USIOYAJUA KUHUSU SALIM KIKEKE "NINGEKUWA TANZANIA NINGEKUWA MILIONEA"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ส.ค. 2024

ความคิดเห็น • 304

  • @jofleyshiuga5573
    @jofleyshiuga5573 5 ปีที่แล้ว +114

    Kama unamkubali Mr kikeke gonga like twende sawa

  • @khadijajuma3887
    @khadijajuma3887 5 ปีที่แล้ว +36

    Uko vizur kikeke ww na zuhura yunus mko juu sana Nawapenda sana

  • @epifaniamponda4491
    @epifaniamponda4491 5 ปีที่แล้ว +52

    Huyu brother kikeke bhana nampenda wallah dah sauti yake tu mimi ndoinanikoshaga ameenda nje lakn kiswahili kipo vzr hakija haribikiwa na rugha ngeni 💪💪💪💪💪🙏🙏🙏💕💕💕💕

    • @muuchaynampembammoja7581
      @muuchaynampembammoja7581 5 ปีที่แล้ว +1

      Sas ukute mtu ameend cku 3 tu yaan amesahau had kiswahil

    • @edson_619
      @edson_619 5 ปีที่แล้ว

      Saut nzuri,,,,

    • @elenzianjk5543
      @elenzianjk5543 5 ปีที่แล้ว +1

      Epifania mponda wewe upo ndani lakini unaandika "rugha" badala ya "lugha" ukisafiri si ndio itakua taabu!?

  • @mr_yassinofficial
    @mr_yassinofficial 5 ปีที่แล้ว +46

    Burundi tunampenda saana salim kikeke ❤🇧🇮

  • @goodnessmchome2429
    @goodnessmchome2429 5 ปีที่แล้ว +46

    Kikeke napenda utangazaji wako upo vizuri kwa kweli

  • @frankmandaya4141
    @frankmandaya4141 5 ปีที่แล้ว +82

    Wanaojua kiingeraza hawajisemi, ingekuwa waswahili wenzangu na Mimi ingekuwa yes, no, uknowoo mbwembwe nyingiiiiii pumbavi zenu

    • @ibrahimhungu4783
      @ibrahimhungu4783 5 ปีที่แล้ว

      Frank Mandaya 😂😂😂

    • @wahidawahida6675
      @wahidawahida6675 5 ปีที่แล้ว

      Umeona ee

    • @omeysuper
      @omeysuper 5 ปีที่แล้ว

      kwel kbsa

    • @josephramadhan767
      @josephramadhan767 5 ปีที่แล้ว

      mara as you know ,may be ,oh this is impossible upumbavu mtupu ,lkn hawa wanaojua kiingereza hawazungumz wala hawajionesh

    • @lwihokajigili24
      @lwihokajigili24 5 ปีที่แล้ว

      wandali mko wapi gonga like hapa

  • @djfiremoto3429
    @djfiremoto3429 5 ปีที่แล้ว +102

    HUYU MWAMBA NAMPENDA KWASABABU HAIGIZI MAISHA HATA CHEMBE ANAONGEA HALI HALISI YA MAISHA ANAYOYAISHI SAFI SANA HEBU GONGA LIKE HAPA KAMA UNAKUBALIANA NA MIMI @djfire_tz😂

  • @mimosapudica1894
    @mimosapudica1894 5 ปีที่แล้ว +28

    Ukimsikiliza Kama anatangaza kumbe yeye ndiye anahojiwa...GOT

  • @amanikinisa5864
    @amanikinisa5864 5 ปีที่แล้ว +23

    Hongera sana kaka salim kike kwa kweli kazi yako ya utangazaji unaifanya vema sanaa.Lakini Tanzania ndio nchi yako hapo uwe wazi.

  • @thomasraiton7760
    @thomasraiton7760 5 ปีที่แล้ว +56

    Unatakiwa nawewe uwe connected, nimeipenda sana hii kauli, lazima ujue KUJIONGEZA

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan6365 5 ปีที่แล้ว +10

    Love you Brother *KIKEKE* napenda kazi yako, uko vizur sana.

  • @kasimuyahaya4010
    @kasimuyahaya4010 5 ปีที่แล้ว +28

    Umetufunza mengi kwenye interview yako unaitangaza Lugha ya Kiswahili vizuri

  • @SuperKibwana
    @SuperKibwana 5 ปีที่แล้ว +2

    Nimejifunza mengi sana kuhusu Ndugu Kikeke. Asante sana Milad Ayo, Asante sana Salim Kikeke.

