Walimwengu jamani duuuh.! Kweli hakuna mtawala mzuri ndani ya utawali. Alitukanwa alibezwa wakati wa utawala wake. Sasa kastaafu mwajifanya mwampenda na kumpa sifa. UNAFIKI HUO NA NI DHAMBI KUBWA
Rais wa watu Manshaallah. Allaah akurehem baba. Ila hakika hautosahaulika milele. Mana kati ya Marais ambao wanaopenda ustaarabu kwa wananchi wake Jakaya namba moja. Rait ingewezekana urudi tena hata madalaka. Inshaallah akupe uhai mrefu..
Angalieni tafauti ya makufuli na huyu makufuli anauliza matatizo ya watu kila anapokwenda ni kweli Rais wa wananchi na watu wanyonge jamani Angalieni wenyewe
Mzee ludi madalakan eeh Mungu tazama vilio vyetu Bora ww tunakumbuka utawala wako ujawahi kutokea cjawah kuckia mtu akikubeza lkn hao wengine wanajijali wao Mungu toa hukumu ya Allah yah Karim
Nakumbuka katka utawala wake tulimtunga jina la big dady na alipokuja Zanzibar kufungua Ofis ya Mkuu wa mkoa na kuweka jiwe la msing shulen kwetu tulimpokea kwa upendo wa hali ya juu na zawad tulimpatia mis you baba
Nureen Ibrahim tuna omba mkuu wa Mkoa Mjini aje kutembelea Mkunazini Kwa lukman restaurant Na mara wote watu wana weka gari I mean parking bila ya pango.hamna utaratibu mkunazini imekua ofiyo you need to see utali wengi Na wana ona uchafu watu wana park gari kama wanao taka wenyewe
Rais alietuacha tukiwa tunampenda tuna muhitaji tuna mkumbuka Sana ingekua sheria ya kutawala mpaka mwisho ningetamani aendelee kuwepo madarakani Mola akupe maisha mema yenye afya Tele Mhe. KIKWETE
Nawapenda sana Rais mstaafu Kikwete na mama. Mungu awape maisha marefu yenye furaha na amani.
Wakati wa Jakaya maisha yalikuwa mazuri kusema ukweli kumuogopa mungu.Kikwete mungu akulinde sana. Tunakupenda na kukumbuka sana❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉❤🙏🙏👍👍😢
Gonga like Kama umemsikia Mh kikwete akipiga mluzi
Kama umemuona babu akisalimia kwa goti la kisukuma gonga like twende sawa.
yaniii
Walimwengu jamani duuuh.! Kweli hakuna mtawala mzuri ndani ya utawali. Alitukanwa alibezwa wakati wa utawala wake. Sasa kastaafu mwajifanya mwampenda na kumpa sifa. UNAFIKI HUO NA NI DHAMBI KUBWA
Daah nimeipenda sana..jk kila la kher mungu akupe uhai mrefu sana...
Huyu ndo alikua raic wawanyonge salute kwake daima tutamkumbuka
Salute mjomba
Kweli kabisa hata jamaa muuza samaki Leo kafurahi..,
mpaka machozi yamenitoka hongera kwake jakaya nawish ningekuwepo
Ungekuepo wap
Mzee wangu bila wew nisingetoboa chuo kikuuu😘😘
Dah nakumbuka wakat nasoma secondary Nina elfu30 mfukon saiv sisomi ila Nina buku tu umegundua nn apo
Ww ni mjinga
Mussa Abdiel 😀😀😀
😂😂😂😂😂😂😂😂
Raisi mpenda laia ndiohuyukubali ukatae big up kikwete na mama Salina .
Uwe na miaka mingi
Itachukua mda sana kuongozwa na mtu kama ww Tz respect nyingi kwako u are blessed
Huszar B kaongoze wewe basi malaika ilì muda uwe mfupi ngedele mkubwa
Mashaallah dady Mungu azidi kukupa moyo huo na utu wako udumu milele
Rais wa watu Manshaallah.
Allaah akurehem baba.
Ila hakika hautosahaulika milele.
Mana kati ya Marais ambao wanaopenda ustaarabu kwa wananchi wake Jakaya namba moja.
Rait ingewezekana urudi tena hata madalaka.
