LATRA yafanya ukaguzi Treni ya Mchongoko

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 9 ก.พ. 2025
  • Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA), kwa kushirikiana na Shirika la Reli Tanzania (TRC) imefanya ukaguzi wa majaribio ya treni ya Mchongoko (EMU) kutoka Dar es Salaam hadi Morogoro

ความคิดเห็น • 121

  • @philipisohe8035
    @philipisohe8035 3 หลายเดือนก่อน +43

    East Africa inasonga mbele vizuri na miundo misingi bora. Hong era tz more love from 🇰🇪

    • @Brilliant-k2k
      @Brilliant-k2k 3 หลายเดือนก่อน +3

      Asante jirani

    • @clevermngao7565
      @clevermngao7565 3 หลายเดือนก่อน

      Hongereni na nyie kwa kuwa na Treni ya Dizeli! Worry not ipo siku mtafikia hii stage 😂

    • @HAPPYTADEI
      @HAPPYTADEI หลายเดือนก่อน

      ​@evermngao7565 dizeli kama tractor 🚜 😅

  • @MohamedChillo
    @MohamedChillo 3 หลายเดือนก่อน +23

    Ila mnyonge mnyongeni Rais wetu mama Samia anafanya kazi kubwa sana apewe maua yake ,hongera mama Samia Rais wa URT

    • @PaullyPuyetrov
      @PaullyPuyetrov 3 หลายเดือนก่อน +2

      Katiba mpya ndio tunataka

    • @yustomwaisomania2587
      @yustomwaisomania2587 3 หลายเดือนก่อน +3

      Angekuwepo Jemedari JPM angeleta Ile ya Japan inayokimbia kuliko zote dunian ila ngoja tumpongeze mama kajitahid maana n ngumu kukamilisha kitu alichoki asisi mtu mwingine

    • @iddikimia4951
      @iddikimia4951 3 หลายเดือนก่อน

      Kweli nakubali

    • @hemedrashid2921
      @hemedrashid2921 3 หลายเดือนก่อน +4

      ​@@PaullyPuyetrovkatiba kaandikee wew na mkeooi hatujamaliza vitu vya msingi uleta mambo ya hovyoo au mkimbizii nn wewe😂😂😂

    • @exaverysimon1064
      @exaverysimon1064 3 หลายเดือนก่อน

      TAFTEN HERA KO MNADHAN KATIBA MPYA NDO ITAWALETEA UGAR NYUMBAN KUNAMAMBO YA MSINGI MAKUBWA YA KUFANYA KATIBA IPO NA ITAENDELEA KUWEPO TU KWAN UNADHAN HATA IKIJA MPYA ITAKUWA NA MAAJAB WATUNZI S WALE WALE WABONGO 😢😢😢😢

  • @iddikimia4951
    @iddikimia4951 3 หลายเดือนก่อน +6

    Hongereni watanzania wenzangu cha msingi tuvitunze hata aliyeanzisha atakuwa anafurahi huko aliko,Hongera sana mama etu Raisi wetu mama Samia❤

  • @clevermngao7565
    @clevermngao7565 3 หลายเดือนก่อน +1

    Tanzania nchi yangu safi sana

  • @DafiMohamed-dz8xk
    @DafiMohamed-dz8xk 3 หลายเดือนก่อน +2

    Hongera sana kazi nzuri

  • @dallerbwoyniglo8675
    @dallerbwoyniglo8675 3 หลายเดือนก่อน +8

    Ok jpm anaishi na ataish hata milele

  • @mosesngelej
    @mosesngelej 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera sana mama

  • @kagarukifred7372
    @kagarukifred7372 3 หลายเดือนก่อน

    Hatari sana

  • @mimibusarachibu
    @mimibusarachibu 2 หลายเดือนก่อน

    Mwendokasi wa km/hr?

