Vita Vya Kagera 1977 1978 Sehemu Ya Pili

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 9 ก.พ. 2025
  • Sehemu ya pili ya filamu ya vita vya Tanzania na Uganda almaarufu kama Vita vya Kagera vilivyopiganwa kati ya mwaka 1978 hadi 1979

ความคิดเห็น • 686

  • @matukiotvonline6366
    @matukiotvonline6366 11 หลายเดือนก่อน +70

    Wanaoangalia 2024 like ❤❤

  • @Chettymlambalipsi-lb9km
    @Chettymlambalipsi-lb9km ปีที่แล้ว +85

    Tunaoangalia 2024 tujuane kwa like 😊😊😊

  • @rahabunyamsenda5064
    @rahabunyamsenda5064 4 ปีที่แล้ว +34

    2021 tu like hapa. Nimependa sana mwalimu nyerere alivyo sema..nguvu ya kumpiga tunayo, sababu tunayo na Nia tunayo ni maneno mazuri sana ya kutia moyo na kuleta ushindi

    • @JumaSalehe-kg6uq
      @JumaSalehe-kg6uq 3 หลายเดือนก่อน

      Mlilishwa matango pori

    • @paschalcharles3617
      @paschalcharles3617 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@JumaSalehe-kg6uqmi mwenyewe sijawahi kuelewa kwanini tulipigana na amin

    • @NaomiEnock-z4g
      @NaomiEnock-z4g 21 วันที่ผ่านมา

      @@JumaSalehe-kg6uqulilishwa matango pori wewe

  • @hafidhikasimu7436
    @hafidhikasimu7436 4 หลายเดือนก่อน +5

    Nikuona hii clip ya vita ya kagera wallah namkumbuka Marehem baba yangu mungu amlaza pahala pema amin😢

  • @hosearioner3637
    @hosearioner3637 4 ปีที่แล้ว +8

    Much love from kenya...uzalendo ulidhirika katika hii vita vilivyo.

  • @issahamisi4066
    @issahamisi4066 3 ปีที่แล้ว +3

    Kama unaangalia 2021 double tap apo chini wanajeshi wetu wanafanya leo hii tunakula raha duniani full aman kwa msaada wa mwenyezi mungu .Julius kambarage nyerere💪

  • @chaulachaulaya5259
    @chaulachaulaya5259 5 ปีที่แล้ว +21

    Nipo naitazama video hii November 2019, itaishi milele. Ahsanta kwa wanajeshi wetu na wote walioandaa makala hii...

  • @felixmagulu6142
    @felixmagulu6142 4 ปีที่แล้ว +8

    Hiki ni kipindi pekee ambacho kiwango cha uzalendo kilikuwa cha hali ya juu sana, Hongereni sana mliojitoa kulitetea Taifa letu, Mungu azipumzishe kwa Amani roho za mashujaa waliopoteza maisha katika kipindi hiki kigumu, Mungu ibariki Tanzania na Jeshi letu la ulinzi la wananchi.

  • @isaacmwaipopo
    @isaacmwaipopo 4 ปีที่แล้ว +15

    Kama wewe ni mzalendo, usipite hapa bila kugonga like. Nimerudi toka Ulaya sababu naipenda Tanzania. Ndo mana wakati natoka Tanzania kwenda ulaya nilibeba DVD za hotuba ya Mwalimu Nyerere ili niuendeleze uzalendo.

