🔴

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 1 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 229

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  5 หลายเดือนก่อน +4

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

    • @hamisaally968
      @hamisaally968 5 หลายเดือนก่อน

      Kila nikiona habari ya baba nasikitika mie binafsi nipo oman huu mwaka 9 nimemaliza ni hivi uyo binti ni ngumu kurudi ivyo ivyo bila kurudishaa gharama za waliompeleka haijalishi alifanikiwa au laah asilimia kubwa ya maagenti ndo ufanya ivyo hapo kikubwa watafuteni hao maajenti mjue gharama zao wakilipwa uyo dada atasafirishwa kinyume na hapo mtapoteza mawasiliano kabisaa.

  • @lilianwaflotina1288
    @lilianwaflotina1288 5 หลายเดือนก่อน +6

    Huyu mzee angesoma Yuko safi sana nimemkubali🎉

    • @AyshaHamis-qw3gi
      @AyshaHamis-qw3gi 5 หลายเดือนก่อน

      Yaan hata mm namkubalib sana yup vizur mashallah

  • @Asma-e5m
    @Asma-e5m 11 วันที่ผ่านมา

    Pole sana nasra mie nilafiki yako tulikuwa wote kwa baraka😊

  • @elizabethkikoti7265
    @elizabethkikoti7265 5 หลายเดือนก่อน +10

    Mnaomshambulia huyu dada mlioko huko nchi za. Wageni mnafanya kazi kwa kumuona Muongo yeye ndo atakua ana matatizo sio vizuri kabisa nyie kama mmepata maboss zenu wenu wazuri mshukuru Mungu tena sana lakin sio kwa kuwapinga wenzenu na kuwaona waongo wanaopata matatizo kun watu wanapata maboss wazuri kuna wengine wanapata maboss sio wazuri lazima watoroke kama unataka kwenda nchi za wenzetu cha kwanza Muombe Mungu akupe boss mwenye upendo na huruma hilo ndo la msingi

    • @musnamohamed4199
      @musnamohamed4199 5 หลายเดือนก่อน +2

      Uko sahihi

    • @shanimbaruku2071
      @shanimbaruku2071 5 หลายเดือนก่อน

      Ni kweli kabisa na huyu dada kaongea vizuri tu ❤

    • @SihabaAbdallah-li6dx
      @SihabaAbdallah-li6dx 5 หลายเดือนก่อน

      Ndo tabia zao vo hua nashangaa San mtu akipata sehemu zzuri 😅stor yoyote wanaion ya uongo

  • @allymwalimu1234
    @allymwalimu1234 5 หลายเดือนก่อน +3

    Asalam aliekum poleni sana kwa mitihani mwenyezi mungu atawasaidia in shaa allah

  • @fathiyahmuzney7367
    @fathiyahmuzney7367 5 หลายเดือนก่อน +4

    Nyie mnaomuona huyu dada muongo mshukurun mungu km mmepata maboss wazur msikatae kuna watu wanapitia changamoto kitanda usicholala hujui kungun wake achen kujiona nyie mmeyapatia maisha maana naona mnatamba mm nimejenga mm nimefanya hv na hv 😂😂😂wapo wanaopitia changamoto na wapo wanaoish vzr

    • @TatoOman-s5t
      @TatoOman-s5t 5 หลายเดือนก่อน

      Asojua mana usimpe maana mtu kama halijamfika ataongea lolote

    • @twinkledestar4277
      @twinkledestar4277 5 หลายเดือนก่อน

      Hakika jaman huku gulf hali ngumu ni kubahatika kupata mtu mzuri waarabu co wenzetu

  • @rayahamisi118
    @rayahamisi118 5 หลายเดือนก่อน +3

    Omani poa ❤❤❤❤

  • @YahayaKiobya
    @YahayaKiobya หลายเดือนก่อน +1

    Hivi sie waafrika aliyeturoga ni nani? Ni wazungu au waarabu 🤔🤔🤔

  • @HadijaJoseph-d1g
    @HadijaJoseph-d1g 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu aniondolee hiyo mitiani.. waendelee kunipenda mpaka mkataba uishe nipo qatar

  • @sikudhanimohammad7692
    @sikudhanimohammad7692 5 หลายเดือนก่อน +1

    Usiwe na furaha kwa sababu ya mazingira ya nyumbani kwako yalivyo? Tushukuru Mungu kwa tunachojaaliwa. Kuna watu wanaishi maisha magumu zaidi na hawalalamiki wanamshukuru Mungu.

