🔴

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 1 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 175

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  3 หลายเดือนก่อน +1

    JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP UWE MWANAFAMILIA WA GLOBAL TV NA UTUTUMIE HABARI ZA MTAANI KWAKO chat.whatsapp.com/FeLe2DcIFAg...

    • @PiliMalunda
      @PiliMalunda 3 หลายเดือนก่อน

      Wamejaa au mbona haikubali kwangu kujiunga

    • @aishatest4451
      @aishatest4451 3 หลายเดือนก่อน

      kweli sijuwi

    • @ibraibra1761
      @ibraibra1761 3 หลายเดือนก่อน

      Haikubali

    • @LatifahSaeed-n2y
      @LatifahSaeed-n2y 21 วันที่ผ่านมา

      Aikubali

  • @Farhani-gd5zi
    @Farhani-gd5zi 11 วันที่ผ่านมา

    JAMANI ZAYUN NA KUPENDA SANA MAMA SHAMSA ❤❤❤❤❤NAKUKUBALIMMNNO❤❤🎉

  • @Shekhahamed-v2f
    @Shekhahamed-v2f 3 หลายเดือนก่อน +2

    Pole ngongwa. Mwenyexi mungu aku shufaa uponi haraka

  • @umahmed8273
    @umahmed8273 3 หลายเดือนก่อน +8

    Wallahi Aunty Ziyuni nakupenda kw ajili ya Allah upo sahihi kabisaa. Kuna mdada wa kazi aliunguza chakula na kusababisha moshi mkubwa mpk majirani kumpigia sim madam alikuwa nje. Kw sababu ya wifi

    • @dorcaskidoti249
      @dorcaskidoti249 3 หลายเดือนก่อน +3

      Ila binadamu nyie kwahiyo nje hakuwa nakaz nyingine au hakusikia harufu hadi majirani waone yeye asione iyo kawaida mbona madm alipika mchuzi kaaunguza nyumba moshi harufu mm ndo kwenda kumshtua sebuleni ila kwasbb shagala kosa looooo unasubir ufe uione pepo niko pale

    • @zuweinaalhabsya8773
      @zuweinaalhabsya8773 3 หลายเดือนก่อน

      Ni wengi Sana hio Tabia wanayo yaan sim ndio Kila kitu kwao

    • @umahmed8273
      @umahmed8273 3 หลายเดือนก่อน

      @@dorcaskidoti249 madam alikuwa hayupo katoka na jiko lipo nje yaani uwani na dada wa kazi alivokuwa anapika akashika cm mpk chakula kimeungua na kuanza kutoa moshi mpk jirani akaona ndipo alipo mpigia madam cm. Wewe ukipika chakula chako utakiacha usikijali utoke jikoni hadi chakula kinaungua uko busy na cm?

    • @AtifaIslam-t6g
      @AtifaIslam-t6g 3 หลายเดือนก่อน

      ​@umahmed8273 ujaongea kwani kuunguza chakula yuanza yeye au yaanza Omani ili uzidishe chumvi binadsm.kazi sana aya slichoma kama wewe waitaji anyogwe au

    • @umahmed8273
      @umahmed8273 3 หลายเดือนก่อน

      @@AtifaIslam-t6g naomba unifaham sijaongelea kuunguza chakula hata mie naunguza. Naongelea point ya kuwa busy na cm. Na kuna kuunguza chakula ukajistukia. Yeye hakuna makini mpk jirani kuona moshi. No kusababisha pia kuunguza nyumba

  • @aseelaisaa428
    @aseelaisaa428 3 หลายเดือนก่อน +2

    Walllah ❤❤❤❤❤❤❤❤❤ habibti Zayuni umesema vizuri sanaaaa hongera kwanza.big up.All akuhifadhi yarabiii amin .kwasababu ana uzoefu mkubwa sanaaaa alikuwa agent mzuri sana sifa hiyo ipooo na haitoondoka.ukweli huo .zayuni kpe it up.

    • @umahmed8273
      @umahmed8273 3 หลายเดือนก่อน +1

      @@aseelaisaa428 kabisa na Ana Imani kubwa sana na Allah. Hasemi uongo wala hafichi. Allah kubarikie ktk maisha yako Aunty Zayuni

  • @GdFf-ik2eo
    @GdFf-ik2eo 3 หลายเดือนก่อน +2

    Ma sha Allah zari na mdd hapo
    Mmependeza Masha Allah
    Allah awadumishe ktk kufuata amri za aliyetuumba

  • @FathFathi-j8f
    @FathFathi-j8f 19 วันที่ผ่านมา

    Mungu akulipe Kila la kheriii da zay kipenzi tunakupenda ❤

  • @zoab2699
    @zoab2699 3 หลายเดือนก่อน +3

    Alhamdulillah oneni sasa mambo mengi wanazucha wafanyakazi kuchafua wa oman ona haya sasa ugekua huja uliza na kupeleleza usinge jua ukweli wafanyakazi punguzeni uzushi

