JINSI BODABODA WALIVYOMWAGA VYAKULA NA POMBE MSIBANI WAKIDAI MAREHEMU HAKUWA ANAPEWA CHAKULA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 พ.ค. 2021
  • siku kadhaa zilizopita iliripotiwa taarifa ikidai waendesha bodaboda katika kituo cha Kisangiro walimwaga chakula kwenye mazishi ya kijana aliyefahamika kwa jina la Leonard Abeli leo Ayo tv iimekutana na vijana waliokuwepo kwenye tukio hilo nakudai kwamba kijana huyo aliuawa na watu wasiojulikana na kipindi cha uhai wake hakuwa anapewa chakula
    William Nderumaki Baba mkubwa wa marehemu amesema kwamba tukio hilo lilitokea na kijana huyo hakutengwa kama inavyodaiwa na nyumba aliyokuwa anaishi ni wazazi wake na alikuwa hakai sehemu moja na huendaa marehemu aliwafahamisha kwamba alikuwa hapati chakula

ความคิดเห็น • 635

  • @joycegerald2029
    @joycegerald2029 3 ปีที่แล้ว +144

    Kama umesikia Alambi mtu Apa gonga like

  • @mosesbusanya3528
    @mosesbusanya3528 3 ปีที่แล้ว +209

    MJUBA ALIKUA HALAMBI NA SISI TUKAONA TUSIWALAMBISHE🙌😂😂😂

  • @grace-zj6sq
    @grace-zj6sq 3 ปีที่แล้ว +91

    Daaaaah!!!! Mpende ndugu yako akiwa hai mwoneshe UPENDO msaidie unapo weza. Ila hiki kitendo cha hawa vijana kitakuwa fundisho kwa wengine

  • @augustinajoachimu3456
    @augustinajoachimu3456 3 ปีที่แล้ว +102

    Sisi watu wa moshi hatutakagi kabisa ujingaa huu piga like kama mtu wa chuga or Moshii

  • @KADALAtv255
    @KADALAtv255 3 ปีที่แล้ว +58

    Huyu baba mshenzi mbinafsi na hafai kabisaaaaaaa anasambaratisha familia hata wewe mzee utakufa utaacha kila kitu ovyooooo. Big up bodaboda

    • @allykihiyo8414
      @allykihiyo8414 3 ปีที่แล้ว

      Angemchapa makofi

    • @chunaabdullah1333
      @chunaabdullah1333 3 ปีที่แล้ว

      Anaongea nonsense sana hata ajielewagi anachoongea

    • @jimmiejr9531
      @jimmiejr9531 3 ปีที่แล้ว

      The internet remembers

  • @noxlosingida2369
    @noxlosingida2369 3 ปีที่แล้ว +63

    Ila mimi nimependa sana ushirikiano wa Boda boda kwa walicho kifanya, watu tunapenda Maiti kuliko alipokuwa mzima.

    • @yedeclassicofficial9954
      @yedeclassicofficial9954 3 ปีที่แล้ว +1

      Huo ni ukweli, tunapenda maiti kuliko mtu

    • @sweetluc2660
      @sweetluc2660 3 ปีที่แล้ว +1

      Kweli watu wa nashidwa kumwuhudumia akiwa hai na huyu Baba hajierewi wewe ulikuwa Dar umejuwaje

    • @noxlosingida2369
      @noxlosingida2369 3 ปีที่แล้ว

      @@sweetluc2660 ndiyo hapo sasa hata mimi nimemshangaa sana huyo Baba

    • @loveahmed7892
      @loveahmed7892 ปีที่แล้ว

      Boda boda nawapenda sana muna umoja

  • @lissamsalu12345
    @lissamsalu12345 3 ปีที่แล้ว +297

    Piga like kwa bodaboda

    • @stephanokimwecha7332
      @stephanokimwecha7332 3 ปีที่แล้ว +2

      Oooooo99o99ooo99ooo99oo99

    • @zawadiagape9762
      @zawadiagape9762 3 ปีที่แล้ว +3

      Wachaga wa kilema mikono juu... Piga like nying kwangu.....

