YALIYOJIFICHA JUU YA KUTEKWA KWA KIJANA SATIVA WA TWITTER | AFRIKA HATUNA UHURU WA KUKOSOA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 27 มิ.ย. 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 123

  • @Zenny89
    @Zenny89 5 วันที่ผ่านมา +30

    Ukweli hauta kuja kupatikana Sababu waliofanya hivi wapo serikalini…na Polisi wametumika…Aliyempiga Risasi Tundu Lissu mpaka Leo hajulikani

    • @Taito-brand
      @Taito-brand 4 วันที่ผ่านมา +1

      Ww umemjua kam umemjua toa taarifa kak

    • @thadeylyimo9772
      @thadeylyimo9772 3 วันที่ผ่านมา

      Wasiojulikana..​@@Taito-brand

  • @ezekielmatondane714
    @ezekielmatondane714 4 วันที่ผ่านมา +13

    Acheni uchawa awamu ya 5 haifananishwi na chochote wa na huyo mama yenu asie tufaa watazania masikini anajali wazungu na matajili hafai kabisa musimufananishe na magufuli

  • @allytv1714
    @allytv1714 5 วันที่ผ่านมา +13

    Hii nchi ni ngumu sana kwanza ina wananchi waoga pili ina vyombo vya habari vya kusifia tyuu kuliko kusema kweli tutazidi kufa cz tunaserikali ya magaidi lazima tubadilike watanzania

  • @anitajacob3641
    @anitajacob3641 2 วันที่ผ่านมา +2

    Hii nchi yetu inaogopesha sana

  • @emanuelnisetas7510
    @emanuelnisetas7510 5 วันที่ผ่านมา +10

    Kuna siku hiinchi itawaka waache wajione wananguvu sis wananchi ndotuna ngutu ilawatanzania tuache wonga tupambanie nchiyetu

  • @DavalsonMarlony
    @DavalsonMarlony 5 วันที่ผ่านมา +16

    roho za wa kenya ituingie miyoyon mwetu watanzania amina

  • @hamoudcreator6343
    @hamoudcreator6343 5 วันที่ผ่านมา +16

    WANANCHI WA TANZANIA TUMEBEBA HASIRA NYINGI SANA MIOYONI MWETU...

    • @user-zb2mj5nd5g
      @user-zb2mj5nd5g 5 วันที่ผ่านมา +6

      Hasira zenye uoga ndani yake

    • @salmaalimusa6809
      @salmaalimusa6809 5 วันที่ผ่านมา

      ​@@user-zb2mj5nd5gtunapelekwa tu kama mambwa 😢tukiongea tunatekwa loooh tz amani hakuna

    • @halimamasai2234
      @halimamasai2234 5 วันที่ผ่านมา

      @@user-zb2mj5nd5g🤣🤣🤣

    • @hamoudcreator6343
      @hamoudcreator6343 5 วันที่ผ่านมา

      @@user-zb2mj5nd5g Siku Isiyo na Jina Utaisha....

    • @bujashidaniel5537
      @bujashidaniel5537 4 วันที่ผ่านมา

      True​@@user-zb2mj5nd5g

  • @fadhilmandaliabdalla6736
    @fadhilmandaliabdalla6736 4 วันที่ผ่านมา +4

    Huyo Edo sijuwi kama sio Shoga, sasa unaleta mambo nyuma ipi hiyo, huyo mamaako amefanya nn la maana, serikali ya Magu mgemtupia lawama yeye, ila saivi yupo huyu mnamuekea maneno mdomon na kusafisha tawala yake, acheni chuki za kishoga hizo

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 5 วันที่ผ่านมา +13

    KWANI MUKISHAMUAISHA KATIKA HOSPITAL ALAFU MKACHUKUA MAELEZO YAKE NI VIZURI ZAIDI KULIKO MTU KUFALIKI UKU MNAMUOJI UDUMA YA KWANZA IWE KWANZA MENGINE YAENDELEHE BADAE 😢😢😢

