MC GARA B AMUWASHIA MOTO MWIJAKU / NYUMBA YAKE YA KAWAIDA APUNGUZE KELELE / WATU WANA MAGHOROFA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 3 ต.ค. 2024
  • MC GARA B AMEMCHANA MWIJAKU KUHUSU NYUMBA YAKE ILIYOPO KIGAMBONI ALIYEIZINDUA JANA PAMOJA NA MARAFIKI ZAKE NA NDUGU ZAKE WA KARIBU TAZAMA FULL INTERVIEW HAPA
    #manaratv #mcgarab #mwijaku #zamaraditv #babalevo #diamondplatnumz

ความคิดเห็น • 57

  • @alfredrutaguza7506
    @alfredrutaguza7506 9 หลายเดือนก่อน +4

    Kaka galab you very very smart the way you talk(wew hukununua vyeti kaka)

  • @HellenMendard
    @HellenMendard 8 หลายเดือนก่อน +1

    Garab ana nyumba nzuri sana,ya mwijaku wala uwezi kuifananisha na nyumba ya garab

  • @bennamush4616
    @bennamush4616 8 หลายเดือนก่อน

    Mtangazaji kama sijakuelewa kuwa comfortable kidogo

  • @malichanda3146
    @malichanda3146 9 หลายเดือนก่อน +6

    Mwijaku kajitahidi Sana maana wasani hawana nyumba zaidi ya alikiba ana ghorofa na mwijaku kajenga gorofa hongera Sana mwijaku

    • @ikramalmas7039
      @ikramalmas7039 9 หลายเดือนก่อน

      Zile za diamond hujaziona

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 9 หลายเดือนก่อน +2

    Mc wangu wa taifa enjoy kaka yangu nina jambo langu Inshallah sooon tutakuwa pamoja

  • @HellenMendard
    @HellenMendard 8 หลายเดือนก่อน +1

    Gorofa kitu gani bwanaa,mimi nina gorofa nimeipangishia naishi nyumba ya kawaida na ninaiona ni nzuri zaidi ya iyo gorofa,

  • @CharityKajiru
    @CharityKajiru 9 หลายเดือนก่อน +1

    Nimempenda kaongea kwa busara sana kuliko hata huyo rafk wa Mwijaku

  • @Aminmwansile-we8vn
    @Aminmwansile-we8vn 9 หลายเดือนก่อน

    Mwijaku for the life umeupiga mwingi mdogo wangu hongera

  • @hellenelias24
    @hellenelias24 9 หลายเดือนก่อน

    Hongeren san

  • @jokhaynamohammed
    @jokhaynamohammed 9 หลายเดือนก่อน +10

    Ila jmn mwijaku kajitahid tumpongezen tu ni mfano wa kuigwa umeweza baba

    • @SashaOscar
      @SashaOscar 9 หลายเดือนก่อน +1

      Ni kwl kajitahid lkn haina maana kuanz kudharau nyumba za wenzake, maana hata wao wamejitahd kulingana na uwezo wao

  • @shadiwaigwa9230
    @shadiwaigwa9230 9 หลายเดือนก่อน +1

    Mwijaku ni mshamba sana, kwani ni wangapi Wana nyumba and they don't show off

    • @agapemunyi2095
      @agapemunyi2095 9 หลายเดือนก่อน

      Kawaonesha walikuwa wanamdharau kuwa Hana kitu half anachofanya na namna avopata pesa hafanani na hao wasioonesha ,wengi hela zao za wizi ,madawa ya kulevya, dhulma hivyo huficha Mali zao hta ivo kila mtu anaish maisha yake aliyoyachagua

    • @hellendaniel3809
      @hellendaniel3809 9 หลายเดือนก่อน

      Sio mshamba mnamsimanga sana

    • @congratulationmayunga3833
      @congratulationmayunga3833 9 หลายเดือนก่อน

      Wacha awanyooshe msiompenda Muumie zaidi mtu chake bhana alaa

  • @stanleybulla
    @stanleybulla 9 หลายเดือนก่อน +2

    Mbona nyumba ya kawaida sana aisee we mwijaku,

    • @SashaOscar
      @SashaOscar 9 หลายเดือนก่อน

      Angepunguza maneno

  • @yusternyirenda7231
    @yusternyirenda7231 9 หลายเดือนก่อน +4

    Nyumba ya mwijaku ni ya kwaida sana hakuna bilion 1 . 3 ni uongo wake mwijaku, labda milion 500 au 600 tu million 1 .3 ya kuandika chini au? asitutishe tuogope kujenga

    • @joelsamwel2580
      @joelsamwel2580 9 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂 milioni 500 sio kweli ile ni 150 au 200

    • @judyngowi391
      @judyngowi391 8 หลายเดือนก่อน

      Haifiki 500

  • @princemuhidin3067
    @princemuhidin3067 9 หลายเดือนก่อน

    Usizarau kit ulich kuw hun c unasem ya kawaid hlf wew unaishiy kukodi

  • @daudminzi-pb3je
    @daudminzi-pb3je 9 หลายเดือนก่อน +2

    Jitaidini wekeni crip fupi za dakika 8 Hadi 10 zinakuwa nyingi kwenye tv yenu kuliko kuweka ya dakika 20 inatuchosha hatuna muda mwingi wa kuangalia

