PART1:TAJIRI MCHAWI /NILITUMWA KUMPELEKA MSANII HUYU KUZIMU BAADA YA KUKATAA KUENDELEZA MASHARTI

แชร์
ฝัง

ความคิดเห็น • 90

  • @Irenes_Kitchen
    @Irenes_Kitchen 28 วันที่ผ่านมา +26

    Asante Sana kaka davistar kwakutukumbuka tulikua tumekumiss Sana sisi shabiki zako umetuletea story mpya🎉chukua maua yako mungu akubariki uendele kutupa story nzuri za kutufundisha🌹❤️

    • @DavistarMataMediaDM
      @DavistarMataMediaDM  28 วันที่ผ่านมา +5

      Amen ahsante tupo pamoja

    • @sophiebanga9533
      @sophiebanga9533 28 วันที่ผ่านมา +1

      Welcome back umenona saana mtu makini

    • @jumayusuph9609
      @jumayusuph9609 26 วันที่ผ่านมา

      ​@@DavistarMataMediaDMasate sana tumekumic kaka mpka tumekonda ukipotea uwe unatuambia tusiwe na wasi wasi

    • @josephmulli37
      @josephmulli37 25 วันที่ผ่านมา

      ​@@DavistarMataMediaDM28:04

    • @maureenmwende3515
      @maureenmwende3515 16 วันที่ผ่านมา

      Davister hii Chanel izidi kupokewa na wengi ikona mafudisho mazuri

  • @saidabdalla8996
    @saidabdalla8996 27 วันที่ผ่านมา +16

    Mzee wa kazi anaonekana kuna mambo anapitia ambayo magumu sana kwasababu na hisi tangu anze ichi kipindi kunavitu vingi vibaya anavijuwa na pia na watu wanao fanya ivyo vitu vibaya pia anawajuwa kwahiyo watu wana muinda sana tumombeeni wadau

  • @osmundmtavangu
    @osmundmtavangu 27 วันที่ผ่านมา +9

    Davista kanyong'onyea sana. I fell something bad had been going through him. Mungu akutie nguvu tuko pamoja.

    • @dianawilliam6443
      @dianawilliam6443 11 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Hayupo sawa kbs kwa muonekano tuu

  • @mwami_the_don_
    @mwami_the_don_ 28 วันที่ผ่านมา +11

    Jamani tumchangieni davista tujiongeze kaaah mpak aseme wakat katutoa mbal na katoa sana matongo tongo juu ya hii dunia

    • @mwakilamwaki1718
      @mwakilamwaki1718 27 วันที่ผ่านมา +2

      Awake namba tumsapoti davista ata elfu 5 to kwa kazi nzuri anayo fanya

    • @paustephano
      @paustephano 26 วันที่ผ่านมา

      Tunaanzia wap Sasa?

    • @paustephano
      @paustephano 26 วันที่ผ่านมา +2

      Mnaonaje tukatengeneza group whatsup na tutume humu link anataka atajiunga na mwenyew davista awepo then tuanze michango hapo

    • @nancyfantasia1945
      @nancyfantasia1945 24 วันที่ผ่านมา +1

      Davista anapitiaga comment kwahyo aweke namba yke tumchangie

    • @LamaribamJumbe
      @LamaribamJumbe 3 วันที่ผ่านมา

      Ni kweli kabisa

  • @elochoyakobo7809
    @elochoyakobo7809 22 วันที่ผ่านมา +4

    Oya davistar piga kibao Huyo jamaaa,Mtu anahojiwa anacheua Cheua na kutafuna tafuna kama mbuzi haipendezi

  • @edithaeugeni9695
    @edithaeugeni9695 28 วันที่ผ่านมา +4

    Karibu sana Mtu makini ulitugaya ila ulipo tuacha hatujasogea tumekusubri kwa uaminifu mkubwa❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @mundhirsalum21
    @mundhirsalum21 26 วันที่ผ่านมา +4

    Story nzuri ila msimuliaji ana semulia kama ana soma gazeti
    Kama huyu story yake inafika hadi part 5 achana nayo tuwekee mtu mwengine

  • @nalandayusuf641
    @nalandayusuf641 22 วันที่ผ่านมา +1

    karibu sana Davimastar kazi zako tuli kuwa tumesha zi kumbuka

  • @jovinmancomedytz
    @jovinmancomedytz 21 วันที่ผ่านมา +4

    Mbona hawezikujielezea vizuri anatafunatafuna kama mbuzi tu yani anaboa sanaa

    • @phronimouslady1653
      @phronimouslady1653 19 วันที่ผ่านมา

      Kwakweliii he is boring 😂😂

    • @Thisisgrace979
      @Thisisgrace979 15 วันที่ผ่านมา

      Kujieleza ni kipaji sana ndugu😅

    • @user-xw8om1qd1g
      @user-xw8om1qd1g 6 วันที่ผ่านมา

      Kwani umelazimishwa kuangalia!?