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mzee wangu mungu atakufanyia wepes kola kotuy kinamwisho inshaallah

  • @TatoOman-s5t
    @TatoOman-s5t 5 หลายเดือนก่อน

    Allah atufanyie wepes Lkn Maajent Dah Mtihan nasisi tutulieni makwetu

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 5 หลายเดือนก่อน +8

    Wacha niendelee kumshukuru Mungu na kumwombea mwarabu wangu tu yote unayoongea hapo sijayapitia naendelea kuipenda kazi yangu🙏🙏

    • @MaulidiNchasi
      @MaulidiNchasi 5 หลายเดือนก่อน +1

      Mshukur Allah maana changamoto zipo nying Kwa baadhi ya wengine na Familia zingine za Arabic

    • @HaniffaOmary-v5r
      @HaniffaOmary-v5r 5 หลายเดือนก่อน

      Hata mm kwakweli Niko omani kabisaa miaka kumi sasa yani naishi kama Niko nyumbani kabisa

    • @omanoman2044
      @omanoman2044 5 หลายเดือนก่อน

      Nikweli hata mim warabu baadhi yao ni wazuri nasiyo wote lam ilivo NCHI NYINGINE BINADAM TUKO HIV ILA IRAQI HAPAFAI

    • @omanoman2044
      @omanoman2044 5 หลายเดือนก่อน

      ​@@HaniffaOmary-v5rhata mim pia nina miaka 8 niko vizur na mshahara pia mzuri

    • @shamzone388
      @shamzone388 5 หลายเดือนก่อน

      Ndio nasema mimi daima jaman tupo oman na kazi na heshimA tunafanya kazi muhimu heshimA
      Ukiwa na heshima na ukijiheshimu na ukiwaheshimu maisha yanaendeleA….mtaka cha mvunguni lazima uiname…

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 5 หลายเดือนก่อน +1

    Yan mtuy alikuja huku hakupata mtaji aje hap apew mtaji w mungu wangu duuh polen wallah

  • @zoab2699
    @zoab2699 5 หลายเดือนก่อน

    Alhamdulillah kwa kusema ubora wa watu wa oman lkn wafanyakazi wengine hawana shukrani wala ubinadaam

  • @OfficialA83640
    @OfficialA83640 5 หลายเดือนก่อน +2

    Da Zali unasema tu watu tushafanya biashara hd mikono imeota sugu vichwa vinauma kubeba makapu lkn hatujatoboa chuma ulete nao wanataka hapo hapo lkn tupo Oman aah yetu tumeyatatua Alhamdulillah nimeshika hela ht Tz sijashika na sirudi hd mkononi nishike Milioni 7 ndy nione Tz hapo ndy nitatulia maana nishakuwa na kwangu Alhamdulillah

  • @TatoOman-s5t
    @TatoOman-s5t 5 หลายเดือนก่อน

    Asant sana Allah atufungue kwakweli katika nnchi zetu

  • @twinkledestar4277
    @twinkledestar4277 5 หลายเดือนก่อน +1

    Nchi za Gulf zinataka subrah na uvumilivu na mtu ukiona huna muelekeo shida matatizo msaada wa ubalozini hamna ni vizur kurud nyumbani hatujafukuzwa jaman riski popote kurudi nyumban ndo mwanzo mpyaa Allah atusimamie in Sha Allah

    • @twinkledestar4277
      @twinkledestar4277 5 หลายเดือนก่อน

      Ofisi iliomsafirisha jaman inasemaje

  • @FatmasaidhamesaHamesa
    @FatmasaidhamesaHamesa 5 หลายเดือนก่อน +3

    Mimi Niko iraq mwaka w nne maisha ya nje nikuvumiliato mambo y kuwa kunaraha hapana siku vizuri cku kibaya wallah

    • @mirnababy5012
      @mirnababy5012 5 หลายเดือนก่อน

      Kwakweli mm pia nipo iraq alafu tatizo ni uyo msichana kilakitu kumwambia mzazi

    • @HusnaMtitiko-yt4ru
      @HusnaMtitiko-yt4ru 5 หลายเดือนก่อน

      ​​@@mirnababy5012tunakaza ndgu yangu tukiongea na wazazi tunajitahidi ku feki furaha 😢

    • @mirnababy5012
      @mirnababy5012 5 หลายเดือนก่อน

      @@HusnaMtitiko-yt4ru sana ilimladi unapata chako usipo kua mvumilivu ndio ata mwaka umalizi ww unaishi kwa watu mawazo yako umampa mwenyenyumba unaakili kweli

