MABASI 'MWENDOKASI' KUMWAGIKA DAR KUANZIA FEBRUARI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 9 ก.พ. 2025
  • DAR ES SALAAM: MSEMAJI Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, amesema Serikali kwa kushirikiana na sekta binafsi imepanga kuleta mabasi zaidi ya 700 kwenye mradi wa mabasi yaendayo haraka maarufu mwendokasi kuhudumia maeneo ya Kimara, Barabara ya Morogoro na Mbagala, Barabara ya Kilwa ili kuhakikisha msongamano unapungua jijini Dar es Salaam.
    Follow us on:
    FACEBOOK;
    SpotiLeo: / spotileo-176. .
    HabariLeo: / habarileo
    DailyNews: / dailynewstz
    INSTAGRAM;
    HabariLeo: ....
    SpotiLeo: ....
    TWITTER;
    Twitter HabariLeo: Ha...

ความคิดเห็น • 44

  • @eddechriss2664
    @eddechriss2664 หลายเดือนก่อน +5

    Huyu Madame anajuwa kweli kuuliza maswali ya maana, hongera kwake

    • @iddikimia4951
      @iddikimia4951 หลายเดือนก่อน +1

      Kweli kabisa atafika mbali anauliza vitu vya msingi sana

  • @victorjames3730
    @victorjames3730 หลายเดือนก่อน +3

    Huyo dada ni mwandishi mzuri, anauliza maswali muhimu

  • @NPY2024
    @NPY2024 หลายเดือนก่อน +2

    Best Gov spokesman

  • @brysonkaale3003
    @brysonkaale3003 หลายเดือนก่อน +5

    Huu mradi usimamiwe na sekta binafsi,serikali inaibiwa mno!

  • @CumaEmedi
    @CumaEmedi หลายเดือนก่อน

    Jamaa pwagu sana aishiwi maneno ivo vijiji 40 vilobaki history iyp nilisikia kama miaka tano iliyopita mpaka bado😊

  • @shabanipanya1033
    @shabanipanya1033 หลายเดือนก่อน +1

    Yataharibika yote kwa maji ya mvua yanayo jaa jagwani kila mvua ikinyesha

  • @AlfaSaa-j4h
    @AlfaSaa-j4h หลายเดือนก่อน +1

    Uzeni vx za 500m mnunue mabasi ya kubebe walala hoi
    Aibu tupu

  • @mmarandu2417
    @mmarandu2417 หลายเดือนก่อน

    Go electric change from disel

  • @Idrislast-f2d
    @Idrislast-f2d 27 วันที่ผ่านมา

    Eti serikal haina uwezo tuwaachie sekta binafsi kodi inaenda wap

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 หลายเดือนก่อน +2

    Sasa Serikali inawaona machinga wanageuza barabara za mwendokasi kama soko na wao wamekaa tu, kwa nini wasilishughulikie hili kabla ya mabasi kuja? Maana baadaye mazoea wamachinga watasema wameonewa! Kuhusu mabasi ya umeme, kwa nini tunashindwa ku-invest kwenye mabasi ya umeme? Maana nishati ya gesi nayo ina matatizo yake makubwa! Tunalo jua zaidi ya siku 300 Tanzania, kwa nini tusivune solar ili iweze ku-power mabasi?

    • @JomoKilawe
      @JomoKilawe หลายเดือนก่อน

      MaChinga Ni Uchaguz Tu Ukiisha Watatupisha..😊😊

    • @giftmeela6250
      @giftmeela6250 หลายเดือนก่อน +1

      Tulia uchaguzi uishe 😂

  • @kirakaabeid1824
    @kirakaabeid1824 หลายเดือนก่อน

    Mwenye namba za Msigwa naziomba.
    Aliyekaribu naye amuambie kitendo cha kuweka Matangazo ya Biashara kwenye haya Mabasi ni uchafuzi wa Mazingira.
    Muambie hiki ni kioo cha Usafi wa Jiji

  • @amirymdee4259
    @amirymdee4259 หลายเดือนก่อน

    ***Zuhura Yunus yuko wapi tena?***

  • @Skomi-0nedayyes
    @Skomi-0nedayyes หลายเดือนก่อน

    Kadi zilirudishwe kwa abiria aweze kulipa mwenyewe ku deposit tu ili serikali ikusanye mapato sahihi waudumu muache mpango kando wa kuja na karatasi zenu mlizo print binafsi ili kujinufahisha hii nchi ni yetu sote kwanini mnufaike wa chacha tu.

  • @DavidSemu-gu6wp
    @DavidSemu-gu6wp หลายเดือนก่อน

    Hivi sio tena scania? Ni Mchina haya bora liende.

