Askofu Gwajima wa kanisa la Ufufuo na uzima ameongea na Waandishi wa habari baada ya jina lake kutajwa kwenye orodha ya sakata la dawa za kulevya na mkuu wa mkoa Paul Makonda.
Hili jipu.. linalojificha kanisani. Wasiwasi wake ni kupoteza wachanga michango kila jumapili .. Kama hana hatia ya nini makelele? Kama kuitwa polisi ni kosa mshitaki Makonda mahakamani .. Kutaka Makonda abadilishwe kazi maana yake you have something to hide.. ! Makonda sjhikia chini hao mbwa.. hakuna cha Mchungaji wala nani..!
Hivi ni watu wangapi wamekusaidia hadi ukaandika huo ung'eng'e aisee?? LMAO..!!! Kuhojiwa na polisi ni suala la kawaida. Mimi sioni shida hapo. Gwajima hayuko juu ya sheria kama mtu ye yote yule. Kama mapadri wanakamatwa wakilawiti watoto ..! Maana yake hao ni binadamu .. na binadamu hufanya makosa au kuvunja sheria..including Gwajima.. You motherfuckers who think only coz Gwajima is a church minister .. and that should guarantee his sainthood.. you are gravely mistaken.. Muuza unga ye yote mwenye akili huwarubuni na kuwatumia au kuwalazimisha (blackmail) watu na kutumia sehemu au njia ambazo vyombo vya dola havitazami au kukagua; kama ziara za wanamichezo na watu wa dini, makanisa, misikiti au majeneza kama maficho ya madawa.. Wewe endela na imani ya kijinga inayokufanya kipofu.. Makonda knows what he is doing..! And you are simply a fucking dickhead ..!
i didn't say he was above the law ila your being disrespectful with thing that you dont have any knowledge on brother what if it was you ahh there your laughing your ass off like seriously
Sasa picha zima nimelipata,wale wa kwanza kina TD na kina Wema nikafara,mtu anayepigwa vita ni huyu askofu Gwajima,kisa na maana alimsupport Lowassa.Kucheza na akili za wabongo kila siku mikutano na waandishi wa habari kumbe muna chuki zenu za kisiasa mwataka kulipiza kisasi
tumechoka na madawa ukiitwa hata njian popote nenda na hadi unatajwa kuna wahusika wapo centro wakutaja na sio makonda sasa vita hii si ya Makonda ni watanzania wote pia hata uwe na fedha au umaarufu huwezi kuwa juu ya sheria
We mzee ucjipe shda ww unaxema hawez kuongoza mkoa kixa kakuita huko Pollice mbn Hjaxema kitaambo km huwz we fny uende mngne yatajulikana hukohuko.....
katika taarifa taarifa imesema kuna watu walioitwa kusaidia taarifa, wanaohusika kwa shughuli kufanyika katika maeneo yao, kushiriki kutumia, n.k hivyo hujatajwa upo kundi lipi. nenda kawaone vyombo vya habari kwa ajili ya biashara ndio wanalileta kwa mtazamo ambao inaonekana kama ni kutuhumiwa kuhisika moja kwa moja
Kwanza ilo lakuuliza?? Waumini wako unaohao apo wengine wanalala na njaa sukuma twende ndio mlo wao tena Mara moja kwanini mipesa ulionayokwanini atamwaka Mara moja mbona hatukuwahi kusikia???kwaiyo nenda zogo lanini?
atamnyoosha nani mtu kama ngwajima. anakunyoosha wewe binafsi labda unamtegemea ktk maisha yako. waislam tunamtegemea mmoja tuu aliyenyanyua mbingu saba basina kua na nguzo. khaaaa ya ngwajima huko huko hayatuhusu.
umwambie rahisi amfukuze kazi ww kama nani? hiyo nikazi yake pia na ndio mana kasema anadili na dar tu coz ni ikochini yake dar hata hao poli wapo chini yake
David Thomas+acha unafiki na upumbavu. unasema waislam wanamchukia ngwajima? Kwani aliyemuita police ni mwislam? ohooooooo''unayaka eeeee. pool makonda ni sheikh au ustaadh huyo aliyesema ngwajima aende kituo cha polisi.??? jiangalie sana. angeitwa na waislam huyo ngwajima wenu ungesema waislam hawampendi.
gwajima unaongea sanaa naisii kunakitu inside apo kanisani. why you people mnasingizia mambo ya kanisa iyo ni personal issue ww unatumia madawa au utumii baci cyo kureta taarabu apo kanisani. na unaudaktari wwote. makonda kashasema uko japani kunakitu na tutakijua 2. mkono wa mungu ni mkubwa
Bishop Josephat gwajima Mungu awe upande wako kikubwa zaidi Nyenyekea chini ya mkono wa Bwana tupo pamoja Baba yangu
Good job Gwajima Mungu yupo nawe
I love this Man.
