UCHAMBUZI MZITO WA UCHAGUZI WA UINGEREZA | KASRI LA KIKEKE
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 ก.ค. 2024
- Follow us on Social Media Platforms
Instagram:
Crown FM - / crownfmtz
Crown TV - / crowntvtz
Twitter (X):
CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
Facebook:
CROWN MEDIA: profile.php?...
TIKTOK:
- www.tiktok.com/@crownmedialiv...
SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz
Nani yupo kama mimi bila kusikiza crown Sijisikii vizuri,, kama upo nipe like zako hapo
@@EmanuelGeoffrey sante sana mkuu
Tupo wengi tu bila kuskiliza crown tunaumwa tena homa kali sana 😣
Yaani BBC hii hapa. Hii imekaa vzur sana. Congratulations Crown media. Hapa ni nyumbani
Kikeke umeleta mabadailiko makubwa sana kwenye utanganzaji wa Tanzania. Crown Media itakuwa media house kubwa sana kutokana na utangazaji wako.
Sijawahi kucomment hata siu moja ila leo namimi nimejaribu yoye sababu hii ni channel ya watanzania kikeke allah akubariki na pia akuhifadhi kwa kuibadilisha tasnia yetu tanzania kama upo mamimi like hapo
Kipindi kikubwa sana, kinachochambua Kwa kina,crown oko vzuri
Congratulations Crown radio 👊
Kikeke ni hazina ya tasnia ya Habari
Hapa ni nyumbanii crown Media on fire 🔥
Crown 👑 media
Hivi Salim hicho kipaji Huwa unakumbuka kumshikuru Mungu. Yan unatangaza vizuri kiasi kwamba mtu huchoki kusikia. Hii imekaa vizuri san. Mungu AKUPE maisha marefu
Wakwanza from 🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Sasa BBC ya nini wakati kila kitu tunakipata hapa
Hahaha qubaliiii sanaaaaa
Na kikeke Ana watu ambao alifanya nao kazi bbc kwaiyo lazima apate Habari nyingi inje ya nchi
Tudo ndani ya mozambiqui
Hii radio itafika mbali sana
Inshallah
Bila shala zuhura yunusu anahitajika hapa weka na Charles Hillary
Kule Wasafi upuuzi mwingi na umbea.... Hii ndio tulikuwa tunataka watz 🇹🇿 kupata elimu sahihi
Hongera sana Salim kikeke wa tanzania tulikuwa tumeikosa Sana sauti yako brother!.Ulipotoka bbc tulikuwa tumeikosa sauti yako Sana.
Kuanzia sasa jinanjisajii kua mwanafamilia wa hiki kipindi. Yaan ni BBC mtupu. Hongera king kiba hongera pia Salim kikieke. Hii ndio maana ya chombo cha habari. Burudani sawa lakini habari kama za muhimu ndio msingi wa kitu kinachoitwa chombo cha habari. Hii ndio itakayotofautisha kati ya redio za udaku na chombo cha habari. Big up sana crown Media
Kwel mmeleta mapinduzi makubwa ya habari hongereni sana tena sana najivunia kuwa mwanafamilia wa grown media nikiwa hapa njombe makambako
Karibu mwana makambko mwenzang
Jaman ongezen vipinde bila crown tuwende maana tushazoea burudan, fanyen kwel basi 🔥🔥🔥🔥🔥
We kikeke weeewe dah BBC yangu imerudi karibu kabisa
That is democracy
Mapinduzi ya industry ya habari 🔥
Aminia croun
Huu ndio uchambuzi sasa. Hongera kikeke
Mnatisha sana crown media
Uchambuzi mzuri sana na kipindi Cha kuelimisha sana
Sasa utachaguwa wewe kama kuskiliza juma lokole aliebkuwa hajuwi nini maana ya habari ama kuskiliza redio ya watu walio somea habar
@@ISSASHABANI-sw7lxmsanii amenunuwa jumba la kifahari 😂😂😂
@@ISSASHABANI-sw7lx 😃😃😃
Watuache t2 midia zote
Yeeebabah 😇 😇 😇
Tuko pamoja
Crown media so hot
Aiseeh hongeren kama crown,na kikeke na timu yako.keep it up.kaz nzur
Aiseee hii crown nimeipenda buure
Hapa ni home
Ile Radio ya Familia inaaanza kukosa uhalali. Niwaombe sana Crown msiweke uchawa sana. Uchawa unagawa watu. Kuweni fair kwa kila mtu. Sisi sote ni nchi moja.
Hamna chawa hapo hapo professionalism ndio imezingatiwa ndo maana kila mtu kakaa kwenye sehemu yake sio mtu mmoja anachambua lila kitu kikee huwezi mfananisha na mtu yoyote kibongo bongo Huyu alikua mwanahabari wakimataifa
Abu mleteni crown 👑
Crown 4Life 💥🔥🔥🔥
✌️👍👊.
bila crown hakuna masisha naona siku haziendi kabisa
🎉
Hongera crown
❤❤❤❤❤❤
Safii kikeke
Noma sana kumbe utamu uko uku
🔥🔥🔥👑
❤❤❤❤
Poa
Kweli hapa ninyumbani
🎉🎉🎉🎉🎉
Bonge la kipindi
Vita vya Gaza vitaleta mageuzi mengi uk ufaransa na usa na ulaya yote
Kipindi kimetuliya sio vya fujo vya kinanihi kule
🎉🎉🎉🎉
Na ccm pia itaondoka madarakani In Shaa Allah anaebisha aje na hoja
Maana halisi ya combo cha habari ✊
Sio combo
Ni chombo
Crown 👑 nihatari sana tz , midea zingine utasikia msani flani amenunuwa gari jipya😅😂
😅😅😅
Huyu jamaa ni kichwa
Kuna wapuuzi walisema oooh salum kikeke katoka bbc kaja kuajiriwa na crown sasa kama walikuwa hawajuwi hichi ndo kilicho mfanya ali kiba mbaka amvute kikeke
Amvute wapi wakati wote ni wamiliki wa hio media kikeke na alikiba wote wameweka shares hapo
Yan kikeke tunahisi kama bbc vile tu
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Hii ni kubwa zaidi
BBC
Bbc kiba umeweza bro
Azam chanel namba ngapiiiiii ?
❤❤❤😂😂❤❤❤😮
Zelensk hana uhalari wa kuwa Raisi Muda wake ulishapita
Democrasia yakweli na furaha zaidi
Sana aisee Democrasia ya Hali ya juu mno, chama kinaondoka kinakuja chama kingine
Kapata ushindi kwa sababu ya waislam,waislam walionesha nguvu ya ummoja
🎉
❤❤❤❤