  • @bossmolellsisiya4101
    @bossmolellsisiya4101 4 วันที่ผ่านมา +4

    wapuuzi sana hao badala ya kumsaidia kwanza wana muhoji washamba sana haw

  • @hassaniibrahim300
    @hassaniibrahim300 2 วันที่ผ่านมา +3

    KWANZA APELEKWE HOSPITAL SIO KUMHOJI MTU YUPO MAHUTUTI SAAANA

  • @cloudjulius-sf6nw
    @cloudjulius-sf6nw 4 วันที่ผ่านมา +1

    Safe sana wasafi wambieni viongozi wa serikali ipoh siku tutagawana majumba

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra636 5 วันที่ผ่านมา +8

    Watanzania mjifunze kutoa huduma kwanza jamani mtu mna muona anahitaji huduma ya kupelekwa hospital kuliko mmuwahishe hospital mna muhoji sijui muite viongozi wamtaa sijui police 🚔 hivyo vyote vya nini!

    • @ms123ru
      @ms123ru 5 วันที่ผ่านมา +1

      Uwez msaidia mgonjwa Kama hauna taarifaa kaka

    • @thespaniardinme
      @thespaniardinme 5 วันที่ผ่านมา

      Watu wetu mambo ya first aid ni 0 kabisa. Mtu analalamika kabisa kichwa kinauma, mara mbili, wao wanamhoji juu ya waliomteka. Mpaka unajiuliza, wao polisi? Au wanataka content? Yani hawakufikiria kabisa kuwa analalamika maana hayupo vizuri. Jukumu lako ukimkuta ni kuita polisi au kumpeleka kupata huduma, baas.

    • @jumbeojaso5767
      @jumbeojaso5767 5 วันที่ผ่านมา +1

      ​​@@thespaniardinmesiyo kweli, kumfahamu jina na anakotoka kama anaweza kuongea ni muhimu kwani anaweza kufa ghafla na ikawa shida kwa uliyemuokota.
      Au hujwahi kusikia,mtu mshtakiwa kwa mauaji ambayo hakutenda.
      Lazima uchukue tahadhari bila kukurupuka

    • @thespaniardinme
      @thespaniardinme 5 วันที่ผ่านมา +1

      @@jumbeojaso5767 hiyo ni sheria au mazoea? Kama ni sheria, ni sheria ipi, maana labda mimi siifahamu lakini wewe unaifahamu. Na zaidi, ina faida gani kwako kama umejua jina halafu akakufia mikononi, then what? Nia ni yeye kuwa saved au wewe kujua jina lake? Na zaidi, inachukua muda wote huo wa video kujua jina lake tu? For real???

    • @Thisisgrace979
      @Thisisgrace979 3 วันที่ผ่านมา

      Kwaio bora afe akiwa anahojiwa?​@@ms123ru

  • @allymwilu8089
    @allymwilu8089 3 วันที่ผ่านมา

    Si ndo mama qnaupiga mwingi au😂😂😂😂😂 daah aya kesho kwa mungu uko kuna neno

  • @ramadhanijawas3204
    @ramadhanijawas3204 4 วันที่ผ่านมา

    Hata uko hospital wasije kwenda kummalizia au maigizo kutoka juu yakumuwekea sindano ya sumu daaaa Tanzagiza daaa watu wanateseka sana na sisi wanchi tukoo kimyaa daa mungu zidi ibariki Kenya

  • @ayubukedimundi3221
    @ayubukedimundi3221 3 วันที่ผ่านมา +1

    Tumewachoka viongozi wenu wanafanya vitu vya ovyooo Sana..... Kiukweli kabisa binasi siwapendi vitu wanavyovifanya mm naumia Sana moyoni

  • @user-ly9us4db3m
    @user-ly9us4db3m 5 วันที่ผ่านมา +3

    Dar dar inaumiza sana jamani mbaka tumbo limeniuma lauchungu Mungu msaidie kijana wawatu apone jamani

    • @lwakainaza
      @lwakainaza 2 วันที่ผ่านมา

      Tumbo limekuuma la uchungu? Unamimba?

