Acheni uchawa awamu ya 5 haifananishwi na chochote wa na huyo mama yenu asie tufaa watazania masikini anajali wazungu na matajili hafai kabisa musimufananishe na magufuli
Hii nchi ni ngumu sana kwanza ina wananchi waoga pili ina vyombo vya habari vya kusifia tyuu kuliko kusema kweli tutazidi kufa cz tunaserikali ya magaidi lazima tubadilike watanzania
Huyo Edo sijuwi kama sio Shoga, sasa unaleta mambo nyuma ipi hiyo, huyo mamaako amefanya nn la maana, serikali ya Magu mgemtupia lawama yeye, ila saivi yupo huyu mnamuekea maneno mdomon na kusafisha tawala yake, acheni chuki za kishoga hizo
KWANI MUKISHAMUAISHA KATIKA HOSPITAL ALAFU MKACHUKUA MAELEZO YAKE NI VIZURI ZAIDI KULIKO MTU KUFALIKI UKU MNAMUOJI UDUMA YA KWANZA IWE KWANZA MENGINE YAENDELEHE BADAE 😢😢😢
Watanzania mjifunze kutoa huduma kwanza jamani mtu mna muona anahitaji huduma ya kupelekwa hospital kuliko mmuwahishe hospital mna muhoji sijui muite viongozi wamtaa sijui police 🚔 hivyo vyote vya nini!
Watu wetu mambo ya first aid ni 0 kabisa. Mtu analalamika kabisa kichwa kinauma, mara mbili, wao wanamhoji juu ya waliomteka. Mpaka unajiuliza, wao polisi? Au wanataka content? Yani hawakufikiria kabisa kuwa analalamika maana hayupo vizuri. Jukumu lako ukimkuta ni kuita polisi au kumpeleka kupata huduma, baas.
@@thespaniardinmesiyo kweli, kumfahamu jina na anakotoka kama anaweza kuongea ni muhimu kwani anaweza kufa ghafla na ikawa shida kwa uliyemuokota. Au hujwahi kusikia,mtu mshtakiwa kwa mauaji ambayo hakutenda. Lazima uchukue tahadhari bila kukurupuka
@@jumbeojaso5767 hiyo ni sheria au mazoea? Kama ni sheria, ni sheria ipi, maana labda mimi siifahamu lakini wewe unaifahamu. Na zaidi, ina faida gani kwako kama umejua jina halafu akakufia mikononi, then what? Nia ni yeye kuwa saved au wewe kujua jina lake? Na zaidi, inachukua muda wote huo wa video kujua jina lake tu? For real???
Hata uko hospital wasije kwenda kummalizia au maigizo kutoka juu yakumuwekea sindano ya sumu daaaa Tanzagiza daaa watu wanateseka sana na sisi wanchi tukoo kimyaa daa mungu zidi ibariki Kenya
Huyu kijana anajuwa watu walimfanya hivyo ni WA chama chake na hii ni kuona akuna ishu yeyote kwenye chama Chao ,sasa wanafanya mazingaombwe ,upigwe risasi ya Taya upone nchi hii usanii mwingi sana
TANZANIA BUANAAA MUNGU WETU TULIPIZIE HILI MAANA SISI MASKINI WAKO HATUNA HATIA YOYOTE LAKINI TUNANYANYASWA NA WENYE UWEZO NAOMBA UPIGANE NAO WANAO PIGANA NA SISI 🎉🎉🎉🎉🎉😢😢😢😢
Ndugu Muandishi kuna kiongozi alidiriki kusema wataua watu na hakuchukuliwa hatua yeyote. Watu wanapotea nchi hii jamani tuacheni roho mbaya kila mtu atakufa hakuna atakaishi milele
Polisi sio rafiki kwa wananchi tena, kinachotakiwa kila mtanzania achukue tahadhari na maisha yake, ikibid kila mt atembee na silaha yyte kwa ajili ya kujilinda binafsi, ikitokea mt anataka kukukamata bila kufata utaratibu bx unamalizana nae, n bora akuue pale pale kuliko akuteke apoteze ushahidi. Uoga haufai tena vngnevyo tutazd kuuwawa kila siku.
