HII NI KIBOKO YA WAHABI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 16 ก.ย. 2024
  • Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
    #HabariZaUhakika #Zinjibartv
    Follow Zinjibartv
    Facebook | Zinjibartv
    INSTAGRAM |@Zinjibar_tv_online
    Wasiliana nasi kupitia number
    +255 772 281 879
    +255 773 071 409
    Video Zingine:
    Angalia hapa - MTOTO WA TURKY AJITOSA KUMRITHI BABAYAKE UBUNGE
    - HIZI NDIO TEGO ZA KICHAWI, SHEIKH SALUM MARDHIYA
    • MTOTO WA TURKY AJITOSA...
    • HIZI NDIO TEZO ZA KICH...

ความคิดเห็น • 221

  • @omarmohammad1528
    @omarmohammad1528 3 วันที่ผ่านมา +3

    Dj vs Diamond Platnamz Soon
    Piano vs Guitar
    😂

  • @omarmohammad1528
    @omarmohammad1528 3 วันที่ผ่านมา +4

    Tuko Zanzibar na Dj Said Musician, Tafadhali tufanye mchango Wa Ma guitar 🎸 zimepungua na Piano zipo lkn Ikiongezwa na Gorido kutakua Vzry asanteni 😂

    • @kitosio
      @kitosio 2 วันที่ผ่านมา

      Hahahaaaaa DJ. Saudi aaaa majanga waislamu waleo. Hatujui hata tulichoamrishwa na mtume WETU S.A.W

  • @MoodyOne-g5t
    @MoodyOne-g5t 3 วันที่ผ่านมา +1

    Allah atuongoze n sisi tuitafute elim popote allauhmma ameen

  • @Mh_69rz
    @Mh_69rz 8 วันที่ผ่านมา +7

    Mtangazaji hujielewi, chunga sana

  • @ramadhanyusuf2401
    @ramadhanyusuf2401 8 วันที่ผ่านมา +5

    Mtangazi hajielewi😅😅

  • @kitosio
    @kitosio 2 วันที่ผ่านมา

    ALLAH TUSAMEHE WAJA WAKO KWA KUTOFAHAMU TULIYOLETEWA NA MJUMBE WAKO MUHAMAD S.A.W

  • @NasibuJuma-e6u
    @NasibuJuma-e6u 5 วันที่ผ่านมา +2

    Mtafia katika bidhaa

    • @user-lo5gg8jk8g
      @user-lo5gg8jk8g 21 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Nimeambiwa yupo tayari kwa mijadala usiropokWe

  • @SadaKassm
    @SadaKassm 7 วันที่ผ่านมา +2

    Huyu mtangazaji mashaallwah anajitahidi sana ila watu wengine hupenda kutia wenzao ila tu lkn mtu huyo huyo ukimpa nafasi kama hii wallwahi thumma wallwahi atachemka sana.. kubwa tuombeane Dua na tuwache UBAYA wa nafsi .

  • @TwahirBurhan
    @TwahirBurhan 7 วันที่ผ่านมา +6

    USTADH WA MUZIKI HUYO NA MPAMBANIA BI'DAA..HANA JIPYA

    • @darajanida
      @darajanida 3 วันที่ผ่านมา +1

      hujamsikia kasema yupo hapa zanzibar anaetaka munakasha aende mbona unatowa vijneno pemben

    • @abuuzahra-fc2jg
      @abuuzahra-fc2jg 3 วันที่ผ่านมา

      Jaahil wewe na mtabaki hivo hivo na upofu wenu mufsidiin nyiny

    • @abuuzahra-fc2jg
      @abuuzahra-fc2jg 3 วันที่ผ่านมา +1

      Uwahabi na usalafi wenu ni sumu ukiinywa kupona sirahis
      Yaani umma umepata balaa kubwa Kwa mufsidiin hawa wahhaabiyya

    • @FahadMasoud-io4mb
      @FahadMasoud-io4mb 2 วันที่ผ่านมา

      Sawasawa hilo ni poti la kiyahudi halijielewi

    • @FahadMasoud-io4mb
      @FahadMasoud-io4mb 2 วันที่ผ่านมา

      Wagomvi wao ni waislam,km vile wao sio waislamu vile

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 4 วันที่ผ่านมา +1

    Dua inaobwa wengine wanabonyeza sim kumbe hata masheikhe wametawaliw nasim nikafikir ni sis tuy

