Hapo police mna ua Chama cha ccm kwa sababu mnakua wana siasa mnasahahu majukumu yenu sasa mtakuja kukumbuka mda umeisha mimi nataka kusema chadema ❤❤❤❤❤
@@hadijasufiani6167 ila nimekubali hawa jamaa akili hakuna, CHADEMA wanakomaa kuwatetea wao na wananchi dhidi ya madhira wanayoyapitia, bado wanawatesa watetezi wao na kuwalinda wanaowatesa. "yaani umiza mtetezi, mlimde mtesi" Kichwa kimejaa akili ambayo ni......
Intelejensia hiyo ipo kwa upinzani tu mbona yule aliyesema tukiwapoteza msiwatafute kwenye mkutano wa CCM hii ni aibu haki ipo wapi hii nchi sio mali ya chama tawala
Wana cdm Nchi nzima tusimame pamoja kupinga unyanyasaji huu.Nashauri tuanze michango ya kuwawezesha vijana wetu,wasipate njaa Wala kiu.No hate no fear.
MH. RAIS SAMIA INGILIA SUALA HILO LA POLISI 'WAPUMBAVU' WANAOTUMIWA BILA KUJUA WANAKARIBISHA VURUGU NCHINI....VIJANA WA CCM WALIFANYA MIKUTANO YA SIKU YA VIJANA DUNIANI....LAKINI CHADEMA WANAZUIWA....CHONDE CHONDE MH. RAIS SAMIA MNAINGIZA NCHI KWENYE VURUGU.
Labda ninyi ni wasomali au wakimbizi kutoka Ethiopia ndio maana wamewazuia siku inakuja ndani ya nchi tutaulizwa passport ndani ya nchi yetu. Chagulanya katekwa hajaonekana mpaka leo badala ya kupambana na wahalifu wanahangaika na chadema
Vijana wa Chadema wako vizuri. Hawavunji sheria .Polisi kuwa zua ni kuwanyima HAKI.Raisi SAMIA Uwaruhusu Vijana wakutane huko MBEYA KWENYE SIKU YA VIJANA DUNIANI.
Nyie Chadema Media Kwanini Hamuwaonyeshi Hao Polisi Kwa Kamera? Je Watu Wakisema Mnafanya Maigizo... Sometimes Jifunzeni Mbinu za Kuwapasha watu habari... Mngewageuzia Kamera hata Kama ni Kwa Kisiri
@@JabirJabir-c9o j you have got sickness on your brain agui on lntanationol language you know don't just childish aguing whale you don't know anything about English even crest sentence explain single word in English Number 2 chadema is big political party take youth on training outside of tanzanian protect leader on political party only solution muda wa kutegemea ccm police ktk hiyo nchi ni kupoteza muda kuchukua vija Kila. Mkoa watanzania wapo tayari kuchanga vijana wakajifunze kulinda maslai ya vyana vyao hakuna wa kukataza sababu hata ccm uvcm wanafanya hayo Sasa viongozi km Kila mara viongozi kukamatwa km kuku na vijana kukamatwa Kila mara na kuvuruga shuguli za chadema ni kukiua kirahisi huu ujinga hautskia kuendelea kuvumiliwa hawezekani Kila mara vijava wa chadema kukamatwa kamatwa ingelikuwa nchi zingine sasahivi huko mtaani police ccm barabara zishafungwa tunakimbizana kimbizana huko mtaani km chadema hawezi kujiongeza hicho chama ccm wanaenda kukuwa kutumia police basi na jeshi wakati chadema ni chama kikubwa Saba nchini watanzania wamechoka kuburwa km ngombe ktk nchi yao wakati ccm lmekufa siku nyingi watanzania wanateseka na na police sio ccm hawapo ktk mfumo wa kidemokurasia genge la kitapeli wa kidemokurasia wakati hawapo wageni na viongozi wa chache kwa mgongo wa ccm vazi wakijicha nyuma ya police
Hapa Tathmini yangu Inaniambia... Wala Msimlaumu Sami, Ni Tulia, Tulia Kampigia IGP, Akamwomba Atumie Polisi Kuwafrustrate hao Vijana Kila Mahali ili wasiende Mbeya... Alishawahi Mfanyia Sugu Uhuni wa aina hii 2020. Ajue Tu Anamharibia Rais na Aache Mara Moja.
