HATUA 5 ZA TATIZO LA AFYA YA AKILI | Deo Sukambi
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 8 ก.ย. 2024
- Karibu katika kipindi cha UPONYAJI WA FAMILIA na Pastor Deo Sukambi. Leo tunajifunza HATUA 5 ZA TATIZO LA AFYA YA AKILI
Kwa ushauri nasihi piga +255 746 104 034 au e-mail booking@deosukambi.com
Unaweza Kusapoti huduma hii
TIGO PESA +255 715 104 034 (DEOGRATIUS SUKAMBI)
M PESA +255 746 104 034 (DEOGRATIUS SUKAMBI)
Endelea kunifuatilia kwenye kupitia
/ deosukambi
/ deosukambi
/ deosukambi1
Usisahau ku subcribe kwa mafundisho zaidi
/ @deosukambi
Deo Sukambi is Counselor | Mentor | Pastor | Public Speaker | Corporate trainer | Author
#DeoSukambi #Familia #Malezi #Watoto #Ndoa #Mahusiano
Ahsante sana kwa somo zuri...ubarikiwe🙌.
Nadhan mdogo wang amefikia stage 4😅 . Naomba Mungu asione hii comment😊😂
Umeificha sana hawezi kuiona😂😂
Pastor naona una tuelewa vizuri na tunashukuru kwa maada ya Léo.mimi niko Congo.ila nimefata hatua zote na nimejukuta kati ya zote.ila kwangu kuna différence kwa tabia zengine.na nimejaribu kukutana na wauguzi lakini hawanielewi kiasi ya namna wewe una nielezea vizuri Sanaa.hapo sasa sijueee nifanye je
Nataka musaada wa kisaikolojia, sijue ni upate je ? Na kama kuna vidonge vya kutumia na vihitaji
Kwenye saikolojia hatutoi vidonge bali tunatoa ushauri nasihi..wasiliana nasi kwa whatsap +255786903727
Nimeelewa sana aisee.. huku mtaan watu wengi sana wako na changamoto hizi..
Swali je hawa wenye psychiatric mahospitalin yaan waliofikia hatua ya kuchanganyikiwa wanakuwa stage hiihii ya 5? Ama ni tatizo lingine kabisa
Mara nyingi Psychiatric kama haina uhusiano na substance abuse disorder basi inakuwa ni stage ya 4 ambayo victim amekosa copy mechanism ya kumsaidia kusurvive..mara nyingi stage ya 4 ikikomaa ni aidha itamlazimu aende stage ya stage as a way of surviving or impeleke kwenye paychiatric situation
@@DeoSukambi ahaaa nimekupata vizuri mkuu.. kwakwel hii video inatakiwa iwafikie wengi sana maana tatizo ni kubwa kabisa 😀