HII NI KIBOKO YA WAHABI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 16 ก.ย. 2024
- Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
#HabariZaUhakika #Zinjibartv
Follow Zinjibartv
Facebook | Zinjibartv
INSTAGRAM |@Zinjibar_tv_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 772 281 879
+255 773 071 409
Video Zingine:
Angalia hapa - MTOTO WA TURKY AJITOSA KUMRITHI BABAYAKE UBUNGE
- HIZI NDIO TEGO ZA KICHAWI, SHEIKH SALUM MARDHIYA
• MTOTO WA TURKY AJITOSA...
• HIZI NDIO TEZO ZA KICH...
Dj vs Diamond Platnamz Soon
Piano vs Guitar
😂
Tuko Zanzibar na Dj Said Musician, Tafadhali tufanye mchango Wa Ma guitar 🎸 zimepungua na Piano zipo lkn Ikiongezwa na Gorido kutakua Vzry asanteni 😂
Hahahaaaaa DJ. Saudi aaaa majanga waislamu waleo. Hatujui hata tulichoamrishwa na mtume WETU S.A.W
Allah atuongoze n sisi tuitafute elim popote allauhmma ameen
Mtangazaji hujielewi, chunga sana
Mtangazi hajielewi😅😅
ALLAH TUSAMEHE WAJA WAKO KWA KUTOFAHAMU TULIYOLETEWA NA MJUMBE WAKO MUHAMAD S.A.W
Mtafia katika bidhaa
Nimeambiwa yupo tayari kwa mijadala usiropokWe
Huyu mtangazaji mashaallwah anajitahidi sana ila watu wengine hupenda kutia wenzao ila tu lkn mtu huyo huyo ukimpa nafasi kama hii wallwahi thumma wallwahi atachemka sana.. kubwa tuombeane Dua na tuwache UBAYA wa nafsi .
USTADH WA MUZIKI HUYO NA MPAMBANIA BI'DAA..HANA JIPYA
hujamsikia kasema yupo hapa zanzibar anaetaka munakasha aende mbona unatowa vijneno pemben
Jaahil wewe na mtabaki hivo hivo na upofu wenu mufsidiin nyiny
Uwahabi na usalafi wenu ni sumu ukiinywa kupona sirahis
Yaani umma umepata balaa kubwa Kwa mufsidiin hawa wahhaabiyya
Sawasawa hilo ni poti la kiyahudi halijielewi
Wagomvi wao ni waislam,km vile wao sio waislamu vile
Dua inaobwa wengine wanabonyeza sim kumbe hata masheikhe wametawaliw nasim nikafikir ni sis tuy
😂dj side
Allah aku hifadhi Ustadh Said
Ama kweli nibora uwe mjinga hujui haqqi kuliko mpumbavu anaejua haqqi na akaikanyaga Kwa kufata matamanio yake na kuwaridhisha wazee wake na watuwake ❌❌❌❌❌❌
Mwamba ina maana Maswahaba hawakuyajuwa haya kuwa Yana muhimu, nyny ndio mnajuwa zaidi kutenda mema. Daah waislamu Sisi WA Leo kweli Mtihani. Yaani Kanzu nzuriiii mnavaa na Maswahaba walivokuwa. Ndio Sayyidna Umar kashafariki, angewakuta Watu sampuli yetu hii angecharaza Bakora mbiooooo!
Yaa allah wanusuru waisalamu na balaa la kuzusha katika dini yako hakika shaitwan kawapambia sana jambo hili
Kwan mnakuaga mnatumwa ku_coment au ni khiari zenu. ??
Nashindwa wallah @@checkcheck5191
@@checkcheck5191ume comment kwani umetumwa wwe
Huyu hamna kitu
Na Allah akuongoze uijue haqqi
Akuna cha kiboko habari zake zote tuko nazo.acha tumstiri tu
Uyu mtangazaji ni chizi sana eti Aya hizo hajui Aya ni nini na HADITHI ni nini
اذا أسند الأمر إلى غير أهلها فانتظر الساعة
Kisha unasema wale ambao hawajafahamu. Basi na Maswahaba hawakufahamu hayo na wapo waliobashiriwa Pepo Duniani. Jee Nyny vipiiiii mnajijuwa mlipo mnafanya mliyokuwa hamukuamrishwa!
