KIPONDO KIMETEMBEA KWA VIGOGO CHADEMA, SUGU MAHUTUTI| POLISI WALIMRUSHA LISSU KWENYE GARI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 ก.ย. 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

ความคิดเห็น • 258

  • @user-ek6sl4px7z
    @user-ek6sl4px7z 28 วันที่ผ่านมา +26

    Nashindwa kusikiliza mpaka mwisho naumia sana Mungu yupo

    • @wekezauchumi7440
      @wekezauchumi7440 27 วันที่ผ่านมา +1

      Tii sheria bila shuruti..no one is above the law

  • @user-bv1jd6qw7z
    @user-bv1jd6qw7z 24 วันที่ผ่านมา +2

    Chadema Acheni Yoga Haki Haipatikani kilelemama Police Ni Wachache Wananchi Ni Wengi Inapotokea Hivo piganeni Kama Vurugu Na Zianzie Hapo. Mnasema Sana Zaidi Ya Kujitetea

  • @Baraka_reuben
    @Baraka_reuben 28 วันที่ผ่านมา +14

    Hongeren wasaf mmechambua vema.....kikosi chenu kimekamilika

  • @Alute-son2003
    @Alute-son2003 28 วันที่ผ่านมา +8

    Usiku uliendelea sana kunakaribia kucha

  • @hassnsalim5156
    @hassnsalim5156 28 วันที่ผ่านมา +11

    Polisi Tanzania ni shida sana

    • @ndogoroedson199
      @ndogoroedson199 28 วันที่ผ่านมา +3

      Polisi hawana shida tatizo waliogongwa huwa wanajifanya wajanja sana na wanajifanya wanajua sana! Na kama wamemgonga sugu safi sana anajifanya anajua sana

    • @emanuelnisetas7510
      @emanuelnisetas7510 28 วันที่ผ่านมา

      @@ndogoroedson199 hujuii unacho ongea nyamaza ccm ww

    • @wekezauchumi7440
      @wekezauchumi7440 27 วันที่ผ่านมา

      ​@@ndogoroedson199upo sahih mkuu....Tii sheria bila shuruti..no one is above the law

    • @frankhoffa8356
      @frankhoffa8356 27 วันที่ผ่านมา

      Kumanyoko na kuma la mamayako msenge konyolo wewe​@@ndogoroedson199

    • @FidesferdinandikimtiKimati
      @FidesferdinandikimtiKimati 27 วันที่ผ่านมา

      Waandishi ongeeeni tunalihesh jeshi ila wakivuka mipaka rahia atutavumilia iloooo tutapiga kelele nakupaza sautiii zetu

  • @user-qz2cs5wm5u
    @user-qz2cs5wm5u 28 วันที่ผ่านมา +5

    Wanaendelea kuwapa usugu lakini mungu anaupande

  • @mickyjoseph5492
    @mickyjoseph5492 28 วันที่ผ่านมา +13

    Hii nchi hatuna jeshi la polisi hao ni green guard,taka taka kabisa.

  • @DonMooFILMES_Express
    @DonMooFILMES_Express 28 วันที่ผ่านมา +15

    Katika siku ambazo nimeona hawa jamaa wameamua kufungua ni leo.... M! Nimeshangaa sana leo😢

    • @Werema3760
      @Werema3760 28 วันที่ผ่านมา

      ■Utaelewa nchic
      inaelekea wap mwaka kesho.😂 mama akiwa yupo benchi

  • @SarahShao-jw1up
    @SarahShao-jw1up 27 วันที่ผ่านมา +2

    Wasafi ....asanteni sana kwa uchambuzi makini....

  • @plujoncylugano4611
    @plujoncylugano4611 27 วันที่ผ่านมา +3

    Jakika Kitenge na wenzio ktk kutangaza mmetutendea haki na kuwatendea haki wanachadema

  • @LeonardKajiba
    @LeonardKajiba 26 วันที่ผ่านมา

    Mkitenda haki namna hii Mungu atawakumbuka ktk kazi yenu ya utangazaji

  • @Igauf3
    @Igauf3 27 วันที่ผ่านมา +1

    Ayayi! That was a waste of taxpayers’ money. It ended up costing them time and resources, which could have been better utilized elsewhere.