Ajabu sana ni uonevu mkubwa kwa hao Polisi kazi yao kuingilia Siasa. Bora wabakie peke yao sio wadanganye Wazungu kwa kutaka fedha lakini ukweli ni kwamba hakuna haki kwa vyama kinzani.Giza nene tumerudi enzi zile
Vijana wachadema kitu ambacho viongozi wenu wa ngazi za juu kuthubutu kutoa kauli kuwa mnataka mfanye kama yale ya Kenya ni utarishaji wa amani Tanzania .Mnyielewe kenya ni nini kimetokea .Tanzania hatutaki kuwa uwanja wa ukorofi .mjue kenya bambo mengi yamearibika ndio maana usemi wa viongozi wenu.Hatutaki vurugu
Tangu nizaliwe sijawahi sikia babu yangu akinisimulia au mimi mwenyewe kushuudia police wakizuia msafala au mkutano wowote ule wa chama cha CCM isipo kuwa upinzani tu hasa CDM, Hii inamaana ya kuwa chadema ni chama huru ambacho akina mfungamano wowote na chama cha CCM, na ivyo ccm wanaiogopa chadema ni tishio kubwa kwao❤
Kukiukwa Kwa haki ndio chanzo vurugu na kutoweka Kwa amani.Tafadhali jeshi la polisi tumieni hekima na busara kuepuka kuitumbukiza nchi hii kwenye matatizo makubwa Kwa maslahi ya kundu la watu Wachache.Mbaya sana.
Hivi ccm wanajikuta nani katika nchi hii imagine nani atalipa gharama za vijana hao masikini wanaenda kuazimisha siku yao mbona wao walisheherekea lakini acha nikae kimya au baas
ni vigumu kuelewa kama Polisi wanafanya hivi ili kumlinda/kumfurahisha Samia, au ni mbinu za maadui wa Samia kumharibia ili aonekane ni mbaya.Samia...angalia sana ; kikulacho ki nguoni mwako😂
Tumenyanyaswa,tumedhulumiwa,tumeonewa kiasi cha kutosha sasa basi tuambiwe tuwachangie vijana wetu.Lengo ni kuidhoofisha chadema vijana wakate tamaa ccm waendelee kunawiri wameshindwa kwa JinaYesu
Hawa polisi wanaibeba ccm. Ingekuwa ni uvccm wangewaruhusu wasinge wazuia.Nchi hii ni yetu na siyo nchi ya Polisi.Polisi tuacheni tufanye siasa kwa uhuru na kwa kufuwata sheria.
kweli kabisa dada umesema,kazi yao ni kulinda usalama wa raia,lakini wamegeuzwa kuwa chombo Cha siasa,Tena police kwasasa ndio hatari Kwa usalama wa raia.
dar, poleni sana mimi ni dereva naendesha gari mmiliki wake ni mwanachama wa chadema na nilikuwa natoka maara furani nakwenda maara furani ivi na nimebeba wanachama wa chadema, nilipofika check point au kituo cha askali nilisimamisha na nikakamatawa nikanyang'anywa lesen ilikuwa saa nne ya asubuhi na nika andikiwa faini za kutosha, nikakaja ruhusia kutoa gari saa kumi na moja jioni na safari ikaishia hapo yani acha namenyi ya kusema lakini sina pakusemea.
Polis polisi mimi naona kama hii nchi mnaona kama mali ya CCM ila mali yetu sote mjue mnavyo fanya hivi mnajenga uhasama baina yetu wananchi pia hayo maagizo kutoka juu wakati mwingine si mazuri kwa ustawi wa nchi yetu ila kwa CCM tu
mbona police wetu wa tanzania wanapenda kufanya mambo yao maranyingi kwakukurupuka lini mtaelimika? kwakweli sisi kama wananchi wafuatiliaji kwa karibu police tunawashauri mujirekebishi nchi sio yenu wenyewe nchi ni yawatanzania wote kwa mujibu wa sheria kikatiba.
Komeane wold is worching you there in Tanzania police blocking chadema activity whale ccm have been done they activity in Zanzibar why they did not harassing c cm youth in Zanzibar yesterday don't agree such move
Pamoja tutashinda. Viva Makamanda viva, Viva viongozi wa chadema Viva, Viva CHADEMA VIVA.