Znz hakuna mtu atae Acha kazi zake akaeka munakash na ww dj na nyinyi nyote mutaenda kuulizwa na Allah na ww sheikh mudhihir mche Allah unaubeba uwo uzushi na Allah atakuhukumu kupitia ayo na ww kizito hujaona watu wa kutuletea mpk ulete wasanii mungu ndo atakuhukumu
Aibu sanaa mtoto wa bachu anaaibishwa kwao zenji noma 😂😂sanaaa hii kitu
Jifananishe na mwanaume katika maongezi yako braza
Waumini tumeumbwa kupenda haqqi kutoka Kwa Allah na mtumewake ilo lenu limetoka wapi? Kwa Allah au mtume? Au maswahaba? Au maimamu wakubwa? Duh aisee watu ni wabishi sijapata Kuona he 😠🤔🤔🤔
Haya yakudharauliana na kukosowana ndio tuluoachiwa wenzetu wanajua nini maana ya kuheshimiana
MNAFANANA MAUMBILE SIO!!
YAANI WEWE UNA DHAKAR
AU YEYE ANA FARJI!!
WEE MPUUZI KWELI KWELI.
Nini uwahabi, uwahabi ni genge au kundi lilioanzishwa na Muhammad Abdul wahab kutoka katika mji wa Najid huko saudia yapata miaka 300 tu iliyopita, na hawa mawahabi ndio waulioungushs utawala halali wa saudia ya zaman kabla ya saudia ya sasa, Mawahabi ndio waliopindua uongozi halali wa kizazi cha mtume katika miji ya kale ya saudia Arabia, hii saudia ikiwa mawahabi hamuelewi ni jina la babu wa Fahdi bin Abdul azizi Al saudi, hawa mawahabi ambao wanaleta shida katika dunia ndio walipindua kizazi cha mtume kwa msaada wa Uingereza na Marekani, Hawa mawahabi ndio waeneza chuki katika uislam, Hawa mawahabi kila kheri hujaribu kuibadisha ili iwe shari, Uwahabi chimbuko lake ni mji wa Najid mji ambao mtume Muhammad S, a, w alikataa kuuombea dua, kumbe alikwisha jua kuwa muanzilishi wa uwahabi atatoka hapo na ndio sbb ya kuja kuutia dosari na kukosoa kila zuri la kiislam, Uwahabi ni kama chama, unaingizwa na kutolewa,
Shekh maulidi
Ugonjwa wenu mtafteni daktari wa maana
Napenda sana mwanaume mwenye ndevu asokuwa na ndevu naona kama tunafanana
Nenden gest ndo utajua nikama wewe au laa😅😅😅
@@jamalikatikiro6145 sindano imekuingia cha kunyoa ndevu unakuwa kama tunafanana mkeo
Tukisema tufunge ndevu na kuoa mnasema sunna nyingine hatuzioni tukizifata sunna nyingine mnasema mnataka ndevu sisi sio Nabii hatuwezi shika yote hayo sisi nyongo tunazo Nabii hakuwa na Nyongo hii ni tafauti yetu na yeye
Anaenyoa ndevu anajifananisha na mwanamke
@@manhajsalafafricatao dalili ju ya hilo
Nadhakar unayo nn au ni ndev tu,,,na je mtume kasem ukikosa ndevu unakua mwanamke ,,
Hii nibidaa
Vichwa vya habari vitagawanya kizazi cha sasa...
Awo masufi wengi ni ....... 😅😅😅
Hebu mtueleze kama mnampenda mtume SAW kuliko khulafaurrashidiin? Maana hawajawahi kuusherekea mawlid!
Huwa mnashindwa Kutueleza nn Uwahabi kiistwilahi na kilugha??Je,Uwahabi ni nn
Hili swali hamjaweza Jibu Masufi mpka sasa.
Kwa sabab Hakuna Kundi/Madhehebu linaloitwa wahabi.