    • @eliahmunna1482
      @eliahmunna1482 3 ปีที่แล้ว +1

      Kweli nimeamini ushirikiano na umoja wa watanzania ni wasiku nyingi sana na ndiyo maana tunaushi kwa amani bila kujali ukabila

  • @kelvingrison7039
    @kelvingrison7039 5 ปีที่แล้ว +10

    Watu hawa wengine wapo hai mpaka mda huu wanaish maisha magumu sana, serikali ifike hatua iwakumbuke hawa wazee wetu walioikomboa Tanzania kutoka kwa nyemela Nduli Amin

    • @williamnathan4630
      @williamnathan4630 4 ปีที่แล้ว

      kelvin Grison Ni kweli, lakini walishatumika wakatupiliwa mbali

    • @AsaniZubeli
      @AsaniZubeli 3 หลายเดือนก่อน

      nikweli blow Mozambique wanalipwa kwa kila mwezi wengine adi m1 inafka

    • @GharibJoseph
      @GharibJoseph 3 หลายเดือนก่อน

      Daah!! inasikitisha sana!! Baba yangu aliniacha nikiwa na Wiki Mbili toka kuzaliwa, alikwenda kupgana na Amin.🇹🇿🇹🇿😭

  • @alexandrea4403
    @alexandrea4403 7 ปีที่แล้ว +70

    Daaaaah! baba yangu alikuwepo kwenye hii vita mungu akulaze mahali pema Amina...

    • @tedynicholaus4003
      @tedynicholaus4003 7 ปีที่แล้ว +1

      Alex Andrea zpp

    • @stanslausmteme8455
      @stanslausmteme8455 6 ปีที่แล้ว +1

      Pole sana ila tambua katusaidia wote MUNGU amuweke pema alitutea wote na nchi yake pole sana ndgu ila jivunie kua na mzazi alokomboa nchi

    • @kisayekapama8401
      @kisayekapama8401 6 ปีที่แล้ว

      Alex Andrea sorry

    • @rajabmartojr3302
      @rajabmartojr3302 6 ปีที่แล้ว

      Alex Andrea pole kaka

    • @hamisijmussa6983
      @hamisijmussa6983 5 ปีที่แล้ว +2

      Wapumzike kwa amani wazazi wetu..

  • @isssidd9565
    @isssidd9565 8 ปีที่แล้ว +60

    polen sana kwa kutuangaikia ss tuish katika maixha mazuri tunawashukuru jaman

  • @joelnassari105
    @joelnassari105 6 ปีที่แล้ว +4

    Naipenda sana Nchi Yangu Tanzania...Mwenyenzi Mungu awape nguvu wafiwa na awapokee wote waliotangulia mbele za haki wakiipigania Nchi yetu na kutokana na vita hii ambayo iliturudisha nyuma sana kiuchumi kama Taifa la Tanzania..

  • @nyzerjnl7960
    @nyzerjnl7960 5 ปีที่แล้ว +174

    Wanao angalia 2020 kama mm niwaone like

  • @johnwangare3024
    @johnwangare3024 4 ปีที่แล้ว +6

    Babaangu bwana mwamed wangare kashiriki vita hivi kwanzia daraja la kagera mpaka mtukula na babaangu mkubwa chalesi wangare wote Mungu awarehem nakueapa panapo stahiki 😭

  • @samuelimori5711
    @samuelimori5711 4 ปีที่แล้ว +3

    Nakumbuka mbali sana nikiangalia picha hizi.
    Nawakumbuka wenzangu waliotangulia mbele ya haki.
    Namshukuru Mungu aliyenihifadhi na kunirudisha salama.

  • @anithashembilu7732
    @anithashembilu7732 5 ปีที่แล้ว +3

    Tumetoka mbali. Rais wetu na wale wote walioipigania nchi yetu, ninawaombea na kuwakumbuka daima. Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Africa.

    • @bigmanyamafilmproduction5890
      @bigmanyamafilmproduction5890 3 ปีที่แล้ว

      Ni sura zenye utayali najikuta nasisimka mwili kwa uzarendo huu usio wa kinafki.heshima kwao

  • @rahmaoman5122
    @rahmaoman5122 5 ปีที่แล้ว +14

    Babu yangu alipambana vikar kwenye hii vita Allah ampe kauli xabit 😭😭🤲🤲huko aliko pia amuepuxhie adhabu zakaburi Amiin

  • @ZakeoVitus
    @ZakeoVitus ปีที่แล้ว +2

    Uzalendo huu ni ujenzi wa Tanzania ambayo Leo tunajivuni Mungu bariki Tanzania hope kubwa ipo kwakuwa tuko kwenye nchi ambayo walio ipigania walituaminisha

  • @mpelienock
    @mpelienock 7 ปีที่แล้ว +54

    Mwalimu Nyerere heshima yake itasimuliwa vizazi vyote. Big Salute.

