THABO BESTER: Kutoka kulawitiwa na nduguze hadi kugeuka MBAKAJI hatari na MUUAJI aliyetoroka JELA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 ก.ย. 2024
  • Unaipenda kazi yetu na ungependa kutuunga mkono? Sasa unaweza kutuchangia kiasi chochote kuanzia shilingi 500. Fuata link hii hiveticket.web...
    Tunashukuru kwa kuwa Mwana SnS unayejali

ความคิดเห็น • 210

  • @zuleyvendor6577
    @zuleyvendor6577 ปีที่แล้ว +105

    Maisha ya utoto ndio uwa yanaamua maisha ya mtu ukubwani, na watoto wengi wanaofanyiwa ukatili wakati wakiwa wadogo ndio wanaokuja kuwa watu wakatili na hatari duniani...huna uwezo wa kutunza wanao vizuri please usizae hovyo

    • @momentsonearth360
      @momentsonearth360 ปีที่แล้ว +6

      kabisa unachokisema....nakubaliana na wewe Mungu atupe hekima ya kuwaelea na kuwalinda watoto wetu Yarab

    • @lidyabalilemwa1380
      @lidyabalilemwa1380 ปีที่แล้ว +6

      Hii ni kweli kabisaa..Upeo wa kulea watoto vizur ni jambo jema sana hata kama ni maskini hakikisha mwanao anaona unamjali na kumthamini..hii itamsaidia sanaa kisaikolojia..Trauma is realy

    • @faidhamyovela179
      @faidhamyovela179 ปีที่แล้ว +3

      Watu hilo hawalijui kabisa 😏

    • @HelenahSian-hl5ue
      @HelenahSian-hl5ue ปีที่แล้ว +1

      Haya nenda kaibe kaue na mengineyo kisa wewe kwenu mlikua maskini. Jela inawangoja wote

    • @anthonymgogo2651
      @anthonymgogo2651 ปีที่แล้ว +2

      Kweli kabisa

  • @kazkaz1943
    @kazkaz1943 ปีที่แล้ว +31

    Wengi wenye roho ngumu ukubwan alipitia manyanyaso utotoni, ni nadra kumkuta mtoto aliyepitia furaha n amani utoton kuwa mwenye roho mbaya ukubwani

    • @subirajohn728
      @subirajohn728 ปีที่แล้ว +1

      Kweli kabisa!

    • @salamakombo3257
      @salamakombo3257 ปีที่แล้ว +1

      Hujakosea kumbee hatutakiwi kumlaumu

    • @vailetheanyambilile9749
      @vailetheanyambilile9749 ปีที่แล้ว

      😢😢😢kabisaa

    • @josephgomalo41
      @josephgomalo41 ปีที่แล้ว

      NONSENSE ..! tufunge magereza kwa kuwa hamkulelewa vyema? kama mnampenda muombeni namba awafuate huko mliko!

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus9303 ปีที่แล้ว +14

    Ooh jamani. Yaani wazazi tukiweza kulea watoto wetu vizuri hata kama tupo masikini ila kwa maadili tusingekuwa na kizazi cha nyoka kwa sasa. Pole sana Besta kwa uliyo pitia ila sio sababu ya kuuwa. Wapo waliotoka maisha magumu kama wewe ila hawakubali kubaki hivyo, hubadilisha maisha yao na kuwa raia wema

  • @nicolenabintu2509
    @nicolenabintu2509 ปีที่แล้ว +40

    Leo ndio nime amini why watu wa sud-africain hawanaga huruma uki kutana nayo mchana wa usiku 😭 , nime ishi hapo hawa bina damu wana roho mbaya sana dah 💔

    • @dangotee5051
      @dangotee5051 ปีที่แล้ว +2

      Ulicho kisem ni kwel kbsaa

    • @patriciacarlo7236
      @patriciacarlo7236 ปีที่แล้ว +3

      Nilishakuwa na boyfriend wa ki SA,aliponionyesheaga bastola tu,nikamkatia mawasilino,hapo tulitofautiana kidogo tu hapo.nikaona mbele anaweza kuja kuniua

    • @vivianvivian8585
      @vivianvivian8585 ปีที่แล้ว

      Exactly wanapenda kukaa jela sana

  • @jabalimikechi7750
    @jabalimikechi7750 ปีที่แล้ว +15

    Oh my goodness this guy is something else, is so clever and well informed, unfortunately is a killer and repist 😢😢😢

