#BREAKNG
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 10 ต.ค. 2024
- #BREAKNG: MBUNGE wa NGORONGORO AACHIWA USIKU, ASEMA ALIGOMA KULA SIKU 3, HAKUPEWA KIBALI cha SPIKA...
CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
========================
Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
JISHINDIE TECNO CAMON 20 kwa BUKU TU! Ingia kwenye simu yako📲, NAMBA YA KAMPUNI 553111, KUMBU NO. 255 au GLOBAL kisha Tuma 1,000! Utapaja ujumbe wa USHINDI!
Tutaimba wimbo mmoja tu Lema alisema mkitumaliza sisi mtaanza kumalizana wenyewe
Amen
❤
Asante sanaaa mmbunge wetu tuaonba uwe na hmsimamo kwa wananchi wako🙏🙏🙏🙏
Pole Sana kaka mbunge wa ngorongoro umejitahidi Sana kataa Kula sumu ipo ndugu yetu pia serikali ya ccm na ya Samia ni mbovu Sana Samia Anausa nchi yetu hasa Tanganyika wetu
Charles unakosea Samia siyo mtu mbaya hapana kipo kikundi kidogo sana kimemzunguka chenye tamaa kama ya fisi ndicho tatizo
Wengi waliwekwa pembeni na magu bahati mbaya akawarudisha bila uchunguzi wa kina Sasa ndio wanaitafuna nchi
Kikundi hichi yupo RAIS mstaafu wanataka kumaliza njaa ya kukosa ulaji wakati wa magu
Tumwombee sana RAIS Samia agundue hili genge aliweke pembeni
Nifunzo kwa wabunge wengine wa chama chake waache uchawa.
Mungu kombowa watu wako pamoja na aridhi yao juu ya wakoloni weusi
Ameen Mungu hajawahi kushindwa
SAFI SANA KIONGOZI WA WANANCHI
Mungu ni mwema
WAMASAI WASOMI SIKUIZI ACHENI KUWADHARAU
Asante yesu umejibu maombi yetu ya kumwoombea mbunge Shangai aliyesulubiwa siku tatu.tuendelee kuwaombea wale wengi
Pole sana mbunge wa ngorogoro mungu akusaidie kwenye mapito unayo pitia
Pole Ole. Tumshukuru Mungu uko hai na hongera hukula chochote. Uko salama.
Nakuombea sana mungu akulinde sana
Mbunge wa ngorongoro anatakiwa kuigwa sana
Hongera sana kwa msimamo mkubwa na pole
Lema njooooooooo,
Nabii ataheshimika kwao
Mungu ni mwema Sana,hakuna aliye juu ya mungu, 😂😂😂
Sauti ya wanyonge ipo mtaani tena chuma imara kuliko jana
Hakuna haja ya kula chakula cha mtezi wako hii nimeshikilia
Mtesi
Mbunge 🔥🔥🔥
Nasikia Msoga alishauza hiyo loliondo kitambo sana. Saiz waarabu wanataka ardhi yao.
Mh umefunga kavu mwenyezi Mungu anene nawe
Soma Zaburi 35 🙏🏼🙏🏼
Pole Mh Shanghai
Walivyo kuwa Wana kamatwa chadema mlikuwa sawa Ila lema aliwaambia wakiwamaliza wao Wana kuja kwenu nashukuru mungu yamewakuta...
Ccm oyeeee
Imetimia.. UCHOCHEZI !!?
Lakini mh,mbunge nadhani Ni wakati wa kudai katiba mpya maana Sheria za inchi hii hazina faida kwa watu wanyonge
Pole jamani rafiki
Daaa nchi hii ya hovyo sana
Kabisa
Unajua Mimi nashangaa Sana.
Inchi kwa maigizo hiii
Mungu watetee ndugu zetu wamasai😢😢
Pole sana, shetani atashindwa tuu...
Fanya kazi
Mungu mwema
Pole sana
Ahsante mungu
Mungu atusadie
Sasa hivi nae shujaaaa 😅😅😅😅 km mashujaaa wengine
Ccm choma mbaya sana 😭😭😭
Duh!! Hii nchi kwa kweli wanataka kumuangusha mama
Atajiangusha mwenyewe maana ile panga pangua ya baraza la mawaziri na department zingine aliharakisha sana... acha inyeshe.......