  • @AliSalim-yu4mo
    @AliSalim-yu4mo 28 วันที่ผ่านมา +2

    Buffaloooo! Solder inthe hot tough Tanzaniaaaa!

  • @luganomwaigomole7441
    @luganomwaigomole7441 27 วันที่ผ่านมา +1

    YOU'RE NOW BEST PUNDITS

  • @evelina9621
    @evelina9621 28 วันที่ผ่านมา +1

    Watangazaji.wasafi.mnafurahisha.asante.elimisheni.wananchi.tanzania.ya.leo

  • @EmmanuelChrispin-bo5xh
    @EmmanuelChrispin-bo5xh 28 วันที่ผ่านมา +1

    Inauma sanaa

  • @mitanakadorho2356
    @mitanakadorho2356 วันที่ผ่านมา

    Unakubali sasa kuwa katiba yetu ni nzuri si munapigaka kelele eti hii katiba

  • @VenaEliki
    @VenaEliki 27 วันที่ผ่านมา

    Wasafi hakika leo Niko na nyie nimewapenda buree

  • @peterbujari5128
    @peterbujari5128 27 วันที่ผ่านมา

    Polisi wanatumia kodi za wananchi kutesa wananchi......Je ni mpaka lini?

  • @DonMooFILMES_Express
    @DonMooFILMES_Express 28 วันที่ผ่านมา +7

    Leo naona maajabu sana WASAFI kuchambua namna hii....😢

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 28 วันที่ผ่านมา +3

    Oya sikieni ongezeni idadi ya magazeti mnajua sana kuyasoma.

  • @InocentPius
    @InocentPius 24 วันที่ผ่านมา

    Hii Nchi syo ya demokrasia

  • @ezekielmabwai4614
    @ezekielmabwai4614 28 วันที่ผ่านมา +3

    SERIKALI YA KISHENZI!!!

    • @wekezauchumi7440
      @wekezauchumi7440 27 วันที่ผ่านมา

      Tii sheria bila shuruti..no one is above the law

    • @flova7022
      @flova7022 27 วันที่ผ่านมา

      ​@@wekezauchumi7440we ndio mpumbbavuu WA mwishooo sanaaa

    • @user-ww4so9ks9c
      @user-ww4so9ks9c 20 วันที่ผ่านมา

      ​@@wekezauchumi7440kwani we unajua hawakutii c.c.m ni wafisadi tu

  • @ImaniMadiba-yu7wn
    @ImaniMadiba-yu7wn 28 วันที่ผ่านมา +4

    LEO WAKWANZA MIMI NAOMBENI LIKE ZANGU JMN,,,KWANN LKN!????? DUNIA SOTE TUNAIPITA TU KWANN TUNAISHI HIVI LAKNI KEKI YA TAIFA NI.... SO IPO SIKU WAPINZANI NAO WATASHIKA NCHI NAO WATAGEUZA KARATA🙏🏽

    • @judicalosika7642
      @judicalosika7642 28 วันที่ผ่านมา

      KITENGE, UNAMFAHAMU JEFF KOINANGE!!
      UNAKARIBIA KUENDANA NAYE LAKINI WEWE UNAKUWA NA KASI ZAID

  • @paultavin3114
    @paultavin3114 25 วันที่ผ่านมา

    Polisi wanatakiwa wajirekebishe swala la kupiga lipo, sana sana kwa raia wa kawaida ndio limezidi. Muda mwingine hata dhamana kupata ni wanachukulia ni kama hisani

  • @EmmanuelNdahya-ud5nj
    @EmmanuelNdahya-ud5nj 28 วันที่ผ่านมา +4

    Mbeya wajitafakali haki za binadamu

  • @paulswai1237
    @paulswai1237 25 วันที่ผ่านมา

    Wazee wa minyama Mungu awabariki mnafanya kaz nzr

  • @faridamapogolo2892
    @faridamapogolo2892 12 วันที่ผ่านมา

    Yani sikuhizi bila kuwasikiliza sijisikii raha

  • @AngelMazola
    @AngelMazola 28 วันที่ผ่านมา +2

    Walimlusha ili iweje sasa mbona awa watu wamekuwa hawaheleweki jamani khaa!! Aya wammalizie walizike

