REV. DR. ELIONA KIMARO: USHUHUDA WA MFANYA BIASHARA ALIYEPIGWA RISASI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 24 ต.ค. 2022

ความคิดเห็น • 26

  • @lutangilooffice8604
    @lutangilooffice8604 ปีที่แล้ว +1

    Hakika katika sadaka kuna Neema kubwa Mungu tujalie moyo wa kukutolea daima asante baba kwa mafundisho mazuri

  • @peternaaly4081
    @peternaaly4081 ปีที่แล้ว

    Barikiwa sana mtumishi wa Mungu hakika Mungu anakusudi na wewe hakuna siku inapita bila kusikiliza mahubiri yako

  • @user-zt4fz3vk3p
    @user-zt4fz3vk3p ปีที่แล้ว

    Kweli Bab ubarikiwe sana napenda ushuhuda wako sana

  • @lameckmnanka9330
    @lameckmnanka9330 ปีที่แล้ว

    Ubalikiwe muchunganji mungu akutumie

  • @paschalshimba3838
    @paschalshimba3838 ปีที่แล้ว

    Mchungaji Eriona, kwakwer Mungu akubariki sansa umekuwa ni mtu mhimu sana katika maisha yangu, Nataman japo nije unishike mkono tu na roho yangu huenda itapona. Kamwe mafundisho yako yananijenga kiiman.

  • @modernmwakalinga3274
    @modernmwakalinga3274 ปีที่แล้ว

    Hakika umebarikiwa Mtumishi wa Mungu.Natamani kusikiliza mafundisho yako kila wakati maana yananibariki sana.

  • @vitalismarunda6760
    @vitalismarunda6760 ปีที่แล้ว

    Huyu Mchungaji Ni Kichwa Cha Motoo Nakupenda sana Baba Yangu

  • @rosejohn1659
    @rosejohn1659 2 หลายเดือนก่อน

    Amen

  • @fathiasaed9718
    @fathiasaed9718 ปีที่แล้ว

    Amina

  • @heavenlight5084
    @heavenlight5084 ปีที่แล้ว

    I love this miracle

  • @ednannko9727
    @ednannko9727 ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe mtumishi

  • @rithakuyala9951
    @rithakuyala9951 ปีที่แล้ว

    Hallelujah Barikiwa mchungaji

  • @user-co8mk8kz3h
    @user-co8mk8kz3h 9 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤

  • @olivermwamakimbula787
    @olivermwamakimbula787 ปีที่แล้ว

    Mchungaji Mungu akubarikiii

  • @yohanamasweko915
    @yohanamasweko915 ปีที่แล้ว +2

    Ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU

  • @denistillya666
    @denistillya666 ปีที่แล้ว

    Namuona mungu kupitia mahubiri naitwa Jackson lyatuu kutoka Arusha usa river nshupu

  • @heavenlight5084
    @heavenlight5084 ปีที่แล้ว

    Sadaka ni ulinzi jamani, barikiwa mtumishi

  • @sheilanassoro4137
    @sheilanassoro4137 ปีที่แล้ว

    Ameen

  • @veronicageofrey8360
    @veronicageofrey8360 ปีที่แล้ว

    Pokea sifa na utukufu kwa uliotenda juu ya mtumishi wako aliyepigwa risasi.asante kwa utii aliokuwa nao juu ya sadadka aliotoa

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 ปีที่แล้ว

    BWANA YESU ATUKUZWE SANAA
    .

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 ปีที่แล้ว

    Maajabu na kweli

  • @ammsuya9400
    @ammsuya9400 ปีที่แล้ว

    Nyie jamnii Mungu huyuuu ni mzurii et🤭🤭🤭🤭🤭😢😢😢😢😢😢

  • @sia4867
    @sia4867 ปีที่แล้ว

    Yesu Nakupenda Sana

    • @modernmwakalinga3274
      @modernmwakalinga3274 ปีที่แล้ว

      Mchungaji anaefundisha watu wa Mungu kiasi hiki alafu kuna watu wanampiga vita.Binafsi nawashauri wanaomsakama huyu mtumishi wa Mungu waache ili aendelee kufundisha watu waijue kweli.

  • @restitutapetro4705
    @restitutapetro4705 ปีที่แล้ว

    Mchungaji E. Kimaro Mungu akubariki sana kwa mafundisho mazuri yanatujenga kweli.

  • @raphaelmwalukasa
    @raphaelmwalukasa ปีที่แล้ว +1

    🗿