We nenda ukweli utaukuta huko huko ww unamjua mungu na unamuabudu hasa mtangulize mungu mbele nenda kasikilize wito
safi,sio kuomba tu na kufanya kazi na kufungua miradi
movie continue, let wait and seee,naipenda sana tanzania kwa burudani kama hizi maana ni burudani tuuuuuuu
i love that movie
good Ngwajima asikofu
Safi sana Mchungaji, nimekuelewa sana wewe ni kichwa na kamwe usikubali kuwa mkia.
Huyu jamaa ni.................
😆😆😆😆
maumivu yakizidi kamuone daktari🙈🙈🙈
Mwanahamisi Hella pwahahahaha
Hahaaaa
Utaongea yote Gwajima Hata acha kuwanyoosha hadi mtanyooka tuu!!!
Hahaha
Majeshi majishi/ majeshi ya bwanaaaaa!!!!gwajima kiboko
Hili jipu.. linalojificha kanisani. Wasiwasi wake ni kupoteza wachanga michango kila jumapili .. Kama hana hatia ya nini makelele? Kama kuitwa polisi ni kosa mshitaki Makonda mahakamani .. Kutaka Makonda abadilishwe kazi maana yake you have something to hide.. ! Makonda sjhikia chini hao mbwa.. hakuna cha Mchungaji wala nani..!
Lazma uongee upuuz...Mi nadhani unaitaji akili ata mbwa anakuzidi akili wewe!! Gwajima oyee
Joseph Gomalo u must be an idiot
Hivi ni watu wangapi wamekusaidia hadi ukaandika huo ung'eng'e aisee?? LMAO..!!! Kuhojiwa na polisi ni suala la kawaida. Mimi sioni shida hapo. Gwajima hayuko juu ya sheria kama mtu ye yote yule. Kama mapadri wanakamatwa wakilawiti watoto ..! Maana yake hao ni binadamu .. na binadamu hufanya makosa au kuvunja sheria..including Gwajima.. You motherfuckers who think only coz Gwajima is a church minister .. and that should guarantee his sainthood.. you are gravely mistaken.. Muuza unga ye yote mwenye akili huwarubuni na kuwatumia au kuwalazimisha (blackmail) watu na kutumia sehemu au njia ambazo vyombo vya dola havitazami au kukagua; kama ziara za wanamichezo na watu wa dini, makanisa, misikiti au majeneza kama maficho ya madawa.. Wewe endela na imani ya kijinga inayokufanya kipofu.. Makonda knows what he is doing..! And you are simply a fucking dickhead ..!
i didn't say he was above the law ila your being disrespectful with thing that you dont have any knowledge on brother what if it was you ahh there your laughing your ass off like seriously
Joseph Gomalo keep trying bro the only one being insulted here is you simply youu
Sasa picha zima nimelipata,wale wa kwanza kina TD na kina Wema nikafara,mtu anayepigwa vita ni huyu askofu Gwajima,kisa na maana alimsupport Lowassa.Kucheza na akili za wabongo kila siku mikutano na waandishi wa habari kumbe muna chuki zenu za kisiasa mwataka kulipiza kisasi
hatari sana
kweli
manji nae katajwa au yy alimsapot hashim rungwe
Mullermba Chusa so true
kwahyo wema na wengne na wao walkuwa kwa lowasa achen hzooo..kma umecngziwa c yataisha coz hujakamatwa umeitwa tatzo nn bhana
hii match raha sana
If at all you are innocent man of God , you don't need to panic...
Safi sana baba!!!!
kwa jinsi anavyojitahidi kujielezea naanza kupata mashaka sasa
kizi mkazi anajibu maswali anayoulizwa kwa taarifa yako
wacha tuisome namba bwana weee😜😂
Hahahahaha..askofu upo vzur Sana na umemuonyesha kwamba wewe ni mkubwa kiakili zaidi yake...sasa meli imepinduka juu chini
jmn me naona hapo anajifagharisha tu mara namilik ndeg mara ktu gan cjui usiingzie sias hapo me nasubir kesho c ndo ijumaa
Siasaa nje njee
kwahiyo hii nchi ukiwa unapesa ww unauza unga sasa mbona wenye mapesa wengi
huyu MTU MTU kweli simwezi wasukuma wamekutana Kwa kweli,ila mungu akutenze baba akili ya maendeleo uliyonayo ni kubwa sana kila hatuwezi kukuelewa,
Gwajima subir makonda afanye uchunguzi usipaniki
duh huyu makonda ni gumzo sasa! Makonda ndo Habari ya mjini! Hamna cha njaa tena
Kweli kabisa
Daybre Limite hahaha i agree
its allmighty :Umeona broo!
tunasubir season. ya ngap vile?
