Lait kama Ungali jua mwivi Atakuja lini Nyumbani Mwako Ungali kesha ili kumkabili!! Lakini Hujui!! Nashauri kama Macho ndo Yanaona Huko!! Basi Yamepofuka kasa. Basi kayawekeni Yabandia.
HATA NDIO MAKOSA MAKUBWA TUNAYOMKOSEA MUNGU WATANZANIA .MAMLAKA HAIWEKWI NA WANADAMU. BALI MAMLAKA HUTOKA KWA MUNGU MUNATUPA KAZI KUBWA SANA YA KUWAOMBEA REHEMA KWA MUNGU KWA MAKOSA YENU YA KUMWINGILIA MUNGU KAZI YAKE YA KUWEKA MAMLAKA. SAFARI HII MTAYANYWA WENYEWE HATUTAOMBA REHEMA KWAAJILI YENU
Akuna Hata Mmoja Apo Mwenye Sifa Ya Kupewa Kula Zaidi Ya Mama Samia Uyo Uyo Dereva Wetu Sema2 Awe Mkali Wa Kukemea Mafisadi Sema Kiti Cha Uraisi Wengi Wanakitaka Bila Kujua Kama Uraisi Nijambo Gumu Sana Uzarendo Muhimu
Bro ondoa nape makamaba simbachawene tulia mwigulu hapo mwenye sifa za kuwa rais wetu ni Doto biteko na mpina tu wengine ni makonda yani kama January na nape vijana wa hovyo sana hao!
Kwa maisha ya sasa na uongozi huu wamateso kwa wananchi mpaka hatua ya kuuza bandari zetu na nchi kwa ujumla bado mnawataja hao watu? Hapo ni 2 au 1 tu anaweza lakini nao wamechafuka kwa kuwa kwenye uongozi wa walanguzi kwanza hata 2025 kama nchi zenye raia makini ccm wasingepewa uongozi kutokana na walichakifanya baada ya kifo cha JPM
Hakuna hata Mmoja kati ya hao Anayekubalika na Wananchi au kuongoza Nchi, Labda kidogo Biteko ila waliobaki ni Machokoraa wa Siasa tuu kutumikia Matumbo yao kupitia CCM. Mtu anayetazamiwa na Kidogo Wananchi wanaweza kimwelewa ni Majaliwa au Mpango na sio Hao watoto Machokoraa.
Unapotambulisha chombo chako cha habari ongeza " upendeleo na mapendekezo yangu" HAYO NI YAKO WEWE KAMA SI KUTUMWA. wengine waonavyo hapo ni nusu tu ya hao wawezao kufikiriwa.
Wote hao hakuna mwenye wito. Mbona mnajisumbua? Hamjui kuwa mamlaka hutoka juu. Nawaambieni ukweli mnapotaka kiongozi wa nchi tusali na kumwomba Mungu atupe kiongozi wa chaguo lake. Hiyo ndiye atakayefaa. Muda mnaotumia kuhisi na kujipanga huyu anafaa au yule anafaa hiyo nafasi itumike kumwomba Mwenyezi Mungu atualatie kiongozi wa chaguo lake. Sisi binadamu tunadanganyika kwa kumtazama mtu. Ukweli ni kwamba Mungu anajua Kila mtu na nia zake zote.
January Makamba, ndio walewale wapigaji wapesa zetu sisi wanyonge huyu hatufai kabisa kuwa Rais wa Nchi hii hana huruma nanchi hii na kwetu wanyonge hatufai kabisa.
Mmeanza kujipanga na kuwapanga ,kwani ni lazima Rais atoke CCM ? Wewe ni nani hata ukawapanga hao ? Wewe umeanza kuwewesekea kwenye kisemeo ili kuonyesha kuwa umebobea kuunda teknolojia ya uzushi 😢
Hapo mwenye akili nzuri ya kuwa Rais ni Biteko na Mpina tu lakini hayo mengine ni majizi, mafisadi wakubwa utakuwa kichaa kama unamchagua Makamba , Nape , Mwigulu hayo ni majizi tu
Sisi tunaomba nakuomboleza mbele za mungu mumba mbingu na nchi amvalishe viatu vya magu nyie mnaonesha sura za watu mnatushawishi atakuja km magu ambaye hakuna aliyejua kua atakua rais mungu tunayemuimba sikama mwanadamu yeye niwatofauti hana upendeleo ndie atatupa raisi
pole[pole
luhaga mpina
majaliwa kasim
January ndiyo hatakiwi kabisa aluyechukua pesa za wastaafu za nssf mwizi huyo na sasa kwenye umeme umemshinda unakatika hovyo hakuna anaemtaka
Labda mpina kidogo ila hao wengine Allah atunusuru nao maan Hilo nigenge
Atabakia kuota mchana
Hakuna mwenye sifa.Mungu atatujalia kwa wakati ukifika.