Na hakuna Maana ya Mawlid inayomaanisha hiyo yenu Bali ni Ihtifaalat bil mawlid Nabiyy.
na Hakuna Mwanachuoni yyte Asemaye Jambo hili ni sunna.
Mtangazaji jitahid tulia na fikiria unachotak kuongea usikurupike utangazaji unaitajia fikra kubwa sio kilaakati eee aaaa, hem tulia na punguz papara katik kuongea. Na ukifanya hivyo utakua mtangazaji mzur sn
Kwahiyo umemuongoza nini yaani kwa ufupi?! Maana kwa sura hii ni kwamba na wewe ni Mwenye papara pia, kwahiyo mnyooshee lengo lako
Binaadam kwa kuongea tu
Mchaji Mungu sana uyu kijana
Wee itakuw ni Wahabi piy
Umesikia? Wanaendeleza mifumo ya wazee
Maulid ni nuru ya Allah cio 😅😅😅😅😅😅😅 makhurafi hamjielewi
jamaa hana tofaitii na qadiriaa wapiga vinanda na magomaaa tunazo clip zake nyingii tuu ana pigaa mananda na magoma
Kwan mnakuaga mnatumwa au ni khiari zenu??
Majaahil nguli
Kipindi hicho nipo zanzibar 😂kabla yakujua misikiti ya masalafi uhl sunna waljamaa wenyew as nilikua naswal kwenye sikiti hill lakisufi😂
Kumbe ulitumia akili ulonayo usitumie akiliyako katkadini
nyie masufi acheni kuendekeza matamanio haq Iko wazi
Hii tv niliiyona niyamaana sana kumbe niyahovyo kumbe hii tv ni tv ya misufi na unfollow hii mijamaa ikombali na sunna
Huyu mtangazaji ni Chale anashabikia akipotoka
Bure hata ukauze samaki malindi
Uandishi wa habari haukufai kabisa
Na huyo unaemuhoji ajijua hayumo ndio maana amekimbia
Mombasa
Kwan mnakuaga mnatumwa au ni khiari zenu??
Sio محجورا ni مأجورا
Mtangazaji kama shabiki ,,, aibu
Hii kiboko ya wajinga wavivu mazundiki na watu wa batwil
Huyu ni mwanamuke tu sio mwanaume 😅
Mpe dadako akusimulie😅😅😅
ما ليس فيه
Maulid ni uvundo pamoj na ile qur,an,,isomwayo,,na mtume anaetajwa,,ni uvundo,,,sir ya mtume ni uvundo,,,au umeropka,,tu,,
Inamana qur an ni uvundo ww chukia maulidu ila usiseme qur an na kutajwa mtume ni uvundo wa chakibur
Kwahiyo maswahaba hawako soma ndomana hakofanya maulidi nyinyi ndo mulio soma mpaka munafanya maulidi
Wewe umesoma wapi?
Vimbeni kwa hiyo pumzi ya ALLAH,jueni marejeo ni kwake nyinyi wapuuzi msokua na akili
Na wewe pia mwenye akili uvimbe na ukijua pumzi ni ya Allah muda wowote ataichukua usifikili ukiwa na akili utaishi milele
MAULIDI NI UVUNDOO
Kwan mnakuaga mnatumwa au ni khiari zenu??
@@checkcheck5191 kwa kafiri MAULID (MAZAZI YA MTUME SAW) NI UVUNDO. LKN KWA WAISLAMU MAZAZI YA MTUME WETU NI FURAHA TU. CHUKI ZENU MAKAFIRI HAZIWEZI KUTUTUDISHA NYUMA WAISLAMU
sasa hivii hamtupatii tushashtukaa wano yapiga maulidii wanahojaa zenye misingii ya haq juzi naangaliaa clip watuwamaulidi wameambiwa maulidi nibidaa mtume wala maswahaba hawaku fanyaa wakaja na hojaa wakasema bc na mashindano ya quran nibidaa maana mtume hakufanyaaa 😅😅😅duuh
ndio tusaidie wewe kuwa mtume kafanya mashindani ya kur ani
Nyie masufi acheni mchezo na dini jumba na kupiga magitaa mmetoa kwa nani?
