MWENDO - Mamajusi Choir Moshi - Official video
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 3 ต.ค. 2024
- "Taarifa mbaya kwangu sitaki, nataka taarifa zilizo njema, naenda mbinguni" Ni moja ya maneno yanayopatikana katika wimbo huu.
Ni kweli tunapitia mambo mengi na pengine wengie tuko milimani na hatujui namna ya kutoka. Kupitia wimbo huu wenye ujumbe mzuri Bwana akatuponye.
Wimbo huu umebeba jina la album "MWENDO" iliyozinduliwa rasmi leo tarehe 25/06/2023. Karibu usikilize na uzidi kubarikiwa. Tunashukuru kwa kuendelea kuwa sehemu ya mafanikio ya huduma yetu.
Channel hii ni rasmi kwa ajili nyimbo zote za Mamajusi Choir iliyoko chini ya kanisa la Anglikana (The Anglican Church of Tanzania (ACT) lilipo Majengo Moshi.
Mawasiliano ya Viongozi mbalimbali:
Mwalimu wa Kwaya +255756412279
Mwenyekiti wa Kwaya +255754267151
December 2025 nani yuko hapa ❤
Huyu soloist anaenda mbali. Mungu azidi kuwabariki Mamajusi Choir. Kutoka Mombasa, Kenya.
Kwa yesu kuna raha jamani njooni wote maana sitaki kupunguziwa mwendo mie👌🏽🤏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽
❤❤❤❤❤ mungu awatanguliee mvuke viwango na viwangoo 🎉🎉🎉🎉🎉
Natokea Dodoma ujumbe wenu katika wimbo huu umenisaidia sana Mungu awabariki sana.
Mmejipanga sana, nimewakubali.
Hongereni sana sana
Mimi nabariwa Sana na mahubiri yenu nikiwa kahama Mungu awatunze
Mbalikiwe sana
amina
Naomba siku moja mtembeavyo Nairobi mje tuabudu nanyi GNCA PUMWANI GIKOMBA.
Nashukuru Mungu wetu kwa kuwafanya ninyi chombo muimu cha kuubili injiri hii kupitia hizi nyimbo zenyu mzuri kweli kweli.!" Mbarikiwe sana mamajuzi. Amen 🙏🙏🙏🙏.
Amen! Tunamshukuru Mungu kwa fursa ya kuwa chombo cha kueneza injili kupitia nyimbo zetu. Asante kwa maombi yako na baraka zako. Ubarikiwe sana.
Wa kwanza kutoka iringa nimefarijika saaaana
Chama langu congr yesu azidi kuwainua
Dada Rose muhando nakuona,hapa Nairobi Kenya. Kazi mzuri kweli kweli.
Kwa miaka mingi mimi nikiwafutilia sana, Mungu wetu awape upunifu zaidi hadi mbinguni makaoni kwetu.
Asante kwa ufuatiliaji wako wa miaka mingi na maombi yako yenye upendo! Tunathamini sana uungwaji mkono wako na maombi yako kwa ubunifu na kazi yetu ya uimbaji. Tunaomba Mungu atuongoze na kutubariki ili tuendelee kuwa chombo cha kuleta ujumbe wa imani na faraja kwa watu. Ubarikiwe sana! 🎶🙏❤️
Baraka kaka umeupiga mwingi sana congolee
Jaman hii kwanya itakaa uchuje kweli nawaombea Kwa mungu mzindi kumtumikia yeye alie wapa vipaji
Karibuni hapa Kenya, Kisii county,kule mpakani mwa wamaasai na wakisii,Magena market.
Jamani da Rukia,khaaaa
Nawapenda Sana mnaimba vizuri
Brother Tunuka and my young sister pendo keep on praise the Lord
Mungu awa bariki sana wa pendwa
wimbo mzur sana mungu awabariki
Very true 👍 what a mighty song. May the Lord elevate you more
❤❤ Nice and good lerics.
Asante Kwa wimbo mzuri mungu awabariki ndungu na dada zangu Kwa kazi nzuri
Asante sana mpendwa. Ubarikiwe pia.
Mnanibariki mno jamani uwiii kila wimbo unaugua moyo
Hakika mimi ninaulinda moyo kuliko chochote maana ndiko zitokako chemichemi za uzima......God bless you Mama Jusi Yesu azidi kuwainua na kuwapa unyenyekevu
Moja kati ya nyimbo bora sana
Nafrahi kuwa wa Kwanza ❤ nikiwa Mombasa
Amen. Ubarikiwe sana
Yote yalikwisha kalvary🙏🙏🙏
Amina 🙏🙏🙏🙏
😅 Cuteness overload 😅,I love the way Jesus Christ is refreshing this Choir day n night,Ur looking nice n fantastic just as the massage in the song.
Love you always from UG
🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬
Thank you so much.
Kutoka lushoto ninabalikiwa Sana ninapo sikiliza ujumbe wanyimbo zenu hakika zinanijenga kiroho mungu na azidi kuwatia nguvu kwahuduma hii.
wimbo mzur kweli
wimbo mzur kweli
Hakika sitaki maumivu ya moyo wangu
Nyimbo za kutuliza moyo.