    • @HadijaJoseph-d1g
      @HadijaJoseph-d1g 5 หลายเดือนก่อน

      Kweli mengine unayavumilia tu huko nimekaa sasa Niko qatar

  • @simonsmithajax
    @simonsmithajax 5 หลายเดือนก่อน

    Pole sana dada

  • @sophsoph4740
    @sophsoph4740 5 หลายเดือนก่อน

    Safi nasra wangu kipendhy umetoa ushiriakiano alhamdulilah

  • @SarahLameck-j4d
    @SarahLameck-j4d 5 หลายเดือนก่อน

    Wanarogwa tamaaa Majuto mjukuu

  • @marykennedymarwa1641
    @marykennedymarwa1641 4 หลายเดือนก่อน

    Inatia huruma sana , nchi ya Tanzania Haina msaada kabisa ,sawa tu na waarabu. Hakuna ubinadamu.😢

  • @shanimbaruku2071
    @shanimbaruku2071 5 หลายเดือนก่อน

    Baba❤🎉

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz 5 หลายเดือนก่อน

    Pole mamiii

  • @ReginaKaizirege-sd3hn
    @ReginaKaizirege-sd3hn 5 หลายเดือนก่อน +2

    Wewe umesoma ndg yangu ndomaana unanenepa mimi niko Oman nasomesha najenga natunza familia yangu,, na Tz nisingeweza dada mimi single mama mwenye watoto 3 wote wanasoma weee Acha tupambane kikubwa tuombeeni tuu

  • @minalgodlove2363
    @minalgodlove2363 5 หลายเดือนก่อน

    Mzee asome surat inshilah bila idadi Allah atawafungua

  • @ReginaKaizirege-sd3hn
    @ReginaKaizirege-sd3hn 5 หลายเดือนก่อน

    Eeh Mungu Tusaidie

  • @OfficialA83640
    @OfficialA83640 5 หลายเดือนก่อน +1

    Baba sasa anaharibu anachokitaka hajakipata anaingiza mada nyingine halafu aombi bali anatoa lawama hiyo sio kauli nzuri kusema wanaingiza watu kwenye mpira washindwe kumsaidia yy aah Mungu amsamehe hajui anachokiongea Allahu Akbar

    • @hadijamohd6028
      @hadijamohd6028 5 หลายเดือนก่อน

      Tema mate chini wewe

    • @OfficialA83640
      @OfficialA83640 5 หลายเดือนก่อน

      @@hadijamohd6028 We umeona vizuri lawama anazo toa au awe mpole aombe msaada asaidiwe lkn sio kusema watu

  • @YahayaKiobya
    @YahayaKiobya หลายเดือนก่อน

    Waafrika tuna Kila kitu lkn watoto wetu bado wananyanyasika huko uzunguni na u harabuni . Hivi sie waafrika aliyeturoga ni nani 😮😮😮

  • @TatuTatu-f1v
    @TatuTatu-f1v 5 หลายเดือนก่อน

    Apo kweli sadakta

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 5 หลายเดือนก่อน +1

    Passpot kweli zinachukuliw lakin sim kwa oman hazichukuliw labda huko iraq mungu wangu duuh

  • @hidayahidaya-vd3ze
    @hidayahidaya-vd3ze 5 หลายเดือนก่อน

    Lakini madada WA bongo acheni kutukana wenzenu wakati wakisimliya Tesco wanayo pitiya na mtihani wanayo pata katika safari ya kutafuta maisha kama ww uko pazurii shukuru na unyamaze kimyaa unmasking wangu WA Africa isiwi WA kujidhalilisha aibuu

  • @khadejakhadeja9713
    @khadejakhadeja9713 5 หลายเดือนก่อน

    Poleni ndugu zetu mliopo irag kuna mitikhani sana

    • @Oppo-t3s2x
      @Oppo-t3s2x 5 หลายเดือนก่อน

      @@khadejakhadeja9713 mitihan gani

  • @TatoOman-s5t
    @TatoOman-s5t 5 หลายเดือนก่อน

    Ndug yngu pambana Allah atakufungua japo mikono yako itakupeleka mbali utakavyo jituma

  • @ramaosman8060
    @ramaosman8060 5 หลายเดือนก่อน +1

    This is why we neeed more jobs on our on county's so all this wouldn't happen.

