- 92
- 85 346
WHI ONLINE TV
Tanzania
เข้าร่วมเมื่อ 20 พ.ค. 2020
Watumishi Housing Investments (WHI) ni taasisi ya umma iliyopo chini ya ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora (UTUMISHI) iliyopewa dhamana ya kusimamia uwekezaji wa pamoja. Kwasasa inasimamia mfuko wa Nyumba Fund na Faida Fund.
MAKABIDHIANO YA ENEO LA MRADI/ UJENZI WA NYUMBA 101 MIKOCHENI DAR ES SALAAM:
Mkurugenzi wa Uendeshaji WHI, Arch.Sephania Solomon, akielezea kwa kina Tokio la kukabidhi rasmi eneo la mradi wa Nyumba 101 Mikocheni jijini Dar es salaam.
มุมมอง: 80
วีดีโอ
MHE.DEUS SANGU/ ZIARA YA KIKAO KAZI/ WATUMISHI HOUSING INVESTMENTS (WHI)
มุมมอง 102หลายเดือนก่อน
Msikilize hapa Naibu Waziri, Ofisi ya Rais - UTUMISHI, Mhe. Deus Clement Sangu, alipozungumza akiwa kwenye ziara ya kikazi katika ofisi za Watumishi Housing Investments (WHI) zilizopo Posta Mpya jijini Dar es salaam.
WAZIRI MKUU ATEMBELEA WATUMISHI HOUSING ARUSHA/ UFAFANUZI KUHUSU MIRADI YA NYUMBA NA FAIDA FUND:
มุมมอง 41หลายเดือนก่อน
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe.Kassim Majaliwa Majaliwa akipokea ufafanuzi wa kina kuhusiana na miradi ya Nyumba kwa Watumishi wa Umma na usimamizi wa mfuko wa uwekezaji wa pamoja FAIDA FUND.
FAIDA FUND / JINSI YA KUWEKEZA / MAENDELEO YA MFUKO
มุมมอง 94หลายเดือนก่อน
Tazama hapa mfululizo wa vipindi vyetu vinavyolenga kutoa elimu juu ya huduma mbali mbali zinazotolewa na taasisi ya WHI na katika kipindi hiki utapata nafasi ya kusikia mengi kuhusu mfuko wa uwekezaji wa pamoja Faida Fund.
MKUTANO MKUU WA WAWEKEZAJI KATIKA MFUKO WA FAIDA FUND/ WAWEKEZAJI WATAJA FAIDA WALIZOPATA KWA MWAKA
มุมมอง 326หลายเดือนก่อน
Tazama hapa yaliyojiri katika Mkutano wa wawekezaji katika mfuko wa Faida Fund, ambapo baadhi ya wawekezaji walipata nafasi ya kuelezea faida walizopata katika kipindi cha mwaka mmoja.
NIMEANZA KUWEKEZA MAPEMA / NAOGOPA KIKOKOTOO/ MWEKEZAJI KUTOKA TANGA:
มุมมอง 35หลายเดือนก่อน
Msikilize hapa mwekezaji wa mfuko wa faida fund ambae amenza kuwekeza katika umri mdogo akiwa na malengo ya kuwa na fedha nzuri ya kujikimu pindi atakapostaafu.
BINTI YANGU CHANZO CHA KUFUNGUA AKAUNTI/ NASAIDIA WASICHANA WENGINE:
มุมมอง 41หลายเดือนก่อน
Msikilize hapa mmoja wa wawekezaji wetu waliohudhuria AGM akielezea safari yake ya uwekezaji hadi alipofikia kusaidia wasichana wengine.
MSIMAMIZI WA FEDHA ZA WAWEKEZAJI FAIDA FUND/ MSIWE NA WASI WASI/ KILA KITU KIKO SALAMA:
มุมมอง 113หลายเดือนก่อน
Mwakilishi kutoka Benki ya CRDB ambao ndio wasimamizi wa fedha za wawekezaji katika mfuko wa Faida Fund, Bw. Masumai Ahmed, akizungumza katika Mkutano mkuu wa kwanza wa kwanza wa Mfuko wa Faida Fund uliofanyika hii leo katika ukumbi w kimataifa wa mikutano JNICC - Dar es salaam
NANE NANE DODOMA/ KARIBU TUKUHUDUMIE:
มุมมอง 29หลายเดือนก่อน
Umetembelea banda letu leo ...!? Tunaendelea kutoa Elimu kwa Watanzania wanaojisajili katika mfuko wa uwekezaji wa @faida_fund hapa Nanenane WHI tupo katika banda la MINISTRIES karibu upate huduma mbali mbali kuanzia miradi yetu ya Nyumba na Mfuko wa Uwekezaji wa pamoja FAIDA FUND.
