Fahamu maisha binafsi ya Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 3 ต.ค. 2024
  • 'Maisha yangu binafsi kwasasa ni kama asilimia 15 , nyingine yote inabebwa na serikali’
    Katika sehemu ya mwisho ya mahojiano maalum na BBC Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameeleza upande wake wa Maisha binafsi na kiasi gani Maisha hayo yamebadilika tangu ashike madaraka.
    Video na Munira Hussein
    #bbcswahili #tanzania #raissamiasuluhuhassan #maisha

ความคิดเห็น • 213

  • @issaissa2373
    @issaissa2373 3 ปีที่แล้ว +12

    Salim Kikeke.. What a fantastic anchor, journalist, commentator, and social man. I can't see anyone taking BBC Swahili higher and cooler after your retirement. Fantastic guy👏👏👏👏

    • @TamuzaKale
      @TamuzaKale 3 ปีที่แล้ว

      Wenzako TZ tumeweka BIAS. Tunataka maswali yale ya kipinzani. Si maswali hayo soft. Tumetokwa na povu la hatari. Ajabu kabisa!

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 3 ปีที่แล้ว

      Hongera Journalist! Kazi nzuri, weledi mkubwa ! 👋👋👋

  • @mohamednagib2594
    @mohamednagib2594 2 ปีที่แล้ว +3

    Mimi ni Mkenya lakini nampa heshima sana Rais Samia. Jamani Tanzania imepata Rais ambae anajitahidi kwa kazi kuliko siasa. Yaani yeye kwake ni kazi tu kama marhemu Magufuli. Hongereni sana Tanzania 🇹🇿

    • @mohamednagib2594
      @mohamednagib2594 2 ปีที่แล้ว

      Alafu pia she wants to invest more heavily on building infrastructure that will allow easy and fast growth of industrialisation hence boosting up the economy....Mdogo wangu ameowa TZ na anaishi huko. Yeye husifia kuona kila kukicha ujenzi !ujenzi !ujenzi ! wa infrastructure. May God bless you and your family Mama Samia. So much love from Kenya to Tanzania. Pamoja

  • @PrincePaulIowa
    @PrincePaulIowa 3 ปีที่แล้ว +12

    Candid interview, she spoke eloquently and in depth of challenges of balancing public and private life! Hongera Rais wetu!

    • @dorahy1579
      @dorahy1579 3 ปีที่แล้ว +1

      Huna la kupongeza

    • @PrincePaulIowa
      @PrincePaulIowa 3 ปีที่แล้ว +1

      @@dorahy1579 Nampenda Raisi wangu sanaaaa!

    • @dorahy1579
      @dorahy1579 3 ปีที่แล้ว +1

      @@PrincePaulIowa pole zako. Mimi ninapenda Mungu peke yake, mimi mwenyewe na my family members. Wapiga porojo looo!!! Wasaliti loooo!!!!! Wanafiki!!!! Halafu kuna wengine wanapeana sumu ati kwa wengine loooo!!!! Nampenda Mungu wangu sana m

  • @mehboobkarmali5211
    @mehboobkarmali5211 3 ปีที่แล้ว +12

    Well done madam president. Keep it up

  • @joasitz9559
    @joasitz9559 3 ปีที่แล้ว +12

    Great interview, nabaki Africa, nabaki Tanzania

  • @amrimzee7492
    @amrimzee7492 2 ปีที่แล้ว +2

    Mungu akubariki Sana muheshimiwa Raisi kwa kulihudumia taifa letu kwa upendo usio na kifani 🤝🤝🙏

  • @azizbatlehotjr3171
    @azizbatlehotjr3171 3 ปีที่แล้ว +2

    Genious... i love ur Hustle My PrezDar

  • @jumarocky9544
    @jumarocky9544 3 ปีที่แล้ว +10

    Nakupenda sana RAIS wangu 🇹🇿

  • @elizabethkimbi3336
    @elizabethkimbi3336 3 ปีที่แล้ว +10

    Nikwambie kitu rais wangu ili ufanye kazi vizuri lazima lazima ufanye mazoezi pia na massage mara kwa mara uiweke kwenye ratiba yako tafadhali nakuomba tunakuhitaji tunakupenda