  • @SundayNkaza
    @SundayNkaza 26 วันที่ผ่านมา

    Jeshi lapolis walitoa naul wapi ya kuwaludisha

  • @MsendoPhinias-xc2jb
    @MsendoPhinias-xc2jb 27 วันที่ผ่านมา

    Sasa naona wasafi tv mmeanza kupevuka niwapongeze akili sana kwahili mmeanza kuthubutu kuzungumza na kutenda haki juu ya haki na usawa wa watanzania, ongereni sana 👏👏👏hili jopo nzima la kipindi hiki

  • @davidntowanga7717
    @davidntowanga7717 27 วันที่ผ่านมา

    Polisi

  • @josephmlazier1391
    @josephmlazier1391 26 วันที่ผ่านมา

    Tanzania ya MAMA ABDUL ndiyo hiyo sasa 😢😢😢 kila atakaye Sema kilicho tofauti na yeye ni kipigo cha mbwa wa msikitini😢😢
    Yaani ninavyomchukiaga dalali KITENGE imagine kwa hili nimewasikiza ad wakamaliza wueh tumeumia kwa tukio hili jamani

  • @hassankisuda1189
    @hassankisuda1189 24 วันที่ผ่านมา

    Tatizo sio kupigwa tatizo waliotakiwa kuhojiwa ni wengine lakini viongozi wakuu waligoma na kuwakingia vifua,
    Wakapewa dk 40 lakini wakadharau hayo ndio matokeo ya ujuaji
    Tii sheria bila shurti uone kama jeshi la polisi litakushambulia bila sababu

  • @PeterMahona-zd3oz
    @PeterMahona-zd3oz 24 วันที่ผ่านมา

    Bola wanajeshi mtusaidie vibalaka hivi wanatuonea watanzania yani nikimkuta asikali anapigwa nitafulahi na mimi namuongezea kumdunda

  • @mohayussuf2057
    @mohayussuf2057 27 วันที่ผ่านมา +1

    Nchi ya Giza Tanzania polisi wanatumika na ccm

  • @paulseleman0604
    @paulseleman0604 26 วันที่ผ่านมา

    Duh nchi yangu Tanzania

  • @EliaMwamengo-uu6ky
    @EliaMwamengo-uu6ky 28 วันที่ผ่านมา

    Wasafi kweli wasafiiii

  • @ChansaElie
    @ChansaElie 27 วันที่ผ่านมา

    Kwanini kichwa cha habari kimekaa kama kushabikia kilichotokea na kukifanya kionekane kawaida?

  • @godwinkasaizi882
    @godwinkasaizi882 28 วันที่ผ่านมา +1

    Mkitoka tu kwenye Reli hatuwasikilizi, MUENDELEE hapohapo

  • @paulseleman0604
    @paulseleman0604 26 วันที่ผ่านมา

    Hapo ndo mhimili wa bunge pia unatokea msisahau na rais wa ,ila inasikitisha sana huu ubaguzi utatumaliza kwani walishindwa kulinda mkutano wakaona wapate night allowance na kusafirisha hao watu c wanalipwa maisha magumu ndg zangu mh

  • @RawsonNkini
    @RawsonNkini 26 วันที่ผ่านมา

    Bado hata nyie waandishi wa habari mtapigwa ngoja tuu utaona maana wengi niwanafiki

  • @majutoomari7445
    @majutoomari7445 28 วันที่ผ่านมา

    Mpo vizuri

  • @JamaldaudlulyehoJamaldaudlulye
    @JamaldaudlulyehoJamaldaudlulye 27 วันที่ผ่านมา

    hii media sahv napenda sana kwa maana hamna uchawa mnazunguza vitu vya msingi

  • @paulseleman0604
    @paulseleman0604 26 วันที่ผ่านมา

    Kama polisi wanaweza kuambiwa baka huyu na wanafanya niumasikini na ujinga tu nadhani mh

  • @TM.Sullusi
    @TM.Sullusi 27 วันที่ผ่านมา

    Huko mlishavuka lini? Kivipi? 😢

  • @hamidabarraball3162
    @hamidabarraball3162 28 วันที่ผ่านมา +4

    Police in Tanzania they are bully, this behaviour is not exesity

    • @twalibulomy-cd4zd
      @twalibulomy-cd4zd 28 วันที่ผ่านมา +1

      Haha 😂 😂 😂. Umeandika nn tena Mwandiga? Tumia kiswahili pumbu ww.