  • @MishlaySulley
    @MishlaySulley 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hii rangi ya Treni ingekaa rangi ya Taifa letu ,

  • @navigatorchinduli2699
    @navigatorchinduli2699 3 หลายเดือนก่อน +1

    Safii

  • @hadharmakame
    @hadharmakame 3 หลายเดือนก่อน

    #KAZIIENDELEE #MAMA❤❤❤❤

  • @abdulrahmankafuku3449
    @abdulrahmankafuku3449 3 หลายเดือนก่อน +1

    ❤❤❤

  • @michaelrweyemamu1068
    @michaelrweyemamu1068 3 หลายเดือนก่อน

    Ni nzuri sana na Nauli yake nayo ni nzuri sana

    • @abelg2488
      @abelg2488 3 หลายเดือนก่อน

      Nauli imetajwa wapi hapo??

  • @healingclinic698
    @healingclinic698 3 หลายเดือนก่อน

    Shusheni Gharama

  • @VictorKivuyo
    @VictorKivuyo 3 หลายเดือนก่อน

    HAPA KAZI TU SPEED 160. MR BOB SOSY A K A KATIA WA ARUSHA MURIET JIRANI NA MH GAMBO

  • @HajiKlein-so1rk
    @HajiKlein-so1rk 3 หลายเดือนก่อน +2

    Safi 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🫡

  • @Pmaker19
    @Pmaker19 3 หลายเดือนก่อน +1

    Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @ajsmainde5138
    @ajsmainde5138 3 หลายเดือนก่อน

    sijui kiswahili sababu mimi ni mghana, ila hongereni sana ndugu zetu wakenya.🎉

    • @SelemanIsmail-c3z
      @SelemanIsmail-c3z 3 หลายเดือนก่อน

      Hii ni Tanzania

    • @abdallahselemani6423
      @abdallahselemani6423 3 หลายเดือนก่อน

      WA Tanzania sio wakenya

    • @SaidRuhamba
      @SaidRuhamba 3 หลายเดือนก่อน

      Tanzania hiyo sio Kenya mpaka Raha ukiipanda

  • @worldtechlab
    @worldtechlab 3 หลายเดือนก่อน +6

    Mnamaliza lini ukaguzi? When are you starting the operations officially ?

    • @aliamour7815
      @aliamour7815 3 หลายเดือนก่อน

      Trh 1 Nov

    • @worldtechlab
      @worldtechlab 3 หลายเดือนก่อน

      @@aliamour7815na wewe 😂 Muongo mbona umeandika kwa wasiwasi 😂

    • @aliamour7815
      @aliamour7815 3 หลายเดือนก่อน +1

      @@worldtechlab katafut tangaz lao usom

    • @worldtechlab
      @worldtechlab 3 หลายเดือนก่อน

      @@aliamour7815si unipe nione jomoni

    • @worldtechlab
      @worldtechlab 3 หลายเดือนก่อน

      @@aliamour7815ahsante my mpenzi nimeona sasa

  • @African511
    @African511 3 หลายเดือนก่อน

    Tanzania 🇹🇿 ya ukweli

  • @AbrahBuraheze
    @AbrahBuraheze 3 หลายเดือนก่อน +2

    mama tufikishie kigoma😂😂😂😂😂😂

  • @JustinMwashilindi
    @JustinMwashilindi 3 หลายเดือนก่อน

    Jambo zuri san

  • @geofreypiusy4718
    @geofreypiusy4718 3 หลายเดือนก่อน

    Safi nauli je na vigezo gani vinatakiwa niwe navyo ili niweze kusafiri

  • @MishlaySulley
    @MishlaySulley 3 หลายเดือนก่อน

    Hii kazi ya Magufuli. Mama kaendelezatu ,

  • @othumanomari1589
    @othumanomari1589 3 หลายเดือนก่อน

    ❤️❤️🇹🇿🇹🇿🤟

  • @SelemanIsmail-c3z
    @SelemanIsmail-c3z 3 หลายเดือนก่อน

    Hii ni Tanzania

  • @renatusblandes1131
    @renatusblandes1131 3 หลายเดือนก่อน

    Speed hikoje?