  • @williamgeorge150
    @williamgeorge150 3 ปีที่แล้ว +208

    boda boda Wana umoja kuliko wasanii 😀😀

  • @chrisskihwele1795
    @chrisskihwele1795 3 ปีที่แล้ว +39

    Wap like za bodaboda👍👍 mna umoja Sana big up

  • @salminjuma9411
    @salminjuma9411 3 ปีที่แล้ว +14

    Hii ndo maana halisi ya "mitaa imetulea".... Respect to the bodaboda OG's... Hii iko real sana... Chugas finest...

  • @mwanahamis5487
    @mwanahamis5487 3 ปีที่แล้ว +23

    Nipeni like zangu wanaotaman boda wapate ulinzi🤣🤣🤣🤣

    • @Dreidamaa
      @Dreidamaa 3 ปีที่แล้ว

      Mwana subscribe kwa TH-cam channel yangu pls

    • @mwanahamis5487
      @mwanahamis5487 3 ปีที่แล้ว

      @@Dreidamaa Poa my friend

  • @mename6020
    @mename6020 3 ปีที่แล้ว +32

    Yaan kilimanjaro na Arusha ni balaa kwa vijanaawataki ujinga... 😂😂😂😂...

  • @twentyacresfarms3464
    @twentyacresfarms3464 3 ปีที่แล้ว +132

    Huyu mwandishi habari zake nzuri Sana yupo updated arusha na Moshi ipo chini ya camera 📷 zake

    • @makulaikuku6909
      @makulaikuku6909 3 ปีที่แล้ว +1

      Sanaaaa

    • @hamedabashir9
      @hamedabashir9 3 ปีที่แล้ว +1

      Sanaa

    • @d.a.t3383
      @d.a.t3383 3 ปีที่แล้ว +1

      Na msharp saaaana ku cover matukio na kuuuliza maswali hongera sana God

    • @d.a.t3383
      @d.a.t3383 3 ปีที่แล้ว +1

      Tuseme alikya anaumwa hakuweza kujuendeleza

    • @twentyacresfarms3464
      @twentyacresfarms3464 3 ปีที่แล้ว +2

      @@d.a.t3383 napenda Sana Kazi yake anavumbua habari nzuri na sio udaku wa mitandaoni

  • @abdulkarim242
    @abdulkarim242 3 ปีที่แล้ว +57

    Machalii wa mgombaz ni nyoko awaelewag awatakagi ujinga

  • @beathaenos8521
    @beathaenos8521 3 ปีที่แล้ว +12

    Yaan Kilmjr, Mosh na Arusha tunawajua hamtaki ujinga kabc💪😄😄

  • @davidjames5355
    @davidjames5355 3 ปีที่แล้ว +19

    Boda boda hamjagusa2 myoyo ya watu2 bali mmetoa somo kwa ndugu wabinafsi kama huyo mzee asiejielewa

  • @vbnmmnbv5292
    @vbnmmnbv5292 3 ปีที่แล้ว +14

    HOYEE NIMEWAKUBALI SANA MAKAMANDA LAZIMA WANYOOKE HAO HUYO BABA HANA MAANA KABISA YANI WAMEMUUA MTOTO WAO DA KWAKWELI HATARI MTU HATA KAMA HUMPENDI MSIMUUWE NDUGU ZANGU WA KILEMA MNANINI KIRU 😭😭😭

  • @user-wv3th2ln4d
    @user-wv3th2ln4d 3 ปีที่แล้ว +16

    Taratibu yakununua mshuma wamezingua chali alikua analala njaa alafu kwenye msiba wameweka bofe kama umesikia gonga like please