    • @user-ly9us4db3m
      @user-ly9us4db3m 2 วันที่ผ่านมา

      @@lwakainaza utajuaje kama nina mimba au sina acha umbea

  • @yordanyona1234
    @yordanyona1234 5 วันที่ผ่านมา +1

    Wachunguzwe vijana ccm ...maaana yule aliyeongea Bukoba atoe maelezo

  • @Vuvuzelaz1
    @Vuvuzelaz1 3 วันที่ผ่านมา

    Nani anamlinda hugo kijana huko hospitali ili watekaji wasiende kumdhulu au ndio masikini hana ulinzi ?!

  • @DavalsonMarlony
    @DavalsonMarlony 5 วันที่ผ่านมา +2

    kmsifu mama ndo nn mnaznguwa nanyie watangazaji

  • @user-fh1vu5xk3j
    @user-fh1vu5xk3j 4 วันที่ผ่านมา

    Kwa umri wake na kazi zake, itakuwa ni kukosoa baadhi ya vitu, maana Tanzania ndo nchi pekee ukikosoa ni kosa kubwa sana

  • @zefamange7281
    @zefamange7281 วันที่ผ่านมา

    Mlisema huyu wa sasa hateki watu anaupiga mwingi, huo ndio mwingi.

  • @zebedayokatamaduni9676
    @zebedayokatamaduni9676 2 วันที่ผ่านมา

    Sasa mtu anahojiwa wakati ameumizwa , jamani wananchi tupewe thamani.
    Atibiwe kwanza kwanza

  • @simbarajabu4157
    @simbarajabu4157 3 วันที่ผ่านมา

    Huyu kijana anajuwa watu walimfanya hivyo ni WA chama chake na hii ni kuona akuna ishu yeyote kwenye chama Chao ,sasa wanafanya mazingaombwe ,upigwe risasi ya Taya upone nchi hii usanii mwingi sana

  • @user-rc2ye4ri6t
    @user-rc2ye4ri6t 5 วันที่ผ่านมา +2

    Tanzania bdo wako kwa ukoloni hwana uhuru wa kuongea democracy

  • @boychidu
    @boychidu 3 วันที่ผ่านมา

    TANZANIA BUANAAA MUNGU WETU TULIPIZIE HILI MAANA SISI MASKINI WAKO HATUNA HATIA YOYOTE LAKINI TUNANYANYASWA NA WENYE UWEZO NAOMBA UPIGANE NAO WANAO PIGANA NA SISI 🎉🎉🎉🎉🎉😢😢😢😢

  • @evansmoshi1923
    @evansmoshi1923 5 วันที่ผ่านมา

    Hawa vijana hayo mauvu wanayo pata wanabaiki na kinyongo moyoni siku wakiamua kutoa kinyongo moyoni sidhali kama watuzuiliwa na mtu yeyote.

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 5 วันที่ผ่านมา

    Ndugu Muandishi kuna kiongozi alidiriki kusema wataua watu na hakuchukuliwa hatua yeyote. Watu wanapotea nchi hii jamani tuacheni roho mbaya kila mtu atakufa hakuna atakaishi milele

  • @harunamtiko117
    @harunamtiko117 วันที่ผ่านมา

    Polisi sio rafiki kwa wananchi tena, kinachotakiwa kila mtanzania achukue tahadhari na maisha yake, ikibid kila mt atembee na silaha yyte kwa ajili ya kujilinda binafsi, ikitokea mt anataka kukukamata bila kufata utaratibu bx unamalizana nae, n bora akuue pale pale kuliko akuteke apoteze ushahidi. Uoga haufai tena vngnevyo tutazd kuuwawa kila siku.

