Angekuwepo Jemedari JPM angeleta Ile ya Japan inayokimbia kuliko zote dunian ila ngoja tumpongeze mama kajitahid maana n ngumu kukamilisha kitu alichoki asisi mtu mwingine
TAFTEN HERA KO MNADHAN KATIBA MPYA NDO ITAWALETEA UGAR NYUMBAN KUNAMAMBO YA MSINGI MAKUBWA YA KUFANYA KATIBA IPO NA ITAENDELEA KUWEPO TU KWAN UNADHAN HATA IKIJA MPYA ITAKUWA NA MAAJAB WATUNZI S WALE WALE WABONGO 😢😢😢😢
Tunawajua vizuri ninyi Watanzania! Kuanzia leo mpaka miaka kumi ijayo, hakutakua na mchongoko wa SGR! Itakua takataka tu! Kwani DART iko wapi? Hakuna kitu!!!!!
Kwani BRT haipo?,Treni itakuwa takataka kwa sababu gani,Uchafu uko Kenya siyo hapa Tanzania,Kama mmezoea uchafu Ni nyie,hapa kwetu usafi Ni desturi yetu.
Vipi hao watu wa LATRA wana uwezo gani wa maana wa kukagua treni hizo wakati inaonekana hawaijui hiyo teknologia hata anavyojieleza unajua ni mbabaishaji tu
Hili jina la "Latra TV" lingeandikwa kwa herufi kubwa zote kwasababu sio tu neno au jina ila kila herufi ina maana yake au inawakilisha neno lake hivyo herufi zote zingeandikwa kwa herufi kubwa (LATRA TV) na sio ndogo. Huu ni Ushauri tuu.
@@ernestwegga6557 kwani sikuna ile nyingine inatembea au tatizo watanzania baadh mnapenda sana haraka haraka hicho chombo kitaishi zaidi ya miak30 lazima umakini uwepo kabla haijaanza kazi alafu ndio kanuni za treni sio kama wanajifanyia2
HAN HUM KUNA COMMENT UKIIANGALIA UTAJUA TU KWAMBA HII N COMENT YA CHADEMA 😂😂😂😂 KAZ MNAYO KUITOA CCM BADO SANA 😂😂😂 NAJUA INAWAUMA ILA NDO IVYO HAMNA NAMNA😂😂😂
East Africa inasonga mbele vizuri na miundo misingi bora. Hong era tz more love from 🇰🇪
Asante jirani
Ila mnyonge mnyongeni Rais wetu mama Samia anafanya kazi kubwa sana apewe maua yake ,hongera mama Samia Rais wa URT
Katiba mpya ndio tunataka
Angekuwepo Jemedari JPM angeleta Ile ya Japan inayokimbia kuliko zote dunian ila ngoja tumpongeze mama kajitahid maana n ngumu kukamilisha kitu alichoki asisi mtu mwingine
Kweli nakubali
@@PaullyPuyetrovkatiba kaandikee wew na mkeooi hatujamaliza vitu vya msingi uleta mambo ya hovyoo au mkimbizii nn wewe😂😂😂
TAFTEN HERA KO MNADHAN KATIBA MPYA NDO ITAWALETEA UGAR NYUMBAN KUNAMAMBO YA MSINGI MAKUBWA YA KUFANYA KATIBA IPO NA ITAENDELEA KUWEPO TU KWAN UNADHAN HATA IKIJA MPYA ITAKUWA NA MAAJAB WATUNZI S WALE WALE WABONGO 😢😢😢😢
Hongereni watanzania wenzangu cha msingi tuvitunze hata aliyeanzisha atakuwa anafurahi huko aliko,Hongera sana mama etu Raisi wetu mama Samia❤
Hongera sana kazi nzuri
Ok jpm anaishi na ataish hata milele
Hongera sana mama
❤❤❤
Safii
sijui kiswahili sababu mimi ni mghana, ila hongereni sana ndugu zetu wakenya.🎉
Hii ni Tanzania
Mnamaliza lini ukaguzi? When are you starting the operations officially ?
Trh 1 Nov
@@aliamour7815na wewe 😂 Muongo mbona umeandika kwa wasiwasi 😂
@@worldtechlab katafut tangaz lao usom
@@aliamour7815si unipe nione jomoni
@@aliamour7815ahsante my mpenzi nimeona sasa
Safi 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🫡
Hii ni Tanzania
Speed hikoje?
Ni nzuri sana na Nauli yake nayo ni nzuri sana
Nauli imetajwa wapi hapo??
Electric Multiple Unit
Wazungu hawapendi maendeleo haya. Wanaweza kuleta NATO kuja kuharibu njia yote hiyo ya reli na hizo treni.