Ndio Lao kubwa kibri Na dharau...ALLAH ATAWATOSHA
Huyu ni tapeli wa akili ndogo za masufi na khuraafiyuun
Bin Abdul wahabi ndo kawatapeli
@@jamalikatikiro6145 ebu eleza kidogo tu ibun Abdulwaab ni nani? Na nina uhakika tena asilimia mia moja hujui na hujui....humjui ni nani ila ni fikra tu za kizembe mmelishwa...na kwa sababu wallahi nina uhakika ungalikuwa wamjua ni nani hungethubutu kutapika hayo matapishi yako
@@KhamisiMulusinawewe elezes kidogo tu historia ya taswauf na nasi tutakuleza historia ya shekh muhammad abdul wahhab
Dj said Zanzibar unashoo Kwa bakasir
Wewe waongea lugha gani
????? Wenzio wanasoma wewe shabikia.
Wewe ndo densa wa iyo shoo😅😅😅
Dj kapigwa kitu kizto na abuu khawla kapotea
Mtume amatumia ما ليس فيه
Kwenye sunan abyy daud
Hapo alikaa kimya kama hakusikia vile
@@SWAAHIB kajizima data
@@yusuphhamisi504abuu khawla aliambiwa ajitokeze kwa Niqash kama yule kikojozi akakimbia lkni mpaka leo hajajibu amenyamaza wala hajasikika tena kama vile huyo kikojozi kutoka baada ya Niqash mpaka leo hajasikika tena na zile kelele zake za kama mwaka jana kutukana wanazuoni na Masharifu juu ya Mamimbar na kutupa kitabu bali sasa twaona mambo yamebadilika yamekuwa tafauti alienda kuwasifu Masharifu na kuweka mijadala na mawahabi wenzake kila siku imekuwa kama musalsal yakuendeleya wanalimana wao kwa wao
@@yusuphhamisi504wewe huyo abuu khawla ushamsikiya tena alitwa mpaka leo amenyamaza
uyo abuu khaula nae kamkimbi shekh muharram mziwanda mbona hamsemi
Zuzu lakisufi amabye anawapoteza wajinga wenzake
KWA NINI HUMTAFUTI ILI UMUONYESHE HIYO ELIMU UNAYOJIFANYA UNAYO, ILI TUJUE KATI YA WEWE NA YEYE NI NANI AMBAYE HANA ELIMU!!
AU UNABWEKA TU.
Wewe mtangazaji ni punda wa shia na nyinyi masufi ni wapumbavu na upumbavu wenu unaonekana
Wewe pia nimbwa wa wazungu unajulikana😅😅😅
nanyinyi mawahabi ni mbwa wa mayahud
Vipi naona dj said kaja diamond pla.....,shoo ya mziki itakuwa wapi mahurafi
Ittakillah, huyo ni muislam kama ww haifai kumkejeli hata kama kuna tofauti flani kati yenu, tunalazmika kua kitu kimoja waislamu pamoja na tofauti zetu tulokua nazo coz hizi haziwezi kuondoka. Samahani kama ntakua nmekukosea kwa nasaha yangu.
Ndugu yangu tumekatazwa kujitakasa,hivyo si vyema kujitakasa ukaona watu hawakuongoka na kuwaita majina mabaya na yasiyo yao.