  • @pendobaharia7227
    @pendobaharia7227 3 ปีที่แล้ว +27

    Safi Sanaa watu tunawajali watu wakifa tu Tena mngewatandika na fimbo

  • @halimajuma3077
    @halimajuma3077 3 ปีที่แล้ว +46

    Kama umesikia "walijikataa tu kila mtu alipita njia yake "weka like tujuane 😂

  • @roseney5779
    @roseney5779 3 ปีที่แล้ว +43

    Bora hawajalamba na wao😅

  • @princessgracpius3573
    @princessgracpius3573 3 ปีที่แล้ว +22

    Nyie ongeen lkn macharii wamesha sema hamlambii😃

  • @puregamers4215
    @puregamers4215 3 ปีที่แล้ว +22

    Hii ndo maana ya jamii kukulea

  • @neemaruben5427
    @neemaruben5427 3 ปีที่แล้ว +17

    Nimeipenda sana hii ....kiukwel mtu hajaliwi akifa tu wanajal boraaaaa wamemwaga hahahaha alie furahu kama mimi agonge like hapa mtu alambiiiiiii

  • @salhamrisho8138
    @salhamrisho8138 3 ปีที่แล้ว +18

    Mashallah maboork uyu mkaka mtangazaji nampenda mnooh habari zake nzuri saaana mashallah mungu akuongoze kka😘😘😘😘💞

  • @lawrencegwerino1656
    @lawrencegwerino1656 3 ปีที่แล้ว +15

    Safi sana...

  • @salmasaid6862
    @salmasaid6862 3 ปีที่แล้ว +33

    Wamefanya vzr Sana

  • @theceefamily7764
    @theceefamily7764 3 ปีที่แล้ว +5

    Poleni wafiwa,Mungu awape nguvu mda wowote❤️🌞🙏🇰🇪.

  • @iddamlay9590
    @iddamlay9590 3 ปีที่แล้ว +23

    Safi kabisa, "HALAMBI MTU"

    • @magefrank5639
      @magefrank5639 3 ปีที่แล้ว

      Msiban wameandaa adi tikiti kwel duuuh huyu mzeeee anakwepa hongera bodaboda

    • @witneskilinda5034
      @witneskilinda5034 3 ปีที่แล้ว

      Ruuuuuuuwaaaaa!!!! ngiterewie

    • @mwasijohn6360
      @mwasijohn6360 3 ปีที่แล้ว +1

      Bora hawajalamba na wao

    • @SiaJackison-nr3fl
      @SiaJackison-nr3fl ปีที่แล้ว

      😂

  • @alihassani1960
    @alihassani1960 3 ปีที่แล้ว +43

    Nimeipenda iyo kauli mbiu aulambi ✊😋🚫

  • @amnewarji1707
    @amnewarji1707 3 ปีที่แล้ว +25

    Safi sana wameshindwa kumpa huduma amekufa Leo wanaandaa vyakula na kunywa pumbavu wasilambe kabisa

    • @geeva99
      @geeva99 3 ปีที่แล้ว

      Kweli kabisa hakuna kulamba, fundisho zuri sana

    • @geeva99
      @geeva99 3 ปีที่แล้ว

      @@ruuh5149 mzima wapi wewe

    • @geeva99
      @geeva99 3 ปีที่แล้ว

      @@ruuh5149 mi mwanza

  • @zawadiagape9762
    @zawadiagape9762 3 ปีที่แล้ว +8

    Ooh. Wana kilema muifooo... Like kwenu wandu waru...

    • @karimujuma6595
      @karimujuma6595 3 ปีที่แล้ว

      Ndio nn

    • @elisamehengowi4331
      @elisamehengowi4331 3 ปีที่แล้ว +1

      Ngiesa mndu oruwa ngaseka leka tiki

    • @zawadiagape9762
      @zawadiagape9762 3 ปีที่แล้ว

      Ngakuwesaleee. Leka tupu mndu woruuu.... Ngaseka mpk ngaoloka wandaaaaaa. Halambi mtu hapaaa

    • @elisamehengowi4331
      @elisamehengowi4331 3 ปีที่แล้ว

      Kauli mbiu halambi mtu na mbege ikapusulio wanda chaa! chandu wandu wa kula kanyi waikundi mbege ruwa walesuo