  • @mariayombayomba1606
    @mariayombayomba1606 5 หลายเดือนก่อน +2

    Dada kipindi chako ni kizuri sana na kiukweli kabla hujasafiri kwenda nje weka malengo na jikumbushe kwa nn unasafiri, Dada mm nipo Iraq na kuna Watanzania wengi mm nawajua huku waschana wanafanyakazi kwa makengo karibu wote wamejenga wengine bado wanajenga, wananunua mashamba ili wakirudi Tz wajishughulishe na kilimo, sio kila mtu anakaa ofisini kila mara ukija huku ukiwa na nia ya kazi na malengo basi utakaa kazini

    • @Oppo-t3s2x
      @Oppo-t3s2x 5 หลายเดือนก่อน

      @@mariayombayomba1606 swadakta habibty umeongea point sana

  • @rahmahafidh9533
    @rahmahafidh9533 5 หลายเดือนก่อน

    Jaman sio kwel we mtu mzima wajua kusoma na kuandika vip usijue kusoma tiket yako ama kufanya makubaliano na ajent kabla, ulitaka mwenyewe kwenda kurdistan njaa ilipokupiga bongo😅😅😅😅

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 5 หลายเดือนก่อน +1

    Huku kwetu Kenya ajenti twamtafuta mwenyewe na njaa zako mimi niko saudi

  • @Monaoom-x5m
    @Monaoom-x5m 5 หลายเดือนก่อน

    Kutoroka nikosa pia kwenye nchi zawatu kila nchi inasheria zake

  • @Happy-ef9kf
    @Happy-ef9kf 5 หลายเดือนก่อน

    Dada zari ulivyo mshauri uyo Dada nimependa ushauriwako sana

  • @morjanoman5181
    @morjanoman5181 5 หลายเดือนก่อน +2

    Masikitiko ya Baba. Uyu toka mtotowake amekwenda uko ajaona mafanikio yoyote ndio maana. Anaumia na kukosa amani

  • @bettykinyami5096
    @bettykinyami5096 5 หลายเดือนก่อน

    Msiende huko jamani, kaeni hapa kwenye tu

  • @tahirnephessalum3678
    @tahirnephessalum3678 5 หลายเดือนก่อน +1

    inawezakana mawakala wana matatizo ila kwa kesi ya huyo dada anaonekana yeye ndo mwenye matatizo

  • @sharifamahamudu182
    @sharifamahamudu182 5 หลายเดือนก่อน

    Jamani ilo la kuuwa naa umetupiga jaman mhhh😮

  • @olivanooraladin5436
    @olivanooraladin5436 5 หลายเดือนก่อน

    Na tunapokuja huku unakubali yote yaani ni wewe na mungu wako wengi huwa wanajisahau Sana

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 5 หลายเดือนก่อน +1

    Alafu warabu wote tabiya Yao ni moja

  • @husna34562
    @husna34562 5 หลายเดือนก่อน +1

    Salma arudi Iraq mitihan mitupu watu huenda wakakwama na,wakarud wakaenda nch nyengine rzk popote Salma bora oman 🇴🇲

    • @sophsoph4740
      @sophsoph4740 5 หลายเดือนก่อน +1

      Omani oyeeeeeeerrrrrr

  • @paulabelleghe451
    @paulabelleghe451 4 วันที่ผ่านมา

    Huyu Nasra chamdomo unabahati waarabu wangekumaliza

  • @JamilaMohammed-n8n
    @JamilaMohammed-n8n 5 หลายเดือนก่อน +3

    yaani dazari nchi zakiarabu changa moto zipo sana

    • @Dafetty
      @Dafetty 5 หลายเดือนก่อน

      Mie siendi yeyote inchi tofaut na Oman 😊 warabu wa Oman kwa 80% wako pic sana hasa kwenye kula na mshahara wanaga shida😊😊😊

    • @MariamOmary-ep6iv
      @MariamOmary-ep6iv 5 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂Shukuru mungu kipenz kwa kupata seem sahihi basii​@@Dafetty

  • @LevinaMiteo
    @LevinaMiteo 5 หลายเดือนก่อน +1

    Naombeni nitume voic jamn nilivyo nayo mengi

  • @khadejakhadeja9713
    @khadejakhadeja9713 5 หลายเดือนก่อน

    Iraki sio pazuri utalia kilio cha mamba machozi kwenda na maji poleni sana

  • @HadijaJoseph-d1g
    @HadijaJoseph-d1g 5 หลายเดือนก่อน

    Huko napajuwa ubalozo wahukopaka utuluki ila kudristani .hakuna ubalozi .. ila maajenti wanatuongopea wanakwambia unaenda utuliki. Waongo minishafika huko