Huyu jamaa waache mazingaombwe police awawezi kusema bila ya yy mwenyeewe kusema maana Hawa vijana hatari sana ,mm siamini na naendelea kutokuamini ,uwezi kupigwa risasi ya Taya uwe hivyo ,police fanyeni kazi yenu kiweledi huyo ataeleza ukweli
@@shaurimtanda8285yan kak wananchi wa nchi hii bhn kitu ana uwakik nach analopoka tu ajui anaropoka ndio mana unakuta watu wanawalaumu polis ndio wanahusik lakin ajui chcht kisa kamsikia fulan kasem jamn kuwen makin aiseeh cause kitu una uwakik kaa kmy
Uhuru wa kusifia sio kukosoa . Hakuna hatua yeyote. Awamu hii ni ya wawekezaji na matajiri. Sikiliza hotuba za wanasiasa kusikia neno watu maskini ni adimu sana. Siku hii ni wawekezaji ndio wana haki. Kwa sasa tuna philosophy ya kibebari trickle down effect ambao imefeli.
Hawaku muacha hai walimuuwa ila Mungu alimuokoa. Hawakukusudia awe hai sema risasi ilipita maeneo ambapo Mungu alimuokoa. Yani Huyo ACP anaangaika kwamba kapigwa na kitu chenye ncha kali au sio. Hayo yanahusiana vipi. Kamata watekaji ng’ombe we
Cha msingi hapo ni kumwahisha hosipital acheni ujinga akipona mtamhoji ndo nchi yeti ya Tanzania na jeshi la police sijui km Kuna kitakachofanyika maana sijaona wasiojulikana wakikamatwa Tanzania duh
Osika unajibu kwakubabaika iyi nch niyetu utekaji ni mwingi tuliko Toka uyokijana amechukuliwa kituo Cha polis kwamaongezi yake polis inajua nawala upelelez auwez kufanyika
..... nchi nyingi si huru kama watu wanavyofikiria. Hat nchi mnazoambiwa ni huru, siyo huru. Na hili siyo nchi za kiafrika tu..............nchi za magharibi hii kitu ni kubwa sana.
@@Uhuru351 Hapana sitetei hili suala hata kidogo ndiyo maana watanzania ni waoga, sababu mambo kama haya yanaleta hofu. Kuachwa kwa huyu kijana kwenye hifadhi ya taifa, ina maana walitaka aliwe na wanyama. Inatisha.
Nani alishakamatwa kwa kesi ya itekaji hapa bongo!?? Watu wengi wameshatekwa hajiawahi kujulikana mhusika mkuu wa haya matukio ila bongo dah hatareeee sana
Sisi tuacheni tu na tukubali Tanzania Amani akuna kabisa pia Tanzania tunauoga mwingi Sana leo hii kwa ujinga uo uliofanyika watu waingie mtaani watafute haki aise mbona mnapata aki ndomna mm bongo mnisqau kabisa 😂 siji na adi uraia nishabadilisha zangu😂
Mmmm upandacho ndicho utavuna kwa wakati uliyefanya haya Mungu akulipe tena ulaaniwe. shetani wewe na hao mliofanya. Mungu amewachoka na atawaweka peupe, wote tutajua ibilisi wakubwa nyie. mtalipwa hapahapa dunian shetani nyie
Kiukweli siamin kam Polis ndio wamehusik kuna mda unahukum mtu ambae hat una uwakik unasem tu kisa fulani kasema eet polis wamehusik unalipa tuhuma jeshi ukiitwa na kutoa taarifa utatoa acheni kufat mikumbo nawaambia ndg zangu
Ukweli hauta kuja kupatikana Sababu waliofanya hivi wapo serikalini…na Polisi wametumika…Aliyempiga Risasi Tundu Lissu mpaka Leo hajulikani
Ww umemjua kam umemjua toa taarifa kak
Wasiojulikana..@@Taito-brand
Acheni uchawa awamu ya 5 haifananishwi na chochote wa na huyo mama yenu asie tufaa watazania masikini anajali wazungu na matajili hafai kabisa musimufananishe na magufuli
Hii nchi ni ngumu sana kwanza ina wananchi waoga pili ina vyombo vya habari vya kusifia tyuu kuliko kusema kweli tutazidi kufa cz tunaserikali ya magaidi lazima tubadilike watanzania
Hii nchi yetu inaogopesha sana
Kuna siku hiinchi itawaka waache wajione wananguvu sis wananchi ndotuna ngutu ilawatanzania tuache wonga tupambanie nchiyetu
roho za wa kenya ituingie miyoyon mwetu watanzania amina
WANANCHI WA TANZANIA TUMEBEBA HASIRA NYINGI SANA MIOYONI MWETU...