  • @frankmnale1900
    @frankmnale1900 5 ปีที่แล้ว +16

    Kiswahili pure
    Hakuna kujifanyisha KiswaEnglish kama wenzetu walivo

  • @grecioussilas9885
    @grecioussilas9885 5 ปีที่แล้ว +33

    Salim kuhusu urai umetukwepa...hapo sema ukweli nikikutazama uingereza pameshakumeza sana

    • @ismailbuchwa398
      @ismailbuchwa398 5 ปีที่แล้ว +2

      Hilo linaeleweka kabisa mana ukitumia passport ya uingereza una opportunites za kuzunguka takriban dunia nzima bila visat

  • @maanomohammed1619
    @maanomohammed1619 5 ปีที่แล้ว +30

    One day ntafanya nae kazi inshaallah

  • @Bensonfrank25
    @Bensonfrank25 5 ปีที่แล้ว +8

    KIKEKE ANA SAUTI NZURI SANA! Dope voice

    • @jaybrown9338
      @jaybrown9338 ปีที่แล้ว

      Tapeli tuu uyo uku UK
      Maneno mengi bila vitendo

  • @norbethathuman9739
    @norbethathuman9739 5 ปีที่แล้ว +37

    Sijasikia kizungu hapa ila angekuwa mtu anayeishi tz shida kwa kweli ze is kibao kwenye maelezo

  • @thegirl1405
    @thegirl1405 5 ปีที่แล้ว +6

    Masha Allah hongera sana yaani nimeipenda story yako 💪 💪 💪

  • @tumainlyimo9230
    @tumainlyimo9230 5 ปีที่แล้ว +6

    Bro kikeke unaishi maisha ya kiualisia,safi Sana kaka nmefurahi

  • @khadijak3065
    @khadijak3065 5 ปีที่แล้ว +11

    Salamaa alleyko kaka saalm Mimi natamani. Munipe hiyoo nafasi ya kulea mtoto. Mimi ni mama. Wa mtoto mmoja. Wa kike natamani kuja wingereza lakini sina muongozoo na ninatokea tanga mjini makorora na kazi za nyumbani na kutazama watoto. Nipo makini kwa sasa hivi nipo mascat naomba kaka upokee salamu zangu huwaa nakufuatiliaga sana sasa Leo nimeona unafanya intavyoo. Nakuomba. Kaka Saalm munikubaliee maombi yangu. Mungu ni bariki maobi yangu ya sikilizwe asante ukinijibu nitashukuruu. Sana sana

    • @khadijak3065
      @khadijak3065 5 ปีที่แล้ว

      @likoni tv salaama alleyko daaa asanteee nashkuru sijui atanisikilza nakuomba mungu anisikilize anatumia jina hilihili.

    • @khadijak3065
      @khadijak3065 5 ปีที่แล้ว +1

      Asantee tayari nimesha mtumia ujumbe asantee nashkuru sana

    • @maryammaram2612
      @maryammaram2612 5 ปีที่แล้ว

      Hujambo bi Khadija mi mtanga mwenzio natokea sahare makorora nakujaga kununua miguu ya kuku na vipaja.. so my kama hutojal naomba nitumie namba zako mi naweza kukuungisha kwa mtu akakusaidia safari ya London kwaajili ya uangalizi wa watoto.. karibu suwaq Oman

    • @khadijak3065
      @khadijak3065 5 ปีที่แล้ว

      @@maryammaram2612 oooooo asanteee kwa upende wako mariamu mbona nimeshapata muongozoo asantee kwa kuliona hilo namba ya simu sina tunatumiaga chombo kwa hewaa

    • @juliusjohn9453
      @juliusjohn9453 5 ปีที่แล้ว +1

      Mwanao utamuachaje?

  • @bitequity845
    @bitequity845 5 ปีที่แล้ว +3

    Yaan BBC akitangaza yey napenda sana..love this guy so Munch

  • @nan8731
    @nan8731 5 ปีที่แล้ว +3

    Ni kweli swala la Uraia si kitu cha kusumbua.mimi mwenyewe mkenya nimemuoa mpare kutoka same miaka 6 sasa mwanangu kazaliwa nairobi na sasa nko marekani na nina imani nitaongeza mwingine hapa. Ayo TV na Salim kudos

  • @abdallaramadhan3850
    @abdallaramadhan3850 5 ปีที่แล้ว +1

    Hongera sana ,kaka..nakukubali sana ,utqngaazaji wako unanikumbusha mbali sana,hakika umo ktk watangazi bora sana ,kama vile akina Oumiyl kheiyr wa D.W,Aisha Yahya wa BBC ,Chama Omar Matata no,kwa hakika hawa siwakumbuki ujana wao ktk kazi ila uzee wao unaonesha kweli ni watangazaji na si wasomaji habari.Viva Kikeke.

