UCHAMBUZI MZITO WA UCHAGUZI WA UINGEREZA | KASRI LA KIKEKE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ก.ค. 2024
  • Follow us on Social Media Platforms
    Instagram:
    Crown FM - / crownfmtz
    Crown TV - / crowntvtz
    Twitter (X):
    CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
    CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
    Facebook:
    CROWN MEDIA: profile.php?...
    TIKTOK:
    - www.tiktok.com/@crownmedialiv...
    SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz

ความคิดเห็น • 84

  • @EmanuelGeoffrey
    @EmanuelGeoffrey 9 วันที่ผ่านมา +38

    Nani yupo kama mimi bila kusikiza crown Sijisikii vizuri,, kama upo nipe like zako hapo

    • @JoseWilson-vb2di
      @JoseWilson-vb2di 9 วันที่ผ่านมา +1

      @@EmanuelGeoffrey sante sana mkuu

    • @ISSASHABANI-sw7lx
      @ISSASHABANI-sw7lx 9 วันที่ผ่านมา +1

      Tupo wengi tu bila kuskiliza crown tunaumwa tena homa kali sana 😣

  • @abrablack
    @abrablack 9 วันที่ผ่านมา +13

    Yaani BBC hii hapa. Hii imekaa vzur sana. Congratulations Crown media. Hapa ni nyumbani

  • @Ambagaye
    @Ambagaye 9 วันที่ผ่านมา +12

    Kikeke umeleta mabadailiko makubwa sana kwenye utanganzaji wa Tanzania. Crown Media itakuwa media house kubwa sana kutokana na utangazaji wako.

  • @MuharramHassan-gc3wl
    @MuharramHassan-gc3wl 9 วันที่ผ่านมา +6

    Sijawahi kucomment hata siu moja ila leo namimi nimejaribu yoye sababu hii ni channel ya watanzania kikeke allah akubariki na pia akuhifadhi kwa kuibadilisha tasnia yetu tanzania kama upo mamimi like hapo

  • @CostantinoFredrick-dw8nh
    @CostantinoFredrick-dw8nh 9 วันที่ผ่านมา +10

    Kipindi kikubwa sana, kinachochambua Kwa kina,crown oko vzuri

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky 9 วันที่ผ่านมา +8

    Congratulations Crown radio 👊

  • @albertjames6845
    @albertjames6845 9 วันที่ผ่านมา +8

    Kikeke ni hazina ya tasnia ya Habari

  • @ELIAMICHAEL46
    @ELIAMICHAEL46 9 วันที่ผ่านมา +6

    Hapa ni nyumbanii crown Media on fire 🔥

  • @Sampovoice8088
    @Sampovoice8088 9 วันที่ผ่านมา +6

    Crown 👑 media

  • @godwinkasaizi882
    @godwinkasaizi882 7 วันที่ผ่านมา +1

    Hivi Salim hicho kipaji Huwa unakumbuka kumshikuru Mungu. Yan unatangaza vizuri kiasi kwamba mtu huchoki kusikia. Hii imekaa vizuri san. Mungu AKUPE maisha marefu

  • @fadhilimpini
    @fadhilimpini 9 วันที่ผ่านมา +5

    Wakwanza from 🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @ahmedronga7583
    @ahmedronga7583 9 วันที่ผ่านมา +11

    Sasa BBC ya nini wakati kila kitu tunakipata hapa

    • @barakaPaulo-ei8zp
      @barakaPaulo-ei8zp 9 วันที่ผ่านมา

      Hahaha qubaliiii sanaaaaa

    • @Fadhilimwamlima
      @Fadhilimwamlima 9 วันที่ผ่านมา +1

      Na kikeke Ana watu ambao alifanya nao kazi bbc kwaiyo lazima apate Habari nyingi inje ya nchi

  • @user-iu1ym3dc2i
    @user-iu1ym3dc2i 9 วันที่ผ่านมา +5

    Tudo ndani ya mozambiqui

  • @MaarufuAmani-bq6qc
    @MaarufuAmani-bq6qc 9 วันที่ผ่านมา +6

    Hii radio itafika mbali sana

    • @KHALFAN-m4o
      @KHALFAN-m4o 9 วันที่ผ่านมา

      Inshallah

  • @amirlehao8945
    @amirlehao8945 9 วันที่ผ่านมา +3

    Bila shala zuhura yunusu anahitajika hapa weka na Charles Hillary

  • @KS-iw7qv
    @KS-iw7qv 7 วันที่ผ่านมา +2

    Kule Wasafi upuuzi mwingi na umbea.... Hii ndio tulikuwa tunataka watz 🇹🇿 kupata elimu sahihi

  • @JumaMatiko-zp5nm
    @JumaMatiko-zp5nm 7 วันที่ผ่านมา

    Hongera sana Salim kikeke wa tanzania tulikuwa tumeikosa Sana sauti yako brother!.Ulipotoka bbc tulikuwa tumeikosa sauti yako Sana.

