Khatuwa hii haiwezi kumliza hii shida ilishawahi tumiwa sehemu kadhaa ilifanya kazi kwa mda maalumu baade hali ikaregea vile vile km kawaida...kwa sababu wate wa bidhaa hii wapo wengi na wanafanya kwa hiyari Yao wenyewe bila ya kulazimishwa na sio uraibu huu pekee Kuna bangi kokeni tembo sigara shisha na biasha za watu kujiuza miili
Hii Kenya sio ya mama WA mtu. Mombasa is a city, na pesa kutoka huko watokako wameru after national government kupokea from miraa ndio hiyo mnagawanyiwa for development na hamfanyi kazi. Especially kilifi, tana river etc. ONE MAN ONE VOTE ONE SHILLING
@@sammymugendi650 some families would rather eat that stuff than buy food for their children. You're the sellers, you donot care.. You just want money...
Amewaharibu kivipi kwani anapeana bure au kulazimisha mtu kula si wanakula wenyewe kwa pesa zao,vipi kuhusu bangi illegal na wanatafuta ilipo tena wananunua ghali. Ni mtu mwenywewe hujiharibu
Governor you are true kenyan citizen a parent what you have done god will grant you more years in this country called kenya for burning mongoka we are going to lose generation this is a fantastic move brav bravo for caring generation to come in our beautiful county
Mombasa is a Kenyan city. It belongs to all Kenyans. Mababu zao wakipiganianhii Kenya ipate uhuru including this Mombasa, your tails we between your legs because of fear, sai ndio mmepata mdomo. In the history of Kenya they is no Arab ama mshihiri alipigania uhuru... But wameru are
Huyu mama ana sema nini si wakauze huko kwao,kwani Mombasa na Coast hakuna watakao kusoma...pigeni marufuku kabisa , mimi nilichukua brother angu collage tena medical school na saa hii hafikirii kutafuta kazi kazi ni mugokaa tu. Kisha hiyo garama yote niliopitia na loans nyingi na hazina faida.
Kuongeza hion ada itabalance and regulate the usage..to the traders its simple. Lipa hio 80k na uongeze bei kwa customer, addicts will still buy. Just like alcohol, ile expensive ni chuoa ya kwanza tu
Nimakosa sana, kutendea wanainchi mambo kama hayo. Mbona wasiwape notice mapema, ili wajipange? Yani County waamke tuu, waanze kuzuia magari 3:36 yakiwa na mzigo tayari, kutoka 25 k mpaka 80k???
Mama mwenye kutegemea kulipa karo Kwa kutegemea Mugoka, wapwani wanakuhurumia usiumie kulipa watoto university ,secondary . Wafundisheni kulima Mugoka na pia muwape watoto wenu hiyo Cash crop wakule. Masomo si Muhimu, na pia kuleni wenyewe
@@mwendii That's rubbish, and personally you know it. Have you ever seen someone talking shit and behaving weirdly for taking 4 cups of tea like these unhygienic muguka chewers?
Acheni upuzi hiyo inastahili kuwa 100k
Huyo mama ana watoto waenda shule sisi wetu wale miraa
Ni chizi w maisha
😂😂😂 🤭🤭🙌🏿
Bure kabisa...tena anatoa list yenye anasomesha watoto wake, huku watoto wa wenzake wakiharibika
HAO WATOTO WENU WENYE WANASOMA WANAKULA MIRAA NA MOGOKA,NDIO WASOME.WAJINGA NYINYI KULA HIZO TAKATAKA PEKEE YENU.
Kila mtu alee mtoto wake
Lipa ushuru Mombasa lazima iendelee muache upuuzi
Kila siku munasema tupigane na mihadarati na munasupport miraa na mugukaa !!!! Tupa hio takataka out of Mombasa kabisaa
nyinyi ndio mtaenda
infact ipigwe marufuku kabisa....imetuharibia watoto wetu pwani vibaya sana
Mbona mm sijaharibika
@@touristmorgan4090 coz wewe sio wa pwani
Apana niko mpwani kwa mfano pombe pia iko kila mahali lkn haijanibeba, starehe ni akili ya mtu mwenyewe
Khatuwa hii haiwezi kumliza hii shida ilishawahi tumiwa sehemu kadhaa ilifanya kazi kwa mda maalumu baade hali ikaregea vile vile km kawaida...kwa sababu wate wa bidhaa hii wapo wengi na wanafanya kwa hiyari Yao wenyewe bila ya kulazimishwa na sio uraibu huu pekee Kuna bangi kokeni tembo sigara shisha na biasha za watu kujiuza miili
@@abdallasalim4104 kwa hi hivyo una maana tuache iendelee tu kama iliyo?!
