ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
Hapa Babu Tale kusema ukweli kuhusu D Voice inambidi manager wake alitilie mkazo Hilo swala 🤝💪 nko 🇰🇪
Kwa hiyo asiimbe mziki mzuri..! Kwa hiyo zile Bongo Flava zake siyo nzuri..? Dah! Babu Tale amechemsha
Aweeeee babu tale amechemsha d voice anafiti kwenye bongo fleva zobaaa ni atari
Ni mtazamo tu masela msije chuki 😂
Maybe nafsi nafikiri pale bwana babutare walipigwa zao safari hakuna mwanamuziki pale maana mziki mwenyewe ambaye mnafikiri hakila hazijakaa vizuri kifuani vile sasa lazima waseme hivyo wanatafuta njia moja wapo ya kumdefend
Kwani singeri ni nini bongo flavour ni nini!? Me navyo juwa pia singeri ni bongo fleva
Huyu mzee nae asituchoshe, inamaana kijitu ndio kaiona ila ZOBA aaaanhhhh!
Kwa hiyo singeli sio b flavour
Off course
Huo ndo ukweli ,huyo ni kijana wa hit after hit kwa singeli, abaki kwenye uhalisia wake
Hapa Babu Tale kusema ukweli kuhusu D Voice inambidi manager wake alitilie mkazo Hilo swala 🤝💪 nko 🇰🇪
Kwa hiyo asiimbe mziki mzuri..! Kwa hiyo zile Bongo Flava zake siyo nzuri..? Dah! Babu Tale amechemsha
Aweeeee babu tale amechemsha d voice anafiti kwenye bongo fleva zobaaa ni atari
Ni mtazamo tu masela msije chuki 😂
Maybe nafsi nafikiri pale bwana babutare walipigwa zao safari hakuna mwanamuziki pale maana mziki mwenyewe ambaye mnafikiri hakila hazijakaa vizuri kifuani vile sasa lazima waseme hivyo wanatafuta njia moja wapo ya kumdefend
Kwani singeri ni nini bongo flavour ni nini!? Me navyo juwa pia singeri ni bongo fleva
Huyu mzee nae asituchoshe, inamaana kijitu ndio kaiona ila ZOBA aaaanhhhh!
Kwa hiyo singeli sio b flavour
Off course
Huo ndo ukweli ,huyo ni kijana wa hit after hit kwa singeli, abaki kwenye uhalisia wake