  • @denissmjinja523
    @denissmjinja523 3 ปีที่แล้ว +2

    Mama Samia we kazii isndlee 2ko pamoja kwa pamoja 2nalijenga Taifa letu ewe mwenyezi mungu utusaidie

  • @michaelbwoma2760
    @michaelbwoma2760 3 ปีที่แล้ว +4

    Napendezewa Sana Mheshimiwa Rais akijizungumzia ako so humble na Hana makuu kabisaa safii mama tusonge mbele na Kazi iendelee

  • @natafutapesa9678
    @natafutapesa9678 3 ปีที่แล้ว +10

    Mama nchi inapotea hii tozo zinatuumiza sana

    • @TamuzaKale
      @TamuzaKale 3 ปีที่แล้ว +2

      Nchi haipotezwi kwa tozo!

    • @smukelomkhize9775
      @smukelomkhize9775 3 ปีที่แล้ว

      @@TamuzaKale Asante sana Muddy

    • @dicksonkilupa6881
      @dicksonkilupa6881 3 ปีที่แล้ว

      @@TamuzaKale NCHI INAZAMA DIMBWINI KWA KUTOKUSIMAMIA KATIBA NA KUKANDAMIZA WANAOHOJI JUU YA MABADILIKO YA KATIBA HAPO TU HUTOPATA USINGIZI , MCHANA KAZINI NA USIKU UTAWANGA TU.

    • @gracejonh4022
      @gracejonh4022 2 ปีที่แล้ว

      Makato yatolewe

  • @mattyhappy1581
    @mattyhappy1581 2 ปีที่แล้ว +1

    Pole sana mama kwa kukosa muda Mungu akubariki kwa kujituma

  • @abdalaalmas2535
    @abdalaalmas2535 3 ปีที่แล้ว +3

    Nakupenda sana raisi wangu.UNA BUSARA SANA

  • @farajikazumari2693
    @farajikazumari2693 3 ปีที่แล้ว +12

    RIP magu😿😿

  • @dennisngonyani3464
    @dennisngonyani3464 2 ปีที่แล้ว +1

    God is with U...... Endelea kuchapa kazi

  • @jasirimjasirimedia7940
    @jasirimjasirimedia7940 2 ปีที่แล้ว +1

    Mungu akutunze raisi wangu bonge la interview

  • @khahkhas230
    @khahkhas230 3 ปีที่แล้ว +6

    Allah akupe afya Rais wetu mpenzi wetu

    • @dorahy1579
      @dorahy1579 3 ปีที่แล้ว

      Hahaha mnachekesha

    • @AzainTv
      @AzainTv 3 ปีที่แล้ว

      Aamin

    • @happinesszabron6811
      @happinesszabron6811 3 ปีที่แล้ว

      Jisemee nafsi yako km unampenda mwenyewe

  • @smukelomkhize9775
    @smukelomkhize9775 3 ปีที่แล้ว +3

    Tunakupenda sana Yaan Rais Wetu

  • @emanuelmlowe6854
    @emanuelmlowe6854 3 ปีที่แล้ว +2

    Mama tunateseka kodi Ziko juu Sana punguza ukali WA maisha

  • @enickosanga4921
    @enickosanga4921 3 ปีที่แล้ว +2

    Umelala magufuliiii jembeeee

  • @HRmanco-yd3lf
    @HRmanco-yd3lf 5 หลายเดือนก่อน

    Natamani wanawake wote wangeongea kama ww rais wetu pendwa mungu akupe umri mrefu 🙏🇹🇿

  • @frankmganda9585
    @frankmganda9585 3 ปีที่แล้ว +8

    Rais nitaasisi kubwa sana tumuombee

  • @melkizedekiwiliam5533
    @melkizedekiwiliam5533 3 ปีที่แล้ว +3

    du! Sentensi kali na nzur! Ngoja nimnukuu"JINSI UNAVYOPANDA YANAZID KUKUTOKA" hakika ni kweli mama.

