WAANDISHI wa HABARI WAVAMIWA na KUJERUHIWA kwa MIKUKI, SIME NGORONGORO, HALI ZAO MBAYA, DC AZUNGUMZA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 10 ต.ค. 2024
- WAANDISHI wa HABARI WAVAMIWA na KUJERUHIWA kwa MIKUKI na SIME - NGORONGORO, HALI ZAO MBAYA, DC AZUNGUMZA...
Zaidi ya vijana 200 wa jamii ya kimasai (morani) eneo la Enduleni, Wilaya ya Ngorongoro, mkoani Arusha wamewavamia na kuwajeruhi waandishi wa habari na mkalimani aliyeambatana nao....
CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
========================
Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
JISHINDIE TECNO CAMON 20 kwa BUKU TU! Ingia kwenye simu yako📲, NAMBA YA KAMPUNI 553111, KUMBU NO. 255 au GLOBAL kisha Tuma 1,000! Utapaja ujumbe wa USHINDI!
Safi sana tunaumie eti ngorongor bado tuuganike wote wamasai
Safi sana mbwakoko hao😂
Mmezidi kuhongwa ili mtoe taarifa za uongo ili watu wahame SI muache Kuna ulazima gani wa kuwahamisha na kuwashawishi ili waondoke na mumlete muwekezaji ndo mkome mi naona safi tu kwa maoni yangu binafsi
Safi sana nimefurahi hamna adabu
Chamsingi zaidi wangeuwawa sio kujeruhiwa tu serikali ya ofyo in ayotuongoza mungu ndie mtetezi wetu
Heeeeeh! Makubwaa msiwafate hawa wata wauwa ni kama wanyama hawa sio watu mmmh
WALIDHANI NI WAMASAI WA WAZARAMO
Mungu mbk nimeogopa jamn polen Sana waandishi WA habar
Safi sana washenzi hao
Mwandishi ww ukujua km kuna vita na ndy maana hukwenda kweli we msomi 💐⚘🌷🌹🌺
Sasa hapo kosa la viongozi liko wapi?
Mtihani binadamu hatunahuruma poleni mungu atawasaidiya
journalism is not a crime
Mungu ponya kwa haraka nafsi za hawa waandishi❤
Tena ao wa itv NDO KAZ YAO KUISIFIA SERIKALI TU, WAACHE WALE KIBANO
Jamii ya maa inaonewa sana Ni Mungu anawalinda
WAANDISHI KAZI YAO NI KUISIFIA VIONGOZI TU...WAKATI WANANCHI WANATESEKA ...PIGA KABISA
Uongozi wa Tanzania
Ametupa jamii Wa kimasai
Na kutelekeza kama sio
Raia wa nchi hii Lakini
Mungu alieumba
Nchi hii atatufuta machozi
Wapigwe kabisaaa maana hawana huruma na wenzao piga garagaza.wao wakale vizur wenzao watedeke.
Mkuu wa Mkoa wa Arusha inabidi apishe tu Ngazi haiwezakani kudhibiti Migomo ya DalaDala na Migogoro ya Wafugaji na Mamlaka ya Wanyamapori Ngorongoro. Mheshimiwa Rais Samia mpeleke Makonda akusaidie Mkoa wa Arusha. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.🇹🇿🇹🇿
Hawa wandishi wa habari hawasomi nyakati na mazingira pia kupima jambo la kuhoji hizi ndizo elimu za tz
Kwa Makonda hapo umenena ni mchapa kazi mzuri 💪💪💪
Sasa we unaona wamasai wanaandamana na mabango kuiomba serikali iwaamishe mapema wamecheleweshwa na wanalaani kitendo cha watu flani kwenda kuwashawishi wagome kuhama, alafu we unaenda kuwahoji kwanini wnahama si kichwa chako kitakuwa haki yao!?
Mungu akujalie hekma
Sasa wasiwaumize wandishi wa habari
Labda mikuki yao ilikuwa na sumu wapimwe
Wamasai kidogo wanawaelewa ni wahindi tu hata hapa dar wengi wao wapo kwa wahindi
Eti mwandishi msomi😂😂😂
nyinyi wamasai mnacho kifanya hicho ckiziri na maeneo hayo mmeamia ni sikweli mababu na majibu
Uskute hao waandishi wanalipa gharama za unafki wa taaluma,tasinia ya uandishi. Hata hivo chini ya jua,hakuna jambo lisilo na chanzo,sababu ya kutokea kwake.
WANDISHI WA HABARI AWANAFAIDI KAZI YAKUMSIFIA MAMA SAMIA KUANDIKA MAZURI C MABAYA YAKE
Ivi hawamasai kwanin wanatumia siraha?
Wakome wanatoa habari za uongo wanawatetea serikali
Arusha inarusharusha mara hili mara lile duu tulieniiii
Nchi yao wanawanyanyasa kuhama ili wauze ardhi wamasai msikubari kabisa waandishi ni wanafiki
Waliovamiwa Sio Waandishi Wa Habari Ni Wapuuzi, Waandishi wa habari kazi yao ni kuriport Matukio sio kupedel propaganda na ati kuwashauri Wamasai waondoke Maeneo yao. Maana Sasa Hivi Tanzania Vyombo vya Habari ni Machawa tu.
TUNAKO ELEKEA HILI TAIFA ACHA KWANZA NIKAE PALEEEEEE
MWANDISHI MSOMI MJINGA😅😅😅😅
Usipotoshe korumba lebabass
She usilete ujinga
Hii itaendelea kuwakumba waandishi na vyombo vyote vya habari waliohongwa. Ni vema mkalijua Hilo Wananchi wamewachokeni
DC Raymond mwangala na RC mongela waondoke Arusha hawana wanachokifanya
Wanaichafua na kudhalilishwa jamii ya kimasai
Waache umbeya vinginevyo watauawa
Eeh watu hawapend unafki na hongo
Ninachohisi waliuliza Maswali ya kijinga kama ambavyo huwa tunawasikia wakihoji utumbo wa kukera.
hivi mwandishi msomi ndio mwandishi wa aina gani jamani! disgusting! hivi vinaitwa vituko vya bongo
Mbona kunawatu wanaitwa ma Doctor wakatisiyo ma Doctor
SAWASAWA AWAJAKOSEA KWA NINI WASIWAUE WANGEWAUA TU