MRADI WA NYUMBA ZA MAKAZI/ MIKOCHENI JIJIDI DAR ES SALAAM/ WAHI SASA:
มุมมอง 1.6Kหลายเดือนก่อน
MRADI WA NYUMBA ZA MAKAZI/ MIKOCHENI JIJIDI DAR ES SALAAM/ WAHI SASA:
MWEKEZAJI MPYA SABASABA/ AJISAJILI NA KUANZA UWEKEZAJI/ FAIDA FUND:
มุมมอง 712 หลายเดือนก่อน
Mwekezaji mpya katika mfuko wa @faida_fund aliyechukua hatua ya kujisajili na kuanza kuwekeza baada ya kupata Elimu ya uwekezaji kutoka kwa timu ya masoko na mauzo kutoka WHI WHI tupo ndani ya banda la karume Karibu tukuhudumie.
WATUMISHI HOUSING NDANI YA SABASABA/ BANDA LA KARUME:
มุมมอง 722 หลายเดือนก่อน
Huduma mbalimbali zinaendelea kutolewa katika banda la WHI katika Maonyesho ya 48 ya SabaSaba. WHI tupo ndani ya banda la Karume. Karibu tukuhudumie.
IJUE FAIDA FUND
มุมมอง 1252 หลายเดือนก่อน
Je unaujua Mfuko wa Faida Fund?? Ni Mfuko wa uwekezaji wa pamoja ambao unatoa fursa ya kukuza vipato vya watanzania kupitia uwekezaji katika masoko ya fedha kupitia Faida Fund.. Unaweza kujiunga kupitia WekezaWHI App, fas.whi.go.tz au *152*00# Eweeehh Mtanzania sehemu yoyote uliyopo usiache fursa hii ikupite.. watembelee @watumishi_housing_investments @faida_fund wapo SABASABA Banda la Karume a...
NYUMBA MPYA ZINAKUJA DODOMA/ MRADI WA MAGHOROFA/ MIKOANI TUNAKUJA/ WHI:
มุมมอง 9935 หลายเดือนก่อน
Msikilize hapa mkurugenzi wa Uendeshaji kutoka katika Taasisi ya Watumishi Housing Investments akizungumzia dira ya Taasisi kwa Mwaka 2024 pamoja na miradi mipya ya Nyumba inayokuja hivi karibuni.
WAWEKEZAJI KARIBUNI/ TIMU YA MASOKO NA MAUZO IKO AMRI ABEID/ ELIMU YA FEDHA NA NYUMBA KUTOKA 'WHI':
มุมมอง 6710 หลายเดือนก่อน
WAWEKEZAJI KARIBUNI/ TIMU YA MASOKO NA MAUZO IKO AMRI ABEID/ ELIMU YA FEDHA NA NYUMBA KUTOKA 'WHI':
NYUMBA ZA KUPANGA/ KODI KWA MWEZI/ MAJI, UMEME NA HUDUMA ZOTE MUHIMU ZA KIJAMII:
มุมมอง 1.2K11 หลายเดือนก่อน
NYUMBA ZA KUPANGA/ KODI KWA MWEZI/ MAJI, UMEME NA HUDUMA ZOTE MUHIMU ZA KIJAMII:
FURSA ZA UWEKEZAJI GEITA/ WAFANYABIASHARA WADOGO NA WAKUBWA/ NYUMBA ZA BEI NAFUU/ FAIDA FUND:
มุมมอง 10811 หลายเดือนก่อน
FURSA ZA UWEKEZAJI GEITA/ WAFANYABIASHARA WADOGO NA WAKUBWA/ NYUMBA ZA BEI NAFUU/ FAIDA FUND:
FAIDA ZA UWEKEZAJI KWA WASTAAFU/ MFUKO WA FAIDA/ HAKUNA HATARI:
มุมมอง 1.8Kปีที่แล้ว
FAIDA ZA UWEKEZAJI KWA WASTAAFU/ MFUKO WA FAIDA/ HAKUNA HATARI:
FAIFA FUND YAWAFIKIA MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI/ PESA ZAKO ZINAWEKEZWA WAPI? / KUJIUNGA BURE
มุมมอง 101ปีที่แล้ว
FAIFA FUND YAWAFIKIA MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI/ PESA ZAKO ZINAWEKEZWA WAPI? / KUJIUNGA BURE