  • @GharibJoseph
    @GharibJoseph 3 หลายเดือนก่อน +1

    Baba yangu alipoenda Vitani, Mimi aliniacha nikiwa na Wiki Mbili toka kuzaliwa. Daah!! inauma Sana nikikumbuka🇹🇿😭

  • @aminajackson8119
    @aminajackson8119 4 ปีที่แล้ว +2

    Siku hizi tunapenda tuvae gwanda tuonekane wanajeshi lkn duu Mungu atusaidie tumebaki masharobaro tuu uhalisia haupo

  • @rizikizakaria8044
    @rizikizakaria8044 2 ปีที่แล้ว +3

    Hawa watu wengine bado wapo hai ila wanamaisha magum sana selikali ifike hatua muwakumbke jamn msikalie tu kula bata na familia zenu.

  • @tabumasumbuko2909
    @tabumasumbuko2909 3 ปีที่แล้ว +1

    Hongereni sana wapambanaji wetu kwa kutukomboa hii kazi ilikua ngumu

  • @mustaphawelder7022
    @mustaphawelder7022 ปีที่แล้ว +1

    Nimemkumbuka baba yangu, R I P kwa kupambania taifa ila serikali haijawahi kumuangalia kwa upande wa pili mpaka anatoka duniani tarehe 7/1/2017, rest in peace my father

  • @saidmanjanjagara55
    @saidmanjanjagara55 3 ปีที่แล้ว +1

    Wakati huo nchi ilikuwa na umoja na upendo, japo watu walikuwa maskini lkn walikuwa na mapenzi kwa nchi yao! Sasa tofauti, viongozi wanadhani wao ni first class! Tunabaguana kivyama na kubambikizia wapinzani kesi nzito! Sasa si wamoja tena!

  • @patrickpondamali5615
    @patrickpondamali5615 6 ปีที่แล้ว +21

    Mungu awalaze pema wailopigania nchiyetu na, waliobak wasaminiwe,

  • @saidimpologomyi382
    @saidimpologomyi382 5 ปีที่แล้ว +3

    Babu yangu ALLY SAIDI alikuwa katika hili kundi la mashujaa,ALLAH akuwekee wepesi katika makazi yako ya milele

  • @tracyjustice1600
    @tracyjustice1600 8 ปีที่แล้ว +10

    babu yangu alipigana kwenye hii vita, mungu aipumzishe roho za mashujaa wetu pema peponi, walijotoa muhanga ili tuishi maisha ya Amani kwenye Ardhi yetu, nakupenda Tanzania hawa walikuwa wazalendo wa kweli

  • @stanleyikangaa
    @stanleyikangaa 22 วันที่ผ่านมา

    wanao angalia 1979 kama mm tujuane hapa kwa like

  • @annamusembi9885
    @annamusembi9885 4 ปีที่แล้ว +14

    They were true heroes I salute you. I am a Kenyan

  • @ojasoojaso9479
    @ojasoojaso9479 5 ปีที่แล้ว +2

    Nyerere hana mfano kwani kila mara alikuwa mstari wa mbele katikati ya vita akiangalia na kukagua kwa macho yake mwenyewe na kuongoza mapigano.mwl hakuogopa kufa wakati wa kuipigania nchi hii ,hakujali uhai wake ,wala mali za dunia,hii.RIP mw JK NYERERE mwana halisi wa Afrika.