  • @MohamedMohamed-ng2rm
    @MohamedMohamed-ng2rm 3 ปีที่แล้ว +8

    Saalim naamini uko na card ya uanachama ccm ukishastaafu job huko njoo uombe ridhaa ya chama uliongoze taifa kwa nafasi ya urais Tafadhali

  • @twahaally1969
    @twahaally1969 3 ปีที่แล้ว +19

    Wajua, Huyu mama, ana kitu HEKIMA NA BUSARA ZA PWANI.

    • @halimamasai2234
      @halimamasai2234 3 ปีที่แล้ว +4

      Upo sawa ndugu huyu mama maashaall amejaliwa hekima heshima busara yani kila kitu mungu ampe maish marefu na afya njema inshalaah

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 3 ปีที่แล้ว +2

      Rais wetu, Mama wa Taifa, nakupenda hadi basi... Mungu akubariki 🤲🏾💕🌹🇹🇿

    • @hadijamandanje6189
      @hadijamandanje6189 3 ปีที่แล้ว +2

      @@j.c.maxima816 da niljua peke yangu kumbe tuko wengi nampenda Sana huyu mama kwa mitazamo yake

    • @dennisngonyani3464
      @dennisngonyani3464 2 ปีที่แล้ว

      God is with U endelea na kazi

  • @zawadigerald7805
    @zawadigerald7805 6 หลายเดือนก่อน

    I LOVE U MAMAAAAAAA❤❤❤❤❤MWAAAA NAKUPENDA SAANA UMEBARIKIWA KULIKO WANAWAKE WOTE YOR ARE THE BEST

  • @BimkubwaJuma-ew5dg
    @BimkubwaJuma-ew5dg 22 วันที่ผ่านมา

    Mama nakupenda niko tayari kukusapoti juu ya mambo yote hayo naskitika sijabahatika kukuona

  • @shukransilungwe8802
    @shukransilungwe8802 3 ปีที่แล้ว

    Kila nikiona coment za watanzania, kiukweli natoka na machozi. Nawaonea huruma kweli, baba jpm ulisha tutelekeza baba hakika mungu atailipa sadaka yako. Lala baba ukuu wa mungu ni mkubwa

  • @adam-saffi211
    @adam-saffi211 2 ปีที่แล้ว

    What do you actually do apart from overseas tours?

  • @pendomarco8928
    @pendomarco8928 3 ปีที่แล้ว +2

    Magu sikuona interview yoyote na BBC kweli yule alikuwa Simba akiunguruma huwezi kumsogelea

  • @ototek8037
    @ototek8037 3 ปีที่แล้ว +3

    Nyie wote mashabiki wa corona sasa barakowazenu zikowapi? Nyie mnaaminiana ila sisi tuogopane au sio?

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 3 ปีที่แล้ว

      Don't worry, my friend! Wamezingatia umbali (social distance) !

    • @ototek8037
      @ototek8037 3 ปีที่แล้ว

      @@j.c.maxima816 distance inatoka wapi kama virus vimetoka China?

    • @gracejonh4022
      @gracejonh4022 2 ปีที่แล้ว

      🤣🤣🤣🤣🤣

  • @mathiassalumu5255
    @mathiassalumu5255 3 ปีที่แล้ว +3

    Malipo ni hapa hapa Tanzania 2 ipo ck

  • @marrymenas
    @marrymenas 3 ปีที่แล้ว +4

    Utapumzika saa ngapi Mama, kila kukicha ww ni safari nje za nchi. Tanzania utaitembelea lini? Kujua matatizo ya raia?!

