HOSANNA - Mamajusi Choir Moshi - Official video
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 3 ต.ค. 2024
- "Nao watu waliotangulia na wale waliofuata wakapaza sauti, Hosana; ndiye mbarikiwa ajaye kwa jina la Bwana" Marko 11:9
"And they that went before, and they that followed, cried, saying, Hosanna; Blessed is he that cometh in the name of the Lord" Mark 11:9
Account hii ya TH-cam ni rasmi kwa ajili nyimbo zote za Mamajusi Choir iliyoko chini ya kanisa la Anglikana (The Anglican Church of Tanzania (ACT) lilipo Majengo Moshi kwa Mialiko na
Mawasiliano ya Viongozi mbalimbali
Namba ya mwalimu wa Kwaya +255756412279
Mwenyekiti wa Kwaya +255754267151
Nyimbo nzuri Waimbaji safiii hakika nabarikiwa sana na hii nyimbo 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Who agrees the soloist is talented? GREAT SONG.
absolute
Very very
omuno vyu kwanza
Mungu awa bariki mno Kwaya kongwe ya Mama jusi,hakika mna ubariki mno moyo wangu chin ya mwalimu Tito, Leo naitwa Boss weeee
Wimbo mwema,wimbo niupendao .naeza ichezesha siku nzima.hakika inanibariki
Mungu akubariki sana
Huyu ndo Ezekiel kimoi ,
Mdogo wangu una kipawa kikubwa ,kitunze, hiyo ndo silaha yako ya kumpigia Shetani , itumie sawasawa mpaka shetani aachie watu aliowaiba katika kundi la Ufalme wa BABA.
Sura mpya,na mambo mapya.
I'm watching you here in Zambia.
Hii kwaya imejaliwa kuwa na' waimbaji hodari na' wapiga vyiombo pia." Mungu wetu awalinde hadi twende zetu mbinguni makaoni kwetu milele na milele Amina . kutoka Nairobi Kenya.
Ezekiel Kimoi hongera sana kijana Kwa kupata kibari
Barikiweni sana
Asante Sana mamajus hamjawahi niangusha kwa kazi nzur mungu wambinguni awabariki..
ameen. Barikiwa pia mpendwa.
Ameeen 🙏🙏
Mko vizuri ila kwasasa mshikeni sana uyu kijana ata watoa sehem
Barikiwa sana watumishi🙏
kazi jema mnanibariki sana karibuni hapa Kenya mtuletee injili
Asante sana. Tutakuja
Wow my favourite Choir..A Blessing song indeed,much love from Kenya....Mungu azidi kuwainua
Ameen. Tunashukuru sana.
Ubarikiwe
Amen nimebarikiwa sana
mbingu zimefunguka kwangu....anga limeachia baraka...These keeps me encouraged
Hakika kazi zenu zapendeza sana,mpo nadhifu, MUNGU awafurikie
Ameen. Asante sana
Mungu Awabariki Sana
Zamani nilizarauliwa sasa mimi ni boss
Hongeren sana wimbo mzuri unagusa mioyo ya watu
Nimebarikiwa San na huu wimbo 🙏🙏 MUNGU azidi kuwainua katika kumsifu na kumtukuza
Aksante Niko pamoja nanyi kanisa samahani munitumiye namba kwa mawasiliano mema mimi ni mmjoja wa matunda yenu katika alfajiri kwaya huko Congo butembo
Ameen. Barikiwa sana
a❤@❤❤❤a
@@mamajusichoirmoshi5620❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@@mamajusichoirmoshi5620🎉🎉
Bwana apewe sifa
Mungu ambariki
Hamjawahi kutoka katika utukufu wa Mungu tangu nilipowafaham kweli mnaimba ktk roho na kweli pia mavazi yenu ni ya heshima Mungu azidi kuwabariki sanaa
What a great song. I can't stop watching and listening. Much blessings to you Mamajusi choir
Amen
Mungu awabariki 🙏 Zaid MamaJusi choir nawapenda saana Hosanna ndiye mbarikiwa ajae kwa jina la Bwana
Asante sana. Tunakupenda pia.
@@mamajusichoirmoshi5620 AMEN 🙏💖 ila swali langu Moja tu naomba mnijibu yule sister alie solo wimbo wa SEMA NAMI NIMEJITOOA KWAKO KUKUTUMIKIIIA SIKU ZAAAMAISHA YANGU NIWE NAAWE SEMA NAMI BABA Yuko wapi mbona simwoni kwenye hizi nyimbo za saiv 😥😥😥😥😥😥😥
Mungu wa mbinguni awabariki
Ameen. Asante sana
Wimbo huu unanibariki sana mungu awabariki sana.❤
Mama Jusi nawapata viziri mnooooooo aminaaaa halelujaaaa🙏🙏🙏
This is my every morning prayer! Thank you LORD for this revelation. Wimbo huu ni tiba ya roho iliyougua na tumaini kwa Mungu. Mbarikiwe MAMAJUSI🎉
Saf sana wana wa mungu mmarikiwe
Tuna imani nawe Mungu levo nyingune mamajusi nyie mmenibariki sana sana mimi mdau wenu chapeni Injili ya Kristo
Asante sana mdau wetu. Mungu akubariki sana.