Hapo police mna ua Chama cha ccm kwa sababu mnakua wana siasa mnasahahu majukumu yenu sasa mtakuja kukumbuka mda umeisha mimi nataka kusema chadema ❤❤❤❤❤
Wanawaogopa Chadema wana points na uzalendo wa dhati tunawapenda sana. Peopleeeeeeeeeeeeeeeeeees!!!
4R zilieleweka?
Sasa tumejua wananchi wanaoletaga umwagaji Damu hapa Tz ni CCM na polisi
uko sawa
@@upendoeliya9329 power!!!
Mpo vizuri hongerani sana
Waombeni.ruhusa.polis
Wanabaghi hao
Let peace prevail. Naomba msafara usindikizwe, Mungu awape utulivu. Ukiona magumu jua neema imefika.
Mpo vizuri chadema pambanie haki yanu vijana
Polisi.waaichieni
Vijana
Ni
Vijana.wenu.mwewe.nunu
Mwe.na
Huruma.polisi.wa.juu.mnawasumbua.hamogopi
Mungu
@@evelina9621 we waache tu waendeshe mambo kimazoea, WATAJUTA kuliko itakavyokuwa kwetu.
@@hadijasufiani6167 ila nimekubali hawa jamaa akili hakuna, CHADEMA wanakomaa kuwatetea wao na wananchi dhidi ya madhira wanayoyapitia, bado wanawatesa watetezi wao na kuwalinda wanaowatesa.
"yaani umiza mtetezi, mlimde mtesi"
Kichwa kimejaa akili ambayo ni......
Mbona CCM wanachukua mbaka wanafunzi wao awakamatwa
Hili jeshi la police nila kumlinda Samia mungu akulaani wewe mama na jeshi lako
Mpaka kieleweke makamanda viva chadema✌️✌️✌️✌️✌️
Kinaeleweka vp ww upo nyumbn watachafuliwa
Ubaya Ubwela Hakuna Kwenda Kituo Chochote Chapolis bila Kosa Lolote😊
Safiiii✌️✌️✌️mm mbona sikujua hiyo safari ningekwepo mstari wa mbele..
Safi sana makamanda, people's power 💪
Power
CCM sana pelo mchafu inabidi waombee lista awatoke. Wanadanganya kuna uhuru kumbe ni waongo. Naninyi polis WA Tanzânia acheni ujinga na uchawa
Intelejensia hiyo ipo kwa upinzani tu mbona yule aliyesema tukiwapoteza msiwatafute kwenye mkutano wa CCM hii ni aibu haki ipo wapi hii nchi sio mali ya chama tawala
Wanazunguka.nchi mzima wao sawa ila chadema iwe shida wanaogopa nn
Wana cdm Nchi nzima tusimame pamoja kupinga unyanyasaji huu.Nashauri tuanze michango ya kuwawezesha vijana wetu,wasipate njaa Wala kiu.No hate no fear.
CHADEMA hatutaki unyanyasaji, Hawa mapolisi waache ufala
MH. RAIS SAMIA INGILIA SUALA HILO LA POLISI 'WAPUMBAVU' WANAOTUMIWA BILA KUJUA WANAKARIBISHA VURUGU NCHINI....VIJANA WA CCM WALIFANYA MIKUTANO YA SIKU YA VIJANA DUNIANI....LAKINI CHADEMA WANAZUIWA....CHONDE CHONDE MH. RAIS SAMIA MNAINGIZA NCHI KWENYE VURUGU.
Jamani ni nini hii mapolisi wasio na weledi wa kazi yao
Ukweli wanachofanya sio haki
Labda ninyi ni wasomali au wakimbizi kutoka Ethiopia ndio maana wamewazuia siku inakuja ndani ya nchi tutaulizwa passport ndani ya nchi yetu. Chagulanya katekwa hajaonekana mpaka leo badala ya kupambana na wahalifu wanahangaika na chadema
Tutalalamika mpakalini sisi tupo kwenye inchi yetu kwanini tunyanyaswe tufanyemaamuzi kama Kenya
Vijana wa Chadema wako vizuri. Hawavunji sheria .Polisi kuwa zua ni kuwanyima HAKI.Raisi SAMIA Uwaruhusu Vijana wakutane huko MBEYA KWENYE SIKU YA VIJANA DUNIANI.
Hiyo ndio wanaita nchi yenye democracy hii ni demokrasi?
