Ruto bas tena safar yako imefik....Ni vyema uachie kiti ukapumzike...Hali itazid kuwa mbaya kwako...Na vijana umeanza kuwaweka selo na vizuizini ndio atar kbs huo moto unaanda ukija lipuka kenya itageuka uwanja wa vita kwa muda ua masaa kadhaa tena ninyi kwa ninyi
Hata kama 2020 hawakutangaza ongezeko la mshahara due to COVID-19....sahi wanawaongezea kwa raha gani??? Wakati wananchi njaa imezidi...can't they even think?! Smh
@@ameirzapy1318 kwa wenzetu sio wabunge tu. Ni kada mbali mbali za serikali.. Tanzania kuna double standard za mishahara ya umma ndio Mana magufuli alikuwa anataka kurekebisha Hilo. Mfano unaweza kuhamishwa kutoka tasisi flan ya serikali kwenda nyingine kwa cheo hicho hicho ulichonacho unajikuta ulipohamia wewe una mshahara mkubwa kuliko hata boss wako unaye enda kuripoti kwake.. I know. Ndio Mana hata wakitangazaga kazi za serikali wanatoa tu codes za mshahara Ila hawasemi ni kiasi gani.
Ndio mshahara utabaki kuwa siri kwa faida yako zaid na si vinginevyo...Yan zaid nchi inamlinda mtumishi ila usidhan ety wakitangaza wao wataathirika...Kuna maadui, kuna watu wakickia tu una pesa waanza shida, dharau, kuondoa migongano ya maslah iliyopita mipaka n.k
Wabunge na magavana ....wameogopa kuchukua iyo pesa manake tunarekebisha wao uki mtaani....2027
Gud job
Aise hawa wenzetu mambo yao yana uwazi mwingi sana hadi raha.
Uwazi upi😂? Hiyo ni siasa tu kuona fujo zilizo jitokeza wewe ungefanyaje ? Lazima ungezuwia😂
Yaani unakuta wanajiongezea wao tu tena zaidi ya milioni wengine myajiju inaumaaa wanasahau wakifa wanaacha kila kitu
Ruto bas tena safar yako imefik....Ni vyema uachie kiti ukapumzike...Hali itazid kuwa mbaya kwako...Na vijana umeanza kuwaweka selo na vizuizini ndio atar kbs huo moto unaanda ukija lipuka kenya itageuka uwanja wa vita kwa muda ua masaa kadhaa tena ninyi kwa ninyi
Hio tume iache ujingaa wanajiongeza mishahara huku madaktari na polisi 👮 pamoja walimu wakilalamika.....
Hata kama 2020 hawakutangaza ongezeko la mshahara due to COVID-19....sahi wanawaongezea kwa raha gani??? Wakati wananchi njaa imezidi...can't they even think?! Smh
pumbavuuu
Hawa bado kitawaramba lazma tutoe serekali yote ya Ruto Mamlakani Wametuzoea sna
Tanzania mishahara ya umma ni siri....tukiambiwa katiba mpya ni muhimu wengine wanaongea hovyo hovyo
Kwanini iwe siri,wakati nyie ndo mnawalipa Kwa kulipa ushuru
Mbona pesa ya wabunge kulipwa sio siri iko wazi? Labda hujataka kujua, sema wanachukua hela ndefu sanaa
@@ameirzapy1318 kwa wenzetu sio wabunge tu. Ni kada mbali mbali za serikali.. Tanzania kuna double standard za mishahara ya umma ndio Mana magufuli alikuwa anataka kurekebisha Hilo. Mfano unaweza kuhamishwa kutoka tasisi flan ya serikali kwenda nyingine kwa cheo hicho hicho ulichonacho unajikuta ulipohamia wewe una mshahara mkubwa kuliko hata boss wako unaye enda kuripoti kwake.. I know. Ndio Mana hata wakitangazaga kazi za serikali wanatoa tu codes za mshahara Ila hawasemi ni kiasi gani.
Ndio mshahara utabaki kuwa siri kwa faida yako zaid na si vinginevyo...Yan zaid nchi inamlinda mtumishi ila usidhan ety wakitangaza wao wataathirika...Kuna maadui, kuna watu wakickia tu una pesa waanza shida, dharau, kuondoa migongano ya maslah iliyopita mipaka n.k
@@jumashedafa ni kweli kwa upande mwingine