  • @happynehemiah1381
    @happynehemiah1381 3 ปีที่แล้ว +13

    Nimewapenda bodaboda aiseee, mmenikumbusha dada mmoja hivi alikuwa mgonjwa amepalalaizi majirani ndio walikuwa wanatoa msaada alipofariki walikuja ndugu zake aisee ni matajiri na wakawa wanalia bila aibuuuu 🤦🤦🤦 binadamu Wana mengi

    • @mwajumajuma2999
      @mwajumajuma2999 ปีที่แล้ว

      Kati ya hao ndugu kunaalie mchezea binadam bhana nishidaa

  • @godywyne7671
    @godywyne7671 ปีที่แล้ว +2

    Huyu mwandishi anapambana sana na matukio asee Big up

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 3 ปีที่แล้ว +21

    Daah ila binadamu tuna roho mbaya sana 😭😭 yani wana mtesa mgonjwa siku ya kuzika wana jifanya kula misosi kibao 😥😢

    • @nurafedrick378
      @nurafedrick378 3 ปีที่แล้ว

      Eeee binadam kazi hapo sijui walishona vijoraa mana vingechanwaa

  • @furahinandrew9704
    @furahinandrew9704 3 ปีที่แล้ว +9

    Hii ndo maana halisi ya " Upendo mwingi huja unapokufa wanakuletea maua wakt wanajua huwezi kuyanusa"

    • @rogerslwitiko3915
      @rogerslwitiko3915 11 หลายเดือนก่อน

      Songa alijua kuimba"Baadhi ya Mandugu ni Wanafiki sana wanapika Biriani kwny msiba wakati Marehemu walishindwa kumsaidia hata ya Mkate au Maandazi"

  • @presseg.6362
    @presseg.6362 3 ปีที่แล้ว +8

    Uwiiiiiiiiiiiiiiiiii, matukio ya kuumiza moyo yamekuwa mengi saaana! E mungu nipe uvumilivu

  • @fungoamon5858
    @fungoamon5858 3 ปีที่แล้ว +7

    Boda boda wametisha sana nimewapenda bure, ikawe fundisho kwa jamii zingne wahudumie mtu akiwa hai.

  • @rasymb6190
    @rasymb6190 3 ปีที่แล้ว +9

    Wametisha nimependa sanaaaaaa hyo

  • @annechris9429
    @annechris9429 3 ปีที่แล้ว +4

    Jamani Mtu Akifa tuelezane Ukweli tu huu unafki was Ndugu tuachane nao
    God is watching.

  • @rithakuyala9951
    @rithakuyala9951 3 ปีที่แล้ว +30

    Ndugu zangu tujifunze kupitia ili tatizo lipo sana mtu akiwa mgonjwa apatiwi uduma sahii akifa inafanyika sherehe sio poa😭😭😭😭Marafiki wa marehemu mmefanya vizuri sana

    • @kweka14l35
      @kweka14l35 3 ปีที่แล้ว +2

      Wengine huweka budget hadi ya 2 milioni baada ya kufa ila hela ya matibabu ukiwa hai hawatoi

    • @witneskilinda5034
      @witneskilinda5034 3 ปีที่แล้ว +1

      hizo ndo style za watanzania, raia akiugua hatumjali akifa tunajifanya tunampenda

    • @linahsemindu4261
      @linahsemindu4261 3 ปีที่แล้ว +2

      Tena wamesubir wameivisha 🤣🤣

    • @kweka14l35
      @kweka14l35 3 ปีที่แล้ว

      @@linahsemindu4261 mi nimeipenda hio safi sana 😂

  • @sirielsamweli5688
    @sirielsamweli5688 3 ปีที่แล้ว +3

    Milad Ayoo Ongeraaa kazi nxuriiiiii hadiii Kjijini mpo,,

  • @sifamushi1747
    @sifamushi1747 ปีที่แล้ว +2

    Mi nimependa sana masela. Kweli watu hawajali ndugu wakiwa hai, na wengine kuishi kwa njaa.. alaf akifa ndo wanaweka vyakula.
    Bada ya kupata maziko vizur, Zoe la kumwaga misosi lilikua sawa tu😀