  • @yassinm69
    @yassinm69 5 ปีที่แล้ว +11

    Kumbe sauti yake ya utangazaji kazaliwa nayo huyo ni Salim kikeke

  • @shumamasima6747
    @shumamasima6747 5 ปีที่แล้ว +6

    Kikeke saut inakubeba xaana hongela saana bg

  • @helenamwaipopo967
    @helenamwaipopo967 5 ปีที่แล้ว +3

    Ni mtangazaji mzuri pia sauti yake inavutia kuendelea kusikiliza BBC in Swahili big up bro

  • @roseswai5570
    @roseswai5570 5 ปีที่แล้ว +1

    My Role Model,yaani nampenda Kikeke buuree jamani. Sauti yake nzuri sana. Ni mmoja kati ya wanaume wazuri.sana japo anaishi nchi ya ughaibuni hana mashauzi hata kidogo. Upo vzr handsome kipaji unacho hongeta sana sana.

  • @eliazarinyakiema1969
    @eliazarinyakiema1969 4 ปีที่แล้ว +5

    Bora tukalee watoto England,, paundi 15 kwa SAA😁😁😁

  • @canaltanganyika2672
    @canaltanganyika2672 ปีที่แล้ว

    Hongera sana, kwa kazi zako bwana Millard Ayo. Ninaïtwa Madiba niko DRC kama muandishi wa habari.

  • @massawejacob
    @massawejacob ปีที่แล้ว +1

    Karibu home karibu saana....wako akina ntetena na under same jua..wapo akina star ...nakumbuka pia ti mhand wote walirejea na mambo yaka mema nawe pia naamin saa utakuwa Likeke maana ulikwenda kama kakeke (kadogo kadogo) na umerudi ukiwa umesonga vyema. International exposures umepata ..umejifinza mengi siamin kwamba ulituliaaa tu bila kusoma ? Ntacheka saana ikiwa hukujiendeleza 😂
    Karibu nyumbani Mh Salim ..karibu sana

  • @sadickadriano2073
    @sadickadriano2073 5 ปีที่แล้ว +5

    Ndo maana wazungu hawazaani, maana kwa jinsi alivohadithia malezi ni changamoto.

  • @bakilingwelegulile4062
    @bakilingwelegulile4062 4 ปีที่แล้ว +1

    Inshaallah A dream a coming to be a true my brother from another mother

  • @yusuf02said6
    @yusuf02said6 5 ปีที่แล้ว +6

    Maswali yamezidi kuwa personal sana duu. Huyu

  • @meddyyassin4741
    @meddyyassin4741 5 ปีที่แล้ว +4

    Angekua mhaya huyu jamaa,,basi chamoto tungekiona hapa😄😄

  • @estargabriel8362
    @estargabriel8362 5 ปีที่แล้ว +4

    huyu jamaa yuko vzr sana sio mtu wa kujikweza wala hana majivuno ww ndo mzalendo

  • @amenyemwansile7943
    @amenyemwansile7943 4 ปีที่แล้ว +1

    Aah kumbe ni mnyakyusa wa mbeya big up Kaka mkubwa

  • @masuseleman978
    @masuseleman978 5 ปีที่แล้ว +2

    Kamanda kikeke.one love bro

  • @mako331
    @mako331 5 ปีที่แล้ว +1

    We love you bro, unatuwakilisha vyema

  • @agapesaligawesasaligawesa2781
    @agapesaligawesasaligawesa2781 5 ปีที่แล้ว +2

    Yes Maischa ya uku ukizaaa mtoto mnalea wenyewe

  • @jerryalfredngailo6106
    @jerryalfredngailo6106 5 ปีที่แล้ว +1

    Uko poa brother salim nakukubali kabisa ndagha mwalyafyale ila kaa sawa na mkeo mtunze watoto vizuri

  • @ashuashu3843
    @ashuashu3843 5 ปีที่แล้ว +17

    Nimependa sana uliposema raiya wa ulimwengu na hakika Allah amekupa upeo wa kuona mbali,maana kuna binadamu huwa na fikra za kuishi milele dunian,huona ardhi ni milik za daima kwao.

