2021 tu like hapa. Nimependa sana mwalimu nyerere alivyo sema..nguvu ya kumpiga tunayo, sababu tunayo na Nia tunayo ni maneno mazuri sana ya kutia moyo na kuleta ushindi
Watu hawa wengine wapo hai mpaka mda huu wanaish maisha magumu sana, serikali ifike hatua iwakumbuke hawa wazee wetu walioikomboa Tanzania kutoka kwa nyemela Nduli Amin
Kama wewe ni mzalendo, usipite hapa bila kugonga like. Nimerudi toka Ulaya sababu naipenda Tanzania. Ndo mana wakati natoka Tanzania kwenda ulaya nilibeba DVD za hotuba ya Mwalimu Nyerere ili niuendeleze uzalendo.
Hiki ni kipindi pekee ambacho kiwango cha uzalendo kilikuwa cha hali ya juu sana, Hongereni sana mliojitoa kulitetea Taifa letu, Mungu azipumzishe kwa Amani roho za mashujaa waliopoteza maisha katika kipindi hiki kigumu, Mungu ibariki Tanzania na Jeshi letu la ulinzi la wananchi.
Babaangu bwana mwamed wangare kashiriki vita hivi kwanzia daraja la kagera mpaka mtukula na babaangu mkubwa chalesi wangare wote Mungu awarehem nakueapa panapo stahiki 😭
Mimi naiangalia video hii leo tarehe 17/8/2020 najifunza mengi na kuona inatupasa kulinda Sana amani tusidanganywe na akina tundu lisu wao wanasehem ya kukimbilia
Naipenda sana Nchi Yangu Tanzania...Mwenyenzi Mungu awape nguvu wafiwa na awapokee wote waliotangulia mbele za haki wakiipigania Nchi yetu na kutokana na vita hii ambayo iliturudisha nyuma sana kiuchumi kama Taifa la Tanzania..
ukiangalia unagundua wengi walikua vijina hapo lazima tujue sikuzote sisi vijana niwatu tutakao jenga nchi yetu kwakumpa ushirikiano raisi wetu viva Tanzania
Kipindi Hicho nilikuwa na umri wa miaka 8 Std One, my Daddy was a soldier but did not go there ,walibaki Kama Askari wa Akiba. Nakumbuka baadhi ya watoto wenzetu enzi zile wakati wa kwenda kuwapokea , hawakuwaona baba zao. May their soul rest in peace!
Kuna watu kati ya hawa sasahiv wanaenda maofisini kuudumiwa wanaikutu mijitu iko kwenye kiti cha kuzunguka full ac afu yanadharau na kuwacheleweshea huduma.
Uzalendo huu ni ujenzi wa Tanzania ambayo Leo tunajivuni Mungu bariki Tanzania hope kubwa ipo kwakuwa tuko kwenye nchi ambayo walio ipigania walituaminisha
Nimemkumbuka baba yangu, R I P kwa kupambania taifa ila serikali haijawahi kumuangalia kwa upande wa pili mpaka anatoka duniani tarehe 7/1/2017, rest in peace my father
Je ingekuwa ni miaka hii tungeonesha uzalendo kama huu .....jibu langu mimi ni hapana uzalendo na nchi haupo tena kwa sababu ya ufisadi uliokithir na unaozdi kuwakandamiza wananchi
Kama unaangalia 2021 double tap apo chini wanajeshi wetu wanafanya leo hii tunakula raha duniani full aman kwa msaada wa mwenyezi mungu .Julius kambarage nyerere💪
babu yangu alipigana kwenye hii vita, mungu aipumzishe roho za mashujaa wetu pema peponi, walijotoa muhanga ili tuishi maisha ya Amani kwenye Ardhi yetu, nakupenda Tanzania hawa walikuwa wazalendo wa kweli
Wakati huo nchi ilikuwa na umoja na upendo, japo watu walikuwa maskini lkn walikuwa na mapenzi kwa nchi yao! Sasa tofauti, viongozi wanadhani wao ni first class! Tunabaguana kivyama na kubambikizia wapinzani kesi nzito! Sasa si wamoja tena!