    • @AtifaIslam-t6g
      @AtifaIslam-t6g 3 หลายเดือนก่อน

      Wengine awawezi kazi walizowea mteremko na ukiamua kusafiri kutafuta rizki ni lazima ufanye kazi kwani uyo boss alikutafuta ili uende ukakae tu uwangalie

  • @ImanMm-n8u
    @ImanMm-n8u 17 วันที่ผ่านมา

    Mashallah tabakrallah ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @aseelaisaa428
    @aseelaisaa428 3 หลายเดือนก่อน +3

    Na bi kadija na bi zari na global tv ❤❤❤❤❤❤❤ hongereni sanaaaa ♥️ 😆 💖 😄 mnafanya kazi nzuri nakufatilieni toka juzi. Lkn bado bado bado ukweli haujatoka .bado yatafuteni mtapata mengi ❤❤❤❤❤. Kazi nzuri sanaaaa endeleeni vizuri

    • @umahmed8273
      @umahmed8273 3 หลายเดือนก่อน

      @@aseelaisaa428 nawapenda sana Zari na Hadija mbarikiwe ktk kazi yenu

  • @AswilaSeif
    @AswilaSeif 3 หลายเดือนก่อน

    Waongonjiwa hanasahani waongo acheni uwongo kama humuwezi kazi rudini kwenu hana kwenu pesa manapenda sana sasa tatizo lipi. ,👌👌👌

  • @JasiminJasimin-i5l
    @JasiminJasimin-i5l 13 วันที่ผ่านมา

    Mungu musaidie hapone

  • @SharifaA-y4t
    @SharifaA-y4t 15 วันที่ผ่านมา

    Masha Allah anty upo vizuli

  • @AswilaSeif
    @AswilaSeif 3 หลายเดือนก่อน

    Wewe usimseme zari yupo kazini huwelewi jukumu lake zari apewe mauw,,🌷🌹💐

  • @DARK-mo5vi
    @DARK-mo5vi 3 หลายเดือนก่อน +3

    Aunty zeuni uko vizuri sana wacha warudi

  • @Leylah-pz5sc
    @Leylah-pz5sc 3 หลายเดือนก่อน +1

    SubhanaAllah, stori ya huyu dada nliskiliza walisema ana miaka 50 sa umri wote uwo amekemboi jmn eee Mungu amsaidie kwa kweli

    • @AtifaIslam-t6g
      @AtifaIslam-t6g 3 หลายเดือนก่อน

      We umzima lakini akili yako yafikiria au waongea ni kama waota miska 50 niajabu kutoroka aya toroka wewe ulie miaka 5 kila mtu yuajua kwa nji alisafiri

    • @Leylah-pz5sc
      @Leylah-pz5sc 3 หลายเดือนก่อน

      @@AtifaIslam-t6g jiulize ww kama una akili au huna ? Apo kuna baya gani nilosema au kazi yako kudandia treni kwa mbele, unikome dada eee, tena ukome kuvamia kama una stress zako za maisha peleka uko sio kwangu

    • @Leylah-pz5sc
      @Leylah-pz5sc 3 หลายเดือนก่อน

      @@AtifaIslam-t6g ningekuwa na miaka 5 ningekuwa hapa 🙄🙄🙄 kweli ww ni chizi bado kuokota makopo tu, umbea tu ndo ulokujaa au umekaa getoni huna kazi? Njoo inbox nikupe part time ili upunguze hasira

  • @zuweinaalhabsya8773
    @zuweinaalhabsya8773 3 หลายเดือนก่อน +1

    Aunt Ziyun 👌👍❤️

  • @Shadia544
    @Shadia544 3 หลายเดือนก่อน

    Zali asante sana kwa ushiliano yaani huku Oman ukiwa salama sema alhamdulillah 😢😢tupo Oman tukiwa salama alhamdulillah 😢

  • @salmahalhoqani
    @salmahalhoqani 3 หลายเดือนก่อน

    Ziyuni kashika Dini hawezi kusema uwongo yeye anatoa Sadaka sana MashAllah

  • @zainab8251
    @zainab8251 3 หลายเดือนก่อน +2

    Hongera sana dada i unasema kitu cha ukweli wafanyakazi nasi pia tuna matatizo na maboss wapo pia wanamatatizo kwa hiyo akili kwenye mkichwa

  • @رحمةمحمد-ش1ه
    @رحمةمحمد-ش1ه 3 หลายเดือนก่อน

    Mashaallah tabarakallah waongea safi aunty ziyuni

  • @aseelaisaa428
    @aseelaisaa428 3 หลายเดือนก่อน +2

    Kwa mfano wangu mie wabatoka mwanzo wa mwezi na mwisho wa mwezi mara mbili kwa mwezi..illa kama aba dharuri anataka kutoka hakuna kazi nyumbani etc etc .ni mafahamiano lkn kwa kuoumzika anapumzika sana tuuuu.illla okiwa mtu hajipangiii mwenyewe kazi zake

  • @MsFadhila
    @MsFadhila 2 หลายเดือนก่อน

    Jamani ukiwa nchi za watu unatakiwa kuwa na imani na uvumilivu kingine ukiwa na adabu zako hawa watu wanaiman wachache wapo wanakua na shida kingine

  • @zuwenahamoud6690
    @zuwenahamoud6690 3 หลายเดือนก่อน +2

    Dada Zeyun nakupongeza kwa maelezo mazuri.