Hakuna demokrasia ata kidogo
Hakuna cha kumharibia anayezuia ni samia siyo.tulia. Vijana msikubali tena inatosha hii tanganyika siyo ya fisiemu
Kwani munaenda wapi. Naomba Police Waendelee na kazi yao. Police hongereni sana chapeni kazi yenu mupo vizuri sana,
@@PeterMwaiwambe hujielewi!!!
Vijana mpo vizur,,ionyesheni serikali ya Tanzania kuwa vijana mpo,,
Ujinga wako utawaponza
Upo vzr sana dada
Ingekuwa ni vijana wa CCM ungekuta askari wanawapepetea wapite njiani bila usumbufu
Ccm wamefanya nchi niyao vijana amken
Nyie Chadema Media Kwanini Hamuwaonyeshi Hao Polisi Kwa Kamera? Je Watu Wakisema Mnafanya Maigizo... Sometimes Jifunzeni Mbinu za Kuwapasha watu habari... Mngewageuzia Kamera hata Kama ni Kwa Kisiri
We kipofu angalia vizuri police wanaonekana hapo mbona
Ngalia vizuri video dakika ya 11.
Kuna maga matatu ya Nani Ayo?
Polisi fuatenisheria zanchi ,piasimameni kwenye misingi ya taalumazenu
Huo ni Udikiteta Tanzania🇹🇿🇹🇿🇹🇿 ni ya wote sio ya CCM jamani mungu ikumbuke Tanzania🇹🇿🇹🇿❤❤❤
Iwe kama kenya
Mungu atawaongoza muwe wakweli uongo utengen
Najiuliza hv wangekuwawa ni vijana wa ccm wangezuiliwa???? Mbona hawa viongoz wanaamsha hasira watu???? Hv hawa watawala wana shda gani 3:57
Yaani natamani MUNGU awashughulikie kikamilifu 😮
Sheim on you police force of TANZANIA
That is the political party voice refiuse going to police station chadema has right to refiuse to let them know they problem
Andika kiswahili kiingereza hujui.
@@JabirJabir-c9o j you have got sickness on your brain agui on lntanationol language you know don't just childish aguing whale you don't know anything about English even crest sentence explain single word in English
Number 2 chadema is big political party take youth on training outside of tanzanian protect leader on political party only solution muda wa kutegemea ccm police ktk hiyo nchi ni kupoteza muda kuchukua vija Kila. Mkoa watanzania wapo tayari kuchanga vijana wakajifunze kulinda maslai ya vyana vyao hakuna wa kukataza sababu hata ccm uvcm wanafanya hayo Sasa viongozi km Kila mara viongozi kukamatwa km kuku na vijana kukamatwa Kila mara na kuvuruga shuguli za chadema ni kukiua kirahisi huu ujinga hautskia kuendelea kuvumiliwa hawezekani Kila mara vijava wa chadema kukamatwa kamatwa ingelikuwa nchi zingine sasahivi huko mtaani police ccm barabara zishafungwa tunakimbizana kimbizana huko mtaani km chadema hawezi kujiongeza hicho chama ccm wanaenda kukuwa kutumia police basi na jeshi wakati chadema ni chama kikubwa Saba nchini watanzania wamechoka kuburwa km ngombe ktk nchi yao wakati ccm lmekufa siku nyingi watanzania wanateseka na na police sio ccm hawapo ktk mfumo wa kidemokurasia genge la kitapeli wa kidemokurasia wakati hawapo wageni na viongozi wa chache kwa mgongo wa ccm vazi wakijicha nyuma ya police
Serikali ya Samia imefeli kabisa katika hili
Haaaaaah.........haaaaah...... mmmmmhh......... kazi kweli
Peopleeeeeeeeeeeeeeeeeees!! Viva CHADEMA Vivaaaaaaa!!
Hapa Tathmini yangu Inaniambia... Wala Msimlaumu Sami, Ni Tulia, Tulia Kampigia IGP, Akamwomba Atumie Polisi Kuwafrustrate hao Vijana Kila Mahali ili wasiende Mbeya... Alishawahi Mfanyia Sugu Uhuni wa aina hii 2020. Ajue Tu Anamharibia Rais na Aache Mara Moja.
Kabisa kabisa kamanda Marandu, lazima tusimame kuhesaniwa.
