Wafanyibiashara katika soko la Kongowea Mombasa wakadiria hasara
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 16 ต.ค. 2024
- Wafanyibiashara katika soko la Kongowea Mombasa wakadiria hasara
Moto mkubwa uliozuka usiku umeteketeza bidhaa za mamilioni ya pesa
Wafanyibiashara hao wanalalamika wazimamoto walichelewa kufika
Poleni sana ndugu wakenya kwa tukiyo ilo lakusikitisha sending love from Congo DRC
Waaaaah ni kubaya pole wanacoast
Poleni kwa hasara mama zangu na baba zangu Mungu atatuchagulia viongozi bora mwaka ujao jipeni moyo tutashinda.
Kenya Viongozi ni Wale Wale tuu.
Nyinyi sio wezi. Nyinyi ni watu wa bidii na Mungu atawalipa
Najua vya uma, niko na Kiosk yangu ya omena hapo. Its sad but tusilie tukisema Muhammed Ali, Aisha Jumwa na Ruto ati hao ndio wakombozi, hao wakishika usukani itakua zaidi ya hivi. Natuombe Mungu hawa viongoze wote wachomeke, hilo bunge lichomeke ndio Kenya tutajikomboa lakini kama ni hizi Kelele tunazo sikia tutajua hatujui.
@@kenyamoja755 poleni tena.hata mimi Bibi yangu SOKO lake ni hiyo kununua Omena, papa,Nguo za Watoto Sasa kama imetokea hivyo si nibalaa Kwa Bibi yangu.tukae pole sote pia.
@@giloogilo6589Mimi sitaki kulaumu nani ama nani. Manake Kenya hiii yetu iko na vituko. Tulisema Kibaki Tosha, then Jublee Tosha, Sasa sijui Hursler. Hapa ni Mungu asaidie, I don't trust any politician.
Tujipe pole tu ndugu zangu huku Tanzania solo kubwa kabisa la kariakoo limeteketea usiku wa kuamkia Leo ni huzuni kwa kweli
Poleni sana
Tena Leo markiti imechomeka kweli Kuna nini yaendelea
uchungu sana😭😭sasa ha hii uchumi mungu saidia kenya yetu.
Wee poleni Sana nawahunikia vibaya kwani hiyo kongoe nichomwa kila wakati na brother mahali ulipo huna lakusema but pole Sana wote mungu atawapigania🤔🤔🤔🤔
Kweli kabisa malipo nihapahapa mungu atalipa
Musijali no one can stop reggae, BBI itasuluhisha
BBI will solve how?...kwani BBI ni mtu ,? ... BBI ni project ya watu kidogo tu , hakuna kitu itasuluhisha
BBI wapelekee Mama zao kama bado Wazaa.
Sidhani. wahurumie tu.
BBI mavi
@@kombomwakaribu8252 najua nimeleta kwa maana, sababu hao ni vibaraka wa Raila
County goverment kidole cha lawama kwenu.. Hiyo n hasara sana poleni... Mungu atawarejeshea vyote vilivyopotea
Waliasha wenyewe haya, poleni kwa wengi, Lakini hio soko itolewe, Ruto atakuja na looted funds zenu halafu mta cheer
Wewe hatutaki urongo was Ruto tumeuzoea,akadanganye wale Wajinga au Mafala.
Patrick Mufumba wewe ndie msemaji wa Ruto?
@@yusufmwangichannel6692😂😂hata kwa Billion za hela siesi walahi
Aaaaaai jmn x hyo count hio ya Mombasa x INA weka WAP watu wa kongowea
Kila mwaka moto kongohwea ni shetani gani iko hapo
Mungu awasaidie walio patwa na janga hilo
Governor Joho fingerprints 🤔
Kwelikabisa 😭😭😭👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻
Hawa ma moryoo wanaona biashara haisongi wanachoma moto
Ni kila mahali hata Tanzania pia sjui shida ni nn
Mungu atamulipia
Ya Rabby
Pole sana family 😭😭
Shubuhnllah
Ngai ati ngari empty, watu wa fire, improve your work, munazazimu ama ni nini, sasa mnaenda kuzima moto na ngari tupu,nyinyi nikufutwa kazi nyote mpate andapu
Ngari *gari* hahaha
@@villagegirl3625 ni shinda ya smartphone. This gadget can make you look foolish especially if you are not writing in English
@@thevineyard7149 hahahah nimekuelewa mamaa
That's true, thanks for replying for, but they understand, that's matter 🙆♂️🙆♂️
Nothing will be done to fix this
This is sad
poor kenya
Poleni sana