Jambo zuri san
Tunawajua vizuri ninyi Watanzania! Kuanzia leo mpaka miaka kumi ijayo, hakutakua na mchongoko wa SGR! Itakua takataka tu! Kwani DART iko wapi? Hakuna kitu!!!!!
Kwani BRT haipo?,Treni itakuwa takataka kwa sababu gani,Uchafu uko Kenya siyo hapa Tanzania,Kama mmezoea uchafu Ni nyie,hapa kwetu usafi Ni desturi yetu.
Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Mnatumia muda mrefu kukagua kuliko muda waliotumia kuitengeneza, na hamna chochote mnachojua
#KAZIIENDELEE #MAMA❤❤❤❤
Edward santo's
Magufulification mitano Tena huko huko uliko
TUZIDI KUA SMART JAMANI HAYO MAJANI NI NINI TENA HAPO RELINI
Majani yanasaidia kubomoka njia
Duh, bado tu wanafanya ukaguzi, mama Samia ingillia kati🤣🤣🤣
mama tufikishie kigoma😂😂😂😂😂😂
Tanzania 🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿
Nulisoma Ka tren ya mchango du
Mnazingua kilasiku majaribio aumumeleta kama fashion
We vitu vya mabilion uwezi kuweka relini2 haraka haraka
Oya hayo ni maisha ya watu mzee. Lazma ukaguzi ufanyike wakutosha
HIZ n comment za watu wa chadema yan ukiiona tu wala huhitaj D mbili kuijua😂😂😂😂
Na utashangaa cv zao na elimu waliokuwa nao ukute wana diploma au degree za civics na kilimo
Vipi hao watu wa LATRA wana uwezo gani wa maana wa kukagua treni hizo wakati inaonekana hawaijui hiyo teknologia hata anavyojieleza unajua ni mbabaishaji tu
Hamna anachokagua, ni ubabaishaji mtupu, treni yenyewe ndo mara yake ya kwanza kuiona atakagua nn
Wanakagua nini na hawana ujuzi wa treni ya umeme
Chuki kutoka Kenya,tulia jirani na treni lenu la steam engine,mtamaliza miti!
Hili jina la "Latra TV" lingeandikwa kwa herufi kubwa zote kwasababu sio tu neno au jina ila kila herufi ina maana yake au inawakilisha neno lake hivyo herufi zote zingeandikwa kwa herufi kubwa (LATRA TV) na sio ndogo. Huu ni Ushauri tuu.
Utaalam mmepata wspi
@@ernestwegga6557 kwani sikuna ile nyingine inatembea au tatizo watanzania baadh mnapenda sana haraka haraka hicho chombo kitaishi zaidi ya miak30 lazima umakini uwepo kabla haijaanza kazi alafu ndio kanuni za treni sio kama wanajifanyia2
Ni dhambi kubwa kujidharau.....je Kama ingekuwa wazingua ungeuliza hili swali?
We ujasiri wa kuuliza umepata wapi?
Ni wababaishaji tu hata wanavyojieleza unaona ni magumashi hawaongei kama wataalamu
Me nataka ya ghorofa maan sisikii tena
Subiri
Hovyoo kabisa kila siku maneno mengi vitendo vichache
Wivu.chuki.
LATRA wanakagua nn sasa wamekaa juu ya viti kama wasafiri
Huna akili
@@onlinecashtv7037 akili yako nzuri sana😄
😂😂😂 ulitaka wawe chini kweny matairi
@@nth3512😂😂😂😂
Unamaanisha nini unaposema hii inakimbia zaidi wakati treni zote mwendo ni 160km/hr maximum.
Muongo huyo na mbabaishaji, kama ni kweli angesema zimeongezeka speed ngapi kutokea hiyo 160kph ya kawaida
Nadhani kajitamkia tu...maana hajatupa uthibitisho sisi watazamaji...kaitoa wapi
HAN HUM KUNA COMMENT UKIIANGALIA UTAJUA TU KWAMBA HII N COMENT YA CHADEMA 😂😂😂😂 KAZ MNAYO KUITOA CCM BADO SANA 😂😂😂 NAJUA INAWAUMA ILA NDO IVYO HAMNA NAMNA😂😂😂
HIYO SI BULET????
wanakagua nini kwa wao ni ndo waundaji? Posho tu
Likitokea lolote utarudi kuuliza kwa nn wanapokea tu vitu half hawakagui
Kweli utopolo
@@agapemunyi2095 sasa wanakagua nini wakati wao sio wataalamu wa fani husika? Au latra wana engineers wa hyundai?
@@utopolo543 unajuaje sio wataalam ila akili za wabongo ni 0 kabsa
@@utopolo543 huna akili 😂😂🤦🏾
😂