Hasira zenye uoga ndani yake
@@user-zb2mj5nd5gtunapelekwa tu kama mambwa 😢tukiongea tunatekwa loooh tz amani hakuna
@@user-zb2mj5nd5g🤣🤣🤣
@@user-zb2mj5nd5g Siku Isiyo na Jina Utaisha....
True@@user-zb2mj5nd5g
Huyo Edo sijuwi kama sio Shoga, sasa unaleta mambo nyuma ipi hiyo, huyo mamaako amefanya nn la maana, serikali ya Magu mgemtupia lawama yeye, ila saivi yupo huyu mnamuekea maneno mdomon na kusafisha tawala yake, acheni chuki za kishoga hizo
KWANI MUKISHAMUAISHA KATIKA HOSPITAL ALAFU MKACHUKUA MAELEZO YAKE NI VIZURI ZAIDI KULIKO MTU KUFALIKI UKU MNAMUOJI UDUMA YA KWANZA IWE KWANZA MENGINE YAENDELEHE BADAE 😢😢😢
Kabisa yani😢😢
@@AdelaideZacariasZacarias-hp8gsjambo zuri kabisa one African love
wapuuzi sana hao badala ya kumsaidia kwanza wana muhoji washamba sana haw
KWANZA APELEKWE HOSPITAL SIO KUMHOJI MTU YUPO MAHUTUTI SAAANA
Safe sana wasafi wambieni viongozi wa serikali ipoh siku tutagawana majumba
Watanzania mjifunze kutoa huduma kwanza jamani mtu mna muona anahitaji huduma ya kupelekwa hospital kuliko mmuwahishe hospital mna muhoji sijui muite viongozi wamtaa sijui police 🚔 hivyo vyote vya nini!
Uwez msaidia mgonjwa Kama hauna taarifaa kaka
Watu wetu mambo ya first aid ni 0 kabisa. Mtu analalamika kabisa kichwa kinauma, mara mbili, wao wanamhoji juu ya waliomteka. Mpaka unajiuliza, wao polisi? Au wanataka content? Yani hawakufikiria kabisa kuwa analalamika maana hayupo vizuri. Jukumu lako ukimkuta ni kuita polisi au kumpeleka kupata huduma, baas.
@@thespaniardinmesiyo kweli, kumfahamu jina na anakotoka kama anaweza kuongea ni muhimu kwani anaweza kufa ghafla na ikawa shida kwa uliyemuokota.
Au hujwahi kusikia,mtu mshtakiwa kwa mauaji ambayo hakutenda.
Lazima uchukue tahadhari bila kukurupuka
@@jumbeojaso5767 hiyo ni sheria au mazoea? Kama ni sheria, ni sheria ipi, maana labda mimi siifahamu lakini wewe unaifahamu. Na zaidi, ina faida gani kwako kama umejua jina halafu akakufia mikononi, then what? Nia ni yeye kuwa saved au wewe kujua jina lake? Na zaidi, inachukua muda wote huo wa video kujua jina lake tu? For real???