    • @abdulkadirgafla3889
      @abdulkadirgafla3889 9 หลายเดือนก่อน

      Mwaja kufanya nn huku watu wakutumia data😂😂😂😂

    • @ukhutfatumah1154
      @ukhutfatumah1154 9 หลายเดือนก่อน

      TULIZA KOMWE ilo mwenzako tunajifunza na aswa Hawa ndio role model wetu so kama bundle kidebe pita kushoto WENZAKO tunaangalia hata iwe masaa mawili atuchoki

  • @FredyMsangi
    @FredyMsangi 8 หลายเดือนก่อน

    HUKU MTANGAZAJI JAUUUUU
    Hajui kuhoji na Muoga

  • @khalimahema6931
    @khalimahema6931 9 หลายเดือนก่อน +1

    Elfu mbili sio mbiri 😂

  • @benedictinelusambo069
    @benedictinelusambo069 9 หลายเดือนก่อน +1

    Ety nyumba ya kawaida yenu Iko wap? Acheni kuponda hata kama 600M so Haba kajitahidi sanaaaaaaaaaa

    • @FatumaMohamedi-t6t
      @FatumaMohamedi-t6t 9 หลายเดือนก่อน

      Na wenyew hawajielew kwan kuna nyumba ya ajab zote si nizakawaida tofauti ni gorofa 1 2 au 3 had 10 na chazai labda raman muonekano na mapambo na mazingra iliopo.

    • @benedictinelusambo069
      @benedictinelusambo069 9 หลายเดือนก่อน

      @@FatumaMohamedi-t6t ni sahihi kabisaa🙏🙏

  • @wadhhasuleiman2621
    @wadhhasuleiman2621 9 หลายเดือนก่อน +1

    Ww mtangazaji ploud ploud ni proud

  • @Aminmwansile-we8vn
    @Aminmwansile-we8vn 9 หลายเดือนก่อน +1

    Kama mnamwona mwijaku ni mshamba lkn sisi tunampongeza

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 9 หลายเดือนก่อน

    Low key hater na roho mbaya

  • @FredyMsangi
    @FredyMsangi 8 หลายเดือนก่อน

    HUKU MTANGAZAJI JAUUUUU

  • @paskaziasholla7471
    @paskaziasholla7471 8 หลายเดือนก่อน

    Huyu kaka anahekma sana

  • @williampanga2818
    @williampanga2818 9 หลายเดือนก่อน

    Ndugu mtangazaji punguza kutazama sana camera muda wa mahojiano

    • @fatmafatu1128
      @fatmafatu1128 9 หลายเดือนก่อน

      Akutazame wewe?

    • @hellendaniel3809
      @hellendaniel3809 9 หลายเดือนก่อน

      ​@@fatmafatu1128😂😂😂😂

    • @Rogathe-Rogathe
      @Rogathe-Rogathe 9 หลายเดือนก่อน

      ​@@fatmafatu1128😅😅😅😅😅

  • @sskondopoleani9616
    @sskondopoleani9616 9 หลายเดือนก่อน

    Nyie mnaoonyesha mafanikio yenu na kujitakama mwajua kuna kitu kinaitwa *HUSDA*????

    • @AminaShaibu-g5p
      @AminaShaibu-g5p 9 หลายเดือนก่อน

      Hawajui hao

    • @AminaShaibu-g5p
      @AminaShaibu-g5p 9 หลายเดือนก่อน

      Namba zinaongezeka na uhai nao unapungua

  • @benedictinelusambo069
    @benedictinelusambo069 9 หลายเดือนก่อน

    Huyu mtangazaji anamchukia sana mwijaku

    • @judyngowi391
      @judyngowi391 8 หลายเดือนก่อน

      Mtazamo wako tu

  • @malilacollins11
    @malilacollins11 9 หลายเดือนก่อน

    😂😂

  • @philemonmagesa5548
    @philemonmagesa5548 9 หลายเดือนก่อน

    Ila kweli jamaa anamchukia mwijaku stori zote anajaribu kumsema.

  • @RehemaMasunga-ml7kt
    @RehemaMasunga-ml7kt 9 หลายเดือนก่อน +1

    Nyie mnaosema nyumba ya mwijaku ni ya kawaida tuonyesheni zenu tuanze na wewe gara b ghorofa yako iko wapi. Usiseme tu nyumba ya fulani ni ya kawaida na wakati huna hata kibanda

    • @kheiramour2973
      @kheiramour2973 9 หลายเดือนก่อน

      Una uhakika km hana kband

    • @RehemaMasunga-ml7kt
      @RehemaMasunga-ml7kt 9 หลายเดือนก่อน

      @@kheiramour2973 nimesema hivi nyumba ya mwijaku sio nyumba ya kawaida elewa kiswahili

    • @ukhutfatumah1154
      @ukhutfatumah1154 9 หลายเดือนก่อน

      Nenda ayo search nyumba ya GAR_B UTAIYONA

    • @scholamodestus9386
      @scholamodestus9386 9 หลายเดือนก่อน

      Mmh we nae mgeni kumbe

    • @RehemaMasunga-ml7kt
      @RehemaMasunga-ml7kt 9 หลายเดือนก่อน

      Muonyeshe nyumba zenu sio mnasema tu za wenzenu ni za kawaida. Zenu ziko wapi haijalishi hata kama kajenga mke wake kama wanaheshimiana ana haki ya kujivunia na kusema nyumba ni yake