  • @user-uy5nx1bj5r
    @user-uy5nx1bj5r 2 วันที่ผ่านมา

    Risasi kwenye Taya bila matibabu wala damu na anaongea haya

  • @simbarajabu4157
    @simbarajabu4157 3 วันที่ผ่านมา

    Huyu jamaa waache mazingaombwe police awawezi kusema bila ya yy mwenyeewe kusema maana Hawa vijana hatari sana ,mm siamini na naendelea kutokuamini ,uwezi kupigwa risasi ya Taya uwe hivyo ,police fanyeni kazi yenu kiweledi huyo ataeleza ukweli

  • @muthegreat3667
    @muthegreat3667 3 วันที่ผ่านมา +1

    Wapeni taarifa ipo siku tutachoka t .

  • @Zenny89
    @Zenny89 5 วันที่ผ่านมา +1

    Ila Polisi wa Tanzania…baada ya kumpeleka mtu hospitali kwanza mnaanza kumhoji hapo hapo wakati ameumia.

    • @abbeyngamilo
      @abbeyngamilo 5 วันที่ผ่านมา

      ajabu sana, halau wanataka kumpeleka polisi kwanza ndio hospitali

    • @shaurimtanda8285
      @shaurimtanda8285 5 วันที่ผ่านมา

      huyo siyo polisi ni mkurugenzi wa halmashauri ndiye aliyeelekeza kupatiwa.matibabu baada ya kupata particular zake

    • @Taito-brand
      @Taito-brand 4 วันที่ผ่านมา

      @@shaurimtanda8285yan kak wananchi wa nchi hii bhn kitu ana uwakik nach analopoka tu ajui anaropoka ndio mana unakuta watu wanawalaumu polis ndio wanahusik lakin ajui chcht kisa kamsikia fulan kasem jamn kuwen makin aiseeh cause kitu una uwakik kaa kmy

  • @mwalimumstaafu8529
    @mwalimumstaafu8529 3 วันที่ผ่านมา

    Uhuru wa kusifia sio kukosoa . Hakuna hatua yeyote. Awamu hii ni ya wawekezaji na matajiri. Sikiliza hotuba za wanasiasa kusikia neno watu maskini ni adimu sana. Siku hii ni wawekezaji ndio wana haki. Kwa sasa tuna philosophy ya kibebari trickle down effect ambao imefeli.

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 3 วันที่ผ่านมา

    Huyo kaka ake aseme vizur ndug yake alielekea wap ndug sai wamegeuka wanyam

  • @alimohamed5757
    @alimohamed5757 4 วันที่ผ่านมา

    si Tanzania dunia nzima

  • @himanmwalwala7569
    @himanmwalwala7569 5 วันที่ผ่านมา +4

    Sababu ya kutekwa nani ataitoa??
    Maana Hadi Leo sijawahi sikia Moalipotekwa

  • @hassaniibrahim300
    @hassaniibrahim300 2 วันที่ผ่านมา

    KWA NINI WANAMHOJI WAKATI ALITAKIWA APELEKWE HARAKA HOSPITAL

  • @Chrisblaze-beats
    @Chrisblaze-beats 4 วันที่ผ่านมา

    Hawaku muacha hai walimuuwa ila Mungu alimuokoa. Hawakukusudia awe hai sema risasi ilipita maeneo ambapo Mungu alimuokoa. Yani Huyo ACP anaangaika kwamba kapigwa na kitu chenye ncha kali au sio. Hayo yanahusiana vipi. Kamata watekaji ng’ombe we

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 4 วันที่ผ่านมา

    Cha msingi hapo ni kumwahisha hosipital acheni ujinga akipona mtamhoji ndo nchi yeti ya Tanzania na jeshi la police sijui km Kuna kitakachofanyika maana sijaona wasiojulikana wakikamatwa Tanzania duh

  • @thadeylyimo9772
    @thadeylyimo9772 3 วันที่ผ่านมา

    Katavi porini ili aliwe na simba. Kweli wasiojulikana ni kiboko..