  • @DavalsonMarlony
    @DavalsonMarlony 3 หลายเดือนก่อน

    jpm oyeee

    • @PacchaYassin
      @PacchaYassin หลายเดือนก่อน

      Samia oyeeee

  • @DanielKullwa
    @DanielKullwa 3 หลายเดือนก่อน

    Electric Multiple Unit

  • @SelemanIsmail-c3z
    @SelemanIsmail-c3z 3 หลายเดือนก่อน

    Tunawajua vizuri ninyi Watanzania! Kuanzia leo mpaka miaka kumi ijayo, hakutakua na mchongoko wa SGR! Itakua takataka tu! Kwani DART iko wapi? Hakuna kitu!!!!!

    • @brysonkaale3003
      @brysonkaale3003 3 หลายเดือนก่อน

      Kwani BRT haipo?,Treni itakuwa takataka kwa sababu gani,Uchafu uko Kenya siyo hapa Tanzania,Kama mmezoea uchafu Ni nyie,hapa kwetu usafi Ni desturi yetu.

  • @ernestsinje9700
    @ernestsinje9700 3 หลายเดือนก่อน

    Tanzania 🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿

  • @HajiMgwami
    @HajiMgwami 3 หลายเดือนก่อน +1

    TUZIDI KUA SMART JAMANI HAYO MAJANI NI NINI TENA HAPO RELINI

    • @MohdSalum-y5i
      @MohdSalum-y5i 3 หลายเดือนก่อน

      Majani yanasaidia kubomoka njia

  • @PacchaYassin
    @PacchaYassin หลายเดือนก่อน

    Huu ni unyama kabisa nimekubali hivi vichwa

  • @nganzimwaliza8191
    @nganzimwaliza8191 3 หลายเดือนก่อน

    Tunaambiwq kuwa train hii Ina speed kubwa kuliko hii ya kawaida, speed yake ni kiasi Gani maana standard speed ni km160/hr

    • @user-kr5dp2ip9g
      @user-kr5dp2ip9g 3 หลายเดือนก่อน

      EMU (treni ya mchongoko) speed yake ni km 250/hr lakini kama ulivyosema speed Standard ambayo tumeamua kuanza nayo ni 160km/hr labda baadae tutaweza kuongeza speed zaidi!

    • @worldtechlab
      @worldtechlab 3 หลายเดือนก่อน

      180 km/hr

  • @erickbabu4404
    @erickbabu4404 3 หลายเดือนก่อน +1

    Nulisoma Ka tren ya mchango du

  • @maneno_kairuki
    @maneno_kairuki 3 หลายเดือนก่อน

    Wanakagua nini na hawana ujuzi wa treni ya umeme

    • @brysonkaale3003
      @brysonkaale3003 3 หลายเดือนก่อน

      Chuki kutoka Kenya,tulia jirani na treni lenu la steam engine,mtamaliza miti!

    • @abdallahselemani6423
      @abdallahselemani6423 3 หลายเดือนก่อน

      Wacha roho mbaya wewe chadema Nini? Ndio wapinga maendeleo

    • @maneno_kairuki
      @maneno_kairuki 3 หลายเดือนก่อน

      @@abdallahselemani6423 ni wakenya hahahaha

  • @EDWARDSANTOS-ny8sr
    @EDWARDSANTOS-ny8sr 3 หลายเดือนก่อน

    Edward santo's

  • @mcback4384
    @mcback4384 3 หลายเดือนก่อน +2

    Mnatumia muda mrefu kukagua kuliko muda waliotumia kuitengeneza, na hamna chochote mnachojua

  • @johnchem1632
    @johnchem1632 3 หลายเดือนก่อน

    nani kaona mkurugrnzi akiwa anaongea na madam apo wa dark blue🤪

  • @SelemanIsmail-c3z
    @SelemanIsmail-c3z 3 หลายเดือนก่อน

    Wazungu hawapendi maendeleo haya. Wanaweza kuleta NATO kuja kuharibu njia yote hiyo ya reli na hizo treni.