  • @ali_ford
    @ali_ford 7 วันที่ผ่านมา +3

    😂dj side

  • @balkisamisi2131
    @balkisamisi2131 6 วันที่ผ่านมา +6

    Allah aku hifadhi Ustadh Said

  • @MohamedSaidi-lj9ei
    @MohamedSaidi-lj9ei 7 วันที่ผ่านมา +3

    Ama kweli nibora uwe mjinga hujui haqqi kuliko mpumbavu anaejua haqqi na akaikanyaga Kwa kufata matamanio yake na kuwaridhisha wazee wake na watuwake ❌❌❌❌❌❌

  • @kitosio
    @kitosio 2 วันที่ผ่านมา

    Mwamba ina maana Maswahaba hawakuyajuwa haya kuwa Yana muhimu, nyny ndio mnajuwa zaidi kutenda mema. Daah waislamu Sisi WA Leo kweli Mtihani. Yaani Kanzu nzuriiii mnavaa na Maswahaba walivokuwa. Ndio Sayyidna Umar kashafariki, angewakuta Watu sampuli yetu hii angecharaza Bakora mbiooooo!

  • @ابومعاذاحمدناصر
    @ابومعاذاحمدناصر 7 วันที่ผ่านมา +2

    Yaa allah wanusuru waisalamu na balaa la kuzusha katika dini yako hakika shaitwan kawapambia sana jambo hili

    • @checkcheck5191
      @checkcheck5191 7 วันที่ผ่านมา +1

      Kwan mnakuaga mnatumwa ku_coment au ni khiari zenu. ??

    • @saidmwakulika706
      @saidmwakulika706 5 วันที่ผ่านมา

      Nashindwa wallah ​@@checkcheck5191

    • @omarmohammad1528
      @omarmohammad1528 3 วันที่ผ่านมา

      ​@@checkcheck5191ume comment kwani umetumwa wwe

  • @ZahorSuleyman
    @ZahorSuleyman 6 วันที่ผ่านมา +2

    Huyu hamna kitu

  • @MohamedSaidi-lj9ei
    @MohamedSaidi-lj9ei 7 วันที่ผ่านมา +2

    Na Allah akuongoze uijue haqqi

  • @lordenoughforme4417
    @lordenoughforme4417 6 วันที่ผ่านมา +2

    Akuna cha kiboko habari zake zote tuko nazo.acha tumstiri tu

  • @Hud_hud_Salafiy
    @Hud_hud_Salafiy 7 วันที่ผ่านมา +2

    Uyu mtangazaji ni chizi sana eti Aya hizo hajui Aya ni nini na HADITHI ni nini

  • @SaidAbdallah-sm1ft
    @SaidAbdallah-sm1ft 7 วันที่ผ่านมา +1

    اذا أسند الأمر إلى غير أهلها فانتظر الساعة

  • @kitosio
    @kitosio 2 วันที่ผ่านมา

    Kisha unasema wale ambao hawajafahamu. Basi na Maswahaba hawakufahamu hayo na wapo waliobashiriwa Pepo Duniani. Jee Nyny vipiiiii mnajijuwa mlipo mnafanya mliyokuwa hamukuamrishwa!

  • @SamhatPandu
    @SamhatPandu 6 วันที่ผ่านมา +2

    Znz hakuna mtu atae Acha kazi zake akaeka munakash na ww dj na nyinyi nyote mutaenda kuulizwa na Allah na ww sheikh mudhihir mche Allah unaubeba uwo uzushi na Allah atakuhukumu kupitia ayo na ww kizito hujaona watu wa kutuletea mpk ulete wasanii mungu ndo atakuhukumu

  • @islamseyffden7723
    @islamseyffden7723 7 วันที่ผ่านมา +4

    Aibu sanaa mtoto wa bachu anaaibishwa kwao zenji noma 😂😂sanaaa hii kitu

    • @omarmohammad1528
      @omarmohammad1528 3 วันที่ผ่านมา

      Jifananishe na mwanaume katika maongezi yako braza

  • @MohamedSaidi-lj9ei
    @MohamedSaidi-lj9ei 7 วันที่ผ่านมา +1

    Waumini tumeumbwa kupenda haqqi kutoka Kwa Allah na mtumewake ilo lenu limetoka wapi? Kwa Allah au mtume? Au maswahaba? Au maimamu wakubwa? Duh aisee watu ni wabishi sijapata Kuona he 😠🤔🤔🤔