  • @aishatest4451
    @aishatest4451 3 หลายเดือนก่อน

    hongera sana dada zai

  • @JannatJannat-s6j
    @JannatJannat-s6j 2 หลายเดือนก่อน

    Kajitia naenda kusali kwanza. Kiukweli. Tunateseka laki ni kwa umasikini tulio nao nchini kwetu. Tunastahamili tuu. 😢😢 Alla karim

  • @jazirajazira8116
    @jazirajazira8116 3 หลายเดือนก่อน +5

    Nakumbuka Mimi mwaka 2015 tarehe 28 mwezi wa 8 ndio mara ya kwanza kukanyaga oman nilipata tabu sana mtu unakabiziwa jiko upike haya unapika alafu sahani na kikombe anakukabidhi ili usichukue wanacho tumia wao na sehem ya kukaa unaonyeshwa tena chini hata ule mkeka pia kufokewa kama mtoto sasa hayo ni maisha mtu huambiwa kwaupole ataelewa lakini ukimfokea hato kuelewa siyo wote lakin wapo hivo
    Kwenye kula pia hadi wale wao ndiyo Mimi nakula yao nikuchelewa siku moja nikachukua sahani yang nikapakua nile we mbona niliambiwa nikirudishe kwenye sufuria alafu wana masimango sana siyo weto lakin wengine wana roho nzur

    • @jazirajazira8116
      @jazirajazira8116 3 หลายเดือนก่อน +1

      Hiyo yote alie pewa alie nyimwa yote. Ni mipango ya Allah alafu unakuta mtu anakwambia nyie wa Afrika hamna akili wakati nayeye kazialiwa Afrika siyo vizur hivo kama kuna ajenti mmoja alisema wa Afrika mpo kama mazombi alinikera

    • @dorcaskidoti249
      @dorcaskidoti249 3 หลายเดือนก่อน +1

      😢😢😢 na bado upo hiyo hiyo nyumba? Wanakulipa ngapi hadi sasa? Mm huwa sikai na warabu jikoni chumbani kwangu nimemaliza sebuleni naenda kusafisha tu kuhusu chakula ndo wako ivo saaa nyingine wao wamekula kula vitu vingi wameshiba chakula kimeiva watapakuwa saa 9 unahisi njaaa utumbo unakutetemeka ukienda kupakuwa wanakuja wote jikoni mm sijali njaa ikiuma napakuwa wananuna kesho yake saa 6 watapakuwa ili nisibebe kabla yao, huyu wng kila siku anakuachia ukoko bwabwa lenyewe hili ukoko hauliki kama tz anapakuwa anajaza hotpot wanakula vinabak anamwaga ila ww ule ukoko, usiku kama tumepika nitakula ila wakinunua unalala njaaaa nishazoea mie

    • @jazirajazira8116
      @jazirajazira8116 3 หลายเดือนก่อน +1

      Nili hama nyumba 150

    • @dorcaskidoti249
      @dorcaskidoti249 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@jazirajazira8116unitafutie sasa uko ndg yangu 140 nije kipenzi

    • @RahmaFaraji-e2k
      @RahmaFaraji-e2k 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@jazirajazira8116Pole kipenzi

  • @DottoJuma-k5j
    @DottoJuma-k5j 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mie nyumba yangu ya kwanz awakunifanyiga bataka miak2 yan hilikua mbinde kunisafilisha nili mshitakia kaseleh aliwambia mleten alaka sn ubaroz walin peleka nika pelekwa leba nika washitaki ndo sas walijua wenyewe garama zao walizo lipa uko ka selehe alini simamia mbaka nili ludi kwetu na mshukuru sn kasele sito msau kwa wema wake maan ndo mtetezi wetu wallah

  • @SuzanKaroli
    @SuzanKaroli 20 วันที่ผ่านมา

    ❤❤❤

  • @JudithLenato
    @JudithLenato 3 หลายเดือนก่อน

    Naomba kuuliza mshahala serikar ni bei gani

  • @JokhaSaid-e1c
    @JokhaSaid-e1c 3 หลายเดือนก่อน +1

    Pia ikumbukwe Kama wanataka mkataba kwa mkataba basi watolewe ma house boy wanaowasaidia kupiga pass na ma gardener wanaotazama miti maana kazi hizi zote wamepunguziwa itabidi sasa wazifanye Kama mikataba inavyosema

  • @fatmaHassan-c7d
    @fatmaHassan-c7d 9 วันที่ผ่านมา

    😊 1:05:36

  • @AswilaSeif
    @AswilaSeif 3 หลายเดือนก่อน

    Huyo mwenye kenya hajui kenya zaminguu.

