Hapo kwenye ardhi mama kachemsha mwambieni ukweli maana anaepokea hiyo wizara ni Kama mafisadi was ardhi watarudu na kusema aliyekuepo alifanya maamuzi sio sahihi makesi yanarudi Tena mahakamani
Kwa Jerry slaa mama hajatutendea haki,anatupa mashaka labla kuna watu wanataka lufichiwa madudu yao tusemeje sasa Jerry mtetezi wa wanyonge leo unaondoka ardhi inauma sana😭😭
Kumuondowa Jerry Slaa Wizara ya Ardhi hapo Mama Samia kachemsha yaani kaharibu hakuna mfano na inawezekana Matapeli watarudi tena, pia huku mitaani ile mijizi imefurahi sana kubadilishwa kwa Jerry ili ipate kudhulumu na kuiba ardhi za Walalahoi, tunakuomba Mama Samia mrudishe huyu Shujaa mchapa kazi Jerry Slaa au sivyo Mijizi itatuangamiza huku Wizarani.
Tanzania hakuna Uhuru wa vyombo vya habari kwa fakti hii Kokote anako enda kiongozi mkubwa wa ccm lazima vyombo vya habari vi ripoti na kuchambua kila alichoongea kwenye mkutano.lakini viongozi wengi wa upizani wakiwa kwenye mikutano hua vyombo vya habari haviripot na vikiripoti hua havijadili chochote
Uko sahihi brother Edo Kumwembe
Ktk hilo nakuunga mkono, Slaa hakufaa kuondolewa wizara ya Ardhi
Hapo kwenye ardhi mama kachemsha mwambieni ukweli maana anaepokea hiyo wizara ni Kama mafisadi was ardhi watarudu na kusema aliyekuepo alifanya maamuzi sio sahihi makesi yanarudi Tena mahakamani
Jery angeachwa wizara ya ardhi maana kuna dhuluma sana na yeye kasomea sheria
Kwa Jerry slaa mama hajatutendea haki,anatupa mashaka labla kuna watu wanataka lufichiwa madudu yao tusemeje sasa Jerry mtetezi wa wanyonge leo unaondoka ardhi inauma sana😭😭
Me binafsi jerry alikuwa dream come true sasa na hapo ndo tunaenda kuwa na shida na watu wa aridhi
Kumuondowa Jerry Slaa Wizara ya Ardhi hapo Mama Samia kachemsha yaani kaharibu hakuna mfano na inawezekana Matapeli watarudi tena, pia huku mitaani ile mijizi imefurahi sana kubadilishwa kwa Jerry ili ipate kudhulumu na kuiba ardhi za Walalahoi, tunakuomba Mama Samia mrudishe huyu Shujaa mchapa kazi Jerry Slaa au sivyo Mijizi itatuangamiza huku Wizarani.
Mbona wizara ya Afya umeguna😂😂😂😂😂
Jerry angekufa mapema. Hiyonwizara inahitaji misuri
Wizi mkubwa na kupokea rushwa
Kachemka huyo mama slaa jembe hasa sisi wanyonge matajiri wanatuzurumu gaki zetu kwenye ardhi
unafunga Tweeter unaacha Telegram
Mnaogopa kusema ukweli no freedom of speech
Kwa nini wanahabari mnapenda kupinga kila jambo ila kwa mapenzi yenu lkn siyo kwa uhalisia ambao upo wazi ?????
Shida jer asingebadilishwa angeleta migogoro mungi sana
Kumwona Jerry. Ardhj sijui...
Wewe baab levo chawa
Ata mim😊
mbona issue ya ummy umeguna😂😂😂Dada jinga hili
uhuru wa habari za uchi
wapo kama anakuwa maarufu kushinda yeye. tuliona yalio mfika robert ouko wa kenya
Tanzania hakuna Uhuru wa vyombo vya habari kwa fakti hii
Kokote anako enda kiongozi mkubwa wa ccm lazima vyombo vya habari vi ripoti na kuchambua kila alichoongea kwenye mkutano.lakini viongozi wengi wa upizani wakiwa kwenye mikutano hua vyombo vya habari haviripot na vikiripoti hua havijadili chochote