Madensa pia mnakaribishwa kwa shoo😅😅😅😅
Shetan inapendeza zaid bidaa kuliko maasi sas cjui mnangoja nn msoacha hayo maulidi
user-zr1dv2tb5k Shetwani zaidi wale waloigawanya Tauhid kwa sababu Shetwani alimuahidi atawapoteza ktk waja wake ndio akawapata nynyi mawahabi akawafundisha kuigawanya Tauhid ya Mwenye Ezi Mungu
Nyie hamuelewi mambo ndo man kila cku zikenda mnazidi kupotea kila bidaaa ni upotevu hata mkiiona ni nzuri mnawapi pakukimbilia makhurafi
Nyie tunawaelewa km alivosema imamu shafee huwez kumumuona sufi asubuhi ispokua akifika mchan utamkuta mwendaazimu hamna akili ndo man imam shafee aliwajua fikaa
@@abubakaromar6101 hlf nyinyi hamsomi akida ety mbona mnafanya tawasulli kwenye makaburi ya masharifu wenu
@@FahdIbnyussuf nyinyi ndio mwajuwa Akida ndio mukaigawanya Tauhid? Kutawasal kwa Mwenye Ezi Mungu kupitia kwa watu WEMA au kitu CHEMA haijakatazwa hata Nabii Yusuf A.S alitawasal kwa KANZU na babake akaponya upofu kwani ilikuwa hawezi kumuomba Mwenye Ezi Mungu moja kwa moja na Dua za Manabii zajibiwa hapo hapo,ilokatazwa mukifanya kile kitu ndie Mwenye Ezi Mungu, sasa hiyo Akida yako au yenu ya kumgawanya Mwenye Ezi Mungu ينقسم توحيدإلى ثلاثة أقسم muliitowa wapi?
Hatuna haja ya kusoma maulidi
Sie tunajuwa ni uharamu sababu mtume hajafanya
Kama kafanya lete salili
Hata kuharamisha asichokiharamisha mtume pia ni haram
Sisi pia hatujawaambia someni maulidi lakini mjue tu dini ya uislamu ima letwa na masufi kasome tarikhi ya East Africa lao siwao hata kukoga janaba na kutawadha mungejuwa nyie mawahabi
Salili ndio nini au mtu gani? hata hiyo simu unayotumia wewe Mtume SAW na Maswahaba pia hawatumia
Hata kupanda magari Haram vilevile
Hata MTUME MUHAMMAD hakufanya mashindano ya kuhifadhi Qur an::JE NI bidaa;::
Mtangazaji hajielewi vip ana kosa gani,kulaumulaumu ni dalili za Uwahabi,
dj
Densa wewe😂😂
Kofia unavyo vaa unasujudu vipi kwenye swala shekhe
MUULIZE MUHAMMAD BACHU
wewe huna lakusema bora ungenyamaza ndugu yangu kwani hapo saiv yupo kwrnye swala
leteni dalili ya maulid basi
Mwajichokesha
Dalili ipo kwa mwanachuoni mkubwa munaemtegea Sheikh Islam IBN Taymiyah ktk kitabu chake IQTIDHAAU SWIRATWAL MUSTAQEEM kasome عن شيخ الإسلام ابن تيمية هو القول بأن: الاحتفال بمولد النبي صلى الله عليه وسلم؛في كتابه اقتضاء الصراط المستقيم:وإنما يفعل مثل هذا النصارى الذين يتخذون أمثال أيام حوادث عيسى عليه السلام أعيادا، أو اليهود، وإنما العيد شريعة، فما شرعه الله اتبع؛ وإلا لم يحدث في الدين ما ليس منه. كذلك ما يحدثه بعض الناس إما مضاهاة للنصارى في ميلاد عيسى عليه السلام، وإما محبة للنبي صلى الله عليه وسلم وتعظيما له، والله قد يثيبهم على هذه المحبة والاجتهاد وقال رحمه الله: " فتعظيم المولد، واتخاذه موسمًا، قد يفعله بعض الناس، ويكون له فيه أجر عظيم؛ لحسن قصده، وتعظيمه لرسول الله صلى الله عليه وسلم،لا على البدع من اتخاذ مولد النبي صلى الله عليه وسلم عيدا. hapo mwisho mwisho asema ktk kuyatukuza Maulid لا على البدع sio ktk Bid'aa
Sasa wewe lete Dalili Maulid hayafai
@@mahfoudhcalender2747 hawawezi na hawana isipokuwa ni njaa tu za birian soda kachumbari pilau n.k zinawafanya akili zao kuwaambia maulid ni dini
@@abubakaromar6101 mwenye kudai jambo ndo juu yake kuleta dalili/ushahidi...
Mlalamishi akidai kaibiwa bas ni juu yake kuleta ushahidi c yule aliye iba