Kama ni mboga mngesikizwa but izo majani lipeni Kodi good move Mr gvn 001
Zidi Kuongeza bei,Mr Gorvener well done
Nugu nyinyi mnaharibu watoto wa wenyewe ndio watoto wenu wasome??? Ghasia nyinyi iwe 100k
😂😂😂😂😂😂😂
Ata hao wanakula miraa,,,, it's a cash crop
😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂❤
Watoto wa wenyewe akuna mtu ame haribu wame jiharibu there choice
Hatutaki migokaa Wala miraa I hope ipigwe marufuku kabisa
Ukiwa nan 😅
Juu wewe ndo nani😂😂
Maombi yako yamekubalika ndugu yangu Hongera!
Kauzeni huko mutokako
Hongera 🎉Gavana
@@kimanithings5603 na wewe rudi south sudan jinga
Hii Kenya sio ya mama WA mtu. Mombasa is a city, na pesa kutoka huko watokako wameru after national government kupokea from miraa ndio hiyo mnagawanyiwa for development na hamfanyi kazi. Especially kilifi, tana river etc. ONE MAN ONE VOTE ONE SHILLING
Nenda mukauze County nyengine iyo kodi kwanza ni kidogo ongeza kabisa jinga sana ndoa nyingi zimeharibika kupitia huo Mungokaa
na unga je na ubasha na ushirikina
Ulijuwaje ww piya umo ajuwaye mwanga piya yeye ni mwanga gavana ongeza ifike 150k County ninyingi sio mombasa tu
Mkikuja kenya mlitupata na miraa yetu na kwa hivyo sithani kama msomali ana haki ya kuongelelea wakenya kwa sababu nyinyi ni wageni
Fungia kabisa hyo kitu isikuje huku
Mnapenda unga
Miraa inaharibu watu miraa mbali na Kenya
Hatutaki Mira mombasa gavana juu
Juu sana
Juu kabixa
Very good mnazi umekanyagiwa
Let them look for Market elsewhere... It has done alot of damage to families 😢
What kind of damage has it brought
Hatutaki hio business yenu yakiharamu coast,toeni uchafu wenu nyinyi wameru@@sammymugendi650
@@sammymugendi650 some families would rather eat that stuff than buy food for their children. You're the sellers, you donot care.. You just want money...
Mogoka is so cheap.. you can't compare with alcohol and other drugs
Cheap is Poison...
Acheni ujinga lipena kodi
80k nikidogo ingefaa iwekwe 150k, vijana wameharibika kwa sababu ya mogokaa
Kweli kabisa
Umesema kweli
Kwali 150k iko sawa kabisa gavana juu
Hatutaki miraa Mombasa
Uwezeni kwenu mwatuaribia watto wetu 😏😏biashara ya Haramu😏
Good move,,,hii kitu inaharibu vijana wetu....nyinyi wameru nendeni muharibu vijana wenu Meru😖😖😖
Abdulasamad well done
Toeni uchafu coast bana nyinyi wabara wameru,hatutaki
Wewe. Una watoto wanasoma university. Na. Watoto wa wengine unawaharibu. Hawana maisha. Je. Ni haki
Poor reasoning
Eti you lipa Kodi shenji
Amewaharibu kivipi kwani anapeana bure au kulazimisha mtu kula si wanakula wenyewe kwa pesa zao,vipi kuhusu bangi illegal na wanatafuta ilipo tena wananunua ghali.
Ni mtu mwenywewe hujiharibu
@@dodokibbah3513wanaharibu ndio watoto wawatu ndio hata kama hawajalazimisha ila mogoka ni sumu inaua nguvu za kiume ww Huna family inaonekana
Kwani meru hakuna soko mkauza? Lazima mombasa? Walipe laki 2 kabisaa
Yess
Sio mombasa tu alafu wasema watu wa mombasa ni wavivu na kazi
Aisee kumbe kenya hii kitu ni halali!! Apa Tanzania ukikutwa na hiyo ni hatari
Jee sigara kubwa
Governor you are true kenyan citizen a parent what you have done god will grant you more years in this country called kenya for burning mongoka we are going to lose generation this is a fantastic move brav bravo for caring generation to come in our beautiful county
Ongeza ifike laki juu hio ni mihadarati tu kama cocaine,heroine ama pombe tax it like tobacco products
Hapo ni sawa. Miraa sio chakula.