  • @mathewkasonta2208
    @mathewkasonta2208 ปีที่แล้ว +9

    Simply Thabo Is Extra Genius

  • @christemba5028
    @christemba5028 ปีที่แล้ว +9

    Kuna watu maisha yao ni misukosuko tu. Maisha hayana raha kabisa. Mshukuru Mungu sana kwa maisha uliyonayo aseee

  • @egbertcarter3665
    @egbertcarter3665 ปีที่แล้ว +18

    SNS always the BEST 🔥

  • @patrickmukundichalamila3038
    @patrickmukundichalamila3038 ปีที่แล้ว +5

    Sky on air,hizi nzuri ukiwa safarini afu uunganishe kwenye radio yako kupitia Bluetooth huku sauti mwololo kwa spika aisee safari inakua Barbara💯.

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly ปีที่แล้ว +3

    😢😢😢😢😢😢dunia hii
    Mwenyezi Mungu atunusuru

  • @Myright888
    @Myright888 ปีที่แล้ว +5

    Na hata yeye kwa akili yake alifkiri Tanzania 🇹🇿 ni nchi ya mchezo mchezo na ataweza kuwa free.
    Trust me TANZANIA 🇹🇿 IPO VIZURI, sio kama mtu anavyodhani. JARIBU UONE si ndo na jamaa kajaribu.

  • @oscarmsafibandah6311
    @oscarmsafibandah6311 ปีที่แล้ว +16

    Bila kujua alikua jiran yetu hapa Hyde Park baada yaku angalia taarifa za Habari picha zilizoonesha kumbe zilikua za nyumba jirani🤔

  • @rogersiddy
    @rogersiddy ปีที่แล้ว +9

    Kama haya yanayoelezwa humu ni kweli naendelea kujifunza zaidi kuwa unaemuona anatenda kosa kuna tukio nyuma yake linalopelekea ufanye mabaya uovu ubongo ndo kila kitu ukiyumbishwa na jambo baya usipokuwa makini muelekeo utakuwa mbaya

    • @emm93132
      @emm93132 ปีที่แล้ว +1

      Mara kadhaa nimekua naongelea swala la watoto wa mtaani jinsi wimbi linavyoongezeka kwa kasi, wanajilea wenyewe na kufanyiwa ukatili💔😭 serikali / sisi wananchi Leo hatulioni hili km ni tatizo la 10 - 20 years to come..Hawa watoto watakua notorious wa hatari...tutajiuliza maswali na hofu tutakakayokua nayo ni kubwa..Ile usemi unaosema usipoziba ufa ndio tutajua maana yake 👀

  • @user-rk1mo7yl8q
    @user-rk1mo7yl8q ปีที่แล้ว +45

    Nataka niandae movie ya huyu jamaa me ND o director sky nitamuomba story haya anaejua kuigiza alike hapa

  • @salamakombo3257
    @salamakombo3257 ปีที่แล้ว +6

    Kumbee hatutakiwi kumlaumu kwa yaliyo mkuta😢😢😢😢daah duniani hapa mtihani

    • @ruqaiamohammed345
      @ruqaiamohammed345 ปีที่แล้ว

      Kabisa 😢😢mackin kapitia maisha magumu 😢

  • @matelephone4892
    @matelephone4892 ปีที่แล้ว +2

    Nmepoteza simu simu ila hamuwezi Amin nmeazma simu Ili tu nifuatilie hii story 🥰

  • @jacquilinenoah949
    @jacquilinenoah949 ปีที่แล้ว +5

    duh kapitia mazito ndio mwanzo wa roho ngumu ...