  • @ernestwegga6557
    @ernestwegga6557 3 หลายเดือนก่อน +1

    Utaalam mmepata wspi

    • @karimmkejina980
      @karimmkejina980 3 หลายเดือนก่อน

      @@ernestwegga6557 kwani sikuna ile nyingine inatembea au tatizo watanzania baadh mnapenda sana haraka haraka hicho chombo kitaishi zaidi ya miak30 lazima umakini uwepo kabla haijaanza kazi alafu ndio kanuni za treni sio kama wanajifanyia2

    • @abuelolongavida7261
      @abuelolongavida7261 3 หลายเดือนก่อน +1

      Ni dhambi kubwa kujidharau.....je Kama ingekuwa wazingua ungeuliza hili swali?

    • @Brilliant-k2k
      @Brilliant-k2k 3 หลายเดือนก่อน

      We ujasiri wa kuuliza umepata wapi?

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 3 หลายเดือนก่อน +1

      Ni wababaishaji tu hata wanavyojieleza unaona ni magumashi hawaongei kama wataalamu

  • @Robbymabangoprinting
    @Robbymabangoprinting 3 หลายเดือนก่อน +2

    Magufulification mitano Tena huko huko uliko

  • @Robert-p7c1k
    @Robert-p7c1k 3 หลายเดือนก่อน

    Duh, bado tu wanafanya ukaguzi, mama Samia ingillia kati🤣🤣🤣

  • @giftmeela6250
    @giftmeela6250 3 หลายเดือนก่อน +1

    Unamaanisha nini unaposema hii inakimbia zaidi wakati treni zote mwendo ni 160km/hr maximum.

    • @protasdismas516
      @protasdismas516 3 หลายเดือนก่อน

      Muongo huyo na mbabaishaji, kama ni kweli angesema zimeongezeka speed ngapi kutokea hiyo 160kph ya kawaida

    • @DanielKullwa
      @DanielKullwa 3 หลายเดือนก่อน

      Nadhani kajitamkia tu...maana hajatupa uthibitisho sisi watazamaji...kaitoa wapi

    • @alexissangali8650
      @alexissangali8650 3 หลายเดือนก่อน

      HII INAKIMBIA KULIKO ILE JAPO NI SPIDI SAWA KWA VITU VIWILI
      1.UMBO LAKE LA MCHONGOKO LINAFANYA AIR RESISTANCE INAKUWA NDOGO NA PIA INAWAHI KUCHANGANYA NDANI YA SEKUNDE 15 IKIONDOKA INAFIKA SPIDI 100KM/HR
      2.IDADI YA BEHEWA HII INA BEHEWA 8 INAKUWA NYEPESI, COMFORTABLE NA SMOOTH ILE NYINGINE INA BEHEWA 14
      NA UKIANGALIA ILE RATIBA YA KUONDOKA NA KUFIKA DOM TO DAR MCHONGOKO INATUMIA MASAA 3 DK 15,YA KAWAIDA MASAA 3 DK 50,MORO DK 85, YA KAWAIDA DK 105

  • @KibwayaMsouth
    @KibwayaMsouth 3 หลายเดือนก่อน +2

    Mnazingua kilasiku majaribio aumumeleta kama fashion

    • @karimmkejina980
      @karimmkejina980 3 หลายเดือนก่อน +1

      We vitu vya mabilion uwezi kuweka relini2 haraka haraka

    • @highlife6779
      @highlife6779 3 หลายเดือนก่อน

      Oya hayo ni maisha ya watu mzee. Lazma ukaguzi ufanyike wakutosha

    • @exaverysimon1064
      @exaverysimon1064 3 หลายเดือนก่อน

      HIZ n comment za watu wa chadema yan ukiiona tu wala huhitaj D mbili kuijua😂😂😂😂

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 3 หลายเดือนก่อน

      Na utashangaa cv zao na elimu waliokuwa nao ukute wana diploma au degree za civics na kilimo