  • @joramkimario6174
    @joramkimario6174 3 ปีที่แล้ว +5

    Sasa huyo baba mkubwa cjui mdogo yeye yupo dar kwenye shughul zake anakataa nin sasa na huku ni moshi

  • @lilianjulio1487
    @lilianjulio1487 3 ปีที่แล้ว +1

    Hii nimehipenda safi sana

  • @heyumi2340
    @heyumi2340 3 ปีที่แล้ว +25

    kwa waida ya watu hupenda maiti ili wajinufaishe kwa ajili ya matumbo yao bora mmemwanga hiyo mipombe

    • @ilynpayne7491
      @ilynpayne7491 3 ปีที่แล้ว

      Eeeh mi mwenyewe nime penda

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 3 ปีที่แล้ว

      banadam sijui wapoje yaan wanakera kwa kweli

    • @athumaniamiri880
      @athumaniamiri880 3 ปีที่แล้ว

      Aaaaahh wamewakomesha kishenzi

  • @stanslausgervas9032
    @stanslausgervas9032 3 ปีที่แล้ว +4

    safi iwe fundisho hata kwa wengine wasiyojali ndugu zao wanapouguwa

  • @rwandaafrika6173
    @rwandaafrika6173 3 ปีที่แล้ว +4

    Vizuri kabisa haiwezekane Mtu akiwa Mzima hawamjali sasa akifa siku ya Msiba unakuta wakipinga chakula Ni Hery nginsi walimwanga chakula walifanya vizuri sana hakya Mungu 👌👌👌

  • @nellyrhn4349
    @nellyrhn4349 3 ปีที่แล้ว +7

    Safi sana kabisa congratulations kwenu umoja ni nguvu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣awalambi ata kidogo hahahahaha komesha jamani undugu mu binadamu aupo tena kwa watu

  • @happyshayo372
    @happyshayo372 3 ปีที่แล้ว +6

    Binafsi naona hawa bodaboda wamefikisha ujumbe fulani kwa jamii tena zaidi ni ndugu. Wanaona mtu anaumwa au anachangamoto kadhaa hawamsaidii hadi anakufa ndipo wanakuja kula na kunywa. Tujifunze kitu hapo!!!

  • @nooor1120
    @nooor1120 3 ปีที่แล้ว

    Du nimependa hali ya hewa verynice MaashaaAllah

  • @neematemu5460
    @neematemu5460 3 ปีที่แล้ว +2

    Hio ndio kilema yetu vizuri sana umnyime chakula wakati wa uhai amekufa ndio mnapika mnavyakula kweli what goes around comes around

  • @hafsaali4423
    @hafsaali4423 3 ปีที่แล้ว

    Vizuri sana mmefanya vizuri nawapongeza mmekuwa na msimamo mzuri mno

  • @danielbarickmunishi3785
    @danielbarickmunishi3785 3 ปีที่แล้ว +1

    Mmeona iyo Hali ya Hewa Nduguu zangu

  • @ericklaura7511
    @ericklaura7511 3 ปีที่แล้ว +6

    HAMLAMBIIIIII, HALAMBI MTU KITU YOYOTEEE ILEE, this is too instructional my people, its not worth it to accord a burial ceremony with more food and more drinks while the deceased he wasn't get any help from his family, NI FUNDISHO KWA WANAFAMILIA WOTE KUWAJALI NDUGU ZAO WAKIWA HAI. 😭😢

  • @enterenter1921
    @enterenter1921 3 ปีที่แล้ว +3

    Mazingira mazuri mno napenda saan hio Hali yahewa barid mvua mpk ukungu asee ashukuriwe Mungu muweza wa yote