  • @user-qs7lj7kj1k
    @user-qs7lj7kj1k ปีที่แล้ว +1

    Asante sns

  • @darajalakidatukilomgi2362
    @darajalakidatukilomgi2362 ปีที่แล้ว +18

    Funzo kubwa kwa WaTanzania tujihadhari kukubali mialiko ya watu wa South Africa au kwingineko nje ya nchi Kuna udanganyifu mkubwa na hatari unaweza kwenda ukaibiwa na kuuawa,

    • @jovanafidelis2802
      @jovanafidelis2802 ปีที่แล้ว +2

      Yaani hata wale watalii wakija mahotelin tunapata tabu sana ,Wana dharau yaani afu hawana utu

    • @darajalakidatukilomgi2362
      @darajalakidatukilomgi2362 ปีที่แล้ว +1

      @@jovanafidelis2802 Tulinde nchi yetu 🇹🇿 , kila mmoja alipo, majambazi yanatafuta vichaka vya kujificha kufanya maovu

  • @samsonhenry3871
    @samsonhenry3871 ปีที่แล้ว +2

    Jamaa Linaakili sema anazingua uo ubakaji , Uuaji N.K

  • @brownie_dee8655
    @brownie_dee8655 ปีที่แล้ว +2

    Yaani Kuna watu jaman hawawezi kuenjoy muda wa maisha yao....km huyu maisha yake mengi kashinda jela tu

  • @phocuskifaluka9027
    @phocuskifaluka9027 ปีที่แล้ว +4

    Kwa mawazo yangu huyu jamaa n dili Sana serikali. Moja wapo imchukue Ikae naye chin ana kitu fulan sema namna ya kukitoa imekuwa tofaut .

  • @irenemboya7899
    @irenemboya7899 ปีที่แล้ว +10

    Now we have to feel sorry for him

  • @mwanajumamwinyi2665
    @mwanajumamwinyi2665 ปีที่แล้ว +4

    Bonge la handsome boy

  • @gichimujef8806
    @gichimujef8806 ปีที่แล้ว +3

    The guy is brilliant

  • @Fatma-rp7be
    @Fatma-rp7be ปีที่แล้ว +2

    Always kipindi changu the best

  • @patriciacarlo7236
    @patriciacarlo7236 ปีที่แล้ว +8

    Huyu anakisasi💔💔

  • @missmwayway4704
    @missmwayway4704 ปีที่แล้ว +4

    Eee mungu wangu 😢😢😢😢😢😢😢

  • @cleartzboy
    @cleartzboy ปีที่แล้ว +4

    Noma sns

  • @yama_virginhairthequeen1065
    @yama_virginhairthequeen1065 ปีที่แล้ว +1

    Kkkk mtu mbad manina kashinda mpk waganda wa tapeli wa south Africa kkkk anapumuliana na wapopo salute

  • @NR-ll4sr
    @NR-ll4sr ปีที่แล้ว +1

    Wengi wakipitia manyanyaso utotoni, basi baadae hugeuka kuwa wanyama 😢inasikitisha kwa kweli

  • @nolimittvonline6822
    @nolimittvonline6822 ปีที่แล้ว

    Mmmmmh mtihani

  • @Witnessvlog
    @Witnessvlog ปีที่แล้ว +4

    Judge aliona kua bester alitengeneza tu story ya utotoni kwamba alibakwa ili Hakimu amuhurumie.

    • @josephgomalo41
      @josephgomalo41 ปีที่แล้ว

      makenge ulaya humu wameamini uhuni huo wa huyo psychopath! kwa sababu wanatamani wawe kama huyo muuaji!

  • @happynelson1180
    @happynelson1180 ปีที่แล้ว +2

    Na wazazi walipiga watoto wa kiume hao watoto ukubwani wanawapiga wake zao na kuwaua

  • @ramadhanichuma7925
    @ramadhanichuma7925 ปีที่แล้ว +17

    Imagine huyu nimtu ambaye hajasoma wala hana digree lakini akili inafanyakazi kwakasi kiasi hicho

    • @ramadhanilukambuzi9760
      @ramadhanilukambuzi9760 ปีที่แล้ว +7

      @@fabiansylvester5853 Waliomfanyia unyama pindi akiwa mtoto ndiyo waliomletea machafuko hayo,tuwapende watoto wetu pamoja na watoto wasiokuwa wakuwazaa sisi wenyewe.

    • @scottgeorge5677
      @scottgeorge5677 ปีที่แล้ว

      IQ yake syo ya kitoto lakin kama akiwa jela anaishi kama yupo home tu hyo n hatar ss

    • @henricamikambi6147
      @henricamikambi6147 ปีที่แล้ว

      Kuna Roho inayotenda hayo ndani yake

    • @ramadhanilukambuzi9760
      @ramadhanilukambuzi9760 ปีที่แล้ว

      @@henricamikambi6147 Imepandikizwa na hao waliokuwa wanamuingilia kinyume na maumbile.