  • @WahidaHilaly
    @WahidaHilaly 4 วันที่ผ่านมา

    Kuna ben saa nane ad leo ajulikani alipo 😢😢

  • @frankraphael7546
    @frankraphael7546 3 วันที่ผ่านมา

    Osika unajibu kwakubabaika iyi nch niyetu utekaji ni mwingi tuliko Toka uyokijana amechukuliwa kituo Cha polis kwamaongezi yake polis inajua nawala upelelez auwez kufanyika

  • @ndolimanaamani9106
    @ndolimanaamani9106 3 วันที่ผ่านมา

    Oscar kuna muda huwa unajikakamua kuongea halafu unachanganya damu

  • @ombeniefata2239
    @ombeniefata2239 3 วันที่ผ่านมา

    Acheni unafiki watangazaji uhuru tanzania amna kuna uoga tu

  • @TellaaxisTz
    @TellaaxisTz 5 วันที่ผ่านมา

    😮

  • @khamisomary7428
    @khamisomary7428 5 วันที่ผ่านมา

    Inashangaza sana nahapa kuna kitu hakipo sawa, watu wanaanza maneno kuliko uhai wake

    • @khamisomary7428
      @khamisomary7428 5 วันที่ผ่านมา

      Tena wanarekodi jamani😢😢

  • @aiyaavibes7610
    @aiyaavibes7610 5 วันที่ผ่านมา

    *INAUMIZA SANAAAAAAAA*

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 5 วันที่ผ่านมา

    Mnategemea maneno ya Daktari au Polisi ambae kasikia alipelekwa Polisi 😂

  • @ahnafaykhan698
    @ahnafaykhan698 5 วันที่ผ่านมา

    inaonekana hao waliokuwa wanamhiji walitka afue hapo ili kupoteza ushahidi

  • @paulmbonika2459
    @paulmbonika2459 5 วันที่ผ่านมา

    Yani kamanda wa polisi anajibu kwa wepesi na mipasho kbsa, kana kwamba tunaongelea katoa single flani hivi na sio uhai na usalama wa watu.

    • @Taito-brand
      @Taito-brand 4 วันที่ผ่านมา

      Brow wew ulitaka aongeaj acha ujinga kwan yy ndio amehusika

  • @emmanuelrobert4757
    @emmanuelrobert4757 5 วันที่ผ่านมา

    Kiukwel sio sawa aliyefanya hivi ipo siku itarud kwake real

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 5 วันที่ผ่านมา +1

    Mama Samia tusaidie kwa hili kwann watu wanateka watu?

    • @taylorkasitu3819
      @taylorkasitu3819 5 วันที่ผ่านมา

      mmm ok utasubiri sana si kawarudisha serikalini

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 5 วันที่ผ่านมา

      Kwani hajui

  • @ayubukedimundi3221
    @ayubukedimundi3221 3 วันที่ผ่านมา

    Alafu apo Kuna wale wa haki za jamiii na binadamu na wamekaa kimya wakati wao matukio ya kipumbavu wanakuja kukemea......

    • @user-wi8og3sv4j
      @user-wi8og3sv4j 2 วันที่ผ่านมา

      Atakuwa shoga haki za binadamu hata kutoka ulaya wangeshafika kutetea

  • @BeniJohn-xd3cn
    @BeniJohn-xd3cn 3 วันที่ผ่านมา

    CCM MAPINDUZI SIYO WATU

  • @zachmaselle6635
    @zachmaselle6635 5 วันที่ผ่านมา

    ..... nchi nyingi si huru kama watu wanavyofikiria. Hat nchi mnazoambiwa ni huru, siyo huru. Na hili siyo nchi za kiafrika tu..............nchi za magharibi hii kitu ni kubwa sana.

    • @Uhuru351
      @Uhuru351 5 วันที่ผ่านมา

      Kwa hiyo unatetea hili tukio??