  • @rehemashabani7411
    @rehemashabani7411 3 ปีที่แล้ว +5

    Miladi ayo nawapenda sn

  • @carolinenjiro41
    @carolinenjiro41 3 ปีที่แล้ว +1

    Safi kabisa bodaboda umoja wenu , Mungu azidi kuwabariki

  • @yahyamkone5601
    @yahyamkone5601 3 ปีที่แล้ว +7

    Siyombaya mhhhh wakati inaonekana jamani tuwache ubinafsi

  • @fatmasalim8293
    @fatmasalim8293 3 ปีที่แล้ว +4

    Vizuri sana boda boda

  • @mrgeorgeisdory5277
    @mrgeorgeisdory5277 3 ปีที่แล้ว +3

    Dhaaa nyumba yake sio mbayaaa🤣🤣🤣 kweli kunamtu anaweza akakupa jiwe ule akikwambia kula huu mkate

  • @nasraabdallah850
    @nasraabdallah850 3 ปีที่แล้ว +8

    Bora awajalamba tena mmefanya lamana haswaaa🤣🤣🤣

  • @nasrasway7143
    @nasrasway7143 3 ปีที่แล้ว +1

    Noma

  • @josephchuwa1206
    @josephchuwa1206 3 ปีที่แล้ว +3

    Aisee halambi mtu hapa, nasema halambi mtu. Haiwezekani mjuba afe kwa njaa ndio mpike mavyakula yenu.

  • @trifoniambilo2400
    @trifoniambilo2400 3 ปีที่แล้ว +1

    Bobabda Ni wamoja sana big up!

  • @angelnicholaus9248
    @angelnicholaus9248 3 ปีที่แล้ว +3

    Hali ya chumba alichokua anaishi marehem inaonyesha kweli hao bodaboda walikua sahihi,kuna kila dalili alitelekezwa hasa ukizingatia wanavyodai ndugu xake wana hela hawakujali mazingira aliyokua akiishi,hayavutii kabisa kwa kweli,kuna kitu cha kujifunza hapo.

  • @hellenmgungus2935
    @hellenmgungus2935 3 ปีที่แล้ว

    Safi sana shazi

  • @praygodmeena2935
    @praygodmeena2935 3 ปีที่แล้ว +1

    Good work Godfrey TzA

  • @nassibuduma7162
    @nassibuduma7162 3 ปีที่แล้ว

    Kweli vjna mnaakiri safi sana

  • @victorkayanda1500
    @victorkayanda1500 2 ปีที่แล้ว

    Safi sana wanangu wa kisangiro big up sana home sweet home

  • @rehemamohammed4215
    @rehemamohammed4215 3 ปีที่แล้ว +1

    Hahaha mmenifurahisha sana tena mngewamwagia ht mwilini washenzi wakubwa mbwaaaaa awo wanafurahia sio safi sana

  • @nyandindi0920
    @nyandindi0920 3 ปีที่แล้ว +2

    Hii habar muhimu sana

  • @lulugeorge5896
    @lulugeorge5896 3 ปีที่แล้ว +7

    Mjuba alikuwa alambi wakaona na wao wasilambe....🔥🔥🔥

  • @erickzephania1030
    @erickzephania1030 3 ปีที่แล้ว

    Ni vizuri kuwa OG

  • @hadijajuma3773
    @hadijajuma3773 3 ปีที่แล้ว

    Safi sana vijana,

  • @rckkajuna2144
    @rckkajuna2144 3 ปีที่แล้ว

    Aixee halambi mtu hapa ,Safii🙏
    Wangekuwa wengine duh ,wangekula Kwanza alafu ndo wakaanza fujo