    • @issashekh4726
      @issashekh4726 28 วันที่ผ่านมา

      😂😅

    • @SaneMwezi
      @SaneMwezi 27 วันที่ผ่านมา +1

      Use kiwahili mpuzi ww content ikokwa kiswahili 😂😂

    • @twalibulomy-cd4zd
      @twalibulomy-cd4zd 27 วันที่ผ่านมา

      @@SaneMwezi mwambie pumbu huyo aongee kisukuma. Anaitwa Mwandiga.

    • @twalibulomy-cd4zd
      @twalibulomy-cd4zd 27 วันที่ผ่านมา

      "Exesity " sio Exosity au andika sox kabisa.

  • @expeditormwalyu
    @expeditormwalyu 26 วันที่ผ่านมา

    KUMBE KAZI NDIO IENDELEE ILEEE NA INAENDELEA

  • @user-jl6uj4lf6q
    @user-jl6uj4lf6q 28 วันที่ผ่านมา +8

    Wanajeuri sana hao jamaa,Polisi wametumia guvu kiasi kuwakamata.

    • @wekezauchumi7440
      @wekezauchumi7440 27 วันที่ผ่านมา

      Sahih kabisa...Tii sheria bila shuruti..no one is above the law

    • @hamidkololeki5009
      @hamidkololeki5009 27 วันที่ผ่านมา

      Wapigwe tu wanajifanya wako juu ya sheria

  • @laurentkatambi8799
    @laurentkatambi8799 27 วันที่ผ่านมา

    Ila mungu yupo naamini atajinu

  • @AliceGoldson
    @AliceGoldson 28 วันที่ผ่านมา +1

    Hao jamani waamuue liability wafaidike

  • @Eliaskasanya-hm5yk
    @Eliaskasanya-hm5yk 28 วันที่ผ่านมา +1

    Wangeacha vijana wakae wazungumzie mambo yao na kama hao viongozi wa kisiasa walikuwa wanania ya kuzungumza na wananchi wangetafuta siku nyingine

  • @isakhamisi8923
    @isakhamisi8923 28 วันที่ผ่านมา +2

    Huyu awadhi hafai kabisa alikuwa hivi hivi alipokuwa Zanzibar lazima awajibishwe.

  • @AyubuChacha-u6u
    @AyubuChacha-u6u 27 วันที่ผ่านมา

    Polen sana ndugu zangu ingawa mimi si mwanasiasa lakin inaumiza sana.

  • @directortwicep3028
    @directortwicep3028 27 วันที่ผ่านมา +1

    Tusichekee haya mambo
    Tusipo kua makini Tz civil war itatokea maana itafika muda Raia watachoka kunyanyaswa
    Tuombe saana Mungu atuepushe kwa hili😢

    • @daudimaembe3360
      @daudimaembe3360 27 วันที่ผ่านมา

      Si wanategemea police?

    • @wekezauchumi7440
      @wekezauchumi7440 27 วันที่ผ่านมา

      ​Tii sheria bila shuruti hakuna aliye juu ya sheria@@daudimaembe3360

    • @festinamwakipale3919
      @festinamwakipale3919 26 วันที่ผ่านมา

      Tusilahisishe tu polis hawana chama.hata spite chadema polis watabaki.vilevile wananchi tupevuke wanasiasa baadhi wanapandikiza chuki wanaongea.vibaya sana ccm chadema acheni sisi ni.watanzania harafu mm siasa ni vita ya bila.sababu yaan.watanzania hatupendani.tunatamkiana maneno mabaya hivi siasa ina.lengo.gan.duniani.siasa.ni.nyoka.yenye.sumu watanzania tuwe macho​@@daudimaembe3360

  • @ladislausriwa7768
    @ladislausriwa7768 28 วันที่ผ่านมา +1

    Nguvu kiasi! Inapimwaje?

  • @mohayussuf2057
    @mohayussuf2057 27 วันที่ผ่านมา +1

    Utawala dhalimu wa CCM inatumia polisi kudhalilisha upinzani

  • @ThobiasMarandu
    @ThobiasMarandu 26 วันที่ผ่านมา

    Msichukulie Mzaha Huyo Awadhi Haji Ni Jambazi... Nitashangaa RAIS SAMIA KUMWACHA... I SWEAR!