  • @mohamedamiri4597
    @mohamedamiri4597 6 วันที่ผ่านมา +1

    Haya yakudharauliana na kukosowana ndio tuluoachiwa wenzetu wanajua nini maana ya kuheshimiana

  • @mussaissa6796
    @mussaissa6796 7 วันที่ผ่านมา +1

    MNAFANANA MAUMBILE SIO!!
    YAANI WEWE UNA DHAKAR
    AU YEYE ANA FARJI!!
    WEE MPUUZI KWELI KWELI.

  • @MohamefMullah
    @MohamefMullah 6 วันที่ผ่านมา +1

    Nini uwahabi, uwahabi ni genge au kundi lilioanzishwa na Muhammad Abdul wahab kutoka katika mji wa Najid huko saudia yapata miaka 300 tu iliyopita, na hawa mawahabi ndio waulioungushs utawala halali wa saudia ya zaman kabla ya saudia ya sasa, Mawahabi ndio waliopindua uongozi halali wa kizazi cha mtume katika miji ya kale ya saudia Arabia, hii saudia ikiwa mawahabi hamuelewi ni jina la babu wa Fahdi bin Abdul azizi Al saudi, hawa mawahabi ambao wanaleta shida katika dunia ndio walipindua kizazi cha mtume kwa msaada wa Uingereza na Marekani, Hawa mawahabi ndio waeneza chuki katika uislam, Hawa mawahabi kila kheri hujaribu kuibadisha ili iwe shari, Uwahabi chimbuko lake ni mji wa Najid mji ambao mtume Muhammad S, a, w alikataa kuuombea dua, kumbe alikwisha jua kuwa muanzilishi wa uwahabi atatoka hapo na ndio sbb ya kuja kuutia dosari na kukosoa kila zuri la kiislam, Uwahabi ni kama chama, unaingizwa na kutolewa,

  • @Grataaaaa
    @Grataaaaa 7 วันที่ผ่านมา +1

    Shekh maulidi

  • @TwalibHajj
    @TwalibHajj 6 วันที่ผ่านมา +1

    Ugonjwa wenu mtafteni daktari wa maana

  • @fatmafatu1128
    @fatmafatu1128 7 วันที่ผ่านมา +11

    Napenda sana mwanaume mwenye ndevu asokuwa na ndevu naona kama tunafanana

    • @jamalikatikiro6145
      @jamalikatikiro6145 7 วันที่ผ่านมา +3

      Nenden gest ndo utajua nikama wewe au laa😅😅😅

    • @fatmafatu1128
      @fatmafatu1128 7 วันที่ผ่านมา

      @@jamalikatikiro6145 sindano imekuingia cha kunyoa ndevu unakuwa kama tunafanana mkeo

    • @Rolemodel_wa_taifa
      @Rolemodel_wa_taifa 7 วันที่ผ่านมา +3

      Tukisema tufunge ndevu na kuoa mnasema sunna nyingine hatuzioni tukizifata sunna nyingine mnasema mnataka ndevu sisi sio Nabii hatuwezi shika yote hayo sisi nyongo tunazo Nabii hakuwa na Nyongo hii ni tafauti yetu na yeye

    • @manhajsalafafrica
      @manhajsalafafrica 7 วันที่ผ่านมา +4

      Anaenyoa ndevu anajifananisha na mwanamke

    • @YaziduIddy-u7p
      @YaziduIddy-u7p 7 วันที่ผ่านมา +2

      ​@@manhajsalafafricatao dalili ju ya hilo

  • @ATICKLUNKO
    @ATICKLUNKO 7 วันที่ผ่านมา +2

    Nadhakar unayo nn au ni ndev tu,,,na je mtume kasem ukikosa ndevu unakua mwanamke ,,

  • @HajiMororo
    @HajiMororo วันที่ผ่านมา

    Hii nibidaa

  • @KhadijakhamisMasoud
    @KhadijakhamisMasoud 7 วันที่ผ่านมา +1

    Vichwa vya habari vitagawanya kizazi cha sasa...