Hongera baba nynyi ndiye tunaowategemea mtupiganie katuka nchi yetuambayo wanataka tuwe watumwa.
Acha upumbavu akupiganie wewe umekaa na wewe ongeza nguvu mjinga wewe
ukiwa upande wa wananchi lazima uumie
Mungu akupiganie mh bunge
Mkimaliza kutushughulikia mtajishughulikia wenyewe
Yaani hii kila kitu ni uchochezi
Wanaouza tunu za taifa wakiona mtu anawawekea kauzibe wanampa kesi ya uchochezi,uhujumu uchumi au uhaini !!!
Akina kitenge zembwela ni watu wanaotakiwa kulaaniwa vikali.
Kwa sababu hawa jamaa wamechangia sana kuwekwa ndani kwa mh.mbunge wa ngorongoro
Walikula ganji
Wakome hivi vitisho dhidi ya watu wa ngorongoro na viongozi wao. mtaka kuwatisha Ile muwape muarabu kujenga mahoteli na kuwinda wanyama waliohidhiwa na jamii hii enzi kwa enzi
Pole sana mbunge wetu
Hata Ccm kwa Ccm hamuaminiani? Shida ya kuogopa kula imetoka wapi?
Mmmmhhhhhh?????
Jeshi la polisi la Tanzania lina zambi kubwa Sana kwa kupindisha Shelia na Mambo wanayo ya fanya hayampendezi mungu..adhabu yao ni kubwa Sana kwa mungu...
Hiyo ndiyo kazi ya CCM
Inayojifanya inawapenda watanzania
Usikate tamaa kiongozi wetu tutakuombea daima milele tulikuchagua kwa ajili ya kutetea wananchi wako
Funzo kwa maccm
Wa kuuliza ni mmoja tu ?
Mbunge kama huyu ni hazina kwa taifa
Uchochezi au maigizo !?
Mungu mkubwa uchaguzi 2025
Sasa nahuko Kuna nini ? Na uchochezi wa nini kuhusu Nini? Mbona nashindwa kuelewa
Mwarabu wa DP world anatongoza wanyama
Jamaa anamengi moyoni sema anakistahi chama chakee😂😂
Alhamdulillah mungu ni.mwema hivi Huko police ndio wanafunzwa hivo ama akili zao tu
Hukumu ni hapa hapa wala usiteseke pambana na maombi tu cha kuwalaan wao na vizazi vyao!
Tatizo lipo kwenu wabunge. Mkiwa bungeni akili zenu huwa haziwazagi masilahi ya nchi.
Welcome uraia Mheshimiwa mbunge Shangai nadhani umejifunza mengi kwa wabaya wetu 😢
HUU NDO UTAWALA WA SHERIA, HAIJALISHI WE MBUNGE AU MKULIMA AU MFUGAJI AU MFANYABIASHARA AU MTUMISHI WA SERIKALI. UKIKINZANA NA SHERIA UTAKAMATWA NA KUHOJIWA, HUNA KESI UNAACHIWA, UNA KESI YA KUJIBU UNAFIKISHWA MAHAKANI UNASOMEWA MASHITAKA FULLSTOP.
Tupambane kudai haki zetu,Kama wanataka wawekezaji nawao viongozi siwakawape nyumbani kwao Kama kule zenji,pia Kuna faa kwa uwekezaji
Watu wanataka waamishwe ngorongoro hiyo ndio chanzo za kukamatwa mbunge
Mbunge gangamara, wanafikiri wakishahamisha raia kura utapata wapi bhana?
Saiv ni mda wa kushughuliana wenyewe Kwa wenyewe na mtakoma sana ndo mjue ulipata ubunge wa dhuluma
Ccm hawajui km wakoloni walichimba kaburi kwa maziko yao wenyewe.
Mbona umeruhusu Ngorongoro kuuzwa??
Fundisho hilo na badoo
Inchiimeuzwa nabado
Hujala kwa siku 3 hebu tueleze ilikuwaje? . NI TAMU 🤣😂..
