LATRA yafanya ukaguzi Treni ya Mchongoko

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 25 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 88

  • @philipisohe8035
    @philipisohe8035 6 วันที่ผ่านมา +35

    East Africa inasonga mbele vizuri na miundo misingi bora. Hong era tz more love from 🇰🇪

    • @Brilliant-k2k
      @Brilliant-k2k 5 วันที่ผ่านมา +3

      Asante jirani

  • @MohamedChillo
    @MohamedChillo 6 วันที่ผ่านมา +18

    Ila mnyonge mnyongeni Rais wetu mama Samia anafanya kazi kubwa sana apewe maua yake ,hongera mama Samia Rais wa URT

    • @PaullyPuyetrov
      @PaullyPuyetrov 6 วันที่ผ่านมา +2

      Katiba mpya ndio tunataka

    • @yustomwaisomania2587
      @yustomwaisomania2587 6 วันที่ผ่านมา +3

      Angekuwepo Jemedari JPM angeleta Ile ya Japan inayokimbia kuliko zote dunian ila ngoja tumpongeze mama kajitahid maana n ngumu kukamilisha kitu alichoki asisi mtu mwingine

    • @iddikimia4951
      @iddikimia4951 6 วันที่ผ่านมา

      Kweli nakubali

    • @hemedrashid2921
      @hemedrashid2921 6 วันที่ผ่านมา +4

      ​@@PaullyPuyetrovkatiba kaandikee wew na mkeooi hatujamaliza vitu vya msingi uleta mambo ya hovyoo au mkimbizii nn wewe😂😂😂

    • @exaverysimon1064
      @exaverysimon1064 5 วันที่ผ่านมา

      TAFTEN HERA KO MNADHAN KATIBA MPYA NDO ITAWALETEA UGAR NYUMBAN KUNAMAMBO YA MSINGI MAKUBWA YA KUFANYA KATIBA IPO NA ITAENDELEA KUWEPO TU KWAN UNADHAN HATA IKIJA MPYA ITAKUWA NA MAAJAB WATUNZI S WALE WALE WABONGO 😢😢😢😢

  • @iddikimia4951
    @iddikimia4951 6 วันที่ผ่านมา +5

    Hongereni watanzania wenzangu cha msingi tuvitunze hata aliyeanzisha atakuwa anafurahi huko aliko,Hongera sana mama etu Raisi wetu mama Samia❤

  • @DafiMohamed-dz8xk
    @DafiMohamed-dz8xk 6 วันที่ผ่านมา +1

    Hongera sana kazi nzuri

  • @dallerbwoyniglo8675
    @dallerbwoyniglo8675 6 วันที่ผ่านมา +5

    Ok jpm anaishi na ataish hata milele

  • @mosesngeleja271
    @mosesngeleja271 4 วันที่ผ่านมา

    Hongera sana mama

  • @abdulrahmankafuku3449
    @abdulrahmankafuku3449 4 วันที่ผ่านมา +1

    ❤❤❤

  • @malengaWetuTv2699
    @malengaWetuTv2699 วันที่ผ่านมา

    Safii

  • @ajsmainde5138
    @ajsmainde5138 2 วันที่ผ่านมา

    sijui kiswahili sababu mimi ni mghana, ila hongereni sana ndugu zetu wakenya.🎉

  • @worldtechlab
    @worldtechlab 6 วันที่ผ่านมา +6

    Mnamaliza lini ukaguzi? When are you starting the operations officially ?

    • @aliamour7815
      @aliamour7815 5 วันที่ผ่านมา

      Trh 1 Nov

    • @worldtechlab
      @worldtechlab 5 วันที่ผ่านมา

      @@aliamour7815na wewe 😂 Muongo mbona umeandika kwa wasiwasi 😂

    • @aliamour7815
      @aliamour7815 5 วันที่ผ่านมา +1

      @@worldtechlab katafut tangaz lao usom

    • @worldtechlab
      @worldtechlab 5 วันที่ผ่านมา

      @@aliamour7815si unipe nione jomoni

    • @worldtechlab
      @worldtechlab 5 วันที่ผ่านมา

      @@aliamour7815ahsante my mpenzi nimeona sasa

  • @HajiKlein-so1rk
    @HajiKlein-so1rk 6 วันที่ผ่านมา +2

    Safi 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🫡

  • @SelemanIsmail-c3z
    @SelemanIsmail-c3z 17 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Hii ni Tanzania

  • @renatusblandes1131
    @renatusblandes1131 6 วันที่ผ่านมา

    Speed hikoje?

  • @michaelrweyemamu1068
    @michaelrweyemamu1068 5 วันที่ผ่านมา

    Ni nzuri sana na Nauli yake nayo ni nzuri sana

    • @abelg2488
      @abelg2488 3 วันที่ผ่านมา

      Nauli imetajwa wapi hapo??

