Yaani Watu Kama Hawa Akina MWIGULU NCHEMBA,, NAPE na MAKAMBA Wanaifilisi Nchi na Hawajali wala Hawana Wasiwasi Alafu Baada ya Hapo Tunaenda kukopa Na Pesa Kibao Deni La Taifa Linaongezeka Tunashindwa Kulipa Nchi inazidi kuwa Maskini na Walala Hoi Wapo Kimya Hawajui la Kufanya Yaani "
Anakula kwa urefu wa kamba yake Bosi wao aliruhusu Lbd kauli za Waziri za kuchefua watu si wabunge tu hata wananchi na wafanyabiashara Aondoke tu huyo hatufai
Huyu mwingulu ni kipenzi chao nadhani tulio somea Cuba mtanielewa swali kipenz chao akina nan?CCM ina wenyewe na ndio wanaotuburuza nchi hii wanajiita wazur hawafi a.k.a walamba asali
Mpina hoyeee ❤❤❤🎉🎉🎉
Yaani Watu Kama Hawa Akina MWIGULU NCHEMBA,, NAPE na MAKAMBA Wanaifilisi Nchi na Hawajali wala Hawana Wasiwasi Alafu Baada ya Hapo Tunaenda kukopa Na Pesa Kibao Deni La Taifa Linaongezeka Tunashindwa Kulipa Nchi inazidi kuwa Maskini na Walala Hoi Wapo Kimya Hawajui la Kufanya Yaani "
Naiomba serikali yetu iangalie huu tshs 2000 ya @mwezi kwenye umeme ni sawa 24,000/@mwaka
Hatuna viongz Bali wapigaji
Hkn viongozi Kuna vibaka
Sjawai kumuelewa
Mwee Kodi zetu tunazolipi kwa kukamuliwa
Jitu kama hili lihujumu uchumi ni lakunyongwa ila atanyongwa na nani wakati ye ndio mkuu wa wanyonganyonga
Mwigulu niwakutumbuliwa nakufilisiwa lijizi sana
Hakuna usalama kwa taifa
Nchi hii haina wasomi ila no huyu waziri kigoma malima alifanya nini? Tusindanganyane Mungu atahukumu kwa haki
Nilisema mapema tuu hili bunhe halitaki ukweli kwani wabunge wengi hawajachaguliwa walipita kwa goli la mkono.
Mwigulu bla bla tu. Mpina ni mkweli
Anakula kwa urefu wa kamba yake Bosi wao aliruhusu Lbd kauli za Waziri za kuchefua watu si wabunge tu hata wananchi na wafanyabiashara Aondoke tu huyo hatufai
Huyu mwigulu amewekeza ihefu fc
Huyu mwingulu ni kipenzi chao nadhani tulio somea Cuba mtanielewa swali kipenz chao akina nan?CCM ina wenyewe na ndio wanaotuburuza nchi hii wanajiita wazur hawafi a.k.a walamba asali
Tunatajilisha watu mali za watanzania 😂😂😂
Mpina wewe ndo laisi wetu