MC GARA B AMUWASHIA MOTO MWIJAKU / NYUMBA YAKE YA KAWAIDA APUNGUZE KELELE / WATU WANA MAGHOROFA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 3 ต.ค. 2024
- MC GARA B AMEMCHANA MWIJAKU KUHUSU NYUMBA YAKE ILIYOPO KIGAMBONI ALIYEIZINDUA JANA PAMOJA NA MARAFIKI ZAKE NA NDUGU ZAKE WA KARIBU TAZAMA FULL INTERVIEW HAPA
#manaratv #mcgarab #mwijaku #zamaraditv #babalevo #diamondplatnumz
Kaka galab you very very smart the way you talk(wew hukununua vyeti kaka)
Garab ana nyumba nzuri sana,ya mwijaku wala uwezi kuifananisha na nyumba ya garab
Mtangazaji kama sijakuelewa kuwa comfortable kidogo
Mwijaku kajitahidi Sana maana wasani hawana nyumba zaidi ya alikiba ana ghorofa na mwijaku kajenga gorofa hongera Sana mwijaku
Zile za diamond hujaziona
Mc wangu wa taifa enjoy kaka yangu nina jambo langu Inshallah sooon tutakuwa pamoja
Gorofa kitu gani bwanaa,mimi nina gorofa nimeipangishia naishi nyumba ya kawaida na ninaiona ni nzuri zaidi ya iyo gorofa,
Nimempenda kaongea kwa busara sana kuliko hata huyo rafk wa Mwijaku
Mwijaku for the life umeupiga mwingi mdogo wangu hongera
Hongeren san
Ila jmn mwijaku kajitahid tumpongezen tu ni mfano wa kuigwa umeweza baba
Ni kwl kajitahid lkn haina maana kuanz kudharau nyumba za wenzake, maana hata wao wamejitahd kulingana na uwezo wao
Mwijaku ni mshamba sana, kwani ni wangapi Wana nyumba and they don't show off
Kawaonesha walikuwa wanamdharau kuwa Hana kitu half anachofanya na namna avopata pesa hafanani na hao wasioonesha ,wengi hela zao za wizi ,madawa ya kulevya, dhulma hivyo huficha Mali zao hta ivo kila mtu anaish maisha yake aliyoyachagua
Sio mshamba mnamsimanga sana
Wacha awanyooshe msiompenda Muumie zaidi mtu chake bhana alaa
Mbona nyumba ya kawaida sana aisee we mwijaku,
Angepunguza maneno
Nyumba ya mwijaku ni ya kwaida sana hakuna bilion 1 . 3 ni uongo wake mwijaku, labda milion 500 au 600 tu million 1 .3 ya kuandika chini au? asitutishe tuogope kujenga
😂😂😂 milioni 500 sio kweli ile ni 150 au 200
Haifiki 500
Usizarau kit ulich kuw hun c unasem ya kawaid hlf wew unaishiy kukodi
Jitaidini wekeni crip fupi za dakika 8 Hadi 10 zinakuwa nyingi kwenye tv yenu kuliko kuweka ya dakika 20 inatuchosha hatuna muda mwingi wa kuangalia
Mwaja kufanya nn huku watu wakutumia data😂😂😂😂
TULIZA KOMWE ilo mwenzako tunajifunza na aswa Hawa ndio role model wetu so kama bundle kidebe pita kushoto WENZAKO tunaangalia hata iwe masaa mawili atuchoki
HUKU MTANGAZAJI JAUUUUU
Hajui kuhoji na Muoga
Elfu mbili sio mbiri 😂
Ety nyumba ya kawaida yenu Iko wap? Acheni kuponda hata kama 600M so Haba kajitahidi sanaaaaaaaaaa
Na wenyew hawajielew kwan kuna nyumba ya ajab zote si nizakawaida tofauti ni gorofa 1 2 au 3 had 10 na chazai labda raman muonekano na mapambo na mazingra iliopo.
@@FatumaMohamedi-t6t ni sahihi kabisaa🙏🙏
Ww mtangazaji ploud ploud ni proud
😂😂
Kama mnamwona mwijaku ni mshamba lkn sisi tunampongeza
Low key hater na roho mbaya
HUKU MTANGAZAJI JAUUUUU
Huyu kaka anahekma sana
Ndugu mtangazaji punguza kutazama sana camera muda wa mahojiano
Akutazame wewe?
@@fatmafatu1128😂😂😂😂
@@fatmafatu1128😅😅😅😅😅
Nyie mnaoonyesha mafanikio yenu na kujitakama mwajua kuna kitu kinaitwa *HUSDA*????
Hawajui hao
Namba zinaongezeka na uhai nao unapungua
Huyu mtangazaji anamchukia sana mwijaku
Mtazamo wako tu
😂😂
Ila kweli jamaa anamchukia mwijaku stori zote anajaribu kumsema.
Nyie mnaosema nyumba ya mwijaku ni ya kawaida tuonyesheni zenu tuanze na wewe gara b ghorofa yako iko wapi. Usiseme tu nyumba ya fulani ni ya kawaida na wakati huna hata kibanda
Una uhakika km hana kband
@@kheiramour2973 nimesema hivi nyumba ya mwijaku sio nyumba ya kawaida elewa kiswahili
Nenda ayo search nyumba ya GAR_B UTAIYONA
Mmh we nae mgeni kumbe
Muonyeshe nyumba zenu sio mnasema tu za wenzenu ni za kawaida. Zenu ziko wapi haijalishi hata kama kajenga mke wake kama wanaheshimiana ana haki ya kujivunia na kusema nyumba ni yake