TUTAENDELEA KUBORESHA HUDUMA ZETU/ MIRADI MIPYA/ TUNAKWENDA VIZURI/ MAKAZI KWA WATUMISHI WA UMMA:
มุมมอง 57ปีที่แล้ว
TUTAENDELEA KUBORESHA HUDUMA ZETU/ MIRADI MIPYA/ TUNAKWENDA VIZURI/ MAKAZI KWA WATUMISHI WA UMMA:
SIMBACHAWENE AWAPONGEZA WHI/ KAZI NZURI NCHINI/ NI BAADA YA KUTEMBELEA MRADI WA NYUMBA 1000 DODOMA:
มุมมอง 93ปีที่แล้ว
SIMBACHAWENE AWAPONGEZA WHI/ KAZI NZURI NCHINI/ NI BAADA YA KUTEMBELEA MRADI WA NYUMBA 1000 DODOMA:
KWANINI UWEKEZE FAIDA FUND/ MAJIBU YA MASWALI MAGUMU KUHUSU UWEKEZAJI/ HABA NA HABA HUJAZA KIBABA:
มุมมอง 5Kปีที่แล้ว
KWANINI UWEKEZE FAIDA FUND/ MAJIBU YA MASWALI MAGUMU KUHUSU UWEKEZAJI/ HABA NA HABA HUJAZA KIBABA:
FAIDA FUND/ JINSI YA KUJIUNGA NA KUWEKEZA/ MAMBO MUHIMU KUHUSU UWEKEZAJI:
มุมมอง 4.9Kปีที่แล้ว
FAIDA FUND/ JINSI YA KUJIUNGA NA KUWEKEZA/ MAMBO MUHIMU KUHUSU UWEKEZAJI:
NYUMBA ZA KUPANGA GEZAULOLE KIGAMBONI/ KODI 300,000 NA 350,000/ = / UNALIPA MWEZI MMOJA MMOJA:
มุมมอง 8Kปีที่แล้ว
NYUMBA ZA KUPANGA GEZAULOLE KIGAMBONI/ KODI 300,000 NA 350,000/ = / UNALIPA MWEZI MMOJA MMOJA:
MHE.SIMBACHAWENE AWAPONGEZA WHI/ UJENZI WA NYUMBA BORA KWA WATUMISHI WA UMMA/ FAIDA FUND:
มุมมอง 49ปีที่แล้ว
MHE.SIMBACHAWENE AWAPONGEZA WHI/ UJENZI WA NYUMBA BORA KWA WATUMISHI WA UMMA/ FAIDA FUND:
"WATUMISHI WEKENI FEDHA FAIDA FUND,"/ "HUU NDIO WAKATI MUAFAKA," / KATIBU MKUU UTUMISHI /UWEKEZAJI:
มุมมอง 160ปีที่แล้ว
"WATUMISHI WEKENI FEDHA FAIDA FUND,"/ "HUU NDIO WAKATI MUAFAKA," / KATIBU MKUU UTUMISHI /UWEKEZAJI:
KATIBU MKUU UTUMISHI AAHIDI KUISAIDIA WHI/ "MNAFANYA KAZI KUBWA,"/ TAASISI HII NI MUHIMU SANA:
มุมมอง 85ปีที่แล้ว
KATIBU MKUU UTUMISHI AAHIDI KUISAIDIA WHI/ "MNAFANYA KAZI KUBWA,"/ TAASISI HII NI MUHIMU SANA:
WAZIRI WA UTUMISHI " KAZI HII NI KUBWA,/ NYUMBA HIZI NI KWA AJILI YA WATUMISHI NA WATANZANIA WOTE:
มุมมอง 42ปีที่แล้ว
WAZIRI WA UTUMISHI " KAZI HII NI KUBWA,/ NYUMBA HIZI NI KWA AJILI YA WATUMISHI NA WATANZANIA WOTE:
"TUNAJENGA KULINGANA NA MAHITAJI/ NYUMBA 1000 ZINAKUJA," - MKURUGENZI MTENDAJI WHI/ ZIARA DODOMA:
มุมมอง 113ปีที่แล้ว
"TUNAJENGA KULINGANA NA MAHITAJI/ NYUMBA 1000 ZINAKUJA," - MKURUGENZI MTENDAJI WHI/ ZIARA DODOMA:
Dah...hii ni zaidi ya hatari Nyumba ya Chumba kimoja ni 99M!!!!!! Sidhani kwamba hii ni kuwasaidia hao Watumishi,bali ni kuwakadhamiza na kuwaumiza mno.
Kwa mfano nimewekeza shi 50000 kwa mwaka nitapata faida sh ngap?
Napata wapi kijitabu Kwa ajili kuendelea kujielimisha zaidi kuhusu faida fund
Hongereni sana naomba kuuliza sawali ni mpaka uwe mtumishi ndiyo unaweza kununua Nyumba hizi????