  • @mohdkley7366
    @mohdkley7366 7 ปีที่แล้ว +68

    Naahidi hatutoitupa nchi yetu tutaipigania Kwa kila hali mimi nipo Zanzibar mungu atusaidie

  • @venancenkuwi768
    @venancenkuwi768 5 ปีที่แล้ว +18

    Tanzania itajengwa na wenye moyo na sio wazalendo wa siku hizi!!! Mungu ibariki Tanzania

  • @ShadrackNgonya
    @ShadrackNgonya 13 วันที่ผ่านมา +1

    Wanao angalia 2025 tujuane Kwa like

    • @ShadrackNgonya
      @ShadrackNgonya 13 วันที่ผ่านมา

      ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @MaryNyingo
    @MaryNyingo 3 หลายเดือนก่อน

    Nakumbuka mbali sana kwa kweli. Kipindi hicho nilikuwepo bukoba kaboya kambi la jeshi.

  • @neemamliga539
    @neemamliga539 7 ปีที่แล้ว +37

    My daddy fought on this war too en he's still alive!!
    May z soul of those who dieD in z war REST IN PEACE

    • @mpelienock
      @mpelienock 7 ปีที่แล้ว +1

      Neema Mliga hongera sana Mshukuru Mungu kila unapokumbuka.

    • @damianmakala2913
      @damianmakala2913 6 ปีที่แล้ว +1

      Neema Mliga even my dad fought in this war and still a live till now

    • @simonchihongwe8489
      @simonchihongwe8489 5 ปีที่แล้ว

      Neema Mliga

    • @oscarbundalla6352
      @oscarbundalla6352 5 ปีที่แล้ว

      Amen

    • @williamnathan4630
      @williamnathan4630 4 ปีที่แล้ว +3

      Kipindi Hicho nilikuwa na umri wa miaka 8 Std One, my Daddy was a soldier but did not go there ,walibaki Kama Askari wa Akiba. Nakumbuka baadhi ya watoto wenzetu enzi zile wakati wa kwenda kuwapokea , hawakuwaona baba zao. May their soul rest in peace!

  • @seifhamad9817
    @seifhamad9817 5 ปีที่แล้ว +35

    2020 tu like hapa

  • @jojo_linkissabiny5238
    @jojo_linkissabiny5238 6 ปีที่แล้ว +12

    Rip babu ulipoteza maisha kwenye iyo vita ingawa nilisimuliwa mana sikuzaliwa

  • @mutalemwagabrie9791
    @mutalemwagabrie9791 4 ปีที่แล้ว +5

    Wanao angalia mpaka muda huu rarehe 14/8/2020 agonge like😍😍

    • @adamssaid4392
      @adamssaid4392 4 ปีที่แล้ว

      Mimi naiangalia video hii leo tarehe 17/8/2020 najifunza mengi na kuona inatupasa kulinda Sana amani tusidanganywe na akina tundu lisu wao wanasehem ya kukimbilia

  • @mpandaboy2279
    @mpandaboy2279 4 ปีที่แล้ว +2

    Hii video imenipa hamasa kubwa kuitetea na kuisemea nchi yangu kwa mema popote nilipo.... Hakika hii vita ilituletea heshima kubwa vilevile ilisababisha hasara kubwa.. Nahakika bila hii vita na zile za ukombozi za kusaidia mataifa mengne yapate uhuru leo hii TZ ingekua ni moja ya developed countries kama SA,,,Mungu awalaze mahali pema wote waliopigania Taifa hili na awalinde wote ambao bado wapo hai🙏🇹🇿

  • @khameiskibabu4469
    @khameiskibabu4469 5 ปีที่แล้ว +1

    Yaan hapo unaaga nymbn kma ukipta nafx kurudi ni maajaliwa tn.Mungu aziweke roho za walio tangulia mbele ya haki mahali pema peponi.Amin

  • @onesmosimon2720
    @onesmosimon2720 4 ปีที่แล้ว +1

    Aliye sikia kidumu chama cha mapinduzi agonge like na wapinzani najua kunakitu mmegundua apo

