DOTTO MAGARI: AWACHANA BABA LEVO NA MWIJAKU BADO NI WASHAMBA/ HAJI MANARA NA ZAIYLISA NDOA TAREHE 18
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 10 ม.ค. 2024
- Ahsante kwa kuwa mwana familia,(BINA Tv) kwa habari murua utazipata hapa, Ungana nasi kwa kila update zitakazo jitokeza.. Subscribe Channel yetu ya BINA TV ili usipitwe na habari zetu.
#alikiba, #ayotv, #block 89, #bongo #chapchap, #bunge, #bungeni, #burnaboy, #ccm, #chadema, #davido, #diamondplatnumz, #diamondplatnumz, #good #morning, #habarizaleo, #habarizamillard #ayo, #harmonize, #lavalava, #lavidavi, #live, #magufuli #makonda, #mbosso, #mgahawa, #millard, #millardayo, #millardayo, #millardayotv, #rayvanny, #refresh, #serikali, #sportsarena, #sportscourt, #spots, #sundayworship, #tanzanianews, #thestorybook, #theswitch, #tiwasavage, #trending, #uchaguzi, #wasafi, #wasafifm, #wasafimedia, #wasafi tv, #wizkid, #yope, #yope #remix, #zuchu
#BinaTv #WasafiTv #ManaraTv
Dotto we fanya kazi usisikilize mtu
Mama amalize urithi wake alioachiwa na magu atembee hatutaki tena
Sikuhizi vijana ndomaana hawataki shuleee kabisaa yaani 😢😢😅😂
Wewe doto unapotea ndugu yangu huu umaarufu na kipato na iyo afya njema vi sikufanye ukawa unavuka mipaka ya kuongea,ujue Mungu anakupa mitihani tu jiangalie mengi ushafanya ya ovyo,ila point yangu ni hii hauwezi kumtukuza binaadamu mwenzio kwa kumuita Mfalme wa dunia nzima eti yeye bugati ndio anae endesha viumbe vyote duniani".kwanza ivo vikao vyenu vyote vya zinaaa na elewa yakuwa "kila nafsi itaonja Umauti..soma hii surah25aya2 inasema("Ambaye ni wake ufalme wa mbingu na ardhi, wala hakuwa na mwana, wala hakuwa na mshirika katika ufalme, na akaumba kila kitu na akakikadiria kwa kipimo") huyo ndie Allah kama haumjui ulizia habari zake kwa wanaemjua🙏
Kama wewe mwengine apo Eti Dotto ni uchafu Tanzania,basi muelekeze chakufanya ndio apate risiki yake yule mtu hana tofauti na comedian juu anachekesha sana na utani mwingi achana na Dotto wewe fuata yako,ama wataka akashike mapanga tena vichochoroni ndio iwe furaha yako wacheni roho mbaya
Wacha dotto afanye chenye anafanya iyo anafanya sasa ivi na maisha yake ya zamani kutumia madawa ya kulevya na ujambazi bora lipi acheni wivu na uchawi wa roho,ile nameno ya kuongelesha wanahabari mbaya huwa ni utani tu na
Dotto keto 😅😅😅😅😅
😂😂😂😂😂 huyu kijana anafurahisha kweli
Njaa isikupeleke ukamkufu molla wako
Huyu ni mtu mjinga, hawezi kudumu, ni new harmo rapper,,, ila anachekesha 😂😂😂
Dotto magari 😂😂😂😂
Na hapa ipo Safi sana mkuu tunakukubali sana
Huyu mbwa anawazalilisha waandishi alaf hawaeshimu.
Hili kafiri kazi yake kukufuru tuu
😂😂😂😂
DOTO MAGALI NI UCHAFU NCHINI TANZANIA
😂😂😂😂