Mama na baba angu walinihadisia ichi kipindi kwao kilikuwa kigumu sana yani sikifikiria hi storia niliopewa na wazazi wangu hakika vita sio kitu cha mchezo
Tanzania ilikuwa na utaifa sana enzi hizo; siku hizi utaifa umepungua sana kwani kila kiongozi anatafuta namna ya kuichafua nchi ili kujipatia pointi za kisiasa hata pale pasipohusika. Halafu hiyo sehemu ya kuruta iliyoonyeshwa nadhani ilikuwa mkoani Mara kwani mabasi ninayoona ya Musoma Bus, Maratco na Mudeco yalikuwa ni mabasi ya mjini Musoma miaka hiyo.
Huu ulikuwa Morali wa hali juu sana wa kuikomboa Nchi yetu, Kipindi hiki kilikuwa kigumu sana Kila Mwananchi mawazo yake yalikuwa ni kuikomboa Ardhi ya Tanzania iliyovamiwa na Nduli Idd Amin Dada.
Nyerere hana mfano kwani kila mara alikuwa mstari wa mbele katikati ya vita akiangalia na kukagua kwa macho yake mwenyewe na kuongoza mapigano.mwl hakuogopa kufa wakati wa kuipigania nchi hii ,hakujali uhai wake ,wala mali za dunia,hii.RIP mw JK NYERERE mwana halisi wa Afrika.
Jaman muwathamini BC na hao bado hai jaman wameteseka sana .eee baba wetu wa taifa Allah ailaze roho pepon naumia baba kuona hiv mungu katulipia kwa rais wetu makufuli raid wawanyonge..
Tunaoangalia 2024 tujuane kwa like 😊😊😊
Niko hapa mwazangu
@@muhirefiston83 karibu
niko hapa
@@oscarakyoo4641 karibu osca
@@oscarakyoo4641 karibu
Wanaoangalia 2024 like ❤❤
2021 tu like hapa. Nimependa sana mwalimu nyerere alivyo sema..nguvu ya kumpiga tunayo, sababu tunayo na Nia tunayo ni maneno mazuri sana ya kutia moyo na kuleta ushindi
Wanaoangalia 2021 kama mimi like zenu tujuane
Wanao angalia 2020 kama mm niwaone like
Nko hapa mkenya
Nzr
🇹🇿
niko hapa rwandanese
Tupo
Watu hawa wengine wapo hai mpaka mda huu wanaish maisha magumu sana, serikali ifike hatua iwakumbuke hawa wazee wetu walioikomboa Tanzania kutoka kwa nyemela Nduli Amin
kelvin Grison Ni kweli, lakini walishatumika wakatupiliwa mbali
Wanao angalia 2021 kama mimi gonga like apa
Kama wewe ni mzalendo, usipite hapa bila kugonga like. Nimerudi toka Ulaya sababu naipenda Tanzania. Ndo mana wakati natoka Tanzania kwenda ulaya nilibeba DVD za hotuba ya Mwalimu Nyerere ili niuendeleze uzalendo.
Kweli nimeamini ushirikiano na umoja wa watanzania ni wasiku nyingi sana na ndiyo maana tunaushi kwa amani bila kujali ukabila
2020 tu like hapa
Daaaaah! baba yangu alikuwepo kwenye hii vita mungu akulaze mahali pema Amina...
Alex Andrea zpp
Pole sana ila tambua katusaidia wote MUNGU amuweke pema alitutea wote na nchi yake pole sana ndgu ila jivunie kua na mzazi alokomboa nchi
Alex Andrea sorry
Alex Andrea pole kaka
Wapumzike kwa amani wazazi wetu..
Nipo naitazama video hii November 2019, itaishi milele. Ahsanta kwa wanajeshi wetu na wote walioandaa makala hii...
Mwalimu Nyerere heshima yake itasimuliwa vizazi vyote. Big Salute.
Babu yangu alipambana vikar kwenye hii vita Allah ampe kauli xabit 😭😭🤲🤲huko aliko pia amuepuxhie adhabu zakaburi Amiin
Mungu awalaze pema wailopigania nchiyetu na, waliobak wasaminiwe,
Amakwel nyerere ni simba wa afrka naipenda nchi yangu
Hiki ni kipindi pekee ambacho kiwango cha uzalendo kilikuwa cha hali ya juu sana, Hongereni sana mliojitoa kulitetea Taifa letu, Mungu azipumzishe kwa Amani roho za mashujaa waliopoteza maisha katika kipindi hiki kigumu, Mungu ibariki Tanzania na Jeshi letu la ulinzi la wananchi.
Much love from kenya...uzalendo ulidhirika katika hii vita vilivyo.
polen sana kwa kutuangaikia ss tuish katika maixha mazuri tunawashukuru jaman
Danilodi
Jomon
kweli huu ulikua uzalendo wa hali juu,,hongereni wote mlioshiriki vita hii,,na pumzikeni kwa amani mliotangulia mbele ya haki...