  • @DanielKullwa
    @DanielKullwa 3 วันที่ผ่านมา

    Electric Multiple Unit

  • @SelemanIsmail-c3z
    @SelemanIsmail-c3z 17 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Wazungu hawapendi maendeleo haya. Wanaweza kuleta NATO kuja kuharibu njia yote hiyo ya reli na hizo treni.

  • @JustinMwashilindi
    @JustinMwashilindi 6 วันที่ผ่านมา

    Jambo zuri san

  • @SelemanIsmail-c3z
    @SelemanIsmail-c3z 17 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Tunawajua vizuri ninyi Watanzania! Kuanzia leo mpaka miaka kumi ijayo, hakutakua na mchongoko wa SGR! Itakua takataka tu! Kwani DART iko wapi? Hakuna kitu!!!!!

    • @brysonkaale3003
      @brysonkaale3003 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Kwani BRT haipo?,Treni itakuwa takataka kwa sababu gani,Uchafu uko Kenya siyo hapa Tanzania,Kama mmezoea uchafu Ni nyie,hapa kwetu usafi Ni desturi yetu.

  • @Pmaker19
    @Pmaker19 6 วันที่ผ่านมา +1

    Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @mcback4384
    @mcback4384 6 วันที่ผ่านมา +2

    Mnatumia muda mrefu kukagua kuliko muda waliotumia kuitengeneza, na hamna chochote mnachojua

  • @hadharmakame
    @hadharmakame 6 วันที่ผ่านมา

    #KAZIIENDELEE #MAMA❤❤❤❤

  • @EDWARDSANTOS-ny8sr
    @EDWARDSANTOS-ny8sr 3 วันที่ผ่านมา

    Edward santo's

  • @costofamily4861
    @costofamily4861 5 วันที่ผ่านมา +2

    Magufulification mitano Tena huko huko uliko

  • @HajiMgwami
    @HajiMgwami 5 วันที่ผ่านมา +1

    TUZIDI KUA SMART JAMANI HAYO MAJANI NI NINI TENA HAPO RELINI

    • @MohdSalum-y5i
      @MohdSalum-y5i วันที่ผ่านมา

      Majani yanasaidia kubomoka njia

  • @Robert-p7c1k
    @Robert-p7c1k 4 วันที่ผ่านมา

    Duh, bado tu wanafanya ukaguzi, mama Samia ingillia kati🤣🤣🤣

  • @AbrahBuraheze
    @AbrahBuraheze 4 วันที่ผ่านมา

    mama tufikishie kigoma😂😂😂😂😂😂

  • @ernestsinje9700
    @ernestsinje9700 6 วันที่ผ่านมา

    Tanzania 🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿

  • @erickbabu4404
    @erickbabu4404 6 วันที่ผ่านมา +1

    Nulisoma Ka tren ya mchango du

  • @KibwayaMsouth
    @KibwayaMsouth 6 วันที่ผ่านมา +2

    Mnazingua kilasiku majaribio aumumeleta kama fashion

    • @karimmkejina980
      @karimmkejina980 6 วันที่ผ่านมา +1

      We vitu vya mabilion uwezi kuweka relini2 haraka haraka

    • @highlife6779
      @highlife6779 6 วันที่ผ่านมา

      Oya hayo ni maisha ya watu mzee. Lazma ukaguzi ufanyike wakutosha

    • @exaverysimon1064
      @exaverysimon1064 5 วันที่ผ่านมา

      HIZ n comment za watu wa chadema yan ukiiona tu wala huhitaj D mbili kuijua😂😂😂😂

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 5 วันที่ผ่านมา

      Na utashangaa cv zao na elimu waliokuwa nao ukute wana diploma au degree za civics na kilimo

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 5 วันที่ผ่านมา +1

    Vipi hao watu wa LATRA wana uwezo gani wa maana wa kukagua treni hizo wakati inaonekana hawaijui hiyo teknologia hata anavyojieleza unajua ni mbabaishaji tu

    • @protasdismas516
      @protasdismas516 5 วันที่ผ่านมา

      Hamna anachokagua, ni ubabaishaji mtupu, treni yenyewe ndo mara yake ya kwanza kuiona atakagua nn

  • @maneno_kairuki
    @maneno_kairuki 16 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Wanakagua nini na hawana ujuzi wa treni ya umeme

    • @brysonkaale3003
      @brysonkaale3003 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Chuki kutoka Kenya,tulia jirani na treni lenu la steam engine,mtamaliza miti!