  • @aseelaisaa428
    @aseelaisaa428 3 หลายเดือนก่อน +1

    Na la mwisho ikiwa sijakosea nilisikia kuwa time ya kazi .ningependa lirudiwe tena ili nisije kusema ikawa mie sikufahamu tukiweke wazi baina

  • @jokhasaid8666
    @jokhasaid8666 3 หลายเดือนก่อน

    Da Zari kuhusu mshara wa 120 omba ufafanuzi mzuri
    1. Mwenye experience
    2. Nyumba na family kubwa au ndogo?

    • @RitbayRitbay
      @RitbayRitbay 3 หลายเดือนก่อน

      Nyumba yoyote ile iwe kubwa iwe ndogo

  • @chikujuma18
    @chikujuma18 3 หลายเดือนก่อน

    Watanzania tumewachoka na uongo wenu bora mkafungiwa

  • @umsalim6515
    @umsalim6515 3 หลายเดือนก่อน +3

    Ubalozi kawaida hawawasaidii watu kama hao wanokimbia kwa waajiri wao, unasaidiwa ikiwa una matatizo ukakimbilia ubalozini.

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 3 หลายเดือนก่อน

    😢

  • @MohamedIbrahim-bn1gz
    @MohamedIbrahim-bn1gz 3 หลายเดือนก่อน +3

    Tanzania leo mama mmoja kazaa ndani ya bajaji kwasababu hana laki moja na hamsini lakini huyo dadaetu kachukuliwa na waarabu akaingizwa hospitali bila ya kuuliza operesheni ataulipia nani yaani wamtibu kwanza alafu ndio watafute mlipaji

  • @AbuRahma-p8o
    @AbuRahma-p8o 20 วันที่ผ่านมา

    Yan mm nina kikombe changu kinaogopwa kama ukoma

  • @ReginaKaizirege-sd3hn
    @ReginaKaizirege-sd3hn 3 หลายเดือนก่อน +2

    Hayo yote yapo hata mimi hapa kwangu mlango hauna funguo,

    • @YuyuMp-d8y
      @YuyuMp-d8y 3 หลายเดือนก่อน

      Naona wengi wanasema ivyo

    • @hamisaLbsi
      @hamisaLbsi 3 หลายเดือนก่อน

      Tuko weng na mm pia vyumba vyote vina funguo ninamolal mm 2 hamna

  • @AtifaIslam-t6g
    @AtifaIslam-t6g 3 หลายเดือนก่อน

    Mm nlipatwa na hali kama hii ramadhani nlianguka nkajipiga kichwa na tiles wallah nlilala flat nusu saa siwezi kufunua macho wala kupumua vizur hski msiombe wala msiseme slisukumwa no mm nlipoenuka nliumwa nakichwa na mishipa ya shingo nliona nimepasuka kichwa

  • @GraceKija
    @GraceKija 3 หลายเดือนก่อน

    Sehem nyingne mfanyakazi apiki

  • @faridaaa6481
    @faridaaa6481 3 หลายเดือนก่อน

    Jamani achenimaneno mengi tufanye kazi

  • @salmahalhoqani
    @salmahalhoqani 3 หลายเดือนก่อน

    Huyo mtoto anasema uwongo hapa Oman vimejaa vyombo

  • @ArafaHafid
    @ArafaHafid 17 วันที่ผ่านมา

    Sisi ndoo tumekatwa Pesa RIALI 15 mwezi mmoja yaishuarensi

  • @KH-on8pp
    @KH-on8pp 3 หลายเดือนก่อน +1

    Asante Biziyooni uliyoyasema ya akili na busara kwa uzowefu wako ewe Zari usipokee malalamiko yeyote bila ya mtu kukupa jina lake kamili na nani boss wake

  • @paulabelleghe451
    @paulabelleghe451 5 วันที่ผ่านมา

    kuna waarabu wazuri nawengine wabaya wananyima chakula namanyanyaso hivo mschana aavolalamika msibishe pia pale penye mazuri yao wasifiwe

  • @aseelaisaa428
    @aseelaisaa428 3 หลายเดือนก่อน +2

    Kitu kimoja au viwili mie nitachangia kwenu bi wana vipindi .nilisikia kuhusu kutoka hijaza.fahamu yangu mie toka tumeanza wafanya kazi hijaza wafanyakazi hawatoki kila week.kitu hicho hakuna mie sokulisikia ndio kwanza saaa nilisikia. Mie ninavyojua mfanyakazi wako hijaza ni mara mbili kwa mwezi