Fight for people of ngorongoro
Duuuh hii Sasa ishakua ni hatar. Watu au basi
Kwa mbuge ccm lazima spika hausike
Hiii nchi duu Ni ya ajabu sana vitu vinavyofanyika Ni balaa ila one day tutajuana tabia
Hii ngoro ngoro Tu mbunge kakamatwa je bandari ikiwa chini ya mwalabu si ndo mtasikia waziri mkuu kakamatwa
Umeanza upande wenu mlifikil chadema peke yao
Ukitaka amani kuwa chawa tatizorako unatetea wananchi wako wangorongoro
Ulitakiwa upotezwe ili mtunge sheria nzuri
Wataalam nisaidieni hili
Mfano umekamatwa kimya kimya hafu bahati mbaya ukakata moto itakuwaje
Mbona wengi tu wamekamatwa kimya kimya na wamekata moto huko, na hakuna kilichofanyika😢
Sikuizi ukikamatwa utaratibu mpya ni kugoma kula.
Mungu wambinguni aingilie nafsi zetu nais Kama tunataka kulud utumwani nakibaya tumeanza kutesana wenyewe wasababishi wapo kwao nafamiliya zao nainchi zao watutumia vibaya sisi wenyewe kwa wenyewe wafrika hasa watanzania tumelogwa nanini
Kwani hii nchi shida ni nini jmn
Muacheni akale kwanza
Mliona kama wapinzani waongo Sasa zamu yenu ccm piganeni Marisas
Shida ni haya mazimwi waarabu Mashetani haya .Wanataka kurudi kinyemela na kututesa tena kama zamani .Eee Mungu baba tuteteee waja wako ,waangamize kama ulivyowaangamiza wale watesaji wa wana wa Israeal kwenye bahari Shamu katika jina la Yesu
HUYU JAMAA ANA UTOFAUTI MKUBWA SANA... KWSSB KWANZA ANAONEKANA AMELELEWA NA WATU WENYE HEKIMA HAROPOKI NA HANA LUGHA CHAFU YA UKOSEFU WA ADABU..ADABU NI KITU KIKUBWA KINACHOONYESHA UTU WA MTU HATA KAMA UKIONA UMEONEWA BADO KUWA NA HEKIMA NA ADABU NI MUHIMU SANA
Duu mbwa kala mbwa mbunge mtunga Sheria aaminiwi kujidhamini Hadi azaminiwe polisi na mtu iyo ni nzuri kwani akuna aliyejuu ya Sheria tukutane bungeni wanaccm wenzangu
Mikiñchoo Eñkai eripoto
Bunge sasa hivi haliba Spika
Ni aibuuuuuuuuu
Kwanini watu wanakamatwa bila makosa katiba inaruhusu maandamano kwanini polis amfati katiba
Ukiwa kwenye family ya wachawi watu unaongea family yenu ni wachawi huwezi kuamini mpaka waanze kukutafuna Leo hii CCM wameanza kujirudimo na Bado
CCm bwana ko mlikamatana😂
NGORONGORO HAKUNA KUTOKA MASAI WAACHENI WAKAE NA WANYAMA WAO NA MIFUGO YAO
Viongozi wengi wa CCM ni wachumia matumbo na wala hawapo kwa ajili ya watanzania. Nonsense
Tupambanie tanzania jmn upinzani ulikua ukipigania hali unakandamiswa leo ht mwana ccm akiongea haki anakandamiswa inatakiwa ubaya ukemewe na wote
Kama mbunge wao wanamtesa hivi vipi asiye wa kwao? Naamini jibu unalo.
Kwahiyo wewe ndio unaamini hapo?...hayo ni maigizo tu ili kumnusuru yeye jimboni kwake.
Upinzani Tz wawe makini sana na haya maigizo ya CCM. Kama hayo si maigizo basi wabunge wote hao wanaojifanya wanawatetea wananchi watoke CCM.
Huyu mbunge ni mchonganishi anataka kuchonganisha vyombo vya usalama na raia huwezi simama jukwaani na kuanza kusema polisi ni vibaka na wapigwe kama vibaka wanapokuenda kufanya upekuzi linapotokea tatizo, sio swala la kufumbia macho na kusaport watu kama hawa wanaotaka kuharibu amani ya nchi kwa interest zao
Kifo kimpate huyu asababishaye nchi kupasuka