  • @rastheunique
    @rastheunique 27 วันที่ผ่านมา

    My poor country Tanganyika😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @andrewIzdory-sk4cu
    @andrewIzdory-sk4cu 27 วันที่ผ่านมา

    Kazi yenye laana.

  • @TishaniUlanga-bj3nx
    @TishaniUlanga-bj3nx 27 วันที่ผ่านมา

    Kwa mara ya kwanza naona ile point ya freedom of mass media kupitia wasafi

  • @AllanLyombile
    @AllanLyombile 28 วันที่ผ่านมา +3

    Nchi ya Libiya ilikuwa salama na kuwa na maendeleo makubwa kwa muda mrefu,lakini wananchi walinyimwa kabisa haki na uhuru, hivyo chuki na hasira ndio chanzo cha wananchi kushawishiwa na maaduwi wa nje, leo Libiya ile pale tunaiona, NI NANI ALAUMIWE?

    • @wekezauchumi7440
      @wekezauchumi7440 27 วันที่ผ่านมา

      Nani alikwambia walinyimwa uhuru acha uongo

    • @flova7022
      @flova7022 27 วันที่ผ่านมา

      ​@@wekezauchumi7440we jammaa mbona umekaza mkanda Sana mnatumika vbya

    • @festinamwakipale3919
      @festinamwakipale3919 26 วันที่ผ่านมา

      Walaumiwe.wanaoshabikia mipira wanakataa kumcha Mungu

  • @CEO9494
    @CEO9494 19 วันที่ผ่านมา

    JOSEPH MBILINYI ANATAFUTA KIKI ANAKESI KWA RPC AMEMTOA MTOTO WA WATU MIMBA KAMPA KILEMA ANATAKA KUFICHA MADHAIFU YAKE KWENYE CHAMA.....CHADEMA SUGU NI MBABAISHAJI ANAKWEPA KESI YA JINAI INAYOMKABILI.....RPC NA RCO ANGALIA HILI SWALA

    • @joselinejonathan8818
      @joselinejonathan8818 18 วันที่ผ่านมา

      Wee mama mtu mzima ovyo, kwani hilo lilikuwa linahusiana vipi na mkutano kwa watu wote? Wee kenge tuu

  • @davidkawesa3594
    @davidkawesa3594 27 วันที่ผ่านมา

    Police Yasu mwenyewe aliwambiaga police 10 kwa 1

  • @SundaySteven-bz4yq
    @SundaySteven-bz4yq 28 วันที่ผ่านมา +3

    Sasa hivi tutaanza kutembea na marungu kwe mikutano maana uonevu umezidi

    • @JeremiahMwalukosya-eh5nf
      @JeremiahMwalukosya-eh5nf 28 วันที่ผ่านมา +1

      Uko sahihi polisi nikikosi kazi cha ccm

    • @wekezauchumi7440
      @wekezauchumi7440 27 วันที่ผ่านมา

      ​Tii sheria bila shuruti..no one is above the law

    • @wekezauchumi7440
      @wekezauchumi7440 27 วันที่ผ่านมา

      ​@@JeremiahMwalukosya-eh5nfTii sheria bila shuruti..no one is above the law

    • @JeremiahMwalukosya-eh5nf
      @JeremiahMwalukosya-eh5nf 27 วันที่ผ่านมา

      @@wekezauchumi7440 Sheria ipi waliovunja ningekuwa naongea na binadamu wakaida ningesema kitu ila sababu naongea nabinadamu nusu mtu acha nishie hapahapa

    • @FeisalDoctor-wr8ws
      @FeisalDoctor-wr8ws 27 วันที่ผ่านมา

      ​@@wekezauchumi7440sheria gani uyozungumzia ww cc tunkujua ww ni kibaraka cha ccm na ushoga unajitahid San kukomment ushalipw tyar😂😂

  • @ShamsiKasoma-fn4cl
    @ShamsiKasoma-fn4cl 26 วันที่ผ่านมา

    hiki sasa ndio chombo cha habar co vingine vipovipo tyu maaana ya muandishi ni kujitoa sadaka kwajili ya nch au raia

