MAHAKAMA YATOA HUKUMU ya KUPINGA UWEKAJI wa VIGINGI LOLIONDO-NGORONGORO -RAIS ATAJWA KWENYE HUKUMU..
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 26 ก.ย. 2024
- MAHAKAMA YATOA HUKUMU ya KUPINGA UWEKAJI wa VIGINGI LOLIONDO-NGORONGORO -RAIS ATAJWA KWENYE HUKUMU...
CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
========================
Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
JISHINDIE TECNO CAMON 20 kwa BUKU TU! Ingia kwenye simu yako📲, NAMBA YA KAMPUNI 553111, KUMBU NO. 255 au GLOBAL kisha Tuma 1,000! Utapaja ujumbe wa USHINDI!
Rais siyo mungu aliyeumba mbingu na dunia.
Kuleta wawekezaji na kuwapa ardhi ni kuwachimbia shimoni wananchi Nyerere alikuwa na akili alijua hayo mapema
Mungu yuko Tanzania akitetea wanyonge.
Mbona Swala lauwekesaji limekiwa tatizo kwa inchi yetu badala ya faraji
Inamaana katiba sio ya watanzania ni ya kuwalinda viongozi.duh hatari sana na pia inamaana ardhi ya tanzania wanamiliki maraisi wetu duh!
Wakiwamaliza Wamasai watakuja kwa wengine pia. Tz hatuko salama.......
Congratulations,Wakili Ole Shangay on behalf of Ngorongoro/Loliondo people.God Bless you.
wazir haliyetoa tangazo ni chawa kama chawa wengine
❤mungu awabariki ngorongoro yetu samia sio mungu mungu yeye ndio kilakitu ngorongoro
Watanzania amkeni. Nchi yenu inanyakuliwa na kugawiwa kwa matapeli na mafisadi mbele ya macho yenu. Mnanyang’anywa chakula chenu kutoka midomoni mwenu. Eti raisi kaamua!!! Ushenzi gani huu.
Hii nchi Kuna nini Giza tz wamasai gorogoro jamani hii ndo tz yangu kweli Kama ndo tz yangu kweli Basi inatisha
Ndio maana serikari inahitaji elimu ya katiba kwa wanainch Ili waelewe mamlaka ya viongozi kikatiba halafu wanatoka watu wanapinga suara Hilo haliitaji mawakili Kam watu wanauelewa wa katiba yao kuhusu tamko la rais kikatiba mawakili kuweni wakwer achen kupotosha watu katiba mnaijua vizuri kuhusu mamlaka ya rais kukasimu aridhi
mahakama ni chawa kama chawa wengine majaji ni dhaifu sana hawana weledi kabisa
Rais ni mpiga dili, kateua waziri mpiga dili, kesi ikapelekwa mahakama inayofanya maamuzi KWA kufuata maamuzi ya Rais na wateule wake.
Harafu mtemee kushinda imeisha hiyo
SUPER AMO.G
mawakili acheni kuwadanganya wananchi mmeishapata pesa zenu.semeni ukweli wenu .Wanawalia pesa zenu bure hao mawakili.
Ndio maana tunalia na katiba
Tatizo ni katiba irekebishwe uyo Mama anatumiya madaraka yake vibaya yeye kila siku anaamka na mambo mapya tume zimekuwa nyingi uteuzi wa viongozi kila kukicha titizo ni katiba
Wadau mungu kweli Hali ugali
Every road has a bend, añd time will tell
Nadhani tuna poteza mwelekeo, Utalii nipamoja Watalii washangae kuona Wanyama pori wanakaa pamoja na Binadamu, ni kivutio kikubwa sana, Kuna nini nyuma ya pazia?
Hii ni aina ya "multiple land use" scenarios. It is very unique and interesting 😊 😊
Milima iliyo lipuka loliondo jana
Tunashukuru mawakili wazalendo
Raisi sio mmiliki ni msimamizi ardhi
2025-NGORONGORO-BANDARI?