  • @Diamondvideomix
    @Diamondvideomix 5 ปีที่แล้ว +4

    Talented one 🤩

  • @sheisgodorait5721
    @sheisgodorait5721 5 ปีที่แล้ว +7

    Yaani Wewe nakukubali nimtangazaji moja wapo wa mfano ubarikiwe

  • @EnockpetroKiswalucha
    @EnockpetroKiswalucha ปีที่แล้ว

    Hongera Sana Salim kikeke kwa utangazaji mzur wa shirika la habar bbc

  • @stanslausangelus8714
    @stanslausangelus8714 5 ปีที่แล้ว +5

    Salim hongera,ila kuhusu mwanao uraia Mmh!

    • @gerardnibikora839
      @gerardnibikora839 5 ปีที่แล้ว

      Salim pia, kwa mfn huku Canada, wameweka kiwango cha mshahala kwa kila mfanyakazi wakipato cha chini lazima alipwe. Kwahiyo mwisho wa siku mfanyakazi huu hatakubali kulipwa pesa kidogo na wakati anaweza kupata mshahala sawa na wengine .

  • @happinesstesha7061
    @happinesstesha7061 2 ปีที่แล้ว

    Nakupenda sana kikeke nisipo kuona unatangaza bbc dahhh, kazi yako naipenda.

  • @elicatustryphone7949
    @elicatustryphone7949 4 ปีที่แล้ว

    Ayo tv juuu sana Salim kikeke juuu zaidi

  • @festohamad4174
    @festohamad4174 5 ปีที่แล้ว +1

    Namkubali brother salim kikeke

  • @amourzubeir7306
    @amourzubeir7306 4 ปีที่แล้ว +1

    "Wakupe muda ambao unarandana na kazi yko" dah!! Big up kiswahili hicho yani yupo sawa huyu kaka

  • @flaviousbenedict6489
    @flaviousbenedict6489 5 ปีที่แล้ว +1

    Huyu jamaa nampenda sana kwakweli ni mtangazaji mzuri sana. Siku hizi mtu unaishi popote kikubwa ni pesa na uhai

  • @laurentmaganga1027
    @laurentmaganga1027 ปีที่แล้ว

    Kikeke you are a star

  • @mohamedmohamed614
    @mohamedmohamed614 5 ปีที่แล้ว +5

    Duh umenifurahisha hapo kusema raia wa ulimwengu kikeke heshima kuwako;because wewe umetembea na huuna akili za kikaburu za watu wa bwani

  • @rahabujohn2691
    @rahabujohn2691 4 ปีที่แล้ว

    Naipenda BBC na hawa Watangazaji Zuhura,Salim,Sam Awami,Zawad, Esther kahumbi na wengine wote wa BBC Nawpenda sana

  • @benderamateso8244
    @benderamateso8244 5 ปีที่แล้ว +1

    Umesema Neno Kikeke hilo ni andiko la mafundisho ya dini ya Kibaha'i - Dunia ni nchi moja na binadamu ni raia wake - ( The Earth is but one country and mankind its citizens - Baha'u'llah)

  • @njembeyehaonga5837
    @njembeyehaonga5837 ปีที่แล้ว

    ❤❤❤❤kaka safari njema

  • @janealoyce3866
    @janealoyce3866 5 ปีที่แล้ว +6

    Salim sauti safi sana unafaa sana kutangaza.

  • @amourzubeir7306
    @amourzubeir7306 4 ปีที่แล้ว +1

    Ukimsikiliza ni sawa na kuwepo ktk tukio halisi ,yani ana kipaji sna

  • @fextomaturo7815
    @fextomaturo7815 5 ปีที่แล้ว +3

    Daaah me nataman ligi ya EPL ianze tyu nimemic Sanaa's hyo ligi

  • @kisangakisanga5960
    @kisangakisanga5960 ปีที่แล้ว

    Salimu Yuko vizuri

  • @furahambwembwe8005
    @furahambwembwe8005 5 ปีที่แล้ว +6

    Presenter,are u from Forest Kongowe Kibaha??

