Sh. Milioni 45 Plus VAT, Unanunua Nyumba Mradi wa

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 9 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 30

  • @dorcasjonathan9793
    @dorcasjonathan9793 2 ปีที่แล้ว

    Hongereni sana nakuja kuziona kwanza

  • @tplatnumz
    @tplatnumz 23 วันที่ผ่านมา

    Unanunua Inakuwa Yako Milele?.

  • @hawrajehan2398
    @hawrajehan2398 หลายเดือนก่อน

    Mil 45 ni chumba1 ama 2?

  • @NkosieMkunyana
    @NkosieMkunyana ปีที่แล้ว +2

    Tunaomba number ya sim sisi tupo South Africa 🇿🇦 tutafanya jee

    • @ShirikalaNyumbalaTaifa
      @ShirikalaNyumbalaTaifa  ปีที่แล้ว +2

      Wasiliana nasi kwa namba hii 255736114433

    • @madalanasri2226
      @madalanasri2226 4 หลายเดือนก่อน

      ​@@ShirikalaNyumbalaTaifa salama Nyumba ya vyumba 2 ya chini inauzwa beigani

  • @zuuomar4657
    @zuuomar4657 2 ปีที่แล้ว +1

    3 bedrooms bei gani?

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah7709 3 หลายเดือนก่อน

    Zinauzwa tu au pia zinapangishwa?

  • @ritamutoka7768
    @ritamutoka7768 หลายเดือนก่อน

    Jamani ghorofa zisizidi 4, maghorofa sio mazuri kwa familia zenye watoto wadogo !! HELLOOO 😢.KWANI Tanzania tumeishiwa ardhi ?

  • @hpenyika7686
    @hpenyika7686 ปีที่แล้ว

    Mimi nahitaji nyumba ya kununua iwe peke yake sio gorofa naipataje?

  • @godfreymushi6966
    @godfreymushi6966 ปีที่แล้ว

    Taja bei ya kila nyumba sasa hutaji bei au ndo rushwa .45 mm kwa nyumba zote au

  • @nadhifamshindo6976
    @nadhifamshindo6976 ปีที่แล้ว

    hakuna sehemu ya kufulia (laundry) pakuanikia maana balcony ni ndogo na wala hakuna stoo😢

  • @seanhussein
    @seanhussein 2 ปีที่แล้ว

    Studio apartment bado zipo

  • @نَذِيْرْيُوْسُفْ-ح5ع
    @نَذِيْرْيُوْسُفْ-ح5ع ปีที่แล้ว

    Can foreigners buy one of these apartments?
    I’m from US .

  • @hashimshaban4675
    @hashimshaban4675 ปีที่แล้ว

    Hyo 45mln ni vyumba vingapi?

    • @ShirikalaNyumbalaTaifa
      @ShirikalaNyumbalaTaifa  ปีที่แล้ว +1

      Ni studio apartment

    • @joycechuki8258
      @joycechuki8258 ปีที่แล้ว

      Na nyumba ya vyumba viwili ni ngapi?, kama hiyo 45M ni studio 🤔🤔

    • @deoodp1893
      @deoodp1893 2 หลายเดือนก่อน +1

      Hii c kweli ,kipato Cha chini studio apartment 45ml,😂😂 hii inchi bwana full mauzauza

    • @ibrahimabdillah5729
      @ibrahimabdillah5729 2 หลายเดือนก่อน

      Hhhhhhhhhhh​@@deoodp1893

  • @kaburumacha315
    @kaburumacha315 ปีที่แล้ว

    Je ni lini mnategemea kumaliza mradi? Niliona pahali NOV 2023 lakini sioni mkitimiza hio deadline.

    • @ShirikalaNyumbalaTaifa
      @ShirikalaNyumbalaTaifa  ปีที่แล้ว +1

      Mradi huo unategemea kuisha febuary 2024

    • @madalanasri2226
      @madalanasri2226 4 หลายเดือนก่อน

      ​@@ShirikalaNyumbalaTaifa Nyumba Za kununua bado zipo

  • @zurisana8068
    @zurisana8068 2 ปีที่แล้ว

    Bei gani vyumba 3??

    • @Sarah-e1o9k
      @Sarah-e1o9k 4 หลายเดือนก่อน

      Million 45.× 3

  • @geofbeka1669
    @geofbeka1669 ปีที่แล้ว +2

    Huu mradi unapaswa kufanywa nchi nzima, itasaidia Sana kupunguza maradhi ya akili, na magonjwa mengine kwa watu wa kipato Cha chini Kama utalenga kusaidia kundi hilo

  • @godfreymushi6966
    @godfreymushi6966 ปีที่แล้ว

    Maneja masoko fukuza kazi hata sijui ulipataje kazi

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 ปีที่แล้ว

    HIVI HAMNA MAMO MENGINE YA KUBUNI ZAIDI YA KUJENGA MAJUMBA MMPAKA UVUNGUNI WAVITANDA. MPAKA TUNAKOSA HEWAA. YAANI AKILI YA SERIKALI ZETU NI KUJENGA TUU. MNATAKIWA MBUNI MAMO YA MAANA. HAKUNA LOLOTE. UPUUZI MTUPUUUUUUU.