Rudisheni meru ama county zngne
Hii ni sawa 😂
Mbona hatukuwaona ruto alipopandisha ushuru kila mahali s mlikua zii lipeni na kazi iendelee 200k mwanzo
Watoto wao waende University watoto wa mombasa wamekua wezi
Haya Mogokaa Na
Ghathi Zirudi Kwao😢
Governa chukua maua yako..🎉🎉 3:36 🎉.Hongera na zidisha juudi hadi hizo taka taka ziwe mwisho Mombasa..
Yani mogokaa ungeondolewa kabisa umeozesha meno😂😂😂ukiona mtu yuwatafuna mogokaa aki niuchafu,hongera gavana
I support you government 💯🤣🤣🤣🤣 pelekeni Meru
Ipigwe marufuku hata inaua vijana wengi....wanapeleka watoto wao shule na wa Mombasa wanadrop juu ya miraa
Kazi nzr governor kept up
Mombasa gavana juu masha Allah mombasa itaendelea bila mugukaa n miraa
Hatutaki miraa kabisa
80.000/= ksh kwa mwaka ni ndogo sana walipe 800.000/= ksh kwa mwaka Hawawezi Wapeleke meru wakatafune wenyewe !
Ingekua 100k kabisaaaa
Wewe tax unalipa ngapi?Na waheshimiwa wanaiba 80% of those funds!!
Lipeni kodi
Pelekeni Mugokaa Naivasha kama mulivyogurisha port operations.
Lipeni ushuru muache maneno mingi.vinginevo kauzeni huko hko kwenu kwani lazima mombsa?
Mombasa is a Kenyan city. It belongs to all Kenyans. Mababu zao wakipiganianhii Kenya ipate uhuru including this Mombasa, your tails we between your legs because of fear, sai ndio mmepata mdomo. In the history of Kenya they is no Arab ama mshihiri alipigania uhuru... But wameru are
bring us fruits vegetables
Governor hongera sana finya hao watu kabisa warudi kwaooooo
Piga marufuku imearibu hadi watoto wa dogo mtaani kazi nikukula mguka 24/7 .
Kweli kabisa
Huyu mama ana sema nini si wakauze huko kwao,kwani Mombasa na Coast hakuna watakao kusoma...pigeni marufuku kabisa , mimi nilichukua brother angu collage tena medical school na saa hii hafikirii kutafuta kazi kazi ni mugokaa tu. Kisha hiyo garama yote niliopitia na loans nyingi na hazina faida.
Mulipe 100,000/-. Munaharibu watoto na hizo madawa ya kulevya. Muuze huko meeu wakule hizo mogokaa
Kwendeni hukoo
Pelekeni county nyingine sio Mombasa peke yake
Sawa rudisheni meru..
Wapenii migokaa watoto wennu makhaarat nyinyi i.a Allah atawashindaa
Muguka lazima Embu county tuko ndanii...waiting my leaders to talk about .
Mbarire, Mundigi please respond.
Mbogisi sinanuka kama bitunguu😂😂😂....mnaharibu vijana tafuta biashara nyingine
Hii mogoka ingepigwa marafuku kama tz watoto WA shule pia siku hizi wanatafuna wakitoka shule inamadhara kingi kuliko faida
Abdulswamad oooeee hapo hapo
Hakuna kama hamtambui mnazi wetu Good job governor
Governor 5 tena
Then that County Gv call our President Zakayo bure kabisa
Sawasawa
Waende kwao baraa wakuuze
Pigenimarufuku marufuku miraa nimagonjwa wengi wamepata wazimu na wengi wamepata cansa wakalime mahindi na maharage
Wenu wanaenda shule ..wetu wanafikiria iyo migokaa...ipigwe marfuku kabisa🙌🤗
Funga kabisa mkauze viazi sio goks
My governor fanya kazi mogoka hapana vijana wanapotea
Biashara haramu mbona msiuze huko meru na bado 😂😂fire on fire 😂😂
Mnauwa family za watu kuwe na adabu, lazima mlipe 100,000 kwa mwezi ili kuweka madawa yakutibu hizo gasia za mugokaa
Wameua nani, how?
@@mwendii vijana wa Mombasa
Walipe kila trip wametufanya mbuzi na hata huko kwao mbuzi zenyewe haziikuli.