  • @tanzanite9944
    @tanzanite9944 5 วันที่ผ่านมา +1

    Hili jina la "Latra TV" lingeandikwa kwa herufi kubwa zote kwasababu sio tu neno au jina ila kila herufi ina maana yake au inawakilisha neno lake hivyo herufi zote zingeandikwa kwa herufi kubwa (LATRA TV) na sio ndogo. Huu ni Ushauri tuu.

  • @ernestwegga6557
    @ernestwegga6557 6 วันที่ผ่านมา +1

    Utaalam mmepata wspi

    • @karimmkejina980
      @karimmkejina980 6 วันที่ผ่านมา

      @@ernestwegga6557 kwani sikuna ile nyingine inatembea au tatizo watanzania baadh mnapenda sana haraka haraka hicho chombo kitaishi zaidi ya miak30 lazima umakini uwepo kabla haijaanza kazi alafu ndio kanuni za treni sio kama wanajifanyia2

    • @abuelolongavida7261
      @abuelolongavida7261 6 วันที่ผ่านมา +1

      Ni dhambi kubwa kujidharau.....je Kama ingekuwa wazingua ungeuliza hili swali?

    • @Brilliant-k2k
      @Brilliant-k2k 5 วันที่ผ่านมา

      We ujasiri wa kuuliza umepata wapi?

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 5 วันที่ผ่านมา +1

      Ni wababaishaji tu hata wanavyojieleza unaona ni magumashi hawaongei kama wataalamu

  • @AAAAlphan
    @AAAAlphan 6 วันที่ผ่านมา +1

    Me nataka ya ghorofa maan sisikii tena

  • @cidewashington670
    @cidewashington670 6 วันที่ผ่านมา +3

    Hovyoo kabisa kila siku maneno mengi vitendo vichache

    • @hijazhija316
      @hijazhija316 6 วันที่ผ่านมา

      Wivu.chuki.

  • @aliakrabi8321
    @aliakrabi8321 6 วันที่ผ่านมา +2

    LATRA wanakagua nn sasa wamekaa juu ya viti kama wasafiri

    • @onlinecashtv7037
      @onlinecashtv7037 6 วันที่ผ่านมา

      Huna akili

    • @aliakrabi8321
      @aliakrabi8321 6 วันที่ผ่านมา

      @@onlinecashtv7037 akili yako nzuri sana😄

    • @nth3512
      @nth3512 6 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂 ulitaka wawe chini kweny matairi

    • @exaverysimon1064
      @exaverysimon1064 5 วันที่ผ่านมา

      ​@@nth3512😂😂😂😂

  • @giftmeela6250
    @giftmeela6250 5 วันที่ผ่านมา

    Unamaanisha nini unaposema hii inakimbia zaidi wakati treni zote mwendo ni 160km/hr maximum.

    • @protasdismas516
      @protasdismas516 5 วันที่ผ่านมา

      Muongo huyo na mbabaishaji, kama ni kweli angesema zimeongezeka speed ngapi kutokea hiyo 160kph ya kawaida

    • @DanielKullwa
      @DanielKullwa 3 วันที่ผ่านมา

      Nadhani kajitamkia tu...maana hajatupa uthibitisho sisi watazamaji...kaitoa wapi

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 5 วันที่ผ่านมา

    HAN HUM KUNA COMMENT UKIIANGALIA UTAJUA TU KWAMBA HII N COMENT YA CHADEMA 😂😂😂😂 KAZ MNAYO KUITOA CCM BADO SANA 😂😂😂 NAJUA INAWAUMA ILA NDO IVYO HAMNA NAMNA😂😂😂

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 6 วันที่ผ่านมา

    HIYO SI BULET????

  • @utopolo543
    @utopolo543 6 วันที่ผ่านมา +1

    wanakagua nini kwa wao ni ndo waundaji? Posho tu

    • @agapemunyi2095
      @agapemunyi2095 6 วันที่ผ่านมา

      Likitokea lolote utarudi kuuliza kwa nn wanapokea tu vitu half hawakagui

    • @zzy1141
      @zzy1141 6 วันที่ผ่านมา

      Kweli utopolo

    • @utopolo543
      @utopolo543 6 วันที่ผ่านมา +3

      @@agapemunyi2095 sasa wanakagua nini wakati wao sio wataalamu wa fani husika? Au latra wana engineers wa hyundai?

    • @mosesnyelo1380
      @mosesnyelo1380 6 วันที่ผ่านมา

      @@utopolo543 unajuaje sio wataalam ila akili za wabongo ni 0 kabsa

    • @godlistenmnkeni2454
      @godlistenmnkeni2454 6 วันที่ผ่านมา

      ​@@utopolo543 huna akili 😂😂🤦🏾

  • @BernardBenedicto-o9w
    @BernardBenedicto-o9w 6 วันที่ผ่านมา

    😂