Kwaio bora afe akiwa anahojiwa?@@ms123ru
Si ndo mama qnaupiga mwingi au😂😂😂😂😂 daah aya kesho kwa mungu uko kuna neno
Hata uko hospital wasije kwenda kummalizia au maigizo kutoka juu yakumuwekea sindano ya sumu daaaa Tanzagiza daaa watu wanateseka sana na sisi wanchi tukoo kimyaa daa mungu zidi ibariki Kenya
Tumewachoka viongozi wenu wanafanya vitu vya ovyooo Sana..... Kiukweli kabisa binasi siwapendi vitu wanavyovifanya mm naumia Sana moyoni
Dar dar inaumiza sana jamani mbaka tumbo limeniuma lauchungu Mungu msaidie kijana wawatu apone jamani
Tumbo limekuuma la uchungu? Unamimba?
@@lwakainaza utajuaje kama nina mimba au sina acha umbea
Wachunguzwe vijana ccm ...maaana yule aliyeongea Bukoba atoe maelezo
Nani anamlinda hugo kijana huko hospitali ili watekaji wasiende kumdhulu au ndio masikini hana ulinzi ?!
kmsifu mama ndo nn mnaznguwa nanyie watangazaji
Kwa umri wake na kazi zake, itakuwa ni kukosoa baadhi ya vitu, maana Tanzania ndo nchi pekee ukikosoa ni kosa kubwa sana
Mlisema huyu wa sasa hateki watu anaupiga mwingi, huo ndio mwingi.
Sasa mtu anahojiwa wakati ameumizwa , jamani wananchi tupewe thamani.
Atibiwe kwanza kwanza
Huyu kijana anajuwa watu walimfanya hivyo ni WA chama chake na hii ni kuona akuna ishu yeyote kwenye chama Chao ,sasa wanafanya mazingaombwe ,upigwe risasi ya Taya upone nchi hii usanii mwingi sana
Tanzania bdo wako kwa ukoloni hwana uhuru wa kuongea democracy
TANZANIA BUANAAA MUNGU WETU TULIPIZIE HILI MAANA SISI MASKINI WAKO HATUNA HATIA YOYOTE LAKINI TUNANYANYASWA NA WENYE UWEZO NAOMBA UPIGANE NAO WANAO PIGANA NA SISI 🎉🎉🎉🎉🎉😢😢😢😢
Hawa vijana hayo mauvu wanayo pata wanabaiki na kinyongo moyoni siku wakiamua kutoa kinyongo moyoni sidhali kama watuzuiliwa na mtu yeyote.
Ndugu Muandishi kuna kiongozi alidiriki kusema wataua watu na hakuchukuliwa hatua yeyote. Watu wanapotea nchi hii jamani tuacheni roho mbaya kila mtu atakufa hakuna atakaishi milele
Polisi sio rafiki kwa wananchi tena, kinachotakiwa kila mtanzania achukue tahadhari na maisha yake, ikibid kila mt atembee na silaha yyte kwa ajili ya kujilinda binafsi, ikitokea mt anataka kukukamata bila kufata utaratibu bx unamalizana nae, n bora akuue pale pale kuliko akuteke apoteze ushahidi. Uoga haufai tena vngnevyo tutazd kuuwawa kila siku.
Risasi kwenye Taya bila matibabu wala damu na anaongea haya
Huyu jamaa waache mazingaombwe police awawezi kusema bila ya yy mwenyeewe kusema maana Hawa vijana hatari sana ,mm siamini na naendelea kutokuamini ,uwezi kupigwa risasi ya Taya uwe hivyo ,police fanyeni kazi yenu kiweledi huyo ataeleza ukweli
Wapeni taarifa ipo siku tutachoka t .