    • @dadaz4653
      @dadaz4653 3 ปีที่แล้ว

      Kwakweli

    • @mohamedasaid7910
      @mohamedasaid7910 3 ปีที่แล้ว

      Hujaelewa.
      Safari za inje huleta biashara kubwa.Si mahindi yenda Kenya.
      Kutembea kila mahali Tz ni vizuri lakini silazima.Kuna Waziri Mkuu.Kuna Mawaziri.
      Muhimu Uchumi unaboreka,kuna amani,Serikali yatoa huduma?

    • @minskbelarus7255
      @minskbelarus7255 3 ปีที่แล้ว

      Huko unakoishi hakuna AFISA MTENDAJI ??? .Akianza kuitembelea TANZANIA yote; haimalizi na hamalizi matatizo YOTE hata kwa miaka 20

  • @musasabu6969
    @musasabu6969 3 ปีที่แล้ว +4

    Mwanangu hadi leo ananiulza et raisi bado ni john pombe nikmwambia alishafaliki anashangaaa xna

    • @minskbelarus7255
      @minskbelarus7255 3 ปีที่แล้ว

      Musa; mwambie mwanao kwamba hata wewe kuna siku UTAKUFA

    • @gracejonh4022
      @gracejonh4022 2 ปีที่แล้ว

      @@minskbelarus7255 na wewe utakufa vile vile

  • @gastorsirima5761
    @gastorsirima5761 3 ปีที่แล้ว +1

    Kunaswali natamani kuuliza bt naipenda familia yangu

    • @FadyFs
      @FadyFs 3 ปีที่แล้ว

      Sasa uliandika hapa ili iweje kama ukutaka kusema!

  • @omarykusah9719
    @omarykusah9719 3 ปีที่แล้ว

    Mungu ibarik Tz ya Aman nataman ciku moja tufikie mafanio makubw kazi endeleee tupige Kaz tutafk 2

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 2 ปีที่แล้ว +1

    Muda wa kumuhoji J.P.M atakujibu anakwenda kutembelea watz wanyonge wanaosumbuliwa na watumishi wa umma.utajihoji wewe mtangazaji na kumsemea utendaji wake kwa mtizamo wako.

  • @bakarinassoro2324
    @bakarinassoro2324 3 ปีที่แล้ว +10

    hakuna kama magufuri

  • @godfreymwamaso2424
    @godfreymwamaso2424 3 ปีที่แล้ว +3

    Watanzania tuombe Mungu hatuna Rais Mungu aisimamie nchi yetu tuvuke salama

    • @TamuzaKale
      @TamuzaKale 3 ปีที่แล้ว +3

      Hauna rais ni wewe. Watanzania wanaye rais!

    • @sadiqueibrahim5439
      @sadiqueibrahim5439 3 ปีที่แล้ว +1

      Weee Godfrey pumbu nini huyu ndo taidi wetu

    • @minskbelarus7255
      @minskbelarus7255 3 ปีที่แล้ว

      Si umfate TUNDU LISSU ??????

  • @paulosimpamba7587
    @paulosimpamba7587 3 ปีที่แล้ว

    Uyu siyo raisi watanzania kazi munao Zambia

  • @neemansasu9761
    @neemansasu9761 3 ปีที่แล้ว +3

    Safari za nje nyingi

  • @amosmahona433
    @amosmahona433 3 ปีที่แล้ว +3

    Naskiliza na kusoma koments TU Sina la ziada kwangu yote kwa yote nimeyapenda mahojiano haya.

  • @chazp6436
    @chazp6436 3 ปีที่แล้ว +2

    BBC unawasikiliza tozo husikilizi wananchi

  • @danielmashini9244
    @danielmashini9244 3 ปีที่แล้ว +1

    Samia muenz jpm kwa vitendo

  • @godfreymwamaso2424
    @godfreymwamaso2424 3 ปีที่แล้ว +2

    Kikeke Kama mwanahabari maswali gani unauliza ina maana wewe hujui changamoto za nchi yetu huna habari na yanayoendelea nchi mwetu Dah kweli mswahili ni shida

    • @TamuzaKale
      @TamuzaKale 3 ปีที่แล้ว +1

      Tafuta fulli. Aliuliza maswali unayoyataka!