  • @Ebendentalclinic
    @Ebendentalclinic ปีที่แล้ว +3

    Ukiachana na ubakaji na uuaji,story ya huyu jamaa inavutia aisee,ni bonge la movie🙌🙌🙌

  • @faithzamani1965
    @faithzamani1965 ปีที่แล้ว +22

    😂😂😂😂😂 yani tabo alicho kosea ni kuua na kubaka tu vingine vyote ni mapambano ya kuuaga umasikini

  • @deusntobi1450
    @deusntobi1450 ปีที่แล้ว +1

    Mmmmh!!

  • @khalsasalim7930
    @khalsasalim7930 ปีที่แล้ว +7

    Wanayofanyiwa utoton ndio wanakuja kulipa kisasi ukubwani wakiamini ni kutoa uchungu wao😢

  • @ladyjoomahegga9407
    @ladyjoomahegga9407 ปีที่แล้ว +2

    Anazaliwajw june 13 kakosa tar zngne jaman

    • @subiramussa1428
      @subiramussa1428 2 หลายเดือนก่อน

      😂😂Kwann hajaona miez mingine jamn😅

  • @abdallahmsofe4870
    @abdallahmsofe4870 ปีที่แล้ว +1

    Shukraan kwa makala nzuri ila bado naona haja ya makala nyingine kuelezea ni namna gani aliweza ku-fake kifo hadi kutoroka jela. Pia namna gani polisi Tz waliweza kumkamata. Mngefanya kama mlivyo-cover story ya hushpupi

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 ปีที่แล้ว +6

    Maskini kumbe ukatili aliofanyiwa ndio ulisababisha kugeuka katili dah wamama tujitahidi kulea watt wetu wenyewe ili wasije geuka makatili wa baadae 😓😓

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 ปีที่แล้ว

      Usiseme wamama, sema wazazi tuwalee watoto, kama tunavyowatafuta basi Kwa pamoja tuwalee

    • @User2477de
      @User2477de ปีที่แล้ว

      Ni kazi ya wazazi wote,sio ya mama tu.

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro5174 2 หลายเดือนก่อน

    Ndio maana Biblia iliandika mfundishe mwanao njia ifaayo.naye hataiacha mpaka uzeeni.Bila kujua dini ya mtu ni vyema watoto wetu wakiwa wadogo wafundishwe mambo mengi saana ya kuwa na hofu mbele za Mungu.hata kama ukubwani atakuja kuwa katili kuna siku wakati atakumbuka msatari wowote tu wenye hofu ya Mungu.Mungu atupe maarifa ya kulea watoto wetu.

  • @bayernsulesh568
    @bayernsulesh568 ปีที่แล้ว +2

    Yani huyu mbwa angebahatika kusoma kidogo tuu naona angemiliki dunia...yani hapo ndo kaacha shule

  • @issazalala4907
    @issazalala4907 ปีที่แล้ว +4

    Utavuna ulicho kipanda pumbavu zake

  • @lidyabalilemwa1380
    @lidyabalilemwa1380 ปีที่แล้ว +5

    Maisha ya utoto ndio chanzo kikubwa sanaa cha matatizo ukubwani...sababu mtoto anakuwa na maumivu ambayo yanamuathiri kisaikolojia ..MENTAL HEALTH

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 ปีที่แล้ว +8

    Hush puppy hapa akasomee kwanza mazee!

    • @hemedabdalla8627
      @hemedabdalla8627 ปีที่แล้ว +2

      Sio pouwah mzee👊

    • @collinsghambi7315
      @collinsghambi7315 ปีที่แล้ว +2

      Hushpupy funga kazi wew ilibaki kidogo awaibie vilabu vikubwa uko 🇬🇧 😄

    • @malkavoice2570
      @malkavoice2570 ปีที่แล้ว

      @@collinsghambi7315 Puppy alikuwa haui huyu anauwa bro afu ni nyamera hatari. Mbaya zaidi kakamatiwa Arusha yani si ajabu alishaua mpaka bongo tyr.