I really like the way you sing 😊heavenly father add more years to your lives for you to continue glorifying Him
You the first amongst my favourite choirs,,,,niwasikizavyo kila mara nabarikiwa tu,,,mungu azidi kuwaneemesha.
God bless you everybody
God bless you guys ❤
Hapo sawa mung'u ako nasi
Am here 🇺🇲🇰🇪
Ameeeeeeeen❤
Amen
Mimi nina ulinda moyo kuliko chochote maana ndiko zitokako chemchemi,,,,mbarikiwe mno nimebarikiwa sana
Mungu awabariki sana taarifa mbaya kwangu sitaki, nataka taarifa zilizo njema naaenda mbinguni na ninalinda moyo wangu ndiko zitokako chemchem
Nalinda moyowangu,,,,,natakanafasi ya Moyowangu nimwachie Yesu
Great rumba
Amen... Wimbo mzuri wenye Mawaidha mazuri.
Asante sana
Amina amina Amina ,,nabarikiwa na Kwaya yangu kipenzi,mamajusi,,,Amina injili imefika kwangu Kenya be blessed saaaana🙌
Ameeen Asante sana. Ubarikiwe mno
Amina Amina sitaki taarifa mbaya
hapo mmeugusa moyowangu
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
From Zanzibar I really like it
We are together my Dr love xo much this choir
Tito tito tito nakuombea
Aminaaa
Mamajusi nasema hivi: MBARIKIWE TU !!!!!!!!!!!!
Ukweli mtupu kutoka kwenye kitabu kitakatifu mnaimba. Chunga mtu awaye yeyote asihitilafiane na dira yako ambayo ni neno la Mungu kwa habari mbaya . Yote yasiofaa yaweke nyuma na utazame mbele.👍
Ameen. Umesema vema mpendwa.
Kiukweli mnaimba sana, Mwenyezi MUNGU aendelee kuwasimamia.
Nimekubali mahubiri kwa njia ya nyimbo yananigusa sana.
Hongereni sana
waoooh mbarikiwe Sana
Safi Sana mbarikiwe
Hongeraa mwalimu Tito' pamojaa na kwaya yako nzimaaa hakika tunafarijika
Asante sana
❤❤❤❤
Mubarikiwe sana
Nimetulia ❤
Wapenzi naburudika Kwa nyimbo zenu sir God bless you all mamajuzi choir God awatende mema.
Ameen. Mungu akubariki sana.
Amen
Mbarikiwe Sana 🙏🙏🙏
Mungu awabariki sana
Linda moyo wako maan ndioo zitakapo chemchemu zauzima💯💯💯💯
Mbarikiwe sn wooote Mungu wambinguni Asiwaache
Ameeen
Amen
Hakika yawezekana hatuko safari moja. Wimbo mzuri
Asante sana
nampendaga huyo Mama mfupi Chibonge anatabasamu vizurii saanaa
God bless you kwaya 🎉mama jusi❤
Thanx alot my people from Kenya, this is a very nice encouraging song,mumenijenga
Ameen
Napenda nyimbo zenu sana
Asante sana
Nawapenda sana jamani♥️🙏
Mungu azidi kuwabariki
Ameen
🔥🔥🔥🔥🔥
Good work
Thank you so much
Mbarikiwe mamajusi
ameen. ameen.
Amen
Waoooo hakika
This choir blesses me every time I listen to. God is really with you and am more blessed. May God bless this choir to give us more blessing songs
Ameen. May God bless you
My fav jam😋
Hakika! "Linda moyo wako maana hapo ndipo kuna chemichemi za uzima"💯 Mbarikiwe Sana✨
Amen. Asante sana. Barikiwa mno.
Amen
Blessings 🙏❤
U are so talented waaa
Thank you. Glory to God
Congratulations servants of God 🙏
thank you so much. Glory be to God
mbarikiwe
Ameen
Wimbo mtamu
Mwlimu hongera Sana kwa wimbo mzuri unaponya nafsi mungu akupehaja ya moyo wako
@@laswayjohn7290 amen
Tunasonga mbele na Yesu.Amen
Ameen. Hakika tunasonga mbele
Mbarikiwe sn woote
Ameen. Asante sana
Ameeen watumishi. Nabarikiwa sana
jamani nimefarijika mno mbarikiwe watumishi wamungu
Amina mpendwa
Hakika mimi ninaulinda moyo kuliko chochote maana ndiko zitokako chemichemi za uzima......God bless you Mama Jusi Yesu azidi kuwainua na kuwapa unyenyekevu
Hakika mimi ninaulinda moyo kuliko chochote maana ndiko zitokako chemichemi za uzima......God bless you Mama Jusi Yesu azidi kuwainua na kuwapa unyenyekevu
Hakika mimi ninaulinda moyo kuliko chochote maana ndiko zitokako chemichemi za uzima......God bless you Mama Jusi Yesu azidi kuwainua na kuwapa unyenyekevu