  • @emanuelmlowe6854
    @emanuelmlowe6854 3 ปีที่แล้ว +1

    Kama jpm angekuwepo Marsha yangekuwaje Mazuri Sana Sasa Jovi kla kitu juu

  • @nisetameena9276
    @nisetameena9276 2 ปีที่แล้ว

    NAPIGA KWA MOTO WA ROHO MTAKATIFU KWA JINA LA YESU AMEN.

  • @alihijiiddi8977
    @alihijiiddi8977 2 ปีที่แล้ว

    HADITHI ZA PANGU PAKAVU NTILI MCHUZI USHETANI HAUWONGOZI NCHI UNAMKERA ALLAH SUBHANAWATAA ALLAH KUNFAYAKUN MWANAMKE HAONGOZI NCHI KIISILAMU NI MWANAMKE 👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹😇🇹🇿😇🇹🇿😇🇹🇿😇🇹🇿😇🇹🇿😇🇹🇿👿😇🇹🇿👿😇🇹🇿👿😇🌎🌎💪💪💪🕌🕌🕌🕌🕌🕌🕌🕌🕌🕌🕌🕌🌎❤️👀

  • @davallamchambe5275
    @davallamchambe5275 3 ปีที่แล้ว +2

    Ibada muhimu

  • @mwenetv7220
    @mwenetv7220 10 หลายเดือนก่อน

    Wewe ni mama wa nguvu tz mungu akupe maisha malefu tunakutegemea 25

  • @queenanna5692
    @queenanna5692 3 ปีที่แล้ว +1

    Magufuli hakuwa na muda wa kuongea Ujinga huu

  • @chazp6436
    @chazp6436 3 ปีที่แล้ว +2

    Sasa kutwa kudhurura watakuonaje hao wajukuu au watoto ??

    • @nusaybanjama1533
      @nusaybanjama1533 3 ปีที่แล้ว +1

      Acha ushamba rais lazima atoke nje ya nchi.
      Wewe kama.hukupata nafasi hata ya kutoka hapo ulipo unahasara kubwa na utakua na akili mgando

    • @gracejonh4022
      @gracejonh4022 2 ปีที่แล้ว

      🤣🤣🤣🤣🤣 mbona mdhululo

  • @sitellamatni6878
    @sitellamatni6878 3 ปีที่แล้ว +4

    Wewe mwanamke nimwenda zimu hatukupendi wajipendekeza tu

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 3 ปีที่แล้ว

      Hakika Mungu akuhurumie ww mwanamke Stella

    • @abdullahjuma9206
      @abdullahjuma9206 3 ปีที่แล้ว

      roho mbaya haijengi mwenzio kapewa urais na mungu kufa kwa chuki

    • @minskbelarus7255
      @minskbelarus7255 3 ปีที่แล้ว

      Hata wewe hatukupendi, na si ajabu wewe MGUMBA

  • @elvisoscar9912
    @elvisoscar9912 3 ปีที่แล้ว +2

    Rais wa nchi anazungumza na BBC

    • @kilimanjaro_media
      @kilimanjaro_media 3 ปีที่แล้ว +1

      Angalia interview ya mwisho ya Gadaff

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 3 ปีที่แล้ว

      Kuzungumza na BBC ni shida? Jiandae, next time, atazungumza na CNN etc... Hivi karibuni mtamuona Mama kwenye majukwaa ya UN na EU... Mtateseka sana na ujinga wenu:-)