Inshaallah akupe uhai mrefu..
kweli .mungu amjalie aishi maisha marefu
Naona leo ni siku nzuri ofisini kwa muuza genge..Angalia bana isije ikawa 'chuma ulete' ...;-)
Johnnie Nyoni 😂😂😂hajawahi uza kM vile
Imani za kimasikini izo. We mwengine wasema ajawahi km hao. Hao wote kachukua na wengine wamebaki. Hata acngepta Kikwete angeuza tu ndio maana kaweka
Johnnie Nyoni Ww ndo chuma ulete
Sifa moja ya kiongozi mzuri maisha hayawi taiti kipindi chake huyu mzee maisha yalikuwa mazuri
Mungu akubariki Asante Kwa uongozi wako
I miss u dady....nimeangalia had machoz yanataka kudondoka
So nice JK.
hana ulinzi mkubwa sana yaan kawaida tu
Kwa sababu alikua haingilii maslai na wizi wa matajiri
@@abednego3876 hahahahahahahahahahaaaaa
tunakupenda sana baba natunakukumbuka, kama unakubaliana Na mm gonga like
Mzee alitujali sana akiwa waziri wa fedha na akiwa Rais wa jamhuri ya mungano,cjitambulishi.
Tz kiukwel ipo vizuri maisha marefu tz East Africa
Mama salima mzuri hongera my president tunakumis ulichagua
yes! indeed
This video makes me smile 😊
tumekumis baaabaaa... kikwete daaaah...
nashukuru sana katika utawala wako nilibahatika Kuwa miongoni mwa washereheshaji, jimboni mwetu, Mr jk
Huyu mzee anaheshimu sana utu wa watu pia Mpenda democracy
Sssa huyu ndiye ndiye raisi wawanyonge
kikwete alikua mtoto wakita wallah mngu amjalie kweli kwel baba mwenyewe huruma penda sana wewe
Yes show love Mr president even to low social status people! Very nice and human.I like that
Hauwezi kuufahamu uzuri wa neema ila mpaka ukuondoke.mh kikwete tutakukumbuka daima kwa mazuri yko.
Kama umeona mfuko wa Rambo gonga like yak hap
Haya baba tunakumbukia bata kipindi chako saivi tunaziona kwa macho 😂😂😂😂
Safi sana...
Tuwe huru namna hii...
Mi napenda sana
Tuseme ukwl mh kikwete anajua kuoshi na watu ana kipaji hyu mzee.👏👏namkubali
Nampenda sana Rais wetu
Wahida Ali WO
Wow nice president I like it
Yan huyu akigombea Tena uraisi anapita tunamkubali sana
Simple kabisa hakuna ulinzi mkubwa dah miss u my president
I miss you my dady
Hadi raha
Huyu ndyo rais wa wanyonge ongera sannaa jakaya mungu skubaliki
Love them❤️🙏
Kwakweli mtandao inatukumbusha mbalisana na ainayaviongozi tuliyokuwanao.
Awsom prez
That's good, just like Obama, am so impressed
Tanzania tumepataviongozi wazalendo wachahe ndo vyura Mungu awape maishamarefu
wenyewe wasitarabu sana
kikwete bhana anapenda sana samaki wa aina hiyo ng,ando
Hivi ni samaki? Nilidhani mabanzi
Angalieni tafauti ya makufuli na huyu makufuli anauliza matatizo ya watu kila anapokwenda ni kweli Rais wa wananchi na watu wanyonge jamani Angalieni wenyewe
Kila kitu ni enzi na enzi....
La Tanzanie est l un des pays le plus en paix
Upendo wa dhati kwa watu wote, ubarikiwe, mungu awe nawe daima babaa,
We love you papa
Hiyo Safi kua na mke sokoni
4:48 sio siri kikwete mhhh
Rais niliyeamini angenipa ajira...uwiii
Hapo wngekua walinzi wa mwenda zake washasukuma watu
Penda sana rais wangu jakaya mrisho kikwete umemuachia jemedar ngaz kwa hilo nashukuru sana by ibra da silva bunda boy
westkid TZ vizuri sana mstaafu wetu kwa kupita sokoni na kuwaungisha wafanya biashara mama salima j kikwete oyeeee?
Big up.