  • @olivanooraladin5436
    @olivanooraladin5436 5 หลายเดือนก่อน +1

    MI nimeshangaa yaani inawezakananaje mtu kila nyumba ushindwe hebu kuweni wa kweli

    • @Oppo-t3s2x
      @Oppo-t3s2x 5 หลายเดือนก่อน

      @@olivanooraladin5436 my hawa ndo wale wavivu wasitaka kutumwa tumwa anataka akae tu kama boss mwisho wa mwezi ukifika anadai mshahara hizi kazi haziitaji mwajiriwa uwe na kiburi kutumwa fanya kile wanuna mara hufanyi inavyo takiwa bas maboss wengi hawataki wafanya kazi visiran na wasio jituma

    • @AishaJanuary
      @AishaJanuary 5 หลายเดือนก่อน

      Mm kwa Iraq kweli nawatetea waarabu some time ni matatizo yetu tunataka tuishi kwenye nyumba za watu kama kwetu.

  • @namungolubala1788
    @namungolubala1788 5 หลายเดือนก่อน +1

    HAPO MAAGENTE WAKO WANAMTISHIYA NJO KWA MAANA ALISEMA VIDEO IFUTWE NAKWASABABU HILIJAMBO LILISHAKUWA SEREKALINI 🇨🇦

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 5 หลายเดือนก่อน

    Kabsa ni kujituma tuy wallah

  • @mimahmimah1595
    @mimahmimah1595 5 หลายเดือนก่อน +1

    Hapa baba unachofanya ni kutwanga maji kwenye kinu ndio una uchungu na mwanao lakin unamuhurumia mtu ambae hajihurumii zaidi anasema anadhalilishwa apo unapoteza mda

    • @omanoman2044
      @omanoman2044 5 หลายเดือนก่อน

      Itakuw huyo salim hajitambui

  • @YahayaKiobya
    @YahayaKiobya หลายเดือนก่อน

    Waarabu sio bin Adam 🤔🤔🤔

  • @chandeyusufu9570
    @chandeyusufu9570 5 หลายเดือนก่อน

    Omani hakuna matatizo kama ya. Iraq Omani shwari

  • @MerryRenatus-ck4lz
    @MerryRenatus-ck4lz 5 หลายเดือนก่อน

    Huyu salma anataka kumuua baba yake kwa presha😢

  • @morjanoman5181
    @morjanoman5181 5 หลายเดือนก่อน

    Nchi za kiarabu zote ukivunja mkataba unalipagharama pole Baba mungu ataleta kheri

    • @OfficialA83640
      @OfficialA83640 5 หลายเดือนก่อน

      Oman kuna unafuu Alhamdulillah

  • @JamilaMohammed-n8n
    @JamilaMohammed-n8n 5 หลายเดือนก่อน +3

    huyo Salima kwaushauri wangu angerudi kwanza ili baba yake akishamuona atapata baraka za mzazi haru ajipange upya

  • @Mainda-m2c
    @Mainda-m2c 5 หลายเดือนก่อน

    Mbona kazi zipo jamani,njoeni omani wapenzi ubarozi upo ,nendeni Emirates kazi zipo ubarozi upoo. Mliopo nyumbani ambao mnania ya kutaka kuja huku basi angalieni nchi mnazotaka kwenda ziwe na barozi

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 5 หลายเดือนก่อน

    Wanawake ifike mda mjitambue unazaa tuy na wanaume waso jitambuw mnawapa wazazi mtihan kam huu

  • @rukiyyarukiyya6317
    @rukiyyarukiyya6317 5 หลายเดือนก่อน +1

    Salma babayako anakupambani msikilize huwezikupata kaz haliyakua babayako anasikitika rudi halafu utapatakaz nchizingine

  • @TatoOman-s5t
    @TatoOman-s5t 5 หลายเดือนก่อน

    😂😂Yeye asitake kujua picha mbay Au laa tunacho taka arud kwa uwezo wa allah

  • @mpefu_4936
    @mpefu_4936 5 หลายเดือนก่อน

    Huyu Mzee jamani kutunza watoto na uchumi alio nao anateseka

  • @AishaJanuary
    @AishaJanuary 5 หลายเดือนก่อน

    Ila ninachoona kila nchi kuna shida zao mm nilikaa Iraq miaka 3 Nashukuru Mungu nilipata watu wazuri sana mpaka sasa napatamani walah niliishi kama mtoto wao.