  • @DavidMgimba-z8o
    @DavidMgimba-z8o 3 หลายเดือนก่อน

    2:33 Tazama watanzania hawa walivyo jitoa wakati wa vita vya kagera lkn sasa watu wamegeuza nchi hii kuwa ni mahali pa kuvimbisha matumbo yao na wao wakitangaza uzalendo
    Hawa ndio walikuwa wazalendo
    Mungu awabariki sana

  • @vedastosama4548
    @vedastosama4548 7 ปีที่แล้ว +1

    Majemedari wetu walifanya kazi ngumu kwa ajili ya kuikomboa nchi yetu kutoka kwa gaidi iddiamini Dada Mwenyezi Mungu awape pumziko la amani wanajeshi wetu waliotufanya tuwe salama mpaka Leo

    • @meshackmoyo7397
      @meshackmoyo7397 7 ปีที่แล้ว

      Ndotuige mifano hii jamani lakini nashangaa saizi tuna windana wenyewe kwa wenyewe tens kwasraa kar jaman inaumalakin

    • @rajabumwongozo9817
      @rajabumwongozo9817 4 ปีที่แล้ว

      Baba yngu Kama angelikufa vtani Mimi nisinge kuepo nashkuru mung baba alrudi Dalia ingawa kwasasa nimarehem mung amlaze mahalapema pepon aaamin

  • @elimondvoiceboy7383
    @elimondvoiceboy7383 3 ปีที่แล้ว +16

    Wanao angalia 2021 kama mimi gonga like apa

  • @taofiqconscious7408
    @taofiqconscious7408 5 ปีที่แล้ว

    Mungu aibaliki tanzania kwamaana walimwaga damu kwaajili yakuikomboa tanzania hakikalani kwao nyelele. alemaha pema peponi Amin

  • @AmosReonard-c4c
    @AmosReonard-c4c 3 หลายเดือนก่อน

    Mungu awabariki sana had leo tunaishi kwaaman asanten kwajuhud zenu

  • @petermwantole9433
    @petermwantole9433 5 ปีที่แล้ว +24

    kweli huu ulikua uzalendo wa hali juu,,hongereni wote mlioshiriki vita hii,,na pumzikeni kwa amani mliotangulia mbele ya haki...

  • @saitotilucumay594
    @saitotilucumay594 7 ปีที่แล้ว +8

    for sure they was done a very very big work God blessed them wherever theyare

  • @joelrugano6517
    @joelrugano6517 5 ปีที่แล้ว +4

    Tulilelewa katika umoja,mshikamano. Kipindi hicho tulikuwa na wanasiasa wa kweli na siyo kama sasa ambapo wanasiasa wetu wako kimasilahi zaidi.

  • @aridiyahya8049
    @aridiyahya8049 5 ปีที่แล้ว +50

    Kuna watu kati ya hawa sasahiv wanaenda maofisini kuudumiwa wanaikutu mijitu iko kwenye kiti cha kuzunguka full ac afu yanadharau na kuwacheleweshea huduma.

    • @marthasumaye6017
      @marthasumaye6017 4 ปีที่แล้ว

      Mmojawapo babangu anaishi ntumba ya miti

    • @rebeccampeta6650
      @rebeccampeta6650 4 ปีที่แล้ว

      Inauma

    • @festoottosimkwayi9911
      @festoottosimkwayi9911 2 หลายเดือนก่อน

      Upo sahihi sana
      Hawa ni watu muhimu walilipambania sana Taifa letu dhidi ya Nduli Iddi Amini

  • @wahidawahida6675
    @wahidawahida6675 5 ปีที่แล้ว

    Mama na baba angu walinihadisia ichi kipindi kwao kilikuwa kigumu sana yani sikifikiria hi storia niliopewa na wazazi wangu hakika vita sio kitu cha mchezo