Naahidi hatutoitupa nchi yetu tutaipigania Kwa kila hali mimi nipo Zanzibar mungu atusaidie
3toyou
Amiiin
Tanzania itajengwa na wenye moyo na sio wazalendo wa siku hizi!!! Mungu ibariki Tanzania
Babaangu bwana mwamed wangare kashiriki vita hivi kwanzia daraja la kagera mpaka mtukula na babaangu mkubwa chalesi wangare wote Mungu awarehem nakueapa panapo stahiki 😭
Wanao angalia mpaka muda huu rarehe 14/8/2020 agonge like😍😍
Mimi naiangalia video hii leo tarehe 17/8/2020 najifunza mengi na kuona inatupasa kulinda Sana amani tusidanganywe na akina tundu lisu wao wanasehem ya kukimbilia
Hawa watu wengine bado wapo hai ila wanamaisha magum sana selikali ifike hatua muwakumbke jamn msikalie tu kula bata na familia zenu.
Naipenda sana Nchi Yangu Tanzania...Mwenyenzi Mungu awape nguvu wafiwa na awapokee wote waliotangulia mbele za haki wakiipigania Nchi yetu na kutokana na vita hii ambayo iliturudisha nyuma sana kiuchumi kama Taifa la Tanzania..
They were true heroes I salute you. I am a Kenyan
1978 only i was still very young with two years,i was born in 1976 so when the war was fighting I didn't have any to copy because of youngest.
ukiangalia unagundua wengi walikua vijina hapo lazima tujue sikuzote sisi vijana niwatu tutakao jenga nchi yetu kwakumpa ushirikiano raisi wetu viva Tanzania
💪
My daddy fought on this war too en he's still alive!!
May z soul of those who dieD in z war REST IN PEACE
Neema Mliga hongera sana Mshukuru Mungu kila unapokumbuka.
Neema Mliga even my dad fought in this war and still a live till now
Neema Mliga
Amen
Kipindi Hicho nilikuwa na umri wa miaka 8 Std One, my Daddy was a soldier but did not go there ,walibaki Kama Askari wa Akiba. Nakumbuka baadhi ya watoto wenzetu enzi zile wakati wa kwenda kuwapokea , hawakuwaona baba zao. May their soul rest in peace!
Tumetoka mbali. Rais wetu na wale wote walioipigania nchi yetu, ninawaombea na kuwakumbuka daima. Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Africa.
Ni sura zenye utayali najikuta nasisimka mwili kwa uzarendo huu usio wa kinafki.heshima kwao
Rip babu ulipoteza maisha kwenye iyo vita ingawa nilisimuliwa mana sikuzaliwa
jojo _linkiss Abiny pole
jojo _linkiss Abiny pichazaekx
Pole
Polee
Kuna watu kati ya hawa sasahiv wanaenda maofisini kuudumiwa wanaikutu mijitu iko kwenye kiti cha kuzunguka full ac afu yanadharau na kuwacheleweshea huduma.
Mmojawapo babangu anaishi ntumba ya miti
Inauma
naipenda Tanzanian nchi yangu,,r,i,p,wote mlotanglia mbele za haki😥, mungu ibarki Tz to Africa
Rose Mary o
Eveta Erasmi
Rose Mary pmj
Mungu ailaze roho ya marehemu mwl hayati baba wa taiga mahali pema peponi Amina
Jmn@@mwaikomolegren7021
Siku hizi tunapenda tuvae gwanda tuonekane wanajeshi lkn duu Mungu atusaidie tumebaki masharobaro tuu uhalisia haupo
Uzalendo huu ni ujenzi wa Tanzania ambayo Leo tunajivuni Mungu bariki Tanzania hope kubwa ipo kwakuwa tuko kwenye nchi ambayo walio ipigania walituaminisha
Kwakweli wenzetu waliumia kwa ajili yetu, hatuna bud kuumia kwa ajili yao
Babu yangu ALLY SAIDI alikuwa katika hili kundi la mashujaa,ALLAH akuwekee wepesi katika makazi yako ya milele
Ameen❤
Nimemkumbuka baba yangu, R I P kwa kupambania taifa ila serikali haijawahi kumuangalia kwa upande wa pili mpaka anatoka duniani tarehe 7/1/2017, rest in peace my father
Hawa wanajeshi wengine wapo mpaka sasa na awakusaminiwa mchango wao kitika Taifa hili
hassan sasbai
Mungu ilinde Tanzania hatutaki yajirudie hayo. Ingawaje wakichokoza hatuwaachi!!!