  • @reisezone4574
    @reisezone4574 27 วันที่ผ่านมา +5

    DAVISTA Tunaomba utuambie wafuatiliaji wako tulio nje ya nchi nini kilikukuta mbona muda mrefu sana ulipotea tulipata wasiwasi tuambie

  • @rerisamba
    @rerisamba 28 วันที่ผ่านมา +2

    Michawi .mnao turogea Davistar mshindwe kabisa katika jina la Yesu

    • @cheddarman8436
      @cheddarman8436 27 วันที่ผ่านมา +1

      Kiukweli Davistar anapitia changamoto, hii sura sio yake.

    • @rosemilingi7860
      @rosemilingi7860 22 วันที่ผ่านมา

      Amen

  • @euphreshiaessendi2115
    @euphreshiaessendi2115 12 วันที่ผ่านมา

    Wooooooow l had missed you aloooooooooot welcome back brother

  • @judithpraisesmusic
    @judithpraisesmusic 27 วันที่ผ่านมา +1

    We have missed davistar....welcome back I am so much blessed with your work and have known a lot spiritually

  • @joymkenya2359
    @joymkenya2359 27 วันที่ผ่านมา +1

    Welcome back😊🎉from Kenya we love you TZ ❤

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 26 วันที่ผ่านมา

    Mda mlefu kweli mdogo wangu devistar sijaingia kwenye program mungu Akuongoze vizuri Ameen

  • @zulekhasaud483
    @zulekhasaud483 28 วันที่ผ่านมา +2

    2024

  • @cyantess8423
    @cyantess8423 28 วันที่ผ่านมา

    glad your back

  • @James-Jabari
    @James-Jabari 27 วันที่ผ่านมา

    Mr. Facts great to see you brother.

  • @salngas902
    @salngas902 27 วันที่ผ่านมา

    Welcome back mr everything,,we missed you❤❤❤❤

  • @Zepetogul
    @Zepetogul 26 วันที่ผ่านมา

    Welcome back davistar mata we love you.🎉

  • @tahirnephessalum3678
    @tahirnephessalum3678 27 วันที่ผ่านมา

    welcome back mr davi...we missed u

  • @ambassadorkatemeambassador2840
    @ambassadorkatemeambassador2840 28 วันที่ผ่านมา +2

    Awali ya yote nipende kumshukuru Mungu, niokuona tena Mr Dm karibu

  • @jkkim3848
    @jkkim3848 19 วันที่ผ่านมา

    Davister amerudi mtandao 💪🏾karibu tena

  • @patrickmaina5459
    @patrickmaina5459 28 วันที่ผ่านมา

    Welcome Mr Devistar 🤝

  • @mgalulamatongo4079
    @mgalulamatongo4079 27 วันที่ผ่านมา

    Since 2019 nafatilia story zako..wlcm again ninja

  • @nancyfantasia1945
    @nancyfantasia1945 24 วันที่ผ่านมา +1

    Yaan bila davista nlikua naona ata youtube haina maana una nafasi katika mioyo yetu kwa kwel🎉🎉

  • @mysskibe
    @mysskibe 26 วันที่ผ่านมา

    Welcome back Davistar 😊😊 Hope you know you are appreciated by your online family, endelea kum expose shetani kabisa

  • @evancemoevt8597
    @evancemoevt8597 27 วันที่ผ่านมา

    Well come back Mr. facts!!!

  • @user-op4ue1sm9x
    @user-op4ue1sm9x 26 วันที่ผ่านมา

    Asante kwa kurudi hewani davista

  • @user-uc1tc7jf9q
    @user-uc1tc7jf9q 27 วันที่ผ่านมา

    Mungu ni mwema nimefurai kukuona tena❤❤

  • @philipomponeja2457
    @philipomponeja2457 27 วันที่ผ่านมา

    Davistar kimya sana! najuwa unamambo mengi! so tulikumic karibu

  • @yvettekyalika907
    @yvettekyalika907 27 วันที่ผ่านมา

    ❤❤ Glad to see you...you're welcome....

  • @africanstears7755
    @africanstears7755 19 วันที่ผ่านมา

    Waongo awa....sio bukirigulu...ni ukiligulu na haipo kahama ipo misungwi

  • @abdimohamed3953
    @abdimohamed3953 5 วันที่ผ่านมา

    I'm back

  • @athumanmakale8221
    @athumanmakale8221 27 วันที่ผ่านมา

    Binafsi nilikumiss sana Davista. Tuendeelee tulipoishia..

  • @MawaddaKhamis-zh3kc
    @MawaddaKhamis-zh3kc 28 วันที่ผ่านมา

    Wa kwanza 🎉

  • @sistymbombo1616
    @sistymbombo1616 23 วันที่ผ่านมา +1

    Kwanini anakula wakati wa mahojiano?