    • @minskbelarus7255
      @minskbelarus7255 3 ปีที่แล้ว

      Wewe mbona jina lako " ELVIS" ni la mfagizi wa CHOO cha BBC

    • @elvisoscar9912
      @elvisoscar9912 3 ปีที่แล้ว

      @@minskbelarus7255 na ilo la misnk Ni la mdeki choo Cha soko mwananyamala

  • @yasinigmaskaniyasini5317
    @yasinigmaskaniyasini5317 3 ปีที่แล้ว

    Nani anae kumic

  • @crayboytz2736
    @crayboytz2736 3 ปีที่แล้ว

    Mama utakufa lin mama plz kufa tu watanzaniaa hatukupend

    • @gracejonh4022
      @gracejonh4022 2 ปีที่แล้ว

      🤣🤣🤣🤣😁😁😁😁😁😁

  • @ZINDUKAMUISILAMU30
    @ZINDUKAMUISILAMU30 3 ปีที่แล้ว +2

    Yn nikimuangalia huyu mama natoka machozi kwa kwel mn

  • @laurentraphael2697
    @laurentraphael2697 2 ปีที่แล้ว

    Siku hizi kumekuwa kidg mama yupo kwenye mualiko fulan ya jinsia fulan lkn jinsia nyingine ameitenga sijui inakuaje kama viongozi walio pita nao wangefanya hvy just balance gender

  • @ramsonyasonsio1326
    @ramsonyasonsio1326 3 ปีที่แล้ว +1

    munguanakuona ww mama

  • @hamoudsaid5582
    @hamoudsaid5582 3 ปีที่แล้ว +4

    Hovyoooooo

  • @davidwalalason7630
    @davidwalalason7630 3 ปีที่แล้ว +6

    Maisha ya uongozi magumu sana, ila Mungu akuongoze Mama Afrika

    • @dorahy1579
      @dorahy1579 3 ปีที่แล้ว

      She is not Mama Africa. Ni mama yenu nyie huko mliko.

  • @khatibmtawa9475
    @khatibmtawa9475 2 ปีที่แล้ว

    Jama kama tuta kwenda hivi hivi basi kuna hasara kubwa baada ya miaka 3 ijayo

  • @msomimosomy9812
    @msomimosomy9812 3 ปีที่แล้ว +1

    Hyo siyohabalikwasasa kwasasa wwnimzaziwataifalote NAC wanyumbani

  • @mussanganda505
    @mussanganda505 3 ปีที่แล้ว +3

    Msariti mkubwa,

  • @bolelambunda6554
    @bolelambunda6554 3 ปีที่แล้ว +4

    Magufuli RIP

  • @rosemayunga4021
    @rosemayunga4021 2 ปีที่แล้ว

    Mg.hapumuziki ajihidhulu akapumuzike na wajukuu tupate nafuuu ya bakuli

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 3 ปีที่แล้ว

    Upumzike huku umependa kutusaidia??

  • @patrikpatrik2916
    @patrikpatrik2916 2 ปีที่แล้ว

    Mwana nchi jenga nchi kula nchi acha nchi.

  • @emanuelmlowe6854
    @emanuelmlowe6854 3 ปีที่แล้ว

    Mama unasapotiwa Sana kuliko kutembelea miradi

  • @godfreycheison3045
    @godfreycheison3045 3 ปีที่แล้ว +1

    Muweke interview moja ambayo iko full

  • @linkreuben3108
    @linkreuben3108 3 ปีที่แล้ว +3

    ET WAMEKUBALI TOZO!! Tuamini hivyo au..?!

  • @NuriatyJeimali
    @NuriatyJeimali 7 หลายเดือนก่อน

    Mm.akupenda.bure.mavaziyako.tuu

  • @monicalushola443
    @monicalushola443 3 ปีที่แล้ว +2

    Et kila leo lenyewe ni kuongelea Matoto yake2 ss hayatuhusu

    • @abdullahjuma9206
      @abdullahjuma9206 3 ปีที่แล้ว

      mmh acha jazba

    • @happinesszabron6811
      @happinesszabron6811 3 ปีที่แล้ว

      😆😆😆😆😆😆 we anakujua hadi akuongelee?