Aliye sikia kidumu chama cha mapinduzi agonge like na wapinzani najua kunakitu mmegundua apo
Pumzika kwa Amani mzee wetu umetufanya mkoa wetu Kagera kuwa huru
Je ingekuwa ni miaka hii tungeonesha uzalendo kama huu .....jibu langu mimi ni hapana uzalendo na nchi haupo tena kwa sababu ya ufisadi uliokithir na unaozdi kuwakandamiza wananchi
for sure they was done a very very big work God blessed them wherever theyare
Mungu barik jesh letu TANZANIA
I see the spirit of the nation, mungu awape amani mliotangulia mbele za haki
Hongereni sana wapambanaji wetu kwa kutukomboa hii kazi ilikua ngumu
mungu awapumzishe kwa amani hakika they fought for our country
Kama unaangalia 2021 double tap apo chini wanajeshi wetu wanafanya leo hii tunakula raha duniani full aman kwa msaada wa mwenyezi mungu .Julius kambarage nyerere💪
Nakumbuka mbali sana nikiangalia picha hizi.
Nawakumbuka wenzangu waliotangulia mbele ya haki.
Namshukuru Mungu aliyenihifadhi na kunirudisha salama.
Pole sana mzarendo wa kweli
Yaan hapo unaaga nymbn kma ukipta nafx kurudi ni maajaliwa tn.Mungu aziweke roho za walio tangulia mbele ya haki mahali pema peponi.Amin
mungu ibaliki tz mungu wabaliki wote walioshiriki kuikomboa tz amina
eeh mungu wapumzishe mahala pema pepon mashujaa wetu waliotutangulia
Tanzania💗💗 na wish mpka ningekuwa mmojaWapo ktk hao Vijana
Naipenda sana Tanzania nafarijika kuitwa mtanzania love sana Tanzania
Asante kwa vijana waliojitoa wakati huo, lakini yote ilitokana na msimamo na kujiamini kwa kiongozi wetu Mwalimu JK.
sijui kama hawa vijana wangeweza hii shughuri...hawa team kiba na dimond
Labda wangeweza kuimba nyegeza na muvumo wa radi
kabisaa Allah awape pumzko mashujaa wetu kizaz cha leoo ni team kiba mond zar na wema
Ndomana Kila nikiwa njiani kwenda ug Nashua kuwaombea pale makaburi ya mashujaa aamen
Hahahahahahahahah hahahahahahahahahahahahaha
Naapa naahidi mbele za Mungu Tanzania nitakulinda mpaka kufa
Wow..!!😍
Hadi nimesisimka naipenda nchi yangu
Tulilelewa katika umoja,mshikamano. Kipindi hicho tulikuwa na wanasiasa wa kweli na siyo kama sasa ambapo wanasiasa wetu wako kimasilahi zaidi.
mungu akupe mapumziko mema mwalim j k nyerere amini
babu yangu alipigana kwenye hii vita, mungu aipumzishe roho za mashujaa wetu pema peponi, walijotoa muhanga ili tuishi maisha ya Amani kwenye Ardhi yetu, nakupenda Tanzania hawa walikuwa wazalendo wa kweli
pole ndugu yangu yesu akuongoze
mungu awalinde xana
Daaah inafikia muda inabidi ujitolee kwa hali na mali kuhakikisha unailinda nchi yako, haikuwa rahisi kujitoa hawa leo hii tunaishi vizur sana.
Hawa jamaa ni majembe
Roho Inaniuma Sana Watanzania Wenzetu hao Mjue Walikua Na Famlia Zao😢😢
Naangalia 2021
Mungu alitutoa mbali
Wakati huo nchi ilikuwa na umoja na upendo, japo watu walikuwa maskini lkn walikuwa na mapenzi kwa nchi yao! Sasa tofauti, viongozi wanadhani wao ni first class! Tunabaguana kivyama na kubambikizia wapinzani kesi nzito! Sasa si wamoja tena!
Japo mimi ni mkenya ila Tanzania iko imara kwenye jeshi
nagonga like kwa ajili ya wazo lako iaseeh..
Ni kwel kabisa matokeo
Mungu ibariki Tanzania
@@michaelelias5042 Vxsxvvv
Tanzania haijawahi kuingia vitani ikashindwa kamwe.