    • @MerryRenatus-ck4lz
      @MerryRenatus-ck4lz 5 หลายเดือนก่อน

      Hata Oman kuna wengine wanalia saivi

  • @vero57
    @vero57 5 หลายเดือนก่อน +1

    Kwanini Tanzania munaruhusu wanaichi kwenda Iraq?????? Wao wenyewe wana shidaa mpaka basii!!! Serikali ya hapa itakua inapewa hongo ndiyo maana wanaruhusu yote hayoooo!!

  • @alhamdullilla5108
    @alhamdullilla5108 5 หลายเดือนก่อน

    Bibi koma kutaja oman oman ni kuzuri saaaana tena wana waoenda wa Tanzania nani atakusikiya ww mjaamba mavi ww mtangazajii😢😢😢😢

    • @ashazuber6548
      @ashazuber6548 5 หลายเดือนก่อน

      Ni mdogo wangu hajadanganya huyo kesha fanya oman miaka mitatu kaenda dubai kakaa miaka miwili ndo akaunganishwa na mtu kwenda huko iraq na mm dada ake nipo oman

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 5 หลายเดือนก่อน +1

    Unakuja oman unaenda dubai una rud ten unaenda iraqi kam sii kuhaha ni nin mie nilikuja 2016 kuja oman nasai bado nipo nimejega kijijin nimejega dar ww ni kuhaha ulihaha hukuw unataka maisha ni kuhanfaika polen mnao haha na miji ya watuy ujinfa mtup

    • @TatoOman-s5t
      @TatoOman-s5t 5 หลายเดือนก่อน

      Huna kwenu ano haha nani kama sio ww ulo komaa kweny mji wawatu

  • @YahayaKiobya
    @YahayaKiobya หลายเดือนก่อน

    Hii ni kweli au drama ka ni kweli serikali yetu Iko kimyaaa kweli 🤔

  • @AliAli-m5k9l
    @AliAli-m5k9l 5 หลายเดือนก่อน +1

    Na iyo dada muhongo we uho mkorogo kazi iyo kwio

    • @ashazuber6548
      @ashazuber6548 5 หลายเดือนก่อน

      Ni mdogo wangu sio muongo kaongea ukweli

  • @chantalolumba1873
    @chantalolumba1873 5 หลายเดือนก่อน

    Da zari siku nyingi

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 5 หลายเดือนก่อน

    Wallah huyu mzee angekuw kam wazazi wengine watuy wasingeteswa NCHI ZINGINE HAKUKAA KIMYA KUHUSU MTT WAKE

  • @JamilaMohammed-n8n
    @JamilaMohammed-n8n 5 หลายเดือนก่อน +2

    Assalamu Allaaeykumu dadazari hujambo

  • @Adelina.Kagina
    @Adelina.Kagina 5 หลายเดือนก่อน

    Jamani namshukuru Mungu nipo nafanya Kazi za ndani Italia ninalipwa milioni mbili na laki tisa.yani Maisha mazurii kama Nipo Tz.

    • @anastaziamathias8861
      @anastaziamathias8861 5 หลายเดือนก่อน

      Sasa million mbili na laki Tisa unaishije? Maana ghalama za maisha Italy NI juu Sana yaani million2? Au unakula na kulala hapohapo?

    • @paulabelleghe451
      @paulabelleghe451 4 วันที่ผ่านมา

      ulipatajepataje naomba no yako

  • @zuenashemdoe6804
    @zuenashemdoe6804 5 หลายเดือนก่อน

    Kwenye Hilo jumba Unaweza Kukaa Hata Mwaka

  • @Abdullah-c9e
    @Abdullah-c9e 5 หลายเดือนก่อน

    Japan nitafuten mm ninamengi sana san

  • @Husnasalim-f2g
    @Husnasalim-f2g 5 หลายเดือนก่อน +1

    Nimefanya kazi Oman na Dubai huy anasem Oman wako vizur kwangu kulikuwa majuto kikubwa kuombeana 2 kila taifa linawema na wabaya rafik yangu yup uko Iraq mwaka wa 6 sas alianza Oman kukamshinda kwaiyo kila nchi inamitihan yake Tz hakuna wanaowatesa wafanyakaz jana 2 nimeon video inasambaa Tikitok boss anamzalilisha bint na ni Tanzania eti uchawi basi na ww mchawi ulijuaje angeeni ukwel sio mengin iv mengine ivi

  • @ZaidSeifSuleiman
    @ZaidSeifSuleiman 5 หลายเดือนก่อน

    Nyumba za kukaa hata miaka mili hutokezea sio kila nyumba miezi mitatu ipo mwaka miaka miwili hoja agreement

  • @vero57
    @vero57 5 หลายเดือนก่อน

    Warda anaendeleaje, dada zai???