  • @RamadhanHabibuAmour
    @RamadhanHabibuAmour 3 วันที่ผ่านมา

    Awo masufi wengi ni ....... 😅😅😅

  • @inamxmdsheekh1978
    @inamxmdsheekh1978 2 วันที่ผ่านมา

    Hebu mtueleze kama mnampenda mtume SAW kuliko khulafaurrashidiin? Maana hawajawahi kuusherekea mawlid!

  • @user-qe8xp6ii1u
    @user-qe8xp6ii1u 6 วันที่ผ่านมา +1

    Huwa mnashindwa Kutueleza nn Uwahabi kiistwilahi na kilugha??Je,Uwahabi ni nn
    Hili swali hamjaweza Jibu Masufi mpka sasa.
    Kwa sabab Hakuna Kundi/Madhehebu linaloitwa wahabi.
    Na hakuna Maana ya Mawlid inayomaanisha hiyo yenu Bali ni Ihtifaalat bil mawlid Nabiyy.
    na Hakuna Mwanachuoni yyte Asemaye Jambo hili ni sunna.

  • @user-bl4vy5bo4f
    @user-bl4vy5bo4f 8 วันที่ผ่านมา +4

    Mtangazaji jitahid tulia na fikiria unachotak kuongea usikurupike utangazaji unaitajia fikra kubwa sio kilaakati eee aaaa, hem tulia na punguz papara katik kuongea. Na ukifanya hivyo utakua mtangazaji mzur sn

    • @salmaanfaqiih
      @salmaanfaqiih 8 วันที่ผ่านมา +1

      Kwahiyo umemuongoza nini yaani kwa ufupi?! Maana kwa sura hii ni kwamba na wewe ni Mwenye papara pia, kwahiyo mnyooshee lengo lako

    • @suleali4915
      @suleali4915 8 วันที่ผ่านมา

      Binaadam kwa kuongea tu

    • @bashirusalumbigapsana673
      @bashirusalumbigapsana673 8 วันที่ผ่านมา

      Mchaji Mungu sana uyu kijana

    • @user-bx5cn5no5e
      @user-bx5cn5no5e 7 วันที่ผ่านมา +1

      Wee itakuw ni Wahabi piy

  • @MohamedSaidi-lj9ei
    @MohamedSaidi-lj9ei 7 วันที่ผ่านมา +1

    Umesikia? Wanaendeleza mifumo ya wazee

  • @AbdulMohamedWario
    @AbdulMohamedWario 6 วันที่ผ่านมา +1

    Maulid ni nuru ya Allah cio 😅😅😅😅😅😅😅 makhurafi hamjielewi

  • @funnysmile8666
    @funnysmile8666 7 วันที่ผ่านมา +1

    jamaa hana tofaitii na qadiriaa wapiga vinanda na magomaaa tunazo clip zake nyingii tuu ana pigaa mananda na magoma

    • @checkcheck5191
      @checkcheck5191 7 วันที่ผ่านมา

      Kwan mnakuaga mnatumwa au ni khiari zenu??

  • @MohamedSaidi-lj9ei
    @MohamedSaidi-lj9ei 7 วันที่ผ่านมา +1

    Majaahil nguli

  • @abbaspaziaog2188
    @abbaspaziaog2188 2 วันที่ผ่านมา

    Kipindi hicho nipo zanzibar 😂kabla yakujua misikiti ya masalafi uhl sunna waljamaa wenyew as nilikua naswal kwenye sikiti hill lakisufi😂

  • @MohamedSaidi-lj9ei
    @MohamedSaidi-lj9ei 7 วันที่ผ่านมา +1

    Kumbe ulitumia akili ulonayo usitumie akiliyako katkadini

  • @AbdallahJchubi
    @AbdallahJchubi 4 วันที่ผ่านมา +1

    nyie masufi acheni kuendekeza matamanio haq Iko wazi

  • @mfalmenajjash2128
    @mfalmenajjash2128 7 วันที่ผ่านมา +1

    Hii tv niliiyona niyamaana sana kumbe niyahovyo kumbe hii tv ni tv ya misufi na unfollow hii mijamaa ikombali na sunna

  • @sabrimtumweni5633
    @sabrimtumweni5633 7 วันที่ผ่านมา +4

    Huyu mtangazaji ni Chale anashabikia akipotoka
    Bure hata ukauze samaki malindi
    Uandishi wa habari haukufai kabisa
    Na huyo unaemuhoji ajijua hayumo ndio maana amekimbia
    Mombasa

    • @checkcheck5191
      @checkcheck5191 7 วันที่ผ่านมา

      Kwan mnakuaga mnatumwa au ni khiari zenu??

