama huyu story yake inafika hadi part 5 achana nayo tuwekee mtu mwengine
karibu sana Davimastar kazi zako tuli kuwa tumesha zi kumbuka
Mbona hawezikujielezea vizuri anatafunatafuna kama mbuzi tu yani anaboa sanaa
Kwakweliii he is boring 😂😂
Kujieleza ni kipaji sana ndugu😅
Kwani umelazimishwa kuangalia!?
DAVISTA Tunaomba utuambie wafuatiliaji wako tulio nje ya nchi nini kilikukuta mbona muda mrefu sana ulipotea tulipata wasiwasi tuambie
Michawi .mnao turogea Davistar mshindwe kabisa katika jina la Yesu
Kiukweli Davistar anapitia changamoto, hii sura sio yake.
Amen
Wooooooow l had missed you aloooooooooot welcome back brother
We have missed davistar....welcome back I am so much blessed with your work and have known a lot spiritually
Welcome back😊🎉from Kenya we love you TZ ❤
Mda mlefu kweli mdogo wangu devistar sijaingia kwenye program mungu Akuongoze vizuri Ameen
2024
glad your back
Mr. Facts great to see you brother.
Welcome back mr everything,,we missed you❤❤❤❤
Welcome back davistar mata we love you.🎉
welcome back mr davi...we missed u
Awali ya yote nipende kumshukuru Mungu, niokuona tena Mr Dm karibu
Davister amerudi mtandao 💪🏾karibu tena
Welcome Mr Devistar 🤝
Since 2019 nafatilia story zako..wlcm again ninja
Yaan bila davista nlikua naona ata youtube haina maana una nafasi katika mioyo yetu kwa kwel🎉🎉
Welcome back Davistar 😊😊 Hope you know you are appreciated by your online family, endelea kum expose shetani kabisa
Well come back Mr. facts!!!
Asante kwa kurudi hewani davista
Mungu ni mwema nimefurai kukuona tena❤❤
Davistar kimya sana! najuwa unamambo mengi! so tulikumic karibu
❤❤ Glad to see you...you're welcome....
Waongo awa....sio bukirigulu...ni ukiligulu na haipo kahama ipo misungwi
I'm back
Binafsi nilikumiss sana Davista. Tuendeelee tulipoishia..
Wa kwanza 🎉
Kwanini anakula wakati wa mahojiano?
Safi sana
Bora umerud
Aaaah hatimaye ❤
Umepotea Sana davista
Wa 3
❤❤🙏
Davister jaribu kutoa vipande hata vitatu kwa sku tuna hamu na hyo ctr.. Lkn utoaji wa kipande kmoja kwa siku hauridhish
Mtumishi kupotea kwako kumenifanya hata cm kubwa nione aina maana aisee mungu akkumbe kwa yote ktk maish yak
Angela sana kaka🎉🎉🎉🎉😂❤
Mkuu unatukosea sana hatukupati
Twende mbele.
Nyingine saa ngap
Karb kaka
Duh ulipoteaga sana mkuu
Ngoja niskilize story kabla cja comment kitu🎉
J.B.B.1999
Ha unashangaa mzazi kumlipia mahali kijana wake
Wachawi walikupoteza kwa kutoa sir zaooo chezea wachawi nn duuu aiseee na hii inawezekana isiendelee tena
Mzee ulipotea. Nikawa narudia story nilizokuwa tayar nimecheki..
Kuna jama huko kwenu amefufuka mara 5 please can you check on her ,bring her story too nimeon afri lakini si yote
Ulikuwagaa wapi kaka
Mpaka tuliwamiss kwakweli karibuni mjengoni
Ahsante
Anatafuna maneno au ndo uko gamboshi walikula nyama wa watu Na pumba za kuku ulimi mzito anaboa
Aiseee jamaa wewe umerudi duuu simchezo
Umetoa sana siri za wachawi wakakupotezaaa daaa ukuonekana tena
Sema nn? Dav fanya mazoezi
Ndoa imeisha apa amaa
Eeeeh afadhali aise maisha yalisha kuwa magumu alo 😅😅😅😅
davi karibu shinyanga hapa story zipo kibao
Mr facts karibu tena 💃💃💃🇰🇪
Back once again 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
We jamaa ulitutupa sana saizi nipo sehemu ya 35 ya Wamayo aisee alijua kusimulia kama kitabu
Msalimie baby wetu wamayo
Mzee wa nikaingiamo
Davista Mungu akutunze akuepushe na mabaya