  • @henrysangiwa1731
    @henrysangiwa1731 หลายเดือนก่อน

    Ya umeme yapo Uganda tu hapo kiongozi fanyeni mpango

  • @dennischarles8524
    @dennischarles8524 หลายเดือนก่อน

    Nendeni na mikoani mbona kila kitu Dar tu, fanyeni kama nchi nyingine uko ulaya

  • @fredrickkagwa8853
    @fredrickkagwa8853 หลายเดือนก่อน

    Alafu Mabus yafanye kazi 24 Hrs sio mwisho saa 5

  • @markmushi8940
    @markmushi8940 หลายเดือนก่อน

    Mliyaleta yakafa tumeona yamekufa.treni ya umeme asaivi i2mie disrl?

  • @johnb.j.m206
    @johnb.j.m206 หลายเดือนก่อน

    Sasa ukiweka pembeni mabasi 200 na kuagiza mengine! Vipi kuhusu uchafuzi wa mazingira? Hakuna mpango wa ku "recylce" hayo mabasi chakavu pamoja na magari mengine yanayoagizwa yakiwa yametumika na baada ya muda mfupi yanakuwa mabovu kiasi kwamba hayatengenezeki?

  • @fredrickkagwa8853
    @fredrickkagwa8853 หลายเดือนก่อน

    Tumechoka kupanga foreni huku kimara kukata tiketi. Rudisheni Kadi za kuswap hapo vituoni

  • @fredrickkagwa8853
    @fredrickkagwa8853 หลายเดือนก่อน

    Sasa hayo mabus yaliyoharibika uzeni kama chuma chakavu sio yamerundikwa tu panya zinachezea

  • @raymondmango5128
    @raymondmango5128 หลายเดือนก่อน

    Yani yale ya mwanzo tumepata. Asara saizi munaleta mengine shida apo ni usimamizi tuuu

  • @jumashedafa
    @jumashedafa หลายเดือนก่อน

    Hebu leten zile marcopolo zinastandard za jiji ya dar na hivyo vituo hebu badilishe viwe na muundo wa kuvutia yan mtu akiingia ktk kituo ni utalii tosha

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 หลายเดือนก่อน

    Kule Zanzibar mwinyi akifanya kama hivyo wao hawataki.washazoweya uchafu na kukaa katika mabonde na vibanda.wao wataka muungano Tu

    • @JomoKilawe
      @JomoKilawe หลายเดือนก่อน

      @@hajiabdalla5772 😁😁😁

  • @sulaimanabdullah-qp8vs
    @sulaimanabdullah-qp8vs หลายเดือนก่อน

    Ni vyema mujitowe kabisa ktk biashara humuwezi biashara.sababu nyinyi ni wezi

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 หลายเดือนก่อน

    Serikali yetu inamaono madogo sana ,yani wanashindwa kutumia mabasi ya umeme wanakimbilia kwene udalali wa kupata 10% za gasi

    • @giftmeela6250
      @giftmeela6250 หลายเดือนก่อน

      unataka kukimbia kabla hujatambaa

    • @JomoKilawe
      @JomoKilawe หลายเดือนก่อน

      @@giftmeela6250 ✍️✍️

    • @kwisa4899
      @kwisa4899 หลายเดือนก่อน

      ​@@giftmeela6250 kaka sio kazi kubwa yani tuweze kwene train tushindwe kwene mabasi ya umeme china yamezagaa ujerumani malori yanatumia umeme sio kitu kikubwa

  • @nuruworldinsight2957
    @nuruworldinsight2957 หลายเดือนก่อน

    How March instead of a planned December last year as it had been declared before ?

  • @bongo39
    @bongo39 หลายเดือนก่อน

    Magomeni kila siku lazima wakate mara 1 mpaka mara 2 hatuoni faida ya huo mradi wa Julia's nyerere

  • @vinny.morales
    @vinny.morales หลายเดือนก่อน

    Sio NEEMA bali ni JUKUMU

  • @fidelonesmo7465
    @fidelonesmo7465 หลายเดือนก่อน +2

    Machi ikifika utasikia kuanzia juni😂

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 หลายเดือนก่อน

    Serikali yetu inamaono madogo sana ,yani wanashindwa kutumia mabasi ya umeme wanakimbilia kwene udalali wa kina rostam kuleta gas

  • @ogdosho93
    @ogdosho93 หลายเดือนก่อน

    Dar ingekuwa na metro station foleni na watu kukosa usafir kungekua hakuna kabisa.

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq หลายเดือนก่อน

    Kuongea ni raisi nchi mpaka daradara wawekezaji na bado

  • @kiatu
    @kiatu หลายเดือนก่อน

    Kwa nini hamkufikiria hivyo toka zamani? Serkali hii (yaani toka Nyerere mpaka Huyu wa sasa) very slow

  • @andrewkilulu
    @andrewkilulu หลายเดือนก่อน

    Acha kuwa muwongo tumewachoka

    • @wilsonP-t3h
      @wilsonP-t3h หลายเดือนก่อน

      Hahahaa