  • @bakari-si1pw
    @bakari-si1pw 28 วันที่ผ่านมา

    Safi sana

  • @happymrema7487
    @happymrema7487 28 วันที่ผ่านมา

    Bora umerud

  • @marryjoely8091
    @marryjoely8091 27 วันที่ผ่านมา

    Aaaah hatimaye ❤

  • @Peterchila-un2lx
    @Peterchila-un2lx 26 วันที่ผ่านมา

    Umepotea Sana davista

  • @user-fo5ox5wq6l
    @user-fo5ox5wq6l 28 วันที่ผ่านมา

    Wa 3

  • @Cossan-hp6un
    @Cossan-hp6un 23 วันที่ผ่านมา

    ❤❤🙏

  • @user-ho2qk6oj3w
    @user-ho2qk6oj3w 24 วันที่ผ่านมา

    Davister jaribu kutoa vipande hata vitatu kwa sku tuna hamu na hyo ctr.. Lkn utoaji wa kipande kmoja kwa siku hauridhish

  • @GodwillMasige
    @GodwillMasige 27 วันที่ผ่านมา

    Mtumishi kupotea kwako kumenifanya hata cm kubwa nione aina maana aisee mungu akkumbe kwa yote ktk maish yak

  • @dozbilavipimocr7bilavipimo218
    @dozbilavipimocr7bilavipimo218 24 วันที่ผ่านมา

    Angela sana kaka🎉🎉🎉🎉😂❤

  • @user-bd6nt4yq3m
    @user-bd6nt4yq3m 26 วันที่ผ่านมา

    Mkuu unatukosea sana hatukupati

  • @User92.invisible
    @User92.invisible 28 วันที่ผ่านมา +1

    Twende mbele.

  • @danielsteven5440
    @danielsteven5440 28 วันที่ผ่านมา

    Karb kaka

  • @kibasamohamedi8029
    @kibasamohamedi8029 23 วันที่ผ่านมา

    Duh ulipoteaga sana mkuu

  • @user-nt4bl1hn9w
    @user-nt4bl1hn9w 28 วันที่ผ่านมา

    Ngoja niskilize story kabla cja comment kitu🎉

  • @tututz100
    @tututz100 28 วันที่ผ่านมา

    J.B.B.1999

  • @mustaphasegeja1712
    @mustaphasegeja1712 27 วันที่ผ่านมา

    Ha unashangaa mzazi kumlipia mahali kijana wake

  • @davidbatista7882
    @davidbatista7882 28 วันที่ผ่านมา

    Wachawi walikupoteza kwa kutoa sir zaooo chezea wachawi nn duuu aiseee na hii inawezekana isiendelee tena

  • @shashemuzyo4537
    @shashemuzyo4537 25 วันที่ผ่านมา

    Mzee ulipotea. Nikawa narudia story nilizokuwa tayar nimecheki..

  • @getrudeliyayi8050
    @getrudeliyayi8050 25 วันที่ผ่านมา

    Kuna jama huko kwenu amefufuka mara 5 please can you check on her ,bring her story too nimeon afri lakini si yote

  • @aryanamendes8700
    @aryanamendes8700 23 วันที่ผ่านมา

    Ulikuwagaa wapi kaka

  • @rachelmsekena603
    @rachelmsekena603 28 วันที่ผ่านมา +1

    Mpaka tuliwamiss kwakweli karibuni mjengoni

  • @NajimaNichole-oz3zv
    @NajimaNichole-oz3zv 19 วันที่ผ่านมา

    Anatafuna maneno au ndo uko gamboshi walikula nyama wa watu Na pumba za kuku ulimi mzito anaboa

  • @davidbatista7882
    @davidbatista7882 28 วันที่ผ่านมา +1

    Aiseee jamaa wewe umerudi duuu simchezo

    • @davidbatista7882
      @davidbatista7882 28 วันที่ผ่านมา

      Umetoa sana siri za wachawi wakakupotezaaa daaa ukuonekana tena

  • @jesusislord9190
    @jesusislord9190 27 วันที่ผ่านมา

    Sema nn? Dav fanya mazoezi

  • @user-nu3ud7ws9b
    @user-nu3ud7ws9b 27 วันที่ผ่านมา

    Ndoa imeisha apa amaa

  • @adamjonasi8078
    @adamjonasi8078 28 วันที่ผ่านมา

    Eeeeh afadhali aise maisha yalisha kuwa magumu alo 😅😅😅😅

  • @tahirnephessalum3678
    @tahirnephessalum3678 27 วันที่ผ่านมา

    davi karibu shinyanga hapa story zipo kibao

  • @florencerose859
    @florencerose859 28 วันที่ผ่านมา

    Mr facts karibu tena 💃💃💃🇰🇪

  • @chuchetresha
    @chuchetresha 27 วันที่ผ่านมา

    Back once again 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @shukranisibale1739
    @shukranisibale1739 28 วันที่ผ่านมา

    We jamaa ulitutupa sana saizi nipo sehemu ya 35 ya Wamayo aisee alijua kusimulia kama kitabu

    • @rerisamba
      @rerisamba 26 วันที่ผ่านมา +1

      Msalimie baby wetu wamayo

    • @shukranisibale1739
      @shukranisibale1739 26 วันที่ผ่านมา

      Mzee wa nikaingiamo

  • @donathamwangobe2776
    @donathamwangobe2776 27 วันที่ผ่านมา

    Davista Mungu akutunze akuepushe na mabaya