Mbingu zimefunguka ..napokea baraka kwako Baba
Mbarikiwe Sana Kwa kutangaza injili ya kirsto
Mama jusi mbarikiwe sana na Mungu
Ameen. Asante sana
Mungu awabariki kwaya ya mama jusi napenda hii nyumbo mungu aendelea kufunguwa vibawa zenu mimi ni mukenya God bless you kwaya 🎉❤
Kutoka Nairobi Kenya,hizi Nyimbo zenyu zinanibariki sana. Barikiweni sana mwaka mpya upunifu.Amen.
Such a good song
Asanten nyoote Kwa unyenyekevu wakimbingu mbarikiwe sn Kwa kutuunga mkono mamajusi kwaya Moshi.Tunatambua umuhimu wa Kila mtu na Taifa lake.ukituma sms tuambie unapatikana wap tuendelee kukuombea na kujenga urafiki Bora.
Mungu azidi kuwatunza watumishi wa Mungu ❤️🔥❤️♥️❤️❤️🙏
Wonderful song's
Waoooo, it's just waoooo❤❤
wewe ni mungu na baba. wimbo wangu kila siku Asante mmajusi choir.
Nawapenda sân mamajus
Ameeeeeeeeen nyimbo zenu zinagusa,mbarikiwe
Kazi njema sana,Mungu awabariki nyote
Good job Mamajusi! Mbarikiwe
Amina mbingi zimefunguka kwetu
Mamajusi mungu azidi kuwalinda nyimbo zenu nzuri
Ameen. Asante sana mpendwa
Amen Huu wimbo Ni wa Amani moyoni ,barikiwa
Representing Kenya Nairobi Kenya nyimbo Iko sawa kabisa
Thank you so much
Mbarikiwe sana❤
Amen
I TRUST YOU LORD...HAVE YOUR WAY..anga limechalia baraka
Kazi njema sana🙌🙌🙌🙌
Mbingu zimefunguka....
Amen👏🙏🙌🔥
Wimbo uko na upako,❤❤❤
Kenya tunawapenda sana,,Mingu azidikuwaongezea zaidi hapa
Aminaaa
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
A song from heaven...,..blessing 🙌🙌🙌🙌🙌
Mbarikiwe sn Watumishi wa Mungu endeleni kutuombea
Ameeen
Amina from Kenya
❤❤❤❤❤❤❤❤mubalikiwe sana watumishi wa mungu
Ameen. Barikiwa pia mpendwa
Blessings
one of my favorites song ❤❤❤❤wow kila siku lazima niusikize huu wimbo wa baraka.❤
Nawapenda sana mweny mungu awabarik san kalbn Dodoma
Amen glory to God
Wow! Tuna imani nawe yesu.....wimbo wenye kiwango nyengine.
🙏🙏🙏🙏💪💪💪💪GOD bless you More💪💪💪
Ameen
Duh hakika MUNGU ni mwema,, solo nimemwelew sana kiukwel
Nawapenda ma jusi,mpo na mapenzi ya mungu
Ameen ubarikiwe sn
Tunaimani na wew eeh Mungu uko tukinyenyekea kwako Bwana
Nice song
Kazi nzuri kwa mtunzi
Blessed 🙏🙏
Listening from KIBAHA on 7/10/2023 at 09:39 am
Powerful song mamajusi 💪💪💪
Thank you so much.
Mungu wa Majeshi azidi kuwatunza na tuseme AMEN
Waoh very spiritual composition may God bless you all.
Thank you so much. Glory to our almighty God.
MUNGU wabinguni awatie nguvu zaidi
I love mama jusi❤...blessings
Dogo ❤noma xana
Mungu azidi kuwabariki kwa kazi njema✨ Halleeelujaaah 🙏
Ameeen
Barikiwa huduma ni njema
Ameen
@@mamajusichoirmoshi5620 ya iiiyygfeee
Mzidi kuinuliwa watumishi wa mungu
Ameen
Tunaimani nawewe ee Mungu wetu🙏
Beautiful song
Duh huyu kijana amenogesha wimbo ile mbaya!!!,naona kakunoa vyema mzee anaye anza siku zote.good job
Asante sana mamajus. Na arikiwa mno. Ameeen
Yes yes wimbo una utukufu sana
Much love from Cape town Guys 🎉🎉🎉
Thank you so much.
Kwa nini nyuso mingi inaonekana wageni from wale niliwajua from my teenagehood
Watu wanazidi kukombolewa na kuzidi kufanya kazi ya mungu.... Mungu ni mwema.Wengi wa zamani wapo kwa ule wimbo wao mpya.
Oky kama yupi humuoni nikupe maelekezo mtumishi
this a good one
There's a lady mwenye aliongoza wimbo ya "Sema nami."
From meru Kenya you really bless me with your songs deep from my heart love you 🙏😔
❤❤❤❤it's a testimony to some of us ...... Blessings to the producer and the singers not forgetting the listeners
Amen
Neema iwatunukie Wana wa mungu
Autafuta wimbo wenu'Mwenzenu nahangaika' nimeukosa.
Tafadhali mrudishe huo wimbo hiwa unanibariki sana.
Shukrani.
smile face naziona............ my best choir forever years comes years goes
Indeed God is using you guys to give hope to those who have lost hope in life.Mungu awape nyimbo zaidi zizidi kutubariki hapa Kenya
Amen amen 🙌🙌🙌🙌🙏👏👏
Wow. Sons and Daughters of the most high God. Be blessed. You are ablessing to many. continue serving our saviour. For sure He loves and deserves to be worshiped.
Amen 🙏
Hallelujah 🙌 powerful song 🎵