  • @abcdoman8739
    @abcdoman8739 3 หลายเดือนก่อน +2

    Kwani mmelipwa na waarabu au mbona mmekomalia hii habari

    • @sarahSavith
      @sarahSavith 3 หลายเดือนก่อน

      Itakuwa

    • @YuyuMp-d8y
      @YuyuMp-d8y 3 หลายเดือนก่อน

      Wanawasafisha😢

    • @RitbayRitbay
      @RitbayRitbay 3 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂 ukweli ndio huo

  • @AaAa-vm8bb
    @AaAa-vm8bb 3 หลายเดือนก่อน +2

    ،Jambo la kushangaza wengi ni hivi mfanya kazi ameletwa na m/mke menziwe na huyu mama hana wavulana ndani na mfanya kazi akapata uja uzito jee hapa atalaumika nani wakati anatoka kila Ijumaa au huu upepo wa Oman unafanya wanawake kupata mimba?

  • @HaleemaOsman-r2m
    @HaleemaOsman-r2m 3 หลายเดือนก่อน

    Zari kwa hilo sizani kama tutapewa kiinua mgongo na kulipwa mshahara kwa likizo

  • @JokhaSaid-e1c
    @JokhaSaid-e1c 3 หลายเดือนก่อน

    Huyu dada anayelala kwenye kibanda na Yemen’s usimsapoti subiri aunt Ziuni atupe mrejesho na kwanini asikutafute ukamuone umerudi Tz ndio amekutafuta .

  • @latifahali8228
    @latifahali8228 10 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Huyu anty zuyuni kaongea point kabisa
    Hmn kaz ya rahis na kwann ukiwa unafanya kaz utumie simu. I am from uk. Huku kazn hutumi simu mpk breaktime cz hutoweza kuconstrate na kaz

  • @JannatJannat-s6j
    @JannatJannat-s6j 2 หลายเดือนก่อน

    Alipoona. Ukweli. Mavi. Yamemshika hii ndio. Omani bwana😂😂

  • @KH-on8pp
    @KH-on8pp 3 หลายเดือนก่อน +1

    Zari Tafadhali usiwe unaropokwa hakikisha nini unongea kabla huujarusha hewani huyo mdada katoroka kwa boss wake kwa Tamaaa zake binafsi kapatikana nani amsaidie boss hana haki tena Usijidharaulishe kwakuingilia ya ndani ya nchi za watu kaa Tulia

  • @AswilaSeif
    @AswilaSeif 3 หลายเดือนก่อน

    Wewe.j.muonga sana😂

  • @ZingatiazingatiaStunda
    @ZingatiazingatiaStunda 16 วันที่ผ่านมา

    Mimi nimeletwa na ofisi ila na daiwa pesa ya mwezi mmoja na ajenty watanzania nayupo ofisin sijampa nakila siku ananitumia voic kama ananidai mmmmh

  • @Maryam-vj1rb
    @Maryam-vj1rb 3 หลายเดือนก่อน

    Nawauliza global Tv munayo rukhusa ya serekali kusema huyo upumbafu wenu mimi nitalifikisha juu kabisa

    • @JokhaHamisi
      @JokhaHamisi 3 หลายเดือนก่อน

      Mimi naona uyudada zali ahendelee na kaz nyengine tu

  • @ashtube1333
    @ashtube1333 3 หลายเดือนก่อน

    Akifika tu wanaomba wifi

  • @AswilaSeif
    @AswilaSeif 3 หลายเดือนก่อน

    Zuyuni upo vizuri sana wafanyakazi waongo sana jwiwa ale nawewe ule katika chombo kwani ndege wanakula katikasahani nimuogo😂muongo sana ote waogo sana

  • @JokhaSaid-e1c
    @JokhaSaid-e1c 3 หลายเดือนก่อน

    Maboss wa Oman wafungieni WiFi watu I’ve hela zao na Sasha hi I kila kitu iwe Kama mkataba unavyosema

  • @DARK-mo5vi
    @DARK-mo5vi 3 หลายเดือนก่อน +2

    Wanapenda simu sana na kama hamna wifi ananuna

    • @jazirajazira8116
      @jazirajazira8116 3 หลายเดือนก่อน +1

      Hata wewe unapenda sim ungekua hupendi usinge fatilia hizi habar

    • @jazirajazira8116
      @jazirajazira8116 3 หลายเดือนก่อน

      Na siyo wote wanatumia W i f i

    • @zytonazzz5383
      @zytonazzz5383 3 หลายเดือนก่อน

      Acha zako ww nyie wenyewe mnapenda sm masaa 24 upo na sima
      Mbona mm nna miaka 6 hapa na natumia bando stumii wifi na sinuni??