  • @DicksonMagesa-l5g
    @DicksonMagesa-l5g 27 วันที่ผ่านมา

    Waongo hao semeni mavi 8 yanawadumbua

  • @pueblo148
    @pueblo148 27 วันที่ผ่านมา

    Mmeanza kurudi ktk akili zenu.wengine tulishaachaga hata kuwasikiliza ambavyo mmejifanya vilaza
    .Sasa mmeanza kutufanya kuwakumbuka kuwa mpo

  • @GabrielSky64
    @GabrielSky64 27 วันที่ผ่านมา

    Sisi Raia hatuongei afadhari ukimbizwe na chui ila sio.police wa Nchi akukamata

  • @MosesMgala-qx3bb
    @MosesMgala-qx3bb 27 วันที่ผ่านมา

    Police n mbwa wa ccm

  • @matukutajuma156
    @matukutajuma156 27 วันที่ผ่านมา

    MIMI CCM NTAFIA HUKO LAKINI KWA HILI KUNA BAADHI MNATUHARIBIA!!😢

  • @clauschaula2050
    @clauschaula2050 27 วันที่ผ่านมา

    Polisi tunawalani sana kama mliwapiga Viongozi wa chadema.Kwa hili waziri wa ulinzi jihudhuru mara Moja.Huu ni unyama kabisa.

  • @jackhans7708
    @jackhans7708 27 วันที่ผ่านมา

    Ebwana hata ulaya ukileta uzushi maafande wanakurukia vilevile,hawa jamaa wanatafuta shari,lakini hapa sio kenya 🤔unachezea halafu sana tu.

  • @elvisoscar9912
    @elvisoscar9912 27 วันที่ผ่านมา

    Katika media nafiki ni hii apa bongo yan awaipendi chadema we fatilien utagundua 😂😂😂

  • @Alute-son2003
    @Alute-son2003 28 วันที่ผ่านมา +1

    Ninyi ni waandishi kweri kweri

  • @agnessangawe3844
    @agnessangawe3844 27 วันที่ผ่านมา

    Mama yupo kazini

    • @evansokemwa6587
      @evansokemwa6587 27 วันที่ผ่านมา

      ako kazi aje? saitani wewe

  • @epafraditopajenga4650
    @epafraditopajenga4650 27 วันที่ผ่านมา

    KTK JAMBO LA KUJIFUNZA WOTE MUNGU DHURUMA HAPENDI KUIUIMIZA NAFSI YA MWEZIO KWA KUMPIGA KWA KUMUUONEA TUJIFUNZE Na Nchi Zenye Vurugu Kizazi Chote Mpaka,Sasa Walianza Hivi,Mungu Aisaidie Nchi Hii.

  • @IssaTayari
    @IssaTayari 28 วันที่ผ่านมา

    Hii nch

  • @MosesMgala-qx3bb
    @MosesMgala-qx3bb 27 วันที่ผ่านมา

    Wasaf I tunawapenda achanen na hiyo maada

  • @user-ih9xy5vd5d
    @user-ih9xy5vd5d 27 วันที่ผ่านมา

    Hili jamaa mbona halijui kutangaza aisee

  • @josephmabula9658
    @josephmabula9658 27 วันที่ผ่านมา

    Mnachotafuta mtakipata

  • @priscairene4605
    @priscairene4605 28 วันที่ผ่านมา +1

    Wamepigwa?

  • @hamismabula9934
    @hamismabula9934 27 วันที่ผ่านมา

    Huyu mama anawasha moto ambao kuuzima utamgharimu sana!

  • @user-qz2cs5wm5u
    @user-qz2cs5wm5u 28 วันที่ผ่านมา +1

    Wapelestina walivo kosanguvu yakupambana nawaizail wapelestina waliamua kujitoa muanga

    • @HalidMuhammad-gi9qy
      @HalidMuhammad-gi9qy 27 วันที่ผ่านมา

      Awazi uyu uyu ninaemjua mimi aliokua Zanzibar au mwingine

  • @RamaKimbeu-tw4po
    @RamaKimbeu-tw4po 27 วันที่ผ่านมา

    NDUGU KIPONDO SIO TANZANIA TUU MPAKA ULAYA KIPONDO KIPO AMERICA KIPONDO KIPO HIVI HAMSIKILIZI MABO YA NJE YANAVYOKWENDA HUKO?