    • @zachmaselle6635
      @zachmaselle6635 3 วันที่ผ่านมา +1

      @@Uhuru351 Hapana sitetei hili suala hata kidogo ndiyo maana watanzania ni waoga, sababu mambo kama haya yanaleta hofu. Kuachwa kwa huyu kijana kwenye hifadhi ya taifa, ina maana walitaka aliwe na wanyama. Inatisha.

  • @InjiliyaUfalmetv
    @InjiliyaUfalmetv 4 วันที่ผ่านมา

    Serikali serikaki serikali msipokemea haya mambo moto wa jehanamu unawaongoja Hakika Mtochomwa milele ,tumbo limeniuma Eee Mungu wangu

  • @evansmoshi1923
    @evansmoshi1923 5 วันที่ผ่านมา

    Tz watu hawapendi kukosokewa wanataka kusifiwa2

  • @alzawahirabdallah2299
    @alzawahirabdallah2299 5 วันที่ผ่านมา

    Wapumbavu mnamuhoji tu sio mumuwahishe hospital kwanza

  • @haidhabushiri9558
    @haidhabushiri9558 5 วันที่ผ่านมา

    Nyie msaidie aende hospitali

  • @zarabati1750
    @zarabati1750 4 วันที่ผ่านมา

    Police ndo hutumika kufanya hivi sana sana wangapi walitekwa na hadi leo kimya

    • @Taito-brand
      @Taito-brand 4 วันที่ผ่านมา

      Unauwakik tuhuma hiz ndg zang unauhakik

  • @ahnafaykhan698
    @ahnafaykhan698 5 วันที่ผ่านมา

    au tukiamshe km kenya au serekali mnajikuta nani??! GEN ZI hata tz tpo

  • @salmaalimusa6809
    @salmaalimusa6809 5 วันที่ผ่านมา

    Tz ina uhuru wa kusifia ila siyo kuponda.hatuna viongozi serikali uozo tu

  • @halimamasai2234
    @halimamasai2234 5 วันที่ผ่านมา

    Na huyo anayo muhoji ni fala sana kwa maswali mtu anamaumivu we mwasawali ya nini

  • @JohnAdam-mv3ks
    @JohnAdam-mv3ks 5 วันที่ผ่านมา +1

    Nani alishakamatwa kwa kesi ya itekaji hapa bongo!?? Watu wengi wameshatekwa hajiawahi kujulikana mhusika mkuu wa haya matukio ila bongo dah hatareeee sana

  • @cloudjulius-sf6nw
    @cloudjulius-sf6nw 4 วันที่ผ่านมา

    Jeshi la polisi mkowapi fanyeni kazi msikumbatie chama tawala

  • @user-tt1ze2dw4x
    @user-tt1ze2dw4x 4 วันที่ผ่านมา

    Sisi tuacheni tu na tukubali Tanzania Amani akuna kabisa pia Tanzania tunauoga mwingi Sana leo hii kwa ujinga uo uliofanyika watu waingie mtaani watafute haki aise mbona mnapata aki ndomna mm bongo mnisqau kabisa 😂 siji na adi uraia nishabadilisha zangu😂

  • @user-ob8cd2zj1o
    @user-ob8cd2zj1o 4 วันที่ผ่านมา

    NYIE WOTE WAOGA#

  • @nikkimbishiunju2402
    @nikkimbishiunju2402 5 วันที่ผ่านมา

    Sio Mbezi Beach wewe,kuweni makini na habari zenu.

  • @EmmanuelChrispin-bo5xh
    @EmmanuelChrispin-bo5xh 5 วันที่ผ่านมา +3

    Kwamala ya kwanza wasafi mmetisha siokila siku umeupiga mwingi

    • @Fgldesigns
      @Fgldesigns 5 วันที่ผ่านมา

      Huoni walivyonywea wameshindwa kukwepa wanaanza tusirudi hayo mambo yapo kila awamu waavhe kumchafua aliyepita maana woye wako hivyo hivyo