    • @jazirajazira8116
      @jazirajazira8116 3 หลายเดือนก่อน

      Kweli Mimi nipo na mwaka 7 natumia bado hata sinuni kwanza wanachunguza kama nini kutizama kama upo online umetoka saa ngapi umeingia saa ngapi

    • @RitbayRitbay
      @RitbayRitbay 3 หลายเดือนก่อน

      Asilimia kubwa mnapenda tna mnatumia kwa umbea😂😂

  • @hashilalkharusi4680
    @hashilalkharusi4680 3 หลายเดือนก่อน +1

    Anty Ziyuni upovizuri bado lawama zipo kwa upande wako ukiangalia coment zawafanyakazi kwakweli mtihani

  • @JokhaHamisi
    @JokhaHamisi 3 หลายเดือนก่อน

    Mungu apendi jamani atuache mambo ayo jamani tunakaa kaa kwako na tunawakashfu ivi kweli jamani unafanya mambo mengi kupitia uku Oman kwanini tusiwape mauwa yao kunamtu alikuwa ana lalamika kuosha gali ivi adikuoshagali munashitaki kweli

    • @ZubedaOmary-h9m
      @ZubedaOmary-h9m 17 วันที่ผ่านมา

      Weenae ndowalewale iyo kuosha gari imeandikwa kwenye mkataba??

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani3609 3 หลายเดือนก่อน +1

    Si wafanyaji kazi jamani wafungiwe wasije tena Oman na wabakie huko huko Tanzania

  • @wenge4x423
    @wenge4x423 3 หลายเดือนก่อน

    Mnapoteza wakati wenu kwa kesi za akina amberuti😂😂😂

  • @Siasia209
    @Siasia209 3 หลายเดือนก่อน +1

    Afadhali leo ametokea mtu ambae amezungumzia na upande wa pili wamambo yalivyo

  • @faridaaa6481
    @faridaaa6481 3 หลายเดือนก่อน

    Nasisitiza wafanyakazi wenzangu tuachemaneno mengi tufanyekazi changamoto katika utafutaji haziachi kikubwa subra na uvumilivu baadae mukifungiwa munapiga kelele sisi tumetoka kwetu tunashida tufanye kazi ukishindwa rudi nyumbani tuache maneno

  • @jazirajazira8116
    @jazirajazira8116 3 หลายเดือนก่อน

    Kutafuta suku zote nikugumu sana subra

  • @mamujoha6034
    @mamujoha6034 3 หลายเดือนก่อน +1

    Zari waoman ambao hawajui kiswahili wala awangalii izi habari na mie nina boss namjua analaza mfanyakazi stoo

    • @YuyuMp-d8y
      @YuyuMp-d8y 3 หลายเดือนก่อน

      😢😢

    • @RitbayRitbay
      @RitbayRitbay 3 หลายเดือนก่อน

      Akimshtak atakaa swa

  • @Oman-cd3zq
    @Oman-cd3zq 3 หลายเดือนก่อน

    Dazari watanzaniya wanao ishi omni ndiyo wanao tukandamiza

  • @GraceKija
    @GraceKija 3 หลายเดือนก่อน

    No ya zayuni

  • @ZingatiazingatiaStunda
    @ZingatiazingatiaStunda 20 วันที่ผ่านมา

    Manyanyaso yapo ilawatu wanavumilia tuuu

  • @zuweinaalhabsya8773
    @zuweinaalhabsya8773 3 หลายเดือนก่อน

    Hebu jamani kwani Kuna ulazima wa kuleta Hawa watu. Leteni wahindi wasrilanka waphilipino Kuna Hawa wa Neymar wanakuja Sasa ivi Mashaallah wote Hao wa hodari Sana na wachapakazi haswa hawana mashart yoyote na kwa kweli wanakufanyia kazi Mashaallah hasa. Ukimpa off once a month anaenda zake church jioni anarudi zake hawana makubwa Tena unapumzika hasa.

    • @JokhaHamisi
      @JokhaHamisi 3 หลายเดือนก่อน

      Ukisema ivyo unakosea kuleta awo watu kila mtu na tabia yake jamani toka uko kwao

    • @JokhaHamisi
      @JokhaHamisi 3 หลายเดือนก่อน

      Lamsingi ikikipindi kingefungwa tu

  • @mamujoha6034
    @mamujoha6034 3 หลายเดือนก่อน

    Warabu ukimwa unanuniwa nyumba nzima na waifaa utakatiwa

  • @ThePunditsFolly
    @ThePunditsFolly 3 หลายเดือนก่อน

    Hakuna kitu kibaya kama Ubalozi kujikosha kwenye jambo ambalo hawafanyi chochote... Ningependa kuongea na huyu Mwandishi wa habari wa Global TV.

