BWANA UNIBADILI_ Kwaya ya Mt.Maria Goreth_Chuo kikuu- Ushirika - Moshi
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 1 ส.ค. 2024
- Hii ni Kwaya ya Mt. Maria Goreth kutoka Chuo kikuu cha Ushirika - Moshi. BWANA UNIBADILI ni wimbo uliobeba jina la album yenye nyimbo za kumsifu na Kumtukuza Mungu. Tuungane nao katika kusitazama kazi hii.
Waweza pia kuwa wakala wa kuisambaza kazi hii na endapo utataka kuwasiliana nao, tumia namba hizi:
+255 654 369 810 au +255 621 065 005
Tunaposikiliza Wimbo huu tuombe kwa Mungu tuzijue Habari zake Habari za Mungu Mwana, Habari za Yesu, tuweze kufuata kwa vitendo njia za Yesu kristo. Tuendelee kusikiliza na Kutazama Maneno Matamu ya wimbo huu na Mungu azidi kutubariki. Amen
#kwayakatoliki - เพลง
Please support: www.patreon.com/user?u=77044884
pppp
Mungu ibariki Tanzania 🇹🇿 ibariki Africa 🌍 na duniani nzima amina upokee maombi yetu amina
@@freddykulwa8190 1
Watoto awana pambazi
O poo 0😅😊😊😊JJIOLhj😅iuoojhulkj jhhuqqyqq I u uiioiiohbbukjjkjjbubbnnjjnnnmmmnjnhhjh juu hjjjjyhiphjk
Jioqi
I'm watching this 6yrs later,but the suprise part is that I'm an SDA but this song is on another level,the quality of the video,the presentation in short I felt in love with this song❤
Nani yupo nami 2021
Kama unatazama wimbo huu mwaka huu 2024 like hapa ❤❤❤
Amina bwana utubadili tukufuate wewe
napendaga sana kuangalia wimbo huu
@@user-df1gp6jr9s🙏🙏🙏
Wimbo unaosafisha roho bila shaka... Wapi likes zangu mie ni jirani yenu hapa Kenya?
Karibu tanzania mambo mazuri
Karibu tanzania mambo mazuri
Hongereni chuo cha ushirika moshi
Kama nawewe unakubariki sana huu wimbo usinipite bila kulike
hiii i like this song tooo soo much
@@marieroxysaid7825 p
Nakupenda Sanaa ninz
Wimbonibutamusana
Naupenda sana
Sijawahii kujutia kuwa mkatoliki Nani anamsimamo Kama huu like plz tujuane🤣🤝🤝🤝🤝🤝
Hata mm sijutiii naipenda dini yangu sana
MUNGU awabariki waimbachi wa Rajo kwa imbajiwao mzuri,mbarikiwe Amina
😅@@floriditarimo8236
I am malawian my name blessings
Let me your name
❤ I am not a Catholic but honestly speaking, this prayer song to almighty God for a complete change of behaviour & character to pursue His ways is not only speaking to my heart but also so humbling❤ Baringo Kenya❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 Wonderful song. God bless the writer & the singers❤
Yesu unibariki niache Yote nikufuate wewe,,, like zen
I am from togo , I don't understand the meaning but I love this song because is religious. I play it over and over through the day.
The main message in the song is: Change me oh LORD that I may leave all and follow you forever.
Nabarikiwa Sana ninapouskiliza wimbo huu
Mimi nimekuwa mtu mwenye tamaa nyingi
Ninatamani kila kitu kizuri duniani
{ Bwana unibadili, niyaache yote
Bwana unibadili nikufuate wewe } *2 milele
Bwana ninakuomba unipatie msimamo
Nisimame upande wako, milele milele
Bwana yabadili matendo yangu nitendayo
Nitendayo yawe yakupendezayo wewe
Bwana zibadili njia zangu nipitiazo
Nipitie katika njia zako ee Mungu wangu
Good
Thank you for typing the lyrics
Mwenye yuko pamoja na mimi 2021 gonga like twede sawa🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇸🇺🇸🇺🇸
Wapi likes za pianist
This is lovely, I don't understand the language though but I love songs, their beautiful terrain I might add.
Love from Nigeria
It's simply, saying, Lord Change me, change my ways, Let me leave everything, Let me follow forever (Milele)
Thank you dear friends , I don't also understand language , but I've got to know
Yani kupia hii nime badi dini kwa sasa naitwa zakayo amina mutumishi
Nyimbo nzuri kabisa mungu awe pamoja nanyi,hakika nkisikiliza huu wimbo nahisi vyema katka cristo
wimbo mzuri , nimependezwa na jinsi mnavyotabasamu mkiimba. ujumbe umenigusa pia. asanteni
Usanii wa kipekee kuwahi kuonekana katika karne hii ya 21. Mungu awajalie neema. - Francis Wangome - Mwandishi wa Kiswahili nchini Kenya.