    • @minskbelarus7255
      @minskbelarus7255 3 ปีที่แล้ว

      Unaonyesha USUKUMA wako

    • @gracejonh4022
      @gracejonh4022 2 ปีที่แล้ว

      @@minskbelarus7255 achana na wasukuma pita hivi kwan kaongea uongo rais wa nchi sisi familia yake aituhusu mfyuuuuu

  • @bolelambunda6554
    @bolelambunda6554 3 ปีที่แล้ว +1

    Nenda kenya

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 3 ปีที่แล้ว

      Fikiri kabla ya kuandika...

  • @samorasilayo8924
    @samorasilayo8924 3 ปีที่แล้ว +1

    hatukupendi kabisa watanzania tulilasimishwa na katiba

    • @ameedamilja7992
      @ameedamilja7992 3 ปีที่แล้ว

      Ndio maana huwezi kusema zi unasema si kwaroho mbaya. Huyu ndio rais mpaka 2030 ujipange

    • @minskbelarus7255
      @minskbelarus7255 3 ปีที่แล้ว

      @@ameedamilja7992 Afadhali UMUELIMISHE. Na hasemi UKWELI kwamba Mkewe hampendi na KAMKIMBIA

    • @gracejonh4022
      @gracejonh4022 2 ปีที่แล้ว

      Samora pamoja sn katiba imemuweka hapo sio sisi

  • @vumilialeonardi109
    @vumilialeonardi109 3 ปีที่แล้ว +1

    Jitaindi kutemberea wananchi kuriko safari zanje watanzania tuna shinda nyingi sana

    • @minskbelarus7255
      @minskbelarus7255 3 ปีที่แล้ว

      Hivi wewe ulitembelewa na HAYATI MAGUFULI ????

    • @gracejonh4022
      @gracejonh4022 2 ปีที่แล้ว

      @@minskbelarus7255 magufur aliipenda hii nchi na ndo maana ziara nyingi alifanya hapahapa alitutembelea kujua changamoto zetu

    • @minskbelarus7255
      @minskbelarus7255 2 ปีที่แล้ว

      @@gracejonh4022 unakumbukumbu nzuri ???? Uliwahi KUMUONA MAGUFULI mkoani MTWARA ???? Jaribu kuwa MKWELI

    • @gracejonh4022
      @gracejonh4022 2 ปีที่แล้ว

      @@minskbelarus7255 angefka tu kwan alikuwa amemaliza mda wake na alikuwa ni mtu mwenye mipango mizur nchi nzima

    • @minskbelarus7255
      @minskbelarus7255 2 ปีที่แล้ว

      @@gracejonh4022 kwa Taarifa yako wala kwenye KAMPENI hakufika.

  • @petersgodwin7200
    @petersgodwin7200 3 ปีที่แล้ว +1

    Salim wewe pumba maana umeenda kupata bahasha,mwandishi unaenda kupiga stori

  • @skypast2482
    @skypast2482 3 ปีที่แล้ว +3

    Mimi ninamtoto wangu ananuku maneno ya makufuli anasema Mimi menzenu chanjo hizifai mwanangu huyo

    • @abdullahjuma9206
      @abdullahjuma9206 3 ปีที่แล้ว

      hujalazimishwa hutaki unaacha

    • @minskbelarus7255
      @minskbelarus7255 3 ปีที่แล้ว

      CHANJO hutaki, ila Mambo fulani .....umo eeeeh

    • @gracejonh4022
      @gracejonh4022 2 ปีที่แล้ว

      Chanjo za nini corona tz aipo

  • @emanuelmlowe6854
    @emanuelmlowe6854 3 ปีที่แล้ว

    Mama ones miradi yakiuchumi ndani ya nchi

  • @Bruno-ed1ps
    @Bruno-ed1ps 3 ปีที่แล้ว +3

    Tozo zipunguzwe

    • @gracejonh4022
      @gracejonh4022 2 ปีที่แล้ว

      Zitolewe kwan mzee yeye alifanyaje maendeleo tuliyaona na makato ayakuwepo na nchi yet ni tajili