  • @saleemadhiyabalkhatri7800
    @saleemadhiyabalkhatri7800 3 หลายเดือนก่อน

    Chamsingi wafungiwe kuja jani kwani lazima na wewe zari siulikuja hapa kwanini hawakukutafuta ushaondoka wameanzaumbeq bhanae wafungiwe viza wasije bhana tumewachoka hebutuachieni kelele hamnakazi lohh mashtaka mashtaka tu umbea tu

  • @ReginaKaizirege-sd3hn
    @ReginaKaizirege-sd3hn 3 หลายเดือนก่อน

    Tunapitia mambo mengi nyie achatuu

  • @rahemakapara1073
    @rahemakapara1073 3 หลายเดือนก่อน

    Zari leo nilitamani kuwa na nyie live lakini nilitingwa Dana name kazi naomba Namba yako nikuchek inbox tuongee mimi nipo muda mrefu huku tena kwa boss

    • @dorcaskidoti249
      @dorcaskidoti249 3 หลายเดือนก่อน

      Huoni apo zinapita au?

  • @salmahalhoqani
    @salmahalhoqani 3 หลายเดือนก่อน

    Hao wafanyakazi kwanini wanakuja Oman na huku wanateseka

  • @marthadaniel4904
    @marthadaniel4904 3 หลายเดือนก่อน

    Duuuuu mmmh

  • @aminahamad3428
    @aminahamad3428 3 หลายเดือนก่อน +1

    Uyo VIYUNI mengi anayatetea tu huyo hasemi ukweli mengi anajikosha tu lkn changa moto zipo nyingi tu la kumshukuru ALLAH katupa subra

    • @maryamkhamfar4029
      @maryamkhamfar4029 3 หลายเดือนก่อน +2

      Si urudi kwenu?

    • @zainabzanzibar1518
      @zainabzanzibar1518 3 หลายเดือนก่อน

      Hapo sasa ​@@maryamkhamfar4029

    • @Shuu.A
      @Shuu.A 3 หลายเดือนก่อน

      Ndio hapo sasa​@@maryamkhamfar4029

    • @makrinamakrinahahahahadah4629
      @makrinamakrinahahahahadah4629 3 หลายเดือนก่อน +1

      Yeye mwenyewe ana ajili mfanyakazi akuna mashine yakufulia kufuwa kwamkono ulipaji wake na yeye ndo hao hao mikazi kibao fikeni kwake

    • @zuweinaalhabsya8773
      @zuweinaalhabsya8773 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@maryamkhamfar4029👌

  • @AswilaSeif
    @AswilaSeif 3 หลายเดือนก่อน

    Kitu chakwaza wanataka wifi kwao wanayo

    • @ZubedaOmary-h9m
      @ZubedaOmary-h9m 17 วันที่ผ่านมา

      Chefuu mtu awasiliana vp na Familia yakee😏😏

  • @Shekhahamed-v2f
    @Shekhahamed-v2f 3 หลายเดือนก่อน

    Omani kama jupaki mafuta miguu na kuvaa do kbs inapasuka kutokana nahaliya hewa

  • @GdFf-ik2eo
    @GdFf-ik2eo 3 หลายเดือนก่อน

    Jamani serikali imsaidie matibabu

    • @abdullahal-mahruqi9610
      @abdullahal-mahruqi9610 3 หลายเดือนก่อน

      ICU - Intensive Care Unit. Ina maana mgonjwa anahitaji kuangaliwa na manesi na madactari kwa ziada
      Hairuhusiwi mtu kukaa na mgonjwa kwa maslaha ya wagonjwa. Ziara kwa dharura na watu wakaribu sana inaruhusiwa kwa masharti kuvaa plastic za hospital na kukaa kidogo.
      Ulizeni madaktari wenu,
      Madhali yumo ICU inamaana anatibiwa ila hali yake sio nzuri,

  • @abcdoman8739
    @abcdoman8739 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kwani da zari umekosa kazi ya kufanya

    • @sophsoph4740
      @sophsoph4740 3 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂kwann jamn

    • @abcdoman8739
      @abcdoman8739 3 หลายเดือนก่อน +1

      @@sophsoph4740 mi naona hana kazi ya kufanya uwezikila siku unaongelea mambo ya wafanyakazi ana maongezi mengine

    • @abcdoman8739
      @abcdoman8739 3 หลายเดือนก่อน +1

      @@sophsoph4740 wanakera sana kinacho ongeleka naona ujinga tu wanaengemea upande mmoja nimewaambia waangaike hukohuko tanzania wafanyakazi wandani tanzania wanatesa wanakazania huku watuachw tumeridhika na hali ya huku

    • @khadijachacha3156
      @khadijachacha3156 3 หลายเดือนก่อน

      Hapo yupo kazini na ikifika mwisho wa mwezi anapokea mshahara wake nyie mnaosema kwamba hana kazi mnapoteza mda yy mambo yake yanamwendea na siku zinakwenda

    • @Shuu.A
      @Shuu.A 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@khadijachacha3156kabisa yaani

  • @christinembeye5489
    @christinembeye5489 3 หลายเดือนก่อน

    Kwa mtu mwenye Akili Timamu. Ukimsikiliza hugo Aunty Zeun kuna Vitu anavyoongea ni vya kweli ila Vingi anatetea tuu wakati Wengi Wetu tunajuwa jinsi Wadada Wengi wa Kazi wanavyo Nyanyaswa.
    Huyo anae tumia Vyombo vya Njiwa hats mimi niliamini kabla hata ya kuonyesha Ushahidi.
    Huyo Aunty Zeun asikatae kila anacho Ambiwa. Awe anafuatilia!!