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 5 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂Nakutupa tupa tishu hovyo hovyo wadshenzi Sana watt wao hawajuwi kila siku ni watt

  • @mpefu_4936
    @mpefu_4936 5 หลายเดือนก่อน

    Huyu dada ni mswahili mvivu tu anapoenda kuzurula

  • @musnamohamed4199
    @musnamohamed4199 5 หลายเดือนก่อน +3

    Jamani makadama wa Iraq mpo kama mpo tujuane weka laiki

    • @ashurasaidy6568
      @ashurasaidy6568 5 หลายเดือนก่อน

      Tupo sana

    • @zaramuneer3257
      @zaramuneer3257 5 หลายเดือนก่อน

      Weka group bas

    • @musnamohamed4199
      @musnamohamed4199 5 หลายเดือนก่อน

      Mimi niko Iraq nimesha maliza mwaka bado mwaka mmoja niludi Tanzania hiii sitoli imenisikitisha sana sijajua kama kuna watu wanapitia mateso makubwa kiasi hiki

    • @zaramuneer3257
      @zaramuneer3257 5 หลายเดือนก่อน

      @@musnamohamed4199 Ebu nipee you’re contact

    • @mirnababy5012
      @mirnababy5012 5 หลายเดือนก่อน

      Nipoooii

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 5 หลายเดือนก่อน

    😢

  • @bas2823
    @bas2823 5 หลายเดือนก่อน

    HAWA WAIRAKI NI KAMA WAMAU MAU WATU MAKHABBITHI BAADHI YAO! SIO WATU WAZURI"!😢! KWANZA KUPELEKWA HUKO IRAGI WAMEWAPELEKA SIO KISHARIYA HATA KIDOGO! NA VIPI SERIKALI TMYA TANZANIYA INANYAMA KIMYA KUHUSU RAIYA ZAO!? KUTESA KAMA HIVYO!???😢! TANZANIYA BI SERIKALI KAMILI INA POWERS BA UWEZO KUWATETEA RAIYA ZAO" SIO KUKAA KIMYA TUU😢!! MHHHUUUHHH😢!

  • @morjanoman5181
    @morjanoman5181 5 หลายเดือนก่อน

    Mimi. Nimewekeza mifugo nikitoka Oman kwahuu situmwi tena nimeshakua mjasiliamali

  • @SofiaSofia-qh9wh
    @SofiaSofia-qh9wh 5 หลายเดือนก่อน

    Iyo Iraq Oman unapewa kabla ya safari

  • @tahirnephessalum3678
    @tahirnephessalum3678 5 หลายเดือนก่อน +4

    huyo nasra anaonekana malaya tu wew ushindwe oman, ushindwe dubai, ushindwe na iraq... wew hizo kaz huziwez usisingizie agent

    • @Oppo-t3s2x
      @Oppo-t3s2x 5 หลายเดือนก่อน +1

      Umeongea point sana habibty watu kama wananijiwa Ni wavivu jaman wasije kufanya kazi nchi za nje matokeo yake ndo haya mtu hujaja kuenjoy huku umekuja kufanya kazi ili ulipwe hakuna kazi za raha ndugu zangu niwambie tu ukweli nina mengi yakuongea lakin naona muda hautoshi😅

    • @AholeLifilima
      @AholeLifilima 5 หลายเดือนก่อน

      Umejua aje malaya au na ww malaya...watu wanateseka we unaongea pumba

    • @mirnababy5012
      @mirnababy5012 5 หลายเดือนก่อน

      Kwakweli

    • @MerryRenatus-ck4lz
      @MerryRenatus-ck4lz 5 หลายเดือนก่อน

      ​@@Oppo-t3s2xtumegongana comment😂

    • @MerryRenatus-ck4lz
      @MerryRenatus-ck4lz 5 หลายเดือนก่อน

      ​@@Oppo-t3s2xumeniwakilisha ndugu

  • @Oppo-t3s2x
    @Oppo-t3s2x 5 หลายเดือนก่อน +1

    Haijatokea mtu kukaa miaka miwili bila kwenda kazin dada umezidi uongo sana wewe umeongea vitu vingi vya uongo muogope mungu wako