Nausikiliza wimbo huu mara si haba Kwa siku. Ni usanii uliosukwa Kwa tahadhari kubwa. Mola awajalie mema.
Barikiweni sana congratulations bwana unibadili niyaache yote nikufuate wewe 🙏🙏🙏🙏🙏
Mimi ni mwana mkaya kanisa mtakatufu yo
Wameweza jamn wacha like zao apa ;; Bwn utubadili tukufate ww milele na mileeeeeeee🙏🙏
Lord change me , leave everything and let me follow you forevermore am asking you to give me position to stand by you side forevermore thank you so much choir takatifu
Mubarikiwe kwakweli kwa nyimbo nzur
Wooow naipenda hii wimbo sana aki thank you kwa mtunzi waimbaji your rocking wallai ..God bless you all ..watching from Australia
We thank u so much stay blessed
Such an amazing song and it’s so wonderful to see that it’s the youth singing!!! Love from kenya 🇰🇪
Cynthia Kendi thank you
naupenda sana huu wimbo ninawashukuru waimbaji ninahitaji cd
Amina ❤❤❤❤❤tarehe 12 mwenzi 5 2024
🇹🇬🇹🇬🇹🇬 je suis togolaise mais j'aime trop votre chanson ça me donne la chaire de poule.bisou à ttes les membres de votre chorale
Bienvenue au Tanzanie
Wameimba vizuri mno hongera sana.Nimewapenda sana.
I don't understand the language😢 but I like the song....
Much love from Zambia
Napenda kuskiliz nyimbo zenu zinatujenga sana katika maisha ya mkirstu nakunjua yesu kuwa alikufa na kufufuka kwa ajili yetu
Who is watching with me may 2020?👍😃may God blesss u,l can,t get enough of the song,l born in catholic,raise in catholic,died in catholic,l get spiritualy uplifted throught the song,and l thank God for the blessing through the song.😘
Umegonga ndipo
@@marto555k🙏🙏🙏👏👏👏👍👍👍 thnxz bro,may God bless u .
I'm watching this year 2024❤🎉🎉🎉🎉😊😊
Oooh! Angalia Vijana hawa wanavyomwimbia Mungu kwa furaha. Hakika Utukufu wake ni wa kushangaza na matendo yake ni maki hakuna kama Baba wa mbinguni.
Tamaa ya dunia eeh Mungu ni badili nikufuate wewe
I use to play this n
Music while at high school it's ever touching to me while listening to it
October 2020 am still deep into this song....anyone else with me??
pamoja,it starts my every day,beautiful song ,nourishing indeed.
My ringtone
am here
We are together
@@severingeay158 collestine mbenzwa
Hawa watu waliimba vzr tupo 2020 tunaburudika na kumtukuza mwenyezi Mungu
munguawa
balikiwale
wotewaotunga wimbo huu
kila kitu sawa...sauti, muonekano, video na wimbo pia
I love this song so much 😚😚. And to day is my birthday am very happy. Thanks Almighty GOD for the giving me life.
Happy birthday to you
@@rajopro thanks
6th June,2021 the year of our lord ; who is still listening to this song. Hot cake
Audifesi desderi wimbo umenibarik Kaka umetuwakilisha vyema hongera classment wet
Mungu abaki akiwa Mungu awasidishie nguvu zake katika safari hii ya kuimba🙏
Bwana unibadili niyaache yote nikufuate wewe mileleeeeeeeeee.
Daaaaah hakika vijana mmeimba vizuri
Kweli kuimba mumeimba vizuriii Sana na ujumbe umefika kwa kweli I'm proud being a Catholic.
Najivunia kuwa mkathoric
to y'all in 2090 we listen to this in 2023 the song is marvelous masterpiece👏👏👏
Bwana unibadili nikufuate wewe. Amen
Naupenda Sana bwana unibadili niyaache yote
Bwana unibadili niache yote
Naupenda Sana wimbo huu Bwana unibadili.
When it comes to praise and worship, the Catholic Church leads, others follow
I love this choir with beutifull children of God. Be blessed. Following Jesus.
Wooow, , nawapa 100%, , hzo step sasa ndo usiseme
Who is here November 2019 love the song so much 💃💃💃
Vyema kabisaa
Hongereni Dan's wimbo
Mnanifariji kutoka 🇩🇪nawapenda saana mko vizur na mzipangilia sauti vizur nawasoma5/5nawaelewa 100 /100❤️🇹🇿
Love this song, true bwana unibadhili niyawache yote milele
WIMBO MTAMU SANA.NAOMBA NAMBA YA MTUNZI M.C MADBOGO.