Kuongeza hion ada itabalance and regulate the usage..to the traders its simple. Lipa hio 80k na uongeze bei kwa customer, addicts will still buy. Just like alcohol, ile expensive ni chuoa ya kwanza tu
Mbuzi ale nyasi na binadamu ale nyasi hapana shetani ashindwe na mapembe yake
" We dont want this takataka ya Miraa/ mugoka hapa pwani!! You´re the merchants of death, choma zote!
Wewe Ni umbwa Sana unauza mkunduthiz mombasa
@@johngeorge4834 " Hiyo takataka yenu kuleni wenyewe nyi manyani! Meru munazaa vizuka na wenda wazimu! kwenda/potea kwenu ukanyonye hedi ya mamako, kafir mbwa/punda kichaa! Mwanadhoko wee. Ulikuja unanuka kama maiti saa umemea / fura matako na kimbelembele ; "kinyocho cha mameyo!!!
@@kuschprince3216 wewe Si mkundu unauzanga mombosa ama rada yako shoga Mzee🖕😂
@@kuschprince3216😂😂😂
Huyu mama anaongea ujinga gani...watoto wake wako bara wanasoma amekuja kuuzia watoto wa huku mogokaa
Kuleni wenyewe nyinyi mayonda sana,mwaharbu watoto wetu nyinyi wenu wanasoma vizuri puzi sana
Wafurahia maendeleo Yako binafsi huangalii athari ya watoto wa wenzako napongeza gavana
Ata bangi waipatie class bwana
Haki yenu Iko meruu
hiyo bado ni chache wachape ushuru ya juu kwanza mogoka ipigwe marufuku no notice
Mnazi ukipigwa vita mnatakaje? Abduswamadh uko sawa
Kaizeni kwenu
Nimakosa sana, kutendea wanainchi mambo kama hayo. Mbona wasiwape notice mapema, ili wajipange? Yani County waamke tuu, waanze kuzuia magari 3:36 yakiwa na mzigo tayari, kutoka 25 k mpaka 80k???
Stop miraa in kenya let’s grow more food end this drugs from our communities
ndio kher masha Allah nimefurai wa tanzania awatumi miraa na wanaishi iyo drugs
Gavana Allah akulinde akuongeze nguvu upambane kadri ya uwezo wko mugukaa upotee kabisa
Huyu mama ameharibu sana.watoto wa meru wasime watoto wa pwani wao wachonge mugoka
Mogooka should be banned in Kenya not only Mombasa.
They can't burn business imeshikilia uchumi😅😅it's like burning mtumba clothes, that impossible. Hiyo Ni business inafanywa Hadi Na politicians.
@@jeldaondisa3767 what a poor analogy!!
That's the bitter truth you'll have to put up with.
Meru hawali miraa kama mombasa hiyo kwanza ipigwe marfuku
Utangoja sana kaka
Wapeleke watoto shule ni fees,
Sawa kabisa
Meru miraa hailiwi kama pwani wacha zako mama tembea utafiti
Kanyaga wao paka watoe mavi...piga marufuku kabisaaa!!!
Akufukuzae leo amekeambia utoke wazi wazi. 😂😂😂😂
Mbona kidogo iyo wangelipa elf 500000 kwani hakuna mazao mengine ya kulima mukajipatia riziki na watoto wakasoma
Hamna kwenu
Hao wanaokula mugokaa sio watoto wa watu. Fanyeni kazi nyengine.
Mama mwenye kutegemea kulipa karo Kwa kutegemea Mugoka, wapwani wanakuhurumia usiumie kulipa watoto university ,secondary . Wafundisheni kulima Mugoka na pia muwape watoto wenu hiyo Cash crop wakule. Masomo si Muhimu, na pia kuleni wenyewe
Kuleni nyasi wenyewe,mumeharibu watoto wawatu hata wanasoma nayo kwa mfuko
Miraa and tea leaves and coffee are one and the same thing in terms of composition, are you saying that tea and coffee should also be banned?
Zifanyiwe chai kma zinakaa kufanana basi😂
@@Moralkid001😂😂
@@Moralkid001😂😂
@@mwendii That's rubbish, and personally you know it. Have you ever seen someone talking shit and behaving weirdly for taking 4 cups of tea like these unhygienic muguka chewers?
Hibi sasa binanuka kama bitunguu pale 😂😂😂😂🏃
Kwani mombasa nikwenu wameru mko wapi
Kuleni mwenyewe na watoto wenu 😂😂😂😂😂😂