  • @eliasaharuna4506
    @eliasaharuna4506 5 ปีที่แล้ว +1

    Wauuuu salim

  • @magessamagessa5502
    @magessamagessa5502 5 ปีที่แล้ว +6

    Kikeke upo vzr lkn nakushauri pata mtoto mwingine tz ikibidi oa tz kwavile dini yako inakuruhusu

    • @sylvesterjose3286
      @sylvesterjose3286 3 ปีที่แล้ว

      Ushauri unaompa kigezo ni Kwa kuwa dini yake inaruhusu! Hii ni sababu ya msingi kweli? Aaah ha ha! Ebu toa sababu yenye mashiko!

  • @gidionmsuya5340
    @gidionmsuya5340 5 ปีที่แล้ว

    Huyu bro akitangaza gem za epl ni balaa anajua na sauti yake amazing sanga nampenda 😍

  • @hamadeddy8089
    @hamadeddy8089 5 ปีที่แล้ว +2

    Chukua mfanyakazi mtanzania halafu unakuwa unamlipa tu vzr tena ela ya kawaida

  • @gerardnibikora839
    @gerardnibikora839 5 ปีที่แล้ว +4

    Salim pia, kwa mfn huku Canada, kuna kiwango cha mshahala wa kuanzia kwa kila mfanyakazi wa kipato cha chini. Inamaana mwisho wa siku huu mfanyakazi atataka mshahala sawa na wengine kulingana na sheria ya nchi.

    • @gerardnibikora839
      @gerardnibikora839 5 ปีที่แล้ว

      Asante Salim na wengine wamesoma na kubonyeza 👍🏾 kuhusu maoni nilichangia

  • @timezonlinemedia2665
    @timezonlinemedia2665 5 ปีที่แล้ว +1

    Realistic

  • @jastinefaustin9982
    @jastinefaustin9982 5 ปีที่แล้ว +1

    Nzur sana lakin fupi
    Nataman niendeleee kusikiliza

  • @micamathew6433
    @micamathew6433 5 ปีที่แล้ว +1

    Dahhhh hapana, mimi siwezi kwenda kuishi kule, dahhh, maisha ni magumu mno...

  • @olarivolariv1313
    @olarivolariv1313 ปีที่แล้ว

    Jamaa achanganyi maneno ya kingereza na kiswahili.

  • @user-cl2jr3re4s
    @user-cl2jr3re4s 2 ปีที่แล้ว

    Swali nzuri sn nilisubiri mt zaji akijiongeza aulize kuchukua mschana tz mana wa tz hata elfu robaini wanafanya kz ukimwambia wingreza hata ela hataki tn bure anaenda kukufanyia

  • @philimonphilipo725
    @philimonphilipo725 ปีที่แล้ว +1

    Salam kike nakuomba njoo msadie mama kuendesha Tbc pls

  • @elimishanyamoga1301
    @elimishanyamoga1301 5 ปีที่แล้ว

    Uwa namuelewa sana uyu brother

  • @aneymaalim704
    @aneymaalim704 2 ปีที่แล้ว +1

    Salim wwe ni mzalendo mpka ukona jezi hongera

  • @khadijakaombwe4051
    @khadijakaombwe4051 5 ปีที่แล้ว +5

    He is the best presenter for sure !

  • @rubensaitoti6839
    @rubensaitoti6839 2 ปีที่แล้ว

    Hongera sana Mungu akulinde

  • @ntemilimbu4197
    @ntemilimbu4197 5 ปีที่แล้ว +1

    Upo vzr sanaaa

  • @evaristmahumbi4728
    @evaristmahumbi4728 2 ปีที่แล้ว +1

    he is best presenter ever🌍

  • @jamesfrances9342
    @jamesfrances9342 ปีที่แล้ว

    Nakukubali mno kikeke

  • @ithnaothmani4991
    @ithnaothmani4991 4 ปีที่แล้ว

    Uko vizuri sn

  • @JacksonJohannes-ui2gw
    @JacksonJohannes-ui2gw ปีที่แล้ว

    Nihoji mimi niwape hakiya salimu kikeke kuacha kazi nitashirukiana na prophesied 11 katega kuwafunua ufahamu tunampa hongera

  • @officialstoner771
    @officialstoner771 3 ปีที่แล้ว

    Napenda sana kikeke hasa wakati akiwa kwenye dira ya dunia

  • @deboramatpapaztv
    @deboramatpapaztv 5 ปีที่แล้ว +1

    Kumbe ndo maisha Magumu hivyo?sasa hata nyumba huko utajenga kweli? Sie tukajuaga kua huko mnakula raha tu kumbe Hamna..mie nikajuaga Salim kikeke anamke Zanzibar ..kumbe no....ni mwendo wa kukopa tu nyumba..Asante sana

    • @MtuSafi
      @MtuSafi 5 ปีที่แล้ว +1

      Hujasikia au?kasema njia rahisi ya kupata nyumba London ni unakopa kutoka kwenye bank inayoitwa MOGAJ.Nayeye kasema kakopa sasa akimaliza kulipa si kajenga?au ulitaka apate kiwanja aanze na msingi ndo ujue kajenga?Harafu kwanini ulifikiri kama ana mke Zanzibar ulimuona au yani kwanini ulihisi hvyo kwani hukuhisi kuwa anamke mtwara?

