Mchungaji Eriona, kwakwer Mungu akubariki sansa umekuwa ni mtu mhimu sana katika maisha yangu, Nataman japo nije unishike mkono tu na roho yangu huenda itapona. Kamwe mafundisho yako yananijenga kiiman.
Mchungaji anaefundisha watu wa Mungu kiasi hiki alafu kuna watu wanampiga vita.Binafsi nawashauri wanaomsakama huyu mtumishi wa Mungu waache ili aendelee kufundisha watu waijue kweli.
Hakika katika sadaka kuna Neema kubwa Mungu tujalie moyo wa kukutolea daima asante baba kwa mafundisho mazuri
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu hakika Mungu anakusudi na wewe hakuna siku inapita bila kusikiliza mahubiri yako
Kweli Bab ubarikiwe sana napenda ushuhuda wako sana
Ubalikiwe muchunganji mungu akutumie
Mchungaji Eriona, kwakwer Mungu akubariki sansa umekuwa ni mtu mhimu sana katika maisha yangu, Nataman japo nije unishike mkono tu na roho yangu huenda itapona. Kamwe mafundisho yako yananijenga kiiman.
Hakika umebarikiwa Mtumishi wa Mungu.Natamani kusikiliza mafundisho yako kila wakati maana yananibariki sana.
Huyu Mchungaji Ni Kichwa Cha Motoo Nakupenda sana Baba Yangu
Amen
Amina
I love this miracle
Ubarikiwe mtumishi
Hallelujah Barikiwa mchungaji
❤❤❤❤
Mchungaji Mungu akubarikiii
Ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU
Namuona mungu kupitia mahubiri naitwa Jackson lyatuu kutoka Arusha usa river nshupu
Sadaka ni ulinzi jamani, barikiwa mtumishi
Ameen
Pokea sifa na utukufu kwa uliotenda juu ya mtumishi wako aliyepigwa risasi.asante kwa utii aliokuwa nao juu ya sadadka aliotoa
BWANA YESU ATUKUZWE SANAA
.
Maajabu na kweli
Nyie jamnii Mungu huyuuu ni mzurii et🤭🤭🤭🤭🤭😢😢😢😢😢😢
Yesu Nakupenda Sana
Mchungaji anaefundisha watu wa Mungu kiasi hiki alafu kuna watu wanampiga vita.Binafsi nawashauri wanaomsakama huyu mtumishi wa Mungu waache ili aendelee kufundisha watu waijue kweli.
Mchungaji E. Kimaro Mungu akubariki sana kwa mafundisho mazuri yanatujenga kweli.
🗿