Jamaniiiii @evo
@@mathewandililemwandenuka4692 hahaaa muhimu kujipongeza
Nimejiunga na faida fund. Nikatumiwa UJUMBE wa jinsi ya kuingia kwenye APP lakini inanikatalia na inaniketea sms ya INFORMATION INVALID CREDENTIAL. Nifanyeje na inaonekana pia nilijaribu mara nyingi saana.
Hongereni mliohudhuria, Nawaza sijui mlikula kuku?😅
Jamaniiiii😅😅😅😅
Nyie WHI huwa siwaelewi kabisa,bei zenu ziko juu sana, mnawa-target watuishi wa Umma wa aina gani?. Kwa bei hiyo ya milioni 99 unapata nyumba ya vyumba 3 hapa Nairobi. Jua uchumi wa wateja wenu!.
Kuwekeza kwa ajiri ya kujenga nyumba unaanza na sh ngapi?
Huo uwekezaji ni kwa watanzania wote au watu wenu wa serikali maana tumesha wachoka
Naomba msaada wa kununua vipande vya WHI mm tyr ni mwekezaji lakini kila nikijaribu kununa inakataa
Habari njema hii; je tuliopo mikoani mfano Mwanza tunawezaje kuwekeza na Faida fund?
Bado vipo?
Test
wataendaje mtwara huko n shamba mzee
Habari Watumishi Housing Je naweza pata barua pepe ya idara ya faida fund ama nambari ya simu iliyo active? Asante sana
Je mna nyumba ambazo ziko wazi nahitaji
Nashindwa kufungua account kupitia app yenu
Beiyakununua
Ni njia gani za kujiunga pamoja na uwekezaji wenyewe na upatikanaji wa faida zenyew?
Mbn messeg hamjib
Nimepapenda sana pia nahitaji kiwanja Ila sijajua Bei zenu
Nimepapenda sana pia nahitaji kiwanja Ila sijajua Bei zenu
NI VEMA MJENGE MAGOROFA MAREF MWANZA ILI KUBORESHA JIJI.
Kuna deposit yoyote unayoiweka mbali ya kulipa kodi?
kujiunga nirahisi kweli Sasa ukiweka pesa wakati wa kutoa pesa ndo shida na simu hawapokei kutoa msaada
vipi ulijaribu kutoa na ikagoma..???
mawasiliano tafadhari
Ok. Ata Mimi naitaji. Kujiunga
Ikitokea nimefariki hiyo pesa vp?
Na mimi nauliza hapo vipi nikifariki
MRITHI WAKO UTAKAE MUANDIKA ATAPEWA HAKI YAKO
Safi sana
Bado zipo????
Naomba niulize hizo nyumba ni kwa watumishi 2 au ni watu wote?? asante watu wa kawaida tunazipateje??
Nami pia shida yangu kupata nyumba naweza nikawekeza ili nipate hiyo nyumba?
Je hizi nyumba ni kwa ajili ya watumishi tu?? Nauliza pia kama bado zipo ?
Ukitaka kununua vp
Tanzania matangazo bado sana 😢! Yani mradi mkubwa mnatoa tangazo la kiholea namna hii hamjaonyesha hata nje mandhari yakoje mshamaliza hapo🙌🏽
ukiwekeza unatoa hela hiyohiyo au inaongezeka
Hello hongereni kwa kazi nzuri mnayoifanya .Swali langu ni lwamba ili ufike gezaulore unapitia daraja la nyerere maanacyani kwamba wapi kari au rahisi kutumia ferry au daraja? Swali la pili ulinzi wa makazi mpangaji anachangia malipo au ni gree.swali la tatu maji yanayotumika hapo ni maji chumvi au maji baridi.asante naomba tafadhari nipate majibu maana nahitaji nyumba .
Samahani kwa errors
Je ninapotaka kutoa pesa nafanyaje (mawasiliano)
Hipi nzuri hisa au vipande
Nnaomba kuuliza je ni watumishi wa serikali tu
Kuuza vp
Wekezaji pamoja asilimia ngapi
Kaka ndahani nimekuelewa naomba ushrikiano tu ili vijana tujiepushe mifumo mibovu ya maisha na kukalili pesa
Naweza tumia vipande kununua nyumba
Naoma mnahusika na kumiliki nyumba je naweza nkawekeza ili nipate hiyo nyumba
Je nyumba zina kiwanja cha ukubwa gan?
Deposit zaidi ya mwezi mmoja na huweki interest hiyo ni kuibia wapangaji.
Hamuuzi
Sawa tunakuja