    • @zaytunhijja6771
      @zaytunhijja6771 5 หลายเดือนก่อน +1

      Nyie ndio wale skio lakufa

    • @ashazuber6548
      @ashazuber6548 5 หลายเดือนก่อน

      Nasra sio muongo jaman hiv mnajua alicho pitia yaan Nasra huo sio mwili wake tena sasa hiv ndo kaaza kupendeza alivyo rud nyumban kila siku alikuwa analia dada nitafanyaje mm ili nirud nyumban acha kabisa yaan

    • @BelindaMosha-vs3pc
      @BelindaMosha-vs3pc 5 หลายเดือนก่อน

      Washa kutengeneza ww ndio maana unakuwa mbishi sana

    • @fathiyahmuzney7367
      @fathiyahmuzney7367 5 หลายเดือนก่อน

      ​@@BelindaMosha-vs3pc😂😂😂😂😂

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 5 หลายเดือนก่อน

    Kwani selikali hakuna ya Tz wakamkamata huyo Ajenti. Mbonamambomadogotu hayo polic wakiamua inawezekana kurudi. Alimpelekaje mpakaashindwe kumrudisha kamatenihiloajenti moifunge

  • @alhamdullilla5108
    @alhamdullilla5108 5 หลายเดือนก่อน +1

    Niye uyu muschana haweze kaxi alikuenda kwa nn bona munasumbuwa watu iraq kuna wa Tanzania wengi tu hamna shidaa toka uko mpumbavu mtangazajiii ww koma kutaja oman ww syo oman mpumbavu ww 😢😢😢😢

    • @ashazuber6548
      @ashazuber6548 5 หลายเดือนก่อน

      Oman kafanya miaka miwili muache kumuhukumu mdogo wangu changamoto alizo pitia sio kukoment upuuzi

  • @lilybarongo8119
    @lilybarongo8119 5 หลายเดือนก่อน

    Vijana kuna kitu cha kujifunza

  • @kLaknFXIOLI73acvSSWurw
    @kLaknFXIOLI73acvSSWurw 5 หลายเดือนก่อน

    YANI INA MAANA IMMIGRATION HAWAWEZI KUMTAFUTA VANESSA MBISE. NA KAENDA NCHI ZA NJE KUPITIA AIRPORT ??? CKU ZINAVYOZIDI KWENDA IMANI NA VYOMBO INAPUNGUA.

  • @vickytorry100
    @vickytorry100 5 หลายเดือนก่อน +1

    Kumbe urabuni ni utumwa tu! OMG

  • @FatmaHamad-g6s
    @FatmaHamad-g6s 5 หลายเดือนก่อน +1

    Huyo dada hataweza fanikiwa baba Hana raha razi za mzazi ni dawa

  • @ZenaZena-vx2ee
    @ZenaZena-vx2ee 5 หลายเดือนก่อน +1

    Maisha magum

  • @AliAli-m5k9l
    @AliAli-m5k9l 5 หลายเดือนก่อน +1

    Sarima yuko salama ondoa ofu bwana baba salma yuko salama usiwaze ata mie nipo uku mwaka wa tano changa moto kawaida uku salama amani ipo

    • @AnitaMatiko
      @AnitaMatiko 5 หลายเดือนก่อน

      Acha ujinga wewe salma umemjuwa juzi TU unajifanyaunamjuwa naumeaema una mwaka Wa Tano akili huna mbwa wewe!! Salma katishiwa na pia Kuna dada yupo hapo anatombwa na wakina Mohamed inawezeka a ikawa ni wewe mamayeeeee unauchungu sana kuliko baba ake umeanza wewe matraaako Yako wewe mfyuuuu mwache mwenzio aende kwao akaangalie upepo mwengine huko kumesha mkataaa kwanza kazi za huku Kwa mtu mwenye malengo hawezi kufanikiwa sis tupo huku hutudaganyi kitu mjaa raana wewe

  • @Rose-ue2ho
    @Rose-ue2ho 5 หลายเดือนก่อน +1

    Vipi waarabu ni wale wale na hamna mwarabu alie staarabika na ww unasema waarabu wa Oman wazuri hawana shida🤔🤭

    • @sharifamahamudu182
      @sharifamahamudu182 5 หลายเดือนก่อน

      Kabisa mwarabu mwarabu tu akuna Nzuri niww tu mungu alivyokupangia

    • @jasminmohagthari3730
      @jasminmohagthari3730 5 หลายเดือนก่อน +1

      Raha ya maboss wa oman ata uchambane nao vipi mtanuniana mwsho wa mwez watakupa mshahara wako wala awana mda wakukuludisha kokote😅

    • @sophsoph4740
      @sophsoph4740 5 หลายเดือนก่อน

      Kbs yan ​@@jasminmohagthari3730