    • @Fgldesigns
      @Fgldesigns 5 วันที่ผ่านมา

      Huoni walivyonywea wameshindwa kukwepa wanaanza tusirudi hayo mambo yapo kila awamu waavhe kumchafua aliyepita maana woye wako hivyo hivyo

    • @samsonsamwel8782
      @samsonsamwel8782 5 วันที่ผ่านมา +1

      Wameanza kujtambua

  • @jumarchris
    @jumarchris 4 วันที่ผ่านมา

    wee nawe panya mbezi bichi ipo wilaya ya ubungo😁😁😁 achakujichanga ni mbezi ya kimara kwa msuguli

  • @clementhiddi1486
    @clementhiddi1486 5 วันที่ผ่านมา

    Machawa slow your words msisifie visivyo sifika.

  • @user-qo6qv6mc5p
    @user-qo6qv6mc5p 5 วันที่ผ่านมา

    Badae utrahoji hayajawakut

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 5 วันที่ผ่านมา +2

    Viongozi wa upinzani walisema kuna kundi mkadharau yaani tutakoma

  • @noelmbosa2736
    @noelmbosa2736 2 วันที่ผ่านมา

    Mmmm upandacho ndicho utavuna kwa wakati uliyefanya haya Mungu akulipe tena ulaaniwe. shetani wewe na hao mliofanya. Mungu amewachoka na atawaweka peupe, wote tutajua ibilisi wakubwa nyie. mtalipwa hapahapa dunian shetani nyie

  • @user-qo6qv6mc5p
    @user-qo6qv6mc5p 5 วันที่ผ่านมา

    Polis uzembe tibu mtu hali sinzur

  • @happymackjacob3480
    @happymackjacob3480 5 วันที่ผ่านมา

    wame mpigia mnyakyusaaa

  • @user-qo6qv6mc5p
    @user-qo6qv6mc5p 5 วันที่ผ่านมา

    Xavi mtupu

  • @janethpallangyo3855
    @janethpallangyo3855 วันที่ผ่านมา

    Pumbavu kabisa hii serikali

  • @princemimi2090
    @princemimi2090 วันที่ผ่านมา

    wachambuz wa mpira hawaa

  • @alzawahirabdallah2299
    @alzawahirabdallah2299 5 วันที่ผ่านมา

    Waache tu tutakuja kuwakodi wakenya

  • @blackyoungmaestro
    @blackyoungmaestro 5 วันที่ผ่านมา

    Vijana fanyeni kazi acheni kukesha mitandao ya kijamii. Mind your business

    • @saidsoudamiri4054
      @saidsoudamiri4054 5 วันที่ผ่านมา +2

      MO DEWJI Hana kazi ya kufanya???

    • @paulmbonika2459
      @paulmbonika2459 5 วันที่ผ่านมา

      You are such a fool. Sana.

    • @hassangasaba4565
      @hassangasaba4565 5 วันที่ผ่านมา +2

      Hivi mo dewiji na tundu lisu hawakuwa na kazi yakufanya.

    • @GubraCity-dm5sx
      @GubraCity-dm5sx 5 วันที่ผ่านมา

      ​@@hassangasaba4565hapo chacha

    • @dicksonkilupa2258
      @dicksonkilupa2258 5 วันที่ผ่านมา

      Police watuambie simu zake zilikuwa jirani na simu za nani kipindi cha utekwaji wake na kwa sasa simu zake ziko wapi kimtandao.

  • @hassaniibrahim300
    @hassaniibrahim300 2 วันที่ผ่านมา

    ILITAKIWA KWANZA APEWE HUDUMA SIO KUMHOJI SAAANA HUO SIO UBINADAMU

  • @Taito-brand
    @Taito-brand 4 วันที่ผ่านมา

    Kiukweli siamin kam
    Polis ndio wamehusik kuna mda unahukum mtu ambae hat una uwakik unasem tu kisa fulani kasema eet polis wamehusik unalipa tuhuma jeshi ukiitwa na kutoa taarifa utatoa acheni kufat mikumbo nawaambia ndg zangu