Ila Polisi wa Tanzania…baada ya kumpeleka mtu hospitali kwanza mnaanza kumhoji hapo hapo wakati ameumia.
ajabu sana, halau wanataka kumpeleka polisi kwanza ndio hospitali
huyo siyo polisi ni mkurugenzi wa halmashauri ndiye aliyeelekeza kupatiwa.matibabu baada ya kupata particular zake
@@shaurimtanda8285yan kak wananchi wa nchi hii bhn kitu ana uwakik nach analopoka tu ajui anaropoka ndio mana unakuta watu wanawalaumu polis ndio wanahusik lakin ajui chcht kisa kamsikia fulan kasem jamn kuwen makin aiseeh cause kitu una uwakik kaa kmy
Uhuru wa kusifia sio kukosoa . Hakuna hatua yeyote. Awamu hii ni ya wawekezaji na matajiri. Sikiliza hotuba za wanasiasa kusikia neno watu maskini ni adimu sana. Siku hii ni wawekezaji ndio wana haki. Kwa sasa tuna philosophy ya kibebari trickle down effect ambao imefeli.
Huyo kaka ake aseme vizur ndug yake alielekea wap ndug sai wamegeuka wanyam
si Tanzania dunia nzima
Sababu ya kutekwa nani ataitoa??
Maana Hadi Leo sijawahi sikia Moalipotekwa
KWA NINI WANAMHOJI WAKATI ALITAKIWA APELEKWE HARAKA HOSPITAL
Hawaku muacha hai walimuuwa ila Mungu alimuokoa. Hawakukusudia awe hai sema risasi ilipita maeneo ambapo Mungu alimuokoa. Yani Huyo ACP anaangaika kwamba kapigwa na kitu chenye ncha kali au sio. Hayo yanahusiana vipi. Kamata watekaji ng’ombe we
Cha msingi hapo ni kumwahisha hosipital acheni ujinga akipona mtamhoji ndo nchi yeti ya Tanzania na jeshi la police sijui km Kuna kitakachofanyika maana sijaona wasiojulikana wakikamatwa Tanzania duh
Katavi porini ili aliwe na simba. Kweli wasiojulikana ni kiboko..
Kuna ben saa nane ad leo ajulikani alipo 😢😢
Osika unajibu kwakubabaika iyi nch niyetu utekaji ni mwingi tuliko Toka uyokijana amechukuliwa kituo Cha polis kwamaongezi yake polis inajua nawala upelelez auwez kufanyika
Oscar kuna muda huwa unajikakamua kuongea halafu unachanganya damu
Acheni unafiki watangazaji uhuru tanzania amna kuna uoga tu
😮
Inashangaza sana nahapa kuna kitu hakipo sawa, watu wanaanza maneno kuliko uhai wake
Tena wanarekodi jamani😢😢
*INAUMIZA SANAAAAAAAA*
Mnategemea maneno ya Daktari au Polisi ambae kasikia alipelekwa Polisi 😂
inaonekana hao waliokuwa wanamhiji walitka afue hapo ili kupoteza ushahidi
Yani kamanda wa polisi anajibu kwa wepesi na mipasho kbsa, kana kwamba tunaongelea katoa single flani hivi na sio uhai na usalama wa watu.
Brow wew ulitaka aongeaj acha ujinga kwan yy ndio amehusika
Kiukwel sio sawa aliyefanya hivi ipo siku itarud kwake real
Mama Samia tusaidie kwa hili kwann watu wanateka watu?
mmm ok utasubiri sana si kawarudisha serikalini
Kwani hajui
Alafu apo Kuna wale wa haki za jamiii na binadamu na wamekaa kimya wakati wao matukio ya kipumbavu wanakuja kukemea......
Atakuwa shoga haki za binadamu hata kutoka ulaya wangeshafika kutetea
CCM MAPINDUZI SIYO WATU
..... nchi nyingi si huru kama watu wanavyofikiria. Hat nchi mnazoambiwa ni huru, siyo huru. Na hili siyo nchi za kiafrika tu..............nchi za magharibi hii kitu ni kubwa sana.
Kwa hiyo unatetea hili tukio??
@@Uhuru351 Hapana sitetei hili suala hata kidogo ndiyo maana watanzania ni waoga, sababu mambo kama haya yanaleta hofu. Kuachwa kwa huyu kijana kwenye hifadhi ya taifa, ina maana walitaka aliwe na wanyama. Inatisha.