  • @nanajoseph2356
    @nanajoseph2356 ปีที่แล้ว +1

    Ana bahat mbaya ya kukamatwa mapema

  • @happyholm1761
    @happyholm1761 ปีที่แล้ว +3

    Kwa nn asirudi kuwabaka waliombaka utotoni

  • @nuruabraham3769
    @nuruabraham3769 3 หลายเดือนก่อน

    yaani ningekuwa mimi ndio bester ningeanza na wote walionifanyia ukatili, na hasa watu wa vyombo vya dola mfano police, mahakimu yaani wote ambao walikuwa hawatendi haki katika maamuzi yaani kazi yao ilikuwa kuwaonea masikini wasio na pesa na kuwatetea wenye pesa, malipo niduniani na hayo ndio yangekuwa malipo yao ili nao waone inavyouma.

  • @nightwishisthegreatestband6355
    @nightwishisthegreatestband6355 ปีที่แล้ว

    Angalia matokeo ya kuzaliana ovyo bila kujipanga. Mwisho wa siku mnazaa mashetani.

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 ปีที่แล้ว +1

    Hawa watu wa makampuni kampuni wanasiri nyingi

  • @msangodiesel3132
    @msangodiesel3132 ปีที่แล้ว +3

    Huyu jamaa anafaa kutengenezewa move malezi ya utotoni yalimwalibu yanamtokea ukubwani mzara mabaya Sana malezi

    • @Ummu-Nauthar98
      @Ummu-Nauthar98 ปีที่แล้ว

      Sio movie tu hata just tabu pia waandike na kusambaza dunia nzima😊Hii ni historia ya kipekee

  • @angeakeza6542
    @angeakeza6542 ปีที่แล้ว +1

    Yan kunawatu weny roho ngum kbs uy atakuw nimdogowak na hashppy

  • @nurukwilabya2790
    @nurukwilabya2790 ปีที่แล้ว +1

    Tabo Magagula ndio jina zuri

  • @jacksonwilson5772
    @jacksonwilson5772 ปีที่แล้ว +1

    Sky nmeomba sana uniandalie story ya Pearls adi nmekata tamaa sasa.

  • @josephgomalo41
    @josephgomalo41 ปีที่แล้ว +1

    makenge ulaya humu wameamini uhuni huo wa huyo psychopath! kwa sababu wanatamani wawe kama huyo muuaji!

  • @amarybaajun8811
    @amarybaajun8811 ปีที่แล้ว +3

    Kwani ni msouth au mzimbabwe

  • @leahzuu6468
    @leahzuu6468 ปีที่แล้ว +1

    Dah🤔Sina la kusema lkn alipitia machungu huyu Kaka

  • @kidahancy5690
    @kidahancy5690 ปีที่แล้ว +1

    Hushpapi mwengine

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 ปีที่แล้ว +1

    He is a crrimal.

  • @khurlainashly5686
    @khurlainashly5686 ปีที่แล้ว +7

    Duuh uyu nizaidi ya hushpapi😅

  • @tiffanyakramJr822
    @tiffanyakramJr822 ปีที่แล้ว +6

    HUSHPAPI arudi shule #Cube ndo afikie ukatiri wa huyu jamaa

    • @jozeedasilva3816
      @jozeedasilva3816 ปีที่แล้ว

      Unamjua hushpapi wewe

    • @nurukwilabya2790
      @nurukwilabya2790 ปีที่แล้ว +1

      Humjui Hushpup wewe 😂

    • @missmwayway4704
      @missmwayway4704 ปีที่แล้ว

      @@jozeedasilva3816 😂😂😂😂😂😂😂 Atakua anamfananisha

    • @salmaalimusa6809
      @salmaalimusa6809 ปีที่แล้ว

      ​@@nurukwilabya2790 😅😅😅hadi liko jela linatapeli

    • @rogerabdallah439
      @rogerabdallah439 ปีที่แล้ว

      Tofautisha mbakaji na mwizi wa pesa

  • @magejuliani5293
    @magejuliani5293 ปีที่แล้ว

    Daaah! Huyu jamaa hafai kabisa na haendani na sura yake

  • @ashuuu282
    @ashuuu282 ปีที่แล้ว +3

    sns mnazingua nimeomba nakala ya dr sebi km msg zangu hamuoni 😢

  • @SaydHabib-fq9eo
    @SaydHabib-fq9eo ปีที่แล้ว

    Ina make sense hii story na ndio hapo hua nasema ushoga ni maamuzi ya mtu wasimsingzie mungu au homon bali tabia zao mana besta kaliwa na sio choko na kawa gaidi sidhani kama agrey anaweza kua kama nesta