  • @nyamaigestephano8573
    @nyamaigestephano8573 3 ปีที่แล้ว

    je baba anakuwa wapi.mazoezi ya baba na mama

  • @consolatamlango8642
    @consolatamlango8642 3 ปีที่แล้ว +2

    umeruusu njanjo ili tufe

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 3 ปีที่แล้ว

      Amekuwa wa kwanza kuonyesha mfano wa kuchanjwa mbele ya Umma! Yy kama Mama wa watoto, Mke wa mtu, Bibi wa wajukuu, Rais wa Nchi na Amiri Jeshi wa majeshi yote ya Tanzania, unafikiri yy hayapendi maisha yake?

  • @mangumanjobola4444
    @mangumanjobola4444 3 ปีที่แล้ว

    Hii huo .ni

  • @emmanuelzao
    @emmanuelzao 3 ปีที่แล้ว +1

    😎

  • @fadhiliobety6648
    @fadhiliobety6648 2 ปีที่แล้ว

    Vizani

  • @adam-saffi211
    @adam-saffi211 2 ปีที่แล้ว

    Kula nchi mama

  • @twahasaidi7578
    @twahasaidi7578 2 ปีที่แล้ว +1

    Aliyataka yeye atajibeba

  • @moiben663
    @moiben663 3 ปีที่แล้ว

    Twahitaji mahojiano marefu

  • @deathrow8004
    @deathrow8004 3 ปีที่แล้ว +1

    Aaaaaaah aaaaaaah
    Ukakasi tu ..🤯🙄

  • @senolinaswai5593
    @senolinaswai5593 3 ปีที่แล้ว +1

    Mama hongera sana kwa utawala wako

    • @dorahy1579
      @dorahy1579 3 ปีที่แล้ว

      Kakufaoddha vipi? Wewe angalia maisha yako hawa n wakoraji ba wakora

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 3 ปีที่แล้ว

    haya mambo tunayata sio mambo magumu kama nchi nzima ni Ma engineer

  • @alimachiusaugustine1445
    @alimachiusaugustine1445 3 ปีที่แล้ว

    Mimi ninachokuombea ,ufuate nyayo za Magufuli

  • @captioncapition2574
    @captioncapition2574 3 ปีที่แล้ว

    Mh mmemuanza nahuyu mmemchimba baba wawatu mpaka kaondoka loo nanyie wazungu weusi mnamambo ilajibu umepata naona utapoa kidogo

  • @flolaluambano3215
    @flolaluambano3215 3 ปีที่แล้ว

    Nilichokupenda kuendeleza milad aliyoacha magu, kama lile daraj na lilr tren la umeme ila tu uyo kikwete anakuharibia mwiz huuyooooooooooolllll

  • @evancefreddy3775
    @evancefreddy3775 3 ปีที่แล้ว

    Achia madaraka upumzike maana ata ckuelew unafanya nn kuteua kla siku na msmbo ys chanjo amna kpya mpishe majaliwa n bora kuliko ww

  • @pendomarco8928
    @pendomarco8928 3 ปีที่แล้ว +1

    Mama safar zinakuchosha

  • @esthershirima1166
    @esthershirima1166 3 ปีที่แล้ว +1

    hahahah hii filamu inaitwaje jmn

  • @richardboaz-mashagospel2346
    @richardboaz-mashagospel2346 2 ปีที่แล้ว

    Hebu jikumbushe jambo moja th-cam.com/video/9Y3b_0SmfYc/w-d-xo.html

  • @shakiEntmtTv
    @shakiEntmtTv 2 ปีที่แล้ว

    This woman is extract i know why he picked her.