Watu watatu wanauguza majeraha baada ya kuvamiwa Mombasa
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 2 พ.ย. 2021
- Watu watatu wanauguza majeraha baada ya kuvamiwa Mombasa
Watu hao walivamiwa na genge la vijana Mshomoroni
Mto mmoja yuko katika hali mahututi katika hospitali ya Makadara
Mtu mmoja amekamatwa huku polisi wakianzisha msako
Watu wakisauni mishomoroni wao wenyewe wakiamua kikweli Hali itakoma kwasababu wanajuana vizuri nikijana gani nagani wanatabia ngumu
Subhanallah hasbunallah waneemal wakil
Am not coming there for vacation
Bt why aki
Wao wamevichwa na marinda humo kisauni mishomoron wamenisinya kweli..... Watapatikana tuu.... Mkufue jela nyinyi washenzi sana.. Kuweka roho za watu wasiwac.. Nonsense vijana
Kwani hakuna wanaume wakuweza kupambana na hao vijana kwani hakuna serekali