  • @shaabanramadhan6770
    @shaabanramadhan6770 ปีที่แล้ว

    Kwa history ya maisha ya utotoni ukatili aliyo fanyiwa lzm ukubwani awe katili

  • @HelenahSian-hl5ue
    @HelenahSian-hl5ue ปีที่แล้ว

    Wezi, Malaya, wahuni wote husema kaa hii kwenda kabisa kawaida yenu mwizi mwizi tu kama Sabaya

  • @aminasultan7287
    @aminasultan7287 ปีที่แล้ว

    Ayaaa

  • @angelanaftael7965
    @angelanaftael7965 ปีที่แล้ว +1

    Majina ya kutosha kbs

  • @ebinssports5377
    @ebinssports5377 ปีที่แล้ว +6

    Magagula ni jina la kijiji flani huko songea..... this guy must be having some connections with TZ, bring me some popcorn... the movie is just starting

    • @gloriousnp
      @gloriousnp ปีที่แล้ว +2

      Songea kuna wangoni ambao origin yao ni SOUTH AFRICA , kwa hiyo kuna connection ndiyo 😊

    • @kefrin-zv3sg
      @kefrin-zv3sg ปีที่แล้ว

      Asili ya south africa ni wangon

  • @peninashungu6633
    @peninashungu6633 ปีที่แล้ว +6

    Sasa kwann alikuwa anabaka uku Ana mpenzi wake

    • @elbaricktv1632
      @elbaricktv1632 ปีที่แล้ว

      Wanaume wote dunian haturidhik na mke mmoja ukwel ndo huo tunapenda kila msichana mrembo ndo tumeumbwa hivyo

    • @tinosimon595
      @tinosimon595 ปีที่แล้ว

      Alikua analipiza kiasi 😅😅

    • @africa7479
      @africa7479 ปีที่แล้ว +1

      @@elbaricktv1632 hadi mume wangu ? ,😁😁😁😁😁😁

    • @nancyfamilysharesmoments7634
      @nancyfamilysharesmoments7634 ปีที่แล้ว

      @@africa7479 😂😂😂😂😂😂

    • @elbaricktv1632
      @elbaricktv1632 ปีที่แล้ว

      @@africa7479 ndiyooo

  • @ndolehamisi5567
    @ndolehamisi5567 ปีที่แล้ว +1

    Asingeuwa na kubaka, alau angebaki tapeli akili anayo saana

  • @harounbanzi3948
    @harounbanzi3948 ปีที่แล้ว +6

    Hakuna kulala ,hakika tunapenda mnachokifanya☺

  • @atuganilemsomba3028
    @atuganilemsomba3028 ปีที่แล้ว +1

    Duuuh huyu mtu ni hatari mno khaaa yuko jela na bado anatapeli

  • @derickdboy2207
    @derickdboy2207 ปีที่แล้ว +1

    Noma Sana

  • @polycarptarimo5141
    @polycarptarimo5141 ปีที่แล้ว

    Sns naomba kuuliza historia ya Thabo Bester nchini Tanzania maana huyu jamaa huko Arusha hatujui aliishije, pia hatujui ameishi wapi na wapi nchini pia alikamatwa katika mazingira yapi

  • @beatricekemirembekiwanuka7768
    @beatricekemirembekiwanuka7768 ปีที่แล้ว

    Jamaa ni noma duuuuuh 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @ynahmorata7604
    @ynahmorata7604 ปีที่แล้ว +1

    Utotoni ndo chimbuko la kua unatk kua nani ukubwan

  • @NR-ll4sr
    @NR-ll4sr ปีที่แล้ว

    😅😅😅😅😅inachekesha na kuhuzunisha,,,watu wanatapeliwa jamani.dah

  • @clareocholla
    @clareocholla ปีที่แล้ว +1

    Nafuatilia kutoka Mombasa alienda Sana wueh😂

  • @amosraphael810
    @amosraphael810 ปีที่แล้ว +2

    Ww sms siku hizi unsapoty ushoga

  • @evankya1955
    @evankya1955 ปีที่แล้ว +5

    Kwa matukio haya inawezekana hata ile story yake ya utotoni ni ya ku-fake 😂. He’s genius though

  • @dianajohnson7268
    @dianajohnson7268 ปีที่แล้ว +1

    Hilo lilikua na roho mbaya tu,

    • @vivianvivian8585
      @vivianvivian8585 ปีที่แล้ว

      Hakuwa sawa nafikir kutokana na hayo matukio

  • @angeldejoice3202
    @angeldejoice3202 ปีที่แล้ว +4

    Watu hawa huku south Africa wako wengi ila huyu amepata bahati mbaya cause hawezi kuishi kimafia kweli.