  • @hassanmzandy1421
    @hassanmzandy1421 7 วันที่ผ่านมา +1

    Sio محجورا ni مأجورا

  • @abdul_azeez_almaamir
    @abdul_azeez_almaamir 8 วันที่ผ่านมา +1

    Mtangazaji kama shabiki ,,, aibu

  • @ahmadiibrahim7906
    @ahmadiibrahim7906 5 วันที่ผ่านมา +1

    Hii kiboko ya wajinga wavivu mazundiki na watu wa batwil

  • @abdoumadiousseni4835
    @abdoumadiousseni4835 7 วันที่ผ่านมา +1

    Huyu ni mwanamuke tu sio mwanaume 😅

  • @SWAAHIB
    @SWAAHIB 7 วันที่ผ่านมา

    ما ليس فيه

  • @ATICKLUNKO
    @ATICKLUNKO 7 วันที่ผ่านมา

    Maulid ni uvundo pamoj na ile qur,an,,isomwayo,,na mtume anaetajwa,,ni uvundo,,,sir ya mtume ni uvundo,,,au umeropka,,tu,,

    • @swalehseifmuhammed8289
      @swalehseifmuhammed8289 7 วันที่ผ่านมา

      Inamana qur an ni uvundo ww chukia maulidu ila usiseme qur an na kutajwa mtume ni uvundo wa chakibur

  • @abdoumadiousseni4835
    @abdoumadiousseni4835 7 วันที่ผ่านมา

    Kwahiyo maswahaba hawako soma ndomana hakofanya maulidi nyinyi ndo mulio soma mpaka munafanya maulidi

  • @Harunery
    @Harunery 7 วันที่ผ่านมา

    Vimbeni kwa hiyo pumzi ya ALLAH,jueni marejeo ni kwake nyinyi wapuuzi msokua na akili

    • @Rolemodel_wa_taifa
      @Rolemodel_wa_taifa 7 วันที่ผ่านมา

      Na wewe pia mwenye akili uvimbe na ukijua pumzi ni ya Allah muda wowote ataichukua usifikili ukiwa na akili utaishi milele

  • @funnysmile8666
    @funnysmile8666 7 วันที่ผ่านมา

    MAULIDI NI UVUNDOO

    • @checkcheck5191
      @checkcheck5191 7 วันที่ผ่านมา

      Kwan mnakuaga mnatumwa au ni khiari zenu??

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 7 วันที่ผ่านมา

      ​@@checkcheck5191 kwa kafiri MAULID (MAZAZI YA MTUME SAW) NI UVUNDO. LKN KWA WAISLAMU MAZAZI YA MTUME WETU NI FURAHA TU. CHUKI ZENU MAKAFIRI HAZIWEZI KUTUTUDISHA NYUMA WAISLAMU

  • @funnysmile8666
    @funnysmile8666 7 วันที่ผ่านมา

    sasa hivii hamtupatii tushashtukaa wano yapiga maulidii wanahojaa zenye misingii ya haq juzi naangaliaa clip watuwamaulidi wameambiwa maulidi nibidaa mtume wala maswahaba hawaku fanyaa wakaja na hojaa wakasema bc na mashindano ya quran nibidaa maana mtume hakufanyaaa 😅😅😅duuh

    • @darajanida
      @darajanida 4 วันที่ผ่านมา

      ndio tusaidie wewe kuwa mtume kafanya mashindani ya kur ani

  • @YusufuMustafa-c5m
    @YusufuMustafa-c5m 7 วันที่ผ่านมา

    Nyie masufi acheni mchezo na dini jumba na kupiga magitaa mmetoa kwa nani?