    • @deboramatpapaztv
      @deboramatpapaztv 5 ปีที่แล้ว +1

      @@MtuSafi usijari kaka hayo yalikua ni mawazo yangu tu kwa kua sikua najua chochote juu yake zaid ya kua mtangazaji BBC..ila baada ya kiweka sawa mambo ndo nimejua...then hata khs nyumba kwa kweli hata sikuelewa alipotaja kumbe ni kampuni?wewe ndo umenielewesha.asante sana

    • @MtuSafi
      @MtuSafi 5 ปีที่แล้ว

      @@deboramatpapaztv basi vizuri

  • @jumakapesa726
    @jumakapesa726 5 ปีที่แล้ว

    Heshima yako kaka S.Kikeke

  • @johnmakara5010
    @johnmakara5010 5 ปีที่แล้ว +4

    Mshahara wa lisaa huko ni Sawa na Mshahara wa mwezi huku bongo

  • @saydmussa430
    @saydmussa430 5 ปีที่แล้ว

    Kikeke wewe nikijana unaenipa hamasa ya kuwa na bidii katika kutafuta I will appreciate this

  • @SubilagaKabango-bu8tu
    @SubilagaKabango-bu8tu ปีที่แล้ว

    Mimi Binafsi ananivutia sana KIKEKE awapo hewani BBC! SAWA na alipokuwepo Zuhura junus!

  • @abdulbakali3259
    @abdulbakali3259 2 ปีที่แล้ว

    Mtangazaji muulize salimu.amefunga ndoa

  • @kenethfanuel9195
    @kenethfanuel9195 3 ปีที่แล้ว

    Tatizo lako kikeke unatumika sana na mabeberu kuitangaza vibaya tanzania.

  • @makamemufadhil627
    @makamemufadhil627 5 ปีที่แล้ว +1

    Daah Mimi kama sijamuona Huyu BBC tarifaya habari sifurah

  • @josej9888
    @josej9888 5 ปีที่แล้ว

    Safi sana Brother.

  • @kamgomoli3650
    @kamgomoli3650 5 ปีที่แล้ว +5

    Kikeke umesahau pia kuwa ulisoma pia diploma ya uhandisi wa kilimo km sjakosea

  • @jonathananiceth6447
    @jonathananiceth6447 5 ปีที่แล้ว +4

    Salim nimependa ukweli wako

  • @raziambwana2145
    @raziambwana2145 5 ปีที่แล้ว +7

    Mie napenda kusikiliza BBC haswa ile saa5 asubhi huwa unatangaz vzr mno.

    • @Pedeshee01
      @Pedeshee01 5 ปีที่แล้ว

      Razia Mbwana mimi sauti ya Zuhra yunus tu

    • @raziambwana2145
      @raziambwana2145 5 ปีที่แล้ว +1

      Mie nihuyu huwa hapumui kabsa akipg muhtasar

  • @SubilagaKabango-bu8tu
    @SubilagaKabango-bu8tu ปีที่แล้ว

    Nilimsikia mtangazi KIKEKE akiaga BBC je amepata Kazi wapi? Au ndo kusema amestaafu?

  • @rehemashafi4809
    @rehemashafi4809 5 ปีที่แล้ว

    Kikeke napenda utangazaji wako babaangu hongera sana aiseeh

  • @user-je3fv2rv7q
    @user-je3fv2rv7q ปีที่แล้ว

    Karibu nyumbani kikeke

  • @user-fq8qg4fl9k
    @user-fq8qg4fl9k ปีที่แล้ว

    Namkubali sana kikeke❤

  • @melitusflorence8643
    @melitusflorence8643 5 ปีที่แล้ว

    Kumbe from Mbeya!!! Oooh good

  • @isayajuma6635
    @isayajuma6635 5 ปีที่แล้ว +1

    Safii kaka