  • @juliusmsegu3347
    @juliusmsegu3347 7 วันที่ผ่านมา

    Kuanzia sasa jinanjisajii kua mwanafamilia wa hiki kipindi. Yaan ni BBC mtupu. Hongera king kiba hongera pia Salim kikieke. Hii ndio maana ya chombo cha habari. Burudani sawa lakini habari kama za muhimu ndio msingi wa kitu kinachoitwa chombo cha habari. Hii ndio itakayotofautisha kati ya redio za udaku na chombo cha habari. Big up sana crown Media

  • @JoseWilson-vb2di
    @JoseWilson-vb2di 9 วันที่ผ่านมา +2

    Kwel mmeleta mapinduzi makubwa ya habari hongereni sana tena sana najivunia kuwa mwanafamilia wa grown media nikiwa hapa njombe makambako

    • @EmanuelGeoffrey
      @EmanuelGeoffrey 9 วันที่ผ่านมา +1

      Karibu mwana makambko mwenzang

  • @Oficialkb
    @Oficialkb 9 วันที่ผ่านมา +2

    Jaman ongezen vipinde bila crown tuwende maana tushazoea burudan, fanyen kwel basi 🔥🔥🔥🔥🔥

    • @fadhilisule
      @fadhilisule 6 วันที่ผ่านมา

      We kikeke weeewe dah BBC yangu imerudi karibu kabisa

  • @haidhabushiri9558
    @haidhabushiri9558 9 วันที่ผ่านมา +2

    That is democracy

  • @carolernest9222
    @carolernest9222 9 วันที่ผ่านมา +1

    Mapinduzi ya industry ya habari 🔥

  • @official_m.jay255
    @official_m.jay255 9 วันที่ผ่านมา +2

    Aminia croun

  • @petermgaya9693
    @petermgaya9693 7 วันที่ผ่านมา

    Huu ndio uchambuzi sasa. Hongera kikeke

  • @mwendajr6035
    @mwendajr6035 8 วันที่ผ่านมา

    Mnatisha sana crown media

  • @barakamfilinge6943
    @barakamfilinge6943 9 วันที่ผ่านมา +2

    Uchambuzi mzuri sana na kipindi Cha kuelimisha sana

    • @ISSASHABANI-sw7lx
      @ISSASHABANI-sw7lx 9 วันที่ผ่านมา +1

      Sasa utachaguwa wewe kama kuskiliza juma lokole aliebkuwa hajuwi nini maana ya habari ama kuskiliza redio ya watu walio somea habar

    • @Fadhilimwamlima
      @Fadhilimwamlima 9 วันที่ผ่านมา

      ​@@ISSASHABANI-sw7lxmsanii amenunuwa jumba la kifahari 😂😂😂

    • @barakamfilinge6943
      @barakamfilinge6943 5 วันที่ผ่านมา

      @@ISSASHABANI-sw7lx 😃😃😃

  • @jinsiyakutengezavijora8909
    @jinsiyakutengezavijora8909 9 วันที่ผ่านมา +3

    Watuache t2 midia zote

  • @saidjuma9782
    @saidjuma9782 6 วันที่ผ่านมา

    Yeeebabah 😇 😇 😇

  • @math2sany97
    @math2sany97 9 วันที่ผ่านมา +2

    Tuko pamoja

  • @frankyeye
    @frankyeye 6 วันที่ผ่านมา

    Crown media so hot

  • @bensonmwakalindile8545
    @bensonmwakalindile8545 9 วันที่ผ่านมา

    Aiseeh hongeren kama crown,na kikeke na timu yako.keep it up.kaz nzur

  • @linnashayo6710
    @linnashayo6710 8 วันที่ผ่านมา

    Aiseee hii crown nimeipenda buure

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 9 วันที่ผ่านมา +1

    Hapa ni home

  • @paul1985ization
    @paul1985ization 9 วันที่ผ่านมา +1

    Ile Radio ya Familia inaaanza kukosa uhalali. Niwaombe sana Crown msiweke uchawa sana. Uchawa unagawa watu. Kuweni fair kwa kila mtu. Sisi sote ni nchi moja.

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 9 วันที่ผ่านมา

      Hamna chawa hapo hapo professionalism ndio imezingatiwa ndo maana kila mtu kakaa kwenye sehemu yake sio mtu mmoja anachambua lila kitu kikee huwezi mfananisha na mtu yoyote kibongo bongo Huyu alikua mwanahabari wakimataifa

  • @Fadhilimwamlima
    @Fadhilimwamlima 9 วันที่ผ่านมา

    Abu mleteni crown 👑

  • @Lamar-e4t
    @Lamar-e4t 9 วันที่ผ่านมา

    Crown 4Life 💥🔥🔥🔥

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 9 วันที่ผ่านมา +1

    ✌️👍👊.