  • @meshosujack1413
    @meshosujack1413 3 ปีที่แล้ว

    Safi sana

  • @sammaisan653
    @sammaisan653 3 ปีที่แล้ว

    Hapo sawa kabisa

  • @bibylicious8201
    @bibylicious8201 3 ปีที่แล้ว

    Safi sana ni funzo

  • @MohammedAli-rh5si
    @MohammedAli-rh5si 3 ปีที่แล้ว

    Safi sana vijana

  • @tusajigwekanemela2864
    @tusajigwekanemela2864 3 ปีที่แล้ว

    Wako vizuriii

  • @ellynermaruwa436
    @ellynermaruwa436 3 ปีที่แล้ว

    Jaman nimeipenda hii

  • @user-up2kg1wm9p
    @user-up2kg1wm9p 6 หลายเดือนก่อน

    Mpo vizuri vijana

  • @emanuelmhoja2411
    @emanuelmhoja2411 3 ปีที่แล้ว

    Safi sana vijana wezangu

  • @adamsilumbe8356
    @adamsilumbe8356 3 ปีที่แล้ว +2

    Huyo Mzee anaonekana anasema uongo. Lkn kwa kua mtu ameshakufa basi

    • @geeva99
      @geeva99 3 ปีที่แล้ว

      Nimemshtukia hata mimi anasnitch kwa maiti 😡

    • @adamsilumbe8356
      @adamsilumbe8356 3 ปีที่แล้ว +1

      @@geeva99 umeona eeh vijana wamemstahi tuu

  • @chekatucomed9141
    @chekatucomed9141 3 ปีที่แล้ว

    Show kari wanangu mmefanya kitu pw sana mizinguo hatumaindi respect kwa Bodaboda

  • @tonya_bearay9556
    @tonya_bearay9556 3 ปีที่แล้ว +3

    😹😹😹..wachaga salute..

  • @shukramajid9208
    @shukramajid9208 3 ปีที่แล้ว

    Daaaah jamn polen san

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph4973 3 ปีที่แล้ว

    Masikini mnaupendo sana ndugu zangu

  • @zuusaidibushiri5556
    @zuusaidibushiri5556 3 ปีที่แล้ว

    Asanten bodaboda kwa hili nawapongeza

  • @ibrahimumohamed5359
    @ibrahimumohamed5359 3 ปีที่แล้ว

    Safi sanaaa

  • @nesslovepallangyo
    @nesslovepallangyo 3 ปีที่แล้ว +1

    Good Sana Yan hvyo ndvyo inatakiwa ili watu wajifunze et mpka matkiti pombe muuh wamezd 🙄

  • @nurukhalifa9413
    @nurukhalifa9413 3 ปีที่แล้ว +5

    Maboda boda wanaushirikiano sijawah ona huku boda imeibiwa dom wameendesha boda 50 mpk dar wameitafuta wameipata😀😀😀

    • @tatuhongeranurushaus485
      @tatuhongeranurushaus485 3 ปีที่แล้ว

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️duuuuuuh nashangaa sana maboda boda wana ushirikiano kuliko hata wasanii

    • @joycenicodemus.2232
      @joycenicodemus.2232 3 ปีที่แล้ว

      Heee😳😳kumbe hatari

  • @hawaashaban3879
    @hawaashaban3879 3 ปีที่แล้ว +2

    Nyumba yake sio mbaya×3 huyo mzee roho yake mbaya kupitiliza....jamani jamani tena bila haya ama hajui anaongelea nyumba ipi?hadi meko iko katikati ya nyumba ina maana hata jiko la mkaa hana 😥😥😥😥kuna watu wamembua ma roho mbaya duniani

  • @mbarakakatojo1306
    @mbarakakatojo1306 3 ปีที่แล้ว

    Mirad ayo unafaa sana kuigwa sana kwa taarifa zako

  • @tusajigwekanemela2864
    @tusajigwekanemela2864 3 ปีที่แล้ว +7

    Inaumiza sana mtu tunashindwa kumjali wakati mzima akifa ndiyo mapochopocho kibao nimewapenda hao vijana

  • @neemaponera2037
    @neemaponera2037 3 ปีที่แล้ว

    Hiyo inaitwa nyoka halambi Unga, safiii Boda boda

  • @sammycharomwalili6728
    @sammycharomwalili6728 3 ปีที่แล้ว

    Inauma sana

  • @mohammedmmari4791
    @mohammedmmari4791 3 ปีที่แล้ว

    Kilema nini Tabu wakuu »»»»»» hongereni sana bodaboda asee✊✊✊✊✊✊

  • @elizaboster9479
    @elizaboster9479 3 ปีที่แล้ว

    Sahihi kabisa walichokifanya