  • @aminaabdullahi-tp5kn
    @aminaabdullahi-tp5kn 6 วันที่ผ่านมา

    Ndio Lao kubwa kibri Na dharau...ALLAH ATAWATOSHA

  • @KhamisiMulusi
    @KhamisiMulusi 7 วันที่ผ่านมา

    Huyu ni tapeli wa akili ndogo za masufi na khuraafiyuun

    • @jamalikatikiro6145
      @jamalikatikiro6145 7 วันที่ผ่านมา

      Bin Abdul wahabi ndo kawatapeli

    • @KhamisiMulusi
      @KhamisiMulusi 7 วันที่ผ่านมา

      @@jamalikatikiro6145 ebu eleza kidogo tu ibun Abdulwaab ni nani? Na nina uhakika tena asilimia mia moja hujui na hujui....humjui ni nani ila ni fikra tu za kizembe mmelishwa...na kwa sababu wallahi nina uhakika ungalikuwa wamjua ni nani hungethubutu kutapika hayo matapishi yako

    • @darajanida
      @darajanida 4 วันที่ผ่านมา

      ​@@KhamisiMulusinawewe elezes kidogo tu historia ya taswauf na nasi tutakuleza historia ya shekh muhammad abdul wahhab

  • @DiudaKozi-qu8sl
    @DiudaKozi-qu8sl 7 วันที่ผ่านมา

    Dj said Zanzibar unashoo Kwa bakasir

    • @hythamhashiem4458
      @hythamhashiem4458 7 วันที่ผ่านมา

      Wewe waongea lugha gani

    • @mzeerajab9154
      @mzeerajab9154 7 วันที่ผ่านมา

      ????? Wenzio wanasoma wewe shabikia.

    • @jamalikatikiro6145
      @jamalikatikiro6145 7 วันที่ผ่านมา

      Wewe ndo densa wa iyo shoo😅😅😅

  • @yusuphhamisi504
    @yusuphhamisi504 8 วันที่ผ่านมา +1

    Dj kapigwa kitu kizto na abuu khawla kapotea
    Mtume amatumia ما ليس فيه
    Kwenye sunan abyy daud

    • @SWAAHIB
      @SWAAHIB 7 วันที่ผ่านมา +1

      Hapo alikaa kimya kama hakusikia vile

    • @yusuphhamisi504
      @yusuphhamisi504 7 วันที่ผ่านมา

      @@SWAAHIB kajizima data

    • @abubakaromar6101
      @abubakaromar6101 7 วันที่ผ่านมา

      ​@@yusuphhamisi504abuu khawla aliambiwa ajitokeze kwa Niqash kama yule kikojozi akakimbia lkni mpaka leo hajajibu amenyamaza wala hajasikika tena kama vile huyo kikojozi kutoka baada ya Niqash mpaka leo hajasikika tena na zile kelele zake za kama mwaka jana kutukana wanazuoni na Masharifu juu ya Mamimbar na kutupa kitabu bali sasa twaona mambo yamebadilika yamekuwa tafauti alienda kuwasifu Masharifu na kuweka mijadala na mawahabi wenzake kila siku imekuwa kama musalsal yakuendeleya wanalimana wao kwa wao

    • @abubakaromar6101
      @abubakaromar6101 7 วันที่ผ่านมา

      ​@@yusuphhamisi504wewe huyo abuu khawla ushamsikiya tena alitwa mpaka leo amenyamaza

    • @darajanida
      @darajanida 4 วันที่ผ่านมา

      uyo abuu khaula nae kamkimbi shekh muharram mziwanda mbona hamsemi

  • @user-ql2om7qj3v
    @user-ql2om7qj3v 7 วันที่ผ่านมา

    Zuzu lakisufi amabye anawapoteza wajinga wenzake

    • @mussaissa6796
      @mussaissa6796 7 วันที่ผ่านมา

      KWA NINI HUMTAFUTI ILI UMUONYESHE HIYO ELIMU UNAYOJIFANYA UNAYO, ILI TUJUE KATI YA WEWE NA YEYE NI NANI AMBAYE HANA ELIMU!!
      AU UNABWEKA TU.