  • @vicentzamberiwarioba6468
    @vicentzamberiwarioba6468 5 ปีที่แล้ว +1

    2020 mungu awabaliki kwa kazi mzr hatuna cha kuwalipa

  • @patrickkessy3912
    @patrickkessy3912 8 ปีที่แล้ว +7

    Je ingekuwa ni miaka hii tungeonesha uzalendo kama huu .....jibu langu mimi ni hapana uzalendo na nchi haupo tena kwa sababu ya ufisadi uliokithir na unaozdi kuwakandamiza wananchi

  • @sirilimichaelpamojasana2033
    @sirilimichaelpamojasana2033 5 ปีที่แล้ว +2

    watu wa zamani wanaupendo sanajaman mungu awabariki

  • @ivanmarcela1209
    @ivanmarcela1209 8 ปีที่แล้ว +16

    mungu ibaliki tz mungu wabaliki wote walioshiriki kuikomboa tz amina

    • @hinetadacres2618
      @hinetadacres2618 8 ปีที่แล้ว +3

      eeh mungu wapumzishe mahala pema pepon mashujaa wetu waliotutangulia

  • @josephabel2503
    @josephabel2503 7 ปีที่แล้ว +5

    I see the spirit of the nation, mungu awape amani mliotangulia mbele za haki

  • @AbdillahHassan-v5b
    @AbdillahHassan-v5b 3 หลายเดือนก่อน

    Jamani me mwenyew na ipenda hi kazi ❤ makamanda wet

  • @mosesfrancis3946
    @mosesfrancis3946 3 ปีที่แล้ว

    Asanteni sana wote mliochangia ushindi huo.

  • @rajmatola8611
    @rajmatola8611 5 ปีที่แล้ว +6

    Amakwel nyerere ni simba wa afrka naipenda nchi yangu

  • @annazablon8406
    @annazablon8406 5 ปีที่แล้ว +1

    Baba yangu alipigana vita japo 2006 ndo kafariki apumzike kwa amani .... amen

  • @ameirzapy1318
    @ameirzapy1318 5 ปีที่แล้ว +6

    Daaah inafikia muda inabidi ujitolee kwa hali na mali kuhakikisha unailinda nchi yako, haikuwa rahisi kujitoa hawa leo hii tunaishi vizur sana.

  • @MhaduKilangilo
    @MhaduKilangilo 2 หลายเดือนก่อน

    Nimependa sana stori hii nimeffurahi sana

  • @chrisbee7876
    @chrisbee7876 7 ปีที่แล้ว +8

    ukiangalia unagundua wengi walikua vijina hapo lazima tujue sikuzote sisi vijana niwatu tutakao jenga nchi yetu kwakumpa ushirikiano raisi wetu viva Tanzania

  • @abdulkalim2033
    @abdulkalim2033 7 ปีที่แล้ว +41

    Hawa wanajeshi wengine wapo mpaka sasa na awakusaminiwa mchango wao kitika Taifa hili

    • @richardmabusi3557
      @richardmabusi3557 7 ปีที่แล้ว

      hassan sasbai

    • @petervalentino271
      @petervalentino271 6 ปีที่แล้ว

      Mungu ilinde Tanzania hatutaki yajirudie hayo. Ingawaje wakichokoza hatuwaachi!!!

  • @shukuruilomo768
    @shukuruilomo768 5 ปีที่แล้ว +1

    Dah poleni sana ukweli mlifanya kazi kubwa sana one love Tanzania

  • @BarikiTheonesti
    @BarikiTheonesti 5 หลายเดือนก่อน

    Nawapongeza sana waliojitokeza kulitetea taifa la TANZANIA Asanteni sana

  • @emmanuelymakwawa2539
    @emmanuelymakwawa2539 4 ปีที่แล้ว

    Kwa kweli mliotupigania hadi kupata uhuru Mungu awalinde sana pia wale wote ambao walipoteza maisha kwa sababu ya uhuru wetu Pia Mungu azilaze roho za marehem mahali pema Amina,. Mb zangu zina tumika kihalali kabisa leo naitwa Emmanuel Makwawa bila hata ya kugasiwa hii yote ni kwa sababu Ya Babu Au Baba wa Taifa Mwalim Julias Nyerere