Na ndani ya Yesu Kuna utajiri usio pimika na bodo Watazidi kuwa matajiri wa Kiroho na kimwili pia Mia ya Mia hapa baadaye Mbinguni
tumechoka na madawa ukiitwa hata njian popote nenda na hadi unatajwa kuna wahusika wapo centro wakutaja na sio makonda sasa vita hii si ya Makonda ni watanzania wote pia hata uwe na fedha au umaarufu huwezi kuwa juu ya sheria
We mzee ucjipe shda ww unaxema hawez kuongoza mkoa kixa kakuita huko Pollice mbn Hjaxema kitaambo km huwz we fny uende mngne yatajulikana hukohuko.....
Ok
jamani mm nazunguka kusoma comments tuu, maana kwenye comments ndio kuna uhondo zaidi
tiririkeni jamani wenye madukuduku
mama wawili mbarikiwa /hahahahahhahah- Aiseee hata mimi nimechoka kukoment
ccm Mbele kwa mbele....
Ezekieli Tengeneza oyeeeeeeeeee
Ezekieli Tengeneza teinaa.........
duh! kama movie ya kihindi vile
Rajab Omary hahhahahah wacha iendelee
mapovu yann nenda kaitike wito ukatoe mapovu kwa Siro
gwajima atari sana
😂😂😂😂😂😂askofuuuuuuuuuuu
hakuna cha lecture wala nini cha msingi wewe unadhaniwa nenda maneno mengi ya nini sasa ndege sijui nn si zinatuhusu nini
Jaman mbn...Mbowe aongei?....
Subiri uchunguzi
haija tangazwa mtandaon ona hata ww hujui ndo mana unauliza mxeeeeee ongelea social sio individual upo.......
hongera sana mkuu Gwajima
Nestory Mashishanga hongera kwa kuchangia kuharibu vijana
Hussein Sanda acha chuki
picha linazidi kunoga kudadeki
Ramadhan Urassa
😂😂😂😂 baba gwajima
katika taarifa taarifa imesema kuna watu walioitwa kusaidia taarifa, wanaohusika kwa shughuli kufanyika katika maeneo yao, kushiriki kutumia, n.k hivyo hujatajwa upo kundi lipi. nenda kawaone vyombo vya habari kwa ajili ya biashara ndio wanalileta kwa mtazamo ambao inaonekana kama ni kutuhumiwa kuhisika moja kwa moja
jmn mbowe bado me napenda kwl kufuatilia hawa mapapa hao akina recho tupa kule
heee ktk dunia hii kuna watakatifu jmn
Alafu serikal msicheze na iki kichwa iko kichwa nimoto jmn akiogopi wala halina wasi wasi
mmmmmmh
mh hatar
wa tz mnamambo haya pia cc wakenya tuko na letu
gwajima uko sawa,hata usipomjibu huyo jamaa
Acha ngendembwe ww karipot
Huna Akili
bravo
makonda ashafeli, ataftiwe kaz nyngne
gwaji umetisha kinoma hahah
😂😂😂😂 wee nenda umeitwa bahna
Mkuu WA mkowa WA ss ivi ajui kz amekuwa chawa WA wasani ndo maana mondi uwa hamsikilizi
Sasa nilikuwa na heri kopter nikageuza herikopta ndo nini sasa nan hajui una herikopta
unajitetea nin sasa we vp,,,,!?
makonda anataka kusaficha uchafu unao.haribu vijana wa tz na hao nyoka kelele tupu
mbona unababaika wewe unauza tu wacha kelele za chura
Nyie waislam lazma mmuchukie atazidi kuwanyoosha!!!!