Kweli ya Mungu Akuna hata mmoja hapo
Mtanzania yoyote anawazia Mwigulu, nape, makamba kuwa raisi wa Tanzania 🇹🇿 ni hamnazo!
😂
Bora kimei ....
Awe kuja raisi...
@@aliyageorge6794katka hao wte rais Wang ni dotto biteko
Hapo ni MPINA BITEKO NA LABDA KWA MBAAAAAL TULIA ILA THE BEST NI MPINA
Hussein Bashe?
Mwaka 2030 ni mbali sana lolote laweza kutokea. Wako wapya wanakuja kwa kasi sana na uwezo mkubwa
Mwigulu hafai kbsaa
Yaan hata iyo nafas alonayo kwasas haimstahl kabisa
Makonda yupo wapi mbona hamujamuweka au wanamuogopa
Makonda ni Mzalendo wa kweli! Anatusalimia vizuri!
Hapo anayefaa ni mmoja tu
Bashungwa pekee yake,wengine nasikia ni wezi
KATI wasiyo faa ni January nimwizi na Mwiguru hawafai kabisa.
😂😂😂😂 aisee nimecheka kwa sauiti kubwa sana
Mwiguru hata akinilipa mil 5 nimpigie kura simpi
Paul Makonda ✓
Mtu wa maana kabisa. I save the comment
Makondaa ni kamanda👍👍👍
Hapo mpaka moshi mweupe uwake kwani kuna mtu alitegemea Magufuli angekuwa Rais uongozi unapangwa na mungu tu
Wasijisumbue sana mamlaka hutoka kwa Mungu wote haohwana wito kama huo
Hapo namwona mmoja tu .kijana aliyebeba hofu ya Mungu.
Mwigilu hamna kitu
waziri mkuu sijamuona hapo Kama kweli tunampenda Sana nilishajaribu kuuliza kuhusu wazir kuwa raisi na kwa maoni nilioyapata atapita kwa kishindo
Kam tunatak rais kutok CCM bas hamn zaid ya majaliwa kasim majaliwa full stop
Mpina anafaa ila mwiguli January na na wengine wezi pia hakuna mzalendo zaidi ya Mpina
Mwigulu haafai ata kidogo
Tumchague mtu anaejua shida za wananchi Makonda anatufaa na Majaliwa (waziri mkuu)
Lait kama Ungali jua mwivi Atakuja lini Nyumbani Mwako Ungali kesha ili kumkabili!! Lakini Hujui!! Nashauri kama Macho ndo Yanaona Huko!! Basi Yamepofuka kasa. Basi kayawekeni Yabandia.
Tumpate kiongozi kama
Magufuli sio wale
Waliotimuliwa na magufuli
Hapo hakuna hata mmoja mwenye sifa za kuisaidia Tanzania
Hata anaeiongoza hovyo kbs Tena hata bure
Watanzania tumuombe MUNGU tu katika hili tusikurupuke atoke kwenye kinywa cha MUNGU
Mfumo wa serikali tatu . ZANZIBAR , Tanganyika, TANZANIA. Tukutane 2030.
Hapo hakuna wa kumpiku Paul Christian Makonda
Dr Biteko huyu anafaa hao wengine Tena Nape,Kipala na Mwigulu wataishia uwaziri tu mbwa zake
Makonda sijamuona,na Sabaya
Askofu gwajima yupo wapi
Gwajima....na.... paulo harafu
makonda pekee ake ndiye anaefaa ,ingawa hajatajwa kama anaewania nafasi hiyo.
3:26 umemsahau Waz
iri jafo yupo vizurii sana
MPINA ANAFAAA
❤uchambuzi wa kihuni huo hapo angalau yupo mmoja tu dr biteko wengine wote hawafai kabisa kabisa
HATA NDIO MAKOSA MAKUBWA TUNAYOMKOSEA MUNGU WATANZANIA .MAMLAKA HAIWEKWI NA WANADAMU. BALI MAMLAKA HUTOKA KWA MUNGU MUNATUPA KAZI KUBWA SANA YA KUWAOMBEA REHEMA KWA MUNGU KWA MAKOSA YENU YA KUMWINGILIA MUNGU KAZI YAKE YA KUWEKA MAMLAKA. SAFARI HII MTAYANYWA WENYEWE HATUTAOMBA REHEMA KWAAJILI YENU
Wahuni wapotelee mbali uongozi ni jambo.la ki Mungu
Hapa hakuna mzalendo hata mmoja wote majizi tupu. Hatuwezi fika hata kidogo.