Yan uyu mzee namlaumu jambo moja tu. Kaondoka na ajira zake katuacha tunahangaika tu. Wee baba wewe daa acha tu
Ukihesabu pesa lazima upige na uluzi safi sana
Mzee anataka ng'onda mtu wa pwani safi sana
Mzee ludi madalakan eeh Mungu tazama vilio vyetu Bora ww tunakumbuka utawala wako ujawahi kutokea cjawah kuckia mtu akikubeza lkn hao wengine wanajijali wao Mungu toa hukumu ya Allah yah Karim
Nakumbuka katka utawala wake tulimtunga jina la big dady na alipokuja Zanzibar kufungua Ofis ya Mkuu wa mkoa na kuweka jiwe la msing shulen kwetu tulimpokea kwa upendo wa hali ya juu na zawad tulimpatia mis you baba
Du kumbe imeisha nimebaki tu naangalia cm huku machozi yakitaka kunitoka ,,, tutakukumbuka sana rais mpenda watu
daaah tunakukumbuka Allah akujalie kher in shaallah
Mariam unalia nn wakat bdo miaka kma 8 hiv....magu amalize madaraka🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mungu ibariki tanzania
Nimeipenda hii
Inapendeza Safi Sana kudumisha mila
Angekuja aunco magu hapo kwanza angemwambia muuzaji ampunguzie bei arafu angemwambia auripi kodi
KINGS FAMILY wangebishana kupunguziana mpaka kesho
@@godrickcharlz9271 yaan muuzaj angepunguza kwa kuogopa hao askar tu tena shingo upande🤣🤣🤣🤣🤣😎
Weee usimtajee yule babu yako ni hatar🕵️♀️
😂😂😂
Maisha mema baba
Tutakukumba milele na milele Baba
Hanaga makuu...bado tunampenda ...hii picha inaonesha ni mfano halisi wa Amani ktk nchi yetu...
Mungu azidi kuwalinda.
mashaallah nimeipenda hiyo
A President of the people
Nureen Ibrahim tuna omba mkuu wa Mkoa Mjini aje kutembelea Mkunazini Kwa lukman restaurant Na mara wote watu wana weka gari I mean parking bila ya pango.hamna utaratibu mkunazini imekua ofiyo you need to see utali wengi Na wana ona uchafu watu wana park gari kama wanao taka wenyewe
Jamani Hakika Tanzania imebarikiwa kwa kuwa na viongozi wenye kuwapenda wananchi wao cheki huo ukarimu wa Raisi wetu
Sema huyu mzee miyeyusho sana anagonga na miluzi kabisa 😂😂
ur the good President
The best president please come back
Rais alietuacha tukiwa tunampenda tuna muhitaji tuna mkumbuka Sana ingekua sheria ya kutawala mpaka mwisho ningetamani aendelee kuwepo madarakani Mola akupe maisha mema yenye afya Tele Mhe. KIKWETE
Kikweteee😍😍😂
Tanzania raha sana tuipende nchi yetu
SAFI sana
waooooooooooh unatish mzeeee big uo
tunakukumbuka sana mh kama ingewezekana ungeendelea tu kutuongoza sie wanyonge, bado tunakupenda sana mh
Very nice People's President
Ni hapo tu sijaona sehemu nyingine, JPM kiboko yao
Nakubar Sana
Enzi baada ya huyu hapo ungeona kila aina ya ulinzi,mabunduki,makamanda,bastola nk
dah mungu azid kumuweka huyu mzee kipenzi cha watu
Mzee WA mambo safi 😆😆😆😆 may. U leave long Mr Jakaya
.
kikwete alikuwa na huruma sana kwa watanzania, na hakutumia nguvu Bali alitumia busara na lugha nyenyekevu kwa watanzania
Mungu ibariki Tanzania
man of the people. Mtu wa watu
kwahakika viva rais we2
Our president!
waoo mm nampenda sana bi salma anavyojistri yani hanagashida na mtu wala hanakujisikia kama wake wengine wa wakubwaa penda sana wajina wanguu mwaaaaa
Hawa wanapendana sana na mkewe!!!
Kama unaelewa magu.ni raisi wa wanyonge gonga like twende sawa
@@robertabel6998 ❤️❤️hili sili muuwa baba wawatu 😏
Rais wetu na mama Salma bado mnavutia sn