Serikali serikaki serikali msipokemea haya mambo moto wa jehanamu unawaongoja Hakika Mtochomwa milele ,tumbo limeniuma Eee Mungu wangu
Tz watu hawapendi kukosokewa wanataka kusifiwa2
Wapumbavu mnamuhoji tu sio mumuwahishe hospital kwanza
Nyie msaidie aende hospitali
Police ndo hutumika kufanya hivi sana sana wangapi walitekwa na hadi leo kimya
Unauwakik tuhuma hiz ndg zang unauhakik
au tukiamshe km kenya au serekali mnajikuta nani??! GEN ZI hata tz tpo
Tz ina uhuru wa kusifia ila siyo kuponda.hatuna viongozi serikali uozo tu
Na huyo anayo muhoji ni fala sana kwa maswali mtu anamaumivu we mwasawali ya nini
Nani alishakamatwa kwa kesi ya itekaji hapa bongo!?? Watu wengi wameshatekwa hajiawahi kujulikana mhusika mkuu wa haya matukio ila bongo dah hatareeee sana
Jeshi la polisi mkowapi fanyeni kazi msikumbatie chama tawala
Sisi tuacheni tu na tukubali Tanzania Amani akuna kabisa pia Tanzania tunauoga mwingi Sana leo hii kwa ujinga uo uliofanyika watu waingie mtaani watafute haki aise mbona mnapata aki ndomna mm bongo mnisqau kabisa 😂 siji na adi uraia nishabadilisha zangu😂
NYIE WOTE WAOGA#
Sio Mbezi Beach wewe,kuweni makini na habari zenu.
Kwamala ya kwanza wasafi mmetisha siokila siku umeupiga mwingi
Huoni walivyonywea wameshindwa kukwepa wanaanza tusirudi hayo mambo yapo kila awamu waavhe kumchafua aliyepita maana woye wako hivyo hivyo
Huoni walivyonywea wameshindwa kukwepa wanaanza tusirudi hayo mambo yapo kila awamu waavhe kumchafua aliyepita maana woye wako hivyo hivyo
Wameanza kujtambua
wee nawe panya mbezi bichi ipo wilaya ya ubungo😁😁😁 achakujichanga ni mbezi ya kimara kwa msuguli
Machawa slow your words msisifie visivyo sifika.
Badae utrahoji hayajawakut
Viongozi wa upinzani walisema kuna kundi mkadharau yaani tutakoma
Mmmm upandacho ndicho utavuna kwa wakati uliyefanya haya Mungu akulipe tena ulaaniwe. shetani wewe na hao mliofanya. Mungu amewachoka na atawaweka peupe, wote tutajua ibilisi wakubwa nyie. mtalipwa hapahapa dunian shetani nyie
Polis uzembe tibu mtu hali sinzur
wame mpigia mnyakyusaaa
Xavi mtupu
Pumbavu kabisa hii serikali
wachambuz wa mpira hawaa
Waache tu tutakuja kuwakodi wakenya
Kenya wanapigania nchi yao
Vijana fanyeni kazi acheni kukesha mitandao ya kijamii. Mind your business
MO DEWJI Hana kazi ya kufanya???
You are such a fool. Sana.
Hivi mo dewiji na tundu lisu hawakuwa na kazi yakufanya.
@@hassangasaba4565hapo chacha
Police watuambie simu zake zilikuwa jirani na simu za nani kipindi cha utekwaji wake na kwa sasa simu zake ziko wapi kimtandao.
ILITAKIWA KWANZA APEWE HUDUMA SIO KUMHOJI SAAANA HUO SIO UBINADAMU
Kiukweli siamin kam
Polis ndio wamehusik kuna mda unahukum mtu ambae hat una uwakik unasem tu kisa fulani kasema eet polis wamehusik unalipa tuhuma jeshi ukiitwa na kutoa taarifa utatoa acheni kufat mikumbo nawaambia ndg zangu