Binafsi na wenzangu, tuko njiani tunakuja kwenye tukio hili muhimu sana na la amani.
Rais ndiye tafsiri ya Taifa kama haya yanatokea bhasi inatafsiri Samia anahusika
Haswaaa, you are right.
Wanamharibia Samia.
Mko vizur vijana pambaneni tuko NYUMA. YENU.mpaka wajulikane wajulikane waliko. Msiohope MUNGU yupo atawapigania.Haki lazima ipatikane.
Hzo inteligensia mbona hazitimiki kwa watekaji wanaoteka watu????? Polis tatizo wako kwa ajili yakuilinda serekali
Ajabu sana ni uonevu mkubwa kwa hao Polisi kazi yao kuingilia Siasa. Bora wabakie peke yao sio wadanganye Wazungu kwa kutaka fedha lakini ukweli ni kwamba hakuna haki kwa vyama kinzani.Giza nene tumerudi enzi zile
Vijana wachadema kitu ambacho viongozi wenu wa ngazi za juu kuthubutu kutoa kauli kuwa mnataka mfanye kama yale ya Kenya ni utarishaji wa amani Tanzania .Mnyielewe kenya ni nini kimetokea .Tanzania hatutaki kuwa uwanja wa ukorofi .mjue kenya bambo mengi yamearibika ndio maana usemi wa viongozi wenu.Hatutaki vurugu
Unauhakika kuna kauli zilizo tolewa? Unaweza kuthibitisha?
Hujui ulitendalo kwanini wasimkamate aliye sema huko nikujidhalilisha
Wameanza udictator wameshaona dalili za kushindwa uchaguzi mwaka 2025
Unaumwa mavi wewe CHADEMA ya wahuni aina ya msigwa washinde 2025, duuh kichwani mavi
Fala ww @@laninjeje8290
Karibu kwa anguko la Babeli Tanzania.
Hiki serikali inakifanya sio jambo jema Kwani hofu yao Nini inchi niyetu sote mbn jmn 😢😢
Pole dada yangu kipenz
Tangu nizaliwe sijawahi sikia babu yangu akinisimulia au mimi mwenyewe kushuudia police wakizuia msafala au mkutano wowote ule wa chama cha CCM isipo kuwa upinzani tu hasa CDM, Hii inamaana ya kuwa chadema ni chama huru ambacho akina mfungamano wowote na chama cha CCM, na ivyo ccm wanaiogopa chadema ni tishio kubwa kwao❤
Kukiukwa Kwa haki ndio chanzo vurugu na kutoweka Kwa amani.Tafadhali jeshi la polisi tumieni hekima na busara kuepuka kuitumbukiza nchi hii kwenye matatizo makubwa Kwa maslahi ya kundu la watu Wachache.Mbaya sana.
Shida polisi ni wahoga fanyeni mazoezi ni kula Nyama tu 😃😃 kitu kidogo wamesha ingia upepo
Mdogomdogo mtafika, asante sana
Poleni sana
Hivi ccm wanajikuta nani katika nchi hii imagine nani atalipa gharama za vijana hao masikini wanaenda kuazimisha siku yao mbona wao walisheherekea lakini acha nikae kimya au baas
Nadhani serikali ya CCM iwe makini na haya , inajiondolea uhalali kwa wananchi
Polis haya mambo itazameni Kenya na sudani Afrika lmebadilika kuweni wastaalabu mambo ya ubabaishaji acheni
Kweli hii nchi haki haipo
God is good
Hii nchi ngum sana,poleni sana mungu aqatangulie
ni vigumu kuelewa kama Polisi wanafanya hivi ili kumlinda/kumfurahisha Samia, au ni mbinu za maadui wa Samia kumharibia ili aonekane ni mbaya.Samia...angalia sana ; kikulacho ki nguoni mwako😂
Moto huu hawata weza kuizima kila chenye mwanzo hakikosi kuwa na mwisho ccma imekwisha chakaa imepitwa na wakati inaespai date
Tumenyanyaswa,tumedhulumiwa,tumeonewa kiasi cha kutosha sasa basi tuambiwe tuwachangie vijana wetu.Lengo ni kuidhoofisha chadema vijana wakate tamaa ccm waendelee kunawiri wameshindwa kwa JinaYesu
Hakuna amani bila haki
Kama mna njaa kuleni nyasi
msigwa kawa shetani
kumbukeni mnachokipanda leo ni matokeo mabaya ya kesho kitaifa.( police) inabidi mtafakari kwa upya .