  • @dicksontimotheo7617
    @dicksontimotheo7617 9 วันที่ผ่านมา +3

    bila crown hakuna masisha naona siku haziendi kabisa

  • @HamimuMakumba
    @HamimuMakumba 5 วันที่ผ่านมา

    🎉

  • @rajabumhasha8468
    @rajabumhasha8468 9 วันที่ผ่านมา

    Hongera crown

  • @JemesSakala
    @JemesSakala 9 วันที่ผ่านมา +1

    ❤❤❤❤❤❤

  • @Ufahamu-01
    @Ufahamu-01 7 วันที่ผ่านมา

    Safii kikeke

  • @WiliamTomas-oo9kb
    @WiliamTomas-oo9kb 8 วันที่ผ่านมา

    Noma sana kumbe utamu uko uku

  • @khamzdady7977
    @khamzdady7977 8 วันที่ผ่านมา

    🔥🔥🔥👑

  • @azizaomary2568
    @azizaomary2568 8 วันที่ผ่านมา

    ❤❤❤❤

  • @user-iu1ym3dc2i
    @user-iu1ym3dc2i 9 วันที่ผ่านมา +3

    Poa

  • @alcadoathumani9957
    @alcadoathumani9957 6 วันที่ผ่านมา

    Kweli hapa ninyumbani

  • @abukhadija1993
    @abukhadija1993 9 วันที่ผ่านมา +1

    🎉🎉🎉🎉🎉

  • @danielmgalla558
    @danielmgalla558 9 วันที่ผ่านมา +2

    Bonge la kipindi

  • @saidalhinai1131
    @saidalhinai1131 7 วันที่ผ่านมา

    Vita vya Gaza vitaleta mageuzi mengi uk ufaransa na usa na ulaya yote

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 9 วันที่ผ่านมา +1

    Kipindi kimetuliya sio vya fujo vya kinanihi kule

  • @mosescalvinnyoha120
    @mosescalvinnyoha120 9 วันที่ผ่านมา

    🎉🎉🎉🎉

  • @KassimAlly-xp4dz
    @KassimAlly-xp4dz 7 วันที่ผ่านมา

    Na ccm pia itaondoka madarakani In Shaa Allah anaebisha aje na hoja

  • @WilliumJoseph-i8w
    @WilliumJoseph-i8w 9 วันที่ผ่านมา

    Maana halisi ya combo cha habari ✊

  • @Fadhilimwamlima
    @Fadhilimwamlima 9 วันที่ผ่านมา

    Crown 👑 nihatari sana tz , midea zingine utasikia msani flani amenunuwa gari jipya😅😂

    • @EmmanulYoram
      @EmmanulYoram 9 วันที่ผ่านมา

      😅😅😅

  • @lucymsheshi5871
    @lucymsheshi5871 8 วันที่ผ่านมา

    Huyu jamaa ni kichwa

  • @ISSASHABANI-sw7lx
    @ISSASHABANI-sw7lx 9 วันที่ผ่านมา +1

    Kuna wapuuzi walisema oooh salum kikeke katoka bbc kaja kuajiriwa na crown sasa kama walikuwa hawajuwi hichi ndo kilicho mfanya ali kiba mbaka amvute kikeke

    • @Japanese-lz1or
      @Japanese-lz1or 6 วันที่ผ่านมา

      Amvute wapi wakati wote ni wamiliki wa hio media kikeke na alikiba wote wameweka shares hapo

  • @funforfunnychannel
    @funforfunnychannel 8 วันที่ผ่านมา

    Yan kikeke tunahisi kama bbc vile tu

  • @abukhadija1993
    @abukhadija1993 9 วันที่ผ่านมา +1

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @Yegon254
    @Yegon254 9 วันที่ผ่านมา

    Hii ni kubwa zaidi

  • @adelinakihwelo721
    @adelinakihwelo721 9 วันที่ผ่านมา +1

    BBC

  • @AliDulla
    @AliDulla 9 วันที่ผ่านมา

    Bbc kiba umeweza bro

  • @allyiddy4542
    @allyiddy4542 7 วันที่ผ่านมา

    Azam chanel namba ngapiiiiii ?

  • @EtieniRama
    @EtieniRama 9 วันที่ผ่านมา

    ❤❤❤😂😂❤❤❤😮

  • @ayubugeorge2168
    @ayubugeorge2168 7 วันที่ผ่านมา

    Zelensk hana uhalari wa kuwa Raisi Muda wake ulishapita

  • @MwigaAdam
    @MwigaAdam 9 วันที่ผ่านมา

    Democrasia yakweli na furaha zaidi

    • @petermgaya9693
      @petermgaya9693 7 วันที่ผ่านมา

      Sana aisee Democrasia ya Hali ya juu mno, chama kinaondoka kinakuja chama kingine

  • @softsoftbby8013
    @softsoftbby8013 8 วันที่ผ่านมา

    Kapata ushindi kwa sababu ya waislam,waislam walionesha nguvu ya ummoja

  • @WilliumJoseph-i8w
    @WilliumJoseph-i8w 9 วันที่ผ่านมา

    🎉

  • @sadikiissa2454
    @sadikiissa2454 9 วันที่ผ่านมา

    ❤❤❤❤