  • @jandaboytzz4794
    @jandaboytzz4794 5 ปีที่แล้ว +2

    Tanzania💗💗 na wish mpka ningekuwa mmojaWapo ktk hao Vijana

  • @marwawaitara8690
    @marwawaitara8690 3 หลายเดือนก่อน +5

    Wanaoangalia kuanzia October 2024 na kuendelea like hapa

  • @pamelanyanduga5102
    @pamelanyanduga5102 4 หลายเดือนก่อน

    Daaah wamenikumbusha kitambo...nilipewa mjegeje niliivuruga kagera na Uganda vibaya mnoo.....senene walikimbia kwa miaka 3 ndo wakarudi Tena kagera wakifikia kaitaba.....nipongezeni jaman nilipambana sana kwa ajili ya nchi yangu

  • @elisdotenv
    @elisdotenv 13 วันที่ผ่านมา

    Nimeangalia hii video 2025, Nusu nusu niende Lugalo nikajiandikishe, for my country I'll do anything it takes, 🇹🇿🧠♥️

  • @wizboyfriend
    @wizboyfriend 5 หลายเดือนก่อน

    wakwanza mimi naombeni like zanguuuu😅😅😂

  • @khalfanshahabakar7439
    @khalfanshahabakar7439 ปีที่แล้ว

    Pumzikeni waliotangulia kwa amani kabisa.hakika mungu akufutieni madhambi yenu amin

  • @fredmwaijande9411
    @fredmwaijande9411 3 ปีที่แล้ว +1

    Naipenda sana Tanzania nafarijika kuitwa mtanzania love sana Tanzania

  • @MaryNyingo
    @MaryNyingo 3 หลายเดือนก่อน

    Tulikuwa tukijificha chini ya hiyo mizinga tukiona ndege ya Idi Amin

  • @priscambwambo1030
    @priscambwambo1030 5 ปีที่แล้ว

    Watu Walikuwa na umoja hawakuwepo watu wabinafsi jamani hii ndio ilikuwa Tanzania ya hapi kale. Watu wana upendo wako tayari ya chochote kugharamia ili adui asishinde .inafurahisa ,Mungu awabariki sana na hata waliopoteza maisha yao walale pema peponi. AMINA

  • @nyambirotrueinformation7500
    @nyambirotrueinformation7500 4 ปีที่แล้ว +15

    Wanaoangalia 2021 kama mimi like zenu tujuane

  • @AminaMkumba-u3z
    @AminaMkumba-u3z 3 หลายเดือนก่อน

    Yaani nimekumba mbali sana,wakati huo nilikuwa kambi la Luwiko baadae mafinga na mlale Jkt yaan ni hatari sana❤❤❤❤

  • @sizakitego4374
    @sizakitego4374 4 ปีที่แล้ว

    Hata mimi nilikuwepo kwenye hii vita, gonga like kama umeniona na shati ya drafti

  • @rassosman3094
    @rassosman3094 ปีที่แล้ว

    Wanaoangalia 2023 kama mimi mnipee likes

  • @StevenSanga-p4e
    @StevenSanga-p4e 20 วันที่ผ่านมา

    who in 2025

  • @janemwakapesa5569
    @janemwakapesa5569 3 หลายเดือนก่อน

    Baba yangu nimekumbuka mbali alipigana hii vita na sasa hayukoo😢oooh God 2024

  • @JumaShamte-y3o
    @JumaShamte-y3o 2 หลายเดือนก่อน

    Thanks Good❤❤❤❤❤

  • @clementhiddi1486
    @clementhiddi1486 5 ปีที่แล้ว +1

    Mungu awape nguvu our heroes mlio hai na walaze mahali pema peponi waliopoteza maisha.