Linatia aibu
tuandamane wanasahau kazi yao
Duuh hii mchi jamani, bora watutangazie2 kwamba vyama pinzani hawataki maana
Peoples,,,,,,,,,,powerrrrr
Hawa polisi wanaibeba ccm. Ingekuwa ni uvccm wangewaruhusu wasinge wazuia.Nchi hii ni yetu na siyo nchi ya Polisi.Polisi tuacheni tufanye siasa kwa uhuru na kwa kufuwata sheria.
Watu wa Mungu tuendelee kuomba kwa ajili ya Taifa letu na amani ya Taifa letu
🔥🔥🔥🔥🔥
Namuona mdogo wangu hapo toka mara wasizani hatuwafatilii wasiwazengue maana ccm wanawatoto wanawalipa mishahala ambayo nikodi zawatanzania
That's our Tanzanian. Poli tics
Serikali inawatumia polis vibaya badla ya kulinda mali na Raia wanafutilia watu cheo ni dhamana jamani 😢
kweli kabisa dada umesema,kazi yao ni kulinda usalama wa raia,lakini wamegeuzwa kuwa chombo Cha siasa,Tena police kwasasa ndio hatari Kwa usalama wa raia.
Nch hii
Mm naamini hakuna marefu yasiyokuwa nancha ipo cku tu
Kisheria mtu ukishakuwa raisi utakiwi uwe na chama
Dah hao polisi wanaishi ndani ya siasa za viongozi onevu.
Gen Z inaogopwa kiasi hiki! Basi wanaitia nguvu sana.
Toka juu !!!!!Vs Toka chini!!!!
Ccm waoga hao hawajiamini kwa madudu Yao hayo
dar, poleni sana mimi ni dereva naendesha gari mmiliki wake ni mwanachama wa chadema na nilikuwa natoka maara furani nakwenda maara furani ivi na nimebeba wanachama wa chadema, nilipofika check point au kituo cha askali nilisimamisha na nikakamatawa nikanyang'anywa lesen ilikuwa saa nne ya asubuhi na nika andikiwa faini za kutosha, nikakaja ruhusia kutoa gari saa kumi na moja jioni na safari ikaishia hapo yani acha namenyi ya kusema lakini sina pakusemea.
Kwani kiazisha watawafanya nini kenge hao
Ccm ni wabaya kuliko hata wakoloni, Kila mpenda haki anatakiwa kuchukua ccm
Hivi mbona vijana tunanyimwa haki yetu kuna maswali ya kujiuliza
Arusha hatuna watu wanaitwa KIMAMBO Tapeli huyo
WatanZania tuombe. Tufanye maombi nchi hii niyaccm au niwatanzania
😂😂😂 chuma imelia ubaya ubwala man
Movement for change
Nyie police mnazingua sana na hii nch ndio tayali imeshawashinda ccm wakipita mbona hamuwazui
Polis polisi mimi naona kama hii nchi mnaona kama mali ya CCM ila mali yetu sote mjue mnavyo fanya hivi mnajenga uhasama baina yetu wananchi pia hayo maagizo kutoka juu wakati mwingine si mazuri kwa ustawi wa nchi yetu ila kwa CCM tu
mbona police wetu wa tanzania wanapenda kufanya mambo yao maranyingi kwakukurupuka lini mtaelimika? kwakweli sisi kama wananchi wafuatiliaji kwa karibu police tunawashauri mujirekebishi nchi sio yenu wenyewe nchi ni yawatanzania wote kwa mujibu wa sheria kikatiba.
Komeane wold is worching you there in Tanzania police blocking chadema activity whale ccm have been done they activity in Zanzibar why they did not harassing c cm youth in Zanzibar yesterday don't agree such move
Hawa vijana wote ni wahitimu wa vyuo na ajira hakuna
Makamanda wanasikia njaa na wanakiu wanalalamika kuchomeka jua,,
❤❤
Angalieni Gaza, Amani ni muhimu
Tuko pamoja,,, people's power
Mapolis nimakada wa ccm lazima wafanye ujinga
Halafu haya mapolisi majinga, ivi hawa watakuja kuelewa lini sijui.