  • @mohdkhatib223
    @mohdkhatib223 7 วันที่ผ่านมา

    Wewe mtangazaji ni punda wa shia na nyinyi masufi ni wapumbavu na upumbavu wenu unaonekana

    • @jamalikatikiro6145
      @jamalikatikiro6145 7 วันที่ผ่านมา

      Wewe pia nimbwa wa wazungu unajulikana😅😅😅

    • @darajanida
      @darajanida 4 วันที่ผ่านมา

      nanyinyi mawahabi ni mbwa wa mayahud

  • @DiudaKozi-qu8sl
    @DiudaKozi-qu8sl 7 วันที่ผ่านมา

    Vipi naona dj said kaja diamond pla.....,shoo ya mziki itakuwa wapi mahurafi

    • @abdallahissa5736
      @abdallahissa5736 7 วันที่ผ่านมา +2

      Ittakillah, huyo ni muislam kama ww haifai kumkejeli hata kama kuna tofauti flani kati yenu, tunalazmika kua kitu kimoja waislamu pamoja na tofauti zetu tulokua nazo coz hizi haziwezi kuondoka. Samahani kama ntakua nmekukosea kwa nasaha yangu.

    • @mzeerajab9154
      @mzeerajab9154 7 วันที่ผ่านมา +1

      Ndugu yangu tumekatazwa kujitakasa,hivyo si vyema kujitakasa ukaona watu hawakuongoka na kuwaita majina mabaya na yasiyo yao.

    • @jamalikatikiro6145
      @jamalikatikiro6145 7 วันที่ผ่านมา

      Madensa pia mnakaribishwa kwa shoo😅😅😅😅

  • @FahdIbnyussuf
    @FahdIbnyussuf 7 วันที่ผ่านมา

    Shetan inapendeza zaid bidaa kuliko maasi sas cjui mnangoja nn msoacha hayo maulidi

    • @abubakaromar6101
      @abubakaromar6101 7 วันที่ผ่านมา +1

      user-zr1dv2tb5k Shetwani zaidi wale waloigawanya Tauhid kwa sababu Shetwani alimuahidi atawapoteza ktk waja wake ndio akawapata nynyi mawahabi akawafundisha kuigawanya Tauhid ya Mwenye Ezi Mungu

    • @FahdIbnyussuf
      @FahdIbnyussuf 7 วันที่ผ่านมา

      Nyie hamuelewi mambo ndo man kila cku zikenda mnazidi kupotea kila bidaaa ni upotevu hata mkiiona ni nzuri mnawapi pakukimbilia makhurafi

    • @FahdIbnyussuf
      @FahdIbnyussuf 7 วันที่ผ่านมา

      Nyie tunawaelewa km alivosema imamu shafee huwez kumumuona sufi asubuhi ispokua akifika mchan utamkuta mwendaazimu hamna akili ndo man imam shafee aliwajua fikaa

    • @FahdIbnyussuf
      @FahdIbnyussuf 7 วันที่ผ่านมา

      @@abubakaromar6101 hlf nyinyi hamsomi akida ety mbona mnafanya tawasulli kwenye makaburi ya masharifu wenu

    • @abubakaromar6101
      @abubakaromar6101 7 วันที่ผ่านมา

      @@FahdIbnyussuf nyinyi ndio mwajuwa Akida ndio mukaigawanya Tauhid? Kutawasal kwa Mwenye Ezi Mungu kupitia kwa watu WEMA au kitu CHEMA haijakatazwa hata Nabii Yusuf A.S alitawasal kwa KANZU na babake akaponya upofu kwani ilikuwa hawezi kumuomba Mwenye Ezi Mungu moja kwa moja na Dua za Manabii zajibiwa hapo hapo,ilokatazwa mukifanya kile kitu ndie Mwenye Ezi Mungu, sasa hiyo Akida yako au yenu ya kumgawanya Mwenye Ezi Mungu ينقسم توحيدإلى ثلاثة أقسم muliitowa wapi?