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 3 หลายเดือนก่อน +1

    Vipi hao watu wa LATRA wana uwezo gani wa maana wa kukagua treni hizo wakati inaonekana hawaijui hiyo teknologia hata anavyojieleza unajua ni mbabaishaji tu

    • @protasdismas516
      @protasdismas516 3 หลายเดือนก่อน

      Hamna anachokagua, ni ubabaishaji mtupu, treni yenyewe ndo mara yake ya kwanza kuiona atakagua nn

  • @AAAAlphan
    @AAAAlphan 3 หลายเดือนก่อน +1

    Me nataka ya ghorofa maan sisikii tena

  • @tanzanite9944
    @tanzanite9944 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hili jina la "Latra TV" lingeandikwa kwa herufi kubwa zote kwasababu sio tu neno au jina ila kila herufi ina maana yake au inawakilisha neno lake hivyo herufi zote zingeandikwa kwa herufi kubwa (LATRA TV) na sio ndogo. Huu ni Ushauri tuu.

  • @kilogreek4050
    @kilogreek4050 3 หลายเดือนก่อน

    HIYO SI BULET????

  • @cidewashington670
    @cidewashington670 3 หลายเดือนก่อน +3

    Hovyoo kabisa kila siku maneno mengi vitendo vichache

    • @hijazhija316
      @hijazhija316 3 หลายเดือนก่อน

      Wivu.chuki.

  • @aliakrabi8321
    @aliakrabi8321 3 หลายเดือนก่อน +2

    LATRA wanakagua nn sasa wamekaa juu ya viti kama wasafiri

    • @onlinecashtv7037
      @onlinecashtv7037 3 หลายเดือนก่อน

      Huna akili

    • @aliakrabi8321
      @aliakrabi8321 3 หลายเดือนก่อน

      @@onlinecashtv7037 akili yako nzuri sana😄

    • @nth3512
      @nth3512 3 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂 ulitaka wawe chini kweny matairi

    • @exaverysimon1064
      @exaverysimon1064 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@nth3512😂😂😂😂

  • @utopolo543
    @utopolo543 3 หลายเดือนก่อน +1

    wanakagua nini kwa wao ni ndo waundaji? Posho tu

    • @agapemunyi2095
      @agapemunyi2095 3 หลายเดือนก่อน

      Likitokea lolote utarudi kuuliza kwa nn wanapokea tu vitu half hawakagui

    • @zzy1141
      @zzy1141 3 หลายเดือนก่อน

      Kweli utopolo

    • @utopolo543
      @utopolo543 3 หลายเดือนก่อน +3

      @@agapemunyi2095 sasa wanakagua nini wakati wao sio wataalamu wa fani husika? Au latra wana engineers wa hyundai?

    • @mosesnyelo1380
      @mosesnyelo1380 3 หลายเดือนก่อน

      @@utopolo543 unajuaje sio wataalam ila akili za wabongo ni 0 kabsa

    • @godlistenmnkeni2454
      @godlistenmnkeni2454 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@utopolo543 huna akili 😂😂🤦🏾

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 3 หลายเดือนก่อน

    HAN HUM KUNA COMMENT UKIIANGALIA UTAJUA TU KWAMBA HII N COMENT YA CHADEMA 😂😂😂😂 KAZ MNAYO KUITOA CCM BADO SANA 😂😂😂 NAJUA INAWAUMA ILA NDO IVYO HAMNA NAMNA😂😂😂

  • @BernardBenedicto-o9w
    @BernardBenedicto-o9w 3 หลายเดือนก่อน

    😂