Mungu atusaidie
Mungu ibariki Tanzania I love you my country
Wanaoangalia 2021 like hapa
hakuna kizaz cha kufananishwa na Mwl Nyerere.....
Wanajesh wa sasa hawana tofaut na wazaman TATIZO niviongozi wetu
Mackey Konji kweli
Tofaut ya sasa depo adi uonge
walipingana kwa ajili yetu amen
Mungu awape nguvu our heroes mlio hai na walaze mahali pema peponi waliopoteza maisha.
Mama na baba angu walinihadisia ichi kipindi kwao kilikuwa kigumu sana yani sikifikiria hi storia niliopewa na wazazi wangu hakika vita sio kitu cha mchezo
Mungu aibaliki tanzania kwamaana walimwaga damu kwaajili yakuikomboa tanzania hakikalani kwao nyelele. alemaha pema peponi Amin
2020 mungu awabaliki kwa kazi mzr hatuna cha kuwalipa
mwalimu hakuwaacha watz jaman mwalimu Mungu akupe pumziko la milele na wengine wote walio poteza maisha
jacqueline mabula
jacquel,ine mabula
Alaf walikua ma handsome sio hawa wa karolight
Kila nikiangalia nammic babu yangu Simon hebeye alikuwepo miongoni mwa Hawa na alikuwa mdogo sana akiwa na kakaake John hebeye
Baba yangu alipigana vita japo 2006 ndo kafariki apumzike kwa amani .... amen
mungu amlaze mahali pema peponi
Dah poleni sana ukweli mlifanya kazi kubwa sana one love Tanzania
wengine walipambana lkn wengine wanakula tuu nchi inauma sanaa
2021 tujuane hapa
Tanzania ilikuwa na utaifa sana enzi hizo; siku hizi utaifa umepungua sana kwani kila kiongozi anatafuta namna ya kuichafua nchi ili kujipatia pointi za kisiasa hata pale pasipohusika.
Halafu hiyo sehemu ya kuruta iliyoonyeshwa nadhani ilikuwa mkoani Mara kwani mabasi ninayoona ya Musoma Bus, Maratco na Mudeco yalikuwa ni mabasi ya mjini
Musoma miaka hiyo.
Pumzikeni waliotangulia kwa amani kabisa.hakika mungu akufutieni madhambi yenu amin
Tanzania tuige uhuu umoja wa kweli na upendo
ogaaah! ukimsikiliza msimuliaji ndo unaamini siku hzi hatuna watangazaji kabsa
Mungu aibarki afrka mungu aibarki tanzania
Hata mimi nilikuwepo kwenye hii vita, gonga like kama umeniona na shati ya drafti
Daah Mungu awe pumziko la milele mashujaa wetu walotangulia mbele za haki
Thanks our soldiers I salute father nyerere
watu wa zamani wanaupendo sanajaman mungu awabariki
UTANZANIA huu ungerudi jamani
Kwa hakika mungu awalaze mahalo pema peponi wote waliohusika kupigana Vita vya kagera
I love you TANZANIA
Asanteni sana wote mliochangia ushindi huo.
Tupo imara, na hii ndio sabab naipenda tz
MUNGU azilaze roho za marehemu mahala pema peponi Amina🙏🙏
Were mwenyezi mungu wakumbuke wapiganaji wote waliopigania Tanzania
Jamani tuiheshimu sana nchi yetu
Huu ulikuwa Morali wa hali juu sana wa kuikomboa Nchi yetu, Kipindi hiki kilikuwa kigumu sana Kila Mwananchi mawazo yake yalikuwa ni kuikomboa Ardhi ya Tanzania iliyovamiwa na Nduli Idd Amin Dada.
Hawa ndo walikuwa wazalendo kweli kweli, walikuwa na maadili kweli.
Nyerere hana mfano kwani kila mara alikuwa mstari wa mbele katikati ya vita akiangalia na kukagua kwa macho yake mwenyewe na kuongoza mapigano.mwl hakuogopa kufa wakati wa kuipigania nchi hii ,hakujali uhai wake ,wala mali za dunia,hii.RIP mw JK NYERERE mwana halisi wa Afrika.
Jaman muwathamini BC na hao bado hai jaman wameteseka sana .eee baba wetu wa taifa Allah ailaze roho pepon naumia baba kuona hiv mungu katulipia kwa rais wetu makufuli raid wawanyonge..