    • @Mariam-w9s3b
      @Mariam-w9s3b 3 หลายเดือนก่อน

      Sasa nikuulize iv anavyoambiwa atumie ivyo vyombo akikataa inakuaje ujue kingine ni kuwa na nidham ya uoga pia inachangia ukija kutafuta uku inatakiwa umkabizi mungu maisha Yako na useme lolote litakalokufika mungu kapanga ivyo usiwaogope waarabu wao ni binadam kama sisi ukiona ueleweki ondoka nenda ubalozi ukifika utaelezea ataitwa boss wako mambo ni mawili kuyamaliza au kuondoka na swala la kuondoka unatoa pesa yako inakata ticket unaondoka

  • @ReginaKaizirege-sd3hn
    @ReginaKaizirege-sd3hn 3 หลายเดือนก่อน

    Wapo wanaotunyanyapaa asibishe walabu wana rohoo za ajabu japo sio wote.

    • @saleemadhiyabalkhatri7800
      @saleemadhiyabalkhatri7800 3 หลายเดือนก่อน +1

      Unanyanyapaliwa sasa kinakuweka nini rudikwenu msitupigie kelele mpaka ubalozi wenu wamewachoka

    • @RahmaFaraji-e2k
      @RahmaFaraji-e2k 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@saleemadhiyabalkhatri7800we nae ovyo mwanaume mzima unaongea upuuz mfyuuuz 😏

    • @ReginaKaizirege-sd3hn
      @ReginaKaizirege-sd3hn 3 หลายเดือนก่อน

      @@saleemadhiyabalkhatri7800 NGOJA NIKUJIBU KWA HERUFI KUBWA MAANA NAONA AKILI YAKO IKO KISOGONI,, SIKU ZOTE KITU USICHOKIFAHAMU JIFUNZE KUKAA KIMYA USIONGEE ILIMLADI UMEONGEA UTAVISHWA SKETI WEWE OHOOOH.

    • @AlameiAlamri
      @AlameiAlamri 3 หลายเดือนก่อน

      Hhhh​@@saleemadhiyabalkhatri7800

    • @ZubedaOmary-h9m
      @ZubedaOmary-h9m 17 วันที่ผ่านมา

      ​@@ReginaKaizirege-sd3hnhao kwavile wameshibaa waoo,, awajali wenzao 😢

  • @ummohamed4404
    @ummohamed4404 3 หลายเดือนก่อน

    Michango yote peleka Palestina

  • @ummohamed4404
    @ummohamed4404 3 หลายเดือนก่อน

    KIINUA MGONGO😂
    NA KIINUA 🐒

  • @mamujoha6034
    @mamujoha6034 3 หลายเดือนก่อน

    Acha Upuuzi wewe😏😏😏 chefu,,,Usilopoke2 tu kama umepewa reyal 5 au reyal 10,,,,mtoe mwanao au ndugu yako 1 yakimkuta ndyo utaelewa vizuri shoga yng😂😂😂😂

  • @yyhhoopp9321
    @yyhhoopp9321 3 หลายเดือนก่อน +1

    Nikwel ukitembea bila soksi au viatu unapasuka miguu

    • @khadijachacha3156
      @khadijachacha3156 3 หลายเดือนก่อน +1

      Na maji pia yanapasua miguu mana kuna kazi ya kukosja vyoo kupiga deki uanjani kufua kupiga deki ndani yani mda mwingi unachezea maji na maji nayo yanapasua miguu ila dawa yake ikipasuka miguu paka vasrine mipasuko yote inatoka na miguu inakua milaini

    • @yyhhoopp9321
      @yyhhoopp9321 3 หลายเดือนก่อน

      @@khadijachacha3156 yani mm nikitembea bila viatu au socks napasuka hadi nasikia maumivu kukanyaga ila nikikaa sock nakupa mafuta vinaisha nikitoka kukosha vyoo navaa sock au nasaficha njee kumwaga magi nikimaliza najitia mijisockis yang

    • @Leylah-pz5sc
      @Leylah-pz5sc 3 หลายเดือนก่อน

      Ni kweli ajitie vasilin tu na socks juu

  • @mohamedkhalifa5764
    @mohamedkhalifa5764 3 หลายเดือนก่อน

    Hawa warabu Wajinga sana wafanyakazi wamejaa India, Philippines, Bangladesh,Serelanca

    • @ummohamed4404
      @ummohamed4404 3 หลายเดือนก่อน

      Tena wajinga saana na upumbavu hapo ndio wataka elimu
      Pesa yako utukanwe
      Hahaaa wanikome