Wimbo nzuri sana yanigusa from Rwanda
Ambassadar utukuzwe
Bwana unibadili nikufuate wewe. Wimbo unanibariki sana
Bwana unibadili niyaache yote nikufuate wewe milele.....MBARIKIWE SANA
Wimbo mtamu zaidi,napenda sana kuusikiza kila siku hapa Kenya
Yani uu wimbo sichoki kuutizama hakika Bwana unibadilishe nikufate wewe milele eee
hata mimi
Jamani wimbo mzur sana na MUNGU awabarki sana
Hapo kweye ilo kanisa ndipo nilipo batiziwa ni kanisa la history sanaaaaaaa limejengwa zamani sanaaaaaaa kijijini kibosho
Rajo production inafanya kaz nzuri sana,haijawah angusha mtu,😘😘nice song
Who is still watching with me February 2020🙏✊proudly to be a Christian (Roman)
Eddy's Mueller me April
Eďin add d
Editare
Bwana Yesu ni mwema tumufate naye atubadilicha
bwana unibadili nikufuate wew niyaache yote i love this nice song
I love these song so much... God bless your work
Kona dance ya yesu💃💃💃💃💃💃, who's watching May with me
I love these catholic song from Tanzania
Kazi nzuri sana, wimbo huu wabariki sana 🙏🙏
Mimi hapa tena, I can't get enough of this song, Bwana unibadili niyaache yote....
Mlizaliwa cku 1 au!! Mko smart sna safi saaaana
Very Smart kuanzia
Uimbaji
Uvaaji
Sauti
Nabarikiwa
Jamaani wanaimba vizuri, Sala nzuri, Vijana wazuri! Mungu Atukuzwe na Amina kwa sala nzuri
Umenigusa wimbo huu,,,ee bwana unibadili!!!
This song i heard it yesterday at St Peter's Clevers Nairobi Kenya from a certain youth choir last mass then i had to search on TH-cam.Congratulations Mt Maria Goreth Tanzania for good work we always appreciate you as Kenyans.
Vero Mugo I had attended that service
Thank you so much
@@vickyprosper8196 bibiria husema
I like dic song❤️
I want the video
Mungu awabariki wote waliotazama leo tarehe 12.11.2021
Can't get enough of this it's lit keep up guys😊😊 chills nazo😍😍
the best song ever! "nibadilishe niache yote"
I can't stop listening to this. Though I don't understand the language
Nabarikiwa sana nikisikiliza nyimbo za katoliki.
Nana Anasikikiza mwaka huu 2021 twende pamoja
Najivunia kuwa mkatoliki milele Amina!
Bwana awe nanyi nyote!
Same to me I like this
Awe pia nawe
perpetual wothaya Amina
🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Kwa mpigo zaidi.Najivunia pia
Who is watching with me January 2020 what a nice song
👋👋👋
Inspiration to many
A very nice song
Wonderful song.
I m enjoying with you and am very blessed God bless you all amen
How many of you are still listening to this in 2022. Always a blessing, much love from Kenya!
Mavazi maZur yenye heshima kweli mnaonekana mpo ndani ya yesu nawapenda sana nakuwaombea mzidi kuhubili injili kwa njia ya nyimbo mungu awabarili nyote
Everytime I listen to this song I feel the peace with in
And proud of my religion 🙏 thanks for the best lyrics badear
Hii kwaya naipenda sana,mimi pia ni mwanakwaya wa St Kizito Riruta,Nairobi Kenya
James Kaberu
Karibu tanzania
Nitumie wimbo wenu
Mungu awatie nguvu muendelee kuimba vizue
Hongera Sana mng akubark wewe na karama yako ya uimbaji Aminah 🙏🙏
Nataka kujiunga na nyinyi, wimbo mtamu sana hongera
Bwana unibadili🙏love from Kenya 🇰🇪
I have been watching this song since 2018 and I never get enough of it
Kwa kweli wimbo ni mzuri una maadui mazuri mnaturudisha nyumbani gospo baby
Rose swai *maudhui
Safi sana umetulia bwana unibalishe na Mimi ni wezekukutumikia vema amina
So beautiful song, thank you ! Love from Madagascar 🇲🇬
Leo tarehe 15 12 2022 mungu wangu unilinde kanisa katoriki duniani kote wakatoriki wote unibadilishe nikufate wewe bwana mungu uwe nasi yesu kristor wangu uwe nasi siku zote mama bikira maria uwe nasi siku zote amina upokee maombi yetu amina ulinde family 👪 wakatoriki wote duniani na watu wote amina
Barikiwa
Here in rwanda kgli wow , cool song we are very and very happy
Whenever I listen to this song.i always remember the time I was a alter boy in 🇨🇮 Much love ❤️ from Zambia 🇿🇲
Thanks bro,,
Congratulations
#@Omwami Wafula God bless you,Kenyans we love you ❣️❣️❣️
I like this song I first heard this song from radio Maria Uganda
@@armphib9332 b I jh by u
@@armphib9332 in NJ nvv
Mungu awarki wote akika mungu ni mwema kwa kila jambo
The love I have for the song is unconditional ❤️❤️❤️❤️