Ndugu zangu kazi ya wakili hata muuwaji anamtetea wakati anajua kaua kweli
Yani kiufupi kesihii haikutakiwa kuwa kesi kwasababu wananchi hawataki kuhamishwa eneolao naniwananchi ,,sasa nguvu yakuwatoa inatokawapi, nakamanikilio watanzaniawote wamesikia inamana laisi hakusikia? Minaona hii kesi inamuhusu laisi nandie anaetaka watu waondoke,nakama nihivo huyu kiongozi kashindwa kuongoza watu mana kiongozi anatakiwa kongoza wanayotaka watu sio anavotaka kiongozi
Mahakama za Tanzania ni mawakala wa ccm eti Kuna mtu Yako juu ya Sheria utafikiri ni mungu
Nyundo ya leo,ufunze moyo wako kukomaa maana taarifa za kuumiza ni nyingi.
Tz hakuna mahakama 😅😅
Katiba tu inakataza sasa tamko la mtu tu linaamua yote yani hii nchi inapokwenda ni msaada tu wamungu ila mama ajitathmini vizuri kama kuna watu wanampa ushauri aangalie vizuri hawamtakii mema kila sehem nchi imekua ni shida sana
Sheria yakisema mtu mmoja ndie pekee ipo siku itakuja kuleta madhara makubwa ,watakapo tokea walafi.
Mnaisoma namba sasa si mlikipa wenyewe kura kiwasomeshe namba mtulie wapewe waraabu ninyi hmna hadhi ya ku 8:31 8:31 8:31 8:31 8:31 8:31
NILIVYOSIKIA HILO JINA LA HAKIMU JOAKIM LIGANGA SIJUI KAMA KUNA HAKI ITAPATIKANA HAPO NI MMOJA WA MAJAJI SERIKALI INAWATEGEMEA KUIBEBA SERIKALI KWY KESI ZAKE
Nani bado haoni umuhimu wa Katiba Mpya. Imagine mtu mmoja anayeitwa Rais ana mamlaka makubwa kiasi hicho. Tunataka Katiba Mpya
Katiba ndiyo imempa mamlaka hayo. Raisi ndiye kiongoi mkuu wa nyanja zote hata jeshi n.k kauli yake ni amri sio ombi...
Wakili wa ngorongoro nchi inawategemea kwaiyo musipokaa vizuri ngorongoro inaenda kwa waarabu
Hivi ni lazima uandike uongo?😅
Hawezi kuondoka hata siku moja kiongozi
Ngorongoro inawasome wengi sana kiongozi kwhy tutajipanga kwa lolote lile na nina uhakika tutashinda kwa asilimia 100
Jamii kuwa na wasomi pamoja na mawakili ni swala nzr sana kupambana na maadui
Huyu Samia ni balaa hawa waarabu wamempa Nini kinachomfanya atuone sisi kama manyani,subiri maandamano ndo kiama yenu
mahakamani imeshtakiwa mahakama hahahaaaa tz haswaa
Tutafsiri vizuri sheria rais sio mmiliki wa ardhi yetu la hasha!
Hana mamlaka ya kupora ardhi yetu!
Hakuna sheria inayompa rais uhuru ama haki ya kupora ama kuiba ?
Lazima afuate taratibu
Inamaana Raisi Huwa haangalii kama taratibu zimefuatwa? kabla ya kutangaza? Kwa hiyo hata kama waziri kakosea anatangaza tu? Halafu jeshi letu lipo wapi kama wageni wanajinilikisha kipande Cha nchi ?
Sio kipande cha ardhi nikama nchi nzima,jeshi linasubiri maandamano,ili watuunge mkono
Jeshi letu halina uadui na kauli za chama tawala ccm ukitaka kuona kazi na matokeo ya mafunzo yote ya ukakamavu ranging na n.k tizama wanamshambulia RAIA wakaiwada sikuiyo TBC NA ITV ni mihutasari kama yote
Iko kitu Mungu Atamwonyesha huyu mama.hakika tutaona mengi
Wamekaa kimyaaaa kama hawako
NDIO MAANA TUNATAKA KATIBA MPYA
HATUNA SABABU YA KUSUBIRI MIAKA MI TATU
KATIBA MPYA SASA
RAISI AFUATE SHERIA KATIBA NA KANUNI ZA TANZANIA
RAISI ACHA KUWAPA MBUGA ZETU WAZUNGU NA WAARABU
Picha