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 ปีที่แล้ว

    Duh 😢😭💔 🤦

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 ปีที่แล้ว

    Uyu Jamaa si mchezo, duh! 🤔

  • @salumpagae1757
    @salumpagae1757 ปีที่แล้ว

    Tunaendelea kuangalia na kuckiliza mpak wahukumiwe

  • @fatumajumanne5961
    @fatumajumanne5961 ปีที่แล้ว

    Cc ndg ambao ha2na u2 ndio 2naozalsha majambaz pole kaka ungeamua ku2mia njia nyngne mpendwa kulko huko ulpo pta 😢😢😢😢😢😢

    • @pilisalehe4562
      @pilisalehe4562 ปีที่แล้ว

      Sikuiz polce awafatilii Kes ni bora kuchukua Shelia mkonon2

    • @fatumajumanne5961
      @fatumajumanne5961 ปีที่แล้ว

      @@pilisalehe4562 ndio wamemponza mwenzao kuwa na roho ya knyama Maana sura na ma2kio Co kabxaaaa.

  • @zarabati1750
    @zarabati1750 3 หลายเดือนก่อน +1

    Waaaaaaaaa 😢 huyu ana kisasi kibaya angerudisha kisasi kwa wale waliomfanyia unyama kama anawajua na wako hai sio kwa watu wengine

  • @hassanmugire1497
    @hassanmugire1497 ปีที่แล้ว +1

    Well done to TISS

  • @linahpatrick3537
    @linahpatrick3537 ปีที่แล้ว

    akili kubwa sana sema binadamu walimlatili sana kiasi cha kuwa mnyama kabisa

  • @felysterfely9808
    @felysterfely9808 ปีที่แล้ว +1

    Duuuh,,,,,binadamu hawa hawa ndiyo waliyosababisha huyu mwamba kuwa katili sanaaaa,,,,,binadamu anae tabia ya kuvumilia kitu sanaa lakini kinapojaa vizuri anageuka kuwa mnyama na kufanya vitu bila kujali chochote

    • @missmwayway4704
      @missmwayway4704 ปีที่แล้ว

      Na sikuzote wanakuambia Mchawi ni ndugu yako tu hata sio mtu basi 😢😢😢😢😢😢😢😢😢

    • @bahatirobart7380
      @bahatirobart7380 ปีที่แล้ว

      @@missmwayway4704 Yamenikuta ya ndugu

    • @missmwayway4704
      @missmwayway4704 ปีที่แล้ว

      @@bahatirobart7380 Pole sana Rafiki yngu, Unadhani peke yko tu Tupo wengi sana Watu tunaoharibiwa Maisha na ndugu zetu

  • @zengotanal-wb7xw
    @zengotanal-wb7xw ปีที่แล้ว +2

    Maunjanja mengi tukubari mwisho upo muimu nikuishi POA Kama anavyotaka God

  • @samiraabdimahamed4449
    @samiraabdimahamed4449 ปีที่แล้ว

    😢😢😢😢😢

  • @najmahhassan7853
    @najmahhassan7853 ปีที่แล้ว +1

    Mwamba huyu hapa.🤣

  • @pendojoseph9428
    @pendojoseph9428 ปีที่แล้ว

    Jamani mtu si wamuuwe tu

  • @imaculathamhagama7424
    @imaculathamhagama7424 ปีที่แล้ว

    Pengine ndo walileta yale macampony yaliyo liza watz weng

  • @eliadaniel216
    @eliadaniel216 ปีที่แล้ว

    Hii story ya huyu jamaa na mpenzi wake inabd itaengenezewe filam na nazani wataifajyia filam hii ili kukukifunza kizazi chetu Cha badaea

  • @saadahassan1437
    @saadahassan1437 3 หลายเดือนก่อน

    Uyu jamaa wampime na akili mbona kama ni ana ugonjwa wa akili tena wa muda mrefu