  • @frankmdoma3528
    @frankmdoma3528 3 ปีที่แล้ว

    Hqkika nitakukumbuka baba angu kwa kazi mliyofanya

  • @johnkaluwa1121
    @johnkaluwa1121 3 ปีที่แล้ว

    juakua kuna watu waliiipambnia nchi mmbaka wewe leo hii unajiita mtanzania mbele za watu na ukasikika kuwa mtanzania anaongea so heshimu ulichonacho pia jua kua lazima uhuumie ili mwanao,mdogowako,au mjukuuu wako aje aishi maisha ya juu zaid ya hayo unayo ish wewe saa ivi heshimu nchi yako eshimu watanzania wenzako Mungu bariki Afrika MUnngu bariki Tanzaniia.

  • @jandaboytzz2755
    @jandaboytzz2755 3 ปีที่แล้ว +1

    Roho Inaniuma Sana Watanzania Wenzetu hao Mjue Walikua Na Famlia Zao😢😢

  • @CharlesBulleti
    @CharlesBulleti 3 หลายเดือนก่อน +2

    Mimi ni mmojawapo nilirusha kombora la kwanza kwenye aridhi ya uganda tarehe 25-10-1978

  • @shaabans.marijani9659
    @shaabans.marijani9659 6 ปีที่แล้ว +5

    1978 only i was still very young with two years,i was born in 1976 so when the war was fighting I didn't have any to copy because of youngest.

  • @neemaruttaiwa6202
    @neemaruttaiwa6202 5 ปีที่แล้ว +4

    Pumzika kwa Amani mzee wetu umetufanya mkoa wetu Kagera kuwa huru

  • @selemaningulyavyangu7425
    @selemaningulyavyangu7425 3 หลายเดือนก่อน

    Baba angu Allah amsimamie inshaallah Allah amuondolee adhabu ya kaburi ,Alikuwepo vita hii

  • @felixmagulu6142
    @felixmagulu6142 3 ปีที่แล้ว

    Huu ulikuwa Morali wa hali juu sana wa kuikomboa Nchi yetu, Kipindi hiki kilikuwa kigumu sana Kila Mwananchi mawazo yake yalikuwa ni kuikomboa Ardhi ya Tanzania iliyovamiwa na Nduli Idd Amin Dada.

  • @anastaziuscyriacus5415
    @anastaziuscyriacus5415 4 ปีที่แล้ว +2

    Nilikuja kuzaliwa miaka 10 baadae....Kwakweli kama si hawa wakulungwa kupambana huenda hata nisingezaliwa.....kule kule kagera ndo hometown

  • @mdunguupdates4779
    @mdunguupdates4779 4 ปีที่แล้ว +1

    Wanaoangalia 2021 like hapa

  • @matokeombugano1324
    @matokeombugano1324 7 ปีที่แล้ว +43

    sijui kama hawa vijana wangeweza hii shughuri...hawa team kiba na dimond

    • @fistonkyuing9888
      @fistonkyuing9888 6 ปีที่แล้ว +3

      Labda wangeweza kuimba nyegeza na muvumo wa radi

    • @joharimaunga6127
      @joharimaunga6127 5 ปีที่แล้ว +1

      kabisaa Allah awape pumzko mashujaa wetu kizaz cha leoo ni team kiba mond zar na wema

    • @racheldauson9471
      @racheldauson9471 5 ปีที่แล้ว

      Ndomana Kila nikiwa njiani kwenda ug Nashua kuwaombea pale makaburi ya mashujaa aamen

    • @nicomwasaga1368
      @nicomwasaga1368 4 ปีที่แล้ว

      Hahahahahahahahah hahahahahahahahahahahahaha

  • @maulidrehani
    @maulidrehani 7 ปีที่แล้ว +9

    mungu awapumzishe kwa amani hakika they fought for our country

  • @FahariEzekiel-f4b
    @FahariEzekiel-f4b 11 วันที่ผ่านมา

    RIP wote mulio lipigania Taifa letu

  • @mariamushafii4775
    @mariamushafii4775 7 ปีที่แล้ว +6

    mungu akupe mapumziko mema mwalim j k nyerere amini