Hassanova junior mmh poor youu
mwambie makonda aje alite vyeti aache kulialia hapa, arudi atoe vyeti
Kwanza ilo lakuuliza?? Waumini wako unaohao apo wengine wanalala na njaa sukuma twende ndio mlo wao tena Mara moja kwanini mipesa ulionayokwanini atamwaka Mara moja mbona hatukuwahi kusikia???kwaiyo nenda zogo lanini?
alafu mbona anajisifia Sana muhaya nini?
ally bububu
Ni msukuma huyo, kama alivyo mheshimiwa Paul Makonda.
askofu wewe nenda katangaze dini jela mmezoea kuharibu vijana nyie pesa mnapata wapi pesa nyie mtaropoka sana mwakaa huu
Ppl
kwa gwajimaaa wanakazi
unaonekana unajiamini sana lakini sijui mungu akutangulie
Time is always telling the true
Kwaiyo wewe papa tapeli mkubwa wewe unawatapeli watanzania hata shule yako ni ndogo sana unapenda sifa sana ngwajima
Now umekuwaaa mwanasiasaaaaaa
tobaaaa comment zane zimenitia nguvu nilukowa na homa maana mh !
kudadadeki
Sasa kwani kumeombwa ushauri?? Au umepewa taarifa Wende polisi? Zogo la nini? Ndugu zetu wanazidi kuteketea kwamadawa zogo lanini benk ndege umeulizwa?? Wewe nenda bwana wee
wachane mzee
ipokazi @millardayo
daras wambie waache mnano meng waend policy
Gwajima hata simuelewi anachojaribu kukisema.
Inaonekana amebaha
hakujui huyooo amuulize jk
atamnyoosha nani mtu kama ngwajima. anakunyoosha wewe binafsi labda unamtegemea ktk maisha yako. waislam tunamtegemea mmoja tuu aliyenyanyua mbingu saba basina kua na nguzo. khaaaa ya ngwajima huko huko hayatuhusu.
Weka mbali na watoto!
Gwajima unajilinganisha na papa....hivi hujui papa ni mkuu wa nchi na anaongoza dunia....!!!? hahahaaa....
😆😆😆😆anaongea vitu vingi dah
hekaheka
angekuwa babako ndo katajwa ungejickiaj..
picha limeanza kama movie ya solomon
Hassan Rashid
Ghafla vumbi linazidi wajanja tunavaa miwani. . HAhahaha
umwambie rahisi amfukuze kazi ww kama nani? hiyo nikazi yake pia na ndio mana kasema anadili na dar tu coz ni ikochini yake dar hata hao poli wapo chini yake
Fanya kazi ya BWANA
David Thomas+acha unafiki na upumbavu. unasema waislam wanamchukia ngwajima? Kwani aliyemuita police ni mwislam? ohooooooo''unayaka eeeee. pool makonda ni sheikh au ustaadh huyo aliyesema ngwajima aende kituo cha polisi.??? jiangalie sana. angeitwa na waislam huyo ngwajima wenu ungesema waislam hawampendi.
Rahma Shaban ndio mko negative ndio maana kama una macho utaona majina ya negative comments ni kina nani
hahaha
kelele za chura hazimzuii ng'ombe kunywa maji. eti makonda hawezi kazi hahahahaha
Kama anaweza Yuko wapi leo hahahahahaha
umepanic sasa kesho ww nenda tuu
unaham eeh nawe
hatutaki kelele nenda kaitike wito
ume panic braza😂😂😂😂😂😂😂
Miislamu ndo inakuja kumponda Gwajima atawanyosha...Pelekeni upuuz wenu mecca
mwengine ka panic😂😂😂😂😂, we mwenyewe wataka mtu akufundishe, ati lecture ya kidini Japan ,na kizungu hicho
sasa kama mtu ulikuwa biz na hukupata taarifa kwenye media, nn kinafanyika?!? makonda anahitaj uchunguzi
gwajima baba, namm nahitaj hizo millions
wenendatuu hatutaki maelezoo
gwajima unaongea sanaa naisii kunakitu inside apo kanisani. why you people mnasingizia mambo ya kanisa iyo ni personal issue ww unatumia madawa au utumii baci cyo kureta taarabu apo kanisani. na unaudaktari wwote. makonda kashasema uko japani kunakitu na tutakijua 2. mkono wa mungu ni mkubwa
Gwajima ni kichwa. Ndo mwana magufur qlimtaka uyu mtu
huyu jamaa ni msanii sijawah ona asee
kama uliweza kulala na mke wa mtu.. je??? utashidwaje kuuza madawa ya kulevya?????? kukuamin ww ni vigumu baba pambana na hali yako........
baba ako unajua amelala na wake watu wangap??? mbona unamuamini, je mama yako, una uhakika we sio mtoto wa mume wa mtu, mbona bado unamuamini
dingi yako mwenyewe kicheche humkatai kuwa sio dingi yako
Yaani unaongea kama ulikuwepo vile utapigwa pigo kwa kumsema mtumishi wa mungu ww..afu utabak umesema umelogwa
Nihatari kitete tupu
Wewe unaonekana una ngoma wewe.
This guy is reacting like a guilty man would
Njenga John hujui unachoongea wewe
waeleze wajinga hao
Mungu wetu tusaidie-nampenda sana bishop gwajima