Akuna Hata Mmoja Apo Mwenye Sifa Ya Kupewa Kula Zaidi Ya Mama Samia Uyo Uyo Dereva Wetu Sema2 Awe Mkali Wa Kukemea Mafisadi Sema Kiti Cha Uraisi Wengi Wanakitaka Bila Kujua Kama Uraisi Nijambo Gumu Sana Uzarendo Muhimu
Katika Hawa hayupo hata moja Ila ni makonda
Wako wengi mno wote wanafaa Ila Ongeza na yule Jamaa wa TRC Kadogosa, Prof Kabudi, RC wa Dar , Majaliwa, DR H Mwinyi
Bro ondoa nape makamaba simbachawene tulia mwigulu hapo mwenye sifa za kuwa rais wetu ni Doto biteko na mpina tu wengine ni makonda yani kama January na nape vijana wa hovyo sana hao!
Nikiwa raia. Mungu atupe yeyote hata pasipo kuwa kati ya hawa ila awe mtu wa watu kama alivyotokea Magu.
✔️
Acheni unafiki labda alikua mtu wako
Mungu atuongolee mtu wake mwenyewe
Wanaofaa urais 2025;
1. Mhe. Philip Mpango
2. Mhe. Polepole
3. Mhe. Biteko
4. Mhe. Makonda
Wazalendo wa kweli!
Hao wote unaowataja wanamuunga mkono Rais Samia Suluhu Hassan kugombea mwaka 2025. Tujadili kuhusu 2030.
Tulia, bashiru, biteko, makonda, majaliwa, pole pole, kwa nafasi hiyo ya rahisi wanafaa Sana,
Biteko anazo sifa Zote.Wengine hapo siwafamu vizuri
@@davidpallangyo114✔️
Wapi Makonda, Ndugai, , na MZEE wa sukuma ndani hao ndiyo wagombe nitapiga kura ya ccm
Machako tu abaki mama
Hii nchi imekuwa mali ya CCM wao ndio wapangane 2030 mambo yanaweza badilika watu wakapindua meza
Mungu keshachagua raisi 2030.
Makonda???😅😅😅
Kwa hapo labda Dotto kidogo, wengine ni changamoto
Mwigulu kwahayatunayoyaona kwake, hawezipata hiyonafasi hatakidogo.waTanzania machoyetu ya naona namasikio yetu nayo yanasikia vizuri sana. Mwigulu hatufai kabisaaaa
Bora dotto
Hakuna hata mmoja anayefaa hata kama mnatumwa kuwatangaza haya makapi. Anayefaa wanamjua watanzania. Acheni ubabaishaji
Akimaliza.mama.samia 2030.anaingia gwajima atajitokeza kama magu
Uongozi unapangwa na mungu tunaomba amani Tanzania
Hapo kwa mwigulu ni zero minus. Hafai hata kuwa diwani
Hahaaa udiwan Bali hata baloz wa nyumba 10 hafai
Hakuna hapo
Ni mmoja tu anatosha kati ya hao wote , ni Dotto Biteko
Mnyarwqnda hawezi
aliyekuwa anafaa kuwa Rais ni Majaliwa tu kwa kipindi hiki ni hilo swala la Katiba tu
8:07 mkitaka CCM iwake weka jafo au makonda
Nahisi Bashungwa ndio anamvuto na wasifu wa kuwa Rais
Mi namuona mmoja tu biteko basi kwa hapo lakini
Kasm majaliwa tunaomba awe raising was tanzania
Majaliwa apewe first priority
Haitakua ajabu kuona..wote hao hakuna atakayekua rais 2030. Time will tell.
Hapo mwenye uwezo ni Dr Tulia tu kama akiamua kuwa mzalendo waliyobaki hao hakuna muadilifu hapo hata aliyekuwa wa nishati hahaaa
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Kitila mkumbo hakuna kitu hapa
Hao wote x,Bali biteko tu anaweza na kufaa saana
Kwa maisha ya sasa na uongozi huu wamateso kwa wananchi mpaka hatua ya kuuza bandari zetu na nchi kwa ujumla bado mnawataja hao watu? Hapo ni 2 au 1 tu anaweza lakini nao wamechafuka kwa kuwa kwenye uongozi wa walanguzi kwanza hata 2025 kama nchi zenye raia makini ccm wasingepewa uongozi kutokana na walichakifanya baada ya kifo cha JPM
User Uongozi ni Karama na unatoka kwa mungu na kama utaupata kwa hila utakupa tabu sanaaaa
Hakuna hata Mmoja kati ya hao Anayekubalika na Wananchi au kuongoza Nchi, Labda kidogo Biteko ila waliobaki ni Machokoraa wa Siasa tuu kutumikia Matumbo yao kupitia CCM. Mtu anayetazamiwa na Kidogo Wananchi wanaweza kimwelewa ni Majaliwa au Mpango na sio Hao watoto Machokoraa.