  • @neemamdami7466
    @neemamdami7466 28 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂 Maulid Kitenge apenda umbea jamani afanya kuamka amka 😂😂😂😂😂😂

  • @JumaMwakyambiki
    @JumaMwakyambiki 27 วันที่ผ่านมา

    PONGEZI nyingi kwenu kwa kuwajibika ipasavyo kama waandishi.

  • @AminaMoshi-fp1pc
    @AminaMoshi-fp1pc 28 วันที่ผ่านมา

    😢😢😢mama aoni?

  • @zephanialuangwaeliatosha9723
    @zephanialuangwaeliatosha9723 27 วันที่ผ่านมา

    😂mbona kama mmelifurahia Sana ndugu watangazaji

  • @JoshuaNgolela-pi3nh
    @JoshuaNgolela-pi3nh 27 วันที่ผ่านมา

    jeshi la polisi ni la ccm sio letu tusidanganyane hii nchi kila kitu ni cha wana ccm ila chadema na wapinzani wengine na sisi tusio na chama chochote atuna chetu hii nchi

  • @AbbySalum-yq7lc
    @AbbySalum-yq7lc 27 วันที่ผ่านมา

    Kitenge kwani ulizani jeshi la polisi ni wauguzi au wachungaji,ninyi mlitaka waubiri neno

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 28 วันที่ผ่านมา

    Mtu anakaa Moro unapelekwa arusha 😊😊

  • @msabahaali758
    @msabahaali758 28 วันที่ผ่านมา

    polis wetu hawa ata ubinaafam hawana kiukweli mnaofurahia iko siku yatawakuta inshallah

  • @generosennko8343
    @generosennko8343 28 วันที่ผ่านมา

    Ubaya ubwela miyangu. Uuwwiii!!

  • @lumeaaniceth6391
    @lumeaaniceth6391 28 วันที่ผ่านมา

    Vichaaa wamepewa nch

  • @mancholotrasco8350
    @mancholotrasco8350 28 วันที่ผ่านมา +1

    Hiyo nchi ni ya hovyo sana kutokana na ukosefu wa elimu mpaka police hawajui kaz wanayoifanya .. inchi haina uhuru wa kuongea .. ni kweli police na jeshi la wananchi wote ni CCM kenge wamoja

    • @wekezauchumi7440
      @wekezauchumi7440 27 วันที่ผ่านมา

      Uhuru upo sema usivuke mipaka

    • @mancholotrasco8350
      @mancholotrasco8350 27 วันที่ผ่านมา

      @@wekezauchumi7440 mipaka ndio nini au ni vipi. ... Nchi ya watu wachache hiyo

  • @user-im6uv1wp8o
    @user-im6uv1wp8o 28 วันที่ผ่านมา

    Jeshi la polisi mkoa wa mbeya washitakiwe na kuwajibishwa

  • @DeodathChinyamba
    @DeodathChinyamba 28 วันที่ผ่านมา

    Si kweli kila mtu ana haki ya kufanya kile anataka ila asivunje sheria

    • @wekezauchumi7440
      @wekezauchumi7440 27 วันที่ผ่านมา

      Na kama amevunja sheria anatakiwa afanywajwe??

  • @hassanMahmoud-i4l
    @hassanMahmoud-i4l 27 วันที่ผ่านมา

    zanzibar mlitucheka sana siasa zetu ,mulituandikia vibaya zanzibar miaka yanyuma kwenye magazeti ,zanznzibar ,kwawaka moto ,zanzibar hakukaliki ,sasa sisi zanzibar ni ndio chuo cha siasa ,uamsho ,na mengi huanzia jwetu nyie mnamalizia tu sasa mmedandia gari kwa mbele hamjui mtendalo

  • @Zenny89
    @Zenny89 28 วันที่ผ่านมา

    Kesi ya Binti inaendelea kuzimwa Tena Taratibu😆

    • @ProsperUlungi
      @ProsperUlungi 27 วันที่ผ่านมา

      Yule malaya watu hatupotezi muda kumfuatilia malaya😂😂