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 8 วันที่ผ่านมา +1

    Hatuna haja ya kusoma maulidi
    Sie tunajuwa ni uharamu sababu mtume hajafanya
    Kama kafanya lete salili

    • @abdallahissa5736
      @abdallahissa5736 7 วันที่ผ่านมา

      Hata kuharamisha asichokiharamisha mtume pia ni haram

    • @hythamhashiem4458
      @hythamhashiem4458 7 วันที่ผ่านมา +2

      Sisi pia hatujawaambia someni maulidi lakini mjue tu dini ya uislamu ima letwa na masufi kasome tarikhi ya East Africa lao siwao hata kukoga janaba na kutawadha mungejuwa nyie mawahabi

    • @abubakaromar6101
      @abubakaromar6101 7 วันที่ผ่านมา

      Salili ndio nini au mtu gani? hata hiyo simu unayotumia wewe Mtume SAW na Maswahaba pia hawatumia

    • @jamalikatikiro6145
      @jamalikatikiro6145 7 วันที่ผ่านมา

      Hata kupanda magari Haram vilevile

    • @jumamwarabu9307
      @jumamwarabu9307 6 วันที่ผ่านมา

      Hata MTUME MUHAMMAD hakufanya mashindano ya kuhifadhi Qur an::JE NI bidaa;::

  • @MohamefMullah
    @MohamefMullah 6 วันที่ผ่านมา

    Mtangazaji hajielewi vip ana kosa gani,kulaumulaumu ni dalili za Uwahabi,

  • @omaribrahim1547
    @omaribrahim1547 8 วันที่ผ่านมา

    dj

  • @aminiahmad-i9q
    @aminiahmad-i9q 7 วันที่ผ่านมา

    Kofia unavyo vaa unasujudu vipi kwenye swala shekhe

    • @mussaissa6796
      @mussaissa6796 7 วันที่ผ่านมา

      MUULIZE MUHAMMAD BACHU

    • @darajanida
      @darajanida 4 วันที่ผ่านมา

      wewe huna lakusema bora ungenyamaza ndugu yangu kwani hapo saiv yupo kwrnye swala

  • @mahfoudhcalender2747
    @mahfoudhcalender2747 7 วันที่ผ่านมา

    leteni dalili ya maulid basi

    • @hythamhashiem4458
      @hythamhashiem4458 7 วันที่ผ่านมา

      Mwajichokesha

    • @abubakaromar6101
      @abubakaromar6101 7 วันที่ผ่านมา +1

      Dalili ipo kwa mwanachuoni mkubwa munaemtegea Sheikh Islam IBN Taymiyah ktk kitabu chake IQTIDHAAU SWIRATWAL MUSTAQEEM kasome عن شيخ الإسلام ابن تيمية هو القول بأن: الاحتفال بمولد النبي صلى الله عليه وسلم؛في كتابه اقتضاء الصراط المستقيم:وإنما يفعل مثل هذا النصارى الذين يتخذون أمثال أيام حوادث عيسى عليه السلام أعيادا، أو اليهود، وإنما العيد شريعة، فما شرعه الله اتبع؛ وإلا لم يحدث في الدين ما ليس منه. كذلك ما يحدثه بعض الناس إما مضاهاة للنصارى في ميلاد عيسى عليه السلام، وإما محبة للنبي صلى الله عليه وسلم وتعظيما له، والله قد يثيبهم على هذه المحبة والاجتهاد وقال رحمه الله: " فتعظيم المولد، واتخاذه موسمًا، قد يفعله بعض الناس، ويكون له فيه أجر عظيم؛ لحسن قصده، وتعظيمه لرسول الله صلى الله عليه وسلم،لا على البدع من اتخاذ مولد النبي صلى الله عليه وسلم عيدا. hapo mwisho mwisho asema ktk kuyatukuza Maulid لا على البدع sio ktk Bid'aa

    • @abubakaromar6101
      @abubakaromar6101 7 วันที่ผ่านมา

      Sasa wewe lete Dalili Maulid hayafai

    • @KhamisiMulusi
      @KhamisiMulusi 7 วันที่ผ่านมา

      @@mahfoudhcalender2747 hawawezi na hawana isipokuwa ni njaa tu za birian soda kachumbari pilau n.k zinawafanya akili zao kuwaambia maulid ni dini

    • @KhamisiMulusi
      @KhamisiMulusi 7 วันที่ผ่านมา

      @@abubakaromar6101 mwenye kudai jambo ndo juu yake kuleta dalili/ushahidi...
      Mlalamishi akidai kaibiwa bas ni juu yake kuleta ushahidi c yule aliye iba