Ni Dr Hussein Mwinyi,hao wengine mhuu😊😊
Unapotambulisha chombo chako cha habari ongeza " upendeleo na mapendekezo yangu" HAYO NI YAKO WEWE KAMA SI KUTUMWA.
wengine waonavyo hapo ni nusu tu ya hao wawezao kufikiriwa.
Yani Ccm kama hawataki chama kirudi madarakani basi wamsimamishe Mwigulu kama mgombea wao😂😂😂 hata kura 20 hazifiki😂😂
Kulia kwa tulia
Bado wao tena 2030?
Tunataka kujaribu na chama Kingine sasa labda tutakuwa na maisha afadhali kidogo 😢
Mwigulu hafai kabisa kuwa Rais wa Nchi hii kwani ni dikiteta hatufai kabisa.
Urais wa Yanga.
Acheni kampeni za kjinga acheni Muda ufike. Mungu ataamua.
Hapo sijaona kabisa jamaa yangu,bola samia aendelee.
Wote hao hakuna mwenye wito. Mbona mnajisumbua? Hamjui kuwa mamlaka hutoka juu. Nawaambieni ukweli mnapotaka kiongozi wa nchi tusali na kumwomba Mungu atupe kiongozi wa chaguo lake. Hiyo ndiye atakayefaa. Muda mnaotumia kuhisi na kujipanga huyu anafaa au yule anafaa hiyo nafasi itumike kumwomba Mwenyezi Mungu atualatie kiongozi wa chaguo lake. Sisi binadamu tunadanganyika kwa kumtazama mtu. Ukweli ni kwamba Mungu anajua Kila mtu na nia zake zote.
1.Philip Mpango
2.Hussein Mwinyi
Hawafai kbx
Hakuna kitu hapo, wrote ni majizi
Njama za makamo wa raisi kutaka kujiuzulu kumbe kuna watu wanautaka umakamo alafu wamuuwe samia ili wa weze kurithi kisheria uraisi
January Makamba, ndio walewale wapigaji wapesa zetu sisi wanyonge huyu hatufai kabisa kuwa Rais wa Nchi hii hana huruma nanchi hii na kwetu wanyonge hatufai kabisa.
Kama haujanitaja huu uchambuzi ni fake 😀😀
Mama samia aliingia kwa ajili ya Kstiba baada ya kifo cha Magufuli sasa 2025 ni lazima awe na wagombea wenza
Mwigulu sio mwanasiasa na hafai kua kiongozi hata kidogo chondechonde wtz
Namuona mmoja tu mh mwigulu nchemba mm namkubali sana,anajiamini anasauti, naanamini malengo yake
Mimi sie ndi brund rabda twende nae
Jaffo yuko vizuri sama
MAJALIWA PLEASE
😅😅😅Mwigulu si bora tumpe. Nchi darasa la saba
Mwigulu hafai kabisa
Biteko labla,wengine wote hapo fyuuuu!!!!
Polepole na majsliwa
Kwenye hiyo list ondoa January, Nape na Simbachawene.
Mmeanza kujipanga na kuwapanga ,kwani ni lazima Rais atoke CCM ? Wewe ni nani hata ukawapanga hao ? Wewe umeanza kuwewesekea kwenye kisemeo ili kuonyesha kuwa umebobea kuunda teknolojia ya uzushi 😢
Mnapoteza mda wenu
Hapo mwenye akili nzuri ya kuwa Rais ni Biteko na Mpina tu lakini hayo mengine ni majizi, mafisadi wakubwa utakuwa kichaa kama unamchagua Makamba , Nape , Mwigulu hayo ni majizi tu
Dr Mpango makamu wa Rais vp wadau?
Sisi tunaomba nakuomboleza mbele za mungu mumba mbingu na nchi amvalishe viatu vya magu nyie mnaonesha sura za watu mnatushawishi atakuja km magu ambaye hakuna aliyejua kua atakua rais mungu tunayemuimba sikama mwanadamu yeye niwatofauti hana upendeleo ndie atatupa raisi
Majaliwa ndo anafaa mwigulu nimwizi makamba hafai tulia hafai bashungwa daa
Dr Biteko upo sawa mh
☑️
Umepuyanga bro